JE NI YESU YUPI UNAYE? WA KIDINI AU WA UFUNUO!

Jina la Bwana na Mwokozi Mkuu YESU KRISTO libarikiwe daima! Kuna tofauti ya kumjua YESU WA KIDINI na yule wa UFUNUO (Yaani Yesu aliyefunuliwa maishani mwako na yule uliyempokea kwa wazazi au kwa mhubiri fulani)  Utauliza kivipi?..Hebu tumwangalie mtu mmoja katika biblia ambaye hapo kwanza alimjua YESU wa kidini lakini baadaye akaja kumpokea wa KIUFUNUO, … Continue reading JE NI YESU YUPI UNAYE? WA KIDINI AU WA UFUNUO!