by Devis | 15 June 2023 08:46 am06
Manyoyota ni neno lingine la “manyunyu”. Manyunyu ya mvua kwa lugha nyingine yanaitwa “manyoyota”
Ayubu 37:6 “Kwani huiambia theluji, Anguka juu ya nchi; Na vivyo manyonyota ya mvua, Na hayo maji ya mvua yake kubwa”.
Baraka za Bwana zinafananishwa na manyunyu ya mvua..
Ezekieli 34:26 “Nami nitawafanya wao, na mahali palipo pande zote za mlima wangu, kuwa baraka, nami nitaleta manyunyu kwa wakati wake; yatakuwako manyunyu ya Baraka”
Tunapoenda katika njia zake Bwana atatunyeshea manyunyu ya Baraka.
Maran atha!
Tafadhali shea na wengine ujumbe huu;
Pia Kwa maombezi/ Ushauri/ Maswali/ Whatsapp:
Tuandikie katika BOXI la Maoni hapo chini au
Piga namba hizi: +255693036618 au +255789001312
Mada Nyinginezo:
BASI TUENDELEE KUMJUA MUNGU,NAYE ATATUJILIA KAMA MVUA YA VULI.
IJUE HEKIMA YA MUNGU KATIKA KUKUINUA KIMAISHA.
Uishi kwa furaha pamoja na mke umpendaye, siku zote
Kwanini mtu afanye miujiza na bado asiende mbinguni?
Source URL: https://wingulamashahidi.org/2023/06/15/manyoyota-ni-nini-ayubu-376/
Copyright ©2025 Wingu la Mashahidi unless otherwise noted.