Kiti cha Musa ni kipi? (Mathayo 23:2)
Swali: Biblia ina maana gani kusema Mafarisayo wameketi katika kiti cha Musa? Je hiki kiti cha Musa ndio kipi? Jibu: Turejee, Mathayo 23:2 “Waandishi na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Musa” “Kiti cha Musa” maana yake ni “Nafasi ya Musa”.. Leo hii tukisema mtu kaketi katika kiti cha Uraisi, maana yake ni kuwa “kachukua nafasi … Continue reading Kiti cha Musa ni kipi? (Mathayo 23:2)
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed