Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia Neno la Mungu wetu lililo taa ya miguu yetu na Mwanga wa njia yetu (Zab.119:105). Ni muhimu kujua kanuni kadhaa za kuomba ili maombi yetu yawe na majibu. Tumewahi kujifunza kanuni kadhaa huko nyuma na leo imempendeza Bwana tujifunze kanuni nyingine. Neno la … Continue reading KANUNI YA KUOMBA NA KUPOKEA.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed