Fumbi ni nini?(Ayubu 6:15)

by Admin | 29 October 2020 08:46 am10

Fumbi ni ni neno linalomaanisha kijito,

Utalisoma katika mstari huu;

Ayubu 6:15 “Ndugu zangu wametenda udanganyifu kama kijito cha maji. Mfano wa fumbi la vijito vipitavyo.

16 Vilivyokuwa vyeusi kwa sababu ya barafu, Ambamo theluji hujificha”.

Angalia tafsiri maneno mengine ya biblia chini.

Ikiwa utapenda tuwe tunakutumia mafundisho ya Neno la Mungu ya mara kwa mara kwa njia ya email yako au Whatsapp basi tutumie ujumbe kwenye namba hii +255 789001312

Mada Nyinginezo:

Chamchela ni nini kwenye biblia?(Zaburi 58:9, Amosi 1:14)

Zaburi maana yake nini, katika Biblia?

Shokoa ni nini katika biblia?

Hori ni nini kibiblia (Waamuzi 5:17, Luka 2:7)?

SIFONGO NA SIKI NI NINI?

Rudi Nyumbani:

DOWNLOAD PDF
WhatsApp

Source URL: https://wingulamashahidi.org/2020/10/29/fumbi-ni-niniayubu-615/