NI MAJIRA YAPI YA NEEMA WEWE UPO?
Kuna wakati wa kukokotwa-kokotwa, lakini kuna majira ya kuachwa ufanye maamuzi mwenyewe, na usipofanya unakufa. Mtu aliye mchanga kiroho, ni rahisi Mungu kuchukuliana naye katika mambo yasiyofaa kutokana na uchanga wake kwa siku zile za awali, lakini haiwezi kuwa hivyo siku zote, kwa jinsi siku zinavyokwenda, kusukumwa sukumwa hakutakuwepo, ni kuwa makini sana!. Ukitafakari habari … Continue reading NI MAJIRA YAPI YA NEEMA WEWE UPO?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed