Luka 15:13 “Hata baada ya siku si nyingi, yule mdogo akakusanya vyote, akasafiri kwenda nchi ya mbali; akatapanya mali zake huko kwa maisha ya uasherati. 14 Alipokuwa amekwisha tumia vyote, NJAA KUU ILIINGIA NCHI ILE, YEYE NAYE AKAANZA KUHITAJI. 15 Akaenda akashikamana na mwenyeji mmoja wa nchi ile; naye alimpeleka shambani kwake kulisha nguruwe”. 16 Akawa akitamani kujishibisha kwa maganda waliyokula nguruwe, WALA HAPANA MTU ALIYEMPA KITU”.
2 Wafalme 6:25 “Njaa ikawa kuu huko Samaria; na tazama, wakauhusuru, hata kichwa cha punda kikapata kuuzwa kwa vipande themanini vya fedha, na kibaba cha mavi ya njiwa kwa vipande vitano vya fedha”.
Luka 15:17 “Alipozingatia moyoni mwake, alisema, Ni watumishi wangapi wa baba yangu wanaokula chakula na kusaza, na mimi hapa ninakufa kwa njaa. 18 Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako; 19 sistahili kuitwa mwana wako tena; nifanye kama mmoja wa watumishi wako. 20 Akaondoka, akaenda kwa babaye. Alipokuwa angali mbali, baba yake alimwona, akamwonea huruma, akaenda mbio akamwangukia shingoni, akambusu sana”.
Washirikishe na wengine habari hizi njema kwa kushea
Ikiwa utapenda kupata msaada wa kumpokea Yesu maishani mwako bure, Basi wasiliana nasi kwa namba uzionazo chini ya makala hii.
Pia kwa kupokea mafundisho ya kila siku kwa njia ya WHATSAPP, jiunge na channel yetu kwa kubofya link hii >> https://whatsapp.com/channel/0029VaBVhuA3WHTbKoz8jx10
Kwa mawasiliano: +255789001312 au +255693036618
Bwana akubariki.
Mafundisho mengine:
YAFAHAMU NA YATENDE MAPENZI YA MUNGU.
NAMNA GANI NITAPOKEA NGUVU ZA BWANA YESU?.
MWIMBIE BWANA ZABURI KATIKA NYAKATI ZA FURAHA.
HEKIMA YA KIMUNGU, INAINGIAJE MIOYONI MWETU?
NINI TUNAJIFUNZA KWA MWANA MPOTEVU NA NDUGUYE?
Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.
Δ