by Admin | 16 October 2024 08:46 am10
Huu ni mwongozo maalumu ya njia bora ya kuiomba sala ya Bwana. Wengi wetu tunaiomba aidha kwa kukariri au kwa kukosa ufahamu wa jinsi ipasavyo kuombwa, kulingana na majira ya nyakati za agano jipya. Lakini kama tukijua namna ya kuiomba ipasavyo basi tutaweza fungua milango mingi sana rohoni, ukizingatia kuwa ni sala ambayo Bwana wetu mwenyewe alitufundisha kwasababu ndio hiyo hiyo hata yeye alikuwa anaiomba.
fungua chapisho hili lililo katika pdf kwa kubofya download uweze kusoma;
Kwa kupokea mafundisho ya kila siku kwa njia ya WHATSAPP, jiunge na channel yetu kwa kupofya link hii >> https://whatsapp.com/channel/0029VaBVhuA3WHTbKoz8jx10
Mafundisho mengine:
MWONGOZO WA MAOMBI YA KUJIKUZA KIROHO.
Ni lazima mtu aongozwe sala ya toba ili awe ameokoka?
https://wingulamashahidi.org/2023/04/01/jinsi-ya-kupigana-maombi-ya-vita/.
Source URL: https://wingulamashahidi.org/2024/10/16/namna-bora-ya-kuiomba-sala-ya-bwana/
Copyright ©2025 unless otherwise noted.