Je ni Mungu au Malaika?

Swali: Je biblia inajichanganya katika Zaburi 8:4-5 na Waebrania 2:6-7. Maana sehemu moja inataja ‘Mungu’, na sehemu nyingine ‘Malaika’. Jibu: Turejee. Zaburi 8:4 “Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, Na binadamu hata umwangalie? 5 Umemfanya mdogo punde KULIKO MUNGU; Umemvika taji ya utukufu na heshima”. Tusome tena Waebrania 2:6-7.. Waebrania 2:6 “Mwanadamu ni nini hata … Continue reading Je ni Mungu au Malaika?