Uncategorised

Showing all 2 resultsSorted by price: low to high

No Comments so far

HGH satın alPosted on8:32 pm - Jul 5, 2026

Hello this is kinda of off tolic but I was wondering if blogs use WYSIWYG editors or if you have to manually code with
HTML. I’m starting a blog soon but have no coding skillls so I wanted too get guidance from someone with experience.
Any help would be greatly appreciated!

Here is my homepage … HGH satın al

Antalya to Manavgat transferPosted on7:55 pm - Jul 5, 2026

This poost is truly a fastidious one it assists new net people, who are wishing for
blogging.

Have a look at my web blog Antalya to Manavgat transfer

Christmas MaheriPosted on9:50 am - Jul 4, 2026

Nashukuru kwa kuendelea kunipatia mafundisho mazuri ya Neno la Mungu. Naomba usinipite unapozuru wengine kwa niaba ya Yesu Kristo, Bwana wa Mungu.

casino bonus ohne einzahlungPosted on9:49 am - Jul 4, 2026

References:

Casino Royale Filmlocations casino bonus ohne einzahlung

https://vulkan-casino-bonus-code.online-spielhallen.dePosted on11:54 pm - Jul 3, 2026

References:

Bayern Spielautomaten Online https://vulkan-casino-bonus-code.online-spielhallen.de

vantage tradingPosted on10:38 pm - Jul 3, 2026

Right here is the perfect web site for everyone who wishes
to find out about this topic. You know so much its almost hard to argue with
you (not that I really will need to…HaHa). You definitely
put a brand new spin on a topic that has been written about for years.
Wonderful stuff, just great!

Benjamin oleckPosted on12:04 pm - Jun 26, 2026

Mbarikiwe sana!!

Joseph MwalutanilePosted on9:54 pm - Jun 23, 2026

Naomba masomo 0780581699

Edwin sitatiPosted on10:56 pm - Jun 22, 2026

Am blessed so much

Muni MakuliPosted on11:05 pm - Jun 20, 2026

Shalom mtumishi. Nikihitaji huduma ya ubatizo naipataje?

FriedrichPosted on2:01 pm - Jun 20, 2026

Nafurahi kuwepo hapa; mahali ambapo ninaukulia wokovu na kujua sana Mwana wa Mungu
Efe 4:11-14 SUV
[11] Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu; [12] kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe; [13]hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo; [14] ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwa huku na huku, na kuchukuliwa na kila upepo wa elimu, kwa hila ya watu, kwa ujanja, tukizifuata njia za udanganyifu.

https://bible.com/bible/164/eph.4.11-14.SUV

SMS Za Kuomba Msamaha Kwa Rafiki – Elimu ForumPosted on6:20 pm - Jun 3, 2026

[…] katika kudumisha uhusiano mzuri. Kwa maelezo zaidi kuhusu umuhimu wa kuomba msamaha, tembelea Wingu la Mashahidi au Dar24.Kwa ujumbe zaidi wa kuomba msamaha, unaweza […]

Erick MayembaPosted on5:25 pm - May 14, 2026

nimebarikiwa

Stephano Paul nyembedodoPosted on5:38 pm - May 7, 2026

Whatsapp 0687210525

Majina 172 ya Mungu na Tafsiri Zake – Elimu ForumPosted on9:09 am - May 6, 2026

[…] maelezo zaidi kuhusu majina haya, unaweza kutembelea Wingu la Mashahidi au Nathanael Kibasa kwa taarifa zaidi.Katika kumalizia, ni muhimu kukumbuka kwamba majina haya […]

Vitabu Vya Biblia Vilivyopotea – Elimu ForumPosted on11:19 pm - May 5, 2026

[…] Ni muhimu kwa waumini kuelewa historia hii ili waweze kujenga imani yao kwa msingi thabiti.Kwa maelezo zaidi kuhusu vitabu vya Biblia vilivyopotea, unaweza kutembelea Got Questions, Wikipedia, au Wingu La Mashahidi. […]

Nafasi Ya Mwanamke Katika Kanisa – Elimu ForumPosted on2:57 am - May 5, 2026

[…] maelezo zaidi kuhusu nafasi ya mwanamke katika kanisa, tembelea Nafasi ya Mwanamke Katika Kanisa, Wito na Dhamana ya Wanawake Katika Maisha na Utume wa Kanisa, na Thamani ya Mwanamke Mbele za […]

Stafa Nashon WaryubaPosted on11:09 pm - Apr 28, 2026

it is very helpful I’m ready to continue with this class and God bless you. continue to save

Majina 172 ya Mungu na Tafsiri Zake – Kazi ForumsPosted on1:56 pm - Apr 28, 2026

[…] maelezo zaidi kuhusu majina haya, unaweza kutembelea Wingu la Mashahidi au Nathanael Kibasa kwa taarifa zaidi.Katika kumalizia, ni muhimu kukumbuka kwamba majina haya […]

YohanaPosted on11:34 pm - Apr 27, 2026

Asante sana nabarikiwa na mafundisho

DanieliPosted on10:44 pm - Apr 25, 2026

Amen, nmebarikiwa mno na somo, ila turudi kwa swali kuu linalohusu bustani ya a Edeni ,, kwa utafiti mbali mbali na uchambuzi wa watafiti wakubwa ulimwenguni, hapa nataka kujiaminisha binafsi kuwa Edeni haikuwa hapa duniani, bali ilikuwa ni huko mbinguni kwa BABA, na kama sivyo!??? Basi Edeni imefichwa sana na Mungu mwenyewe, lengo ni kulinda mwanadamu asiyeingia na kuchuma matunda ya mti wa uzima wa milele wakaishia…

Nicko SangaPosted on8:43 pm - Apr 22, 2026

Ningependa masomo yaliyopo humu, kwenye page yenu

Bernado thobiasPosted on9:40 am - Mar 25, 2026

Hakika BWANA NI MWEMA

SMS Za Kuomba Msamaha Kwa Rafiki – Kazi ForumsPosted on9:48 pm - Mar 22, 2026

[…] katika kudumisha uhusiano mzuri. Kwa maelezo zaidi kuhusu umuhimu wa kuomba msamaha, tembelea Wingu la Mashahidi au Dar24.Kwa ujumbe zaidi wa kuomba msamaha, unaweza […]

Vitabu Vya Biblia Vilivyopotea – Kazi ForumsPosted on9:43 pm - Mar 22, 2026

[…] Ni muhimu kwa waumini kuelewa historia hii ili waweze kujenga imani yao kwa msingi thabiti.Kwa maelezo zaidi kuhusu vitabu vya Biblia vilivyopotea, unaweza kutembelea Got Questions, Wikipedia, au Wingu La Mashahidi. […]

ZakayoPosted on8:34 am - Mar 22, 2026

Ninaitaji sana maombi

Ev. Ayub J. KijeliPosted on5:56 am - Mar 20, 2026

Nimefurahi kusoma habari kinabii juu ya siku ya mwisho.

Nafasi Ya Mwanamke Katika Kanisa – Kazi ForumsPosted on9:14 pm - Mar 16, 2026

[…] maelezo zaidi kuhusu nafasi ya mwanamke katika kanisa, tembelea Nafasi ya Mwanamke Katika Kanisa, Wito na Dhamana ya Wanawake Katika Maisha na Utume wa Kanisa, na Thamani ya Mwanamke Mbele za […]

AshibePosted on9:55 am - Mar 12, 2026

Kundi nzuri sana la mafundisho. Mungu Baba awabariki watumishi wake, Neema ya Bwana Yesu kristo iwe juu yenu daima.
Najifunza somo mbalimbali kwenye group la WhatsApp Nuru ya Upendo.

Julius KanyomozaPosted on3:59 am - Feb 13, 2026

Nitumie message

James mashauriPosted on1:37 pm - Jan 21, 2026

Je wachawi wapo kundi lipi kati ya hayo??

AzuliPosted on4:04 pm - Jan 16, 2026

Nitumie ivyo vitabu niwe na soma

Daniel Magazi MlindwaPosted on9:51 am - Jan 11, 2026

Ni kweli mtu anaweza kumlimit Roho Mtakatifu?

JulianaPosted on6:25 pm - Jan 4, 2026

Asante sana umenipa majibu nimekuwa nikitafuta….

JAMES ENOCKPosted on2:54 am - Jan 2, 2026

Hiyo ufunuo 9 inamaanisha hivyo? Vipi walishika amri wapo wapi… farasi maana yake ni nini,,, mambo mengi unayaeleza kwa bila ufafanuzi wa ndani yaani unitumie biblia kujifasri

Pastor Moses walelaPosted on9:44 pm - Dec 25, 2025

Nimebarikiwa Zaid kufahamu Jaana ya ubani na pia Kuja Jina la zazela ni ninani

Peter BenedictorPosted on12:24 am - Dec 23, 2025

THE WORD OF GOD HAS OPENED MIND MIND TOWARDS DIVINITY UNDERSTANDING

AnonymousPosted on11:29 am - Dec 22, 2025

Ujumbe huu ni mwema ila kwenye issue ya Ubatizo kwa jina la Yesu. sasa je ile Mathayo 28:19 nyie mmeelewa vipi? Walipowaweka katikati wakawauliza, Kwa nguvu gani na kwa jina la nani ninyi mmefanya haya? 8 Ndipo Petro, akijaa Roho Mtakatifu, akawaambia, Enyi wakubwa wa watu na wazee wa Israeli, 9kama tukiulizwa leo habari ya jambo jema alilofanyiwa yule mtu dhaifu, jinsi alivyoponywa, 10 jueni ninyi nyote na watu wote wa Israeli ya kuwa kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye ninyi mlimsulubisha, na Mungu akamfufua katika wafu, kwa jina hilo mtu huyu anasimama akiwa mzima mbele yenu. 11 Yeye ndiye jiwe lile lililodharauliwa na ninyi waashi, nalo limewekwa kuwa jiwe kuu la pembeni. 12 Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo. . 17 Lakini ili neno hili lisije likaenea katika watu, na tuwatishe wasiseme tena na mtu yeyote kwa jina hili. 18Wakawaita, wakawaamuru wasiseme kabisa wala kufundisha kwa jina la Yesu. hapa kwa jina inaleta maana ya kwa mamlaka ya, kwa uwezo gani, kwa amri ya nani? wala haina maana kwamba Mathayo 28 ina makosa

    Nuru ya UpendoPosted on11:31 am - Dec 23, 2025

    Ubarikiwe.. .lakini Je unaweza kutoa pepo bila kutamka jina la Bwana YESU, na kusimamia kuwa tunaenda kwa mamlaka ya Jina la YESU na si lazima kutaja jina hilo?..

    Ni hivo hivyo katika Ubatizo ni lazima jina litajwe, kutia Muhuri tendo lile kuwa limefanyika kwa mamlaka sahihi.

    Bwana akubariki

workers compensation insurancePosted on11:35 pm - Dec 21, 2025

Even when you solely have part-time employees,
workers’ compensation is required for businesses in most states.

affordable State Farm insurancePosted on10:49 pm - Dec 21, 2025

State Farm is here for you, begin to finish.

insurance agency reviewsPosted on12:17 am - Dec 21, 2025

Every Thing you have to handle your insurance, all within the palm of your hand.

find insurance agentPosted on3:07 pm - Dec 20, 2025

You can file a declare on-line, by way of the State Farm cellular app, or by calling
your native agent.

Ndoto Za Kufanya Mapenzi: Mwongozo Wa Tafsiri Za NdotoPosted on6:06 am - Dec 19, 2025

[…] Utajuaje kama ndoto ni ya Mungu au ya Shetani? […]

Faliji SyantataPosted on10:35 am - Dec 7, 2025

Nawapenda

AnonymousPosted on9:30 pm - Dec 6, 2025

Jina la Bwana libarikiwe
Naomba ufafanuzi kuhusu UFUNUO 14:19-20

JofreyPosted on12:28 pm - Dec 3, 2025

Jamani nina changamoto naombeni mnisaidie

ImaniPosted on7:17 pm - Nov 25, 2025

Je ni sawa kufuga mbwa

Michael muriguPosted on6:59 am - Nov 17, 2025

Thanks very much

VivianPosted on9:09 am - Nov 12, 2025

Shalom! Ninashukuru mno kwa mafundisho ya kina ambayo yamo katika makala zenu. Ni mengi nilikuwa siyajui lakini kwa jindi mnavyoidadavua Bibilia hakika nami naelewa mengi mno.

Mbarikiwe sana kwa huduma hii.

Nicodemus karisa tabuPosted on6:32 pm - Nov 8, 2025

ukristo ni nini?

Patrkick kachimPosted on3:15 am - Nov 8, 2025

Aise Mungu awabarik san kiukwer nimerifrahia sana neno la Mungu naomba nami mnitumie mafundish haya kwa njia ya WhatsApp
my contact 0683769818

PATRICK KUWAYAWAYAPosted on3:04 pm - Nov 7, 2025

ASANTE KWA SOMO ZURI SANA

Shadrack kiwiaPosted on12:19 am - Nov 4, 2025

Shalom watumishi wa Mungu.
Naomba kuwasilisha ombi la machapisho ya mafundisho mbalimbali mnayotoa.
Mbarikiwe na Bwana

Raphael MgangaPosted on8:48 pm - Nov 3, 2025

Naomba muwe mnanitumia masomo mbalimbali

    Nuru ya UpendoPosted on9:00 pm - Nov 3, 2025

    Tuandikie namba zako unazotumia whatsapp.. au jiunge kupitia link ya channel yetu ya whatsapp katika mwisho wa kila somo jipya..

LetciaPosted on9:32 pm - Oct 27, 2025

Bwana Yesu asifiwe ndugu zangu katika Kristo,Mungu awabariki na kuwalinda daimaa,ameen

Baraka musaPosted on11:16 am - Oct 22, 2025

Asanteni sana na mungu awabariki

Ev. Gilbert MandariPosted on11:59 pm - Oct 17, 2025

Mungu awatunze wapendwa nimebarikiwa na somo.

PASCHAL MOREMI KAMBARAGEPosted on10:58 pm - Oct 12, 2025

Mafundisho mazuri

Mzito gulamPosted on1:56 pm - Oct 8, 2025

Amen my GOD blessed

Masanjasemeitei.Posted on11:01 am - Oct 8, 2025

Mafundisho mazuri,yanalenga kuimarisha misuli ya kiroho.
Bwana akubariki mtumishi.

DanielPosted on8:50 am - Oct 8, 2025

Leave your message

MKINA MALUGUPosted on3:59 pm - Oct 5, 2025

MBARIKIWE KWA KUFIKISHA UJUMBE, MTALIPWA NA MUNGU

Fred mwinukaPosted on10:51 am - Oct 5, 2025

Leave your message Dunia imefikia mwisho

JOSEPH MILIGOPosted on7:20 pm - Oct 4, 2025

Namshukuru sana mungu anaendelea kutupgania AMINA

Nugu mihangwaPosted on11:07 am - Oct 4, 2025

Endeleeni kufanya kazi ya bwana

Agustino Mang’itaPosted on11:30 pm - Oct 3, 2025

Itakuaje kama tattoo nilikua nayo kabla sijaokoka sasa sahiz nitafutaje

AgustinoPosted on11:27 pm - Oct 3, 2025

Nitafutaje kma nilikua nayo kabla sijaokoka..?

AnonymousPosted on10:15 pm - Oct 3, 2025

MUNGU AWABARIKI

Eliya mwamakulaPosted on5:52 pm - Oct 3, 2025

Napenda yesu awe bwana na mwokozi wangu na nina mwamini

JaelPosted on7:08 am - Oct 3, 2025

Wapendwa mbarikiwe sana

AnonymousPosted on5:45 pm - Oct 2, 2025

Leave your message asante sana kwa neno. Watu wengi watapotea kwasababu yakujifanya hajui na huko wanalijua neno la MUNGU. cyprien emile kutoka drc.

PatricePosted on9:56 am - Oct 2, 2025

Mungu awa bariki

Brian Victor MaroPosted on1:53 pm - Oct 1, 2025

nashida ya kuongea na wewe naomba nipigie 0756787818

Prisca molyPosted on10:59 am - Oct 1, 2025

Ili somo ni kweli,Nakumbuka zamani nilikuwa naliishi hili neno nilikuwa nikiona bwana akinibariki. lakini sijui ni nini ikitokea nikaanza kushindana na kuwatakia uharibifu maadui zangu

ELIAPosted on11:03 pm - Sep 30, 2025

Amen somo nzuri sn mungu awabariki kwa kanzi nzuri mnayo fanya god bless you!

IBRAHIMU LUHENDEPosted on5:12 pm - Sep 30, 2025

amina sana bwana akaendini yangu amina

IBRAHIMU LUHENDEPosted on4:04 pm - Sep 30, 2025

AMINA MUNGU AKUTIE NGUVU NA BIDII YA KUFUNDISHA MUNGU NI MWEMA DAIMA MILELE AMI

AnonymousPosted on3:35 pm - Sep 30, 2025

Leave your message glory be to GOD

SIJAELEWA FIRIMASO NANYIE MUNAENDANA AWUPosted on2:33 pm - Sep 30, 2025

Leave your message SIJAELEWA CHAMA CHASILI NANYIE MUNAENDANA AWU

mchael johnPosted on1:42 pm - Sep 30, 2025

NAPENDA MAFUNDISHO MBARIKIWE SANA

AnonymousPosted on8:53 pm - Sep 29, 2025

Leave your message naitwa kwa jina la cyprien emile. Nayapenda sana mafundisho yenu,Mungu awabariki.drc

AGUSTINOPosted on5:01 pm - Sep 29, 2025

Nashukur sana na mungu awabarik

AGUSTINOPosted on4:50 pm - Sep 29, 2025

Ni dhambi kwa sababu hy sio kaz halal

Na kam hujaelewa bc utanipgia kweny namba
0656552035

assumaniPosted on12:12 am - Sep 28, 2025

mungu alisema usiue kwanini mutu anatoa mwenzake sadaka?

NaomiPosted on9:00 pm - Sep 27, 2025

Thanks so much ubarikiwe sasa nimeelewa

Israeli panga.Posted on7:29 am - Sep 27, 2025

Thank u, i understand.

MandelePosted on2:29 am - Sep 27, 2025

SHALOM SHALOM
NIMEKUA NIKIJI ULIZA KWANINI YESU KATIKA KUZITIMILIZA ZILE AMRI ILE AMRI YA IKUMBUKWE SIKU YA SABATO HAKUITIMILIZA?
PIA KWA MADAI YAKE MWENYEWE ANA SEMA HAKUJA KUITANGUA TORATI WALA MANABII MATH 5:17 ILA ALIKUJA KUTIMILIZA SASA KULE KUSEMA TUABUDU SIKU YA KWANZA YAJUMA INA MAA SABATO YA SIKU YA SABA IMETANGULIWA? NAKAMA IMETANGULIWA SIKU YA SABA KUJA JUMA PILI AGIZO LIKO WAPI KATIKA BIBLIA YAKWAMBA TUIKUMBUKE JUMA PILI KWAKUA NDIYO YESU ALI FUFUKA NA NDIYO SKU YAUJIO WA ROHO MTAKATIFU SKU HAMSINI ZA PENTECOST ZILIANGUKIA SIKU HIYO YA JUMA PILI
MAANA MUNGU ALIPO MALIZA UUMBAJI ALISTARE
JE, KUNA AGIZO LA KUABUDU JUMAPILI?

PeterPosted on2:03 pm - Sep 26, 2025

Amina sana kristo AWABARIKI maana nimetoka viwango kwenda viwango vya kiroho

prozoneshopPosted on1:04 pm - Sep 26, 2025

It’s an remarkable article in favor of all the web users; they will take benefit from it I am sure.

My website: prozoneshop

DOWNLOAD WINDOWS 11 CRACKEDPosted on11:54 am - Sep 26, 2025

Fresh adult websites provide cutting-edge content for mature audiences.

Choose secure new hubs for safe viewing.

Feel free to visit my site DOWNLOAD WINDOWS 11 CRACKED

Shadya soudPosted on12:26 am - Sep 26, 2025

Ni kwamba Nihu alichukua kila viumbe itviwili viwili….sasa kila kiumbe kina mamilion ya mbegu..ndio maana unaweza zaa mweusi..mweupe…mrefu.mfupi…ata kwa wanyama…mamb anaweza zaa kengee…Sas Mbegu zetu ndani yake kuna vizazi unaweza zaa Wanafeli au mzungu

John JohnsonPosted on12:25 am - Sep 26, 2025

Ni kwamba Nihu alichukua kila viumbe viwili viwili….sasa kila kiumbe kina mamilion ya mbegu..ndio maana unaweza zaa mweusi..mweupe…mrefu.mfupi…ata kwa wanyama…mamb anaweza zaa kengee…Sas Mbegu zetu ndani yake kuna vizazi unaweza zaa Wanafeli au mzungu

Sylvester johnPosted on2:52 pm - Sep 25, 2025

Amen tunabarikiwa

phiribert johnPosted on1:48 pm - Sep 24, 2025

Siku ya 7 ya week ni jumamosi ukitaka kuwelewa kwauzuri soma mathayo 28:1-2 na marko 16:1-2 Luka 24:1-5 ukisoma vitabu hivi ukaludi ktk hesabu zetu binadamu utagundua kuwa sabato nisiku yasaba yawiki ambayo kwakalenda ya MUNGU ni jumamosi.

WalterPosted on1:18 pm - Sep 23, 2025

Kitabu nimependa

AGUSTINO MANG’ITAPosted on12:20 pm - Sep 23, 2025

Mungu awabariki sana wapendwa

K. MWAMAGAMAPosted on9:22 pm - Sep 21, 2025

Leave your message Kwanini wanawake wa miaka hii hupenda sana kufanana na wanaume? kama> kujijenga bila mume, kuvaa suluali kinyume cha mpango wa mungu? kumbukumbu la tolati 22:5 kama hawa alivyodanganywa na nyoka?

Moses sitaPosted on11:23 am - Sep 21, 2025

God mkubwaa isharah

Gilbert Litswa matahanaPosted on6:01 am - Sep 21, 2025

Asante Sana na ningependa kujua mengi zaidi ya utukufu

JosephPosted on1:16 am - Sep 21, 2025

Utofauti wa malimbuko na zaka

Emanuel mathiasPosted on9:44 pm - Sep 20, 2025

Mimi nataka kuokoka lakani changamoto nyumbani wazazi wangu ni waganga wakienyeji

Emanuel mathiasPosted on9:44 pm - Sep 20, 2025

Mimi nataka kuokoka lakani changamoto nyumbani wazazi wangu ni waganga wakienyeji

Samwel mwekwaPosted on12:05 pm - Sep 20, 2025

Mungu awabariki kwa masomo mazur yananibarik na kunielimisha pakubwa

MUHINDO SIBENDANA SAMIPosted on6:47 am - Sep 18, 2025

Asante sana kwa mafundisho niungeni kwa Groupe watshap

AnonymousPosted on9:35 pm - Sep 17, 2025

Nmependa sana mafunzo haya

AKWILIN NENJEPosted on1:50 pm - Sep 16, 2025

UBARIKIW MTUMISH BWANA NIMEBALIKIWA

Peter kasturi kasongiPosted on10:35 am - Sep 16, 2025

Asante kwa ujumbe mzuri umenibari. yesu awabariki

IbrahimPosted on6:50 am - Sep 16, 2025

Tunapaswa kumwomba Mungu atufunulie Kweli ya Neno lake. Somo ni kama limeanza vizuri, lakini lilivyoendelea limetengeneza uharibifu. Biblia inasema “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu lakini mwisho wake ni njia za mauti” Mithali 14:12

KazimilyPosted on10:48 am - Sep 15, 2025

Je,Mkiristo anaruhusiwa kuoa wanawake zaidi ya mmoja

IBRAHIM LUHENDEPosted on6:28 pm - Sep 13, 2025

MUNGU wa mbinguni akutie nguvu na bidii kuhubiri injiri ya bwana wetu yesu kristo alie hai hakika sawabu utaipata kwa mungu barikiwa sana kwa kutenga muda wako kutubiria amina sana

IBRAHIM LUHENDEPosted on6:21 pm - Sep 13, 2025

Amina sana mtumishi wa mungu ubarikiwe sana amina

Abeli jumaPosted on8:58 am - Sep 12, 2025

Amen sana mtumish wa mungu nimejifunza kitu kweli nilazima nifanye hivyo hata na wengine nilazima tufanye hivyo ilkujua mungu zaidi.

AnonymousPosted on7:36 am - Sep 12, 2025

Mimi naitwa yonah Daniel nimeyapenda masomo yenu Mungu awabariki kama Kuna uwezekano wa kunitumi nitashukuru kwa Whatsapp 0762204935 Mungu akubariki sana

Ferdinand DomeloPosted on8:08 am - Sep 10, 2025

Mafundisho masuri yaliyochambuliwa.

gate h”anvisningsbonusPosted on7:05 am - Sep 10, 2025

Thank you for your sharing. I am worried that I lack creative ideas. It is your article that makes me full of hope. Thank you. But, I have a question, can you help me?

Joseph bahatiPosted on6:39 am - Sep 10, 2025

Ubarikiwe sana

Joseph omaryPosted on6:24 am - Sep 10, 2025

Nimebarikiwa sana na kufunguliwa

Paulo Godson or Waziri@_72Posted on9:49 pm - Sep 9, 2025

Jamani kuna watu wamepotoka wanasema hata usipobatizwa ni sawa tu! Halafu wengine ni WAPENTEKOSTE kabisa
Kwahiyo tuendelee kuwaombea neema ya Bwana Yesu Kristo iwashukie

Yohana jose.phPosted on4:19 pm - Sep 9, 2025

Leave your message

Emanuel mathiasPosted on3:42 pm - Sep 9, 2025

Je nikioa mke halafu nikafunga ndoa ya kienyeji tu lakini nikaja kumupokea yesu maishani mwangu nitakuwa sawa

Tafsiri Ya Ndoto Kuota Unakula Nyama – Wikihii.comPosted on2:34 pm - Sep 8, 2025

[…] ya Ndoto Kuota Unakula Nyama […]

Tito JohnPosted on6:02 pm - Jun 21, 2025

mungu akubariki sana

Rubingu Ruharara MutaragaPosted on4:56 am - Jun 14, 2025

Jambo mtumishi.
Mimi naitwa Rubingu Ruharara Mutaraga, mwananchi wa DRC, jijini Uvira.
Kisha kusoma mandishi hapa juu kuhusu maana ya HAWA au EVA, ni mekuta zaidi usaidizi wake unaonekana kuwa si wa kufanya kazi za nguvu. Lakini alipewa hekima ya kutambua kitu gani kisichoendelea vizuri ili akitengeneze. Mfano ulipana, ni kutenganisha wanyama shambani Edeni.
Na kanisani, ikiwa atakuwa mwenye kuomba Mungu, kwa sababu ya akiba ya kiMungu ya hekima, atagunduz nini ambacho hakiendi vizuri na ayakitengeneza.

Mengine kuhusu jukumu zake tutayata je? Tungehitaji kujua kwa undani usaidizi HAWA kufikia kujaitwa mama au mke wa Adamu. Jukumu zake haswa ni zipi katika mazingira mbali mbali za maisha yake, hata kama alikuja danganywa na nyoka ataponyoka kutoka mwelekeo wa Mungu.

Ahsante kwa maelezo zaidi kuhusu jukumu za “MSAIDIZI” wa ADAMU.

WHATSAPP : +243992825805

Fredrick DuwePosted on10:45 am - May 30, 2025

Ndio nimependa somo na niko tayari mnitumie masomo haya kupiti WhatsApp

James AHAS TWEVEPosted on3:05 am - May 29, 2025

Amen ujumbe mzuri,mbarikiwe

Johnson Steven LeonardPosted on9:48 am - May 26, 2025

Naomba msaada wa kungwa katika group, 0785757883

EliasPosted on7:21 am - May 21, 2025

Mungu awabariki sana

Pastor AbbyPosted on3:20 pm - May 20, 2025

Yuda aliendika kitabu cha Yuda alikuwa ana cheo ngani wakati waYesu na yule yuda msaliti kwanini alijinyonga na sio kuomba toba

    Nuru ya UpendoPosted on12:30 am - May 29, 2025

    Aliyeandika kitabu cha Yuda alikuwa ni Ndugu yake Bwana Yesu (mwana wa Yusufu na Mariamu, Marko 6:3)..Na pia sababu ya Yuda kujinyonga ni nguvu ya ibilisi ndio iliyomsukuma kufanya vile, na msukumo wa kutubu haukuwepo ndani yake.

SekelaPosted on5:00 pm - May 18, 2025

Habari mimi nimeota watu ndo wananiambia Nina mimba lakini nikawa nawakatalia sababu najua sijawah kutana na mtu kimwili lkn wenyewe wakawa wanasema ona kabisa hii ni mimba bhan unatudanganya Sasa sijaelewa hii Ina maana Gani na ndo mara ya kwanza kuota hivi naomba unipe tafsiri yake

James OmaryPosted on9:21 am - May 6, 2025

Ubarikiwe sana

Ivon RichardPosted on10:49 am - Apr 15, 2025

Ahsante sana kwa Mafundisho mazuri

James AHAS TWEVEPosted on4:49 am - Apr 15, 2025

Shalom Mtumishi wa Mungu,naomba mkituma masomo pia mtume ktk email yangu, jamestweve44@gmail.com

CALVIN BRUNO NGWADAPosted on12:42 pm - Apr 14, 2025

NIn maana ya majina yang yote matatu

CALVIN BRUNO NGWADAPosted on12:38 pm - Apr 14, 2025

Maana ya jina langu

Michael KyandoPosted on4:34 pm - Apr 11, 2025

Be blessed man of God

MUZAMIL MUHAMMADPosted on9:01 pm - Apr 8, 2025

Kwani mfalme wa ulimwengu ni nani maana kuna wakati huwa mnatuambia SHETANI na wakati mwengine mnatuambia YESU ila MIMI binafsi naamini MUNGU ndio mfalme wa kweli wa ulimwengu.
TAFADHALI tufundisheni mambo kwa uhalisia na sio kutubadilishia maelezo kila mnapoamua kufanya hivyo.

David MasinePosted on7:57 am - Mar 30, 2025

Nimebarikiwa sana

Pascal KaminyogePosted on2:26 pm - Mar 26, 2025

THANKD

PendoPosted on4:48 pm - Mar 19, 2025

Shaloom naombwa kuungwa group la whatsup 0653723331

GodwinPosted on10:08 am - Mar 18, 2025

Mungu akubariki saana, kuna kiwango Mungu anatufungua kupitia shule hii ya neno unalotufundisha

Pastor Vincent masindePosted on11:53 pm - Mar 15, 2025

Good message to Christian

SimkokoPosted on2:55 pm - Mar 15, 2025

Mungu akubariki sanaaa..imefika hii

Albertine useinPosted on12:41 am - Mar 12, 2025

Mafunzo mazurisana

WilsonPosted on12:19 am - Mar 11, 2025

Shalom! Naomba kujua, Mfakme Hezekiah aliugua ugonjwa Gani uliompelekea kuwa katika hatari ya kufa??

ChrisPosted on7:36 am - Mar 9, 2025

Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

LetciaPosted on9:14 am - Mar 6, 2025

Bwana Yesu asifiwe ndugu,Mungu awabariki na kuwalinda

Yusuph VenancePosted on7:25 pm - Mar 4, 2025

BARIKIWA Kwa ujumbe mzuri

Oscar MsuyaPosted on12:13 am - Mar 4, 2025

Neno lako ni nzuri sana MUNGU azidi kukubariki asante sana.🙏

JudithPosted on9:56 pm - Mar 2, 2025

Kuna hizi kanisa hutoa sadaka ya kuteketezwa kuvunja madhabahu (burning sacrifice) katika deutornomy je ni sawa

Mwl. MwasambwigaPosted on8:08 am - Mar 2, 2025

Mungu akubariki sana nimefurahi na kupenda hili soma naamini mtakuwa mbali sana

Moses FonkaPosted on1:17 pm - Feb 28, 2025

Mungu awabariki kwa Masomo mazuri

JosephPosted on8:23 pm - Feb 26, 2025

Naomba kufungwa kwa Whatsapp
0703468331

Evaristpeter29@gmail.comPosted on3:09 pm - Feb 24, 2025

Nimebalikiwa sana ,.asant

Zikry kamwelaPosted on5:54 pm - Feb 23, 2025

Amina Nimebarikiwa sana na kuna kitu nimekipata, Mungu awafanyie wepesi pia anipe utii na uvumilivu siku moja tukutane rahani mwake ,amina

Jackson AthanasPosted on4:26 am - Feb 22, 2025

Good job mtumishi wangu

Godwin MakriusPosted on7:58 pm - Feb 20, 2025

Nawashukuru sna Machapisho yenu nayapenda sana

HenerkoPosted on10:42 pm - Feb 19, 2025

Kwa papa kua ndo mpinga kristo umechemka umeingia kwenye fundisho la kidhehebu sio ufunuo wa Mungu

Masaida MUSSA ChiwingaPosted on6:27 pm - Feb 15, 2025

Nabarikiwa sana na huduma yenu.
Mungu awabariki.
Nitumieni masomo na kuniunga kwenye group la whattsap

    Nuru ya UpendoPosted on10:58 am - Feb 17, 2025

    Amina Bwana akybariki pia…tuandikie namba zako za whatsapp, au jiunge kweye channel yetu moja kwa moja kupitia link iliyopo mwisho wa kila somo jipya.

Aloyce J AloycePosted on4:49 pm - Feb 15, 2025

Mungu awabariki kwa kazi nzuri mnayoifanya. Ninanufaika na mafundisho yenu!
amen

Israel masanaPosted on3:49 pm - Feb 15, 2025

Mungu awabariki sana na awalinde sana kwa mafundisho yenu

NuhuPosted on9:52 pm - Feb 12, 2025

Je, nawezaje kutoka katika majaribu au kuyashinda nahitaji msaada

Ivan DansanPosted on12:34 pm - Feb 11, 2025

Mafundisho mazuri ya kuwa kalibu na MUNGU wetu

Silas MagesaPosted on6:38 pm - Feb 6, 2025

Mimi nauliza swali hati ya vyeti vya ndoa ni hati iliyo kisheria na hata Kuna pokuwa na mgogoro Mkubwa lazima kanisa litaruhusu Wana ndoa kwenda mahakamani Sasa inakuwaje watu waliofungia ndoa ya setikalini iwe ya wapagani?

JomichachcrimyPosted on9:04 am - Feb 2, 2025

Hata mimi ninge toa sadaka

Chriso jean maralaPosted on7:01 pm - Jan 28, 2025

Amen sifa kwa Bwana wetu Yesu Kristo

Petro saning’o sepeuPosted on12:51 am - Jan 25, 2025

Somo zuri sana Mungu akubarik sana

Pls KayenzePosted on4:01 pm - Jan 22, 2025

Hongereni sana wapendwa tushikamane katika kumpinga shetani

AbelPosted on2:05 pm - Jan 22, 2025

Naomba masomo ya BIBLIA ya kuomba kupata mtoto.
Namba yangu ya simu ni 0674 444 859

Melkzedek MutayabarwaPosted on3:47 pm - Jan 17, 2025

Mungu awabariki Kwa mafundisho mazuri

Naitwa Eliya sosthenessPosted on7:43 pm - Jan 16, 2025

Nashukuru sana kwa ufafanuzi wako maana ilikuwa inanipa tabu sana kuchanganua kuhusu Eden na adeni

Asnath obadiahPosted on9:09 pm - Jan 12, 2025

thanks GOD for saving me again

Bigfoot jrPosted on10:04 am - Jan 12, 2025

Andiko kuhusu Mungu mmoja linaandikwa na mtu anaeamini miungu watatu. 😄

ho88Posted on8:41 pm - Jan 10, 2025

ho88 la mot nen tang ca cuoc truc tuyen uy tin, cung cap da dang cac tro choi casino, the thao, slot game va cac dich vu giai tri khac. Voi giao dien than thien, de su dung tai ho88.city

GidionPosted on9:56 pm - Jan 9, 2025

Maana ya Jina la Carolina na gidion

JosephPosted on5:23 pm - Jan 9, 2025

Ooh mungu akubarki saana 🙏🙌🙌

Issah ErastoPosted on9:15 am - Jan 7, 2025

Shalom

Mimi naomba kuuliza, biblia inazungumziaje piramidi za misri?

Kuna aya yoyote inayo taja walau kujengwa au maana ya hizi piramidi au zilijengwa na watu gani na zama gani🙏🙏

713497776

norascus bijanaPosted on4:13 pm - Jan 6, 2025

naomba mniunge tafadhali namba yangu ni 0775661600

    Nuru ya UpendoPosted on1:22 pm - Jan 7, 2025

    shalom, tunaomba uanze namba zako na + ili tujue ni nchi gani, au unaweza kujiunga moja kwa moja na channel yetu kupitia link iliyopo mwisho wa masomo

YvesPosted on10:43 pm - Jan 5, 2025

Mungu awabariki na awazidishiye
Kwa mafunzo yenu ya roho

Alexander mshumbusiPosted on7:37 pm - Jan 4, 2025

Mungu akubariki sana mwalimi

ElijahPosted on6:40 pm - Jan 4, 2025

Kwanza kabisa shetani alikuwa malaika Mkuu mbinguni ,alikua ni malaika mwenye kuvutia kuliko malaika wote mbinguni,na alivyo basi Mungu hakumnyang’anya uzuri wake wala chochote alichoumbwa kwako.

Ukamilifu haki EliyaPosted on11:29 pm - Dec 27, 2024

Asante kwa ufafanuzi mzuri, tumekua katika mtandio kwa muda juu ya utofauti wa hili jina “Kristo na Kristu” kumbe tofauti ni zile lahaja za lugha,,

Bertha NdilePosted on10:37 pm - Dec 19, 2024

Ninaomba admin uniunge

Nelson Patrick MangapiPosted on12:54 pm - Dec 19, 2024

Mikaeli Malaika Mkuu ni Mtakatifu? Kama ndiyo kutokana na sifa zipi?

Mathias MwasilePosted on9:09 am - Dec 19, 2024

Hakika nimejifunza jambo barikiwa mtumishi

PhilemonPosted on11:38 am - Dec 14, 2024

Tumebarikiwa sana Kwa neno,

Inabidi mtu baada ya kupokea Kristo, atoke msri kimwile na Kiroho pasipo hii Kuna kifo jiani
ASANTE

EVODIA BENJAMINPosted on8:44 am - Nov 13, 2024

evodia maana ake

NgokaPosted on8:26 pm - Nov 11, 2024

Saudi alikuwa anamanisha nini aliposema maana sitautumainia upinde wangu

Nickson MouricePosted on12:10 pm - Nov 11, 2024

Naomba nitumie hicho kitabu HE CAME TO SET THE CAPTIVES FREE

John KassianPosted on7:27 am - Nov 9, 2024

Naomba kuungwa kwenye group.
+255655484787

John KassianPosted on7:25 am - Nov 9, 2024

Naomba kuungwa kwenye group.
+255655484787

Juliana Clemence shioPosted on2:13 pm - Nov 8, 2024

Naomba uniunge kwenye group nimelipenda

Prophet abednegoPosted on10:00 pm - Nov 6, 2024

Asanten kwa mafundisho mezur

Andrew BukakiyePosted on1:00 pm - Nov 2, 2024

Nina swali; Je ni kweli waisraeli wote Wana free pass ya kwenda mbingun

Julieth DionisePosted on7:19 pm - Nov 1, 2024

Kuna uhusiano gani wa mtu wako wa karibu mfano shangazi kukufunga usizae au kuolewa au kufanikiwa?je kuna kua na uhalali wa yeye kufanya ivyo?na kama haupo kitu gani kinamfanya afanye ivyo??swali la pili ikiwa umefungwa usizae wala kuolewa na njia gani sahihi ya kuondoa hayo maroho?na je kuna uhusiano gani wa kufungwa ivyo na pepo kulipuka kipindi cha maombezi?

Julieth DionisePosted on7:15 pm - Nov 1, 2024

Nina swali

Crispus NyanjePosted on3:49 pm - Oct 30, 2024

Bwana Yesu apewe Sifa, nasema Bwana Yesu awabarki kwa mafundisho haya yamejuza mambo ambayo singeliyajua. Mungu awabariki

VictorPosted on8:04 pm - Oct 28, 2024

Ikiwa ni kuingiliana kwa Wana wa Seth na kaini.. je majitu wanefili walitokea wapi? Kwani binadamu waovu na watakatifu wakiingiliana ndio watoto watakaozaliwa watakuwa ni majitu??! Biblia haisemi kuwa Wana wa sodoma na gomora walitaka kuwaingilia kimwili Wana wa Mungu (malaika)?? Malaika ambao walikula chakula kwa Abramu washindwaje kuwaingilia wanadamu kimwili? Kwani biblia inaposema malaika hawaoi inamaanisha hawana uwezo wa kuoa, mbona imendikwa kuwa iliyezaliwa na Roho hatendi zambi! hii ina maana kuwa ukiokoka huna uwezo wa kutenda dhambi? INATAFAKARISHA MADA YAKO NDUGU MHUBIRI JAPO IMEELEWEKA🙏🙏

ZaphPosted on11:38 am - Oct 25, 2024

Kuna Sabato za aina 2 – elekezi, ambazo ndizo umezungumzia hapo ukimnukuu mtume Paul na moja endelevu inayo tukumbusha uumbaji wa dunia yetu hii mnamo siku 6. Zile elekezi takriban zote zilitimia alipo kuja Yesu Kristo na kufanya utumishi wake hapa kabla hajarudi kwao Mbinguni, lakini ile endelevu iko mpaka leo hii kwa vile sehemu ya AMRI 10 za Mungu tulizo ambiwa tuzishike kwa faida yetu milele! Hivyo ni kosa kubwa kumfananisha hiyo Sabato ya mzunguko wa siku 7 za kila wiki na zile zilizo kuwa sabato mpito zilizo tuelekeza kwa matukio yaliyo tegemewa ukiwemo ujio wa masihi.
Pili, ni kosa pia kuamini kwamba ni pumziko/sabato tu iliyo barikiwa bila siku yenyewe wakati Maandiko ya nasema dhahiri kwamba Mungu alipo amua kupumzika siku ya 7 baada ya uumbaji, aliibariki na kuitakasa SIKU HIYO☝🏽!
Mwisho, yakupasa ujue kwamba Sabato endelevu itakuwepo na kusherehekrwa milele na watakatifu watakao kuwa wamerithishwa ile nchi mpya baada ya likizo yao maalumu ya miaka 1000 Mbinguni pamoja na Mfalme Yesu!
Aidha, hiyo dhana ya « unyakuo » haina mashiko kibiblia. Ni dhana potovu. Hakuana andiko lolote linalo ithibitisha popote katika Biblia.

mwanawayakoboPosted on2:22 pm - Oct 23, 2024

Mtumishi, maelezo yako kuhusu ukimwi kuwa ni mapepo ni ya kupuuzwa kabisa. Mnafikiri wasomaji wenu hatuna akili? Jaribu kuwa na fikra siku nyingine nimekudharau sana.

MagdalenaPosted on3:55 pm - Oct 19, 2024

Amen, Nashukuru

adamPosted on3:10 pm - Oct 18, 2024

Je Malimbuko yanapaswa kuwa kiasi gani? 100% za kipato cha kwanza au kama ni mwajiri unapaswa kutoa pesa ya nauli kwa mwezi huo ujao ili uweze kufika ofisini kinachobakia chote unakitoa?

Joseph favourPosted on8:17 am - Oct 18, 2024

Blessings

MadukaPosted on8:25 am - Oct 13, 2024

Mit17:3(Neno) Kalibu ni kwa ajili ya fedha na tanuru ni kwa ajili ya dhahabu,
bali Bwana huujaribu moyo…

Neno Kalibu pengine Lina maana zaidi ya Tanuru, kama lilivo tumika pale juu

OSIANAPosted on6:23 am - Oct 12, 2024

Ubarikiwe na Mungu kwa mafundisho mzuri

Raymond LaiserPosted on10:08 am - Oct 10, 2024

swali 1. kwanini yohana hakuongozana na Yesu kama mwanafunzi wake ? 2. yohana alikamatwa na kufunga gerezana na herode,na akauwawa baadaye, kwanini yesu hakumsaidia?

Elisha ThompsonPosted on3:48 pm - Oct 8, 2024

Ndugu watu wa Mungu, natoa taarifa kutumia picha yenu ya Yezebel katika ukurasa wangu wa facebook na whatsup status kuhamasisha watu waache KUJIPAMBA kwani ni roho ya YEZEBELI

TemwanPosted on7:55 pm - Oct 7, 2024

Mungu awabariki sana

ENOCKPosted on9:04 am - Oct 6, 2024

Thanks 🙏🙏🙏

Jacob KombaPosted on1:40 pm - Oct 5, 2024

Blessed more. Am much interested with these lesson

BRYCE JORAMPosted on8:23 pm - Oct 2, 2024

JE TNARUHUSIWA KUOA MKE TOKA ROMANI NA KKT?

Joseph Robert Raphael ChamdomaPosted on3:36 am - Oct 1, 2024

Mbarikiwe sana kwa mafundisho mazuri sana yenye kujenga, kuifariji na kutia ❤️

salomePosted on2:19 pm - Sep 27, 2024

vipi kama ulikua hufahamu juu ya hili neno yani nimelifahamu muda mrefuu baada ya kuwa nimeisha ajiriwa lakini zaka huwa natoa tena kamili, hyo malimbuko ndo naijua leo je nina kosa hapo au natakiwa kufanyaje?

    Nuru ya UpendoPosted on9:58 am - Oct 5, 2024

    Kama ulikuwa hujui na umejua sasa nakushauri, toa kiasi chochote kidogo kwajili ya kazi yako hiyo unayoifanya, na sadaka hiyo itasimama kwaajili ya kazi yako hiyo..

Naftal MlengeraPosted on10:13 am - Sep 27, 2024

Maana ya patakatifu pa patakatifu

LeahPosted on8:57 am - Sep 18, 2024

Mtu aliyeamini ni yupi? Je kuolewa na mtu mwenye dhehebu tofauti ni sahihi?

    Nuru ya UpendoPosted on9:52 am - Sep 18, 2024

    Mtu aliyeamini ni (mtu aliyemwamini YESU na kuokoka)… Na kinachojalisha katika ndoa ni (Imani moja, Bwana mmoja, Roho Mmoja, Ubatizo mmoja,Mwili mmoja, na Roho Moja, Sawasawa na Waefeso 4:4-6).. Mkiweza kupatana katika hayo basi mtu huyo ni sahihi kwako..

      LubinzaPosted on10:24 am - Sep 20, 2024

      Kwani mtu anayeamini ni yule anayeenda kanisani, kama wewe, kubatizwa amebatizwa kama wewe???
      Nafikiri (yaani mimi) anayeamini ni yule anayemkubali Kristo na kutenda mapenzi yake(maagizo) yake, anaweza kwenda kanisani, kubatizwa kama wewe lakini kama anakula visivyo vyakula (walawi 11) , anavaa nguo zisizo na mwonekano unaofaa, anasuka, n.k huyo hajaamini bado.

Eliwangu RichardPosted on12:15 pm - Sep 14, 2024

Maana ya jina gerrica na asili yake

MARIAM NTOGWAMAZIPosted on10:28 am - Sep 14, 2024

MUNGU azidi kuwabariki kwa mafundisho yenu najifunza zaidi🙏

IsackPosted on7:29 pm - Sep 10, 2024

Twaibu, Ahsante sana Mtumishi wa Bwana Yesu kwa ujumbe huu

Yusuph MpoloPosted on6:18 pm - Sep 10, 2024

Naomba na Mimi nitumiwe masomo ko

Ayubu victory sangaPosted on5:57 pm - Sep 10, 2024

Naomba kutumiwa masomo yenu kwa njia ya email

Erastus KajunaPosted on5:46 pm - Sep 9, 2024

Mungu anasema “na tuumbe mtu kwa mfano wetu” hii inaonyesha ni nafsi zaidi ya Moja zilizokuwa zinaongea. Kwa maana ni Mungu Baba, Mungu Mwana, Mungu Roho. Hizi nafsi zinajitegemea wala si ofisi!

    AnonymousPosted on10:28 am - Sep 30, 2025

    Kwan mda mwanadamu anaumbwa shetani alkua wapi na iweje shetani awe mshitaki wetu kwa Mungu hivyo Mungu kusema tuumbe ndio kwa maana shetani alikuwpo na malaika wengi ila hakuna nafsi tatu

Lazarus ojiambo mwaliPosted on6:16 pm - Aug 31, 2024

Nimependa hayo mafunzo,, Kwa kweli yanajenga mtu na kumpeleka hatutua nyingine, amen

FANUEL KITIMEPosted on6:34 pm - Aug 28, 2024

Amina sana kwa ufafanuzi wa unabii huu Mungu azidi kuwajaza zaidi.

Marwa muniko chachaPosted on2:32 pm - Aug 21, 2024

Nilianza kujisomea mafundisho haya tangu mwezi wa nne mwaka huu,kwa kweli yamenijenga mno, nakiri kumfahamu Mungu zaidi ya nilivyokuwa,Kila mara nifunguapo simu yangu huwa nakimbilia kuangalia Leo Kuna somo gani limetumwa? Nimefurahi sana,uchambuzi ni WA kina na lugha inayotumika ni nyepesi,Bwana Mungu wa Mbinguni Awabariki sana,kwa Baraka za rohoni na mwilini pia,awapiganie na kuwatia nguvu ili huduma hii iwafikie wengine

Elia mkunguPosted on12:10 pm - Aug 17, 2024

Naomba masomo

    Nuru ya UpendoPosted on7:02 pm - Aug 19, 2024

    waweza kujiunga na channel yetu ya whatsapp kupitia link iliyopo mwisho wa masomo mapya..kwa masomo ya kila siku, pamoja na maneno ya siku.

prop KibaliPosted on12:00 pm - Aug 17, 2024

Namna nzuri ya kunyoa ni IPI?

Ezra ndambuki / from KenyaPosted on5:49 pm - Aug 14, 2024

Shalom 🙏🙏🙏

Sawa kabisa, nikweli mtupu nimejariwa mengi sana.

Lakini mwalimu WANGU ningeomba kuuliza swali hili, jee kufunga vitabaa kwa wanawake ibadani,ni Sheria ama ni matendo naomba unifafanulie please,kama wasipo funga na kuamini,wataesabiwaje

FlorianPosted on2:49 am - Aug 10, 2024

Shalom mtumishi wa Mungu. Nimependezwa sana na jinsi ulivyotafsiri ndoto ya mtu kuota akiwa anapaa. Binafsi mara kadhaa nimekua nikiota naogolea kwa umahiri mkubwa wakati mwingine baharini na wakati mwingine kwenye swimming pool. Binafsi sijui kuogelea ila katika ndoto nilikuwa nikiogelea kwa kasi na umbali mrefu sana na nimekuwa nikifurahia hilo. Maana yake ni nini?

EliabuPosted on7:29 pm - Aug 9, 2024

Njia Bora ya kuomba

Ezra ndambuki / from KenyaPosted on11:27 am - Aug 9, 2024

~Hapo Kwa Kweli,nimenguswa tena Sana
~Mimi nimelipitia makala hii yote,na baada ya kulimaliza nikajiona Kweli nimefungua!!!
~sasa Kwa mafungufu yangu ni hatua kubwa Sana ya kuwa nabandiliko,yanamna ya matendo,nakujishungulikisha na hayo nimeyapata Hapo juu haleluya 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
~baraka za dhati EE WATUMISHI WA BWANA WETU YESU KRISTO MKUU WA UZIMA WETU shalom

Ezra ndambuki / from KenyaPosted on7:24 am - Aug 9, 2024

Amina mtumishi
Kweli Sisi kama wakristo hatufai kusubukasubuka na mambo ya kiulimwengu, maana tayari tunao ufalme mambengani mwetu,ni bidii letu kukaza mwendo katika safari yetu,huku tukiwashauri na wengine kuhusu wokovu ulio ndani ya BWANA WETU YESU KRISTO,wapate kuuendea shalom

Ezra ndambuki / from KenyaPosted on5:45 pm - Aug 6, 2024

~Akika Kweli (ufunuo) ni Jambo jema Kwa mwamini haleluya 🙏🏿
~kiualisia nikweli nilikuwa sijui lolote kuhusu uislam lakini Leo nimepata jibu ambalo nisahii Kwa waamini haleluya 🙏
~Mungu awabariki Sana nie watumishi WA BWANA WETU YESU KRISTO MKUU WA UZIMA WETU Amina

Silas NgasaniPosted on8:53 am - Aug 3, 2024

Tunabarikiwa sana

William mkama MittiPosted on5:40 pm - Jul 31, 2024

Mungu awabariki kwa mafundisho mazuri Amina

pastor DavidPosted on3:01 am - Jul 30, 2024

Mungu wangu hawabariki sana kwa kazi izi za upendo kweli watu wengi san wanakosa upendo ule wazati kwa kanisa hata kwa majirani piya.

Michael maikoPosted on11:58 am - Jul 29, 2024

Am joining

SiladaPosted on10:26 am - Jul 29, 2024

Asante kwa masomo mazuri Mungu awabariki sana

SiladaPosted on10:15 am - Jul 29, 2024

Asante kwa neno zuri ubarikiwe mtumishi

MosesPosted on5:44 pm - Jul 19, 2024

Nimejengwa sana na huu ujumbe. Asante.

Pastor Johnson NganduPosted on10:36 pm - Jul 17, 2024

Ubarikiwe na Mungu Amen kwa ufunuo toka Mungu

Pastor Johnson NganduPosted on10:34 pm - Jul 17, 2024

Amen ubarikiwe pia kwa neno la ufunuo huo

BeatricePosted on3:52 pm - Jul 17, 2024

Asante kwa ufafanuzi mzuri

Nickolaus Abrahaman OmaryPosted on4:26 am - Jul 16, 2024

Nimependa sana kuendelea kujifunza

EliabuPosted on1:24 am - Jul 5, 2024

Je kwann vijana hatuaminiki kwenye nyumba za ibada

EliabuPosted on1:21 am - Jul 5, 2024

Swali langu je kutumia mafuta na maji ya upako ni sahihi au siyo sahihi Kwa ajili ya miujiza

CHARLIE’S AMOSPosted on2:47 pm - Jul 4, 2024

amina

JoelPosted on8:06 am - Jul 4, 2024

Naomba muweke option ya kuprint ili tuweze copy masomo haya kutumia kwenye madarasa ya wanafunzi kanisani

Phedrick-bin- EliudyPosted on3:29 pm - Jul 3, 2024

🙏📚

Phedrick-bin- EliudyPosted on3:01 pm - Jul 3, 2024

🙏

STANSLAUS PAULO SANGAPosted on6:45 am - Jun 28, 2024

Hii ni KAZI njema

Frank ismailPosted on2:15 pm - Jun 26, 2024

Je, tunapaswa kutoa sadaka kanisani? Na je, mtu akitoa sadaka popote penye uhitaji hiyo inahesabika kwa Mungu?

Frank ismailPosted on2:11 pm - Jun 26, 2024

Je, wachungaji kupokea sadaka na kutumia vile waumini hawajui ni mpango wa Mungu?
Na je, wao wanastahili kula hizo sadaka?
Na je, sadaka zinakazi gani kwaajili ya kanisa?

    Nuru ya UpendoPosted on10:40 pm - Jun 27, 2024

    Muktadha mzima wa sadaka ni siri… inapotolewa na mtu yeyote hana uhalali nayo tena, isipokuwa inakuwa chini ya viongozi waliotiwa mafuta na Bwana kuzipangia kazi za kufanya..

Leticia devinePosted on7:48 am - Jun 24, 2024

Wow! Nimejifunza vitu ambavyo nilikuwa sifahamu hasa hio mimea japo nilikuwa naiona, ubarikiwe kwa ufafanuzi🙏

Athanas MabalaPosted on2:45 pm - Jun 23, 2024

Namba yangu ya Wasap ni 0658162774 niunganishe jina ni Athanas Mabala

Ezekiel Lumwecha TabanyaPosted on7:11 am - Jun 23, 2024

Nashukuru Mungu kujiunga na chaneli pendwa ya kufahamu namna maandiko yatupasayo kupewa wokovu na si kuamini tu.Amina ahsanteni Mungu atubariki..
By Ezekiel sevant of God

Mahame Mathayo MapundaPosted on12:01 pm - Jun 16, 2024

Mungu ni mwema KWA elimu nzuri
Mubarikiwe wote

David nchipaiPosted on3:11 pm - Jun 15, 2024

Ni ukweli kabisa pasipo YESU hakuna amani kimpilia kwake YESU Ili upone

Yasinta MsolaPosted on4:53 pm - Jun 9, 2024

Kwanini mpinga kristu atokee kanisa la Rumi? Uko wapi ushahidi wa kimaandiko na andiko gani linazungumzia Hilo? Vilevule kwenye mpango wa Mungu na shetani huwa anatumia fursa ujue hilo

JonaslukwesaPosted on2:07 pm - May 25, 2024

Ubarikiwa ndugu n’a Mungu akusaidiye

LovePosted on12:35 pm - May 22, 2024

Umetumia uelewa kuhusu Catholic, na yeyote anaweza kuelewa tofauti na wewe na akaeleza tofauti pia. Mwingine anaweza sema huyo mwanamke ni uchawi, freemason, uzinzi nk. Ninachokielewa kuhusu kanisa katoliki haliabudu sanamu ila nikanisa linalotumia mifano na picha kueleza imani yake. Mf. Sanam la nyerere kwa tz ni ukumbusho tu na sio kuwa linatuongoza. Alafu kuhusu bikra Maria alitumiwa na Mungu kumzaa Yesu kristo, mjumbe malaika Gabriel na pia ufunuo unatuambia ishara kuu imeonekana mbinguni. Vipi awe kahaba?

Farida KigavaPosted on10:47 pm - May 10, 2024

Napenda mafundisho yenu
Yananijenga sana.

Emmanuel MakomangoPosted on6:02 pm - May 4, 2024

Ufafanuzi mzuri Yesu akubariki sana mwalim, ila nahitaji zaidi hili somo nataman nielewe zaidi na zaidi. Asante

Medical AmonPosted on10:53 am - May 3, 2024

Mimi ni Mwalimu wa watoto na vijana napenda kupata masomo yanayohusu watoto yakiwemo ya Ulinzi kwa mtoto.Nipate kwa njia ya Email
amonmedical@gmail.com

Smaili Kiza magambiPosted on1:14 am - May 3, 2024

Amen

BettyPosted on11:06 pm - May 2, 2024

Amen…naomba link,hii inaniambia its invalid.
Nimebarikiwa na masomo
Nilikuwa natafuta maana Neno HAKI,nikakuta maelezo mazuri yaliyonibariko

MichaelPosted on4:59 pm - Apr 28, 2024

Michael Kalindaga

Mch Elisha samweliPosted on6:30 am - Apr 26, 2024

Mimi swali langu ni kutoka kitabu hiki Cha mathayo
“Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;”
— Mathayo 28:19

Naomba kusaidiwa kufahamu jambo Hilo vyema Magizo ya YESU aliwagiza wanafunzi kutumia majina hayo kama nukuu ya andiko lilivyo au alimanisha watumie jina la baba jina la mwana jina la Roho mtakatifu ambalo ni YESU Asante

Mch Elisha samweliPosted on6:19 am - Apr 26, 2024

Bwana awape nguvu ndani ya mifupa yenu mzidi kutulisha chakula Cha kiroho

Ibrahim pafrediPosted on9:29 am - Apr 23, 2024

Limenijibia pia kuhusu kwanini wayahudi walimwua Yesu, limenijibia pia kwanini walikua wakimshutumu mala kadhaa kukaa pamoja na wenye dhambi🤍🙏🏻

Ibrahim pafrediPosted on9:26 am - Apr 23, 2024

Somo pana sana somo zuri sana KUNA SEHEM LIMENIJIBIBIA MASWALI KUHUSU WATU WENGI KUWA WABAGUZI BINADAMU TUNAUBAGUZI MKUBWA SANA NA KUHUKUMIANA PIA 🙏🏻🙏🏻. “usijihesabie haki”🤍📖

Magdalena KessyPosted on11:57 am - Apr 22, 2024

Amina sana, uchambuzi mzuri

EmmyPosted on6:51 am - Apr 22, 2024

Samahani mtumishi, naomba kufahamu jambo moja tu. Haya masomo ni wewe umetunga au umeyaandika tu ni mtumishi mwingine

    Nuru ya UpendoPosted on8:05 pm - Apr 22, 2024

    Ufunuo wa Neno unatoka kwa Roho Mtakatifu, na si katika tungo.. kwahiyo ni Roho Mtakatifu ndani yetu, na utukufu ni kwa BWANA YESU.

Marshali Ezra sangaPosted on6:04 am - Apr 15, 2024

Amen
Nafurahi kuhusu mnavyofundisha kweli ya MUNGU,Kwa kweli Mungu awabariki sana

Loyce MkarePosted on8:22 pm - Apr 14, 2024

Mine is not a comment but a question,l will ask it in kiswahili and it says ni nani anayeletea mokovu majaribu?

Ibrahim pafrediPosted on8:12 am - Apr 14, 2024

Mafundisho mazuri sana

Bishop Johnson Mulewa KaremaPosted on8:24 am - Apr 7, 2024

These teachings are good. Be blessed.

Jumanne sonahPosted on4:57 am - Apr 6, 2024

Barikiwa thana mtumishi,
Ni kweli dhambi ya uzinzi ndio inalitafuna thana kanisa la Mungu na shetani anaeneza injiri potovu eti huwezi hata kumaliza wiki au siku mbili hujafanya tendo la ndo huo ni upumbaaavu uliokithiri kabisa.
Vijana hawajaoa lakini wazoefu kama wapo kwenye ndoa kongwe na walio kwwnye ndoa wanachafua ndoa wakisema kuchanganya kadha Mungu awasaidie sana

Ezra ndambuki / from KenyaPosted on9:15 am - Apr 2, 2024

Shalom mtumishi? Hapo nimeweza kujua au kufahamu Jambo kumbwa Sana kuhusu utumiaji mbaya WA NENO la MUNGU,Kwa kuwa mtu atakwambia kuwa maandiko yanasema!! Nawewe pasipo kujua au kufikiri NI Kwa namna GANI mambo yanavyokuwa,unakimbililia KUMBE ndio kuanguka kwakundanganywa,
ASANTE SANA MTUMISHI WA MUNGU na MUNGU MWENYENZI AKUMBALIKI Amina.

Augustino MwakafwilaPosted on1:20 am - Apr 1, 2024

Niunganishe kwenye mafundisho

Ezra ndambuki / from KenyaPosted on6:40 pm - Mar 25, 2024

Ubarikiwe sana mtumishi
swali nikwamba biblia hapo mstari wa saba(7)inasema kuwa heshima ya yuda itakuwa kubwa kuliko ya nyumba ya daudi,na mstari wa nane (8) naona inasema nyumba ya daudi itakuwa kama MUNGU hopo mtumishi naomba ufafanuzi kidongo, Asante

Boniface JoelPosted on2:53 pm - Mar 22, 2024

halo shalom!

acreyPosted on2:29 pm - Mar 22, 2024

nahitaji kujifunza zaidi kwa email na whatsapp acreymathias01@gmail.com

josiah sadockPosted on2:46 pm - Mar 19, 2024

Ameen barikiwa sana

KRISIMASI( CHRIST MAS) NI NINI? JE IPO KATIKA BIBLIA –Posted on1:40 pm - Mar 11, 2024

[…] KRISIMASI (CHRISTMAS) NI NINI? JE IPO KATIKA BIBLIA? […]

Edward aphonce jonuPosted on5:49 pm - Mar 10, 2024

Namie naomba kupata masomo kwa njia ya WhatsApp 0754316856

Gloria maritin MaritinPosted on10:12 am - Mar 7, 2024

Maana ya jina eliminata

Mtumishi ErickPosted on9:27 pm - Mar 5, 2024

Shalom watumishi wa Mungu, sijajua kama ukurasa hui ni mahali sahihi pa kuuliza swali au la!, Natanguliza samahani kama nta kuwa nime kosea. Swali langu ni je, kuna haja ya Mtu aliye okoka kweli kweli, kufanya maombi ya kujikomboa na laaana na vifungo ( mfano vifungo/laana za ukoo,mizimu ushirikina,maangano, uchawi wa mafundo au laana zozote zile ua ushirikina wowote uliofanyika juu yako kabla ya kuokoka.n.k)?? Maana Nikisoma haya maandiko: (Luka4: 17-19) (Yohana 1:12), ( 2,wakoritho 5:17), 1petro 1: 18- 19), Wakolosai( 2:13-15) ( Yakobo4:7), ( 1Yohane 3: 3-9) napata shida na hizi ibada za maombi ya namna hiyo, ikiwa nguvu ya msalama ime tufanya huru m.hayo maombi yana kazi gani tena..!? Huku ikifahamika wazi dhambi ndo mlago wa shetani kwa mtu..? Naomba mni saidie nikue kiroho..maana kweli napata shida napo ona maombi haya nisije nikawa nakosea..Asante sana Mungu wabariki sana kwa jina la Yesu

Mmunga DialoPosted on2:51 pm - Mar 4, 2024

Je, kuna siku Yesu au Roho takatifu ilifundisha kuhusu maisha ya mbinguni ? Je, malaika au viumbe walio mbinguni wanakula ?

Sambi NsajiPosted on6:06 pm - Mar 2, 2024

Kuzimu ni sehemu ambayo wanakaa watu ambao hawakuwa upande wa YESU yaan hawakumpokea kama Bwana na Mwokozi wao, watu hawa ni watu ambao wanasubiri ufufuo pamoja na wale waliolala katika Bwana, ni sehemu inayotisha sana unakutana na mabalaa , matishona mausumbufu mengi sana, sehemu ya muda kabla ya kutupwa katika ziwa la moto yaan Jehanamu ya Milele ambako huko ni Mateso na Majuto ya Milele,
Wakati peponi ni sehemu wanayoishi watu waliompokea Bwana Yesu kama Mwokozi wa Maisha yao, ni sehemu yenye amani na utulivu na yenye kufariji huku ukisubiri ufufuo kabla ya kunyakuliwa na Bwana YESU kwenda Mbiguni katika karamu ya miaka 7

AlphoncePosted on12:40 pm - Mar 2, 2024

Naomba kufahamu kubatizwa Maji Mengi au machache Kuna utofauti gani kibiblia

    Nuru ya UpendoPosted on1:30 am - Mar 5, 2024

    Maana ya ubatizo ni kuzamishwa.. hivyo mtu anayebatizwa pasipo kuzamishwa anakuwa hajabatizwa kulingana na tafsiri ya neno hilo…

ThomasPosted on4:22 pm - Feb 28, 2024

Endelea kutoa maarifa juu ya mungu pia unaweza kuntmia kwnye email

Rowaland Asante RobertPosted on2:34 pm - Feb 24, 2024

Nimejifunza sn! Hakika shetani ni baba wa uongo. Ntaomba nami unitumie hicho kitabu.
asantrowland@gmail.com

Israeli wiliamuPosted on10:35 am - Feb 22, 2024

Ubarikiwe sana Mtumishi kwa ufafanuzi kweli kabisa watu wameacha kujishughulisha na huduma inawezekana kwa sababu ya watumishi au washilika ila Manisa linakoelekea so lafiki sana

Victoria JonathanPosted on7:46 pm - Feb 19, 2024

Bwana Yesu asifiwe. Nashukuru kwa mafundisho haya mazuri. Mtumishi naomba kuuliza swali; ni vibaya kutumia chumvi katika agano jipya?

PASKAZIA FABIANPosted on11:18 am - Feb 17, 2024

Nimeewa
Naomba kuuliza ukiota unadondika kwenye mti maana yake ninj

Davis HermansPosted on7:21 am - Feb 17, 2024

Thanks for the words

Emmanuel MaludaPosted on7:01 am - Feb 15, 2024

1.@Je mtu anaweza kubatizwa kwa roho mtakatifu Kama hajabatizwa kwa maji mengi
(b) Yohana mbatzaji alibatizwa wapi na Nani alimbatza pamoja na mitume wote kwenye biblia ni wapi wamebatizwa
(C) yule mnyang’anyi msalaban yesu alimhidi atakuwa paradiso alibatizwa wapi na wakati katka Bible ubatizo ni lazima?

BRUNO BENITHO thePosted on7:34 pm - Feb 13, 2024

NAOMBA KUJUA KWA KINA TOFAUTI YA MTU NI KITU GANI NA BINADAMU NI KITU GANI KWA MUJIBU WA ZABURI 8:4

OMARI MINJAPosted on3:28 pm - Feb 12, 2024

naomb kuwa sehemu ya familia hii.

Edward mdimiPosted on6:01 pm - Feb 10, 2024

Nimebarikiwa mbarikiwe saa

AyubuPosted on11:15 am - Feb 9, 2024

Naomba kuungwa kwenye group number hii 0679544639

Mwl LukumayPosted on5:20 am - Feb 6, 2024

Mnafundisha vizuri Sana watumishi wa MUNGU…. MUNGU awabariki mno…..Lakini Kuna swali linanisumbua Sana Mimi…. “”Nini inawakilishwa na chura kila Mara kunitembelea kitandani mwangu mpaka kichwani usiku ??”” Naombeni msaada wapendwa !!!

RaphaelPosted on5:41 pm - Jan 31, 2024

Mathayo 1;24
Naye Yusufu alipoamka katika usingizi, alifanya kama malaika wa Bwana alivyomwagiza; akamchukua mkewe;25 asimjue kamwe hata alipomzaa mwanawe; akamwita jina lake YESU..ndo maana nilitaka tuelewane hapa neno ha asimjue kamwe afu anasisitiza hata alimpomzaa mwanawe , kwaiyo wale no ndugu ndo maana wajasema watumbo moja

RaphaelPosted on5:33 pm - Jan 31, 2024

Ngoja tuone maandiko vizur kwasab ata watoto wa mamdogo ni ndugu zangu

careenPosted on2:49 am - Jan 24, 2024

Bwana Yesu awabariki sana jamani watumishi

Emmanuel SamsonPosted on9:19 am - Jan 23, 2024

Nashukulu kwa mafundisho mazuri ila Naomba kuuliza, kama siku ya kuabudu ni siku yoyote lakini katika amri KUMI ZA MUNGU tumeambiwa tuikumbuke siku ya sabato na tuitakase, je siku ya Sabato au siku ya Saba ni siku ipi? Je ni siku yoyote?, na kwa nini hatusali siku moja ikiwa Mungu ametuagiza kuikumbuka nakuitakasa tena amesema tusifanye kazi yoyote, je kati ya wanaosali Jumapili na Jumamosi ni wapi wanasali siku ya Sabato au zipo siku mbili za sabato?

Getruda piusPosted on1:22 pm - Jan 16, 2024

Barikiwa sana mtumishi wa BWANA Mungu aliye hai, nimeipenda sana nimejifunza kitu kikubwa hapo 🙏🙏🙏

DeoPosted on3:22 pm - Jan 12, 2024

Mm siamini hio miungu wala sijikingi na madhara yote kwann nisinyoe?

Mr RENATUSPosted on9:58 am - Jan 11, 2024

Wapendwa ahsanteni mnooo mana Mimi nafaidika Sana Kwa mafundisho haya…..

SalomePosted on8:19 pm - Jan 9, 2024

Namshukuru Mungu kwa somo hili nimetiwa nguvu sana na kuamua kuendelea mbele nyuma mwiko.

Leonard LumePosted on2:25 pm - Jan 3, 2024

Napenda sana mafundishi yenu watumishi wa mungu, mbarikiwe sana

Andrea NicoPosted on4:14 am - Dec 31, 2023

Amen Mungu Ni Mwema wakati wote, Awabariki ninyi wote kwa kueneza mafundisho haya, Hakika nimeongeza elimu kuhusiana na habari hizi , amen 🙏

Baraka ThomassPosted on10:17 am - Dec 25, 2023

Asante sana nabarikiwa sana

Mercy ndungePosted on10:39 pm - Dec 17, 2023

Nimependanzwa na mafudisho yenu mungu wa mbinguni walinde

IsaacPosted on7:39 pm - Dec 15, 2023

Nashukuru sana Ila je Mungu alitolewaka wapi ?

Nicodemus maweuPosted on8:10 pm - Dec 4, 2023

Ujumbe mzuri sana!naomba nipate somo hili zaidi kuhusu malaika na mungu awabariki kwa utendaji kazi wenu

We

SebastianPosted on11:51 am - Nov 24, 2023

Habari,,kwanza niwapongeze kwa kazi nzuri ya kutangaza neno la Mungu. Naombea nguvu zaidi, mwenyezi akawawezeshe na kuwaongezea pale mtakapopungukiwa.

Mimi ni moja ya watu wanaotamani kumjua Mungu na kuenenda kwenye njia zake. Nilitamani kujiunga kwenye group la WhatsApp lakini naona link haifanyi kazi. Kama mnaweza kunisaidia namba yangu ya WhatsApp ni 0684 477 727

Asante, na Mungu awabariki sana. Amen.

DAVID KAAYAPosted on2:23 am - Nov 22, 2023

Mungu awabariki sana watumishi kwa kazi nzuri ya kufundisha wengine. Hakika mtalipwa na Mungu msipozimia roho. Amen

Axer KinotaPosted on5:59 pm - Nov 20, 2023

Shule hii ni njema

Moses SimiyuPosted on8:20 pm - Nov 12, 2023

My name is Moses Tom Simiyu being blessed with your lesson. But recently i lost my phone. But i was very much interested with that topic of ALAMA YA YESU. PLEASE can you resent me that topic. Thank you.

Benedicto GeorgePosted on6:52 am - Nov 11, 2023

Amina nimebrikiwa

Christina GervasPosted on11:23 am - Nov 7, 2023

Ubarikiwe mtumishi leo nimesoma maana ya ndoto ya kuchelewa nmepata uelewa wa nini kinaendelea kwenye maisha yangu! Ee Mungu nisaidie niweze kuvuka vikwazo vinavyofanya nisifike sehemu unayotaka nifike kwa wakati. Amen!

JoshuaPosted on5:23 pm - Nov 6, 2023

Mungu na akubariki na mataifa yapate injili ya kweli.

CélestinPosted on12:19 am - Nov 3, 2023

Bwana Yesu awabariki sana

Ev .Shughuly P. HalingaPosted on11:13 pm - Oct 28, 2023

Nimejifunza Kitu

GERVASPosted on1:16 pm - Oct 28, 2023

NI KITABU KIPI HICHO KILICHO RUHUSU UONGO NA UCHAWI

Gloire RukaburaPosted on1:10 am - Oct 28, 2023

Kuna watu wanasema kosa kubwa lililo wapeleka Israel misri linatokana na Baba Ibrahim kwakuto kuchunga Sadaka na kunguru wakakula ndipo Mungu akaamuwa kuwaweka utumwani kama adhabu kwa ibrahimu jee ni jweli

JEAN PAUL NDUWARUGIRAPosted on10:40 am - Oct 26, 2023

Join

Elimboto Zacharia NtanduPosted on8:14 am - Oct 24, 2023

Naomba kutumiwa masomo ya kila siku.

eto amaniPosted on3:57 pm - Oct 23, 2023

big amen for god.

Mwakanyamale Clement ManningPosted on9:34 am - Oct 20, 2023

Your teachings have tought me deeply about Our Lord Jesus,Iam blessed and farmore my faith has been abundantly nourished. Through teachings I strongly feel deep in my Soul to extend what i have got from you with my church members through Sundy school,Preaching,Evagelism and my family at large. Much Obliged

Jonas ErnestPosted on4:06 pm - Oct 18, 2023

Pia,nafurahishwa San na HUDUMA yenu Mungu azidi kuwabark
Lakni nahitaji nijue jinsi ya kuyapakua(download).

Robert YandiloPosted on2:44 pm - Oct 18, 2023

Mbarikiwe Sana watumishi wa Mungu, hakika najifunza Mambo mengi Sana kupitia ukurasa huu

LucasPosted on6:57 pm - Oct 13, 2023

Amen…🙏🙏🤝

SamwelPosted on10:55 pm - Oct 9, 2023

Nimesoma hii mada,napata swali baada ya mwili kufa,roho inaishi wapi?

Anna msemwaPosted on7:25 am - Oct 8, 2023

Amen. Mungu abariki NENO lake. Nimejifunza na nimeelewa somo zuri .

TusekilejohnPosted on10:12 pm - Oct 7, 2023

Might GOD blessed for our message

PatrickPosted on6:50 pm - Oct 7, 2023

Bwana Yesu alinena kwa Lugha pale alipokuwa msalabani “Eloi Eloi lama sabakthan” Ukisoma Marko 15:34 na Mathayo 27:46

KENGE MIMBAPosted on10:48 am - Oct 6, 2023

how are you
what is you na
me

LucasPosted on12:12 pm - Oct 4, 2023

Amina somo zuri sana utukufu kwa Mungu kwa ufafanuzi mzuri wana wa Mungu.🙏🤝👏👏

JamesPosted on10:07 pm - Sep 28, 2023

Asante kwa maubiri

Emmanuel Buberwa KitengulePosted on1:10 pm - Sep 28, 2023

Amina

DrostaPosted on3:21 pm - Sep 25, 2023

Mimi nimeota kuna dada 1 alikuwa rafiki yangu siku za nyuma tulikuwa tunatembea njiani yeye akawa amenitangulia mtoto wake yupo katikati na mimi nikawa nyuma yao tukaenda tukafika mbele tukakutana na mto ulikuwa una maji machafu yule dada alikuwa ametutangulia akavuka ule mto alipofuka wakati anafata mtoto wake avuke nikaliona joka kubwa jeusi lipo kwenye huo mto nilivyoona mimi nikarudi sikutaka kuvuka tena nilivyorudi nyuma nikakutana na watu nikawaelezea nilichokutana nacho ndo wakaniambia mbona tunasikia kelele yule mtoto analia atakuwa anamezwa na yule joka wakachukua mawe silaha wakakimbilia kule mtoni kwenda kumuua yule joka ndo nikashutuka nitatoka usingizini. hiyo ndoto ina maana gani Mtumishi wa Mungu

SamwelPosted on11:32 am - Sep 25, 2023

Tunashukuru kwa ufafanuzi huu, lakini bado kuna hitajika maarifa zaidi katika hili na kuna hitaji mwongozo wa Roho Mtakatifu. Maana kwenye wanyama hapo kuna hitaji maarifa maana bila hivyo waweza kupoteza badala ya kupata. Hili swala lahitaji hekima,maarifa na mwongozo toka kwa Mungu kwamba fanya hivyo.
Ni mtazamo wangu tu,maana mfano tunaofuga kuku wa mayai au nyama wanahitaji chakula kila saa sasa kwa siku nzima sijui ni nini kitatokea

maurisiaPosted on2:16 am - Sep 25, 2023

nimependa website yenu! Ni ya baraka sana! Mungu awabariki sana!!!!

Noel MndwaduPosted on5:25 pm - Sep 24, 2023

Nimesoma Mara ya Kwanza leo na nimepata ufahamu ..nashukuru sana barikiwa

EsmePosted on12:07 am - Sep 24, 2023

Nimeelewa sana na nimeongea maarifa Asante wingulamashahidi.org

Kinye MkiraPosted on4:24 pm - Sep 22, 2023

Hakika Neno la Mungu halitapita hata yote yatimie.
Ahsante sana kwa ujumbe mzuri. Mungu azidi kukujalia kila kilicho chema kwako.
Amen

CollinsPosted on1:50 pm - Sep 17, 2023

Nashukuru, kwa ujumbe maalum

AngelPosted on6:53 am - Sep 12, 2023

Bwana Yesu asifiwe MTUMISHI wa Mungu nabarikiwa Sana na mafundisho yako Mungu akubariki Sana Mim nimeokoka nampenda Yesu na nimesimima Leo nimeota nipo na wenzangu tunapanda mlima tulipofika juu ya mlima kuna gari lilikuwa mbele yetu likawaka moto tukaanza kushuka ule mlima tukakutana tena na Nagari mengine tukajikuta tuko kwenye maji watu waajabu wakawa wanatokea kwenye maji wanapambana na wenzangu lakini Mim hawakuweza kunigusa nikavuka salama naomba unisaidie tafsiri yako MTUMISHI wa Mungu asante

Emmanuel Buberwa KitengulePosted on8:44 am - Sep 7, 2023

Amina

Emmanuel Buberwa KitengulePosted on8:43 am - Sep 7, 2023

Amina

Emmanuel Buberwa KitengulePosted on8:42 am - Sep 7, 2023

Amina

StellaPosted on3:29 pm - Sep 6, 2023

Umehubiri vizuri mwishoni ukavuruga tupo ambao hatujazama tumebatizwa kwa maji machache lakini tunaye Roho mtakatifu

    Nuru ya UpendoPosted on9:31 pm - Sep 9, 2023

    Umefanya vizuri kupokea Roho Mtakatifu, lakini hata kama umeshashampokea ni lazima kubatizwa kwa maji, kama ilivyokuwa kwa Kornelio, alipokea Roho Mtakatifu lakini bado ilimpasa abatizwe kwa Maji.

    Matendo 10:47″Ni nani awezaye kuzuia maji, hawa wasibatizwe, watu waliopokea Roho Mtakatifu vile vile kama sisi? 10.48 Akaamuru wabatizwe kwa Jina lake Yesu Kristo. Ndipo wakamsihi azidi kukaa siku kadha wa kadha”.

    Tafuta ubatizo mwana wa Mungu!!

Ezra ndambuki / from KenyaPosted on10:25 am - Sep 2, 2023

Kwa hakika hayo yote ni Amina na KWELI
Mwanadamu anaweza kuona amefika mwisho Lakini kwa mungu bado
Nilikua naona nimefika mwisho kwa vitisho vya shetani Lakini mungu akaniokoa haleluya

AlexanderPosted on1:49 am - Sep 2, 2023

Sasa kama mazingira ni sababu ya watu kuwa weupe na weusi na aina nyingine je! Mbona ulaya watu weusi wanaendelea kuzaliana?????

FredPosted on9:12 am - Aug 28, 2023

Ahsante kwa ufafanuzi,
Naomba kuuliza…ina maana Yesu akupelekwa kwenye ule mlima(temptation Mountain)??
Maana pale kwenye mji wa Jerico kuna uo mlima na watu uutembelea.

JamesPosted on2:53 am - Aug 26, 2023

Aridhi inatetemeka kwa kitendo hicho, shetani anakukataa kwa kusema hajakwambia ufanye hivyo ila ufanye uzinzi tu.

Barikiwa mtumishi

PASCALPosted on5:11 pm - Aug 21, 2023

Je kutumia majina kama Shedrack, Meshack na Abednego ni sahihi?

WycliffPosted on9:56 pm - Aug 19, 2023

Nimepata funzo nzuri hilo BWANA awabariki sana

Amani TipaayPosted on2:57 pm - Aug 14, 2023

Kijana anaongelewa kama nani kibiblia

EvaristerPosted on7:14 pm - Aug 12, 2023

0768208195 naomba niungwe ktk haya masomo

EvaristerPosted on7:14 pm - Aug 12, 2023

Amen nimebarikiwa Mungu awabariki

LucasPosted on11:52 am - Aug 10, 2023

Nimebarikiwa sana na somo

Daniel shotoliPosted on5:25 pm - Aug 8, 2023

Nahitaji kuwa natumiwa masomo haya kwenye Email yangu yq shotolidanieljacob@gmail.com

    Nuru ya UpendoPosted on1:20 am - Aug 11, 2023

    Amen, yatakuwa yanakufikia lakini zaidi sana tunalo group la Whatsapp ambalo huwa tunatuma huko masomo kila siku, kama utapenda tukuunge basi waweza kutuandikia namba unazotumia whatsapp au ukatutumia ujumbe kupitia namba zetu zinazoondekana mwazo na kila mwisho wa somo..

    Nuru ya UpendoPosted on9:19 pm - Aug 25, 2023

    Amina yatakuwa yanakufikia lakini pia unaweza kuyapata kwa njia ya whatsapp…tuandikie namba zako

Isack MbomaPosted on3:49 pm - Aug 7, 2023

Mbarikiwe sanaa tunawapenda

Gitti jmPosted on3:22 am - Aug 7, 2023

Mtu akiwa hamujui Mungu na amefunga ndoa ya kiserikali akiamua kumpokea Mungu hawezi kukubaliwa na kufungishwa ndoa ya kidini?

RoselynPosted on5:33 am - Aug 3, 2023

Barikiwa sana mtu wa Mungu…nimejifunza kwa njia rahisi sana asante

patrickPosted on11:03 pm - Aug 1, 2023

napenda kujifunza neno la mungu

AnonymousPosted on12:12 pm - Aug 1, 2023

mugu akubaliki amen

blaise birindwaPosted on9:29 am - Jul 31, 2023

Nashukuru sana mukuwe nanittumia kila leo number ni 0976304832 . Email ni blaise birindwa@.net .com

AnonymousPosted on2:04 am - Jul 31, 2023

asante mtumishi umekuw kiungo muhimi kwangu hata sasa nina mfuaata yesu mungu akubariki

AnonymousPosted on5:50 pm - Jul 29, 2023

Neno la MUNGU huja kwa wakati kwangu nina ona niwakati wa kuzingatia na kuifuata haki.

AnonymousPosted on1:17 pm - Jul 29, 2023

Very good message you always bless me

Derick SaugaPosted on11:36 pm - Jul 28, 2023

Natamani kubatizwa….namba ya simu 0753610759

TORRESS FABRICATORPosted on3:49 pm - Jul 28, 2023

Bibi ya Nuhu anaitwa nani?

AnonymousPosted on9:57 am - Jul 28, 2023

amina Mungu aendelee kukupa ufunuo

Wasike AmosPosted on6:44 am - Jul 28, 2023

Amina na jina la Bwana Yesu Kristo litukuzwe….

AnonymousPosted on3:34 pm - Jul 27, 2023

kiukwel nimekuelewa ninaiman na mwenyez mungu ila naomba kujiunga tafadhari nisaidie

Thank MwakyamiPosted on11:31 pm - Jul 26, 2023

JE kusuka nywele au kujipamba ni dhambi

Justin kadakalaPosted on7:42 pm - Jul 26, 2023

Asante Sana kwa mafundisho haya, lakini nimejikuta Nina swali hapa.
* Sasa kwenu ninyi, ki biblia mungeweza mushauri yeftha jambo gani sahihi lakufanyo kipindi kile!?

Asante kwa jibu, sababu ni fundisho piya n’a kwangu mimi.

Patrick kahinga lumande – EliePosted on10:34 am - Jul 26, 2023

Nami salimu sana
Nafurai kabisa juu ya mafundisho mina penda nyanze kuyapokeya
Aksanti.
Mungu amibariki

AnonymousPosted on5:06 pm - Jul 25, 2023

thanks so mach

kenethPosted on1:26 pm - Jul 25, 2023

mnaptikana wapi semina hikowapi barikiwasa

Patrick AngeloPosted on6:56 am - Jul 24, 2023

Hello habari

Patrick MwaikamboPosted on11:35 pm - Jul 23, 2023

Nawapongeza, kwa mafundisho yenu mbarikiwe na Mungu azidi kuwafunulia zaidi

AnonymousPosted on10:41 pm - Jul 23, 2023

mungu azidi kuwapa uzima na baraka tele nilikuwa kipofu wa neno sasa naanza kuona mwanga mbele yangu mungu awanariki sana nawapenda.

Kaizaly mdemuPosted on5:50 pm - Jul 23, 2023

Ibeliev our God and ilike survive

Kaizaly damasy mvangoPosted on5:48 pm - Jul 23, 2023

Ibeliev our God…ilike to survive Because llove God

IgnatyPosted on12:00 pm - Jul 23, 2023

Be blessed for a wonderful work that you’re doing in building the kingdom of the heavenly father.

samson mogoshoPosted on10:45 am - Jul 23, 2023

Napenda maarifa

AnonymousPosted on7:55 am - Jul 23, 2023

baraka ziandamane nanyi hata mwisho wa ukamilifu

Isaya NyondoPosted on4:46 am - Jul 22, 2023

Bwana awabariki na kuwaongeza.

JorgePosted on6:58 pm - Jul 21, 2023

Je ni kweli kwamba Esau aliuza haki yake ya mzaliwa wa Kwanza? “((Aliuza haki yake hiyo kama vile Esau alivyouza haki yake ya mzaliwa wa kwanza kwa Yakobo ndugu yake kwasababu ya chakula kimoja tu)”

VeronicaPosted on8:06 pm - Jul 20, 2023

Asante Kwa SoMo zuri sana naomb niwe napata mafundisho hata Kwa njia ya Whatsapp no 0757847984

Rehema NelsonPosted on11:46 pm - Jul 18, 2023

Ahsantee nimeelewa.

AYOUB MWAMPEPUPosted on10:44 pm - Jul 18, 2023

Naomba uni add kwenye magroup ya maneno ya MUNGU niwe napata Kwa njia ya Whatsapp namba ni 0695974124

Naomi gabrielPosted on8:51 am - Jul 18, 2023

Amen nimebarikiwa

John KibwagoPosted on8:43 pm - Jul 16, 2023

Nimebarikiwa mno jaman

Jacob EliasPosted on7:55 pm - Jul 15, 2023

Mungu aendelee kuwatunza

Kasiano eriezeli yothamPosted on5:25 pm - Jul 15, 2023

Nimependa ufafanuzi wako wa biblia

Marko BundalaPosted on1:39 pm - Jul 15, 2023

Daah! Hakika mungu yupo.

Osward NgowiPosted on6:52 pm - Jul 14, 2023

Nimependa mafundisho yenu
Ningependa kujua zaidi juu ya huduma yenu na mahali mnapatikana

Osward NgowiPosted on6:48 pm - Jul 14, 2023

Nimebarikiwa sana masomo mazuri yanayohusu upendo haswa neno linalosema upendo wa Mungu unatubidisha

Floribert MwambaPosted on4:38 pm - Jul 13, 2023

Nitumiye Somo mbali mbali za Neno la Mungu.

joyce atanasPosted on9:09 pm - Jul 12, 2023

Nimependa sana mafundisho haya!!Mungu awabariki sana🙏🏾🙏🏾

Wibyula Faizi wifaPosted on4:24 pm - Jul 12, 2023

Sifa kwa Bwana
Nimefuraia haya mafundisho
Mazumuni yangu nikwamba kunitumia, Mimi napenda sana kutumia mda wangu kwa maneno ya Mungu

MKIRISTO KAMILI HUYUPosted on4:27 pm - Jul 10, 2023

bwana apewe sifa heri kula tabu kulko matexo .Asante xna muhubiri ubarikiwe sna

vigey B VenasPosted on4:23 pm - Jul 10, 2023

sijaelewa kabisa kuhusu ubatizo mahana kuna ubatizo wa aina nyingi sana kuna wa maji mengi na

Mwilelo Juma JohnPosted on5:01 pm - Jul 9, 2023

Mimi napatikana United States of America.
Napenda kuuliza swali moja katika,ninyi mnajulikana kama wakina nani , mnapatikana wapi na kukutanaje katika kujifunza Neno la Mungu ao kupana ufunuo wa Neno la Mungu kwa uongozi wa Roho Mtakatifu ?

Ezra ndambuki / from KenyaPosted on1:45 pm - Jul 8, 2023

Kweli mwalimu humefundisha na ukatufundisha vyema kadhalika mimi nashindwa kweli kuacha Dhabi ya wivu nakunipelekea katika masengenyo,chuki,hasira n.k nisaindie mchungaji

Michael PaulPosted on9:24 pm - Jul 7, 2023

Kweli kabisa,ili tuepukane na uovu wa kila namna ni kumtegemea Mungu

Michael PaulPosted on9:16 pm - Jul 7, 2023

Kweli tumtegemee Mungu kwa bidii na tusiweke hofu hata tukutanapo na majaribu ya shetani,kwa sababu tukiwa imara katika maombi tukimuomba Yesu Kristo,hakika tutayashinda majaribu

Michael PaulPosted on9:12 pm - Jul 7, 2023

Ubarikiwe sana,nimejifunza kitu hapo

Michael PaulPosted on9:09 pm - Jul 7, 2023

Amina,Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu

Ezra ndambukiPosted on2:34 pm - Jul 7, 2023

Hapo nikweli mwalimu nimeona fadhili na njia kweli ya wokovu na uzima…….

amanyisyePosted on1:41 pm - Jul 7, 2023

wanawaMungu niwatakatifu waliopo duniani?

AnonymousPosted on11:04 pm - Jul 6, 2023

Barikiwa sana mwalimu

Michael PaulPosted on7:02 pm - Jul 6, 2023

Nimejifunza kitu hapo,uliyaongea ni kweli kabisa,utakuta mtu kama ana cheo lazima mwishoni aweke “MKUU” hata kama si kiongozi wa kanisa na wakati wanakosea.Barikiwa sana kwa somo hili zuri.

Michael PaulPosted on6:11 pm - Jul 6, 2023

Barikiwa kwa somo zuri.

Michael PaulPosted on6:04 pm - Jul 6, 2023

Amina,nimebarikiwa na somo zuri.Tutende matendo mema yatakayotuweka mbali na unajisi(Ugomvi,Uasherati,Ulevi,Matukano,Chuki n.k)

PriscaPosted on1:17 pm - Jul 6, 2023

Naomb kujua maan ya jina la prisca

ASKOFU MWAMPETAPosted on10:51 am - Jul 5, 2023

MAFUNDISHO YA YESU NI PAMOJA NA MAFANIKIO. BARIKIWA

NIYIKIZAPosted on7:03 am - Jul 5, 2023

NAHITAJI SOMA JUU YA ROHO ZILIZO CHINI YA MAZABAHU. AO NAMNA WALIVYOTESWA WAISRAELI

AnonymousPosted on8:57 am - Jul 1, 2023

Very powerful msg

Micchael PaulPosted on5:57 pm - Jun 29, 2023

Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu,yafaa tuabudu Mungu tukiwa na heshima katika mahali pa kuabudia

Micchael PaulPosted on5:37 pm - Jun 29, 2023

Amina somo zuri.Barikiwa sana

RockiPosted on4:13 pm - Jun 28, 2023

nimeota natoroka shule in maana gan?

Ezra ndambukiPosted on4:22 pm - Jun 27, 2023

Hakika NI Amina n kweli

Kelvin igesaPosted on12:46 pm - Jun 27, 2023

I’m blessed with your story that you olways share with us according to the Bible, but I have a question, madhabau ni mahali pa kuabudia na kunwibia mungu ama ni mahali pa matoleo pekee?

Ezra ndambukiPosted on8:09 pm - Jun 26, 2023

Hapo kweli mwalimu humefundisha, hapo kwakweli YESU akua na upendeleo kama Sisi wanadamu Amina

Jovitha RunyoroPosted on11:11 am - Jun 26, 2023

Hello,

Asante nimebarikiwa sana kwa neno.

mohamedPosted on10:14 pm - Jun 25, 2023

naomba mm tumezee kwani bibilia haina maajab yeyote

Meckson WilliamPosted on9:03 pm - Jun 25, 2023

Barikiweni na Bwana YESU Kwa mafundisho haya mazuri Neema ya MUNGU izidi kuwa pamoja na sote katika kutafakari neno lake Amina.

Patrick NdabilaPosted on9:05 pm - Jun 24, 2023

Ahsante ujumbe mzuri

AnonymousPosted on5:14 pm - Jun 24, 2023

Ameeeen barikiwa

Emmanuel kulwaPosted on9:32 am - Jun 24, 2023

Napenda kujifunza neno la Mungu

JohnPosted on5:07 am - Jun 24, 2023

Nabarikiwa sana na mafundisho haya

Joyj annPosted on4:10 pm - Jun 22, 2023

Leave your message .com je maria bikira aklifariki

AnonymousPosted on2:55 pm - Jun 22, 2023

Nimepend hiy topic

Ezra ndambuki, from Kenya Mombasa countyPosted on11:47 am - Jun 22, 2023

Hapo nisawa kabisa mwalimu wangu, umenifundisha Jambo jema kabisa
Kumbe wokovu sio rahisi vile tunavyodhania?
Sasa mtumishi wangu niwangapi basi watakao enda na YESU kwa maana mazingira yetu hasa katika makazi yetu, vishawishi, , matani matusi, mizaa kwawingi zimekita.
Naomba usaidizi wa kushinda mambo haya kwakua nimejua ukweli

    Nuru ya UpendoPosted on11:28 pm - Jun 25, 2023

    Roho Mtakatifu akijaa kwa wingi ndani yako, atakupa uwezo wa kushinda vishawishi ambavyo kwa nguvu zako huwezi kushinda…Kwahiyo tafuta kwa bidii kujaa Roho Mtakatifu

AnonymousPosted on11:45 pm - Jun 21, 2023

Nimebarikiwa nakusogezwa hatua1 mbele kwa habari yakumtumaini Mungu katika ugonjwa wowote mtu anapitia kwa kua tayari tumekwisha kuponywa utukufu ni kwa Mungu.

PastonPosted on3:12 pm - Jun 21, 2023

NIUNGE KWENYE WHATSAPP NO. 0756 65 23 65.

Micchael PaulPosted on12:32 pm - Jun 21, 2023

Mchungaji mimi nakaa Olmatejoo hapa Arusha.Nilikuwa nauliza huku Arusha mnapatikana kanisa lenu?

Nuru thieryPosted on12:07 am - Jun 19, 2023

Barikiweni watumishi!Naombeni muwe mnanitumia masomo kama haya kwenye email yangu asant.

Gift MakundiPosted on11:15 pm - Jun 18, 2023

MUNGU ni mwema kila mtu amtumainie na amuaminie.m’barikiwe wote.

Alphonce kihongosiPosted on10:10 pm - Jun 16, 2023

Natamai niwazima waafya nimeflahi Sana kuwa pamoja nanyi kaitka kujifunza pamoja kitabu hiki.

Micchael PaulPosted on10:58 pm - Jun 15, 2023

Nazidi kubarikiwa kwa mafundisho yenu

Lung’wecha jacksonPosted on12:40 pm - Jun 15, 2023

Nini maana ya kuota uko kwenye maji au kwenye bwawa

Micchael PaulPosted on7:53 pm - Jun 14, 2023

Mbarikiwe sana

Micchael PaulPosted on7:47 pm - Jun 14, 2023

Mbarikiwe sana kwa mafundisho mazuri

Kambale lajoiePosted on1:13 pm - Jun 14, 2023

MUNGU ATUPATIYE BARAKA ZAKE, NASEMA ASANTE KWAKUTUJALI MPAKA SASA.

Antony LabanPosted on7:38 am - Jun 14, 2023

Mungu aendelee kuwainua katika kutuhabarisha Habari za mbingu Hai katika Yesu

DeborahPosted on6:16 am - Jun 14, 2023

Nimelia asubuhi ya Leo .na Mungu anipe kuanza upya😭😭

JustinePosted on12:53 am - Jun 14, 2023

Shalom naomba kuuliza naweza kupata vitabu

Aman ErnestPosted on6:10 pm - Jun 13, 2023

Amina! Asante Kwa ujumbe mzuri!

Ezra ndambukiPosted on10:33 am - Jun 12, 2023

Please naomba unisaindie Niko Kenya somo lako limeninguza asa 1&9 nisaindie please

Ezra ndambukiPosted on10:30 am - Jun 12, 2023

Nikweli mwalimu wangu umenifundisha kuhusu mambo hayo na Hali sio nzuri kabisa kwa waombezi kwakua wamejichanganya na mambo ya kindunia jee nikwa njia ngani nyengine naweza tumia nikpona roho yangu kama mtumishi wangu mtiwa mafuta na MUNGU
Naweza kujiombea au ukaniombea?

    Nuru ya UpendoPosted on12:54 am - Jun 13, 2023

    Unaweza kumsihi Bwana mwenyewe na akakuponya.. lakini kama una mashaka na imani yako nakushauri uwatafute watumishi wa Mungu wakusaidie katika maombezi…Lakini pia ukitaka msaada kutoka kwetu waweza kututafuta kupita namba zetu zinazoonekana mwanzo na mwisho wa tovuti yetu, au katika mwisho wa kila somo…

Ezra ndambukiPosted on9:48 am - Jun 12, 2023

Hapo ni kweli wokovu sio rahisi ni Jambo la kuamua
MUNGU awatie nguvu zaidi kwa kuenenza injili be yake Amina

Micchael PaulPosted on11:21 am - Jun 11, 2023

Kiukweli mnafundisha vizuri sana

Micchael PaulPosted on11:14 am - Jun 11, 2023

Somo zuri sana

Micchael PaulPosted on11:05 am - Jun 11, 2023

Mbarikiwe sana kwa somo zuri

AnonymousPosted on12:42 am - Jun 9, 2023

Amen barikiwa mtumishi

AnonymousPosted on7:21 pm - Jun 8, 2023

Naomba Niwe pamoja nanyi Whatsap 0716659569

Adamu KimuPosted on7:33 am - Jun 8, 2023

Ni mafundisho mazuri sana sijawahi kukutana nayo. Yamenijenga kiimani, nimeyapenda sana niendelee kujifunza katika siku za usoni ,
Bwana Yesu awabariki kwa kazi hii njema

Hosea chalakutePosted on2:06 am - Jun 8, 2023

I have much to say bt no time I didn’t know what to do bt I which we met at WhatsApp we took more 0740862988 WhatsApp number

Flora jovine urioPosted on10:44 pm - Jun 7, 2023

Naomba nipate kwa njia ya whtsapp 0754941902

Gosbert WillaPosted on1:26 pm - Jun 5, 2023

NIMEPENDA UFAFANUZI WENU WA KINA JUU KUHUSIANA NA BIBLIA.

Michael WanyangaPosted on3:08 pm - Jun 4, 2023

Kwa kweli uasherati ni mbaya mno na ndio maana katika Efe.5:3 biblia inaonya kuwa “Lakini uasherati usitajwe kwenu KAMWE, wala uchafu wo wote wa kutamani, kama iwastahilivyo watakatifu; wala aibu wala maneno ya upuzi wala ubishi; haya hayapendezi; bali afadhali kushukuru.”

Wilberforce Omuyoma MalikaPosted on9:29 pm - Jun 3, 2023

Wonderful teacherings

Joachim ChaulaPosted on11:02 am - Jun 3, 2023

Roho wa Mungu aendelee kututunza katika ufunuo ili tuwe na nuru ya macho ya moyo ili tumjue zaidi Mungu katika upendo wa Yesu Kristo Bwana wetu Amina 🙏

AnonymousPosted on10:57 am - Jun 3, 2023

Moja ya somo ambalo hua nalipenda mno. Mungu ni mwema 🙏

Samwel measiPosted on8:33 pm - Jun 2, 2023

Asante, nimeelewa. Kuna namna hutamani kuwepo damu changa madarakani Kwa maana ya vijana lakini husahau kuwa hekima ni muhimu sana katika uongozi. Barikiwa sana by SAMWEL MWASI WA KATORO GEITA

AnonymousPosted on6:48 am - Jun 2, 2023

Asante Mungu akubariki sana mtu ishi

AnonymousPosted on6:18 pm - Jun 1, 2023

Amina kwa Wanawake waliokolewa na Yesu. Muishi Maisha kwa kiasi maana wateule wa Mungu wana njia yao ya kupitia ambayo watu wengi wa kidunia wanaipinga na hawaitakii.

AnonymousPosted on4:35 pm - Jun 1, 2023

Namba 5, 8 na 9 umeiruka Mtumishi wa Mungu.

Meshack kimaroPosted on10:27 pm - May 31, 2023

Amen barikiwa sana

malaki lumamboPosted on9:56 pm - May 31, 2023

ninataka kujua kiberiti cha kuwashia moto wa jehanamu kikoje na kinaukubwa gani.?

Raphael Maiko LeboyPosted on9:03 pm - May 31, 2023

Daima twayaweza yote katika MUNGU MWENYEZI mwingi wa rehema aliyeumba vitu vyote duniani na mbinguni

AnonymousPosted on4:48 pm - May 31, 2023

Jina la levokatusi manaake nini

filomena mulembulePosted on12:14 pm - May 31, 2023

Amen nimeelewa

AnonymousPosted on10:09 pm - May 30, 2023

Barikiwa sana mtumishi Wa Bwana

AnonymousPosted on9:25 pm - May 30, 2023

Mungu awatunze

AYOUB MWAMPEPUPosted on8:34 pm - May 30, 2023

NINAOMBA KWAMBA niwe natumiwa MANENO YA MUNGU

NIYIKIZAPosted on7:59 pm - May 30, 2023

Inamaana kweli hizo siku 40 mutu hale chochote? naomba kuelewa zaidi.

AnonymousPosted on7:02 pm - May 30, 2023

Je,Bibilia inaposema na tumfanye mtu kwa mfano wetu inamaanisha nini?

Kaungwa Johnson KihampaPosted on1:55 pm - May 30, 2023

Amen barikiwa

JOHN GEORGEPosted on10:50 pm - May 29, 2023

Nini hasa kina mpendeza bwana kutoa kama sadaka katika madhabahu yake pesa ama bidhaa?

    Nuru ya UpendoPosted on4:17 pm - May 30, 2023

    Sadaka ni kile Bwana alichokujalia au kukuongoza…lakini sio kilicho Bora zaidi ya kingine…Kila kimoja kinaweza kuwa na na nafasi yake wakati fulani

Kambale KihumbiraPosted on3:06 pm - May 29, 2023

MUNGU awabariki kwa kutubariki

Tainos NgailoPosted on10:19 am - May 28, 2023

Nafuatilia masomo yenu kupitia simu yangu ya kawaida kabisa kwenye Google,MBARIKIWE!

Elias Joseph MbowePosted on11:38 pm - May 27, 2023

Nimebarikiwa sanaa

Bosco mbunguPosted on10:24 pm - May 27, 2023

Nimebarikiwa sanaaa

Alexander mshumbusiPosted on8:43 pm - May 27, 2023

Kwaiyo makanisa ya leo yanapaswa kufundisha nini hasa

Alexander MshumbusiPosted on8:22 pm - May 27, 2023

Nimebarikiwa sana…naomba unitumie masomo mengine zaidi kwenye e-mail yangu

AnonymousPosted on6:15 pm - May 27, 2023

Sifa,Utukufu na HESHIMA zimrudie BWANA

ZablonPosted on5:34 pm - May 27, 2023

Mungu awabariki kwa kazi nzuli mnaoifanya ya Neno la Mungu

Éric ndabarishePosted on5:26 pm - May 27, 2023

Nkubuli kujiunga

PAul MezaPosted on8:31 am - May 27, 2023

Naomba niunge katika group hili

AnonymousPosted on8:33 pm - May 26, 2023

SHALLOM m yeremia giyamb toka (w) hanang mkoa manyara Nawa shukuru watumish wa mungu kwa kazi yenu njema na nzur kama hiyo mungu awa brikini sanaa nime jifunza mambo mengi sana

Johnson KisigiroPosted on2:22 am - May 26, 2023

BwanaYesu kirsto atukuzwe naombeni huduma ya maombi katika tovuti yenu nahitaji group

Johnson KisigiroPosted on2:19 am - May 26, 2023

BwanaYesu kirsto atukuzwe naombeni hududuma ya maombi

Michael Joseph jilumbaPosted on10:29 pm - May 25, 2023

Mungu wa mbinguni atukuzwe sana napenda kumtukuza muda wote pia azidi watu wote kuwapa neema na shauku ya kumjua na kulijua neno lake na kuliishi

mfakoshineenterprise27@gmail.comPosted on9:21 pm - May 25, 2023

Amen, amen ubarikiwe sana mteule wa Bwana Yesu.

JacksonPosted on8:54 pm - May 25, 2023

Nimebarikiwa na neno la Mungu

Loanyuni TarakwaPosted on7:04 pm - May 25, 2023

Je, mchungaji kuwaombea watu wanaobeti ili washinde ni sahihi..?!

Loanyuni TarakwaPosted on6:55 pm - May 25, 2023

Amen. Nikejifunza

Loanyuni TarakwaPosted on6:53 pm - May 25, 2023

Mungu Awabariki kwa makala nzuri

AnonymousPosted on6:50 pm - May 25, 2023

Mungu awabariki. Nimejifunza jambo la Muhimu Sana

Mch Baraka MwakasasaPosted on10:39 am - May 25, 2023

Bwana Yesu asifiwe, nimebarikiwa sana na mafundisho haya, nilikuwa natafuta kujua nchi ya wagerasi kwa Sasa inaitwaje, nikajikuta nimefika kwenye account hii, nimependa mno ufafanuzi wa bahari na ziwa galilaya, naomba msaada kujua nchi ya wagerasi

Stophael MsaadaPosted on7:21 am - May 25, 2023

Nimejifinza

Diana mahengePosted on2:53 pm - May 24, 2023

Amina ubarikiwe mtumishi wa BWANA

Jephason Daniel SimonPosted on11:16 am - May 24, 2023

Mungu awabariki sana

SAMWEL MWASIPosted on11:19 pm - May 23, 2023

Amen, nami ufahamu wangu umepanuka sana baada yakujua hizi rangi. mbarikiwe

Shalom masehePosted on9:33 pm - May 23, 2023

Mungu awabariki sana Kwa mafundisho haya ya Neno la Mungu Kwa kweli Kwa upande wangu Mimi mafundisho haya yamefanyika msaada mkubwa Sanaa maana toka nilipoanza kufuatilia masomo yenu kweli Kuna mambo mengi nimejifunza na ninaendelea kujifunza na zaidi ninazidi kumfahamu zaidi Mungu na kuwa karibun nae. Mungu awabariki sana na Mungu azidi kuwapa mafunuo Zaid watumishi wa Mungu 🙏👋

Mangala Tambatamba AugustinPosted on9:05 pm - May 23, 2023

Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu

Kelvin WambiaPosted on4:32 pm - May 23, 2023

Mungu awa bariki wapendwa kundi hili limekuwa la baraka kwangu nmejifunza mengi kupitia kundi hili

Ezra ndambukiPosted on3:25 pm - May 23, 2023

Wamtumainio bwana nikama mlima sayuni hawatatingishika milele habari hizi zinao uzito mwingi Sana hasa katika hao wachungaji maana kwakweli ukizielewa kwa undani zaidi kundi ulilonalo sio rahisi lipotee Bali kwa kupuuza ni huangamifu

Diana mahengePosted on12:26 pm - May 23, 2023

Mungu awabariki kwa mafundisho mazuri ya kutujenga zaidi kiimani# amina

JUMA R. MAFUMBAPosted on12:18 pm - May 23, 2023

Mungu ni mwema tumtumain yy

JUMA R. MAFUMBAPosted on12:02 pm - May 23, 2023

Mwenyezi Mungu ni mwenye nguvu hivo tumtumaini yeye make ndo uzima wa milele

Daniel mazikuPosted on11:58 am - May 23, 2023

Amen🙏🙏🙏
Mungu awabariki sana

Daniel mazikuPosted on11:37 am - May 23, 2023

Mungu awabariki sana hakika, kazi yenu ni njema, kipekee nimejengeka sana kupitia huduma hii🙏🙏🙏🙏

Baltazar AmaniPosted on11:25 am - May 23, 2023

Mungu awatangulieni ktk Utume wetu, sisi sote tu kondoo chini ya mchungaji mkuu Kristo Yesu.

JacksonPosted on11:11 am - May 23, 2023

May God bless the teacher who taught us the secrets of God and may he be blessed with these teaching

Joram masingaPosted on10:47 am - May 23, 2023

Amina kazi yenu Ni njema Mungu awabariki

Joram maaingaPosted on10:46 am - May 23, 2023

Amina kazi yenu Ni njema Mungu awabariki

Robert KapapalaPosted on9:56 am - May 23, 2023

Mungu amibariki latina jina la bwana wetu yesu kristo

EDGAR WILSON SANANEPosted on9:51 am - May 23, 2023

Naam Barikiwa sana! Kweli kila mtu aliyekwisha kumpokea Bwana Yesu kristo anakazi ya kufanya ili kuujenga ufalme wa Mungu. Mfano waimbaji na makundi ya sifa na mahabusu wamtukuze Mungu ktk Roho na kweli maana kuna watu wanainuliwa na kutiwa moyo kuendelea na safari ya wokovu.

ISAACPosted on9:36 am - May 23, 2023

MUNGU aendelee kuwajalia

GolaniPosted on6:57 am - May 23, 2023

Mungu awabari kwa kazi nzuri mnaifanya kazi ya Mungu kwa kutii agizo lake la kuwafanya watu wote kuwa wanafunzi wa Yesu. Nabarikiwa sana na masomo yenu yananisaidia kukua kiroho

AnonymousPosted on7:18 pm - May 22, 2023

Ubarikiwe 🙏🤝

AnonymousPosted on4:26 pm - May 22, 2023

dungu, vioo havifaikabisa tena kujitizima pindi ukiwa hunanguo pia majini wana wake wapo, majini,waliumbwa kwa moto ,binadamu waliumbwa kwa udongo na malaika waliumbwa kwa nuru,pia ukisema majini ni malaika walio asi hiyo siyo kweli, bali majini ndio walio asi hivyo mwenyezi mungu akatuma kundi la malaika kuangamiza koo zakijini na pindi operation ilipokuwa ikiendelea ndipo kiongozi wa malaika alikikuta kitoto cha kijini kiki sali hivyo akaamua kukichukua hadi kwa mwenyezi mungu, ila mwenyezi mungu hakuwa ladhi naalicho kifanya mkuu wa malaika kwa kumchukua huyo jini, basi mtoto wakijini aliendelea kukuwa akiwa pamoja na kundi la malaika ndipo mwenyezi mungu akawaambia malaika kuwa anataka kuumba binadamu ambae atakuwa kiongozi katika dunia ndipo malaika wakamuuliza mwenyezi mungu je? unataka kuleta atakae kuasi kama walivyo kuasi hao wa kabla? natena sisi niwenye kuku abudu wewe? mwenyezi mungu akawajibu kuwa mimi nayajua nyinyi msio yajua ,hivyo uumbaji wa adam ukaanza pia tukumbuke kuwa adam aliumbwa akiwa mrefu sana naakawekwa kwenye uwazi hivyo yule jini alie kuwa miongoni mwa malaika alikuwa akienda kuangalia na kupita katika mwili wa adam pindi haja pulizwa roho hivyo alifanya atakavyo nakuujua uzaifu wa adam siku zilikwenda ndipo mwenyezi mungu aka upulizia roho mwili wa adam, napia mwenyezi mungu akamfundisha majina yavitu na ya wanyama pia nahata mwenyezi mungu alipo wauliza malaika jina ya wanyama, ndege hawakuwa wenye kuyafahamu ndipo mwenyezi mungu akawaambia malaika msujudieni adam malaika wakatii amli ya mwenyezi mungu ila yujini hakutii amri ya mwenyezi mungu ndipo mwenyezi mungu akamwambia mkuu wa malaika nilikuambie muangamize koozote za kijini ila nyinyi hamkufanya hivyo je? mmeona kibuli cha huyu? ila tukumbuke kuwa ilikwisha andikwa kuwa huo uta kuwa nimtihani kwa wanadamu na ndipo mwenyezi mungu alipo amua kumfukuza huyojini katika pepo nakumwambia adam kuwa hakika huyu niadui kwako hiyo kwa ufupi broo?

MOSES TOM SIMIYUPosted on3:50 pm - May 22, 2023

Please add me to your group. I want to be blessed with you brother’s and sisters.

Nuru mhondelePosted on12:38 pm - May 22, 2023

Nabarikiwa mno na mafundisho yenu. Mungu azidi kuwabariki ili kazi ya Bwana isonge mbele

Ignaty KiswagaPosted on11:26 pm - May 21, 2023

Ufafanuzi mzuri sana

AnonymousPosted on12:00 pm - May 21, 2023

ole wetu wafarisayo kwani hukumu kubwa tutaipata

Deograsias NkanoPosted on11:39 pm - May 20, 2023

Bwana Yesu apewe sifa!! mimi nina swali.
Ikiwa niliokoka nikabatizwa na kunena kwa lugha mbeleni nikaja kuanguka dhambin je ninaweza kulejea wokovuz? na je tobayangu itaitaji ubatizo upya kama mlango bado upo wazi wa wokovu?

Paphilius patrickPosted on9:59 pm - May 20, 2023

Katika daniel amezungumzia majuma 70 ambayo ni sawa na miaka 490 na siyo miaka 70 kama unavosema.lakini pia isome daniel 9 vizuri,anaxema atafanya agano thabiti na watu wengi kwa mda wa juma moja.huo ulikuwa ni utabiri juu ya masihi.ameanza kwa kukwambia masihi atakatiliwa mbali.juma 1 ni sawa na siku 7 ambapo katika unabii siku 1 inasimama kama mwaka 1 (ezekiel 4:6 na hesabu 34:14) hivyo alikuwa anazungumzia miaka 7.anasema katika nusu yake atafanya agano ambayo nusu ya 7 ni 3 na nusu ambayo ndo mda wa kazi ya masihi.KASOME UNABII VIZURI

Michael MathoPosted on8:22 pm - May 20, 2023

Like these messages to assist me on my servant ship.

RevelationPosted on7:34 pm - May 20, 2023

Amen nabarikiwaa🙏🙏

AnonymousPosted on4:45 pm - May 20, 2023

Ubatizo ni ubatizo, haijalishi umebatizwa kwa maji mengi au maji kidogo, mwingi atabatizwa kwenye habari ya Hindi, mwingineziwa Victoria na mwingine mto Mara, wote hawa watakuwa wamebatizwa pasipo kujali wingi wa maji!

AnonymousPosted on3:40 pm - May 20, 2023

Amina, nime barikiwa jamani 🥹🙏

Dina MgolokaPosted on11:18 am - May 20, 2023

Bwana Asifiwe naomba kutumiwa masomo haya kwa njia ya email pia

AnonymousPosted on4:58 pm - May 19, 2023

Ameen Ameeen! Be blessed 🙌

AnonymousPosted on1:47 am - May 19, 2023

NIilikuwa kipofu sasa naona amen na immanuel naitwa ibrahimu

Kambale KihumbiraPosted on7:48 pm - May 18, 2023

Nashukuru sana kwa neno, MUNGU awalinde na kuwabariki mpaka pale atakapo kuja twaa kanisa lake

AnonymousPosted on7:48 pm - May 18, 2023

Nashukuru sana kwa neno, MUNGU awalinde na kuwabariki mpaka pale atakapo kuja twaa kanisa lake

James MwansyemelaPosted on4:14 pm - May 18, 2023

Ahsante kwa ujumbe mwema.

James MwansyemelaPosted on4:12 pm - May 18, 2023

Nashukuru kwa elimu hii njema.

PatrickPosted on9:31 am - May 18, 2023

Mungu awabariki,fikilia tena damu ya mfalme kulambwa na imbwa ni ayibu tena gari la mfalme kusukuliwa mahali kahaba wanaogea ni mchafu kama zaidi!

Yoram Emmanuel wumiPosted on6:11 am - May 18, 2023

Amina

filomena mulembulePosted on12:26 am - May 18, 2023

Amen Amen huduma yenu ni njema sana najifunza mengi mnoo kupitia tovuti yenu pia na WhatsApp group Mungu azidi kuwabariki na kuwatia nguvu WINGU LA MASHAHIDI

Gerald anthonyPosted on10:11 pm - May 17, 2023

Amina sana kwa somo hili zuri ambalo lmenisaidia mimi binafsi kuielewa biblia zaid na kuweza kupambanua mambo mengi ya kibiblia. Mungu akubariki sana mtumishi.

Gerald anthonyPosted on9:53 pm - May 17, 2023

Hakika nimejifunza mengi sana, na ni mambo ambayo ni ya kweli kabisa wala hakuna mahali palipo fundishwa kinyume na misingi sahihi ya biblia. Mungu akubariki sana na aendelee kukuzidisha zaidi na zaidi.

Samson L PhubusaPosted on9:06 am - May 17, 2023

Hello God’s servant, surely speaking I’ve learnt the best things from the post!!! Add more to spread much the Gospel!!!!

AnonymousPosted on6:09 pm - May 16, 2023

Hongera sana mumenieleza vizuri, kuhusu neno Dia na mantiki yake, ahsante sana, kufwata maandishi yenu nimegundua ni faida kwangu

AnonymousPosted on3:44 pm - May 16, 2023

Hakika Bwana amekupaka mafuta ya utumishi

Pastor samwelPosted on3:43 pm - May 16, 2023

Hakika Bwana amekupaka mafuta ya utumishi

SAGARAPosted on3:35 pm - May 16, 2023

Mbarikiwe sana kwa ujumbe mzuri

NgowiPosted on11:02 am - May 16, 2023

Nimeipata tafsiri kama nilivyokua naihitaji,Mungu akubariji sana Mtumishi wa Mungu,maana nlihitaji sana kuyajua haya.

Magreth BrysonPosted on9:49 am - May 16, 2023

Asante sana watumishi wa Mungu kwa kuhubiri kweli ya Mungu

AnonymousPosted on9:48 am - May 16, 2023

Nabarikiwa nanyi sana,hakika mnaihubiri Kama neno linavyosema,Mungu azidi kuwatumia

Christian M. NgwataPosted on12:16 am - May 16, 2023

Tafazali naomba na mimi kuungwa kwenye WhatsApp kwamafundisho ya biblia

Kennedy muigaiPosted on11:51 pm - May 14, 2023

Mmenitoa kwenye shimo la uharibifu. Mungu na wabariki kwa baraka za umilele…ASANTENI

Omega Constantine tairoPosted on11:58 am - May 14, 2023

Natamani zaidi kusoma neno la Mungu na kulielewa na natamani zaidi kumjua Mungu na imani yangu ikue

ViolethPosted on8:43 am - May 14, 2023

Mungu awabariki kazi yenu ni njema

JacklinePosted on11:40 pm - May 13, 2023

Hapa naona wajane walimlilia MUNGU ili thabitha arudi nae Petro akaomba pia je wasingeomba angerudi? Kama he watu wasipokutetea kwamba ulitenda mema kama hao wajane itakuaje

VinahPosted on10:31 am - May 13, 2023

Tunaitwa wana wa Mungu kwa njia ya Imani ya kumwamini Yesu Kristo gal 3:26.

Mwalimu naomba nijue utofauti wa kuitwa mtoto wa Mungu na mwana wa Mungu.

VinahPosted on9:28 am - May 13, 2023

Amen, naomba kuuliza vita vya harmagedoni vitatokea baada ya utawala wa miaka elfu moja wa Yesu Kristo duniani au kabla ya utawala huo?

YohanaPosted on6:03 am - May 13, 2023

Wapi katika biblia imenenwa kua sisi waagano jipya , tumeliewa somo lililokua likifundishwa na hao wanyama najisi na waisraeli hawakulielewa somo Hilo, Kisha niwapi tukaruhusiwa kuwala hao najisi mtumishi?

Nuru gakizaPosted on8:06 pm - May 12, 2023

Naomba niwe natumiwa mafundisho haya mtumishi!

Isaiah DavidPosted on7:27 pm - May 12, 2023

Ahsante kwa tafsiri nzuri

TumainiPosted on4:08 pm - May 12, 2023

Naomba niombewe nina allergy inayonisumbua muda mrefu sana sipati hasta Raha nikianza kuwashwa mwili unavimba. Nimeokoka Mungu akubariki Kwa mafundisho

Elisha lukasiPosted on10:10 am - May 12, 2023

Adamu baada ya kumzaa kain,abeli na sethi baadaye alizaa watoto 65 jumla wote walikuwa 68 salathini na 38 wakike 30 wakiume haya ndio majibu kamili.

Daniel mazikuPosted on8:20 am - May 12, 2023

Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu aliye hai🙏🙏🙏🙏
Hakika kazi yenu ni njema sana, Binafsi nimejengeka sana kiroho kupitia masomo yanayoandaliwa kwenye hii madhabahu

VinahPosted on7:43 am - May 12, 2023

Amen. Vita vya harmagedoni vitatokea baada ya utawala wa miaka elfu moja wa Yesu Kristo duniani au kabla?

Mwanza MwanzaPosted on10:57 am - May 11, 2023

Zabur 68:11 Ni Wana Wa Mungu Au Wanawake Kabsa Yaan Jinsia Ya Kike

Dieudonné KahindoPosted on10:45 am - May 11, 2023

Tafadhali na mimi mu add kwenye WhatsApp group number ni +243973566700 nayapenda sana mafundisho yenu, muzidi kubarikiwa na bwana

Kaiza ismail mapundaPosted on10:36 am - May 11, 2023

Namshukuru MUNGU mafundisho yenu yamekuwa yakinijenga kila leo MUNGU WA MBINGUNI AZIDI kuwapa moyo huohuo watumish kwani mwisho wa mboo ndefu ipo thawabu na taji yenu MBINGUNI

Rosemary MapangoPosted on10:02 am - May 11, 2023

Mbarikiwe sana Kwa kuihubir injili ya Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliye hai

Elinuru IfandePosted on9:58 am - May 11, 2023

Asante I sana kwa masomo mazuri mno. Mmenisaidia kunijenga kiroho

RonPosted on7:54 am - May 11, 2023

RON nisaidie maana ya jina hiri ron

GodhelpPosted on11:42 pm - May 10, 2023

Mungu awabariki Kwa huduma hii inayo wafumbua watu macho.Huduma zuri Mungu watumie mzidi kuwafumbua watu

Letcia AlphoncePosted on10:53 pm - May 10, 2023

Asante,Damu ya Yesu iwafche daima

SilvestPosted on8:05 pm - May 10, 2023

Barikiwa mtumishi nimejifunza mengi kuhusu somo hili.

AnonymousPosted on11:51 pm - May 6, 2023

mungu akubariki

Bahati mirembaPosted on10:50 pm - May 6, 2023

Mungu akubariki nimefaidika sana

Silvest nipo mpanda tzPosted on7:45 pm - May 6, 2023

Asante mtumishi

Brian otienoPosted on8:43 am - May 6, 2023

Mimi in Brian kutoka nchini Kenya na ningependa munisaidie kuwa naota ndoto za ushetani kwaba nimepewa pesa nanika kataa kupokea,hilo linaweza kuwa mini hasa

AnonymousPosted on8:06 am - May 6, 2023

Nashukuru, kazi njema Mungu azidi kuwa jaliya Neema Na bidii , ,,, ningependa Sana masomo kuhuzu Kita u cha ufunuo nijuwe umuhimu wake siku Ile mwana wa Mungu anakuja , Ufunuo 13: 1 kuhuzu naomba ,666
Ufunuo 18: Kwa jumla ,,
Fred lusweti ,,, Nairobi

AnonymousPosted on2:02 am - May 6, 2023

NDUGU KATIKA KRISTO YESU
haki ambayo inatajwa kwenye kitabu cha mathay 3:13 sio haki ambayo mkristo wa sasa anayopaswa kuilipa kwasababu iyo haki imekwisha kulipwa pale msalabani na YESU KRISTO kwakua iyo haki tulinyanganywa na shetani pale edeni soma Warumi 5:12-21
KWANINI TUNABATIZWA
(1) kwamaana iyo kama mkristo anabatizwa kwakuwa iloniagizo lililotolewa na kristo kweny waefeso 4:5
(2)yapo mengi yanayo sababisha mkristo abatizwe lakini lengo kubwa ni mkristo kuapokea au kuipata NEEMA
naweza nikaonyesha mambo mengi lakin yote nitarudi apo apo kwenye NEEMA (KUFANYIKA MWANA ,KUSAMEHEWA ZAMBI,KUFUFUKA PAMOJA NA KRISTO/KUZALIWA UPYA,KUHESABIWA HAKI .NK)
kama utakuwa na swali au maoni
0693475464 barnaba

RomanPosted on9:06 pm - May 4, 2023

Jamani mm niko kenya bt mniombee juu nahangaika sana na maisha

Kissinger mmbayiPosted on9:07 pm - May 3, 2023

It is of benefits to my spirit.

Allen AllenPosted on8:56 pm - May 3, 2023

Barikiweni saana enyi Wana wa Mungu, hakika nimeokolewa saana na maandiko yenu haya.. Nimeuelewa kwa kiasi sasa Unabiiii…
Mungu awabariki saanaa.. Natamani kuyapata haya maandiko kila iwezekanavyo..

NEEMA ALICEPosted on7:59 pm - May 2, 2023

Bwana akubariki sana mtumishi wa Mungu Kwa kutupa neno hili nami nimebarikiwa sana,nitazidi kutafuta ufalme wa Mbinguni na nizidi kuomba nakufunga na niache mambo yote yasiyo mpendeza Mungu 🙏🙏

ShosePosted on3:46 pm - May 2, 2023

Maarifa yanayozungumziwa hapa ni kweli si maarifa ya darasani bali ni maarifa ya moja kwa moja yarokayo kwa Mungu kuja kwa kuhani na kuachiliwa kwa watu wa Mungu ili wasiangamie. Makuhani wamekaa nje ya uwepo hivyo kukosa neno la maarifa toka kwa Mungu na kisha kwa wakristo. Nyakati hizi kondoo wanazagaa na kupigwa kikatili. Makuhani wanaeanyoshea vidole na kuwasema walivyokosa maarifa.

AnonymousPosted on12:53 pm - May 2, 2023

Jumapiri.ni.siku.ya.bwana.imeandikwa.wapi?

AnonymousPosted on8:03 am - May 2, 2023

Leave your message we uko sahihi
kufa ni kutomjua Mungu wala imani sahihi ya dini
kufufuka ni kumjua Mungu na kuachana na imani potofu ya awali

kila mtume alikuja kuwafufua watu wake na yule aliyekuwa akimwamini huyo mtume akamfata basi hakufa katika imani kamwe(milele) mpaka siku ya mauti yake

Thenashara DevdPosted on10:23 pm - May 1, 2023

nam nam mtumish nashkuru kwa jibu zuri limeniweka ktk kuzd kukua nakulifaham nen0 kiundan zaid nazaid mbarkiw sana huduma ya wingu la mashaidi

AnonymousPosted on7:33 pm - May 1, 2023

Somo zuri sana la kiasi, Asante Kwa ujumbe maridhawa kabis

NEEMA ALICEPosted on6:27 pm - May 1, 2023

Amen 🙏 Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu Kwa hili neno nimebarikiwa sana,basi acha nami niishi kuwa manukato Kwa Mungu

JeremyPosted on1:53 pm - Apr 30, 2023

BINADAMU WA KWANZA
Mwanzo 1:27 mungu akaumba mtu kwa mfano wake (aliwaumba mwanamume na mwanamke)
BINADAMU WA PILI?
Mwanzo 2:7 mwanaume alifanywa kwa mavumbi ya udongo na mungu akampulizia puani pumzi ya uhai. 2:21-22 ni pale mwanamume anakuwa katika uzingizi na mungu anachukua ubavu wake na kumuumba mwanamke. KUMBUKA BINADAMU WA KWANZA WOTE WALIUMBWA ZIKU MOJA; BINADAMU WA PILI MWANAMUME ANAUMBWA WA KWANZA NA BAADA YA KUWA MPWEKE MUNGU AKAUMBA MWANAMKE…Tafathali naomba maelezo zaidi nipate kuelewa

Benitha GeorgePosted on8:17 am - Apr 30, 2023

Shalom nimekamilisha email yangu
Ninaomba nipate masomo moja kwa moja
Asante mtumishi ubarikiwe.

William NdundaPosted on4:34 pm - Apr 29, 2023

Ahsante kwa ufunuo huo… Mwenyezi Mungu akubariki

AnonymousPosted on1:49 pm - Apr 29, 2023

Uwezo ni nini?

Jibu hapa
0692667266

Issaya ZakayoPosted on8:18 am - Apr 29, 2023

Haleluya, Kwa nini wayahudi walipokuwa wanazika walikuwa wanaweka jiwe juu ya kaburi???

Grace SamiPosted on6:44 am - Apr 29, 2023

Nabarikiwa sana , naomba mmniadd kwenye group yenu wa Whatsapp
Kupitia namba 0756046255

Washikala waeropuPosted on12:39 pm - Apr 28, 2023

Napenda nijuwe mengi zaidi kuhusu biblia na maneno ya MUNGU na roho mtakatifu wa MUNGU.

HildaPosted on7:31 am - Apr 28, 2023

Ni vitu gani unapaswa kuvifanya unapokuwa umefunga? Utaratibu wamaombi unafanywa muda gani?

NelsonPosted on12:55 am - Apr 25, 2023

Kweli mungu I nimushinfi

Isaya KemorePosted on10:16 pm - Apr 24, 2023

Ubarikiwe sana kwa elimu unayoitoa kuwaelimisha watu.

DennisPosted on8:22 pm - Apr 24, 2023

Nimejifunza mengi

PETER MGIMWAPosted on6:01 pm - Apr 24, 2023

Vipi kuhusu kubatizwa kwa jina la BABA, NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU( mt28:19)? na kwanini mitume walibatiza kwa jina la YESU tu? na je walipokea ufunuo mwingine tofauti na agizo hilo la BWANA YESU katika (mt28:19&mark16:15-16)? mubarikiwe watumishi wa MUNGU. Naomba kufahamu zaidi

NEEMA ALICEPosted on2:13 pm - Apr 23, 2023

Amen nimebarikiwa sana kweli Mungu alinijua kabla hata kuzaliwa na sasa nimfiche nini .. Mungu awabariki nyote Kwa kazi nzuri ya kuhubiri neno la Mungu 🙏🙏🙌

Lazaro mwakajela MwafrikaPosted on1:56 pm - Apr 23, 2023

Na ishara hizi zitaongozana nao watanena kwa ruga watatoa pepo watapooza wagonjwa na kufufuawafu hapo kunena kwa ruga ni ishara ya roho mtakatifu

AlphaPosted on9:58 am - Apr 23, 2023

Nimebarikiwa Sana nahuu ijumbe mm naiitwa pst.Alpha naomba tuwa siliane natamani kujiunga nanyi. Katika hi kazi. Ya bwana .namba yangu.0622458348

AnonymousPosted on8:27 pm - Apr 22, 2023

Mungu awatie nguvu katika kazi hii

WILLIAMU PHILIPO MANG’UNDAPosted on5:56 pm - Apr 22, 2023

Nimebarikiwa sana kwa somo hili

Boniphac LukumayPosted on3:23 pm - Apr 22, 2023

Ubarikiwe mtumishi naomba unitumie whatsap 0786239322

AnonymousPosted on2:07 pm - Apr 22, 2023

Nahitaji kupata masomo haya yote kwa whatsap maana kwa kweli yamenibariki haswa

AnonymousPosted on3:34 pm - Apr 21, 2023

Asante mtumishi Mungu akubariki na azidi kukutenda mema

John WycliffePosted on12:28 pm - Apr 21, 2023

Amen ubarikiwe

Nuru ya UpendoPosted on6:34 pm - Apr 20, 2023

Unaweza kutupigia simu kupitia namba zetu tajwa hapo chini, ili utueleze vizuri zaidi na pia tuombe…

Felix MshanaPosted on9:26 am - Apr 20, 2023

I am happy to find this page
Please ray for each other including me, nimepata BP inanisumbua sana, pia kuna kitu kimauta mguuni sielewi ni nini , napaka dawa hakiishi. Naomba mniombee sana

NEEMA ALICEPosted on1:25 am - Apr 20, 2023

Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu nimeelewa vizuri sana na ni mebarikiwa

Stephen kyaloPosted on5:02 pm - Apr 19, 2023

Napenda sana neno la Mungu

Ephraim AloycePosted on6:46 am - Apr 19, 2023

Nahitaji kupata haya masomo

Isaya MoshiPosted on11:51 pm - Apr 18, 2023

Asante Kwa neno zuri , ubarikiwe sana

dr.TumainiPosted on10:58 pm - Apr 18, 2023

asante sana mtumishi.

ZilperPosted on6:58 am - Apr 18, 2023

Shalom, mbona siku hizi sioni ule mtiririko wa masomo ili nichague

KALEBI SHEDRACK MHAWIPosted on9:54 pm - Apr 17, 2023

Mtumishi ubarikiwe sana kwa somo zuri. Tuwaombee kwa Mungu awafungue ufaham hawa wanao abudu huku wakivibusu visanam wakiwa kwenye mimbari (Madhabahu) za makanisa yao.

Mtasingwa FarajaPosted on8:19 pm - Apr 17, 2023

Kweli kabisa

NEEMA ALICEPosted on2:28 pm - Apr 17, 2023

Nimebarikiwa sana na neno hili MUNGU awabariki sana Kwa kazi nzuri mnaoifanya ningependa kujua namna ya kuomba pia

ZilperPosted on5:49 am - Apr 17, 2023

Shalom,nashindwa kudownload app ya wingu napata msg kuwa ni ya old version imetengenezwa kwa ajili ya android,naipataje

Bishops Daniel MaritimPosted on4:36 am - Apr 16, 2023

Asante Sana na mungu akubariki sana

MAGENAPosted on3:58 pm - Apr 15, 2023

AMINA TENA AMINA

JULIUS CHACHAPosted on9:46 am - Apr 15, 2023

Haya masomo naweza kuyapata kwa njia ya Whatsapp?

ISAACK MLEMWAPosted on9:11 pm - Apr 14, 2023

Bwana yesu asifiwe!

AnonymousPosted on5:51 pm - Apr 14, 2023

Tuu pamoja katika Imani Bwana Yesu Akubariki sawa sawa na Zaburi 20:1-9

NEEMA ALICEPosted on1:46 pm - Apr 14, 2023

MUNGU akubariki sana mtumishi wa Mungu Kwa neno hili lakini je Kwa mfano yule anayepokea fedha Kwa mtu anayefanya kazi ya haramu na pengine hajui kazi ya mwenye analeta pesa itakuwa naye amo dhambini? Naomba jibu

Mathias MbomaPosted on7:41 am - Apr 14, 2023

Hakika Mungu atabaki kuwa Mungu. Amen

Charles Athanas chishsyelaPosted on6:47 am - Apr 13, 2023

Asante

Fidelis Kassian AugustinePosted on5:30 pm - Apr 12, 2023

Be Blessed For The Fruitful Lesson

Fidelis Kassian AugustinoPosted on5:29 pm - Apr 12, 2023

Am too Interested With The Lesson…God Keep you..

Bundala jumanne ramadhanPosted on1:04 pm - Apr 12, 2023

Namebarikiwa na mafundisho haya.

SamweliPosted on5:49 pm - Apr 11, 2023

Kazi njema Mungu ni Mwema kwa kunipa kuona haya Yana nijenga Ahsante.

NIYIKIZAPosted on2:38 pm - Apr 10, 2023

ASANTE SANA KWA HUDUMA HII?

NicholausPosted on11:56 am - Apr 10, 2023

Maana ya jina Nicholaus na chimbuko lake

Mtasingwa farajaPosted on9:25 am - Apr 9, 2023

Asante mtumishi

mama GPosted on4:21 am - Apr 9, 2023

naomba kuunganishwa kwenye group

Manase GasparPosted on1:40 pm - Apr 8, 2023

Nimebariliwa sana na fundisho Hili. MUNGU azidi kuwafanikisha na kuwatumia kwa utukufu wake

Paul peterPosted on1:14 pm - Apr 8, 2023

Mungu akubariki ndugu kazi yako ni kubwa

Willy kisalaPosted on11:31 pm - Apr 7, 2023

Merci trop. Je comprends

Isaya KemorePosted on9:01 pm - Apr 7, 2023

Amina, ubarikiwe sana.

AnonymousPosted on8:07 pm - Apr 7, 2023

Amen barikiwa sana.

Meshack DodomaPosted on7:00 pm - Apr 7, 2023

Amen, nimebarikiwa sana na masomo niliyosoma.
Nahitaji kujiunga na website hii Ili niwe napata mrejesho Kila mnapo post

ProsperPosted on11:58 pm - Apr 6, 2023

Vipi sasa kuhusu Ili andiko mimi sijaielewa vizuri ni fafanulia
Kumbukumbu la torati 14:8 inasema
Na nguruwe,kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui,huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse

Tito brunoPosted on8:34 pm - Apr 6, 2023

Ninazidi kubarikiwa na kufunguka kwa mafundisho yenu asante sana

Esther IkombaPosted on6:51 am - Apr 6, 2023

Yes send me bible lessons. May Lord bless you.

Stellah GideonPosted on6:59 pm - Apr 5, 2023

Be blessed.

NIYIKIZAPosted on5:58 am - Apr 3, 2023

HII UFUNUO 12 SIJAKUELEWA HATA KIDOGO MPENDWA MAANA NAVYOJUWA NIKWAMBA
1MWANAMUKE=KANISA.
2JUWA=NEEMA YA YESU KRISTO
3MWEZI=MANABII AO AGANO LA KALE.
4JOKA=SHETANI
5MTOTO MWANAUME=BIBI ARUSI NA UJUWE ALINYAKULIWA MBINGUNI SI KUKIMBILIYA MISRI.
6MWANAMUKE KULISHWA SIKU 1260=BIKIRA MPUMBAFU ANASHULURIKIWA MYAKA 3.5
MASALIYO YA MWANAMUKE WASHIKAO SHERIA YA MUNGU=144000ISRAEL
SHETANI KUSHUSHWA AKIJUWA ANAMUDA MUCHACHE=NI ULE MUDA WA MYAKA 7.
ASANTE NDUGU

AnonymousPosted on10:36 pm - Apr 2, 2023

Mwenyezi Mungu akubariki mtumishi wa Mungu

TitoPosted on10:17 pm - Apr 1, 2023

Dakika 1 kabla sijatumia nguvu kutafuta ujumbe wowote wa kimungu mtandaoni, nilikua na mawazo mabaya sana, ila nikakutana na ujumbe wenye kichwa “UUMBAJI BORA WA MUNGU UPO NDANI YA MWANADAMU” nimeguswa sana na ningependa kujifunza zaidi, barikiwa na BWANA.

Jelly Anthony KasimbaPosted on11:38 am - Apr 1, 2023

Ahsante sana

Simon NicolasPosted on12:43 am - Apr 1, 2023

Haya maarifa unafunuliwa na Roho Nini? Mungu akutunze mtumishi wa Mungu ..hii source ya maarifa hasa Kwa nyakati hizi za mwisho ni nzuri sanaaaa …

BatmanPosted on11:54 pm - Mar 31, 2023

Hata mm nataka kujiunga jamani tena kwa hamu kabsa

Simon NicolasPosted on10:58 pm - Mar 31, 2023

Kuna sehemu Bwana yesu alisema kuwa watakuwepo wawili wakisaga mmoja atatwaliwa mmoja ataachwa wengine waliolala mmoja atatwaliwa mwengine ataacha vipi kuhusu hayo?

Honoré kapata mushaoPosted on1:10 pm - Mar 31, 2023

Mafundisho haya nimazuri Sana kwamaana yanasaidiya watukwa kujitambua,na kujuwakujitayarisha kwamaishayakiroho,nilikuwanahitajikujifunzazaidi.

Bahati mirembaPosted on10:44 am - Mar 31, 2023

Namshukuru mungu sana kuangukia iyi ujuwe sababu nilikuwa sijaelewa ili neno vizuru asante sana namungu akubariki sana na akujaze mengi

MBONIMPAPosted on11:33 pm - Mar 30, 2023

Shaloom, Mungu awabariki Sana Kwa kazi yake.

Joseph burudi kutoka kenya.Posted on3:38 pm - Mar 30, 2023

Asante mtumishi wa Mungu kwa kutoa mwanga kuhusu sherehe ya easter.

bahati mirembaPosted on7:38 am - Mar 30, 2023

Asante sana kwa mafundisho naweza penda nipate mafundisho kwa njia ya email : http://www.bahatimiremba@gmail.com

FelicianiPosted on2:05 pm - Mar 28, 2023

Leave your message

AnonymousPosted on10:41 am - Mar 28, 2023

Naomba uniunge 0758277600

AnonymousPosted on10:40 am - Mar 28, 2023

Naomba niunge watsap 0758277600

Adam KastayPosted on1:23 am - Mar 28, 2023

Napenda kuendelea kupata mafundisho haya

+255766730000

NIYIKIZA OLIVIERPosted on2:18 pm - Mar 26, 2023

Mpendwa ubarikiwe sana tena sana. Utuelezeye juu ya mapigo saba. Baragumu saba.

K sPosted on10:06 am - Mar 26, 2023

Kila jambo lawezekana kwa mungu 2

NIYIKIZA OLIVIERPosted on8:23 am - Mar 26, 2023

ASANTENI SANA

Eunice TengwaPosted on7:21 am - Mar 26, 2023

Nashukuru Sana Kwa mafundisho yenu

Neema MhalwaPosted on11:05 pm - Mar 25, 2023

ahsanten sana nimebarikiwa nimejifunza kitu Mungu awabark

Estone LukangaPosted on5:05 pm - Mar 25, 2023

Habari zenu Mbarikiwe sana na Bwana nimependa na naomba mnitumie historia ya watunzi wa nyimbo zote za Tenzi za Rohoni

Nitafurahi sana mkianza leo

LindahPosted on10:54 am - Mar 24, 2023

Salamu za Bwana wetu Yesu krsito ziwafikie. Nimeupitia huu ujumbe na nimesaidika pakubwa sana..bila shaka naenda Kuushiriki na wengine. Mbarikiwe sana mnapoaendelea na hii Huduma ya baraka na Nina Nia ya kufahamu na kuelimika zaidi kupitia kwenye jumbe zenu. Bwana wa Amani awazidishie neema.

Ally KinotaPosted on11:28 am - Mar 23, 2023

Bustana ya Eden ipo Tanzania mahali penye wanyama mito maziwa na matunda yote uyajuayo hustawi huko ndio taifa teule lenye aman na utulivu na furaha ndio sababu watu wote duniani huja huko kutembelea hiyo bustani nyongeza ni kwamba ndio eneo pekee lenye vithibitisho kuwa fuvu la binadamu wa kale lilipatikana huko unyayo upo huko na hata michoro ipo huko hivyo haitaji akili kubwa kutafakari bustani ipo kama ni zao alilolima Adam ni ngano ulezi vyote hulimwa huko

MrsPosted on11:53 am - Mar 21, 2023

Naomba link nijoin Whatsapp
Mbarikiwe

AnonymousPosted on12:03 pm - Mar 20, 2023

Ahsante kwa fundisho

Nico sangaPosted on8:20 pm - Mar 19, 2023

Nimebarikiwa na neno, amen.

Joseph DottoPosted on9:36 am - Mar 19, 2023

Nimejikuta nahitaji sana kusaidka na wewe.
Japo ni nje ya Ndoto ila kuhusiana na hilo nimekuelewa sana na kimsingi umeendelea kuimalisha sehemu ya hatua zangu kwa Bwana Yesu…!
Je, naweza kuwa na personal communication na wewe ili unisaidie jambo?

Emmanuel AaronPosted on5:37 pm - Mar 18, 2023

Ningependa kupata mafundisho zaidi kupitia email yangu

Damian PeterPosted on6:58 pm - Mar 16, 2023

Mungu azidi kuwabariki

Mboya AnangwePosted on1:06 pm - Mar 15, 2023

Am always aprouud with you people…for real nilikuwa nimepotea..

Christopher kirumbiPosted on4:03 pm - Mar 14, 2023

Nimebarikiwa sana na neno la Mungu kutoka kurasa hizi ..ningependa kupata masomo zaidi

AlexPosted on11:54 am - Mar 14, 2023

Nashum kuru mungu ya maneno mzuri sana katika kanisa na biblia moja dunia leo ni furaha mimi mtoto ya mungu thank you God of time Amen of people

Alexander Chang’endo MbwamboPosted on5:43 pm - Mar 12, 2023

Je vipi kama mtu hukutoa malimbuko mwanzoni je ni sahihi kutoa baada ya kugeuka na kutubu kwa wakati huo

FarajaPosted on8:09 pm - Mar 11, 2023

Nimeipenda sana mungu akubariki sana

AnonymousPosted on11:38 am - Mar 11, 2023

Maana ya jina prosper

Eliza KilowokoPosted on7:36 am - Mar 11, 2023

Asante sana mtumishi

Peter mbaabu murungiPosted on9:41 pm - Mar 10, 2023

Leave your message maobi ni kama bengu hiliepandoa kwa mushanga munono muishoe hushubuka na kumea na kushaa mia kwa mia .naoba bujifushe njia nya kuoba kwa mana maobi hulifua na mungu

Peter mbaabu murungiPosted on9:18 pm - Mar 10, 2023

Leave your message mrmi ni mutumishi wa mungu na nimepaja kashi miaka mingi nya kuobea dunia na kutoa hu nabii mbarikiweni watoto wa mungu

Selina MasegesePosted on8:31 am - Mar 9, 2023

Naomba kujua namna ya kuomba

AnonymousPosted on11:12 pm - Mar 7, 2023

Asante tumebarikiwa na kazi hii

Paul PeterPosted on1:43 pm - Mar 7, 2023

Mungu akubariki sana ndugu kazi yako ni kubwa unayoifanya masomo ambayo huwa nayasoma kwenye blog hii yamenitoa kiwango kimoja hadi kingine katika imani yangu

AnonymousPosted on6:46 am - Mar 7, 2023

Ameen ubarikiwe ndugu

Matendo mwandaza eliePosted on5:27 pm - Mar 6, 2023

Asante sana kwa mungu kwa ku tu funguwa maco ku pitiya wa tumishi wake sasa tuna weza ku chocheya karama zetu.

NikolasPosted on1:55 pm - Mar 6, 2023

Rejea hesabu 21:8-9 Hii maan yake waisrael waliabudu sanamu za NDANI Kwa amari ya MUNGU gan maan Maan Musa asi ngeweza kumweka nyoka mtini

Simon kabungoPosted on7:23 am - Mar 5, 2023

Naitwa simon, nimepitia mafundisho yako mengi na kupendezwa nayo. Nina swali moja nahitaji ushauri lakini pia njia sahihi ya kufanya. Ninae mke na mtoto mmoja lakini kwasasa ameondoka kwangu kwa kunitoroka na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine pasipo sababu maalumu zaidi anasema ameamua. Je, ni hatua gani za ki-Mungu naweza kuzifuata? Na je naruhusiwa kuoa mwingine?

    Nuru ya UpendoPosted on5:48 am - Mar 8, 2023

    Shalom, hapo hupaswi kuwa na maamuzi ya haraka, waweza kumwita, na kutatua tofauti zenu, mbele ya kanisa la Bwana, yamkini atarejea na kuacha ukengeufu wake

Evans Seveni ! Silas , nasambu amen .Posted on3:40 pm - Mar 4, 2023

Asanteni mbarikiwe nanyi ameen ,tumejifunya mengi mazuri ya MUNGU .

Iman AlbertpPosted on3:38 pm - Mar 1, 2023

Naomba niunge kwenye group la watsup 0755767044

R.B.KunyalaPosted on7:53 am - Mar 1, 2023

Kama mtu ana Nyumba za kupangisha katika kiwanja kimoja(Apartment zaidi ya mbili).Huyu atatoa vipi Malimbuko?

Vian Arobogast NtarePosted on7:50 am - Feb 28, 2023

Aman.zimebarikiwa ‘na tafsiri hizi

Goodluck mlingaPosted on5:26 pm - Feb 27, 2023

Namshkur Mungu Kwa tafakuri hiii Mungu awabariki na kuwatunza Kwa huduma hii tukufu… naomba mniunge Kwa group la watsap 0684781020

AnonymousPosted on1:59 pm - Feb 27, 2023

Naomba unitumie mistari ya biblia inayoelezea uzao

Lucy wambuiPosted on9:49 am - Feb 27, 2023

Nimeelimishwa zaidi…..barikiwa sana

Daniel PiusPosted on11:53 pm - Feb 24, 2023

Mungu awabariki sana, naomba muwe mnanitumia haya masomo

KevinPosted on10:01 pm - Feb 24, 2023

How can i deal with the SPIRIT OF BACKSLIDING?

Man macPosted on10:33 pm - Feb 23, 2023

naomba muwe mnanitumia mahubiri na masomo mbalimbali. Asante

AnonymousPosted on8:50 pm - Feb 22, 2023

Leave your message

Obed mwalyalaPosted on8:32 pm - Feb 22, 2023

Asanten sana kwamafundisho mazur BWANA MUNGU awabarikie nakuwapa aman

AnonymousPosted on4:49 pm - Feb 22, 2023

amen, lakini kunajambo nimekuwa nikilifanya kwamuda mrefu nimekuwa niki bet lakini kuna watu kadhaa wamekua wakisema kubet ni dhambi, hivi inawezekana je ikawa dhambi? mbona kuna watu wanafanya biashara inakuwa sio dhambi wengine wanatumia pesa kwa aina nyingi inakuwa sio dhambi, kadhalika mimi ku bet tu kwenye simu ya itel (sio hata android) inaweza je kuwa dhambi, tena ninapo bet nikwenye kandanda na nipesa ndogo kama vile 500 yakikongomani au 1000 yakikongomani?

MosesPosted on5:35 am - Feb 22, 2023

Maombi ya kuacha tamaa na uoga

JEAN MARIE BITAPosted on12:23 am - Feb 22, 2023

mungu awabariki, moja kati ya fundisho lililokuwa limenipa utata nikuhusu kula damu lakini kwasasa nimejua kweli.asante sana

JEAN MARIE BITAPosted on12:07 am - Feb 22, 2023

mara nyingi nimekuwa nikijiuliza jambo hili, wakati unapo zozana na ndugu yako na baada ya masaa ma chache kila mtu akayaachilia mambo hayo(kuyasamee, kuto kuyakumbuka tena na amuja ombana msamaa)je kuna umuhimu wa kuomba msamaha tena?

MichaelPosted on10:36 am - Feb 21, 2023

Ningependa uwe nanitumiya haya masomo kwa njia ya gmail.com, anuani yangu hiyi : michaelnzungu2@gmail.com

NathanPosted on12:19 am - Feb 20, 2023

Nimependa mafundisho yako

PASKO DONIPosted on10:31 pm - Feb 19, 2023

Amina ubarikiwe mwalimu kwa mafundisho ya maneno ya mungu yenye uzima

Imani John MbembelaPosted on9:02 pm - Feb 19, 2023

Nimekuwa nikifuatilia makala za neno la MUNGU kutoka kwenu na nimekuwa nikibarikiwa sana lakini hapa katika suala la ubatizo naona tunapishana sana YESU alituagiza kubatiza Kwa JINA LA BABA NA LA MWANA NA ROHO MTAKATIFU

Stany ndumePosted on8:42 pm - Feb 19, 2023

Habari zamda uhu,naomba kuombea kudumu katika yesu

Sume MbenaPosted on8:34 pm - Feb 19, 2023

Nzuri. Inaelimisha. Imaeleweka.

PETER MGIMWAPosted on3:47 pm - Feb 19, 2023

Ooooh my LORD JESUS MUNGU aendelee kuwatumia watumishi wa MUNGU NAZIDI KUBARIKIWA MNO kupitia page hii. Ombi langu kwa MUNGU adui asipate nafasi katika kupokea MAFUNUO haya toka kwa MUNGU , Muepushwe na mapando yote ya adui.

Obadia KabunguPosted on7:31 am - Feb 18, 2023

Asante Sana nimebarikiwa Kwa kupata ufafanuzi huu mpya kupitia maandiko ya Biblia Sasa inabidi niuache wa kidunia

Matendo mwandaza eliePosted on11:34 pm - Feb 17, 2023

Asante sana watumishi wa mungu,awajaliye neema mu mu one kwa kujitoleya kuwapa watu wake dawa ya roho na siri zificwazo katika maneno ya mungu. Dungu zangu ninge penda ku jiunga nanyi lakini mimi ni mukongomani{r.d.c} na ishi ndani ya muji ya bukavu namba zangu ni :+243974394928

Egdius NestoryPosted on5:50 pm - Feb 17, 2023

Barikiwa mtumishi wa mungu naomba
Uniunge kwenye group la whatsup
Namba ni 0754269296

Moses njagiPosted on2:02 pm - Feb 17, 2023

All is okay

Saimon amossPosted on11:32 am - Feb 17, 2023

Amina ubarikiwe mtumish kw mafundisho yako mazur ymenivusha from one stage to another

Isaya WashahaPosted on8:29 am - Feb 16, 2023

Shalom
isayawashaha2017@gmail.com
Au whatsap 0767166171

Matendo mwandaza eliePosted on1:47 am - Feb 16, 2023

Asante sana kwa neema ya mungu ambayo bado anawa aciya watu wake ku okoka kila mahali maneno yake ameiweka ili kuwa fikiya wote walio gizani, na mungu awape nyote mlio fanyikisha maneno haya ku eneya pote ku mu ona siku ya mwisho wa mambo yote

Marygorethy Anthony KamalaPosted on5:25 pm - Feb 15, 2023

Shalom mtumishi wa Mungu. Nilikua najaribu kutafuta ni mistari gani itanisaidia kwenye changamoto yangu niliyonayo.
Mimi ni mtumishi wa serikali nafanya kazi kama cashier lakini nimekua na shida ya fedha. Naweza kujikopesha hela kadhaa ya matumizi lakini nikipata nashindwa kurudisha matokeo yake deni linaongezeka kiasi kwamba naogopa!!!!! Nimejaribu kukopa benki na kupunguza deni lakini badala yake ndio linazidi zaidi ya hapo.
Mpaka mwaka jana December 2022 deni lilikua ni mil 10 hapo nilitakiwa kwenda likizo ikabidi nitafute mkopo kwenye taasisi binafsi ambapo nilipewa mkopo wa muda mfupi miezi 3 na riba ya 10% kila mwezi kwahiyo natakiwa kurudisha mil 13. Nilivorudi likizo muda wa kurejesha mwezi wa kwanza ukafika nilitakiwa kurudisha mil 5 kwakua sikua na mahali pa kuipata ikabidi nichukue humu humu ndani ofisini nikalipa na hivi ninavyo andika hii ujumbe kesho tarehe 16th Feb 2023 natakiwa kurejesha mil 4 na hapa ofcn haipo sijui pa kuipata. Nimeingia hofu kubwa nakosa amani ya kazi kabisa.
Ninaomba kwa hii situation niliyokwambia nisaidie niombe vipi nisimamie vifungu gani ili Mungu aingilie kati!!
Ninafanya biashara pia lakini hela ninayoipata haiwezi kulipa hili deni.
Natanguliza Shukrani

PrincePosted on6:33 pm - Feb 13, 2023

Bwana Yesu asifiwe,kuna mahari sikuelewa kwenye malaika mkuu umemwita Yesu Kristo na biblia inawatenga kabisa katika 1 wathesalonike 4:16. Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na….na sauti ya malaika mkuu mawaza haimanishe Bwana atashuka na sauti yake mwenyewe. Mnisaidie kuelewa.

AnonymousPosted on9:45 pm - Feb 12, 2023

Niunge kwenye group Whatsapp 0745763188

AweyPosted on5:09 pm - Feb 11, 2023

2Timoteo 3:7 huu ujuzi wa kweli niupi unaozungumzuwa hapo

Daudi yohanaPosted on12:51 pm - Feb 11, 2023

Amina ubarikiwe nimejifunzh kitu

AnonymousPosted on9:44 pm - Feb 10, 2023

Hello mubarikiwe sana

BAHATIGLOIREPosted on5:44 pm - Feb 10, 2023

nasema ubarikiwe sana na mafundisho hii unenisaidia sana nakunijenga mungu akujaze mengi na akupe mwisho muzuri

JEMPosted on1:29 pm - Feb 10, 2023

tukisoma matendo ya mitume, tunaona watu wote waliokuwa wakibatiza walikuwa wakishukiwa naroho tafauti nasasa
swali: ule ulikuwa mpango wa mungu katika ule mwanzo wa kanisa? au tufanye je ili nasisi tuwe kama wao?
na zaidi tangu niokoke sijawayi hona watu wakijazwa roho pindi wanapobatizwa hata kwa jina la yesu!!!

AisaPosted on3:45 pm - Feb 9, 2023

Usiku wankuamkia leo trh 9/2/23, nimeota Niko nafanya mitihani, na sijasoma wala sijui Cha kujibu! Pia kuna ndoto niliota miaka km miwili imepita kwamba niliingia nyumbani kwa tu nikangatwa Sana ma mbwa mkono wangu wa Julia, niliumia Sana nikatoka nje tena nikangatwa na mbwa!

VICTOR MKONYPosted on2:24 pm - Feb 9, 2023

Nahitaji ujumbe wa neno la Mungu kila siku kwenye email yangu hii

Bless andulilePosted on5:58 am - Feb 9, 2023

ubarikiwe mtumshi kwa ujumbe mzur hakika nimejifunza jambo kupitia ujumbe wako Mungu awe pamoja nawe

GodblessPosted on2:44 am - Feb 7, 2023

Mungu akubariki sana Mtumishi, hii ni miongoni mwa Hekima zinazopaswa kufuatwa ili watu wasiendelee kufikiria vibaya juu ya NDOTO na TAFSIRI zake, Ila ni kumfikiria Mungu wa Mbinguni.

starringPosted on6:12 pm - Feb 6, 2023

this is beutiful

JEAN DE DIEU MUNYAMBABAZIPosted on8:09 am - Feb 6, 2023

Bwana Yesu asifiwe mpendwa! Asante kwa mafundisho ya kila wakati mubarikiwe.
Nimekuwa na swali ndani ya Kitabu ya mwanzo sura ya 1:26- na kwa sura 2:18 mbona ni habari ambazo zinapingana ukweli ni upi? Mfano: Mtu na minyama kipi kilichotanguliwa kuumbwa? Je nyuma ya siku ya saba ya kupumzika mbona kwa sura 2 tunaona kuumbwa tena kwa Adamu na hawa kutoshwa ubavuni mwake je nyuma ya siku 7 Mungu alifanya kazi tena? Munisaidie kuhusu hii .Nashukuru

RahabuPosted on8:24 pm - Feb 5, 2023

Leave your messag
Maana ya jina dickson,aiden,disheni

AnonymousPosted on5:36 am - Feb 5, 2023

Je, pombe ni dhambi?

CHARLES JAMES MBAGWAPosted on10:24 pm - Feb 4, 2023

Nayapenda sana mafundisho yako Mungu akubariki sana

Cleven NassaryPosted on1:30 pm - Feb 4, 2023

Bwana Yesu asifiwe Mtumishi wa Mungu,naomba kuuliza kuhusu Hosea Sura ya 2 yote inamaanisha nini?

DavidPosted on12:03 pm - Feb 4, 2023

Kanisa ya ukweli ni

PrincePosted on5:13 pm - Feb 3, 2023

Nawaza alitupwa chini lakini chini haimanishi duniani,maana dunia bado kuwa shetani katupwa

isackPosted on1:30 pm - Feb 3, 2023

Leave your messagemy name isack nina taka kujua jinsi ya na kujiunga na nyinyi

KelvinPosted on1:08 am - Feb 3, 2023

Ivi ni kweli kuna vitu vya upako

PenuelPosted on12:37 am - Feb 3, 2023

Nimebarikiwa sana na mafundisho,ila hiyo ndoto ya huyu ndugu yangu ni halisia

    AnonymousPosted on1:14 am - Apr 5, 2023

    Mungu akubariki kwa ufafanuzi wa neno la Mungu. Kazi yako ni njema sana ndugu utalipwa usipozimia roho.
    Hapo anavyosema kama vile siku za Nuhu au suku za rutu hamaanishi uchache Wa kiasi hicho Bali akimaanisha jinsi ambavyo hiyo siku ya kujakwake haijulikani.

    Pia baada tu ya unyakuwo watu watajua kwamba kuna jambo kubwa limetendeka maana ni jambo la kutisha hilo. Maana ili Kazi ya mpinga kristo ifanyike na ionekane kwa wale atakaowatawala atakuwa anajaribu kuituliza dunia kuwapoza baada ya mfadhaiko utakotokea baada ya unyakuwo, ndio maana kwa watakokataa kuipokea chapa ya nembo Yake atawadhuru kwa mateso.

    Ubarikiwe na Bwana Yesu endelea na Kazi ya Kristo ndugu.

Jovitha JoshuaPosted on10:56 pm - Feb 2, 2023

Naomba mnisaidie kumuombea mama yangu anaumwa kifua naomba Mungu amponye na magonjwa ya kifua kuanzia Sasa🙏🙏

JEAN MARIE BITAPosted on7:58 pm - Feb 2, 2023

shetani ni roho, lakini maandiko matakatifu yanasema atakuja kufungwa na mnyororo, inawezekana je jambo hilo roho afungwe na mnyororo?

Gabriel.Posted on3:45 pm - Feb 2, 2023

Jaman xi mxubri xku ya mwixho mbna mnazozana kila mtu na imani yake. Kama unauwezo tengeneza kanixa lako na ulifanye kuwa la kwanza na takatifu.

MatildaPosted on12:05 pm - Feb 2, 2023

Shalom. Kwa nini Raheli aliiba miungu ya baba yake ?

Zaburi lucas nahigombeyePosted on9:24 am - Feb 2, 2023

Dinar ni nin?

AnonymousPosted on4:58 am - Feb 2, 2023

Utukufu kwa Mungu wetu aliye mbinguni

JuvenilePosted on9:57 pm - Feb 1, 2023

Well done GOD wanna pay for you

PrincePosted on2:13 pm - Jan 31, 2023

Adamu alijikabizi mwenyewe kwa kifo,kwanza kama hangeonja kwa kifo shetani angeonekana kama msema kweli. Lapili composition ya mti waliokatazwa ilikuwa kuyajuwa mema na mabaya baada ya ujuzi huwo kukawa kifo kuvuna ulioyapanda sijaona shida hata kamwe.

AnonymousPosted on2:14 pm - Jan 30, 2023

Huu Ni ufunuo mkubwa
Nimeelewa vizuri sana
Asante roho Mtakatifu.

AnonymousPosted on6:55 pm - Jan 29, 2023

Kwanini leo ndani ya Taifa la Israel lina watu wengi tena wakubwa halafu hao ndiyo mashoga na kwanini Taifa linaunga mkono swala la ushoga kiasi kikubwa vile

Killian BayaPosted on5:33 pm - Jan 29, 2023

Naomba nitumiwe mafundisho mbalimbali ya Bibilia

AUGUSTINOPosted on4:30 pm - Jan 29, 2023

Nahitaji kujifunza mengi juu ya habari za ufalme wa Mungu na kusudi na mapenzi ya kuumbwa kwetu na kuurithi ufalme wa Mungu

Maruti EmmanuelPosted on12:14 am - Jan 29, 2023

Thanks so much for the gospel, i have learn alot through this scripture

DavidPosted on1:23 pm - Jan 28, 2023

Ni kanisa gani nzuri

TITUSPosted on4:57 pm - Jan 27, 2023

Leave your message

victor mgendwaPosted on3:40 pm - Jan 27, 2023

Barikiwa Sanaa kwa message hii

Yohana Thomas SaidPosted on9:00 am - Jan 27, 2023

Barikiwa sana muandishi

AnonymousPosted on4:55 am - Jan 27, 2023

MUNGU WA MBINGUNI AKUBARIKI

EverlynePosted on11:05 pm - Jan 26, 2023

Amen asante kwa mandiko

Jackson JuliusPosted on9:58 pm - Jan 26, 2023

Ubarikiwe sana mpendwa, naomba uniunge whatsap ili niwe napata masomo zaidi 0747465324

HadlayPosted on7:59 pm - Jan 26, 2023

Maana ya jina hadlay , eltoladi , yunisi.

Nikolaas emanueliPosted on3:59 pm - Jan 26, 2023

Mathayo9:29na mrko9:23na marko 16:17 anaetakiwa kuamini ninani je ni anaewekewa mkono au aneweka mkono

Bahati gloirePosted on12:54 pm - Jan 26, 2023

Mungu akubariki sana mtumishi umenifariji katika uzaifu wangu na nimebarikiwa sana tena sana

Aggrey NyarigotiPosted on8:33 pm - Jan 24, 2023

Nimebalikiwa sana naningependa kuendelea kusoma

JEAN MARIE BITAPosted on1:27 pm - Jan 24, 2023

nimetoka kusoma mafundisho ya rejeabiblia.com ,najiuliza nikwanini walijitenga nanyi, munaweza kunipa mwangaza tafazali!!!!

steve hamisiPosted on12:35 pm - Jan 24, 2023

bado nina swali mbona majina mengine alijifunua kwa musa lkn jina la yesu ni wapi ambapo mungu amejifunua??

Musyoka SamuelPosted on10:37 am - Jan 24, 2023

Jini alata ni jini la aina ngani

WanjiroPosted on8:41 am - Jan 23, 2023

Ujumbe huu umebariki moyo wangu sana na kunipa faraja kuu. Mungu akubariki na akuzidishie neema ya kuihubiri injili hii yake Yesu Kristo.

AnonymousPosted on9:11 pm - Jan 22, 2023

Whatsup +255763877573

Mercy cheliPosted on9:17 am - Jan 22, 2023

Huwa naota nafanya mapenzi na aliyekuwa mume wangu maanake

Lucas mhulaPosted on6:51 pm - Jan 21, 2023

Amina ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana kwa ujumbe mzuri

Joash MbwelwaPosted on11:05 am - Jan 21, 2023

Mungu azidi kuwa bariki sana usiku na mchana ,kazi yenu ni njema nami nmebarikiwa mno kwayo, May Almighty God bless you forever and ever for this glorious spiritual service,I have blessed alot through this glorious work🙏🙏🙏🛑🛑

Nikolasi emanuelPosted on9:10 am - Jan 21, 2023

Mathayo9:29na marko16:17na marko9:23 swali je anaetakiwa kuamini ninani? Anaewekewa mkono au anae weka mkono

SephaniaPosted on4:43 pm - Jan 20, 2023

MUNGU WA MBINGU NA ICHI NA AKUBALIKI

SephaniaPosted on4:25 pm - Jan 20, 2023

MUNGU YEYE AKUONAE SIRINI NA AKUJAZE

SephaniaPosted on4:07 pm - Jan 20, 2023

NA AHIMIDIWE BWANA YESU KWA BARAKA ZOTE ZA ROHONI AMINA

SephaniaPosted on3:44 pm - Jan 20, 2023

AHIMIDIWE MUNGU WA MBINGU NA ICHI MILELE NA MILELE AMINA

oscarPosted on9:30 am - Jan 20, 2023

Leave your message thenkx umenifungua macho

Isaac GorPosted on7:46 am - Jan 20, 2023

Am pastor Isack gor from Kenya nimefurahi sana na mafundisho

Stany ndumePosted on6:44 am - Jan 20, 2023

Amen Mungu ni mwema Sana ,,,na website iyi ninzuri mnoh kwakujifunza Mambo yakiroho ,,,imenisaidiya Sana kukua kiroho ambayo sikujuwa nilifahamu kupitia website yenu Mungu awapendelee sanaaaa.

Anna NanyaroPosted on6:21 pm - Jan 19, 2023

I’m so blessed with this teaching

DanielPosted on12:07 pm - Jan 19, 2023

Naomba kuungwa kwenye hili group

GracePosted on8:11 am - Jan 19, 2023

Nin maana ya jina givani

AnonymousPosted on7:03 pm - Jan 18, 2023

Luka alikuwa mwanafunzi wa Yesu na walikuwa pamoja kila wakati. Je, kwa nini aliandika habari za Yesu kwa kubahatisha bahatisha, na anaanza kwa kusema “naandika hadithi” ! Kwa nini aseme hadithi badala ya kusema “naandika uhalisia”? Maana alikuwa pamoja naye!!

Kingine kwa nini hakuandika miaka ya matukio na tarehe zake?? Maana alikuwa msomi yule na alikuwa shahada ya uuguzi!! Alishindwaje kunakili tarehe za matukio????

Bernad MpangalaPosted on1:17 pm - Jan 18, 2023

Sasa mimi nina Hoja tata. Musa tumesoma vitabu vyake vitano vinavyomhusu ingawa inaonekana ALIKUFA ila kaburi lake hakuna anayejua ni Siri yao na Mungu……… Eliiya hakuna asiyefahamu habari zake ameandikwa sana kwenye wafalme…….lkn ajabu ni kwamba wajanja walizuia na kuondoa historia ya Henoko ambapo Kuna kitabu chake kinaitwa ufunuo wa henoko Mwanzo 5:21-24 “Henoko akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela. Henoko akaenda pamoja na Mungu, baada ya kumzaa Methusela miaka mia tatu, akazaa wana waume na wake. Siku zote za Henoko ni miaka mia tatu na sitini na mitano. Henoko akaenda pamoja na Mungu, naye akatoweka, maana Mungu Alimtwaa” Halafu eti mtu aliyetembea na Mungu vizuri na akatwaliwa halafu asiwe na historia namna alivyokwenda na Mungu?

Ukisoma Waraka wa Yuda 1:14-16
Ndio utaona Kulikuwa na kitabu cha henoko na yuda anesoma Sana hiki kitabu anaposema
“Na Henoko mtu wa saba baada ya Adamu, aitoa maneno ya Unabii juu ya hao, akisema, angalia Bwana alikuja na watakatifu wake, maelfu, maelfu, ili afanye hukumu juu ya watu wote na kuwaadhibisha wote, wasiomcha Mungu, kwa ajili ya kazi zao zote za upotevu walizozitenda, bila kumcha Mungu, na kwa ajili ya maneno magumu yote, ambayo hao wenye dhambi, wasiomcha Mungu wameyanena juu yake. Watu hawa ni wenye kunung’unika wenye kulalamika, waendao kwa tamaa zao, na vinywa vyao vyanena maneno makuu mno ya kiburi, wakipendelea watu wenye cheo kwa ajili ya faida”.

Hii inaonyesha kabisa mtume yuda amenukuu maneno ya henoko toka kwenye ufunuo wa henoko lkn wajanja wakautoa..

    Ayubu Michael GabrielPosted on9:13 am - Nov 3, 2024

    Nahisii kuna vitu vingii sana vya siri vimo kwenye kitabu cha henoko ,,, lakn kwa ajiri ya kujifunza ni vyema tukisome tujifunze

    maxmarickyPosted on12:01 pm - Apr 29, 2025

    hapan sikweli kitabu cha enoko ni kitabu cha maana sana kina elezea siri za mbinguni na duniani maaeneo mengi yalio taja kwenye kitabu cha enoko yapo africa………kwenye kitabu cha enoko mungu alimzungusha enoko ulimwengu mzima………enoko anasema niliona milima iwakayo moto mchana na usiku hii milima ipo ethiopia ila wazungu walivitoa hivi vitabu ili tusijitambue na wakatudanganya kuwa vitabu vilivyo tolewa havina maana jambo ambalo sio kweli kabisa

Mary BiringiPosted on1:15 pm - Jan 16, 2023

Nimebarikiwa na neno la Mungu

LucyPosted on11:24 pm - Jan 15, 2023

SIFA NA UTUKUFU VYOTE NI KWA MUNGU PEKEE. ASANTE SANA

AnonymousPosted on11:17 am - Jan 15, 2023

Leave your message Amen

Adronico RevePosted on8:14 pm - Jan 14, 2023

Sisi hatuitwi “wana wa Mungu”, bali tunaitwa Watoto wa Mungu (Yohana 1:12).
Neno, Mwana wa Mungu linatumika TU kwa Bwana Wetu Yesu Kristo.

Mwana wa Mungu (hyios) ni Yesu Kristo.
Mtoto wa Mungu (tekna) ni yule anayeamini katika Yesu Kristo.

Asante.

Reve.

AnonymousPosted on10:18 pm - Jan 13, 2023

I was understnd

SephaniaPosted on6:48 pm - Jan 13, 2023

AMINA MTUMISHI WA MUNGU UBALIKIWE SANA NA MIMI NAPENDA KUCHANGIA KATIKA HILI ,ISAYA;27:6 .WOTE KATIKA KAZI YA BWANA

AnonymousPosted on1:24 pm - Jan 13, 2023

Leave your message

Eng.Azza MsuyaPosted on8:40 pm - Jan 12, 2023

Amen Mungu AWABARIKI SANA

Gratian KatunziPosted on5:37 am - Jan 12, 2023

Ubarikiwe na Bwana, masomo yako ni yananipa mwanga kila kukicha, nazidi kujifunza na kumjua Mungu ipasavyo, Mungu nawe akutunze wewe na nyumba yako pia.

peterPosted on10:57 pm - Jan 11, 2023

Mungu akubariki sana nimejifunza mengi juu ya chukizo la uhalibifu na kuna vitabu vilikuwa vinanichanganya sasa nime patiwa ufumbuzi

Michael nzunguPosted on8:44 am - Jan 11, 2023

Naitaji kujiunga na ninyi wingu la mashaidi, lakini naishi Uvira DRC

AmosPosted on12:12 pm - Jan 10, 2023

Amen, Mungu wa mbinguni awainue zaidi.

AnonymousPosted on10:13 pm - Jan 9, 2023

Leave your message

Yohan mussPosted on8:48 pm - Jan 9, 2023

Kama Mungu alikuwa akifanya kazi kwa kuwashilikisha malaika je! Walimwona vp Mungu na wakati hakuna aliye mwona Mungu isipokuwa Mwana?

AnonymousPosted on5:45 pm - Jan 9, 2023

Neno cristo limetumika kama jina sio dini

AnonymousPosted on5:43 pm - Jan 9, 2023

Ukiristo sio dini

DoreenPosted on3:50 pm - Jan 9, 2023

Mtoto wa ibrahimu wakwanza inaitwa ishimaile

DoreenPosted on3:45 pm - Jan 9, 2023

Bwana yesu asifiwe

JosephPosted on2:51 pm - Jan 9, 2023

Nashukuru sana mwalimu kwa fundisho zuri
Ubarikiwe

AnonymousPosted on4:38 pm - Jan 7, 2023

Bwana apewe sifa hongeren kwa kazi ya bwana natamani kuendelea kujifunza masomo yenu namba yangu ya whatsapp ni 0746870726

Goddie mwendaPosted on5:12 am - Jan 7, 2023

Leave your message

bahati gloirePosted on3:46 pm - Jan 6, 2023

Ni watumishi wao wenyewe ndio wanaokosesha watu kutoamini kutia watu confusion yenye haina hata maana mutu anabatizwa kwa jina la yesu na mwengine kwa jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu tofauti iko wapi ? Muache kutuchanganya changanya mutu akibatizwa kwa jina la yesu na kwa utatu utakafu lakini kafanya mapenzi ya baba aliye ju ataenda tu mbinguni . Apana kuchanganyisha watu mutufunze tu mapenzi ya baba

AnonymousPosted on12:58 pm - Jan 6, 2023

Haleluya, Mungu awabariki sana, kwa kusambaza Injili hii isio goshiwa, mkate usio chachwa, ninafuraha kwamba Kristo amenitoa Mautini na sasa niko Uzimani, moyo wangu unafurahiya kuja kukuu kwa Bwana wetu Yesu Kristo kumnyakua Bibi arusi wake, Bwana na Aje, karibu Bwana.

AmosPosted on10:35 am - Jan 6, 2023

Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu. Sikujutia kwa kujoin na kundi hili makini, naamini Mungu amewapa neema ya tofauti mno na azidi Kuwapa kibali ili kuufikia ulimwengu….

Diana SimeoPosted on5:11 pm - Jan 5, 2023

Mafudisho ya neno lamungu

SephaniaPosted on4:35 pm - Jan 5, 2023

Amen moyoni najisikia aman

AweyPosted on10:23 am - Jan 5, 2023

Haleluya Bwana na aibariki hili neno lake

RehaniPosted on10:04 am - Jan 4, 2023

Wakati Mungu alimlaani nyoka wakati alipodanganya hawa ndani ya shamba la edeni , akasema na kwa tulbo lako utatembeya wakati hule mwengine wote nyoka alikuwa akitembeya na Nini ? (Mwanzo 3 :14)
N’a wakati Mungu alimwambiya hawa ya kwamba kwa sababu umekula tunda hakika nitakuzidishiya uchungu wako , na kuzaa kwako ;kwa utungu utazaa mtoto ; na tamaa yako itakuwa juu ya Mme wako naye atakutawala. Ina maana Adamu
alikuwa ametawaliwa na Hawa kabla ya kula l’île tunda ?

Asante sana

braitonyPosted on7:45 pm - Jan 3, 2023

Leave your message swal lingine je wanyama wote wametakaswa?

braitonyPosted on7:37 pm - Jan 3, 2023

Leave your message mbarikiwe nimejifunza makumbwa sana

SephaniaPosted on3:13 pm - Jan 3, 2023

Amen nashukuru kwa ujumbe huu !Mungu wa !Mbingu na !Nchi !Bwana !Yesu na akubaliki

Emmanuel KitengulePosted on11:12 pm - Jan 2, 2023

Mungu akubariki mwalimu kwa ujumbe mzuri unaoongeza maarifa zaidi katika ufahamu Lakini nina swali katika Matayo 27:52 Je,miili ya watakatifu waliolala iliyoinuka ilimtangulia Yesu kutoka kuzimuni au Yesu alipofufuka ndiyo alitoka nayo?

Ereve NgoyPosted on10:46 am - Jan 2, 2023

Shalom
Kupanga uzazi ni vibaya?

Joseph ShambaPosted on10:36 am - Jan 2, 2023

Nimebarikiwa sana na Mungu awabariki

Joseph ShambaPosted on10:35 am - Jan 2, 2023

Nimebarikiwa sana na mada zenu. Mungu awabariki sana

nando mahayPosted on12:23 am - Jan 2, 2023

Kumradhi naomba mawasiliano Yako Nina shida ya kiroho zaidi ambayo siwezi kuongea public.. ubarikiwe🙏

amisi bin selemaniPosted on8:43 pm - Dec 31, 2022

asante sana mwalimu kwa mafundisho. Umeibadilisha akili yangu kwanilivyo anza kuwazia kwaajili ya umasikini,nilianza kutamani nijiunge na freemason kama nitatajiri,pia nilianza ata kuabudu ma babu kwajili ya umasikini,naamba musaada wako wa maombi ili mungu anipokeye tena upya.

MICHAEL NZUNGUPosted on9:25 am - Dec 31, 2022

Ningependa ni jiunge na kundi hili la wingu la mashaidi, lakini nakaa mbali sn, naishi DRC katika jiji la Uvira, namba yangu ya simu hiyi hapa +243970774416

bahati gloirePosted on1:52 pm - Dec 30, 2022

asante sana ila sielewi vizuri umesema eti ni watu wa wili tu ndio waliingia kanana ni nani na nani

BahatigloirePosted on12:53 pm - Dec 30, 2022

Na ninani aliye waokowa

bahati gloirePosted on12:50 pm - Dec 30, 2022

Asante sana kwa neno lakini kuna kitu si elewe umesema kama yesu kristo alipanda mbiguni bila kuwaokowa wana wa israeli je tangu leo wangali ndani ya kipindi cha colonia? Na kama hawako tena je waliokolewa muda gani? Naomba unieleweshe mtumishi wa mungu

Bahati gloirePosted on11:53 am - Dec 30, 2022

Sasa mimi ningependa nifanye kitabu ya hii mafundisho yote na maswali na majibu sasa ni vigumu ya andika je inawezekana kupata fichier ambayo inaweza nisaidia kufanya kitabu sababu kuya andika nivigumu

Gloire bahatiPosted on11:42 am - Dec 30, 2022

Nafaidika sana mungu awabariki

AnonymousPosted on1:12 pm - Dec 29, 2022

Naomba kufahamu maana ya neno EVAS

James fliberthPosted on9:26 am - Dec 29, 2022

Ubarikiwe sana mtumishi kwa kujitoleo kufundisha neno la Mungu nasema tena ubarikiwe sana

AnonymousPosted on9:23 am - Dec 29, 2022

Mtumishi umenifungulia pakubwa sana Mungu akubariki

Jean marie bitaPosted on5:55 pm - Dec 28, 2022

Shalom!..sisikama wakristo tunaruhusiwa kuchezo hizi game?
1.card game
2.chekers na
3ludo?

Daniel Jacob ShotoliPosted on10:43 am - Dec 28, 2022

Soma…Isaya 65:20
Ufunuo 21:4
Mathayo 22:24-28 kipi sahihi kuhusu mbingu mpya na nchi mpya?

Lakini kuhusu kuoa na kuolewa ktk nchi mpya na jibu la yesu katika hiyo mathayo 22:24-28

aureus kakogotoPosted on1:55 pm - Dec 27, 2022

napenda sana vipaji vyenu

HoseaPosted on11:56 pm - Dec 26, 2022

Mungu aendelee kukutumia mtumishi.

Mch mass kavumbiPosted on9:42 am - Dec 25, 2022

Leo tunatafakari neno toka MATHAYO 24:24-27

Clovis BwitondePosted on7:58 am - Dec 25, 2022

Jambo WATUMISHI.nimefurahiya haya masomo ya kuhusu maneno ya Mungu.ndio maana penda kama itawezekana tuwe natumiana masomo mengine ya kibinlia.
Asante sana naishi Congo DRC

Charles BukwayaPosted on10:51 am - Dec 24, 2022

Maelezo yako yanatatanisha, kama watu wako paradiso je, atawaleta tena kutoka paradiso ili awafufue?

Omega kitwikaPosted on9:05 am - Dec 24, 2022

Naomba kunitumia mafundisho katika email

Pastor NoéPosted on6:01 pm - Dec 23, 2022

I great you in the name of Jesus Christ. Baada ya kusoma kwa making some la jujus Kama Maria alizala wengine watt bade ya Yesu. Tunashukuru kwa Kazi ya mhimu ambayo mmefanya kabisa lakini hili swali limebaki likielezwa sana na wataalamu. Kwangu mimi nakubaliana na wale watu ambeo wanasema Kama Maria hakuzaa wengine watoto. Mungu hangelipenda kuchanga uzao wake kupitia Maria na wengine watoto wa kidunia. Haha nimesoma article ya mhimu Mayo inaweza kutuangazia sote, nimeipenda kwa sababu imeeleza vizuri kabisa kimila, kidini yani kiblia na kihistoria: Someni hii link: https://ackyshine.com/katoliki/je-bikira-maria-alizaa-watoto-wengine
Asante Mugu awabriki
Mimi ni Mchungaji Noé

    Pastor NoéPosted on6:08 pm - Dec 23, 2022

    I great you in the name of Jesus Christ. Baada ya kusoma kwa makini somo la jujua kama Maria alizaa wengine watoto baade ya Yesu. Tunashukuru kwa Kazi ya mhimu ambayo mmefanya kabisa lakini hili swali limebaki likimwanga wino sana na Wataalamu. Kwangu mimi nakubaliana na wale watu ambao wanasema Kama Maria hakuzaa wengine watoto. Mungu hangelipenda kuchanga uzao wake kupitia Maria na wengine watoto wa kidunia. Hapa nimesoma ingine article ya mhimu Nayo inaweza kutuangazia sote, nimeipenda kwa sababu imeeleza vizuri kabisa kimila, kidini yaani kiblia na kihistoria kuhusu hili suali: tazameni hii link:
    https://ackyshine.com/katoliki/je-bikira-maria-alizaa-watoto-wengine

    Asante Mugu awabriki

    Mimi ni Mchungaji Noé

Nikolaasi EmanueliPosted on4:02 pm - Dec 23, 2022

je kutoa fungulakumi kwenye bahasha nisawa?

AweyPosted on8:16 pm - Dec 22, 2022

Ah hakika ndugu Bwana naatujilie tudumu katika yeye Bwana Yesu akubariki sana?

AweyPosted on8:15 pm - Dec 22, 2022

Ah hakika ndugu Bwana naatujilie tudumu katika yeye Bwana Yesu akubariki sanaa?

Zabron j mikaPosted on2:45 pm - Dec 22, 2022

Asanten na mungu awabariki

AnonymousPosted on2:42 pm - Dec 22, 2022

Asanten kwa mafundisho mazur!

Aswani JudithPosted on9:52 pm - Dec 21, 2022

Asante sana Kwa mafunzo hayo kwa maana Yana mtia MTU moyo

meshackPosted on9:17 pm - Dec 20, 2022

Mimi ni meshack toka ichi ya congo natamani maombezi yenu kwasababu nime tembeleya zambi nashindwa jiepusha kutenda maovu

SephaniaPosted on8:38 pm - Dec 20, 2022

Namshukuru !Baba wa mbingu na ichi !Bwana !Yesu kwasababu ya uzima huu na kunipa !Neema ya kumaliza mwaka huu. nataka nimjue zaidi hata huu mwaka unaokuja kuanza !Ameen

AnonymousPosted on8:06 pm - Dec 19, 2022

BARIKIWA SANA MTUMISHI KWA UFUNUO HUU.🙏

Jimmy Andrew MhiluPosted on3:48 pm - Dec 19, 2022

Naomba kupata masomo zaidi kujifunza kwa njia zote WhatsApp na email..

SephaniaPosted on2:40 pm - Dec 19, 2022

Hivi kwamfano mtu alishabatizwa na akaludi nyuma au akafanya dhambi akija kutubu abatizwe tena?

FransisPosted on1:16 am - Dec 19, 2022

Shalom? Ninajengwa sana na pia nafurahia mafundisho yenu sana. Naomba msaada wa maswali yangu mawili tofauti. (1) JE, NI SAWA KWA MWAMINI KUNYWA POMBE (ALIYEOKOKA AU ASIYEOKOKA, IKIWA TUU ANAMKIRI KRISTO KAMA MWANA WA MUNGU NA MWOKOZI). (2) KUHUSU FUNGU LA KUMI KWA KANISA NI SAWA?

Yohan mussPosted on7:16 pm - Dec 18, 2022

Nini maana ya nyota kutokelezea asubuhi mchana na jioni?

Nsaji geofreyPosted on5:35 pm - Dec 18, 2022

Ubarikiwe sana kwa somo hili kuna maneno maana yake nilikuwa sijajua lakini roho wa bwana kanifunulia kupitia somo lako hili

Esther MwanisiPosted on4:29 pm - Dec 18, 2022

Habari.
Ninafanya utafiti kuhusu nyimbo za kitabu cha “Tenzi za Rohoni.” Kwa hiyo, ninaomba kujua kama nyimbo za kitabu hiki zilianza kutungwa kwa lugha ya Kiingereza kisha zikaja kutafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili? au asili yake ni lugha ya Kiswahili moja kwa moja?

SamsonPosted on2:41 pm - Dec 18, 2022

Kila wakat n kuomba kwa iman

AnonymousPosted on10:49 am - Dec 18, 2022

Asante kwa mafundisho mazuri

Emmanuel KitengulePosted on4:43 am - Dec 17, 2022

Barikiwa sana mwalimu,Swali langu ni hili;Je,mwanamume na mwanamke waliokutana na kuanza kuishi pamoja na kuzaa watoto mbele za Mungu wanatambulika kama wanandoa?Na ikitokea wakaachana na mmojawao akaolewa au akaoa je atakuwa anaishi katika uzinzi?

Budala MosesPosted on4:12 pm - Dec 16, 2022

Mbarikiwe sana wana wingu.Naomba muni add kwa wasssp namber yangu ni:+254711402470.

Apolo peterPosted on1:29 pm - Dec 15, 2022

Ameen nimebarikiwa

Julius chachaPosted on9:46 am - Dec 15, 2022

Nimebarikiwa na ujumbe Huu wa lango

XamwelPosted on2:25 am - Dec 15, 2022

Mtumixhi na mi piah muwe mnanitumia mafundisho kwenye email yangu

JosephPosted on7:01 pm - Dec 14, 2022

Watumishi baraka tele kutoka kwa MUNGU

ThomasPosted on5:09 pm - Dec 14, 2022

Naupenda sanaa ukurasa huu kuhusu kusoma bibilia

ZauloPosted on12:15 pm - Dec 14, 2022

mkasome zaburi 146 :3 muhubil 9 :5 muhubili 12:7 yohana 5:28 -29 watu wote waliokufa wema kwa wabaya wapo kuzimu[ sehemu isiyo na nuru au mwanga) na ufunuo iyo sula ya 6 kwanza uwo ni unabii je m2 anayexali jumapili na unabii wapi na wapi mtaishia kuyabeba mafungu kama yalivyo afu msjue mana ake

zauloPosted on12:04 pm - Dec 14, 2022

nyie wa2 acheni kupotea bila sababu tafteni masomo ya wafu ya wasabato afu linganisheni na yenu au mjue yapi ya kweli

Walter Jerry LookenPosted on7:18 am - Dec 14, 2022

Hakika nimebarikiwa sana kwa Mafundisho haya!!Wapendwa naomba mnitumie mfululizo wa Masomo yote mhm kama Mtumishi mwenzenu ktk mwili wa Kristo.

    Nuru ya UpendoPosted on11:12 pm - Dec 15, 2022

    Amen, kama unatumia whatsapp basi unaweza kuwasiliana nasi kwa namba zilizopo chini ya kila somo, na tutakuunga katika group la masomo ya biblia ya kila siku

joshuaPosted on5:58 am - Dec 14, 2022

jina labwana litukuzwe

MeshackPosted on9:20 pm - Dec 13, 2022

Sukuelewi maelezo ya Kwanza, ajapokufa atakuwa anaishi maanake mtu yeyote afaye katika dhambi huyu sawa na mfu kwa kule kutengana na mungu na mtu afaye katika bwana atakuwa anaishi kwa kuwa amekufa katika bwana na yupo pamoja na mungu mbinguni sio hayo unayoyasema unapotosha angalia usije hukumiwa

StephenPosted on8:32 am - Dec 13, 2022

You continue blessing me at every day

AweyPosted on7:44 pm - Dec 12, 2022

Aminaa aminaa ah nikweli kabisa ndugu Bwana Yesu akubariki sanaa

AweyPosted on7:27 pm - Dec 12, 2022

Amen ubarikiwe sana mtumishi

EMANUEL KIBONAPosted on9:37 am - Dec 12, 2022

Watumishi wa Bwana nabarikiwa sana na mafundisho katika site hii. Lakini pia nina ombi nahitaji vitabu vya rejea katika Lugha ya kiingereza au Kiswahili vyenye mafundisho ya Kiroho

YohanaPosted on10:21 am - Dec 11, 2022

Admin niadd na mim 0767799792

JulianaPosted on10:18 am - Dec 11, 2022

Hallelujah hallelujah mubarikiwe sna kwa SoMo zuri Nimejifunza mengi sna

Mathew FridayPosted on6:53 am - Dec 11, 2022

BWANA awahifadhi katika pendo lake la ajabu. Hakikaa nmepokea ujumbe mzuri sana naomba leo uwe mwanzo wa kunitumia masomo piaaa. Ahsante

Nhalu buluguPosted on7:58 pm - Dec 10, 2022

Nimejifunza jambo

Monica nyagawaPosted on7:47 pm - Dec 10, 2022

Hello family! Navutiwa kujifunza zaidi

AnonymousPosted on6:34 pm - Dec 10, 2022

Kuogea katika ndimi au lunga ya malaika kuna tafauti (by edwin)

AweyPosted on8:18 am - Dec 10, 2022

Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana Kwa masomo mema

AweyPosted on8:42 pm - Dec 9, 2022

Aminaa hii pia ilikua moja Kati ya swali nililo kuwa najiuliza mara Kwa mara sasa nimeelewa jambo hapo

IsackPosted on1:59 am - Dec 9, 2022

Nimepokea sana barikiwa mtumish wa mungu

Samuel wanjalaPosted on1:45 pm - Dec 8, 2022

Leave your message

AnonymousPosted on1:43 pm - Dec 8, 2022

Leave your message

MwaisejePosted on10:15 am - Dec 7, 2022

Muongo mkubwa wewe, unaelezea kuzimu huna fungu hata moja

Yohan mussPosted on5:37 pm - Dec 6, 2022

Ndiyo alikuwa mpagani mwanzo na ana wake zaidi ya mmoja na baada ya hapo akaamini.yaani akampokea yesu kristo.itakuwaje kwa mtu huyo

AweyPosted on7:18 pm - Dec 5, 2022

Ah jaman sisi kujikana tu wenyew tuna ona ni mateso je tuta sema nn siku Ile mbele ya hao walio fia Imani

AweyPosted on1:37 pm - Dec 5, 2022

Aminaa ubarikiwe sana mtumishi

Kihanga mufarijPosted on3:00 pm - Dec 4, 2022

Amujambo ndugu zetu

SephaniaPosted on2:25 pm - Dec 4, 2022

Ase! Nimefalijika kweli kwa somo hili !Mungu wa !Mbingu na nchi na awabaliki

AnonymousPosted on10:09 pm - Dec 3, 2022

Leave your message

AweyPosted on3:04 pm - Dec 3, 2022

Amina je kufunga kuto kula ni kuto kula chochote kabisa? hata kama nimefunga Kwa wiki au mwezi au zaid ya hapo

Yohan mussPosted on10:29 pm - Dec 2, 2022

Balikiwa sana ndugu. Ila ninaswali kidogo ,itakuwaje kwa mtu aliyeoa wake wengi pindi hajaanza kusali. Na baada ya hapo akaamini

Pius matumlaPosted on2:34 pm - Dec 2, 2022

I real enjoyed the word of God be blessed May have more teaching in my email

AnonymousPosted on7:10 am - Dec 1, 2022

Je, kutengeneza shanga pia ni kazi kwa mkristo?

AweyPosted on10:36 pm - Nov 30, 2022

Shalom ndugu Asante sanaa mpendwa wangu hakika ni maneno ya kufufua uzima ndani yangu aminaaa? Mtumishi Bwana wetu Yesu Kristo akuinue juu?

Faraja MkalatiPosted on2:15 pm - Nov 30, 2022

Amen nimejisikia kutiwa nguvu,Mungu akubariki

urmasawa ramathaney asanPosted on10:45 am - Nov 30, 2022

wao pia wanatoxhwa ushuru how apana vilembwesawa

Yohan mussPosted on9:57 am - Nov 30, 2022

Mtumishi nisaidie, kuoa wake zaidi ya mmoja ni dhambi?

Emmanuel KitengulePosted on9:50 am - Nov 30, 2022

Bwana Yesu akubariki mwalimu,na azidi sana kutujalia neema ya kulipenda Neno lake kuliko kitu kingine ili tusijikute tumepoa na kuutamani ulimwengu hatimaye tukawa tumepiga mbio bure.

Frank NambayaPosted on4:56 am - Nov 30, 2022

Ujumbe mzuri
Ahsante

ThomasPosted on12:42 am - Nov 30, 2022

Asanteni sanaa kwa kunijuza habari ya kusoma bibilia, Mungu awabariki

George musamiaPosted on8:59 pm - Nov 29, 2022

napenda sana neno lamungu pia nashukuru sana kwa kazi nzuri watumishi wa mungu

SephaniaPosted on3:13 pm - Nov 29, 2022

MUNGU AWABALIKI NIMEJIFUNZA KWA KWELI

Jastine MwambiPosted on8:24 am - Nov 29, 2022

My fellow brothers and sisters in Christ I greeet you in the name of the Most high God .I hope you are very fine as your spirit nourishes hope your physical is also the same.May God bless you Am actually blessed by the good work you are doing in The Kingdom of God.

StevenPosted on12:06 pm - Nov 27, 2022

MUNGU NI MUNGU TU AKUNA ALLIYE KAMA YEYE

Ludger EdgarPosted on10:58 am - Nov 27, 2022

Kazi nzur sana mtumishi was Bwana

AnonymousPosted on5:59 pm - Nov 26, 2022

nimebarikiwa sana na somo lako mtumshi na Mungu akubariki sana

JoshuaPosted on12:15 pm - Nov 26, 2022

Kama BIBLIA imesema hakuna kitu kilicho najisi kiingiacho mdomoni,inamaana nikinywa pombe,bangi,kilevi hapana unajisi na moyo hauhukumiwi,na Kama nikiangalia nyimbo za kibongo,na Kama nikiangalia ngono Mimi Ni mwanandoa bila hukumu si najisi?

JoshuaPosted on12:11 pm - Nov 26, 2022

Je bangi,pombe ,kilevi,naweza TUMIA Kama sihukumiwi kulingana na ilo somo?

SephaniaPosted on8:06 pm - Nov 25, 2022

AMINA MBALIKIWE

AnonymousPosted on1:25 pm - Nov 25, 2022

Asante mtumishi ubarikiwe mno

AnonymousPosted on10:16 am - Nov 25, 2022

jambo wa pendwa wa mungu nashukuru sana kwa mafundisho mnayo tufunza mimi ni mkongomani sijakua bado na phone ya watsapp lakini nitajitahidi ni nunue ili mniunge nanipate ku faidika zaidi asante sana

SephaniaPosted on8:49 pm - Nov 24, 2022

MUNGU AWAZIDISHIE ILI MZIDI KUFUNDISHA ULIMWENGU

SephaniaPosted on7:42 pm - Nov 24, 2022

Balikiwa sana kwa mafundisho mazuri

Wycliffe OkutoiPosted on1:39 pm - Nov 24, 2022

Hakika nawe unaye fundisha somo hili ubarikiwe sana sana hakik nimekua napitia magumu sana maishani mwangu ila najua kuna mwisho wake,majaribu kupitia kwa watoto,mke nilie naye,kupitia somo hili nimepata nguvu na kuna ushindi kutoka kwa Bwana Ameni.

Emiry ngaduPosted on11:07 pm - Nov 23, 2022

Mtumish Asanter kwa Mafundisho ubarikiwe sana
ila APA Nina swali ili Neno Tauni lina maana gan na nilugha yap?

    Nuru ya UpendoPosted on3:27 am - Nov 24, 2022

    Tauni ni neno la kiswahili, linalomaanisha ugonjwa unaosambaa kwa haraka sana, eneo fulani. mf kwasasa ni hii Corona..ambayo wanasema ni aina ya ugonjwa huo

JoashPosted on8:14 pm - Nov 23, 2022

Amen, may Almighty God bless this spiritual service forever and ever,often this service is valuable to us for our spiritual life,May Almighty God lifts up day to day ,forevery🛐🛐🛐🧎🧎🧎🙏🏻🙏🏻🙏🏻

Pr Gentil ManenoPosted on6:04 pm - Nov 23, 2022

Kwanini unaipinga ndoa Ya Kiserkali Mwalimu? Nazani Ni Jambo Nzuri kulingana

Na Desturi Ama Katiba Ya inch inapashwa Ndoa yangu ijulikane Kiserkali. Ya Kaisari yaliyo Ya Kaisari na Ya Mungu yaliyo Ya Mungi

    Nuru ya UpendoPosted on3:33 am - Nov 24, 2022

    Shalom..Nadhani hapo hatuzungumzii ndoa kutambuliwa na serikali..kinachozungumziwa ni ndoa ya kiserikali VS ndoa ya kikristo.. Ikiwa ndoa yako umeifungisha kanisani, ikiwa upo utaratibu wa kutambuliwa na serikali ni vema, lakini ndoa tu inayofungwa serikalini halafu haitambuliwi na Mungu hiyo sio ndoa ya kikristo

Godfrey VicentPosted on8:18 am - Nov 23, 2022

Jina la Bwana YESU ASIFIWE? Nimependa sana masomo yenu naomba muwe mnanitumia masomo yenu Asante na mungu awabariki sana

lameckPosted on10:22 pm - Nov 22, 2022

Amina watu wa mungu

AnonymousPosted on10:20 pm - Nov 22, 2022

Leave your message

Jean marie bitaPosted on3:10 pm - Nov 22, 2022

Kama bwana yesu ndiye mungu baba, ule aliyesema katika mathayo 3:17 alikuwa nani?

    Zera MpokiPosted on6:16 am - Apr 17, 2024

    Alikuwa ni Mungu sababu Mungu amegawanyika katika makundi matatu .Mungu baba,mwana na roho mtakatifu.jalibu kufikiri mfano tuu jinsi wewe ulivo una nafsi ,roho ,na mwili ndio unafanya uitwe zerah labda au John .n.k nmejibu kulingana na jinsi Mungu alivonisaidia kuelewa.ameen barikiwa.

Emmanuel KitengulePosted on2:44 pm - Nov 22, 2022

Amina mwalimu.

Martha FabianPosted on7:23 am - Nov 22, 2022

Asanteni kwa ujumbe huu Mungu awabariki

Wycliffe OkutoiPosted on9:26 pm - Nov 21, 2022

Asante mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri yakujenga imani ya mkristo nimejifunza neno na nitazidi kufatilia nipone

SEPHANIAPosted on8:53 pm - Nov 21, 2022

MUNGU AWABALIKI KWA KWELI SOMO ZURI

Sekela EdwardPosted on3:54 pm - Nov 20, 2022

Amen 🙏,nimejifunza

AnonymousPosted on5:51 pm - Nov 19, 2022

MUNGU atusaidie kwa upande wa hasira shetan anaitumia kama fimbo kwa kwa walio okoka

Emmanuel KitengulePosted on4:34 pm - Nov 19, 2022

Amina mwalimu,hili somo ni nyeti sana kwangu lakini nahisi sikulielewa kama ipasavyo na kama ninavyotaka.Nitalirudia kulisoma tena tena Mungu anisaidie nilielewe haswa.

Emmanuel KitengulePosted on3:51 pm - Nov 19, 2022

Amina mwalimu, ujumbe huu umekuja wakati muafaka naamini tutapata kujifunza mengi.

Nuru ya UpendoPosted on10:00 am - Nov 19, 2022

Naam ndivyo hivyo…

AnonymousPosted on5:33 pm - Nov 18, 2022

Nashukuru Sana kwa huu ujumbe nakumbuka nimewahi kukutafuta mwalimu ,
Nilikuwa nimepoteza Imani kabisa na huyu Yesu kwasababu ya vitu nilivyokuwa nikiviona makanisani huku nikilinganisha na hawa waislamu kwakweli nilikua confused Sana kidogo
Kumbe tunakkolewa kwa Imani

Zabur 125Posted on10:34 am - Nov 18, 2022

Leave your message

LinusPosted on11:15 am - Nov 17, 2022

Naomba unitumie hicho kitabu kweny email yangu

HurmphreyPosted on9:32 am - Nov 17, 2022

Nashukuru Mungu sana kwa neema haliyo wapa ya kuchambua maandiko kupitia Nguvu za Mungu

Zacharia kiprutoPosted on9:17 am - Nov 17, 2022

Watu wa mungu wamepotoshwa na mafundisho potovu.,hosea 4:6 na watu wanaojifanya at wanaojifisha mgozi ya kondoo kumbe ni mbwa mwitu.

Moses peterPosted on11:52 am - Nov 16, 2022

Mungu awabariki sana

AnonymousPosted on12:27 am - Nov 16, 2022

Sasa unaposema watoto Mungu waliingiliana na wana duniani..,je hao wana wa dunia hawakufa kipindi cha gharika..maana biblia inaonesha hakikubaki kitu chochote kilicho hai juu ya uso wa nchi…ispokuwa nuhu na watoto wake na baadhi ya wanyama na ndege wa angani..je hao wana wa dunia walitokea wapi

AweyPosted on8:28 pm - Nov 15, 2022

Amina Bwana Mungu Awabariki watumishi wake Kwa mafundisho mazuri Mungu awalinde

Michael jumaPosted on12:44 pm - Nov 15, 2022

Amina nimebarikiwa Sana na hii injili🙏🏼

AnonymousPosted on9:38 am - Nov 15, 2022

Nimejifunza ubarikiwe sana mtumishi

AnonymousPosted on9:37 am - Nov 15, 2022

Somo zuri nimejifunza kitu

florahmrema52@gmail.comPosted on8:02 am - Nov 15, 2022

Nimefurahia mafundisho yenu yananibadilisha

JORDAN MANAJAPosted on7:37 pm - Nov 14, 2022

Nataka kujuga na chama yenu wadugu zangu ila na mie natamani ni we kama yiyi

Erick G OtienoPosted on12:03 pm - Nov 14, 2022

Shalom! Mungu ni mwema sana.
Asante sana na ubarikiwe kwa somo zuri.
Naomba msaada wa kupata somo la UNYAKUO. kama ulivyo elezea kwenye chapisho lako, nimelinukuu hapo chini.

Ndugu hatua za UNYAKUO zimeshaanza kama hulijui hilo, tafuta kulijua hilo au ikiwa utataka kufahamu tutumie ujumbe inbox nikutumie somo linalohusu unyakuo uone ni jinsi gani tunaishi katika nyakati za hatari.

MikaeliPosted on12:06 am - Nov 14, 2022

Je, mtu anawezaje kujizuia mawazo mabaya??
B: je mtu anaweza kufunga na huku akiwa kazini??
C:je ikiwa mtu kakosea katika maneno anaongea visivyo kumhusu Mungu yaani akasema Mungu ampendi je mtu kama huyo Mungu anaweza kumsamehe??.

Nuru ya UpendoPosted on8:07 pm - Nov 13, 2022

Amina atubariki sote..

Emmanuel KitengulePosted on3:22 pm - Nov 12, 2022

Amina mwalimu,nimepata kitu hapo.

Alpha MgayaPosted on8:53 pm - Nov 11, 2022

Bwana Yesu apewe sifa? Kwa kweli nimebarikiwa sana na mafundisho yaliyomo katika kundi Hili husasan sikukuu za kiyahudi na fundisho tunalolipata, meza ya Bwana na kaniki ni Nini katika Biblia. Mungu awabariki sana

Jean marie bitaPosted on3:11 pm - Nov 11, 2022

Je mtu asipobatizwa katika jina la yesu kristo ahiwezipokea roho mtakatifu?

AnonymousPosted on12:39 am - Nov 10, 2022

Haya ni mafundisho ya kweli kabisa ubarikiwe sana mtumishi

Pius BeichumilaPosted on2:04 pm - Nov 9, 2022

Wapi tuipate busitani ya edeni kwa sasa,

Aroni Meleki ARMEL Du cielPosted on9:33 am - Nov 9, 2022

Mimi hapo kwa uwelewa wangu sioni kabisa utofauti ambao tunataka uingiza hapo, sababu kama unasema MUNGU Baba, Mwana na Roho Mtakatifu ni vyeo tu ila MUNGU wetu anabaki umoja tu, kosa nini asa akinabizwa mtu kwa jina kwa jina la Baba, la Mwana na la Roho Mtakatifu ndani ya umoja wake!?

AnonymousPosted on9:26 am - Nov 9, 2022

Ila hata yeye mbona kama anekisoma kwanza..!

Japhet nyangaPosted on8:20 pm - Nov 6, 2022

Ndo kwa imani ya maelezo yako unamaanisha bibilia inaruhusu kula kila kiumbe akiwemo nguruwe?

    NemaPosted on11:10 am - Jul 13, 2023

    Upo kama mim najua yakwamba agano la kale limekataza baadh ya vitu ila kuusu agano jipya baada ya Yesu Kristo kuja tunaambiwa vmetakaswa hakuna alivo vitakasa Mungu usivinene ni najisi
    Matendo 11.5-10
    Petro aliletewa wanyama na ndege achinje akasema hajawahi kula kilicho kichafu au najis ila roho mtaka tifu alimjibu alivo vtakasa Mungu usiviite najis

    William SamwelPosted on9:27 am - Jun 10, 2025

    Usiitumie nema vibaya

SerePosted on6:48 pm - Nov 5, 2022

Nimebarikiwa sana na mafundisho yenu .
MUNGU azidi kuwatia nguvu , ili tupate mafundisho zaidi

AnonymousPosted on11:54 am - Nov 5, 2022

Mstari Huu una maana Gani? 1wakorintho 6:18 naomba kuelimishwa

Kingston BoyPosted on10:54 pm - Nov 4, 2022

Asante kwa mafundisho mazuri. Naomba unitumie hicho kitabu kwenye email yangu

Minister NehemiahPosted on8:16 pm - Nov 4, 2022

Mungu akuhurumie maana unajaribu kufundisha mafundisho yako na sio biblia ila hata km nia yako Ni njema basi jitahidi kumsikiliza Roho wa Mungu maana hadi natetemeka kwa mafundisho yako potofu Mungu akurehem
Kwanza unatakiwaujue kuwa biblia haijawahi kukosea ilipo taja uzinzi haikusema ugali,hivyo basi nilazima uelewe kuwa tunda sio uzinzi
Kumbuka usiongeze wala kupunguza neno ktk mafundisho yako Ufunuo22:18,19
Lazima ujue hawa alipo danganywa kula tunda hakula pamoja na Nyoka alikula yeye na akampa Adam ale ila Nyoka hakula Soma biblia yako vzr mwanzo3:5,6,
Kulingana na uongo wa Nyoka hawa akala kwakutamani kufanana na Mungu Kama alivyo danganywa na shetani kwakujua mema na mabaya sio uzinzi
Pili Mungu ali mli wabarikia Adam na hawa akisema zaeni mkaongezeke hata kabla ya kula tunda Soma biblia yako vzr mwanzo1:28. pia ndoa Ni mpango wa Mungu na sio mpango wa shetani hilo utambue Soma mwanzo2:23,24 hivyo basi nikuulize mtu aweza kuzini na mkewe? Mungu akusaidie Sana.
Ndugu usipotoshe maandiko kwa hadisi za kizee zisizo kuwa za dini
1timo4:7,2timo2:14-19 Nakukumbusha tu…
Dunia imebeba mafundisho mengi kwani hata shuleni tulijifunza kuwa binadamu wa kwanza alikuwa nyani na ikawa ukisema ni Adamu unawekewa kosa ukitazama nikama kweli lkn ni elimu tu za dunia so usiipokee Kila elimu mtumishi utapotea hta paulo anasema aliwauwa walio wa njia hii akizani anamfanyia bwana ibada.
Je niwangapi wametoka na mafundisho yako wakiamini kuwa kweli lakini kumbe ni hadithi za kizee Bwana akuhurumie kwakweli.

EdnaPosted on9:33 am - Nov 2, 2022

Mungu akubariki kwa somo zuri mtumishi, naomba niungwe kwenye masomo 0762426319

Daud eliakimPosted on1:28 pm - Nov 1, 2022

Je hao ndugu zake ye walizaliwa baada ya yesu kuzaliwa au kabla ya yesu kuliwa?

AnonymousPosted on7:48 pm - Oct 31, 2022

Nini maana ya lile fungu linalosema mwenye nacho ataongezewa na yule asiyenacho ata kile Kodogo alichonacho atanyang’anywa?

MagesaPosted on11:41 am - Oct 31, 2022

Nabarikiwa Sana na masomo mnayotoa

Antelm BarackPosted on11:13 am - Oct 31, 2022

Mungu nitie nguvu za kukutafuta kwa bidii

Antelm BarackPosted on11:10 am - Oct 31, 2022

Hapa umenena mtu wa Mungu.. Mungu wa mbinguni na akubariki sana.

JosephPosted on9:20 am - Oct 30, 2022

Ninaomba uniunganishe Na what’s app

Pascal makelelePosted on8:05 am - Oct 30, 2022

Ubarikiwe sana kwa masomo mazuri

AndrewPosted on3:34 am - Oct 30, 2022

I mungu akubariki

Tunda lusanga severin pastorPosted on11:09 pm - Oct 29, 2022

Ubarikiwe mtumishi

AnonymousPosted on12:03 pm - Oct 29, 2022

Asante tunashukuru

godfreymkonge02@gmail.comPosted on11:46 am - Oct 28, 2022

What’s up 0719266865

Moses SimiyuPosted on2:11 pm - Oct 27, 2022

Sikupata topiki ya kwanza kukusu toa
Tafadhali nitumie +254 724209235

AnonymousPosted on1:51 pm - Oct 27, 2022

Mungu atusaidie sana

RensonPosted on5:09 pm - Oct 26, 2022

Mmh umenigusa moyo mtumishi

Hosea katekoPosted on12:44 pm - Oct 26, 2022

Amina barikiwa kwa ujumbe mzuri,ninaswali kwa habari ya ubatizo ukisoma matendo ya mitume 1:5 Yesu aliwaambia wanafunzi wake yohana aliwabatiza kwa maji lakin ninyi sasa mtabatizwa kwa Roho mtakatifu pia Yesu alipokuwa kasurubiwa msalaban alikuwa yupo na waalifu wawili ambapo mmoja alimwamini katika dakika za mwisho na Yesu akamwambia tutakuwa wote peponi japo hakubatizwa ivyo suala la maji mengi na macheche ni mambo ya mwilini yakiashilia kuamini kwa mtu ila ubatizo ni jambo la rohoni kwa sababu kuna watu mazingira yao sio rahic kupata maji mengi, wengine wapo magerezan, wagonjwa nk nao pia wananeema ya wokovu maji sio kifungo cha mtu kumwamini Yesu kama kweli kamaanisha.

Letcia AlphoncePosted on11:30 am - Oct 26, 2022

Asante sana

ImanPosted on7:09 am - Oct 26, 2022

Naomba uniunge na group hili Kwa njia ya whatsupp

AnonymousPosted on1:01 am - Oct 26, 2022

Katika sehemu ambayo mmefeli ni apa ombeni roho mtakatifu awasaidie kufahamu juu ya andiko hili 1yohane 5

HudsonPosted on2:30 pm - Oct 25, 2022

Naitaji mahombi yenu tafahtali mtumishi WA mungu nasumbuliwa na Hali ya ndoa yangu Kwa kukosa mahelewano kujamiana kila mara Mimi mwenyewe nime jiusisha na uraibu WA uvutaji sigara na kujichua Kwa miaka mingi nashindwa sina Amani na ILO tatizo Niko na miaka tatu Kwa ndoa bila mtoto na hakuna anayejua swala ILi kwangu ijapokuwa nime kuwa Niki shiriki kanisani lakini jamani nimeshidwa kabisa

AnonymousPosted on2:28 pm - Oct 25, 2022

Naitaji mahombi yenu tafahtali mtumishi WA mungu nasumbuliwa na Hali ya ndoa yangu Kwa kukosa mahelewano kujamiana kila mara Mimi mwenyewe nime jiusisha na uraibu WA uvutaji sigara na kujichua Kwa miaka mingi nashindwa sina Amani na ILO tatizo Niko na miaka tatu Kwa ndoa bila mtoto na hakuna anayejua swala ILi kwangu ijapokuwa nime kuwa Niki shiriki kanisani lakini jamani nimeshidwa kabisa

Ayub KelvinPosted on7:46 pm - Oct 24, 2022

Naomba mniunge Kwa group ya WhatsApp 0799493145

PaschalPosted on12:47 pm - Oct 24, 2022

God bless you all

Edson MugishaPosted on1:13 pm - Oct 22, 2022

Naiombea huduma hii ikue, ipae juu kama tai kuliko jana kwa jina la BWANA YESU!

Jackson MarwaPosted on11:28 am - Oct 22, 2022

Naomba niwe kwa group ya what’s up

Pst Jackson MarwaPosted on1:30 pm - Oct 21, 2022

I am blessed

    Dr NkingwaPosted on11:16 am - Feb 5, 2023

    Amen,
    Lakini katika kisa hiki cha (usiviite najisi),
    Tukumbuke Mungu wetu hupenda kunena nasi kwa mifano, kwa huo mfano ni wazi kabisa haukumanisha wanyama halisi bali wayahudi na watu wa mataifa (wasiotahiriwa)
    Kumbuka pia Yesu alifundisha watu kwa mifano, je huoni kama biblia ipo wazi,
    Muombe Bwana akusaidie uelewe vema amanishacho kabla ya kufanya maamzi yako binafsi,
    Amina!

JOSIAH MURUVEPosted on11:42 pm - Oct 20, 2022

Asante kwa neno Mungu awabariki

AnonymousPosted on7:10 pm - Oct 20, 2022

maana ya oliver

AnonymousPosted on1:51 pm - Oct 20, 2022

Shalom.

Bwana Yesu asifiwe sana.

Hii mada ya ndoa za serikalini ina maandiko mengi yanayopingana (a lot of contradicting statements) ambayo yanaleta mkanganyo badala ya kuujenga mwili wa Kristo.

Je, biblia inapinga ndoa ya serikalini kwenye andiko lolote? Kama la, basi kwa nini muiite ni ‘uasherati’?

Imeandikwa Warumi 13:1-2
[1]Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.

Utaratibu wa kiserikali usiovunja moja kwa moja amri za Mungu umewekwa na Mungu mwenyewe. Hebu tafakarini mlichoandika.

Je, Mungu hayupo serikalini hadi mseme hiyo ndoa sio ya Mungu?

Na kama munaita ndoa ya serikalini ‘uasherati’, kwa nini mnasema wasiachane hata kama mmoja wa wanadoa anataka ndoa iendelee? Hamuoni mnachanganya mambo hapo?

Je, kila ndoa ya kanisani ndio ndoa ambayo Mungu yupo? Hamjasoma ya kuwa yapo makanisa ambayo ni ‘kiti cha enzi cha shetani?’. Ni mungu gani anayeshuhudia ndoa zilizofungwa kwenye makanisa hayo? Si shetani mwenyewe???

Je, uwepo wa Mungu kwenye ndoa ni kwa sababu wamefunga ndoa kanisani, kimila au serikalini? (hata makanisa feki yaliyo kibiashara nayo yanajiita ‘kanisa’)… Au uwepo wa Mungu kwenye ndoa ni ‘state of heart’ ya hao wanandoa? Kama wanaye Mungu ndani ya mioyo yao, si huyo Mungu anatembea nao popote pale watakapokuwepo? Kwani Mungu amefungwa kwenye specific location?

Ni maoni yangu hili somo liandikwe upya baada ya tathmini.

Wekesa EdwinPosted on6:40 am - Oct 20, 2022

Naomba nakala hii ili niweze ku print.

Moses Tom SimiyuPosted on8:18 pm - Oct 19, 2022

Napenda sana mafundisho yenu , ninawafwadilia kila wakati na nimeparikiwa tena sana. Mungu awe nanyi daimaa.

AnonymousPosted on8:08 pm - Oct 18, 2022

Mungu awainuwe katika viwango vya juu

Nkwabi KasigaPosted on7:23 pm - Oct 18, 2022

Nimebarikiwa na somo. Mungu awatie nguvu watumishi ya kuendelea kufundisha Neno la Mungu.

Sekela mwakibetePosted on10:00 pm - Oct 16, 2022

I like it

Emmanuel KitengulePosted on3:49 pm - Oct 13, 2022

Barikiwa sana mwalimu kwa ujumbe NYETI,kwa kweli MUNGU na atujalie neema kuuelewa hasa na kuufanyia kazi kama alivyokusudia.

AnonymousPosted on7:31 am - Oct 12, 2022

Nimebarikiwa hakika

ZAKALIAPosted on9:31 pm - Oct 11, 2022

Amina ubarikiwe kwa masomo mazuri

daudiPosted on3:06 pm - Oct 11, 2022

Mungu awabariki sana kwa mafundisho haya mazuri..kazi yenu ni njema sana

Pascal michaelPosted on5:29 pm - Oct 10, 2022

Mwenyezi mungu nilinde katika jina lako

Pascal michaelPosted on5:19 pm - Oct 10, 2022

Niweke kama muhuri moyon mwako, kama muhuri katika mkono wako; kwa maana upendo ni kama kifo; wivu ni dhulumu kama kaburi; makaa yake ni makaa ya moto ambayo ina moto mwingi wa moto.

Pascal michaelPosted on4:35 pm - Oct 10, 2022

Ee mungu wangu na kuomba unibariki katika kazi yangu na maisha yangu katika jina lako

Amos mazengoPosted on3:56 pm - Oct 10, 2022

Ningependa kupokea masomo yenu kupitia barua pepe yangu!

Amos mazengoPosted on3:53 pm - Oct 10, 2022

Haleluya! Nimebarikiwa na blog yenu, kwa mafundisho mazuri sana! Mungu awabariki.

Emmanuel KitengulePosted on3:00 pm - Oct 10, 2022

Amina.

AnonymousPosted on5:02 pm - Oct 9, 2022

Ukristo wenyewe tu ni ushirikina tosha ww uliye chapisha andiko hili uko ndani ya shirk rudi kwa allah

Naitwa Kevin FransisPosted on1:27 pm - Oct 8, 2022

Naomba nitumie masomo Kwa njia ya e-mail

Isaac jakait omusePosted on11:23 pm - Oct 7, 2022

Luka 17:20 -26 tasiri

JestinaPosted on8:42 pm - Oct 7, 2022

Napenda kupata mafundisho zaidi

privahPosted on3:26 pm - Oct 5, 2022

Shalom.. Niliota nafanya mtihani ila nikawa wa kwanza kumaliza kabla ya wote na nikatoka nikawaacha wengne ina maana Shalom.. Niliota nafanya mtihani ila nikawa wa kwanza kumaliza kabla ya wote na nikatoka nikawaacha wengne ina maana gani

MichaelPosted on3:03 pm - Oct 4, 2022

Mungu awabariki sana

EdgarPosted on1:28 am - Oct 4, 2022

Tumsifu yesu kristo pia mungu akubaliki kwa kujitolea m naomba kujua maana ya jina. Edgar. Adalia na glasiano

AnonymousPosted on9:13 pm - Oct 3, 2022

waache ujinga wafanye kazi

Mfariji tumainiPosted on9:57 pm - Oct 2, 2022

Mungu awabariki

Nuru ya UpendoPosted on8:08 pm - Oct 2, 2022

Matendo ya Mitume 19:18-20
[18]Na wengi wa wale walioamini wakaja wakaungama, wakidhihirisha matendo yao.
[19]Na watu wengi katika wale waliotumia mambo ya uganga wakakusanya vitabu vyao, wakavichoma moto mbele ya watu wote; wakafanya hesabu ya thamani yake, wakaona ya kwamba yapata fedha hamsini elfu.
[20]Hivyo ndivyo neno la Bwana lilivyozidi na kushinda kwa nguvu.

Pastor Charles MwaihojoPosted on10:38 am - Oct 2, 2022

ubarikiwe mtumishi kwa mtazamo wako, umewasaidia wengi lakini KWA MIMI SITAMWACHA AISHI,nadhani tafsri na muongozo tu wa roho mtakatifu ni bora zaidi,. Kwa wale waliovitani dhini ya wachawi watanielewa. sasa Kwa nini usimwache mchawi aishi? Zipo sababu kadhaa lakini lililo la msingi ni kwamba kila mtu aitwaye mchawi ni wakala wa Shetani asilimia 100. Kwa kuwa hakuna mchawi asiyefanya mapatano ya kima-agano na kuzimu (ufalme wa giza); kwa ridhaa yake mwenyewe.
….,”Tumefanya agano na mauti, tumepatana na kuzimu;”… { ISAYA 28:15 }
“Naam, walitoa wana wao na binti zao Kuwa dhabihu kwa mashetani.
Wakamwaga damu isiyo na hatia, Damu ya wana wao na binti zao,”….{ ZABURI 106: 37-38a}
”ADUI YANGU KUFA BADALA YANGU”

    Victoria MsigwaPosted on3:55 pm - Dec 24, 2022

    Nashukuru sana nimefumbuliwa macho ya rohoni maana maombi ya kuwaua wachawi yameshika Kasi katika nyumba za ibada kumbe tunakosea sana

bariki simon mwambijePosted on2:30 pm - Sep 30, 2022

MASOMO YENU MAZURI SANA YESU AWAPE AFYA DAIMA

MATHIAS ISEKEPosted on10:54 pm - Sep 29, 2022

Niunge kwenye gurop la watsup

Marcus FidelisPosted on8:08 pm - Sep 29, 2022

Ahsante sana kwa kutukumbusha kuyasoma maandiko na kuyatafakari kwa kina; tafakari yenu ni nzuri, nimeipenda, hasa hasa, kwamba mkuu wa giza hakemewi na kurushiwa mishale, bali ni kwa neema ya Mungu kugeuka na kuacha njia mbaya..

AnonymousPosted on2:25 am - Sep 29, 2022

Nyie mnamfahamu William Branham? Au mna uhusiano wowote Naye?

AnonymousPosted on1:12 am - Sep 28, 2022

Halleluya mt, barikiwa sana

abneriPosted on12:49 pm - Sep 27, 2022

mungu awbariki sana

robert kamauPosted on11:21 am - Sep 27, 2022

AMEN na hitaji NENO kila Waikato +254 0715186510 kenya

Samson Mbatiani laizerPosted on10:10 am - Sep 27, 2022

Yehova Bwana Wa Mbinguni Awatunze

DANIEL NSOLEZI JONATHANPosted on9:59 am - Sep 27, 2022

Naomba kuwa natumiwa masomo kitabu cha unabii ufunuo na Daniel

JUZANPosted on6:29 pm - Sep 26, 2022

Je mfalme Suleimani alikua na watoto wangapi?

JOACHIM MEGABEPosted on9:02 am - Sep 26, 2022

Swali langu jingine, wakati ule wa nabii eliya, kwamba aliomba mvua haikunyesha muda wa miaka mitatu na nusu, mbona mimi nimeona tu kwa miaka mitatu tu?

JOACHIM MEGABEPosted on8:55 am - Sep 26, 2022

Bwana asifiwe, naomba kuuliza swali, ukisoma kitabu cha 1Wafalme 13:18-20, kuna nabii hapo alijitokeza kwa nabii mwenzie na kumdanganya mwisho akawa amekiuka yale maagizo ya Bwana,halafu ukiendelea kusoma utaona nabii huyo huyo anamuambia tena huyo nabii mwenzie kwamba neno la Bwana limemuijia na kumuambia kuhusu kosa alilofanya huyo nabii mwenzie mpaka na adhabu akaipata ya kuliwa na simba, naomba ufafanuzi hapo imekaaje hiyo huyo nabii kumdanganya mwenzie?

DynessPosted on8:00 am - Sep 25, 2022

Shalom,
Hongereni kwa kazi njema, Mungu awabariki sana, natamani kujifunza zaidi kwa habari ya kuwafundisha watoto habari ya kumjua Mungu

AnonymousPosted on6:12 am - Sep 25, 2022

Be blessed with the good explanations

QUATERMA ALLANPosted on12:18 am - Sep 25, 2022

AMINA MTUMISHI WA KRISTO YESU BABA YETU MILELE

Emmanuel KitengulePosted on4:17 pm - Sep 24, 2022

Bwana akubariki sana mwalimu kwa ujumbe uletao uzima.

FELIX KABUKAPosted on6:06 pm - Sep 23, 2022

Amina ubarikiwe sana.kuna hatua umenivusha

ClementsangaiPosted on10:18 am - Sep 23, 2022

Bwana Yesu asifiwe nikituma haya masomo kwenda katika e mail yangu kuwa pdf file mbona yana kataa.!?

AnonymousPosted on7:13 pm - Sep 22, 2022

Asante sana natamani kujifunza zaidi pamoja nanyi please km Kuna group la Whatsapp naomba kuungwa

BrightPosted on3:17 pm - Sep 22, 2022

Amina. Mbarikiwe Sana kwa neno nzuri na lenye kuzaa matunda. Ila mimi nina swali, naomba msaada tafadhali, Je kama Mchungaji matendo yake ni ya uovu yaani anapotosha kweli ya Mungu kabisa na ni mwanaume, alafu katika kanisa kuna mwanamke ambaye kanisa lote kabisa linaona huyu anafaa katika kweli ya Mungu, je kwake yeye ni dhambi kutumika? Pia kama Debora alikuwa nabii lakini umesema kuwa alikuwa chini ya Kuhani na ni Karama. Je, utumie ni nini? Na kwanini mpaka sasa kuna manabii ambao wanasimamia makanisa na ni wa kiume nao tunawaambia au hatuwaamini, Jez wao ni kama akina nani kama nabii ni Karama na sio huduma? Na mtume kwake inakuwaje? Maana naye unakuta ni wa kiume lakini ana kanisa. Pia naomba aidha uniweke vizuri katika ufafanuzi zaidi ili niweze kujifunza zaidi. Kwamba, wanawake kanisani watumike kama akina nani? Kama huduma ni tano tu, ambazo ni Waalimu, Wachungaji, Wainjilsti, Mitume na Manabii Efeso 4:11.
Na kama hii nafasi kibiblia kabisa ilikuwa ndivyo, tunaona sasa wanaume ndiyo wingu kubwa na watumishi wa uongo kabisa. Lakini utakuta mwanamke unaona kabisa anavyofanya kazi ya Mungu ndivyo sahihi kabisa na inampendeza Mungu, je, huyu tumhukumu???

Lucas mhulaPosted on2:13 pm - Sep 21, 2022

Amen somo zuri sana.

fredyPosted on1:14 pm - Sep 21, 2022

Nashukulu mungu kwa kunipitisha kwenye hii page

apo kale inasemekana walikua watu wakubwa kama hawa wana wa Anaki ila lilipo pita ghalika inaaminika apakuachwa kiumbe isipokua tu wale walio ingia kwenye safina je
hawa akina majitu walio tokea baada ya ghalika eg: hesabu 13:31 walitokea wapi au chanzo chao nini au kipi

Jerry MwakanyamalePosted on4:30 pm - Sep 20, 2022

Nawashukuru sana kwa ufafanuzi wenu makini. Somo la Dhambi isiyo na msamaha nimeisoma na imenipa uelewa kwa kiasi kikubwa. Barikiwa na Bwana

MWALIMU CHAKA WA MUSAPosted on2:22 am - Sep 20, 2022

Asante kwa somo zuri. Naomba kuongezea mawili matatu kwenye somo ili.
Mara baada ya Mungu kumtokea Musa na kumupa mwito wa kurudi Misri kuenda kumkomboa Israeli. Alimchukua Mke wake Ziporah na wanawe tayari kwenda Misri ila njiani Yehovah alipokutana Naye alitaka Kumua Musa;
Kutoka 4:18Basi Musa akaenda na kurejea kwa Yethro mkwewe, na kumwambia, Nipe ruhusa niende, nakusihi, niwarudie hao ndugu zangu walioko Misri, nipate kuwaona kwamba wako hai hata sasa. Yethro akamwambia Musa, Haya, nenda kwa amani. 19BWANA akamwambia Musa huko Midiani, Haya, nenda, karudi Misri; kwa kuwa wale watu wote waliokutaka uhai wako wamekwisha kufa. 20Basi Musa akamchukua mkewe na wanawe, na kuwapandisha juu ya punda, naye akarudi mpaka nchi ya Misri; na Musa akaichukua ile fimbo ya Mungu mkononi mwake.
Kutoka 4; 24Ilikuwa walipokuwa njiani mahali pa kulala, BWANA akakutana naye akataka kumwua. 25Ndipo Sipora akashika jiwe gumu na kuikata govi ya zunga la mwanawe, na kuibwaga miguuni pake akasema. Hakika wewe u bwana arusi wa damu kwangu mimi. 26Basi akamwacha. Ndipo huyo mkewe akanena, U bwana arusi wa damu wewe, kwa ajili ya kutahiri.
kumbuka Mungu alikuwa amempa Baba yetu Nabii Ibrahimu agizo la Tohara kwa kila mtoto wa Kiume; Mwanzo 17:13.
Baada ya tukio ili Musa akamwacha mkewe na wanawe wakarejea kwa baba mkwe Reuli yaani Yethro; mwenyewe akaelekea Misri. Kumbuka kipindi chote cha miaka 40 alikuwa hajawahi rejea misri.
Sasa baada ya kulikomboa taifa la israeli, wamefika pale jangwani, ndipo Baba Mke alippopata taarifa;
Kutoka 18:1Basi Yethro, kuhani wa Midiani, mkwewe Musa, alisikia habari ya mambo hayo yote Mungu aliyokuwa amemtendea Musa, na Waisraeli watu wake, jinsi BWANA alivyowaleta Israeli watoke Misri. 2Ndipo Yethro mkwewe Musa akamtwaa Sipora, mke wa Musa, baada ya yeye kumrudisha, 3pamoja na wanawe wawili; katika hao, jina la mmoja ni Gershomu, maana alisema, Mimi nimekuwa mgeni katika nchi ya ugenini; 4na jina la wa pili ni Eliezeri, kwa kuwa alisema, Yeye Mungu wa baba yangu alikuwa msaada wangu, akaniokoa na upanga wa Farao. 5Basi Yethro, mkwewe Musa, pamoja na mke wa Musa na wanawe wawili wakamwendea Musa huko nyikani, hapo alipokuwa amepanga, kwenye mlima wa Mungu; 6naye akamwambia Musa, Mimi Yethro mkweo nimekuja kwako, na mkeo, na wanawe wawili pamoja naye. 7Basi Musa akatoka nje ili amlaki mkwewe, akasujudia na kumbusu; nao wakaulizana habari; kisha wakaingia hemani.

ni katika kipindi hiki cha nyikani ndipo kwa mara ya kwanza Miriamu na Haruni wanakutana na Ziporah. Hapa ndipo matukio ya Hesabu 12 yanapotokea sasa. ama Mediani ya kale pia imeitwa kushi. angazia habakuk 3:7

habakauk 3: 3Mungu alikuja kutoka Temani,
Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani.
Utukufu wake ukazifunika mbingu,
Nayo dunia ikajaa sifa yake.
4Mwangaza wake ulikuwa kama nuru;
Alikuwa na mishale ya nuru ubavuni pake;
Ndipo ulipofichwa uweza wake.
5Mbele zake ilikwenda tauni,
Na makaa ya moto yakatoka miguuni pake.
6 Akasimama, akaitetemesha dunia;
Akatazama, akawasitusha mataifa;
Na milima ya zamani ikatawanyika;
Vilima vya kale vikainama;
Miendo yake ilikuwa kama siku za kale.
7Naliziona hema za Kushani katika taabu;
Mapazia ya nchi ya Midiani yakatetemeka.

Emmanuel KitengulePosted on9:46 pm - Sep 18, 2022

Bwana akubariki sana mwalimu,kwa kweli kupitia somo nimejiona sina huo upendo wa ki-MUNGU japo natamani kuwa nao.Sasa naanza kufanyia kazi kanuni ulizozisema ili kuujenga huo upendo wa ki-MUNGU ndani yangu Mungu na anisaidie.

AnonymousPosted on7:37 pm - Sep 18, 2022

Je, ni sahihi mkristo kuvalia shanga mkononi

DicksonPosted on8:19 am - Sep 17, 2022

Nashukuru kwa ujumbe

Moses Tom SimiyuPosted on10:33 pm - Sep 16, 2022

Thanks for letting me know

AnonymousPosted on10:31 pm - Sep 16, 2022

Thanks for letting me know

Emmanuel KitengulePosted on10:25 pm - Sep 16, 2022

Bwana akubariki mwalimu, ujumbe huu ni wa muhimu sana kwetu.

Emmanuel KitengulePosted on10:06 pm - Sep 16, 2022

Ashukuriwe Mungu wa mbinguni kutufunulia hili, binafsi naamini ufunuo huu.Bwana akubariki mtumishi.

HAJULIKANPosted on2:32 pm - Sep 15, 2022

tumkuelew ila freemasons sio watu wabaya kw kawaida freemasons inategemea na ww unachkitakaa ktoka kwao mfano unatak utajir wa aina gan au untaka kuw nani dunian na wtakusaidia ila mswala ya kutoa kafara uyu amatudangnya kidogo yule asiye toa kafara utajiri wake n mdogo mno ktokan n yey alivyo chguw kuw utkapo takapotak kpta pesa nyngi kutoka kwao au kuw mtu mkubw dunian ndo unewza kutoa kafara ya kiumbe yeyote yule na kiumbe yeyote yule utkaye mtoa kila mmja ana limit yke mfano mzuri ntkupa apa kuku mmoja hana dhamani at nusu ya ng,ombe mmja namaasha thamni ya pesa ngo,mbe mmja ndo mwny dhaman kuliko kuku mmja nd ivyovyo ilivyo kw miung y freemasons mtu anayetoa toa kafara y mbuzi na mt anaye toa kafar ya ngo,mbe ni vitu viwili tafauti kfara ya mbuzi ni ndgo kuliko kafar ya ngo,mbe maan iyo mbzi ni mdogo kuliko ngo,mbe maan iy umeelewa mtu atakay toa kafar ya mbuzi utajiri wke si mkubw kama w uyu mtu anaye toa kafara ya ngo,mbe na kuna viumb weng wa kutoa kafara mfano ngamia, chui, kondoo na ngo,mbe n.k antegmeana na unavyo tak ww kafara gan utapend kutoa kila kitu dunian kun ch kulipi mfn unapoenda kansani lazima utoe fung la kumi na sadak ya kawaida ili MUNGU aksaidie shida zako ivoivo kwa aw freemason ndivyo walivyo kam unatak kuw mtu mkubwa lazim utoe kafar kw miungu iyo ili ikusaidie kw kumlizia kafara ambyo sjaisema ni kafara ya binadam kafar y binadamu nd kubw kuliko zote kw sabab wmanadam ndio kiumbe mwny thaman kuliko wote kw maan iyo huw ni machaguo ya mtu kuamua kutoa kafara y binadamu ivoivo kw viumbe wengine kam nilvy sema apo nyuma kafara y binadam ndio yeny utajiri mkubw kulika kiumbe yeyote dunian kafara ya majini na malaika majini wali malaika hawfai kutoa kafara

James BwataPosted on1:04 pm - Sep 15, 2022

NABALIIWA SANA NA PAGE HII YA WINGU LA MASHAHIDI NA NAJIFUNZA MAMBO MENGI MAZURI SANA SANA BY PASTOR JAMES BWATA

SilasPosted on4:45 pm - Sep 13, 2022

Nashukuru kwakunifumbua

Samuel MtashaPosted on4:57 am - Sep 11, 2022

Naomba masomo kwa email na Mungu awabariki sana! mtashasamuel@gmail.com
WhatsApp yangu 0762162838

FranckoPosted on6:02 am - Sep 10, 2022

Naombamafundisho yenu 0759224655

Naitaji mafundishoPosted on9:02 pm - Sep 9, 2022

Nimebalikiwa namafundisho yabiblia

Thobias KombaPosted on9:49 pm - Sep 8, 2022

God bless you

AnonymousPosted on4:26 pm - Sep 8, 2022

Mungu awabariki mnoo

Emmanuel KitengulePosted on5:28 am - Sep 8, 2022

Bwana akubariki sana mwalimu kwa ajili maarifa haya ya uzima.Hili neno ‘arabuni’ sikuwa nalifahamu.

eliyaPosted on1:24 am - Sep 7, 2022

Bwana yesu asifiwe.mimi naitaji kuungwa mugrup yenu ya Whatsapp,maana naitaji kumujuwa yesu mumaisha Yangu My number is+256762279074

Gideoni KassimPosted on6:07 pm - Sep 6, 2022

Jina la Yesu libarikiwe. Nauliza, Je, kunazo nakala za mafundisho yo yote? Nahitaji.

Gideon – Kenya

AnonymousPosted on11:52 pm - Sep 3, 2022

Lakini mbona daudi alikuwa ame lindwa na alikuwa mutu wa mungu?

Emmanuel KitengulePosted on6:52 am - Sep 2, 2022

Bwana akubariki sana mwalimu kwa mafafanuzi mazuri kabisa.

KibongePosted on1:43 pm - Sep 1, 2022

Mungu akubariki

Jackson MaukiPosted on12:32 pm - Sep 1, 2022

Ujumbe mzuri

Lokiru JosephPosted on8:06 pm - Aug 30, 2022

Mimi nikushukuru tu, nakuaombea wanawingu ili mungu hazidi kuwafunulia neno lake. Mubarikiwe sana wana…)

Sanga EmmanuelPosted on7:53 pm - Aug 30, 2022

Najifunza sana,naomba kuendelea kujifunza

MICHAEL NZUNGUPosted on8:09 pm - Aug 29, 2022

Fanya utafiti wako mzuri hapana ku kurupuka na kupayukapayuka, kama ADAMU Na EVA wangelifanya uzinzi ao EVA Angelizini na nyoka biblia ingeandika wazi, kwaiyo unapotosha ilo andiko mpendwa !

    AnonymousPosted on8:11 pm - Feb 19, 2023

    Kweli kwa hiyo baba umetupiga kitu kizito kichwani,Bibliya haina haja ya kusema tunda ikiwa niuzinzi umefanyika,ndugu taka sana kufundishwa na Roho wa Mungu usije ukafiri unawaokowa watu kumbe unawapotosha na kuwa weka mbele za hukumu

    Gloire lutherPosted on8:12 pm - Feb 19, 2023

    Kweli kwa hiyo baba umetupiga kitu kizito kichwani,Bibliya haina haja ya kusema tunda ikiwa niuzinzi umefanyika,ndugu taka sana kufundishwa na Roho wa Mungu usije ukafiri unawaokowa watu kumbe unawapotosha na kuwa weka mbele za hukumu

Peter 0tisoPosted on6:40 am - Aug 29, 2022

Am Peter from Kenya,,, Naomba kujua maana ya kuota nalipwa Deni ,,,na
pia kuota ukila mahindi ya kuchemsha ±254725610676

JosephPosted on6:59 am - Aug 28, 2022

Ujumbe Mzuri Sana, Asante kwa Neno la Uzima.

Bertha GreysonPosted on4:12 am - Aug 28, 2022

Nimebarikiwa sana hakika. Nitaendelea kujifunza neno la Mungu

Paul nyandaPosted on7:50 pm - Aug 27, 2022

Hallelujah hallelujah watumish

Gabriel EmmanuelPosted on12:22 pm - Aug 27, 2022

Nimefurahi Sana kuujua ukweli huu maana tumekua tukisikia habari hizi za aliens lakini ukweli wake katika biblia hatuuoni lakini kupitia somo hili binafsi nimebarikiwa sana na MUNGU wa mbinguni awabariki Sana

AnonymousPosted on7:17 am - Aug 27, 2022

Napenda niyapate masomo yenu kwanjia ya email

Tainos NgailoPosted on8:28 pm - Aug 26, 2022

NABARIKIWA SANA NA MASOMO YENU

Rev. ConradPosted on6:35 pm - Aug 26, 2022

Kwa hakika hiki ndicho hitaji kuu la kizazi hiki cha siku za mwisho, yaani, Mafundisho ya Neno la Mungu yaliyovuviwa na Roho Mtakatifu.

MOHERE ERICK CHACHAPosted on4:00 pm - Aug 26, 2022

Na barikiwa Sana na mafundisho ya neno la Mungu

Isaya kapagiPosted on9:52 am - Aug 26, 2022

Swali LANGU nihili je kuvaa vilemba kwa wanawake wanapo sali, (1korinto 11:1-12) je wasipo Vaa nidhambi MBELE za Mungu? Au wakisali wakiwa na nywele ndefu zile nywele SI zinakuwa badala yakilemba? Naomba kujua

AnonymousPosted on8:35 am - Aug 26, 2022

Mbarikiwe sana

AnonymousPosted on11:23 pm - Aug 25, 2022

Pastor una group la mambo ya kiroho uniadd

AnonymousPosted on2:25 pm - Aug 24, 2022

Mbarikiwe Sana

Dickson ChinunjePosted on11:56 am - Aug 24, 2022

Shalom,
Asante kwa Neno hili hakika tunajifunza mengi juu ya kumjua Mungu na kukua kiroho, binafsi nasubiri kwa hamu sehemu ya pili (inayofuata ya somo hili)
Be blessed

Lucas mhulaPosted on1:03 pm - Aug 20, 2022

Amen asante sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏🤝🙌 barikiwa sana

Deogratius NdakidemiPosted on1:53 pm - Aug 19, 2022

Yesu Kristi pia alishuka kuzimu. Je yeye pia alikua alikua mdhambi?

Jacob KazunguPosted on11:10 pm - Aug 18, 2022

Amen hakika nimebarikiwa

Mwl. Maswaga, A.CPosted on9:30 pm - Aug 18, 2022

Thank you MAN of God,, I have gained something here. May God keep blessing You indeed.

Daniel BilimaPosted on1:49 pm - Aug 18, 2022

Kindly I need class for learning

nengoPosted on1:01 pm - Aug 17, 2022

Mungu akubariki, umenisaidia na kunikumbusha. ujumbe huu ni muhimu kuliko wa POKEAAAAAAAA…. RECEIVEEeeeeeeee

ROLANDYPosted on12:13 pm - Aug 17, 2022

nini maana ya
1 kuposwa
2 dada poa

Nuru ya UpendoPosted on1:47 pm - Aug 15, 2022

Tutafute kwa namba zetu…hizi ndugu ili tukupe mwongozo…0693036618

Edson MugishaPosted on8:25 am - Aug 15, 2022

BWANA YESU akubariki Sana mtumishi wa BWANA mafundisho mazuri sanaaaa. MUNGU akuinue zaidi

Jenipher Chao MzeraPosted on7:03 am - Aug 15, 2022

Asante sana kwa ujumbe wa kukesha umenibariki sana. Mungu awainue kwa kiwango kingine Cha juu zaidi

AnonymousPosted on3:51 pm - Aug 14, 2022

Bwana YESU Asifiwe mi bado ni kijana wa miaka 18 na uwa nafuatilia sana mafundisho ya uzima mnayofundisha ..nikiwa mdogo nilibatiziwa catholic lakini saa hii nimeama ,hivyo naomba ushauri na mwelekezo wa niwapi naweza pata ubatizo sahihi hili kupokea muhuri wa ROHO MTAKATIFU

ZilperPosted on7:37 pm - Aug 12, 2022

Shalom,nini maana ya mstari huu;kutoka 4:22-26

MUSTAMIU HASADIPosted on1:41 pm - Aug 11, 2022

ASANTE KWA MAELEZO YAKO ILA NAMIM NATAKA KUJIUNGA

DOUGLAS .S. SICHONEPosted on2:30 am - Aug 11, 2022

Napenda kuijua vema BIBLIA, Naomba MUNGU ansaidie. Amen.🙏🙏🙏🙏

AMANI yeremiaPosted on12:06 am - Aug 11, 2022

Nimependa tafsiri yenu

Pasteur benjaminPosted on9:44 pm - Aug 9, 2022

Shalome nina taka nami niji unge kwaku ongeza elimu za maandiko ma takatifu nime patikana huko congo.

BlaisePosted on7:27 am - Aug 8, 2022

Jambo,
Naitaji kupata mafundisho kila mara nama ushuhuda.

Emmanuel KitengulePosted on11:01 pm - Aug 7, 2022

Barikiwa sana na BWANA mwalimu,umeniongezea maarifa katika somo hili.

SospeterPosted on8:03 am - Aug 7, 2022

Naomba kujua zaidi juu ya somo la vitasa 7 na vita vya Halmagedoni

Emmanuel KitengulePosted on10:02 pm - Aug 6, 2022

Barikiwa sana na BWANA mwalimu,somo nimelielewa vizuri na limenibariki pia.

AnonymousPosted on5:57 pm - Aug 6, 2022

MUNGU awabariki

AnonymousPosted on5:56 pm - Aug 6, 2022

MUNGU awabariki kwa fundisho zuri

Fr erickPosted on11:26 am - Aug 5, 2022

Hata mimi niko askari drc. Muniombeye nijajwe nguvu katika safari na ndani ya muda mfupi inayo baki. Ni ndugu byiringiro erick

Yohana sayiPosted on8:57 am - Aug 5, 2022

Naomba unisaidie mtumsh

JE! YESHURUNI NI NANI? –Posted on7:34 am - Aug 5, 2022

[…] UCHAMBUZI WA KITABU CHA YONA […]

JE! YESHURUNI NI NANI? –Posted on7:33 am - Aug 5, 2022

[…] MIHURI SABA […]

AluthePosted on7:05 pm - Aug 4, 2022

Amina mtu Wa mungu

Emmanuel KitengulePosted on3:47 pm - Aug 4, 2022

Amina mwalimu,ni watumishi wachache wanaweza wakafundisha kweli kama hii.Barikiwa!

AnonymousPosted on3:07 pm - Aug 3, 2022

Amen MUNGU Atusaidie tuweze kushinda

MagdalenaPosted on8:27 am - Aug 3, 2022

Amina sana Mtumishi…..

Tunawapenda..

Alexis sangiPosted on6:34 pm - Aug 2, 2022

Jambo ndugu zangu,swali langu,ni hili je’MUNGU kwa leo hana turusu tumujengeye hekalu?

AMOS PAULPosted on5:08 pm - Aug 2, 2022

Asante sana kwa ufafanuzi mzuri. Nimebarikiwa.

AnonymousPosted on5:59 am - Aug 1, 2022

Vuvu la adam ilipatikana turkana kenya ilipelekwa wapi

Friedrich the son of JESUS.Posted on10:42 pm - Jul 31, 2022

Amina!
Mtumwa wa KRISTO YESU,BWANA WETU, nami nimepata mwanga wa hili, sio aoe, bali awe mme wa mke1.
“GROLY BE 2 GOD FREVER”

AnonymousPosted on1:09 pm - Jul 29, 2022

God bless you for your therapeutic message

AnonymousPosted on12:41 am - Jul 29, 2022

Nafarijika sana na mafundisho haya mungu awabariki

Eva mdamuPosted on7:04 am - Jul 28, 2022

Wonderful teachings
I wished to get more of that

Lusenga masungaPosted on7:39 am - Jul 27, 2022

God is good

Lokiru JosephPosted on8:04 am - Jul 26, 2022

Amen! Amen! Amen!. Mungu akubariki sana mwana wingu,mtu wangu wandani ananona kwa sababu anakula chakula chaukweli kutoka kwenu,pia ningependa kujua kama kuna website ninaweza kutumia kudownload mafundisho yenu kwa audio.

Lokiru JosephPosted on6:53 am - Jul 26, 2022

Ubarikiwe sana.

Alsen josephPosted on11:39 am - Jul 25, 2022

Nimebarikiwa Na mafundisho yenu, hakika Mungu Ni mkuu, ningependa kuwa Na pokea mafundisho haya kupitia WhattSsapp au email. Namba yangu Ni 0746 590 348

Willy KPosted on8:15 pm - Jul 24, 2022

Mungu akubariki Sana

AnonymousPosted on5:02 pm - Jul 24, 2022

Point taken. God bless you for the spiritual motivation

joelPosted on12:57 pm - Jul 24, 2022

Naitaji kujua tafsiri ya jina joel

Kelvin mileyPosted on11:05 pm - Jul 23, 2022

Mpendwa kiongozi unahekima na Mwenyezi kakupa uelewa mkubwa juu ya maandiko mpaka nimefurahi kuona group lenu Ubarikiwe sana

David AkleoPosted on11:01 pm - Jul 23, 2022

Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, bwana akubariki na akutie nguvu uendelee kutoa mafundisho yaliyo mema juu ya ufalme wenye nguvu upitao falme zote.

noel mfngPosted on4:40 pm - Jul 23, 2022

ahsante ubarikiwe mtumishi

ERNEST IJALISIPosted on10:45 pm - Jul 22, 2022

Naomba PDF file za audio za masomo mbalimbali Kama unazo

AnonymousPosted on8:27 pm - Jul 22, 2022

Mbarikiwe sana watumishi

Ezekieli mnyanyiPosted on8:24 pm - Jul 22, 2022

Mbarikiwe sana watumishi

Ezekieli mnyanyiPosted on8:17 pm - Jul 22, 2022

Amina mungu azidi kuwatia nguvu kwa kazi mnayoifanya

Ezekieli mnyanyiPosted on8:10 pm - Jul 22, 2022

Kwkweli mungu awabariki watumish maana mimi nimefunguliwa

JoycePosted on3:00 am - Jul 22, 2022

Asante kwa neno zuri, Mungu atubariki sore…Mungu wa Mbinguni na ijulikane kuwa upo.🙏

Friedrich the son of JESUS.Posted on11:12 pm - Jul 21, 2022

Mungu atupe macho, ili tutazame na kuona, pia tusikie na kutambua!.
IN THE MIGHTY NAME OF JESUS.

VICTORPosted on8:47 pm - Jul 21, 2022

me sjaelewa kwa kwel kuhusu nafsi nahitaji kueleweshwa zaidi

AnonymousPosted on7:38 pm - Jul 21, 2022

nazidi kujifunza Mungu awakumbuje wote wanaohusika na kazi hii sio kazi rahisi ila Mungu anaiona kazi yenu

AnonymousPosted on5:35 pm - Jul 21, 2022

Ubarikiwe sana mwalim

AnonymousPosted on8:24 am - Jul 21, 2022

God bless you!!

Godfrey KenjewalaPosted on12:23 am - Jul 21, 2022

Nimefurahi sana kuifikia kurasa yenu nabarikiwa sana sana

nelson bilinjePosted on7:50 am - Jul 20, 2022

mungu awabariki sana kwa masomo haya

JohnPosted on4:31 pm - Jul 19, 2022

Bwana akubariki kwa neno nzuri sana linanijenga sana.Ameen

HeriethPosted on1:28 pm - Jul 19, 2022

kupigwa kwako Yesu msalabani pako hakika nimepona..kila maradhi umaskini,mimi na wanangu

FelisPosted on6:13 am - Jul 19, 2022

Hakika kwa kupigwa kwake Mimi nimepona. Amiina

Ubarikiwe sanaa

LinusPosted on11:46 pm - Jul 17, 2022

Neema ya MUNGU MWENYEZI izidi kuwafunika na kuwapa kibali cha kutupa mafundisho mengi zaidi ya Kiroho.
Mbarikiwe na BWANA YESU

AnonymousPosted on7:04 pm - Jul 17, 2022

Bwana Yesu asifiwe! Je kusuka nywele zangu za asili bila kuongeza na za bandia ni dhambi? Mbona Biblia inasema mwanamke akiwa na nywele ndefu ni utukufu kwa mumewe?

    LovenessPosted on5:12 am - Dec 26, 2025

    Kusuka nywele ni dhambi kwasababu biblia imesema asijipambe kwa kusuka nywele pale haina Afya nywele gan, ila nywele yyte ya asili had marasta na wigi unaweza kuchana nywele na kuzipunguza kdgo ila sio kipara na nywele ndefu utukufu wa mwanamke huu mstari unaendana na asili ya wanawake kwa waafrika tuna vipilipi ( curl hairs) hivyo turidhike tulivyo kwan haziwez kuwa ndefu kma za wazungu kwasababu wao ni asili yao na kujaribu kuziongezea au kuzisuka ni kutaka kuwa kma wazungu, wanawake waafrika turidhike na mwonekano wetu.

NeemaPosted on11:26 am - Jul 16, 2022

Naomba mnitumie Masomo kwa njia ya whattup

Emmanuel KitengulePosted on8:26 am - Jul 16, 2022

Amina mwalimu, nimebarikiwa sana na ujumbe huu.

AnonymousPosted on11:35 am - Jul 15, 2022

i’m greatfull for tchngs about frmnsn nlkwa natka kugnga nafrmnsn lkn nme acha i’m 16yrs

Raphael BiachuPosted on3:47 am - Jul 15, 2022

I’m very much inspired by the deep revelation of God’s Word, be blessed men of servants of God. Kindly if you still have copies of the book of Revelation. Uchambuzi wa kitabu cha Ufunuo mwanzo hadi mwisho kwa email yangu nitashukuru sana. Nilihifadhi japo ilipotea, naomba huo msaada tafadhali. Nko Dubai kikazi, Shalom

Gabriel lastborn 254Posted on5:40 pm - Jul 14, 2022

Find me on WhatsApp to teach me more 👉+254791985081

Gabriel lastborn 254Posted on5:39 pm - Jul 14, 2022

I thank you kwa masomo ambayo sikuwa nayajua nmeyafuatilia na nmejua asante 🙏 Be blessed ✔️

Daudi SagaraPosted on10:20 am - Jul 14, 2022

kazi yenu ni njema sana watumishi wa Mungu

AnonymousPosted on10:19 am - Jul 14, 2022

Mungu awabariki sana nimepokea kitu

Steven TindwaPosted on2:56 pm - Jul 13, 2022

Shalom man of God. I ask for your spiritual assistance about my dream which is bothering me until now because I don’t know the meaning of this dream. I dreamed that I’m doing an exam of English subject and I did not finish, then I woke up, after waking up then I slept again and I dreamed that I’m doing exam of kiswahili subject and Didi not finish too. What is the massage of to me through this dream? Please help me.

    Nuru ya UpendoPosted on5:55 am - Jul 15, 2022

    Waitwa nani ndugu…

    Hiyo ndoto ni Mungu anakuonyesha rohoni upo nyuma ya wakati…sijui kama umeokoka…au kama utakuwa umeokoka basi ongeza viwango vyako kwa Mungu…kwasababu ukiendelea kwa kasi hiyo ni ngumu kuushinda ulimwengu..

Ndayiragije AMONPosted on7:54 am - Jul 13, 2022

Kweri kabisa

Michael MutukuPosted on11:31 pm - Jul 12, 2022

Kwanza kabisa,namshukuru Mungu kwa wema wake na fadhili zake.
Jambo la pili,Nawashukuru kwa mafundisho mazuri.
Mungu awabarki na awape hekima zaidi,na awatimizie ndoto zenu,maono yenu na malengo yenu,
Mwisho,nitaendelea kusoma haya mafundisho,hata ingawa wakati mwingine era za kununua mjazo sinakosekana,lakini kwa imani nitazidi kusoma na ninaomba Mungu na mimi nifundishe wengine kupitia haya mafundisho.God bless you all AMEN.

Lucas mhulaPosted on11:23 am - Jul 12, 2022

Amen 🙌🙌🙏🤝

Salome Isack NangwaPosted on11:26 pm - Jul 11, 2022

Mungu akubariki mtumishi,nabarikiwa Sana na masomo yako.

Irene NsajePosted on11:22 pm - Jul 11, 2022

Ubarikiwe sana. Naomba kuuliza, je ni halali kuweka picha inayodhaniwa KUWA ni picha ya YESU madhabahuni? Na je ni nani nabii wa kweli?

    AnonymousPosted on4:34 am - Jul 12, 2022

    Ikiwa picha hiyo haihusianishwi na shughuli zozote za kiibada, kama vile, kuabudiwa au kusujudiwa, inaweza isiwe ni kosa..Lakini kama itakuwa ni vinginevyo, hiyo ni ibada ya sanamu, na ni dhambi kufanya hivyo

    Halikadhalika nabii wa kweli, ni yule anayetoa ushuhuda wa Kristo, yaana anayemhubiri Kristo,

    Ufunuo 19: 10…..Kwa maana ushuhuda wa Yesu ndio roho ya unabii.

AndyPosted on9:12 pm - Jul 11, 2022

Asante ubarikiwe nimeota hivyo hivyo najiandaa kufanya mtihani halafu sijajiandaa kabisa yani kama nilikuwa doja wa shule natokea Shuleni naambiwa kuna Mtihani, asante sana Mungu akubariki

AnonymousPosted on9:12 pm - Jul 11, 2022

Asante ubarikiwe nimeota hivyo hivyo najiandaa kufanya mtihani halafu sijajiandaa kabisa yani kama nilikuwa doja wa shule natokea Shuleni naambiwa kuna Mtihani, asante sana Mungu akubariki

Emmanuel KitengulePosted on10:57 pm - Jul 10, 2022

Mwalimu kwa kweli nakosa hata la kusema,yani najihisi kukuelewa sana.Mafundisho unapofundisha ni kama vile unaniamsha kutoka kwenye usingizi wa ujinga afu maluweluwe yote yanatoweka kisha nakuwa macho katika KWELI.Barikiwa sana mwalimu.

HERY T. NJELEKELAPosted on2:54 pm - Jul 9, 2022

Mafundisho mazuri,je nifanye nini ili mungu ajibu maombi yangu.

MICHAEL NZUNGUPosted on10:39 am - Jul 9, 2022

Naweza fanya nini, ili macho yangu ya kiroho ya fumbuliwe. Ni ndugu MICHAEL NZUNGU pa DRC katika jiji la UVIRA

UnknownPosted on12:02 pm - Jul 8, 2022

Barikiwa kwa somo mtumishi ila soma mafungu haya halafu tafakari kwa Maombi na uruhusu Mungu akuongoze. Mwanzo 2:1-3, Kutoka31:15-17, Kutoka 20:8-11, Mathayo5:17, Luka 4:16, Luka 23:44-56, Matendo 17:2-3, Waebr 4:4-11 Isaya 66:22-23 Hivyo ipo siku ya ibada maalumu kwa Mwenyezi Mungu Mwanzo 2:1-3 inathibutishwa na Luka 23:50-56. Barikiwa sana

GeorgePosted on9:23 am - Jul 8, 2022

Asante sana nimebarikiwa kwa somo hili

AnonymousPosted on9:06 pm - Jul 7, 2022

Asante kwa somo zuri

Joseph LikarePosted on7:40 pm - Jul 7, 2022

Baraka tele kutoka kwa…MUNGU

AnonymousPosted on3:59 pm - Jul 7, 2022

Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri sana

Michael Nzungu mcgPosted on2:40 pm - Jul 7, 2022

Mungu akubariki sn mtumishi

Friedrich the son of JESUS.Posted on11:23 pm - Jul 5, 2022

Mtumishi!
Nabarikiwa sana na masomo ya tovuti hii(wingu la mashahidi.org), Mungu,Bwana wa mbingu na nchi aendelee kutembea nanyi!
Pia ningependa kujua, MKRISTO, Anaruhusiwa kutumia madawa ya kienyeji?
Au? Kumwomba MUNGU kwa imani bila kunywa kidonge wala mzizi ni kumjaribu BWANA?

Joseph LikarePosted on9:10 pm - Jul 5, 2022

Barikiwa sana

Ndayiragije AMONPosted on7:09 pm - Jul 5, 2022

Hakika naukweri

AnonymousPosted on8:21 am - Jul 5, 2022

Ubarikiwee Sanaa Mwalimu

JENIFFER MASHAPosted on11:20 am - Jul 4, 2022

MUNGU AKUONGEZEE NEEMA KUKUU YA UCHAMBUZI ZAIDI.BARIKIWA SANA KAKA

AnonymousPosted on3:12 pm - Jul 3, 2022

Naitwa Laban francis. naomba masomo. 0621697046

AnonymousPosted on3:08 pm - Jul 3, 2022

Naomba masomo kwa whatsapp 0621697046

Je! ni kweli karama ya kunena kwa Lugha haikupewa kipaumbele na mtume Paulo kama yafanyavyo baadhi ya makanisa leo hii? –Posted on12:29 pm - Jul 3, 2022

[…] Je kunena kwa Lugha mpya kukoje?.Na hizi lugha ni zipi, na je! ni lazima kila mkristo aliyepokea Roh… […]

GeofreyPosted on5:17 am - Jul 3, 2022

Nimeota niko na wangu tunasafiri na basi kutoka mkoani kuelekea Dar. Mara dereva akashuka gari likawa linayumba. Kondakta hakuchukua hatua. Nikaamua kuingilia Kati kuliendesha kea nyuma. Nikaliegesha pembeni maana lilikuwa linataka kusababisha ajali. Mara dereva akarudi anaingia kwenye gari mm nikiwa nimetoka kidogo. Kurudi, gari limeondoka na wangu wadogo wawili. Nikabaki nahangaika

InnoPosted on11:35 pm - Jul 2, 2022

Kiufupi mmekuwa mkiokoteza sababu kiasi kwamba mmefikia hatua mpaka mnaonekana kama malimbukeni mnaoutafuta umaarufu kupitia ujuaji na uongo wenu. Hapa ni wenye akili ndogo kama ya kwako ndo wanaweza wakawa wamekuelewa upuuzi uloandika.. Mnatapatapa hamjui mfanye kipi muache kipi.

Emmanuel KitengulePosted on8:33 pm - Jul 2, 2022

Utukufu kwa Mungu,kwa kweli nimebarikiwa sana na somo hili hakika haya ndiyo yalikuwa mafundisho ya YESU hasa na mitume.Barikiwa sana mwalimu.

PriscaPosted on7:23 pm - Jul 2, 2022

Waoooh mbarikiwe sama. Nimejifunza ,nimetiwa moyo na nimeinuliwa kiimani.

Lucas mhulaPosted on2:37 pm - Jul 2, 2022

Amina mtumishi asante sana kwa somo zuri

IsraelPosted on6:28 pm - Jul 1, 2022

Mungu awabariki Sana katika huduma zaidi Sana imzalie Bwana Yesu kristo matunda

AnonymousPosted on10:27 am - Jul 1, 2022

Ni sahihi kumshirikisha kila MTU Jambo lako?

Frank NtimiaPosted on5:27 pm - Jun 30, 2022

Naitaji masomo zaidi ya kujifunza natafuta kujua ukweli

Imani RulazigulaPosted on2:50 pm - Jun 30, 2022

Natamani kujiunga kwenye group nipate mafundisho

RoisPosted on1:47 pm - Jun 30, 2022

Mungu atuhurumia nyakati hizi za mwisho manabii wa uongo wamekuwa wengi Sana makanisani na mikutano ya kishetani.
🙏🙏🙏

Prisca kombaPosted on8:19 am - Jun 30, 2022

Nimeguswa San

Faustin MndigaPosted on5:02 pm - Jun 28, 2022

Masomo haya ni mazuri uanaendelea kunitengeneza kila iitwapo Leo.Mungu akubariki mtumishi

Pastor Mathew Leonard MasanjaPosted on11:34 am - Jun 28, 2022

Ninafurahi sana na kundi hili la kiroho vitu vingi najifunza. Mungu ambariki sana Admin wa group hili.

robert chegePosted on8:08 am - Jun 28, 2022

heee,nime funguriwa Mimi Katika jina,la YESU

robert chege.Posted on7:34 am - Jun 28, 2022

AMEN BWANA akubariki mtumishi nime barikiwa sana.na hisi nime,funguriwa

Daudi SagaraPosted on4:49 pm - Jun 27, 2022

mbarikiwe sana kwa ujumbe wa kujenga

Gwisu kuzenza wejaPosted on10:39 pm - Jun 26, 2022

I’w wanna know the meaning of gwisu

MPosted on6:41 am - Jun 26, 2022

Amina Mungu awabariki

MPosted on6:33 am - Jun 26, 2022

Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

Lucas mhulaPosted on9:47 pm - Jun 25, 2022

Amina mtumishi asante kwa ujumbe

Emmanuel KitengulePosted on5:49 pm - Jun 25, 2022

Barikiwa sana mwalimu kwa mafundisho mazuri yaletayo UZIMA,hili litaokoa wengi.

JONAS KELUSAPosted on5:25 pm - Jun 25, 2022

Kwanini mathayo anaandika Yesu
alikutana na watu wawili alikutana nao makaburini huku marko na Luka wanaandika mtu mmoja

JONAS KELUSAPosted on5:22 pm - Jun 25, 2022

Kwanini mathayo anaandika watu wawili alikutana nao makaburini huku marko na Luka wanaandika mtu mmoja

JosephPosted on8:33 pm - Jun 24, 2022

Mwenyezi MUNGU atujalie kutimiza amri Mwenyezi MUNGU atujalie kutimiza amri zake.

Lucas mhulaPosted on2:51 pm - Jun 24, 2022

Amina mtumishi wa Mungu nimebarikiwa sana na ujumbe

John wanjalaPosted on9:58 pm - Jun 23, 2022

The adventist church has been rejected with many people..but i came to know that it is the only church that leads her people to JESUS CHRIST for preaching the 3 angels massage to all men.

John wanjalaPosted on9:53 pm - Jun 23, 2022

Catholic is the mother of harlots.

AnonymousPosted on2:11 pm - Jun 23, 2022

UBARIKIWE MTUMISHI WA BWANA KWA KUENDELEA KULIJENGA KANISA LA YESU KRISTO KWA MAFUNDISHO MAZURI

Lucas mhulaPosted on11:19 pm - Jun 22, 2022

Amen Asante kwa somo zuri

PETER SARAKIKYAPosted on8:45 pm - Jun 22, 2022

NATAMANI NIKIPATE KITABU CHA HENOKO NIKISOME

JosephPosted on5:28 pm - Jun 22, 2022

Amina, Barikiwa kwa somo zuri, lakini neno “samaki halina wingi, kwahiyo tunaweza kusema ni samaki mmoja lakin ikawa si hakika sana.. Au inaweza kuwa kweli maan kam walikuwa ni wengi biblia ingesema “na wale samaki

Hosea Stephano NdimcheyePosted on3:22 pm - Jun 22, 2022

Mungu awabariki sana kwa neno la Mungu.

Daniel ombuo wa tarimePosted on3:15 pm - Jun 22, 2022

jamani nafurah sana kwa mafunzo yenu je swali ni kwamba mungu ni nani?

Emmanuel KitengulePosted on12:18 pm - Jun 22, 2022

Barikiwa sana mwalimu, kwa kweli kanisa kama kanisa kwa siku hizi za mwisho tunahitaji maarifa ya KWELI yakayotupa imani thabiti na kusimama badala kujidanganya kwenye ujinga.Kazi unayoifanya ni kubwa sana kwani inaotutoa upofu na matongotongo, Mungu na azidi kukuinua sana kwa kweli.

Emmanuel KitengulePosted on12:06 pm - Jun 22, 2022

Barikiwa sana mwalimu, naamini huu ni wakati wa kuijua KWELI kisawaswa na kuifuata.Tumekaa kwenye UONGO kwa muda mrefu na kuaminishwa huo lakini Mungu ni mwema anatuletea kweli ili tupone.

Emmanuel KitengulePosted on11:02 pm - Jun 21, 2022

Utukufu ni kwa Mungu,nabarikiwa sana mwalimu jinsi unavyotiririka na maarifa haya ya uzima.Mungu na akuinue zaidi.

Emmanuel KitengulePosted on10:44 pm - Jun 21, 2022

Mwalimu umenifungua ufahamu katika hili kwani limeshawahi kunitesa na limekuwa likinitesa kwa upande mwingine Lakini ashukuriwe Mungu kwani litabaki kuwa histora kwangu.Ubarikiwe sana mwalimu.

Emmanuel KitengulePosted on10:25 pm - Jun 21, 2022

Barikiwa sana mwalimu,kwa kweli hata kama ni mzito kuelewa ila kwa namna unavyofundisha atakuelewa tu.Binafsi nakuelewa sana hadi nafurahi sijui ni kwanini hali hii huwa inatokea, barikiwa sana mwalimu.

Emmanuel KitengulePosted on10:05 pm - Jun 21, 2022

Barikiwa sana mwalimu kwa ufafanuzi mzuri.

Bukuru isaac kalalePosted on3:16 pm - Jun 21, 2022

Mpendwa umedanganya apo kuhubatizo mahana yesu aliesema mkiwabatiza kwa jina la baba na mwana na roho mtakatifu kwaiyo yesu amedanganyika pole sana ukibatiza kwa jina la yesu aujakoseya na kwa utatu utakatifu aujakosya mahana nitafusiri moja yesu ni baba na ni mwana na niroho mtakatifu

Hamisi Boniphace KaberegePosted on1:31 pm - Jun 21, 2022

Kitabu cha mithali 8:22-30 inaonyesha Yesu alikuwa na BWANA ambaye ni Mungu. Na yeye Yesu ni kama stadi wa kazi ya BWANA Kwa maana Mungu. Hapo inatuonyesha wapo wawili na ni mbinguni hapo. Swali kama Yesu ni Mungu baba, na ndiyo mwana na Roho Mtakatifu, wakat hapo inaonyesha wapo wawili tofauti yaan nafsi mbili tofauti mmoja akiwa mkubwa Kwa mwenzie?. Naomba majibu mtumishi na Mungu akuongoze ktk kuleta majibu.

AnonymousPosted on11:05 pm - Jun 20, 2022

Amen sana mwalimu

Muriithi GitongaPosted on4:59 pm - Jun 20, 2022

Nina swali hapa, Ikea Hawa kafanya ngono na adamu, na mungu alikuwa kawambia wazaane, wangezaana she pasipo kuingiliana?

William laswayPosted on8:34 am - Jun 20, 2022

Barikiwa mtumishi

MPosted on3:22 am - Jun 20, 2022

Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

Emmanuel KitengulePosted on10:39 pm - Jun 19, 2022

Ni wakati wa kuijua KWELI badala ya kujifariji katika ujinga.Barikiwa sana mwalimu,hakika unanitoa katika ujinga.Mungu na azidi kukuinua katika maarifa yaletayo uzima.

Emmanuel KitengulePosted on9:50 pm - Jun 19, 2022

Asante sana mwalimu kwa mafundisho mazuri na barikiwa sana pia.Binafsi nimekuelewa vizuri.Lakini pia nina swali.Je,vigezo vya kwenda kuwahubiria wengine habari za wokovu ni vipi?Je,aweza mtu kuwahubiria wengine habari za wokovu hali yeye mwenyewe HANAO huo wokovu? Asante!

AnonymousPosted on12:57 am - Jun 19, 2022

Naomba maelezo au tafakari ya hosea tokea mwanzo hadi mwisho

LutagomwaPosted on8:14 pm - Jun 18, 2022

Unanifanya kuwiwa kuwa mtumishi was kristo Bwana Yesu, injiri yako ina sisimua na kwa kila anae fatilia page yako hii nakuhakikishi lazima awe na matokeo mazuri
Ubalikiwe mtumishi

Emmanuel KitengulePosted on5:18 pm - Jun 18, 2022

Barikiwa sana mwalimu kwa kazi kubwa ya kufundisha ile iliyo KWELI.Binafsi kila ninapopitia masomo haya huwa napiga hatua katika maarifa.

Emmanuel KitengulePosted on1:12 pm - Jun 18, 2022

Barikiwa sana mwalimu umenifungua ufahamu mpaka nafurahi.Mungu na azidi sana kukuinua katika maarifa yaletayo uzima.

Gaudencius PeterPosted on9:29 am - Jun 18, 2022

Barikiwa sana

IbrahimPosted on9:23 pm - Jun 17, 2022

Shalom! Samahani mtumishi mimi nilikua nauliza je ni sahihi kwa mkristo kuvaa mavazi ya kiislamu kam kanzu na kofia? au kilemba?

Emmanuel KitengulePosted on7:59 pm - Jun 17, 2022

Barikiwa sana mwalimu kwa mafundisho na MUNGU azidi kukupa mafunuo zaidi.Binafsi nimebarikiwa sana na ujumbe huu na nimeanza kutoka katika ubandia kwa maamuzi magumu.Naomba kuuliza swali,je kunyoa kipara na kunyoa ndevu kabisa je bado ni dhambi?

AnonymousPosted on3:29 pm - Jun 17, 2022

Kwani bado tupo chini ya zilesheria za waisraeli wakale?
Basi tunzingatie kutovaa zangi mbili zanguo pia?
What about Sabbath

john mwangandaPosted on3:23 pm - Jun 17, 2022

Kazi nzuri Jehova kupitia Roho wake mtakatifu azidikuwafunulia siri zaidi za neno lake amen

CHURCH MANPosted on7:37 pm - Jun 15, 2022

Hakika Mungu ana watu wake kajiwekea akiba kama wewe. Wakati dunia imepoteza kabisa kweli ya neno la Mungu kama hii anaibuka mtu kama wewe sasa. Anazifungua akili za watu waelewe kile kitu wanakisikia na hawaelewi.
Barikiwa sana .{utukufu ni kwa Bwana}

Emmanuel KitengulePosted on6:17 pm - Jun 15, 2022

Barikiwa sana mwalimu nimekuelewa.

Lucas mhulaPosted on9:31 pm - Jun 14, 2022

Asanteni sana kwa somo

BornfacePosted on5:32 pm - Jun 14, 2022

Am the one who need more knowledge of Christ nikuwa mlokole

Petro BundwaPosted on4:03 pm - Jun 14, 2022

Naomba Mnitumie Mafundisho kwa njia hi na ya WhatsApp 0625669158

Emmanuel KitengulePosted on11:05 am - Jun 14, 2022

Barikiwa sana mwalimu kwa mafundisho mazuri ya wokovu.

Zuberi MotoPosted on10:21 am - Jun 14, 2022

Asante kwa somo nzuri

Lucas mhulaPosted on12:52 am - Jun 14, 2022

Amen 🙏🙌

Lucas mhulaPosted on12:32 am - Jun 14, 2022

Amina nimekuelewa mwalimu wangu katika Kristo Yesu ubarikiwe sana 🙏🙏🤝🙌

Lucas mhulaPosted on12:09 am - Jun 14, 2022

Amen 🙏🙏🙌

Lucas mhulaPosted on2:18 pm - Jun 13, 2022

Amina mtumishi wa Mungu 🙏🙏 mbarikiwe sana. 🤝🤝

Cleven NassaryPosted on5:50 pm - Jun 11, 2022

Amen ubarikiwe kwa somo zuri

JabiliPosted on12:59 pm - Jun 10, 2022

Amina, Maanake Mungu akinitazama mimi anamwona kristo ikiwa natenda mapenzi yake na kuwa mtakatifu kweli..

JabiliPosted on8:28 am - Jun 10, 2022

Amina, Mungu awabariki kwa mafundisho mazuri, lakini samahani nina swali kwa somo hili umesema kwamba mpinga kristo atatokea katika ofisi ya upapa, na andiko la uthibitisho ni la (ufu17:11) sasa hapo biblia inasema uyo atakaenda kwenye uharibifu ni wa nane, mbona kwa sasa papa aliyeko ni wa 266 ambaye ni Fransisco? maanake uyo wa nane si alishapita zamani sana…?

Lucas mhulaPosted on6:10 pm - Jun 9, 2022

Nimebarikiwa sana na somo Mungu wa Mbinguni akuinue zaidi Mchungaji kwa somo hili.

Emmanuel KitengulePosted on12:09 pm - Jun 9, 2022

Kwa kweli Mungu atusaidie sana,UJINGA unatumaliza sana wakristo wa leo.Umenitoa kwenye kifungo cha UJINGA kwenye hili eneo.BARIKIWA SANA MWALIMU.

Emmanuel KitengulePosted on7:08 am - Jun 9, 2022

Amina mwalimu, nimebarikiwa sana.

Emmanuel KitengulePosted on7:05 am - Jun 9, 2022

Barikiwa sana mwalimu.

Rowland Asante RobertPosted on7:03 am - Jun 9, 2022

Mandrakes

Emmanuel KitengulePosted on7:01 am - Jun 9, 2022

Barikiwa sana mwalimu.

Emmanuel KitengulePosted on6:55 am - Jun 9, 2022

Nakosa hata la kusema kwa jinsi haya mafundisho yanavyofanyika ufunguo wa kiroho kwangu.Kwa kweli Mungu na akuzidishe mwalimu.

Emmanuel KitengulePosted on6:39 am - Jun 9, 2022

Barikiwa sana mwalimu,nimekuelewa vilivyo, Mungu na akuzidishe.

Emmanuel KitengulePosted on6:30 am - Jun 9, 2022

Barikiwa sana, mafundisho ni mazuri sana yaliyojaa KWELI.

Tumaini JamesPosted on6:24 am - Jun 9, 2022

Mnitumie mahubiri kwa njia ya barua pepe

Emmanuel KitengulePosted on11:18 pm - Jun 8, 2022

Nimebarikiwa sana na somo hili.Mungu na azidi kukuinua katika maarifa ya KWELI.

Emmanuel KitengulePosted on11:03 pm - Jun 8, 2022

Barikiwa sana mwalimu.

AnonymousPosted on10:54 pm - Jun 8, 2022

Kumbe huko kuna mammbo mengi

Emmanuel KitengulePosted on10:52 pm - Jun 8, 2022

Amina mwalimu.

Emmanuel KitengulePosted on6:45 pm - Jun 8, 2022

Barikiwa sana mwalimu kwa maarifa haya, binafsi nimukuwa mwathirika wa hili kwa muda mrefu na nilijiona nipo sahihi kabisa likini kwa rehema zake taratibu alianza kuniongoza katika mapenzi yake juu ya hili.Shukrani ni kwake Yeye.

SSMM1995#Posted on2:43 pm - Jun 8, 2022

Kuwa mlokole huku ukikataa amri za Mungu ni upagani. 1yohana 2:3-4

Rowland Asante RobertPosted on2:42 pm - Jun 8, 2022

Fadhili zàke ni za milele!

Rowland Asante RobertPosted on2:37 pm - Jun 8, 2022

Am blessed!

Paulo DaudiPosted on3:56 pm - Jun 7, 2022

Nauliza kwenye Upande wa kukopa kwenye mabenki na kurudisha riba je ni dhambi?

Getrude CharlesPosted on2:09 pm - Jun 7, 2022

Amina Mpendwa katika Kristo Yesu, umefafanua sana.

Barikiwa sana.

enock amilioPosted on8:18 pm - Jun 6, 2022

Halelujah

KIZA RUHAMBIRIZAPosted on8:59 am - Jun 6, 2022

Nafurai sana kuwapata kwa kunisaidia mafundisho mazuri

Emmanuel KitengulePosted on8:23 pm - Jun 5, 2022

Hakika Mungu ni mwema sana,tumekuwa na injili ya blaa blaa na hata watumishi wenyewe hawana kina cha maarifa ya MUNGU.Kwa mafundisho haya yanatutoa matongotongo ndomana nadiriki kusema Mungu ni mwema kwani hakutaka tuendelee kukaa katika ujinga.Barikiwa sana mwalimu.

Emmanuel KitengulePosted on8:15 pm - Jun 5, 2022

Asante sana na barikiwa sana mwalimu.Maarifa haya ni ya viwango.

Emmanuel KitengulePosted on8:08 pm - Jun 5, 2022

Amina amina mwalimu.Unaeleweka sana.

Emmanuel KitengulePosted on8:06 pm - Jun 5, 2022

Barikiwa sana mwalimu.Ninakuelewa vilivyo.

Emmanuel KitengulePosted on8:04 pm - Jun 5, 2022

Amina amina mwalimu, barikiwa sana.

Emmanuel KitengulePosted on7:46 pm - Jun 5, 2022

Amina mwalimu.

Emmanuel KitengulePosted on7:43 pm - Jun 5, 2022

Amina mwalimu wa NENO,naendelea kukata kiu ya kuijua KWELI.Mungu na azidi kukuinua.

AnonymousPosted on7:10 pm - Jun 5, 2022

Amen sana mteule wa Bwana Yesu.

AnonymousPosted on4:50 am - Jun 4, 2022

Amina…asante kwa mafundisho mtumishi wa Mungu..ubarikiwe

Muriithi GitongaPosted on10:48 am - Jun 3, 2022

Ufafanuzi zaidi kuhusu mazingaombwe

Helman Alex Kilunga. My Email kilungahelman@gmail.comPosted on4:18 am - Jun 3, 2022

Be blessed man of the living God, for sure is very tremendous message, I enjoyed it and learn more from it. Thanks.

Joseph LikarePosted on8:47 pm - Jun 2, 2022

Shukran kwa ujumbe

AnonymousPosted on2:54 am - Jun 2, 2022

Leave your messagenaomba somo la mapenzi ya Mungu

JOSIAH LLOYD MURUVEPosted on11:29 pm - Jun 1, 2022

Mungu awabariki kwa kazi hii mnayoitenda

Emmanuel KitengulePosted on4:01 pm - Jun 1, 2022

Asante kwa kutuondolea ujinga wa kiroho.

Emmanuel KitengulePosted on3:57 pm - Jun 1, 2022

Amina Amina mwalimu,kwa kweli mbali kujifunza kupitia masomo haya pia yananifanya nisikie raha.Mbarikiwe sana.

Faraja MwakamyandaPosted on11:59 am - Jun 1, 2022

Asante Kwa masomo Aya nabarikiwa

Emmanuel KitengulePosted on10:16 am - Jun 1, 2022

Shalom mwalimu! mafundisho haya ni adimu sana kuyapata.Barikiwa sana,yatupa maarifa ya hali ya juu.

ZilperPosted on7:38 pm - May 31, 2022

MUNGU aliye hai aendelee kuitunza huduma hii

Emmanuel KitengulePosted on10:26 am - May 31, 2022

Asante sana mwalimu, binafsi kati ya ndoto ambazo zimenisumbua kwa muda mrefu ni hizi.Nimepata maarifa sasa, Asante sana kwa mafafanuzi haya kwani yanakidhi sana shauku yangu ya kujifunza.

Emmanuel KitengulePosted on1:40 am - May 31, 2022

Hili somo limeeleweka kweli kweli.Binafsi naamini kuna watu wengi wako huko kwa sababu hawajakutana na KWELI hii ila siku wakikutana nayo watatoka mchana kweupe.Barikiwa mwalimu kwa somo hili zuri, binafsi nimepata maarifa.

Emmanuel KitengulePosted on1:13 am - May 31, 2022

Nimeelewa vizuri na nimebarikiwa.

Emmanuel KitengulePosted on1:05 am - May 31, 2022

Asante sana kwa somo hili limenifungua, katika kanisa nililokuwa naabudu kulikuwa na kuua wachawi katika maombi kwa kutumia hili andiko kumbe sio sahihi.Sasa nimeelewa.

Emmanuel KitengulePosted on9:51 pm - May 30, 2022

Amina.

Emmanuel KitengulePosted on9:40 pm - May 30, 2022

Amina mwalimu,nimebarikiwa sana.

Emmanuel KitengulePosted on9:29 pm - May 30, 2022

Barikiwa sana mwalimu, binafsi huwa napenda sana kujifunza na kupitia masomo haya napata maarifa ya viwango vya juu sawa sawa na shauku yangu.

Emmanuel KitengulePosted on9:11 pm - May 30, 2022

Shalom mwalimu!hii ni moja kati ya tabia ambayo nimekuwa nayo kutokana na kujifunza na kufundishwa hivyo.Moja kati ya shauku na maombi yangu ilikuwa ni kuijua KWELI na kwa kadiri siku zinavyozidi kwenda, MUNGU ananijibu pole pole na kugundua kuwa ile ambayo nimekuwa nikidhani ndiyo KWELI na wengi kuamini ndiyo KWELI kumbe sio kabisa.

Benedicta KhallingaPosted on12:02 pm - May 30, 2022

Shalom watumishi wa Mungu ,samahani nina swali naomba kufundishwa WAEBRANIA 13:12-13
Kwa ajili hii Yesu naye ,ili awatakase watu kwa damu yake mwenyewe,aliteswa nje ya lango.Basi na tutoke tumwendee nje ya kambi,tukichukua shutumu lake.

NAOMBA UFAFANUZI/TAFSIRI YA HILI ANDIKO.

Emmanuel KitengulePosted on10:08 pm - May 29, 2022

Je,nini maana ya kuota nipo shuleni, wakati mwingine chuoni?

Emmanuel KitengulePosted on10:03 pm - May 29, 2022

Shalom mwalimu husika! naomba kuuliza swali,mara nyingi katika ndoto huwa najiona nipo au nimeenda eneo ambalo nilizaliwa.Je,hii huwa ina maana gani?

MPosted on9:22 pm - May 29, 2022

Ubarikiwe..sasa nimeelewa

Wakoko SamuelPosted on11:57 am - May 29, 2022

Amen. God bless you abundantly as you continue to bless us with the teachings

Benard wamalwaPosted on7:07 am - May 29, 2022

Nitumie maana ya fungu la kumi.

MPosted on8:16 pm - May 28, 2022

Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU

MPosted on2:28 pm - May 28, 2022

Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

Olen AsheryPosted on10:01 am - May 28, 2022

Nimeota nimebeba mtoto na nipo katikati ya bahari

Gashud MwaigomolePosted on9:03 pm - May 27, 2022

Shalom watumishi,. Nmependa mafundisho yenu,. Ningependa kupata ujumbe kama uhu kila cku,. Arsante

Wilson MettaPosted on12:42 am - May 27, 2022

MUNGU awabariki sana, kazi njema mmnayoifanya. Ninabarikiwa sana na mafundisho yenu yana nisaidia sana kiroho, ninatamani sana kuonana au kuongea nawe mtumishi wa Kristo Yesu.
Shalom.

AnonymousPosted on10:33 pm - May 26, 2022

Balikiwa sana kwa mafundisho mazur MUNGU azidi kukufunulia mtu mishi nawe uendelee kunilisha zaidi

Ombi MahengePosted on11:46 am - May 25, 2022

Thank for teachings

AnonymousPosted on7:53 am - May 25, 2022

SOMO zuri, ubarikiwe saaaaana

AnonymousPosted on7:28 am - May 25, 2022

Amen,SOMO zuri sana, ubarikiwe saana

JanePosted on2:50 pm - May 24, 2022

Vp kuhusu nabii kama Miriam nae unamuweka ktk kundi gani

    KelvinPosted on11:26 am - Jun 14, 2022

    Dear Admin ninabarikiwa sana na mafundisho yako lakini hili andiko lako linanipa changamoto kidogo. Tunaposoma andiko lolote katika biblia hatua ya KWANZA ni kujiuliza mwandishi alilenga nini Kwa hadhira yake ya wakati huo( EXIGESIS).. tukishaelewa hilo ndipo tunakuja hatua ya PILI ambayo ni Je! Kwetu Leo hadhira ya Sasa, andiko hili tunalitumiaje.. nyaraka nyingi za mtume huyu mwenye neema ya kipekee sana PAULO. Aliandika kulingana na uvuvio wa roho mtakatifu kuendana na mwenendo na tabia ya kanisa husika. Kanisa lililokuwa KORINTHO, THEOLOJIA inaonyesha ni kanisa ambalo neema ya Mungu iliachiliwa kwao Kwa viwango vya juu sana!! KARAMA ZA ROHONI zote(9) na HUDUMA ZA ROHO MTAKATIFU(5) zote zilikuwa zinatenda kazi ndani ya kanisa bila kubagua jinsia!! Sasa ikaibuka watu KUTOKUENENDA KWA UTARATIBU!! wanawake wakawa Sasa ni VURUGU ibadani kila mmoja ANASIMAMA anavyotaka yeye!! Paulo ameeleza yote haya katika nyaraka hizi Kwa KORINTHO..ndipo akachukua hatua ya kuwapiga STOP wanawake anawauliza KWANI KRISTO aliwajia ninyi tu? katika waraka Kwa mwanaye wa kiroho TIMOTHEO, pia aliapply amri hiyo toka katika torati kulingana na HALI NA MWENENDO WA WANAWAKE katika kanisa husika!! ukisema Leo hii TUWAZUIE wanawake ni KUBATILISHA neema ya Mungu.. mbona mtume PAULO huyohuyo katika nyaraka zingine hajazuia na anawaandikia WANAWAKE akina PRISILA ambao ni watumishi!! hebu ni maombi yangu uichunguze hili chapisho vizuri kwamba Je! UJUMBE WA KUDUMU(timeless truth) aliyolenga MTUME PAULO ilikuwa ni kuwazuia wanawake kuwa na HUDUMA??
    With humility,
    I submit

      prisca sangaPosted on2:33 pm - May 4, 2024

      Umenena vyema, i was like kuandika hivi, mtoa maada ametafsiri biblia kimwili sanaaa na hajataka kujua intension ya mtume paulo.
      Mtume paulo yeye yeyeeee amemtaja prisila for more than 3 times kuwa alitenda kazi pamoja nae and how ikiwa alikuwa anawakataa??
      Hapo Utagundua kitu.

    Faraja kasikilePosted on6:56 am - Aug 1, 2025

    Miriamu nabii miniature yupi uyoo akuna nabii mwanamke kwenye biblia kuna walio fanya kazi tu nasio manabii au mask off au wachungaji au chef chochote

Pastor magulyatiPosted on1:22 pm - May 24, 2022

Achen kuwapotosha watu soma 1 yohana 5:8 utatu upo

Rowland Asante RobertPosted on5:54 pm - May 23, 2022

Naelewa Sana! Pepo SI lazima apige kelele. Blessings

Ismaël SimonPosted on11:14 am - May 22, 2022

Nahitaji mafundisho haya kupitia email yangu hii

AnonymousPosted on6:12 am - May 22, 2022

Asante Sana neno lako limenibariki,na sasa nimeelewa vizuri..Mungu awabariki muendelee kutoa elimu zaidi.

James fliberthPosted on6:58 pm - May 21, 2022

Bwana yesu asifiwe mchungaji

AnonymousPosted on3:06 pm - May 21, 2022

Nataka kufaham biblia lakin najikuta nasoma tu wakt mwingne kama kitabu kawaida lakin pia uvivu

    Nuru ya UpendoPosted on8:52 pm - May 24, 2022

    Ni vizuri ukaweka malengo katika kusoma, na pia ukasoma kitabu kizima na si vipengele vya mistari tu…na kuuliza maswali kwa wengine pale ambapo unakutana na kipengele ambacho hukielewi

Glory nyoniPosted on6:11 am - May 21, 2022

Mungu akubariki sana ,nimejifunza kuusu uponyaji umeniongezea kitu kwanye akili yangu

Emmanuel KitengulePosted on12:08 am - May 21, 2022

Shalom mtumishi,hongereni kwa kazi kubwa ya kufundisha maarifa ya kweli ya Mungu.Lakini nina swali katika baadhi ya mada kama mnaongelea kuhusu Yesu huwa mnaweka na picha ikionesha kama ndo Yesu.Je,kwanini inakuwa hivyo na kuna haja gani ya kufanya hivyo?

Wilson MettaPosted on11:39 am - May 20, 2022

Ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU, Bwana YESU akuzidishe sana kwa ajili ya ufalme wake. Shalom

Prisca kombaPosted on9:51 am - May 20, 2022

Amina nimekupa na Nitatendea kaz

Nuru mhondelePosted on8:28 am - May 20, 2022

Nimebarikiwa sana na naamini ntakua kiroho vizuri nikiendelea kusikiliza mafundisho yenu

Nuru ya UpendoPosted on10:41 am - May 19, 2022

Ndio katika mazingira kama ya kwako, unapokea mashambulizi ya wazi kutoka kwa adui, na ikiwa umeokoka, basi mamlaka tayari unayo ya kuziamrisha hizo nguvu za adui zikuachie, kwa jina la Yesu. Na hayo mambo hayatakurudia tena.

FABIAN BAHARIAPosted on10:36 pm - May 18, 2022

Mimi natamani sana kuomba ila kila nilitaka kuomba kuna nguvu kubwa inapambana nami maeneo ya kichwani na kifuani kiasi kwamba nalazimika kukemea hiyo hali kwanza ndio sasa niendelee kuomba.Sasa ni jambo linalojirudia mara kwa mara.Naomba msaada wenu kujua hii Nonini na pia msaada wa maombi yenu

Fabian BahariaPosted on10:32 pm - May 18, 2022

Nahitaji kufahamu utofauti wa biblia yenye vitabu 66 na ile yenye vitabu zaidi ya hivyo

ThadeoPosted on10:26 pm - May 18, 2022

JAMAN DAH MUNGU ATUSAIDIE

Getrude CharlesPosted on2:31 pm - May 18, 2022

Amina, Barikiwa Sana watumishi wa Mungu.

Joshua GeorgePosted on1:44 pm - May 18, 2022

Mimi bado sijaelewa hapo kwenye kuzimu maana kama waovu huenda jehanum na watakatifu huenda peponi huk kuzimu huwepo kitu gani ? Au miili ya wafu wote?

CELESTIN TCHOMBE RUZIBIRAPosted on12:42 am - May 18, 2022

Bwana asifiwe

Joshua georgePosted on2:39 pm - May 17, 2022

Mungu awatangulie

elisha mapindaPosted on10:01 pm - May 15, 2022

napenda masomo yenu mnitumie,amina

Frank ShooPosted on6:28 pm - May 15, 2022

Amina watumishi. Kazi yenu ni njema sana.

NICHOLAUS LENARD ABEIDPosted on8:13 am - May 15, 2022

Nahitaji kujiung freemason kwa sababu moyo wangu umelizia sijalazimishwa na mtu yeyote

Rowland Asante RobertPosted on7:06 pm - May 13, 2022

Kweli halisi! Am blessed

SAMWELI MSAFIRIPosted on1:34 pm - May 13, 2022

MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI WA MUMGU

CleverPosted on11:05 am - May 13, 2022

Nawapenda San watumishi wa mungu

AnthonyPosted on10:54 am - May 12, 2022

Asante umenifungua macho.

PhanicePosted on11:27 pm - May 11, 2022

Hasante sana kwa mafunzo yenu yanazidi kunijenga katika Imani. Barikiwa

Mosest Hamis AmraniPosted on2:00 pm - May 11, 2022

Mungu akufundishe zaidi ili nasisi tuendelee kunifunza

Getrude CharlesPosted on8:04 am - May 11, 2022

Amina barikiwa Sana Mtumishi wa Bwana Wetu Yesu Kristo.

RowlandPosted on3:37 am - May 11, 2022

AMEN…! ni nani anayepaswa kumsifu BWANA? JE ni wale walio okoka TU au hata wamataifa(wasio mkiri KRISTO)! NA je wamataifa mfano wanaoimba nyimbo za kidunia wakimsifu kwa kutaka jina lake MUNGU anapokea sifa zao???

Prisca kombaPosted on5:39 pm - May 9, 2022

Asante kwakutukumbusha

Prisca kombaPosted on5:28 pm - May 9, 2022

Amina nipekupat mtumishi

Prisca kombaPosted on4:57 pm - May 9, 2022

Mwal ninaswali mi huwa naota ndoto za watu waliokufa hii inamaanish nini

    Nuru ya UpendoPosted on11:34 am - May 12, 2022

    Inategemea na mtu unayemwota, amekufa wakati gani? kama amekufa hivi karibu ni kawaida kumwota..lakini kama ni zamani sana na ndoto inakuwa ni ya kujiruda rudia na isiyoeleweka basi kuna jambo lingine la kiroho, ambalo nashauri utumie namba hizo hapo chini ya somo kuwasiliana nasi ili tukushauri ndugu yetu..

SamariPosted on5:45 pm - May 8, 2022

Mungu mwema nakusalimu kwa jina la Yesu mwokozi wetu mbarikiwe watumishi wajapo tuzarau watu lakini tunauhakika na tunacho kitenda na ukitaka kuiona njanja ya samaki iweke majini

samariPosted on5:29 pm - May 8, 2022

Amina sana mtumishi Mungu awe pamoja nanyi

AnonymousPosted on1:19 pm - May 8, 2022

nimeipendaa hii

FABIAN BAHARIAPosted on5:36 am - May 8, 2022

Ubarikiwe mtumishi kwa utumishi huo wa mafundisho mazuri ya neno la Mungu

AlexPosted on12:08 pm - May 6, 2022

Mungu awabariki Walimu wote wa Wingu la mashahidi.
Nabarikiwa sana nimefaham mambo mengi nisiyoyajua sasa najua.

AnonymousPosted on5:59 pm - May 5, 2022

Asate kwa somo hili limenisaidiya
Jinsi ya kusoma Bibiliya na kupata Ufunuo Ubarikiwe na Mungu
mwalimu

SamariPosted on4:23 pm - May 5, 2022

Bwana azidi kuwa pamoja nanyi na azidi kuwatia nguvu daima siku zote amina

SamariPosted on4:06 pm - May 5, 2022

Mbarikiwe sana watumishi Mungu

Bernard ngendaPosted on10:27 am - May 5, 2022

Mungu awa imalishe katika kazi yake.

Dilli SalumuPosted on5:34 pm - May 4, 2022

Ninazidi kubarikiwa mno

Peter vuronya chisutiaPosted on4:11 pm - May 4, 2022

Neno lamungu litawale ulimwengu mwote

Dickson MgulundePosted on10:02 am - May 4, 2022

Shalom, mafundisho ni mazuri,Yes,na Shea na Group langu LA pokea Roho mtakatifu LA whatsap. Naomba maombi yenu,nahitaji kuwa na taasisi/shule/chuo kitakacho nikutanisha na makusanyiko kwaajiri ya kufikisha ujumbe wa neno LA Mungu.Niombeeni.

Ulimbaga KnowledgePosted on6:12 am - May 4, 2022

Bwana YESU awabariki, nashukuru nimejifunza tabia hii ya Mungu wetu mkuu Yesu kristo..

PeterPosted on9:48 pm - May 3, 2022

Asante sana mungu akubariki ndugu

NURU MFAKOPosted on4:54 pm - May 3, 2022

Amen,SOMO zuri sana, Mungu aendelee kukutia nguvu katika kuifanya kazi yake.

Tumaini JamesPosted on9:43 am - May 3, 2022

Mungu awabariki. Kwa mahubiri yenu

JonelPosted on7:30 am - May 3, 2022

Mungu, nipr moyo wa Toba.

Getrude CharlesPosted on3:53 pm - May 2, 2022

Amina Mtumishi wa Mungu, zidi kubarikiwa kwa kututia moyo watumishi wa Kristo Yesu.

Getrude CharlesPosted on3:28 pm - May 2, 2022

Amina, Mungu atusaidie sana. Kwa akili zetu hatuwezi.

Felisia KawiaPosted on11:22 am - May 2, 2022

Ubarikiwe mtumishi kwa somo zuri,Kuna kitu nimejifunza kikubwa Sana.🙏🙏 Masomo adimu Sana na watumishi wengi hushindwa kufubdisha Kwani hawayaelewi vizuri.

Getrude CharlesPosted on7:55 pm - May 1, 2022

Amen, Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu, hakika hili somo linafundisha kitu. Maana Injili ya kuteketeza na kutuma moto kwa maadui ndo ibada ya walokole walio wengi leo. Mungu awabariki sana na azidi kuwatumia kwa viwango vya juu zaidi. Amen

Getrude CharlesPosted on7:51 pm - May 1, 2022

Amen, Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu, hakika hili somo linafundisha kitu. Maana Injili ya kuteketeza na kutuma moto kwa ndo ibada ya walokole walio wengi leo. Mungu awabariki sana na azidi kuwatumia kwa viwango vya juu zaidi. Amen

PhanicePosted on11:14 pm - Apr 30, 2022

Barikiwa sana Kwa ujumbe huu.

Ulimbaga KnowledgePosted on5:48 pm - Apr 30, 2022

Bwana YESU awabariki, nashukuru nimejifunza hakika.

Paul lavvinoPosted on11:19 am - Apr 30, 2022

Ubarikiwe mtumishi wa mungu

AnonymousPosted on3:08 pm - Apr 29, 2022

Asante.nimejifunza

AnonymousPosted on11:32 am - Apr 29, 2022

Amen mtumish wa Mungu

Ulimbaga KnowledgePosted on11:25 am - Apr 29, 2022

Bwana YESU awabariki, nimejifunza Neno kuwa ilinifanikiwe kwenye wokovu ni lazima nijikane, nikubali kubeba msalaba wangu na kumfuata Yesu kristo, vinginevyo nitabaki kwenye uvuguvugu, Bwana Yesu anitie nguvu zake!!!

Victor MwandungaPosted on11:02 pm - Apr 28, 2022

Amen. Amen

AnthonyPosted on10:47 pm - Apr 28, 2022

Amen, kazi yenu ni njema

Nuru ya UpendoPosted on8:35 pm - Apr 28, 2022

Amen Bwana azidi kutubariki sote…

Antelm BarackPosted on2:57 pm - Apr 28, 2022

Habari hizi ni njema sana kwa kweli.. Mungu azidi kuwainua watumishi wa Bwana

AnonymousPosted on2:54 pm - Apr 28, 2022

Ubarikiwe Mtumishi. Mi nilikuwa nafikiri kwa andiko hili tunaruhusiwa kuoa/olewa na mtu ambaye hajaamini. Kumbe sio.
Bwana akubariki sana.

    Nuru ya UpendoPosted on8:39 pm - Apr 28, 2022

    Amen..Bwana akubariki nawe pia ndugu yetu….tafadhali usisahau kushea na wengine kwa kobofya icon ya facebook au whatsapp katika kila mwisho wa somo..

Antelm BarackPosted on2:49 pm - Apr 28, 2022

Mungu awainue sana watumishi wa Bwana

Gidion MWAIGOMOLEPosted on12:40 pm - Apr 28, 2022

Ubalikiwe mtumishi,Mungu azid kukupa nguvu ya kusonga mbele huduma yako iko vizuri yesu kristo wa Nazareth akupe hitaji la moyo wako

ULIMBAGA KNOWLEDGEPosted on9:52 am - Apr 28, 2022

Bwana YESU asifiwe watumishi wa Mungu!!
Namshukuru Bwana Yesu ambaye kila siku ananifundisha kweli yake ili niufikie ukamilifu(Mathayo:5:48).
Bwana YESU awabariki, karama na huduma alizowapa azidi kuziinua, mumtumikie sawasawa na mapenzi yake.

AnonymousPosted on7:25 am - Apr 28, 2022

Bwana YESu asifiwe watumishi wabwana, mubarikiwe Sana kwajinsi munavyotujenga kwamasomo,

NURU MFAKOPosted on10:32 pm - Apr 27, 2022

Hallelujah hallelujah ubarikiwe saaaaana mteule wa Mungu Kwa SOMO zuri.

Elisante NnkoPosted on7:09 pm - Apr 26, 2022

Shalom mwl aomba kupata mafunfisho Zaid Asante

Peter MgazaPosted on4:04 pm - Apr 26, 2022

Amen mtumishi wa Mungu, ubarikiwe

Yohana MajingePosted on8:58 pm - Apr 25, 2022

Barikiwa sana nimejifunza kitu

TukelagePosted on10:07 am - Apr 25, 2022

Amen watumishi wa Mungu

Allon Y AllonPosted on10:40 pm - Apr 24, 2022

Amen Mchungaji

Rowland A.RPosted on8:33 pm - Apr 24, 2022

AMEN…! Tusiache kukusanyika pamoja!

Lucas mhulaPosted on4:43 pm - Apr 22, 2022

Amen ashukuriwe Mungu kwa maarifa haya

Lucas mhulaPosted on4:33 pm - Apr 22, 2022

Naomba kutumiwa hili somo kwenye WhatsApp yangu🙏🙏

Lucas mhulaPosted on4:32 pm - Apr 22, 2022

Amen 🙏🙏🙌

Lucas mhulaPosted on4:09 pm - Apr 22, 2022

Amen🙏🙏

NuruPosted on9:13 am - Apr 22, 2022

Amen🙏🤝👏👏

SubijePosted on6:37 am - Apr 22, 2022

Nimekuelewa mtumishi wa Mungu, barikiwa sana!

Obadia kulindimaPosted on2:39 pm - Apr 21, 2022

Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu

AnonymousPosted on2:29 pm - Apr 21, 2022

Uko sawa mtumishi

Enock AmilioPosted on10:17 am - Apr 21, 2022

Nimeelewa vizuri

beatusi charlesPosted on10:09 pm - Apr 20, 2022

hasante somo zuri

EskobarPosted on1:57 pm - Apr 20, 2022

Ili ifike miaka 1000 bado miaka mingapi??

    Nuru ya UpendoPosted on7:43 am - Apr 21, 2022

    Unyakuo ukishapita, na dhiki kuu ndipo utawala wa miaka elfu utakapoaanza..Na siku ya unyakuo hakuna aijuaye..isipokuwa dalili zinaonyesha kuwa utatokea siku yoyote kuanzia sasa.

enock amilioPosted on10:30 am - Apr 20, 2022

Nimepata ufunuo mpya sasa mbona wana Israeli kukatazwa Kula wanyama wasiocheua,Amina.

MPosted on3:42 am - Apr 20, 2022

Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

JosephPosted on2:46 am - Apr 20, 2022

Naitwa Joseph mbarikiwe watumishi wa MUNGU na kazi yenu isonge mbele,
Pia nahitaji kujiunga na group lenu ila kila nikijaribu naambiwa sina Whatsapp..!

Friedrich%the son of JESUSPosted on1:24 am - Apr 20, 2022

Amina,mtumishi Nuru ya Bwana izidi kukuangazia!

SimonPosted on9:42 pm - Apr 19, 2022

Kazi yenu ni njema, mbarikiwe sana .
Ameen ameen 🙏

AllenPosted on5:07 pm - Apr 19, 2022

Mbarikiwe kwa Elimu ya neno la Mungu mnalotupatia kwakweli napata kujifunza vingi. Ile nguvu ya Roho Mtakatifu na iwe kwenu mzidi kutulisha neno la Mungu zaidi na zaidi

AnonymousPosted on3:37 pm - Apr 19, 2022

Amen…Mbarikiwe Sana…kwa masomo mazuri

KaijagePosted on2:12 pm - Apr 19, 2022

Amen 🙏MUNGU awabarik sana kwa hayo mafundisho mazuri ya kuujenga mwili wa KRISTO.

Getrude CharlesPosted on12:42 pm - Apr 19, 2022

Amen, Bwana yesu atutie nguvu sana.

Getrude CharlesPosted on10:08 am - Apr 19, 2022

Amina mtumishi wa Mungu, kiukweli saivi kuna mafundisho ya kila aina hapa chini ya jua. Lakini kwa neema ya kristo yesu inatupasa tuendelee kuyatafuta mafundisho ya kweli na kutafakari neno kwani ndio njia pekee itakayo tufikisha katika uzima wa milele. Amen

Lucas mhulaPosted on12:09 am - Apr 19, 2022

Amen mtumishi 🙏🙏🙏

Mwl IsayaPosted on9:21 pm - Apr 18, 2022

Amen ni masomo mazuri sana, Mungu awabariki

Getrude CharlesPosted on4:33 pm - Apr 18, 2022

Watumishi wa Mungu, Mungu azidi kuwatumia ili kanisa la Mungu lipate kutembea katika misingi ya Mungu na badae lifike mbinguni.

AnonymousPosted on4:29 pm - Apr 18, 2022

Amen, kweli kabisa kanisa la leo tunakusanyika ili kumuudhi Mungu, na si kutafuta uwepo wa Mungu. Maana nywele bandia, vipodozi na vimini vimerudi kanisani. Wakristo tumekuwa watenda mabaya kuliko hata wapagani walio nje na kanisa kabisa. Mungu atusaidie sana.

AnonymousPosted on1:40 pm - Apr 18, 2022

Ubarikiwe sana mtumish wa Mungu

AnonymousPosted on1:31 pm - Apr 18, 2022

AMINAA UBARIKIWE SANA MTUMISHI

Gerome NgonyaPosted on7:50 am - Apr 18, 2022

Bwan Yesu asifiwe
Kiukwel nabarikiwa sana kwa haya mafundisho yenye ukweli na Ufunuo mkubwa…God bless you Pastor 🙏🙏🙏

MPosted on6:43 am - Apr 18, 2022

Asante kwa mafundisho…

AnonymousPosted on3:14 pm - Apr 17, 2022

Amina Barikiwa sana Mtumishi

MPosted on3:12 pm - Apr 17, 2022

Shukran kwa mafundisho..ubarikiwe

Prophet Gaston sangaPosted on7:43 am - Apr 17, 2022

Bwana yesu asifiwe nimebarikiwa sana kunakitu nimekipokea

GetrudePosted on5:31 am - Apr 17, 2022

Amen. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu. Mungu azidi kukutumia katika kazi yake naamini kabisa kupitia wewe na wengine tutavuka mtumishi wa Mungu
Tuko pamoja sana katika Bwana.

joseph charlessPosted on4:49 am - Apr 17, 2022

naomba uniunganishe mtumishi wa mungu

joseph – charlessPosted on4:44 am - Apr 17, 2022

mm na suscribe kwenye tovuti hii

Robert makoriPosted on5:27 pm - Apr 16, 2022

Swali je namba 666 bado iko?

AnonymousPosted on3:31 pm - Apr 16, 2022

Bwana akubariki

AnonymousPosted on3:21 pm - Apr 16, 2022

Thanks n be blessed.

MercyPosted on11:56 am - Apr 16, 2022

Asante ..ubarikiwe

peter msongePosted on11:10 am - Apr 16, 2022

AMINA.

MUNGU AWABARIKO

VERONICA MICHAELPosted on7:17 am - Apr 16, 2022

Shalom,kazi yenu ni njema!

AnonymousPosted on7:10 am - Apr 16, 2022

Shalom,kazi yenu njema.

Steven GidioniPosted on12:33 am - Apr 16, 2022

Asante ubalikiwe

AnonymousPosted on9:35 pm - Apr 15, 2022

Asante sana kabisa kwa manene mazuri kabisa,somo lina sema wazi kabisa.ila Mungu atu saidiye kwe,ina onekana tume kuwa na fujo yingi kwenye ndo.sababu ni kwamba hatueshimu wakwe zetu.Mungu ani saidiye niwe kabisa nikate hatua.niwapende wakwe zangu!

AnonymousPosted on4:11 pm - Apr 15, 2022

Umeeleza vizuri mtumishi, Bless you!!

MiniaPosted on4:06 pm - Apr 15, 2022

Amina, Ubarikiwe Mtumishi

faustin francisPosted on2:15 pm - Apr 15, 2022

Nafurahishwa na kubarikiwa na mafundisho yenu .Mungu awabariki

.

AnonymousPosted on1:26 pm - Apr 15, 2022

Amen MUNGU awatie nguvu kwa kutufundisha

Emanuel lucasPosted on4:41 am - Apr 15, 2022

Shalom mpendwa naomba mniunge watsapp

AnonymousPosted on2:48 am - Apr 15, 2022

Mungu akubariki

AnonymousPosted on2:30 am - Apr 15, 2022

Shukran mtumishi kwa somo hili nimejifunza..Ubarikiwe

AnonymousPosted on8:53 pm - Apr 14, 2022

Mzidi kueneza neno la Mungu dunia kote ili wanadamu wakumbuke Haya tunajisahau sana
Amen

Leave a Reply

MacrinaPosted on8:51 pm - Apr 14, 2022

Mzidi kueneza neno la Mungu dunia kote ili wanadamu wakumbuke Haya unanisahau sana

AnonymousPosted on8:18 pm - Apr 14, 2022

Shukran mtumishi wa Mungu

Constance Kadzo CharoPosted on6:05 pm - Apr 14, 2022

Bwana Yesu asifiwe. Naitwa Constance nimebarikiwa sana na mafundisho yenu, Mungu awabariki na kuwatia nguvu zaidi. No yangu ya WhatsApp ni 0728903383 kama mnaweza kuniunganisha kwenye group. Asante.

AnonymousPosted on5:33 pm - Apr 14, 2022

Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.

AnonymousPosted on1:33 pm - Apr 14, 2022

Aminaa Mtumishi wa Mungu ubarikiwe kwa kaxi hii njema

Baba samPosted on7:48 am - Apr 14, 2022

Asante Sana kwa mafundisho mazuri

Peace DamianPosted on9:15 pm - Apr 13, 2022

Amen sana…Mungu awabariki kwa mafundisho haya Yenye nguvu..

AnonymousPosted on9:13 pm - Apr 13, 2022

Amen sana …Mungu awabariki kwa mafundisho haya yenye Nguvu

AnonymousPosted on8:03 pm - Apr 13, 2022

Amin mbarikiwe

Dastan JosephPosted on10:19 am - Apr 13, 2022

Amen 🙏🙏🙏

AnonymousPosted on10:18 am - Apr 13, 2022

Amen 🙏🙏🙏

Costantine LucasPosted on7:54 am - Apr 13, 2022

Moja ya mapenzi ya Mungu ni kuishi Kwa kufuata amri zake zote bila ubaguzi

AnonymousPosted on11:36 pm - Apr 12, 2022

In god we trust

AnonymousPosted on9:58 pm - Apr 12, 2022

Amen, asante kwa somo

Lucas mhulaPosted on11:40 am - Apr 12, 2022

Amina Mungu awabiriki kwa masomo mazuri 🙏🙏🙏

Daudi SagaraPosted on11:18 am - Apr 12, 2022

Nimebarikiwa sana na ujumbe huu. Nimepata nguvu mpya ya kuzidi kumsogelea Mungu

Jairus chichete Mombasa Kenya 🇰🇪Posted on11:11 am - Apr 12, 2022

Hello wingu la mashahidi Yesu asifiwe Naamini mnaendelea viema katika Bwana MUNGU awabariki kwa Kazi nzuri ya kujenga mwili wa kristo!

Nuru ya UpendoPosted on11:10 am - Apr 12, 2022

Amina dada Getrude..uzidi kubarikiwa sana

Getrude CharlesPosted on11:07 am - Apr 12, 2022

Amen, Mungu awabariki sana jamani, hakika mnatutoa sehem moja na kutupeleka sehem nyingine kiroho.

Nuru ya UpendoPosted on11:02 am - Apr 12, 2022

Amina Getrude, Bwana azidi kukubariki

Getrude CharlesPosted on10:59 am - Apr 12, 2022

Amen mtumishi wa Mungu, Mungu aendelee kukutia nguvu ili kazi ya Bwana yesu izidi kusonga mbele. Nawapenda wote.

EstherPosted on10:48 am - Apr 12, 2022

Bwana Yesu asifiwe. Naitwa Esther nafarijika Sana na mafundisho Yenu..Mungu azidi kuwabariki tangu ninewagundua Mwaka Jana sijajuta kufatilia masomo haya ya Neno la Mungu.Mungu awatie nguvu kila iitwapo Leo

EstherPosted on8:07 am - Apr 12, 2022

Ameen tunafurahia mafundisho Yenu Mungu awabariki Sana

AnonymousPosted on7:53 am - Apr 12, 2022

Ameen tunafurahia mafundisho Yenu Mungu awabariki Sana

Lucas mhulaPosted on7:44 am - Apr 12, 2022

Amina Sana hilo somo zuri mmno naomba Kama kungekuwa Kuna sehemu ya kushare ingekuwa vizuri sana, nitalikuta facebook?

Lucas mhulaPosted on7:35 am - Apr 12, 2022

Amen 🙏 🙏

SarahPosted on5:17 pm - Apr 11, 2022

Amina barikiwa sana mtumishi

AnonymousPosted on3:37 pm - Apr 11, 2022

Amen nimepata kitu hapo

Cassian rogatus kombaPosted on2:57 pm - Apr 11, 2022

Sasa kila nikijaribu kuwa chini ya sheria ya roho mtakatifu nashindwa kipi nifanye

Caroline NnkoPosted on2:43 pm - Apr 11, 2022

Amen barikiwa kwa kazi njema.tunajifunza mengi sana ktk mwili wa Kristo.

Rowland Asante RobertPosted on12:46 pm - Apr 11, 2022

NENO la faraja!

Edward BavunahPosted on12:13 pm - Apr 11, 2022

Amina ujume wa baraka sana

AnonymousPosted on12:04 pm - Apr 11, 2022

Amina Bwana akubariki sana.

ELIZABETHPosted on11:30 am - Apr 11, 2022

MUNGU akubariki sana Mtumishi Sasa nimeelewa maana ya naivera

ArmonPosted on11:44 pm - Apr 10, 2022

I want to succeed in my education level and become an Engeneer so that I can help my parents in their oldest time please I ask you consider my prayers into yours while praying

Cleven NassaryPosted on5:17 pm - Apr 10, 2022

Amen Mungu azidi kuwainua watumishi wa Bwana

Kelvin WambiaPosted on4:52 pm - Apr 10, 2022

Napenda sana mafundisho yenu inanibariki sana

AnonymousPosted on4:35 pm - Apr 10, 2022

Mungu awabariki kwa somo zuri, nakitafuta hicho kitabu cha Ricky nijifunze zaidi

AnonymousPosted on9:10 pm - Apr 9, 2022

Amina ubarikiwe

AnonymousPosted on8:32 pm - Apr 9, 2022

Ubarikiwe Mtumishi. Bwana azidi kukupaka mafuta ya Ufunuo wa Neno lake!!

AnonymousPosted on8:16 pm - Apr 9, 2022

Amin nabarikiwa sana

Grace V NyakataiPosted on9:19 am - Apr 9, 2022

Hakika Bwana Yesu ni mkuu kutokana na mafundisho haya.Amen

Rowland Asante RobertPosted on10:23 pm - Apr 8, 2022

Nimejifunza🙏

FrankPosted on4:35 pm - Apr 8, 2022

Ubarikiwe mtumishi kwa huduma hii ambayo Mungu amekukirimia.

AnonymousPosted on7:18 am - Apr 8, 2022

Amin mbarikiwe

Deodictor PanjaPosted on6:38 am - Apr 8, 2022

Wazuri wapo kweli

Letcia AlphoncrPosted on1:35 am - Apr 8, 2022

Atukuzwe Mungu kwa kaz njema mnayofanya,ninakua,nataman azidi kunikuza zaid,kwa masomo haya mmefanya nitafute kumjua Mungu sana ndyo kiu

    Nuru ya UpendoPosted on10:15 am - Apr 8, 2022

    Amina uzidi kubarikiwa na Bwana.

    Tafadhali share na wengine mafundisho haya whatsapp au facebook, kwa alama iliyopo katika kila mwisho wa somo

JosephPosted on11:48 pm - Apr 7, 2022

Ameni Mungu wetu mwaminifu hajawahi shindwa na lolote.

Peter MgazaPosted on11:15 pm - Apr 7, 2022

Amen mtumishi ubarikiwe

AnonymousPosted on8:25 pm - Apr 7, 2022

Nimejifunza kitu kikubwa, nyumba juu mwamba ni salama (maisha ndani ya Kristo ni salama) Mungu awabariki sana

CharlesPosted on1:59 pm - Apr 7, 2022

Mtumishi wa Bwana kazi yako ni kubwa sana Mungu wetu wa mbinguni awazidishie neema yake ili mzidi kuhudumia kundi lake

    Nuru ya UpendoPosted on10:12 am - Apr 8, 2022

    Amina, Bwana azidi kukubariki nawe pia.

    Tafadhali share na wengine mafundisho haya whatsapp au facebook, kwa alama iliyopo katika kila mwisho wa somo

AnonymousPosted on11:56 am - Apr 7, 2022

MUNGU ANATUPENDA SANA

Baraka Godfrey SimkokoPosted on11:14 am - Apr 7, 2022

Amen asante mtumishi kwa somo zuri sana. Mungu anisaidie nikae katika matendo mimi ndani ya Kristo na Kristo ndani yangu

Joseph LikarePosted on8:12 am - Apr 7, 2022

AMEN ….barikiwa sana mtumishi

Lucas mhulaPosted on7:41 am - Apr 7, 2022

Nimekosea kidogo nilimaanisha nahisi kutokwa na machozi ni ya furaha ya kuijua kweli ya Mungu.

Lucas mhulaPosted on7:39 am - Apr 7, 2022

Moja ya somo ambalo limegusa maisha yangu ni hili jamani sijui nisemeje ila Mungu awainue zaidi, hii ndio injili nilikuwa naitafuta kwa muda mrefu sana, fanyeni hima muwafikie wengi najua sio wote wataipenda au kukubali, lakini Yesu alisema kondoo wake wanajua sauti yake kutokwa machozi, Mungu awabiriki Sana Sana Sana na awainue kazi yenu ni njema Sana.

Lucas mhulaPosted on6:46 am - Apr 7, 2022

Amen🙏🙏🙏

AnonymousPosted on4:11 am - Apr 7, 2022

Huduma yenu ni njema sana Mungu awabariki

NURU MFAKOPosted on11:56 pm - Apr 6, 2022

Amen, ubarikiwe sana mteule wa Mungu Kwa jibu zuri,nami nimeelewa zaidi

    Nuru ya UpendoPosted on1:52 pm - Apr 7, 2022

    Amen uzidi kubarikiwa na Bwana, Zaidi sana, usisahau kushare katika facebook yako au whatsapp, katika kila mwisho wa somo, ili Neno liwafikie wengi zaidi.

AnonymousPosted on10:36 pm - Apr 6, 2022

Wapendwa tujitahidi Sana kutamtafuta Mungu kwa maana yeye ndiye jibu la Mambo yote katika maisha yetu.

Nelson VitinyuPosted on10:24 pm - Apr 6, 2022

Amen, Amen,Amen

AlfredPosted on10:03 pm - Apr 6, 2022

Amen mungu azidi kuwabariki kwa kazi ya bwana nazidi jengeka kiimani

Ibrahim NjelaPosted on9:29 pm - Apr 6, 2022

Hallelujah, jina LA BWANA lihimidiwe. Nafurahia mafundisho haya Mungu awabariki sana. Msichoke katika kufundisha, kutangaza habari njema za injili ya Yesu Kristo kuhusu toba iletayo ondoleo La dhambi na kuurithi ufalme wa Mungu. Amebarikiwa mtu wa kujitoa kwa ajili ya injiri maana aiponya nafsi yake. Ongera sana.

    Nuru ya UpendoPosted on1:50 pm - Apr 7, 2022

    Amen, Bwana azidi kukubariki nawe pia. Zaidi sana, tunaomba ushare masomo haya katika facebook yako au whatsapp, katika kila mwisho wa somo. Na Bwana azidi kukubariki.

VerenaPosted on9:18 pm - Apr 6, 2022

Mungu ni mwema kila wakati

AnonymousPosted on9:01 pm - Apr 6, 2022

AMEN Watumishi

AnonymousPosted on8:54 pm - Apr 6, 2022

Amima mbarikiwe sana watu wa Mungu tunashukuru kwa masomo yenu

Godfrey M SankeyPosted on8:16 pm - Apr 6, 2022

Amina na asante sana kwa huduma hii ya kutulishana maneno ya Mungu tunaomba Mungu awatie nguvu katika kulisambaza neno lake pande zote za dunia

    Nuru ya UpendoPosted on1:47 pm - Apr 7, 2022

    Amina, Bwana akubariki nawe pia ndugu yetu.. Zaidi sana tunaomba ushare page hii kwa marafiki zako facebook na whatsapp, katika kila mwisho wa somo, ili nao wafikiwe na Neno la Mungu..

Hénoc MUHINDO MUTHETHEPosted on4:13 pm - Apr 6, 2022

Kwa kweli mafundisho haya yana nihimiza Sana katika kumutumikiya mungu. Ninakuwa manger wa kwaya y’a wambilikimo uku mashariki mwa Congo DRC, katika Kisanga Idjwi y’a kusini. Hata hapo niko Goma kutayarisha ujiyo wa wanakwaya hii y’a mbilikimo kuja kuhudumiya kunako mukutano mukuu wa Injili yangu tarehe 12 aprol 2022 mpaka tarehe 17 y’a huu mwezi.
Lengo letu niku sappoty kwaya hii y’a watu wangu itangaze Injili popote. Kwaya hii inaitwa Injili kwaya.
Piya tuna hamu yakupata watu wa moyo mwema watakao kubali kuleta musaada wao kwa ajili kwaya hiyo ili Injili isonge mbele.
Kwamajina mimi ni Hénoc Muhindo MUTHETHE coordonnateur wa shirika la maendeleo PPSDR/ ONGD.
Asante, na mungu akubariki.

Lucas mhulaPosted on3:39 pm - Apr 6, 2022

Jamani mbarikiwe sana kwa mafundisho yenu katika Kristi Yesu.

Lucas mhulaPosted on3:14 pm - Apr 6, 2022

Amen asanteni kwa somo zuri

Lucas mhulaPosted on2:07 pm - Apr 6, 2022

Amen🙏🙏

DanieliPosted on11:48 am - Apr 6, 2022

Amina nashukuru kwa somo nzuri Mungu awabariki

Jonas Emmanuel.Posted on5:21 am - Apr 6, 2022

Mungu awabariki sana kwa masomo mazuri na yenye pumzi ya Mungu. Hakika nabarikiwa sana.

    Nuru ya UpendoPosted on8:52 am - Apr 6, 2022

    Amen, Bwana azidi kukubariki, naomba uwaalike marafiki zako na ndugu zako katika page hii kwa kubofya share katika mwisho wa kila somo..

AnonymousPosted on3:27 am - Apr 6, 2022

God of Israel is powerful

JacklinePosted on11:05 pm - Apr 5, 2022

Amen…Mungu na atutie nguvu tuwe miongoni mwa Bibi arusi waliotiwa muhuri na Mungu kwa roho wake.

SekuriPosted on9:36 pm - Apr 5, 2022

Yesu asifiwe,Nina swali hili, msingi was imani ya wakristo ni biblia kwa nini kuna dini nyingi za kikristo asante sana mubarikiwe

Sekuri olivierPosted on9:22 pm - Apr 5, 2022

Tunashukuru sana kwa mafundisho mazuri ya biblia,lakini watu wengi wanatamani kujua ujumbe wandani uliopo ktk vitabo vya unabii, mfano kitabu cha Daniel na ufunuo, tunaomba tafsiri ya pembe ambalo lina mdomo kama mtu na hill hutamka maneno ya Ku mukufuru mwenyezi mungu. Ktiabu cha daniel

Ismael NicholausPosted on8:19 pm - Apr 5, 2022

🙏 Amen

AMOS PAULPosted on3:47 pm - Apr 5, 2022

Barikiwa sana kwa ufafanuzi. Nimebarikiwa.

AnonymousPosted on3:28 pm - Apr 5, 2022

Mungu wetu ni mwema, Mungu pia akubariki Sana mtumishi wa Mungu aliye hai

lucas mhulaPosted on10:25 am - Apr 5, 2022

Watumishi mbarikiwe sana naomba kutumiwa link ya somo hili ili niwashirikishe na wengine ili mwili wa Kristo uzidi kujenga na kuufikia utimilifu, jina la somo NITAFAHAMU VIPI KARAMA YA MUNGU?

WhatsApp yangu 0767885988

lucas mhulaPosted on9:30 am - Apr 5, 2022

Mbarikiwe sana nimejifunza kitu leo

lucas mhulaPosted on9:14 am - Apr 5, 2022

Amen🙏🙏🙏

lucas mhulaPosted on8:58 am - Apr 5, 2022

Amen🙏🙏🙏

AnonymousPosted on7:59 am - Apr 5, 2022

amen jin la bwana litukuswe

Fatuma juliennePosted on12:43 am - Apr 5, 2022

Shaloom shalom nashukuru kwa somo ya leo 🙏. Mungu anipe mwisho mzuri, namimi ni alikwe kwenye hiyo karamu ya mwana kondoo🙏🙏🙏

ABRAHAM BARASA SIMIYUPosted on12:26 am - Apr 5, 2022

Amina mafunzo hayo siyo mchezo yanabariki nakuinua mioyo

Paul jackobPosted on10:48 pm - Apr 4, 2022

Barikiwa mpendwa kwa SoMo hilo

Ndikumana EricPosted on10:49 am - Apr 4, 2022

Ubarikiwe sana mwl

AnonymousPosted on10:47 am - Apr 4, 2022

Ubarikiwe sana

Nuru ya UpendoPosted on10:35 am - Apr 4, 2022

Amen.. Ubarikiwe nawe pia..

Grace bashambalaPosted on9:39 am - Apr 4, 2022

Malawi

AnonymousPosted on8:03 pm - Apr 3, 2022

nataka uchambuzi wa hili fungu mhubiri 3:18-20

AnonymousPosted on4:47 pm - Apr 3, 2022

Hapo Kuna Jambo sijaelewa mwalimu kwamba Mungu anauwezo wa kuwatumia wachawi kutoa majibu

John John kevelaPosted on6:52 am - Apr 3, 2022

Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu,Mungu akuinue hakika nimekua nakaa uweponi mwa Mungu MDA wotr kupitia mandiko yako,Amen kwa majina naitwa John

NURU MFAKOPosted on8:11 pm - Apr 2, 2022

AMEN AMEN, TUPO PAMOJA KATIKA KUIFANYA KAZI YA MUNGU

NURU MFAKOPosted on8:03 pm - Apr 2, 2022

AMENI,SIFA KWA BWANA KWA KAZI HII NJEMA

MFAKOPosted on7:56 pm - Apr 2, 2022

MUNGU WA NBIGUNI NA ATUYKUZWE KWA KAZI NJEMA HII

Aimable HabimanaPosted on7:47 pm - Apr 2, 2022

Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu. Niwaombeni muwe mnanitumia mafundisho kwenye e-mail yangu: vonaim131@gmail.com

Javan ChihimbaPosted on3:26 pm - Apr 2, 2022

Mungu wa mbingu na nchi awabariki sana.

Veronica DonatPosted on3:23 pm - Apr 2, 2022

Asante…

James MagetoPosted on9:07 am - Apr 2, 2022

Leave your message.Mungu awabariki watumishi kwa kuwa Mafundisho haya ya injili yamenijenga kiroho na nimefundisha wengi pia.Barikiweni

Stephen NchimbiPosted on11:21 pm - Apr 1, 2022

Mungu awabariki kwa mafundisho mazuri

EDGAR OCTAVIAN TEMUPosted on7:41 pm - Apr 1, 2022

Mbarikiwe na BWANA wa mabwana.

David kijaPosted on4:41 pm - Apr 1, 2022

Amina ubarikiwe

Yohana petroPosted on12:48 pm - Apr 1, 2022

Amen! Masomo ni mazuri sana Hakika tunapata ufahamu wa kimungu wa Kulijua neno la Mungu na Kuliishi.

Ev, Gibson ElizeusPosted on11:10 am - Apr 1, 2022

Napenda mafundisho yenu, nilitamani kama kungekuwa na uwezekano tukafungua tawi LA huduma hiii uku nilipo, napatikana mjini Ushilombo mkoani Geita 0622039677

Vincent mkolwePosted on11:04 am - Apr 1, 2022

Amina barikiwa sana Mungu azidi kuwatumia zaidi apendavyo yeye

HonestPosted on11:03 am - Apr 1, 2022

Amina sana Mungu awabarki sana Mwendeleee kutuinjilisha

Jackson joachimPosted on8:57 am - Apr 1, 2022

Nashukuru kwa mafundisho yenu na siku izi za mwisho Mwenyezi Mungu wa Mbinguni azidi kuwabariki. AMEN

MBONIMPA COSMASPosted on8:49 am - Apr 1, 2022

Mungu awabariki sana

lucas mhulaPosted on1:51 am - Apr 1, 2022

Yaani watumishi katika siku mmejibu maswali yangu yote kuhusu Roho Mtakatifu ni kupitia somo hili, yaani mbarikiwe kwa sana sana sana, hakika nimejifunza kitu leo KIKUBWA SANA.🙏🙏🙏

Ebuela Ebengo LucienPosted on12:40 am - Apr 1, 2022

UBARIKIWE

IrenePosted on12:32 am - Apr 1, 2022

Eimen ubarikiwe sana mtumishi

JacksonPosted on11:53 pm - Mar 31, 2022

Mbarikiwe sana Watumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri ya kiimani hakika tuko pamoja kulitukuza jina la Kristo

Stella rwechungulaPosted on11:53 pm - Mar 31, 2022

Barikiwa Sana Mtumishi
MUNGU akuinue zaidii…
Tumebarikiwa Sana kwa ujumbe mzuri

AnonymousPosted on11:52 pm - Mar 31, 2022

Barikiwa Sana Mtumishi
MUNGU akuinue zaidii…
Tumebarikiwa Sana kwa ujumbe mzuri

Emmanuel Buberwa KitengulePosted on11:42 pm - Mar 31, 2022

Barikiwa sana mwalimu kwa masomo mazuri.

AnonymousPosted on11:41 pm - Mar 31, 2022

AMEN barikiwa sana kaka nimejifunza kitu MUNGU wa mbinguni Akubariki sana🙏

Jackson MkwasaPosted on11:18 pm - Mar 31, 2022

Amen mwalimu kwa masomo mazuri zaidi

Jackson MkwasaPosted on11:09 pm - Mar 31, 2022

Tuzidi kumsifu bwana wetu YESU KRISTO

AnonymousPosted on11:08 pm - Mar 31, 2022

God bless you for the good work!

Jackson MkwasaPosted on11:02 pm - Mar 31, 2022

Jina la bwana wetu YESU KRISTO litukuzwe

AnonymousPosted on9:07 pm - Mar 31, 2022

Swali: tukisoma Luka 2:36, inasema kulikuwa na nabii mke,aitwae Hana, na vile vile na tukisoma kutoka 15:20 na Nabii mke aitwaye Miriamu,…Sasa swali Je kulingana na Waefeso 4:11, inasema..

Waefeso 4:11
11 Naye alitoa wengine kuwa mitume, na *wengine kuwa manabii;* na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu;

Sasa swali langu, hawa manabii wanawake kazi yao ni mini.? Maana tunaona Yoeli 2:28, inasema wore walimwagiwa vipawa wanaume kwa wanawake.

AnonymousPosted on8:54 pm - Mar 31, 2022

Amen, ni ujumbe mzuri na wenye ushauri mzuri kweli kweli…Mungu akubariki sana.

AnonymousPosted on5:10 pm - Mar 31, 2022

Ooh Amina, nimejifunza kitu kipya, 🙏

MaigePosted on4:23 pm - Mar 31, 2022

Amen. Naendelea kubarikiwa na masomo haya. Mungu AWABARIKI mno.

MaigePosted on4:21 pm - Mar 31, 2022

Amen…Tuzidi sana kuishi Maisha matakatifu. Habari njema.

Onesmo ZachariaPosted on4:04 pm - Mar 31, 2022

Asanteni

kwa masomo yenu

Mkin charlesPosted on2:56 pm - Mar 31, 2022

Nabarikiwa sana na masomoa

AnonymousPosted on1:28 pm - Mar 31, 2022

Asante kwa somo hili.

Nuru ya UpendoPosted on12:19 am - Mar 31, 2022

Shalom..kama Somo linavyojieleza wanawake wanayo ruhusa ya kufundisha wanawake wenzao na watoto.

Pia mwanamke kama Debora alikuwa ni nabii, lakini hakuwa kuhani katika nyumba ya Mungu..(kazi ya ukuhani ilikuwa ni ya wanaume tu, tena walawi). Hivyo mwanamke anaweza kufunuliwa jambo kinabii na kwa ruhusa maalumu,chink ya uongozi wa wanaume, akapewa nafasi ya kusema ujumbe huo kutoka kwa Bwana..lakini si kufundisha au kuwa mchungaji.

Pia mwanamke akiwa na jambo ambalo ameona sio sawa kimaandiko, anaweza kuwasiliana na mchungaji na kama.atapewa kibali basi anaweza kuzungumza..

Vile vile

AnonymousPosted on8:31 pm - Mar 30, 2022

Leave your message

CathyPosted on4:47 pm - Mar 30, 2022

Somo zuri sana kutukumbusha nafasi ya mwanamke katika kanisa. Ni kweli, mpango wa Mungu lazima uheshimiwe. Ila nina swali, unamwongeleaje mtu kama Debora? Aliyetumika na Mungu kuleta ukombozi Israeli kwa neno la unabii? Je, kufundisha kote kunakofanywa na wanawake ni makosa? Hata kama wanafundisha watoto wao wa kiume na wa kike au wanawake wenzao? Je, ikiwa huyo mchungaji mwanaume anakosea katika utendaji au ufundishaji au uongozi kulingana na biblia, na yuko mwanamke anayelijua neno sawasawa na anataka kumrekebisha mchungaji (privately), je ni kosa pia? Nasubiri majibu yenu.
Asante.

AnonymousPosted on4:46 pm - Mar 30, 2022

Somo zuri sana kutukumbusha nafasi ya mwanamke katika kanisa. Ni kweli, mpango wa Mungu lazima uheshimiwe. Ila nina swali, unamwongeleaje mtu kama Debora? Aliyetumika na Mungu kuleta ukombozi Israeli kwa neno la unabii? Je, kufundisha kote kunakofanywa na wanawake ni makosa? Hata kama wanafundisha watoto wao wa kiume na wa kike au wanawake wenzao? Je, ikiwa huyo mchungaji mwanaume anakosea katika utendaji au ufundishaji au uongozi kulingana na biblia, na yuko mwanamke anayelijua neno sawasawa na anataka kumrekebisha mchungaji (privately), je ni kosa pia? Nasubiri majibu yenu.
Asante.

Senior Pastor sammyPosted on3:54 pm - Mar 30, 2022

Je ni mwanamke gani alikuwa mitume katika biblia

AnonymousPosted on2:15 pm - Mar 30, 2022

Amina asante sana. Na Mungu akubariki.

Prisca kombaPosted on11:41 am - Mar 30, 2022

Kwahy mwanamke kuw mwalim ni kosa ?

AnonymousPosted on10:58 am - Mar 30, 2022

Amen Amen🙏🙏🙏

Samson GikaroPosted on9:59 am - Mar 30, 2022

Mungu awabariki

Samson GikaroPosted on9:58 am - Mar 30, 2022

Amen nabarikiwa na masomo

Mch Samwel S.MPosted on7:04 am - Mar 30, 2022

Bwana Yesu asifiwe.Mungu awabariki sana watumishi katika kuhakikisha Neno la Mungu lina wafikia watu.
Binafsi nimepata kujifunza Mengi katika tovuti hii na mengine yamenisaidia hata katika huduma ambayo naifanya,nimepata ufafanuzi wa mambo mbalimbali hasa maswali tata ya Biblia.
Usomae ukurasa huu soma kwa lengo la kujifunza na kukua kiroho.
Barikiwa.
Pastor Samwel (JRM)

AnonymousPosted on5:16 am - Mar 30, 2022

Hakika MUNGU ni mwema sana,kamtoa mwanae kwa ajili yetu

CélestinPosted on12:17 am - Mar 30, 2022

Asante kwa somo hili

AnonymousPosted on11:37 pm - Mar 29, 2022

Asante tunashukuru kwa somo hili
Huwa na barikiwa sana na somo hizi Mungu awabariki Watumushi wa Mungu.
Nawaomba kuendelea kututumia mafundisho ,tunufaike kiroho

ImaniPosted on11:36 pm - Mar 29, 2022

Amen amen amen ,ubarikiwe mtu wa Mungu

isack lumuliPosted on11:34 pm - Mar 29, 2022

shalom. I personally commend you for the good work of spiritual teaching, for which I am greatly in favor of the true teachings of God. This page for me is a complete church, I find worship and to glorify God.May the Lord continue to give you the grace to minister to millions of people you do not see with your eyes but know there are many souls who are healing themselves from eternal fire.bwana aachilie watu wengi wa kusupport kazi hii hasa kwa fedha ili injili iendee kwa nguvu. amen.

JosephPosted on11:17 pm - Mar 29, 2022

Ubarikiwe sana Kwa ujumbe mzuri

JOSIAH LLOYD MURUVEPosted on11:04 pm - Mar 29, 2022

Amen

Amos MakobaPosted on10:54 pm - Mar 29, 2022

Amen.. 🙌🙏
Somo limenipa ufunuo wa jambo ambalo sikulijua hapo mwazo…

AnonymousPosted on10:47 pm - Mar 29, 2022

Swali; Yohana alitokaje tokaje katika kisiwa hicho, kwa maana warumi walimtupa Kule na kumtelekeza, ndipo baadae Bwana Yesu anampa ule ujumbe wa Makanisa saba… Je alitokaje Kule patmo.??

UBARIKIWE.

Victor MwandungaPosted on10:43 pm - Mar 29, 2022

Amina. Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU

JoëlPosted on10:34 pm - Mar 29, 2022

Asante mwalimu kwa maelezo na ufafanuzi wa Neno la Bwana !

PeterPosted on10:27 pm - Mar 29, 2022

Amen, Mtumishi wa Mungu ubarikiwe

Amos MakobaPosted on10:26 pm - Mar 29, 2022

Amen… 🙌🙏
Nimebarikiwa na kulielewa sana somo hili.. Mungu azidi kuwafunulia mafundisho mengine zaidi yenye uzima..

Email yangu: amocemakoba@gmail.com

AnonymousPosted on10:17 pm - Mar 29, 2022

Swali; Yohana alitokaje tokaje katika kisiwa hicho, kwa maana warumi walimtupa Kule na kumtelekeza, ndipo baadae Bwana Yesu anampa ule ujumbe wa Makanisa saba… Je alitoka Kyle patmo.??

UBARIKIWE.

    Nuru ya UpendoPosted on12:36 am - Mar 30, 2022

    Biblia haijaeleza alitokaje tokaje huko..labda hao hao warumi walikuja kumtoa, au kuna watu walipita na mashua pembezoni mwa kisiwa hicho na kumwona na kumtoa..

    Lakini kwa njia yotote ile alitoka kule, na kupeleka hizo jumbe kwenye hayo makanisa…

SumamwakalukwaPosted on9:55 pm - Mar 29, 2022

Amen amen

Imani Elisha zaidiPosted on7:35 pm - Mar 29, 2022

Ahsante kwa maana nzuri ya neno kuchelea

AnonymousPosted on4:58 pm - Mar 29, 2022

Asante kwa masomo, yananijenga sana.

Emanuel kipwasaPosted on3:29 pm - Mar 29, 2022

Ameeeeni

Prisca kombaPosted on3:00 pm - Mar 29, 2022

Amina mtumishi

Alex MwahaliPosted on1:39 pm - Mar 29, 2022

Aminaa, muzidi kuuinuliwa kwa kwelii, Binafsi kupitia wingu la mashahidi mmenitoa sehemu moja hadi nyingine kiroho, Mubarikiwe Sanaa walimu., 🙏

Victor MwandungaPosted on1:24 pm - Mar 29, 2022

Amina. MUNGU akubariki sana kwa ujumbe huu mzuri

FRANCO LYUVALEPosted on1:22 pm - Mar 29, 2022

MUNGU AWABARIKI SANA WATUMISHI KWA HUDUMA NZURI MLIYO NAYO

Mosest Hamis AmraniPosted on1:15 pm - Mar 29, 2022

Mungu akubariki sana mtumishi

Daudi SagaraPosted on12:44 pm - Mar 29, 2022

Mbarikiwe sana

JOSIAH LLOYD MURUVEPosted on12:36 pm - Mar 29, 2022

Mungu awabariki

Angel EmanuellPosted on12:35 pm - Mar 29, 2022

Amen Amen mbarikiwe sn Mungu azidi kuwatumia

Daudi SagaraPosted on12:29 pm - Mar 29, 2022

Mbarikiwe sana kwa ujumbe mzuri…Mungu azidi kuwatumia kwa viwango vikubwa

ZebedeePosted on11:36 am - Mar 29, 2022

Mbarikiwe sana kwa ajili ya huduma hii

AnonymousPosted on12:26 am - Mar 29, 2022

Amen ubarikiwe.

AnonymousPosted on11:50 pm - Mar 28, 2022

Amen na ubarikiwe

Abel KanutiPosted on9:25 pm - Mar 28, 2022

Amen balikiwa sanaaa

lucas mhulaPosted on9:13 pm - Mar 28, 2022

Ninachojiuliza mnawezaje kupata kafunuo haya kwa wingi namna hii na kwa jinsi ya ajabu hakika yanagusa sana maisha yangu, HAKIKA Roho Mtakatifu anawaongoza kwa namna isiyo ya kawaida.

lucas mhulaPosted on8:43 pm - Mar 28, 2022

Amen amen 🙏🙏

lucas mhulaPosted on8:37 pm - Mar 28, 2022

Kiukweli nabarikiwa sana naona nazidi kujenga katika kweli ya Mungu siku hadi siku..🙏🙏🙏🤝

Joseph MwitaPosted on5:16 pm - Mar 28, 2022

UBARIKIWE SANA

RichardPosted on3:03 pm - Mar 28, 2022

Nabarikiwa sana na jumbe na mafundisho yananijenga sana

AnonymousPosted on3:00 pm - Mar 28, 2022

Ubarikiwe Sana mtumishi kwa SoMo zuri

AnonymousPosted on2:39 pm - Mar 28, 2022

Amen sana 🙏

AnonymousPosted on2:19 pm - Mar 28, 2022

JESUS CHRIST is the King. May he bless all of us.

AnonymousPosted on9:55 am - Mar 28, 2022

Na Kama nna mahusiano Ila sifanyi mapenzi lakini mabusu tu unanishaurije Mana mapenzi pasipo hayo Mambo sidhani Kama yanawezekana?

Charles egbertPosted on9:52 am - Mar 28, 2022

Samahani mtumishi nashukuru kwa kunifumbua lakn kwa mtu ambae sjajitegemea na Nina mahusiano Ila sio ya kufanya uasherati hapo unanishaur nn?

Tumaini PaulPosted on9:49 am - Mar 28, 2022

Amen Ubarikiwe sana kwa Ujumbe

AnonymousPosted on6:40 am - Mar 28, 2022

Ubarikiwe Mtumshi wa Mungu niko tayari kufanya kazi ya Mungu katika kwel yote Marko 9 38

Dr.FrankPosted on2:38 am - Mar 28, 2022

Hakika Bwana nimukuu anawatumieni kwa wakati ulio faa
Tumepokea wito wa jina la Bwana na kubarikiwa pamoja na ndugu na majirani
Bwana awape nguvu kazi yenu ikazidi kuwa wokovu kwa w
alio gizani bado,
Ahsante.

Stephen NchimbiPosted on1:01 am - Mar 28, 2022

Ee Mungu Baba tunakuomba tuepushe na uhayawani , tukutumikie wewe daima.

Stephen NchimbiPosted on12:49 am - Mar 28, 2022

Mungu atukuzwe sana kwa kazi nzuri ya Injili mnayoifanya. Jina lake libarikiwe sana na azidi kuwafanya kuwa hodari katika kazi yake.

MBONIMPA COSMASPosted on12:47 am - Mar 28, 2022

Mungu azidi kuwabariki sana

ImaniPosted on10:53 pm - Mar 27, 2022

Glorry to the lord

AnonymousPosted on8:46 pm - Mar 27, 2022

Amina. Barikiwa kwa ujumbe wa maandiko unaouhubiri kwa neema ya Mungu. Mungu azidi kuimulika na kuipa kibali zaidi huduma ya Injili katika jina la Yesu. 🙏

Ernest AthanasPosted on7:56 pm - Mar 27, 2022

AMINA. Mungu akubariki na aibariki huduma ya Injili unayoihubiri kwa njia ya internet, na ikawe sababu ya kufunguliwa vifungo vya walio wengi.

Prisca kombaPosted on6:20 pm - Mar 27, 2022

Asante kwakutukumbusha

Prisca kombaPosted on6:08 pm - Mar 27, 2022

Bwana Yesu asifiwe mwali Denis Nina swali Sasa itakuwaje kwa mtu anayetumia cheo chako kukuhukum maan kunajambo lilitokea unakuta mtu unafanya kitu cha haki lakini unakuta mtu ana kuambia we si kiongoz fulani ?

GracePosted on6:04 pm - Mar 27, 2022

Amen baba….🙏🙏

Imani Elisha zaidiPosted on5:51 pm - Mar 27, 2022

Mwenyezi Mungu ni mwema naamini huduma yako itafika mbali ni itasaidia wengi🙏🙏🙏🙏🙏🙏

GracePosted on5:48 pm - Mar 27, 2022

Tunabarikiwa Sana na mafundisho mungu awabariki Sana….🙏🙏

AnonymousPosted on4:41 pm - Mar 27, 2022

Sasa tutafanyaje jaman wengine tutakimbiaje maana na kuzaa tumesha zaa watoto wawili bila ndoa ??😒😕😟 Tutakimbiaje?🙆

AnonymousPosted on12:59 pm - Mar 27, 2022

Amen Mutumishi

DanieliPosted on10:05 am - Mar 27, 2022

Watumishi Mungu awabariki sana kwa somo zuri nimejifunza kitu hapa ni marufuku kurudi nyuma mbele kwa mbeli hadi kieleweke hata watuseme watutukane watutenge watudharau Yesu ni Bwana na mwakozi wa milele

YoenPosted on9:19 am - Mar 27, 2022

Ubarikiwe sana mpendwa kwa mafundisho mazuri kila siku yananijenga kwenda hatua ingine ya uelewa

Eric ndunguruPosted on10:54 pm - Mar 26, 2022

Nimejifunza ktk somohili kuwa, mbinguni hatuendi kwa uzuri wa sura, umaarufu wala utajiri n.k. bali kwa wema

Brian edwardoPosted on10:50 pm - Mar 26, 2022

Nimebarikiwa na mafundisho .ubarikiwe.Naomba uniunge whatsap Yako namba yangu 0625698001

AnonymousPosted on8:22 pm - Mar 26, 2022

Asantee sana kwa mafundisho haha mbarikiwe🙏

AnonymousPosted on7:35 pm - Mar 26, 2022

Ahsante Sana barikiwe🙏🙏

AnonymousPosted on6:57 pm - Mar 26, 2022

Ameeeen Mtumishi Ubarikiwe kwa masomo mazuri ya kiroho.

William laswayPosted on6:39 pm - Mar 26, 2022

Amina,,barikiwa kwa somo zuri

AnonymousPosted on6:38 pm - Mar 26, 2022

Amina,asante kwa somo zuri barikiwa

AnonymousPosted on6:37 pm - Mar 26, 2022

Asante kwa somo zuri, nimejifunza na kukumbushiwa

Imani RuzamukaPosted on6:36 pm - Mar 26, 2022

Amina amina amina…..
Hili fundisho limenipa nguvu tena

Jiloh Isai ElkanahPosted on6:11 pm - Mar 26, 2022

Nashukuru kwa kupata ujumbe muhimu wa uponyaji na kusimulia neno hili hapo juma pili mbarikiwe.

DavidPosted on2:01 pm - Mar 26, 2022

Amen, sifa Kwa Bwana. Nimejifunza mengi kupitia somo hili. BWANA awe nawe

Prisca kombaPosted on10:09 pm - Mar 25, 2022

Asante mtumishi

SumamwakalukwaPosted on8:43 pm - Mar 25, 2022

Amina Asante tunabarikiwa sana

anzuruni leonardPosted on5:48 pm - Mar 25, 2022

Shalom jina langu Naomi niko Canada namshukuru MUNGU kwa mafundisho haya yananisaidia sana MUNGU azidi kuwatia nguvu.

    Nuru ya UpendoPosted on4:30 am - Mar 26, 2022

    Amina dada Naomi..Bwana azidi kukubariki…je upo whatsapp ili niweze kukuunga kwenye group la masomo?..kama ndio basi tutumie ujumbe kupitia namba zilizopo.juu ya website hii au chini kabisa

AnonymousPosted on1:23 pm - Mar 25, 2022

Asante kwa fundisho la Neema ya Yesu

lucas mhulaPosted on10:29 am - Mar 25, 2022

Amen naomba kutumiwa hiyo video

lucas mhulaPosted on10:21 am - Mar 25, 2022

Amen, naomba kutumiwa hili somo kwenye namba yangu ya WhatsApp kama itawezekana, asante sana na mbarikiwe sana watumishi wa Mungu.

lucas mhulaPosted on9:40 am - Mar 25, 2022

Amen🙏🙏

lucas mhulaPosted on9:27 am - Mar 25, 2022

Jamani Mungu wa Mbinguni awabariki kwa sababu mnakuwa baraka kwangu na kwa wengi pia..🙏🙏🙌🤝

lucas mhulaPosted on9:02 am - Mar 25, 2022

🙏🙏 amen somo zuri sana.

AnonymousPosted on8:20 am - Mar 25, 2022

Nimebalikiwa amina

CLEVEN GEORGE NASSARYPosted on10:02 pm - Mar 24, 2022

Nina swali jingine mtumishi,Je ni kweli Mfalme Sulemani alizaa na Malkia wa Sheba?

DanieliPosted on7:18 pm - Mar 24, 2022

Asante sana watumishi kwa masomo mazuri

Cleven NassaryPosted on7:11 pm - Mar 24, 2022

Shalom Mtumishi wa Bwana,samahani naomba kuuliza hivi ni sahihi kwa msanii wa nyimbo za injili kumshirikisha msanii wa nyimbo za kidunia katika nyimbo au kushirikishwa na msanii wa nyimbo za kidunia katika nyimbo

DanieliPosted on6:58 pm - Mar 24, 2022

Asante mtumishi kwa masomo mazuri ya neno la Mungu aliye hai

DanieliPosted on6:26 pm - Mar 24, 2022

Asante sana watumishi wa Mungu aliye hai kwa masomo mazuri ya uzima

AnonymousPosted on6:25 pm - Mar 24, 2022

Asante sana watumishi kwa masomo mazuri

AnonymousPosted on4:13 pm - Mar 24, 2022

Barikiwa sana Mtu wa Mungu

AnonymousPosted on2:07 pm - Mar 24, 2022

Ameni. hakika nimebalikiwa xana na hili somo. Mungu atusaidie maana hayo ndo yanayo endelea

YOHANAPosted on10:31 am - Mar 24, 2022

Ufunuo14:17 Hapa ndipo penye subira ya watakatifu hao wazishikao amri za mungu na kuwa na imani ya yesu yaani iman haibatilishi sheria ila inasibitisha sheria kikamilifu(waebrania 4:_imesaria raha ya sabato kwanini 4hiyo hiyo inasema “kwamana ameinena siku fulani hivi mungu alistasehe siku ya 7 akaacha kufanya kazi.umeona mtumishi nielekeze sasa hiyo sabato ya siku ya7 ni ip?

yohanaPosted on10:19 am - Mar 24, 2022

Upo vizuri mtumishi wa MUNGU je vizuru kukuuliza kuhusu maagizo ya mungu (amri10) maana sifaham sijajifunza vizuri kuhusu amri za mungu na 7to iliyopo katikati ya amri10 kwahiyo ukitoa moja zinabaki 9 je unakua uposahihi au umekosea?

EZEKIEL GOSBERTHPosted on10:08 am - Mar 24, 2022

Naona kuuliza juu ya vita vya Ha- magedonia,na juu ya Taifa lililoko mawio ya jua

JOSHUA AMIRI MUTUNGUPosted on11:03 pm - Mar 23, 2022

Asante Sanaa mtumishi wa Mungu,nmebarikiwa Sanaa

AnonymousPosted on9:03 pm - Mar 23, 2022

AMEN, UBARIKIWE SANA MTUMISHI WA MUNGU KWA MAFUNDISHO MAZURI YA MUNGU

lucas mhulaPosted on12:04 pm - Mar 23, 2022

Amen🤝🤝🙏🙌

lucas mhulaPosted on11:52 am - Mar 23, 2022

Amen🙏🙏

Danford lucasPosted on11:23 am - Mar 23, 2022

Hakika Bwana Yesu ni mkuu,kutokana na mafundisho haya naona uponyaji wa roho yangu.Amina

lucas mhulaPosted on11:06 am - Mar 23, 2022

Amen ujumbe umenibariki

lucas mhulaPosted on10:53 am - Mar 23, 2022

Amen nimejifunza 🙏🙏🤝

lucas mhulaPosted on10:36 am - Mar 23, 2022

Amen 🙏🙏

Suleiman mwahesaPosted on8:32 am - Mar 23, 2022

Nashukuru Mungu kwa watu wake mnao post masomo kwa ajiri yetu, Mungu awabariki

DamyPosted on9:01 pm - Mar 22, 2022

Kazi yenu njema sana kwa hakika

Erastus oumaPosted on3:22 pm - Mar 22, 2022

Asante sana ndugu zangu watanzania naomba kujua njia ya kumjua Mungu kama mwokozi wa maisha yangu

Zainab Shakiru.Posted on2:31 pm - Mar 22, 2022

Mungu awabariki kwa kujitoa kwa moto mmoja kpeleka injiri yake.

AnonymousPosted on1:59 pm - Mar 22, 2022

AMEN.! Hakika nimejifunza.
Tutaijua Kweli na Neno la Kristo ndio Kweli.

AnonymousPosted on1:22 pm - Mar 22, 2022

Hakika imenibariki

Emmanuel Buberwa KitengulePosted on12:23 pm - Mar 22, 2022

Barikiwa sana,masomo yenu kwani yamefungua ufahamu wangu kwa kiasi kikubwa.Naamini mafundisho haya yakiwafikia wengi nao pia yatakuwa msaada kwao.Kwa mfano mpaka sasa nimeelewa kuhusu ubatizo na ninatafuta ni wapi nikabatizwe kwa jina la la Yesu naamini Mungu ataniongoza manake ndio shauku yangu.

Daudi SullePosted on12:07 pm - Mar 22, 2022

Nabarikiwa sana na masomo . Mungu awabariki sana kwa huduma hii njema

MBONIMPA COSMASPosted on11:50 am - Mar 22, 2022

Shaloom.
Baraka za Kristo Bwana wetu zizidi sana kwenu kwa kadri ya uaminifu na kujitoa kuyahubiri mafundisho na njia ya wokovu.

MBONIMPA COSMASPosted on11:42 am - Mar 22, 2022

Shaloom watumishi.
Hamjui ni kwa kiasi gani mnayabadilisha na kuyabariki maisha ya kiroho yakwangu na watu wanaonizunguka. Mnafundisha na kuhubili injili ya Kristo kwa kiwangi cha baraka za juu sana.

Ninaamini Bwana atanipa kibali nitakuja kukusanyika pamoja na ninyi siku moja.

EmmanuelPosted on10:00 am - Mar 22, 2022

Amen, kazi hii ni njema MUNGU awabariki sana,

Nasibu Saul KotteiPosted on9:05 am - Mar 22, 2022

Maran atha.!

AnonymousPosted on8:21 am - Mar 22, 2022

Mbarikiwe kwa kazi nzuri

PPosted on12:09 am - Mar 22, 2022

Amen ndugu. Mungu akubariki

Anthony JumaPosted on10:50 pm - Mar 21, 2022

Mmebarikiwe kwa kazi nzuri

Morris sanyanoPosted on9:30 pm - Mar 21, 2022

Am blessed

Rowland AsanteRobertPosted on8:42 pm - Mar 21, 2022

Nimeelewa kuhusu kitango.

AnonymousPosted on8:30 pm - Mar 21, 2022

Ameeeen Mtumishi, Mungu zaidi kuwabariki,najifunza mambo mengi ya kiroho .

AnonymousPosted on8:19 pm - Mar 21, 2022

Nina swali hapa …linapokuja suala la uaskofu hii imeekaaje maana sasa hivi watu hujiita bila kuteuliwa na watu

Rowland AsanteRobertPosted on7:46 pm - Mar 21, 2022

Nimejifunza! Nimepata kuelewa vzr kuhusu Suria na bibi arusi wa kweli wa KRISTO! Hakika yatupasa kuendelea kuyafua mavazi yeti kwa damu ya mwanakondoo ili mavazi yetu yazid kuwa safi. Barikiwa

Baraka SammoPosted on7:07 pm - Mar 21, 2022

Amen mtumishi
nabarikiwa sana na mafundishi haya hakika yananijenga na kunipa ufahamu zaidi kutoka hatua moja kwenda nyingine ya kumjua huyu MUNGU wetu kipitia Mwanae pekee YESU KRISTO

Faraja BenjaminPosted on6:36 pm - Mar 21, 2022

Thanks man of God, through your Inspiration words I learned a lot about how God powerful is. Be blessed 🙏

Imani RuzamukaPosted on6:28 pm - Mar 21, 2022

Amen ,Asante sana kwa mafundisho

Mathew MsakaPosted on6:22 pm - Mar 21, 2022

Asante kwa jumbe nzuri za kutujenga kiimani. Mbarikiwe sana.

William laswayPosted on6:21 pm - Mar 21, 2022

Barikiwa sana mtumishi wa Mungu

AnonymousPosted on6:04 pm - Mar 21, 2022

Amen Mubarikiwe

Emanuel kipwasaPosted on6:00 pm - Mar 21, 2022

Amen nimebarikiwa na mafundisho

AnonymousPosted on3:39 pm - Mar 21, 2022

Amen barikiwe mnoo🙏🙏

Fadhili EdwardPosted on3:29 pm - Mar 21, 2022

YESU atukuzwe, Nimebarikiwa sana

AnonymousPosted on10:47 am - Mar 21, 2022

Amina Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana

Morris sanyanoPosted on10:26 am - Mar 21, 2022

Group hii imekuwa ya baraka sana kwangu

AnonymousPosted on10:26 am - Mar 21, 2022

Ameeeen Mtumishi,Mungu azidi kukubariki.

MosesPosted on9:45 am - Mar 21, 2022

Ubarikiwe mtumishi

Alphonce peterPosted on9:24 am - Mar 21, 2022

Mbarikiwe sana wingu LA mashahidi

Antelm BarackPosted on11:25 pm - Mar 20, 2022

Ameni..Ubarikiwe sana Mtumishi kwa ufunuo huu wa ajabu wa Neno la Mungu.
Mungu azidi kukupaka mafuta kwa ajili ya kulifunua Neno lake, hasa zaidi katika nyakati hizi za mwisho mwisho za kuimalizia safari yetu hii ya imani.
Ubarikiwe mno mno mno!!

NURU MFAKOPosted on9:22 pm - Mar 20, 2022

Amen, ubarikiwe saaaaana.somo zuri

Edson MugishaPosted on6:43 pm - Mar 20, 2022

Aise, nimejifunza mambo makubwa hapa, hili ni jibu la swali ambalo limeleta gumzo kidogo. Atukuzwe BWANA kwa hili na mwalimu amuinue zaidi hakikaA

Edson RukaigaPosted on5:30 pm - Mar 20, 2022

Asante, nimejifunza!! Ila nilitaka kujiunga na kundi lenu la WhatsApp nikaambiwa limeshajaa.

Nuru ya UpendoPosted on5:02 pm - Mar 20, 2022

Amen..azidi kukubariki nawe pia ndugu yetu

cleophace shukuruPosted on3:29 pm - Mar 20, 2022

somo hili limenijibu swali langu , maana nilikuwa najiuliza inakuwaje mtu awaponye watu kwa jina la KRISTO halafu kumbe si wake. Mungu wa mbinguni awatie nguvu na kuwabariki zaidi

cleophace shukuruPosted on2:54 pm - Mar 20, 2022

Mungu ni mkuu mno. hakuna kilichosemwa katika biblia kisichodhihirishwa. MUNGU awabariki mno na kuzidi.

AnonymousPosted on2:46 pm - Mar 20, 2022

Amen mtumishi. Ubarikiwe Sana.

Mackline Alawi MkatasaPosted on1:11 pm - Mar 20, 2022

Thanks I have got the meaning of worship,may the Lord bless you

Nuru ya UpendoPosted on12:49 pm - Mar 20, 2022

Wanapaswa waokoke..

Brian MasigaPosted on2:59 am - Mar 20, 2022

Ntaka kua mnjili

MaigePosted on1:26 am - Mar 20, 2022

Ubarikiwe mno mtumish. Kuna wale waliofanya uasherati na wakapata watoto au mtoto, hapa neno la Mungu au guadhabu ya Mungu itawaepuka vipi!? Au warudi wakawaoe watu hao?

    Jumanne sonahPosted on5:04 am - Apr 6, 2024

    Kama anamtoto lakini hajaoa wala kuolewa warudiane haraka na kupata kibar kwa Mungu ila kama walioa na kuolewa kwingine waendelee hukohuko ila wahalalishe kwa kupata kibali kwa Mungu vinginevyo hao bado wanahesabika wazinzi2

AnonymousPosted on10:39 pm - Mar 19, 2022

Amen..ni wakati wa kuwa macho sana, Bwana Yesu yu karibu.

lucas mhulaPosted on9:54 pm - Mar 19, 2022

Amen sana kwa somo zuri naona kupiga hatua katika kumjua Mungu na njia zake za kusema na mimi hasa kwa Neno lake, lakini kuna watumishi wanasema kuwa kuna sauti ya Mungu kama sauti ndani ya mtu na wengine wanasema ndoto, imekaaje hii hasa ndoto??

lucas mhulaPosted on8:00 pm - Mar 19, 2022

Asante sana wana wa Mungu mbarikiwe kwa kutufanya kuijua kweli ya Mungu siku hadi siku mimi mda mwingine naona kukutana nanyi kwenye mitandao hii ni muujiza kuliko muujiza tuliyo izoea, Mungu aendelee kuwapa ufunuo wake siku hadi siku.🙌🙌🤝🙏

lucas mhulaPosted on7:50 pm - Mar 19, 2022

Amen 🙏🙏

enock amilioPosted on6:35 pm - Mar 19, 2022

Hakika mimi nitasimama katika mnara nimsikilize Mungu

CathyPosted on6:22 pm - Mar 19, 2022

Wow!
Somo zuri sana. Ama kweli Mungu hufanya vitu tofauti kabisa na akili za ki-binadamu. Mawazo yake ni makuu sana na akili zake hazichunguziki. Nashukuru kujua jinsi gani biblia inatafsiri mtu asiye na akili.
Asante sana mwandishi.
Mungu awabariki Wingu la Mashahidi.
Amen.

Fadhili EdwardPosted on10:42 am - Mar 19, 2022

Ameen, Utukufu ni Wa MUNGU aliye hai,
Kila Neno lenye pumzi lafaa katka mafundisho,
Tunabarikiwa kwa ujumbe, na MUNGU awabariki

IsayaPosted on9:31 am - Mar 19, 2022

Mungu awa barik🙏

MagdalenaPosted on9:30 am - Mar 19, 2022

Mbarikiwe Watumishi wa Bwana

Prisca kombaPosted on3:37 am - Mar 19, 2022

Nikweli teacher mi kuhusu petrol kujitupa bahalini nilijua ni stor tu nashukulu kwa kunifumbua macho na ufaham

Lucas JosephPosted on11:46 pm - Mar 18, 2022

Binafsi kila siku nabarikiwa kwa masomo yenu kwenye group na humu kwenye website yenu, hili andiko la kutoka 23:23 nimeliona leo kwa ufunuo mpya, mbarikiwe sana watumishi wa Mungu.🥰😊😊🙏

lucas mhulaPosted on11:17 pm - Mar 18, 2022

Amen asante sana kwa maarifa haya ya Neno la Mungu.

Nazareno MacheldoPosted on5:37 pm - Mar 18, 2022

Amen amen

AnonymousPosted on2:56 pm - Mar 18, 2022

Amina umejibu swar langu kabra sijakuuliza ubalikiwe

MagdalenaPosted on2:10 pm - Mar 18, 2022

Bwana Yesu azidi kuinua Huduma hii iwafikie wengi zaidi,

AnonymousPosted on1:07 pm - Mar 18, 2022

Ubarikiwe mtu wa Mungu

DEBORA ANDREWPosted on12:49 pm - Mar 18, 2022

Amen, Mungu akubariki sana

AnonymousPosted on11:07 am - Mar 18, 2022

Amen amen mtumishi. Ubarikiwe Sana.

MaryPosted on11:39 pm - Mar 17, 2022

Asante nimependa mafundisho yenu Mungu awa bariki sana

AnonymousPosted on10:43 pm - Mar 17, 2022

Mbarikiwe Sana watumishi wa mungu,mungu kanibariki Sana kupitia masomo ya bible

Mary MbodzePosted on2:30 pm - Mar 17, 2022

Amen Amen barikiwa mtumishi wa Mungu

Winfrida damianPosted on2:27 pm - Mar 17, 2022

Amen amen

Lukan masumbukoPosted on7:04 am - Mar 17, 2022

Natamani ni ufaham mlango wa ufunuo wa maobi.

VivianPosted on8:44 pm - Mar 16, 2022

Amen barikiwa sana

Elizabeth kasichiPosted on7:33 pm - Mar 16, 2022

Je kwa nini watu wanaozaliwa sehemu za baridi ambao wazazi wao ni waafrica bado wanaendelea kuwa na ngozi nyeusi?

Elizabeth kasichiPosted on7:15 pm - Mar 16, 2022

Shalom! Biblia imeandikwa kwa mtiririko katika mwanzo 4 tunaona kuna kaini na habeli sura ya 5 Luna seth na wana wengine, sura ya 4;14 kaini anaogopa kwamba watu wengine wakimuona watamuua ni watu gani hao. Maana sura ya 4 inaelezea matukio yote ya kaini na habeli means duniani baada ya habeli kufa walibaki watatu tu!

Elizabeth kasichiPosted on6:49 pm - Mar 16, 2022

Amen mtumishi. Kwahiyo Maisha yetu ya hapa duniani yamejawa na majaribio ili tupimwe.Na tupate kumjua MUNGU kwa undani zaidi. Lakini MUNGU anapotujaribu si anakuwa anajua matokeo ya jaribu hilo kwasababu yeye anajua mwanzo na mwisho? Na ule moto wa mbinguni unaosemekana umechochewa mara 7 je ni kweli?

Evan LusakaPosted on6:36 pm - Mar 14, 2022

Amina mtumishi wa MUNGU,,, hakika tunawajibika kutia bidii kutafuta habari za kweli kumuhusu BWANA wetu YESU KRISTO bila kujali kuna wimbi kubwa kiasi gani linalotoa mafundisho hayo… THEOFILO si kwamba hakuwahi kusikia kuhusu YESU na MITUME aliwahi lkini akatafuta mtu mmoja anayejua ukweli ili amuandikie kwa utaratibu mzuri kila alichotaka kujua kuhusu BWANA YESU NA MITUME…
Haijarishi ni Mara ngapi umesikia habari kuhusu BWANA YESU KRISTO,, Unchopaswa kufanya ni kazana kumtafuta LUKA wako wa leo ili akuandikie kwa usahihi kile ambacho MUNGU amemfunulia ili kiwafae mamilion ya watu hasa kwa huduma hii ya INJILI MTANDAONI…
MUNGU awabariki sana team hii ya Wingu la mashahidi, daima mmekuwa waalimu kwangu Kama LUKA mbele ya THEOFILO MTUKUFU….
barikiwa sana mtumishi wa MUNGU.

CathyPosted on6:19 pm - Mar 14, 2022

Asante kwa ufafanuzi huu, maana wengi hudhani ‘tonge’ ni sehemu ya mkate walioshiriki wote 12.

Bwana awabariki.

Keraryo Mang’eraPosted on6:09 pm - Mar 14, 2022

Amina nimebarikiwa na ujumbe

CathyPosted on5:57 pm - Mar 14, 2022

Asante kwa ufafanuzi mzuri wa vazi la naivera na matumizi yake kikuhani. Ni kweli, kwa sasa wote tuliookoka ni makuhani mbele za Mungu na vazi letu ni Yesu Kristo mwenyewe. Jina lake na dami yake vyatosha kutusogezesha mbele ya BWANA.
Mbarikiwe sana kwa masomo mazuri.

JosephinePosted on5:16 pm - Mar 14, 2022

Barikiwa sana

Raymond A. NdumbaloPosted on5:02 pm - Mar 14, 2022

Amen.Ubarikiwe na Bwana

AnonymousPosted on4:44 pm - Mar 14, 2022

Abarikiwe Kwa mafundisho

Evan LusakaPosted on4:43 pm - Mar 14, 2022

Amina amina mtu wa MUNGU….. Na barikiwa sana na mafundisho yanayopatikana mahar hapa na kila siku nimekuwa napata kumsikia MUNGU akisema na mimi kupitia masomo haya ya mahali hapa,,,, Tangu nilipoanza kufatilia mpaka Leo nimekuwa na hatua nzuri sana kiroho na shauku ya kumtumikia MUNGU kwangu imeongezeka Mara dufu… Ninamshukuru MUNGU kwaajili ya mbeba maono wa page hii maana imekuwa baraka sana kwangu na kwa wale ninaopata neema ya kuwafikia na kuwafundisha kweli ya MUNGU ambayo nimeijua kwa kupata mda wa kusoma mafundisho katika page hii.. MUNGU awabariki sana team nzima ya wingu la mashahidi. Amina

AnonymousPosted on4:38 pm - Mar 14, 2022

Amina amina mtu wa MUNGU….. Na barikiwa sana na mafundisho yanayopatikana mahar hapa na kila siku nimekuwa napata kumsikia MUNGU akisema na mimi kupitia masomo haya ya mahali hapa,,,, Tangu nilipoanza kufatilia mpaka Leo nimekuwa na hatua nzuri sana kiroho na shauku ya kumtumikia MUNGU kwangu imeongezeka Mara dufu… Ninamshukuru MUNGU kwaajili ya mbeba maono wa page hii maana imekuwa baraka sana kwangu na kwa wale ninaopata neema ya kuwafikia na kuwafundisha kweli ya MUNGU ambayo nimeijua kwa kupata mda wa kusoma mafundisho katika page hii.. MUNGU awabariki sana team nzima ya wingu la mashahidi. Amina

Jackson MkwasaPosted on10:18 am - Mar 14, 2022

Shalom wapenda bwana wetu YESU KRISTO apewe sifa, somo kuu tunaonyeshwa ni jinsi gani babeli ya kwanza ilivyo leta machukizo
Lakini sasa yatupasa kuwa makini kwani babeli imeamia kwenye moyo…

Nuru ya UpendoPosted on9:31 am - Mar 14, 2022

Amen, karibu sana.. unaweza kuwakaribisha na wengine kwa kushare link hii sehemu mbali mbali. >> http://www.wingulamashahidi.org

Agatha Sheyo 0675775630Posted on8:28 am - Mar 14, 2022

Napenda Sana kujifunza kumjua Mungu, kupitia ninyi napata mwongozo wa hitaji langu. Barikiweni sanaa. Msichoke, bidii yenu ya kufundisha inafanya kitu mioyoni mwa wasomaji Mimi nikiwa miongoni mwao.

Emanuel kipwasaPosted on12:02 am - Mar 14, 2022

Nimebarikiwa na mafundisho haya

JulianaPosted on8:30 pm - Mar 13, 2022

Mbarikiwe sana, umetukumbusha jambo la msingi sana ya kwamba tusijisahau na tusizingatie mambo ya ulimwengu huu bali tumtazame BWANA siku zote ili sote tukutane Paradiso/Peponi🙏

EmanuelPosted on7:45 pm - Mar 13, 2022

Ahasante Roho mtakatifu kwa somo hili nimeweza kupata mwanga fulani.. sifa na utukufu wake Mungu wa mbinguni na Kristo YESU mwokozi wangu.

AnonymousPosted on3:02 pm - Mar 13, 2022

Mungu ni mwema na kazi yake ni njema.

Raymond A. NdumbaloPosted on3:00 pm - Mar 13, 2022

Mungu ni mwema.Kazi take ni njema sana

Meshack-sindotuma-gwanse-mbonyePosted on9:49 am - Mar 13, 2022

Nashukuru kwa kupewa mwanga wa maandiko ya MUNGU

AnonymousPosted on4:24 am - Mar 13, 2022

Amina ubarikiwe mtumishi je unavitabu vya uchambuz wa kitabu cha UFUNUO na DANIEL

MaigePosted on12:19 am - Mar 13, 2022

Amen. Hakika saa inakuja.

LynahPosted on8:06 pm - Mar 12, 2022

Amani ya Bwana iwe nanyi

íPosted on8:04 pm - Mar 12, 2022

Ameen…Bwana Yesu ni mwema ni mwema ombi Langu ni kwamba Roho wa Mungu ajifunue kwa viwango vya juu tumfahamu kumjua na kuenenda jinsi Neno La Mungu linavyosema….Barikiweni enyi mnaoandaa masomo haya si bure kitambo kidogo dhawabu i kwa ajili Yenu… shalom

Jackson MkwasaPosted on6:49 pm - Mar 12, 2022

Hakika MUNGU wetu ni mkuu na mwenye haibna fadhili za milele hapa dunia na uko juu mbinguni hakika tukishinkwa kumtumainia yeye tutapata ukombozi daima..
Mbarikiwe sana kanisa zimala umjumla la WINGU LA MASHAHIDI

Zerish LyamuyaPosted on6:28 pm - Mar 12, 2022

Amen, barikiwa na Kristo

DanielPosted on11:20 am - Mar 12, 2022

NEEMA ya MWENYEZIMUNGU awe juu yako tumishi wa mungu Alie fafanua kizazi ya yangu mwaka wa 1948 mpaka Sasa .hapa Sasa nimepata uwelewa saidi kuhusiana na kizazi hiki ,japo kuwa neno hili la kizazi hiki hakitakwiswa kabla bwana haja timiza haya niliisha amini kwa kuwa naami kila kilicho andikwa kwenye bibilia takatifu kitatimia neno nilisoma pia katika kitabu cha mrk13:28 mungu akubariki mtumishi wa mungu na akutumie katika ufafanuzi huu tene zaidi na zaidi
DANIEL LOSERIAN LAIZER kutoka TANZANIA Loliondo ngorongoro

Grace V NyakataiPosted on11:42 pm - Mar 11, 2022

Namfulahia Kristo Yesu kwa kuachilia nema hii ya mafundisho kwa kweli najifunza mengi kutoka katika Wingu la Mashahidi.Amen!

Fidelice makioPosted on10:55 pm - Mar 11, 2022

ningependa kuwa na miujiza ya kugeuza nina cho taka

JulianaPosted on4:41 pm - Mar 11, 2022

Asante nimebarikiwa kwa somo zuri, MUNGU Awabariki sana

AnonymousPosted on1:24 pm - Mar 11, 2022

Ameen, Mungu azidi kukuinua kwa kazi ya Ufalme

Lemi p sallaPosted on11:15 am - Mar 11, 2022

Yesu Kristo aliye hai atukuzwe hakika kazi ambayo Mungu ameweka ndani yenu ni njema tunahitaji sanaa maarifa ya Neno la Mungu kupitia mafundisho mbalimbali kupitia masomo mbalimbali kwa lengo la kukua kiroho mbarikiwe sana.
Lakin pia tunapata nafasi kumjua Mungu kwa viwanvo vya kuweza kuueleza ukuu na utendaji kazi wa Mungu.
Asanthe mbarikiwe sana ,,,,

Furaha matogwaPosted on11:05 am - Mar 10, 2022

Lawrence maana yake nini?

MTUNGILEIPosted on8:34 pm - Mar 8, 2022

Mungu nakuomba hutunusuku, kwa humalaya, kwamagonjwa, kamavile ukimwi .korona .hatamengine,yesu kristo nakuomba mimi kiumbe chako nimepanda viazi huweze kunisaidia niweze kuvunamazao mengi yesu kristo amina

AnonymousPosted on3:50 pm - Mar 8, 2022

Amen barikiwe sana🙏🙏

EdmundPosted on10:25 am - Mar 7, 2022

Mbarikiwe kwa jumbe nzuri za kuinua IMANI NA UFAHAMU KWA WATU WAKE YESU KRISTO.Binafsi nimependa sana.amen

Pastor:Kaiza NyembekePosted on11:16 pm - Mar 5, 2022

Sasa nimewalewa name nimependa kwa kweli kuna masomo mazuri sana humu ndani watumishi mbalikiwe sana nilikuwa namenogewa hapa na somo La Ubatizo aaaaah ni Sega la asali kabisa

    Nuru ya UpendoPosted on2:53 pm - Mar 6, 2022

    Amen utukufu apewe Bwana ..tuna mafundisho ya kila siku whatsapp kama utapenda yawe yanakufikia basi tutumie ujumbe kwa namba hii

    +255789001312

Gesbon mwandelilePosted on8:24 pm - Mar 5, 2022

Amina mtumishi naomba kuuliza eti mfungo unaanza saanga mpk mda gani wa kufungua

    AnonymousPosted on10:33 pm - Jul 22, 2022

    Alafu kuna mwandelile amanifundisha hisabat alikuwa ana nikong’oa kichwa kama sielewi, ila huyu mtumishi ameeleza, rudia maandishi utaelewa mtumishi, barikiwa amem

IssackPosted on2:25 pm - Mar 4, 2022

Maana ya meshack,shadrack,na Abednego

JoycePosted on10:06 pm - Mar 3, 2022

Naomba mniunge kwenye group la wingu la mashahidi wassap tafadhali

AnonymousPosted on8:17 am - Feb 27, 2022

Somo hili ni jema sana umebarikiwa

Samuel OketchPosted on4:25 am - Feb 27, 2022

Naomba kujiunga katika vikundi yenu ya masomo.

AdamPosted on6:27 pm - Feb 26, 2022

Umenifungua macho yangu asante sana mungu akubaliki

AlaisiPosted on9:59 am - Feb 24, 2022

Mungu awabariki na azidi kuwatia nguvu katika kuieneza injili yake

PaulPosted on7:26 pm - Feb 18, 2022

Nimefurahai sana kwasababu roho yangu imepata chakula cha kweli (mafundisho ya ukweli),nivile sina cha kuwapa watumishi wa mungu lakini nina womba mungu awabariki sana.

Mwezi wa Abibu ni mwezi gani? –Posted on10:28 am - Feb 18, 2022

[…] Sikukuu hizi zote zilimfunua Kristo Yesu, Tangu siku ile anaumega mkate na divai, kama ishara ya mwili wake na damu yake, na kama pasaka mwenyewe anayekwenda kuchinjwa kwa ajili ya dhambi za ulimwengu wote. Vilevile, siku ya kwanza ya Juma ndiyo aliyofufuka. Kwa maelezo marefu kuhusiana na sikukuu hizi za kiyahudi Fungua hapa>>>  https://wingulamashahidi.org/2019/06/30/sikukuu-7-za-kiyahudi-zinafunua-nini-kwetu/ […]

BARAKA PAULPosted on6:42 am - Feb 18, 2022

NAOMBA KUJIUNGA NA KIKUNDI HIKI

AMOS BARAKAPosted on10:21 pm - Feb 17, 2022

Leave your message

BARAKA AMOSPosted on10:07 pm - Feb 17, 2022

Leave your message

BARAKA PAULPosted on9:58 pm - Feb 17, 2022

Leave your message

BARAKA PAULPosted on9:32 pm - Feb 17, 2022

Naomba kujiunga nashilikalenu

FlavianiPosted on4:13 pm - Feb 17, 2022

Barikiwa kwa ujumbe wenye tafsiri inayoeleweka

catherinePosted on3:44 pm - Feb 17, 2022

Am blessed and fill we need Holy Spirit more than ever. We can not do things by our own unless guided by Holy Spirit. God bless all who welcomes him.

AnonymousPosted on4:53 pm - Feb 16, 2022

Mwanamke amepewa zile nywele ndefu ili ziwe badala ya MAVAZI,iweje tena tuzungumzie vitambaa kama kifuniko?

    NURU MFAKOPosted on7:57 pm - May 3, 2022

    Huo ulikuwa ni mbadala wa kitambaa,Sasa wanawake wa Africa nywele Walizonazo kama mbadala vni zipi????kama hawataanza kukosoa uumbaji wa Mungu Kwa kuzigeuza ziwe kama za wazungu au mara wazisuke wakati imekatazwa.

MUSSA NYEMBE SANYIWAPosted on10:50 am - Feb 16, 2022

This is really a wonderful message ever. There has been an overwhelming mushrooming of the self-proclaiming prophets and prophetesses who claim to have been shown signs and all about people’s lives. I call them false messengers because their messages contradict the immutable God’s precepts. these are really messengers of devil behind the mask of Christianity.
I like the message and I encourage you to keep disseminating to other people to be saved. God bless you

DenisPosted on9:05 am - Feb 16, 2022

Hongereni sana Mungu anawatumia kufungua wengi

John SiuhiPosted on4:39 pm - Feb 15, 2022

A wonderful preachings

my name is mr dude!!Posted on12:28 am - Feb 15, 2022

nimefurah sana sababu nimepata neno zur laMungu wetu najina lake litukuzweee milele mbarikiwe!! BY H,DUDE S

AnonymousPosted on8:44 pm - Feb 14, 2022

Bwana Yesu asifiwe sana wapendwa nabarikiwa kwa mafundisho yenu mazuri na ya kujenga Mungu awape hekima zaidi ya kwedelea na huduma hii

TuzolanaPosted on8:43 pm - Feb 14, 2022

Bwana Yesu asifiwe sana wapendwa nabarikiwa kwa mafundisho yenu mazuri na ya kujenga Mungu awape hekima zaidi ya kwedelea na huduma hii

EMANUEL KIBONAPosted on8:08 pm - Feb 14, 2022

HAKIKA TUPO MWISHONI MWA NYAKATI ZA MWISHO
WATUMISHI KAZI HII NI NJEMA, MUNGU AZIDI KUWATUMIA NA KUWATIA NGUVU

NIMEBARIKIWA SANA

NAOMBENI MNITUMIE MASOMO HAYO KWENYE EMAIL ILI NIENDELEE KUPOKEA MAARIFA ZAIDI

Nuru ya UpendoPosted on11:23 pm - Feb 13, 2022

Yeremia 45 yote, ni maneno ya Faraja kwa Baruku kutoka kwa Bwana..labda tungependa kujua mstari gani, uliokuwa unahitaji ufafanuzi..

EnockPosted on12:11 pm - Feb 13, 2022

Nimebarikiwa Sana nanyi. Mungu azidi kuwafunulia. Kanisa lipo katika vita kuu na shetani. Watumishi wa uongo katika kulipotosha kanisa kwa kuruhusu vitu vidogo vidogo vitendeke wamejaa.

Stella matikuPosted on6:07 pm - Feb 12, 2022

Bwana Yes asifiwe,Asante kwa mafundisho yenu ya biblia kwa kweli ni mazuri na yanatujenga kuijua biblia vizuri.
Naomba ufafanuI yeremia sura ya 45 ina maanisha Nini?
Asante.

NURU MFAKOPosted on12:18 pm - Feb 11, 2022

Mbarikiwe Kwa kazi njema ya Injili

DominicPosted on8:36 pm - Feb 10, 2022

May God bless you

J korirPosted on6:35 am - Feb 8, 2022

Amen jina bwana litukuzwe

Javan ChihimbaPosted on9:50 pm - Feb 6, 2022

Asante sana.

Nuru ya UpendoPosted on8:24 pm - Feb 6, 2022

Mkate unapobaki baada ya ibada, unaweza kulika kama chakula cha kawaida tu!.. divai inapobaki inapaswa ihifadhiwe kwaajili ya matumizi ya baadaye tena..

Lipembe jamesPosted on11:40 am - Feb 5, 2022

Nimependa sana hiyo moment

DIMANDAU TATAPosted on11:15 pm - Feb 2, 2022

Nimefrahiya sana kwa haya mafundisho. MUNGU awabariki mwenderee na kazi yake

Yusuph MadsonPosted on10:01 pm - Feb 2, 2022

Hivi mnapokula meza ya Bwana halafu baada ya hapo ile divai na mkate vikabaki, wale wasimamizi wanaruhusiwa kwenda kuvila tena huko pembeni?

Remmy joramPosted on8:47 pm - Jan 29, 2022

Naomba uniunge kwenye niwe natumiwa masomo mbalimbali

LIBERATUS KAMUGISHAPosted on4:00 am - Jan 29, 2022

Habari zenu

Jamani nimeota nakimbizwa na mtu ninae mfahamu hii imekaaje juu ya huyo

Je! kupiga punyeto ni dhambi kwa mujibu wa biblia? –Posted on2:35 pm - Jan 27, 2022

[…] Hivyo kama iliwekezana kwangu itawezekana na kwako pia.. Ikiwa upo tayari kuacha kabisa kabisa dhambi hiyo, basi bofya hapa, upokee mwongozo utakaokusaidia kuacha uzinzi na punyeto moja kwa moja.>>> MOTO HUFA KWA KUKOSA KUNI […]

SilasPosted on10:35 pm - Jan 21, 2022

Je,mimi nilikua mkatholiki lakini vile lianza kujuwa kweli siendangi huko ilihali napambana kujuwa kweli tu kwa kusoma maandiko,
Sasa swali langu naezabatizwa mara ya pili?

    Nuru ya UpendoPosted on11:27 am - Jan 25, 2022

    Ndio huna budi kubatizwa tena katika ubatizo sahihi wa maji mengi na kwa jina la Yesu Kristo (Matendo 2:38), Kwasababu ubatizo wa utotoni uliobatiziwa na wa kunyunyiziwa si wa kimaandiko…kama utataka kubatizwa basi utawasilana na sisi kwa namba zilizopo mwisho wa somo.

EzekieliPosted on6:56 pm - Jan 20, 2022

Jamani yani nimebarikiwa sana mungu awabariki watumishi wa mungu

Tadei Emmanuel chaulaPosted on6:01 pm - Jan 20, 2022

Niunge

RIZIKI MSHINDO KUPAZAPosted on9:58 am - Jan 17, 2022

Asanteni Sana watumishi wa Mungu mloshirikiana katika kuandaa somo hili zuri la kutuelimisha nami nimeelimika pia juu ya somo hili.

LinosPosted on10:55 am - Jan 16, 2022

Leave your messageNahitaji kujiunga

AdasaPosted on4:50 pm - Jan 14, 2022

Ninaomba niwe ninatumiwa masomo Kwa barua pepe.

savinaPosted on3:46 am - Jan 14, 2022

Asante sana nashukiru Mungu pia kwaajili yako na huduma yako.

AnonymousPosted on3:41 am - Jan 14, 2022

Mini maana ya upon

AbisaiPosted on9:18 pm - Jan 12, 2022

Naomba hayo masomo yazidikunijenga ktk wokovu, mbarikiwe, namba ya ngu ya whasapu 0710804156

Dorothy MwanyikaPosted on12:23 am - Jan 11, 2022

Vwaba Yesu Asufuwe! Naomba masomo zaidi

AnonymousPosted on6:03 pm - Jan 10, 2022

Naona kama post ipo sensational sana na mengi uliyoandika ni mawazo yako na tafsiri zako mwenyewe badala ya hasa kinachoelezwa na biblia.

unataka kunambia Mwandishi wa Mwanzo alishindwa kusema Mungu alimuweka Shetani Eden na kwamba Adam na hawa wasimsikilize? Kwamba mwandishi alishindwa kusema Mungu aliwakataza Adam na hawa kujuana??

ChedielPosted on5:43 pm - Jan 7, 2022

Mwaweza pia kunitumia masomo Hays kwenye email yangu tajwa hapo juu.

AnonymousPosted on1:37 pm - Jan 4, 2022

Naomba niungwe kwenye group la wasap 0621752820

BARIKI LUKUMAYPosted on4:33 pm - Jan 3, 2022

Kwakweli MUNGU awabariki Sana mzidi kueneza injili yake BWANA ,, binafsi nafurahia mno!!!!

MagdalenaPosted on3:50 pm - Jan 3, 2022

Amina,Bwana azidi kuwatumia vilivo

Francis BPosted on4:22 pm - Jan 2, 2022

Amen Mtumishi, Mungu awabariki sana kwa mafundisho mazuri na yenye ujazo wa Roho Mtakatifu

AnonymousPosted on8:46 pm - Dec 31, 2021

Leave your message

AnonymousPosted on10:29 pm - Dec 30, 2021

Mpendwa mtumishi wa Mungu, somo lako limekaa vizuri sana, ubarikiwe sana kwa kuelimisha wengine, mwenye kufahamu na afahamu, tatizo la watu wengi kutokuelewa ni mapokeo, asante

Benson SylivanoPosted on3:04 pm - Dec 30, 2021

Ndugu, Habari Huu Ujumbe Wako Hauna Ukweli Wowote Maana Kama Mapepo Yalikuwaga Tangu kitambo mbona???? Hii Ufunuo Tisa inahusisha Kuibuka au Kuzuka kwa Uislam, Kwa Melezo Zaidi nitafute au Soma Kitabu Kiitwacho. Ufunuo wa Mambo Yajayo.

LeonardPosted on7:09 am - Dec 30, 2021

Send also to me this doctrine

JoelPosted on2:15 pm - Dec 28, 2021

Wazi kabiza nilipotea mimi

Nuru ya UpendoPosted on9:58 pm - Dec 27, 2021

Kama una whatsapp tutumie namba zako tuwasiliane kwa njia hiyo na kukuongoza sala ya toba

GracePosted on9:38 pm - Dec 27, 2021

Ameen be blessed mtumishi nimejifunza kitu kuhusu kufunga

L JosephPosted on6:48 pm - Dec 27, 2021

Jameni naitaji kuokoka sijui nitanzaje na kanisa ya ukweli ntajuaje, mafundisho yenu yamenifungua macho nivile siwesi kuwafikia ju niko apa Uganda mutanisaidiaje?.

Nuru ya UpendoPosted on1:36 am - Dec 26, 2021

Amen nawe pia Bwana azidi kukubariki.

AnonymousPosted on9:34 am - Dec 25, 2021

Endeleeni kupotoshwa…tatizo la wengi hawaijui kisawa sawa kanisa katoliki.. (the essence of catholic church ndio maana mnatapa tapa tu…mnalibeza bure kanisa la watu. Kwasababu auna idea nalo na kama unayo basi ni kidogo.

Lidwina StansalausPosted on12:13 pm - Dec 24, 2021

Nimejifunza namshukulu Mungu kwa kunisaidia kuelewa nawaombwea Sana Mungu wa mbinguni akubariki sana akuzidishie marifa zaidi

AnonymousPosted on12:43 am - Dec 23, 2021

Maana ya elis na elivis

Juma MwiaPosted on6:19 am - Dec 20, 2021

Vizuri sana mtumishi

Juma MwiaPosted on6:19 am - Dec 20, 2021

Vizuri sana mtumishi

Nuru ya UpendoPosted on11:26 pm - Dec 19, 2021

Awali ya yote Katika biblia hakuna cheo cha upadri. Na ikitokwa kama mtu anataka kuwa Askofu, hakujawekwa sharti kwamba ni lazima asioe, Anaweza kuoa..Na kama ataamua kutooa baada ya kuanza kazi hiyo, basi mambo yake ya nyuma aliyoyafanya ikiwemo uzinzi hayahesabiki kwassababu alishatubu

Nuru ya UpendoPosted on11:20 pm - Dec 19, 2021

Shalom..samahani bado sijakuelewa

Nuru ya UpendoPosted on11:18 pm - Dec 19, 2021

Amen Bwana awe nawe..

E.S.MPosted on9:57 pm - Dec 19, 2021

nimefurahishwa na tovuti yenu sana na Mungu awabariki

SalomePosted on8:55 pm - Dec 19, 2021

Habari, je kijana ameamua kuto kuoa kwa ajili ya kristo lakini amesha onja kwa maana amezini , halafu ndio kaamua kuwa padri, je inaruhusiwa?

Dickson magamboPosted on5:06 pm - Dec 17, 2021

Nahitaji kujifunza zaidi msaada wako juu ya uwepo wa mungu kwangu na kwako utanisaidio

Wambura mlugaPosted on1:52 am - Dec 17, 2021

Nimebarikiwa sana na Mafundisho haya kakika nimepata tumaini jipya ndani ya kristo na kuibua kiu ndani yangu ya kutaka kumtumikia zaidi na zaidi

Javan ChihimbaPosted on5:35 pm - Dec 14, 2021

Napata kujifunza vitu vizuri sana. Mungu akubariki mtumishi wa Bwana.

ErastusPosted on5:33 pm - Dec 14, 2021

Ndiyo, tayari nimempokea Yesu

Javan ChihimbaPosted on5:32 pm - Dec 14, 2021

Asante sana.

Pierre MugishaPosted on10:44 am - Dec 10, 2021

Asante kwa ujumbe kwa maafunuo

AnonymousPosted on10:46 pm - Dec 9, 2021

Neno la pepo limitimia kwa kusema mwana wa mungu kamwaga damu!!!. Mshindwi na mlegee mkewake mungu maria wapotovu

Agnes MkilyaPosted on7:13 pm - Dec 9, 2021

Shalom mtumishi nashukuru kufafanua hiyo mithali 14 but reality hiyo sio maana yake , maana ya huo mstari ni kuhusu karama ndani ya kanisa kuwa karama zikiwepo ndani ya kanisa mara nyingi huleta kama mkanyagano fulani hivi like watumishi wengi kuzikataa hizo karama ila je tuziache ? Je hazina faida bali kishindo cha ng’ombe huleta faida kubwa tukaona la hatuwezi zikataa karama bali tuzifundishe na kuelimisha n.k

elifurahaPosted on5:48 pm - Dec 8, 2021

Agizo la Yesu Kristo kwenye Mathayo 28: 18-20 inasemaje kuhusu kubatiza?
“Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani. Basi, nendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari”.
kwa ufupi ni kwamba Mungu Baba, Mwana (Yesu Kristo) pamoja na Roho Mtakatifu wote ni wamoja yaani hunia mamoja, hupatana kwa shauri moja. Hivyo Kubatizwa kwa Jina La Yesu Kristo ni sawa na Kubatizwa kwa majina yote matatu. ubarikiwe sana

EzekieliPosted on11:53 pm - Dec 4, 2021

Naomba kujua kuwa nyoka ni shetani au?

    Nuru ya UpendoPosted on8:16 pm - Dec 5, 2021

    Hapana nyoka ni nyoka na shetani ni shetani….ibilisi aliitwa nyoka kutokana na kuwa nyoka ndiye aliyekuwa chombo cha kwanza kutumiwa na shetani kuleta uharibifu duniani

AnonymousPosted on7:56 pm - Dec 4, 2021

Je,waisilam wataenda mbinguni kweli kama wanavosema.Na kama hawataenda,kwa nini wanamwabudu MUNGU na kumwamini.

    Nuru ya UpendoPosted on8:18 pm - Dec 5, 2021

    Mtu atafika mbinguni sio kwasababu amezaliwa katika familia ya kikristo hapana…atakwenda mbinguni kwasababu amemkiri na kumwamini Yesu Kristo..

AmonPosted on7:44 am - Dec 4, 2021

ubarikiwe Doctor.

Huruma BimbigaPosted on1:11 pm - Dec 3, 2021

Usiandike kitu usichokijua. Fanya utafiti na usome Biblia kwa kina ndipo uwe na mashiko katika hoja zako. Ulivyoelezea Kipaimara na Ubatizo wa Watoto inaonesha hujafanya utafiti wala kusoma vya kutosha.

ErastusPosted on12:41 pm - Dec 3, 2021

Ukiingia katika maombi ya kufungu ni vyema kufanya kazi za nyumbani?

ERASTUS OUMAPosted on12:19 pm - Dec 3, 2021

Kaka tafadhali nieleze njia zinazotakika kama mkristo kuzifwata, nimejaribu kumujuwa Yesu lakini najikuta tu kwenye makosa

kenya

Erastus nanjalaPosted on11:42 am - Dec 3, 2021

Mwenyezi Mungu akujazie baraka na maarifa ndungu, asante kwa neno la Mungu,,,, ubarikiwe

Erastus nanjalaPosted on10:17 am - Dec 3, 2021

Ningependa unitumie kwa fb

Moses ShonzaPosted on9:52 am - Dec 3, 2021

Nimependa haya mafundisho
Niliyahitaji pia kutumiwa na mengineyo nami nipate kushare na wenzangu

WhatsApp number 0659-990-833

Bosco NyambegePosted on4:37 pm - Dec 2, 2021

Naomba kupata mafundisho yenu namba ya watsap ni 0755861256

EDSONPosted on2:38 pm - Dec 2, 2021

amina mtumishi wa BWANA

Friedrich the son of JESUS%Posted on10:53 pm - Dec 1, 2021

Leave your message
Amina! Mungu azidi kukupa ufunuo zaidi!
Good92&peace and joy.

Michael mbuguloPosted on6:16 pm - Dec 1, 2021

Nabarikiwa na masomo yako

Javan ChihimbaPosted on3:03 pm - Dec 1, 2021

Asante sana mtumishi.

JeremiahPosted on11:33 pm - Nov 28, 2021

Asante kwakutu juza haya. Ubarikiwe.

Ohuru MiltonPosted on4:06 pm - Nov 27, 2021

Nimebarikiwa sana na nimeshukuru kwa ujumbe huu. Mola akujalie na akuzidishie neema zake uwe wake na akuongezee imani yako. Mwamini akuongoze. Umekuja kwa mponyaji.{Yesu Kristo}

NICHOLAUS MICHAELPosted on8:47 pm - Nov 25, 2021

AHSANTE KWA UJUMBE MZURII
NAOMBA KUUNGWA KWENYE GROUP
0753331634

AnonymousPosted on6:33 am - Nov 25, 2021

Barikiwa sana

Oliver KashangaPosted on6:57 am - Nov 22, 2021

Naomba zaidi kujuwa kuhusu kitabu cha 1 Wakorintho 15:15 na mambo ya jehanamu na peponi.

AnonymousPosted on11:55 pm - Nov 21, 2021

Mungu wa Israel akuonekanie mwalimu wetu

AmaniPosted on7:48 am - Nov 21, 2021

Mtumishi bwana Yesu asifiwe , waebrania Kuna andiko lisemalo baada ya kifo ni hukumu, kwa Nini wakristo hua tunafanya Misa ya mazishi ilimradi twajua mtu aliekufa tayari Kesha hukumiwa

AnonymousPosted on10:36 pm - Nov 20, 2021

MUNGU WA MBINGUN AWABARIKI

AnonymousPosted on8:32 am - Nov 19, 2021

Napenda sana mafundisho yako
0763518736
Kamanakilagalila36@gmail.com

Emmanuel ThomasPosted on12:30 pm - Nov 18, 2021

God bless you for, i am great to understand the difference between vision and dream.

Baraka RichardPosted on2:51 pm - Nov 16, 2021

Bwana Yesu asifiwe watumishi Nashukuru Kwamasomo manzuri Mungu awabariki Naomba Niunganishwe kwenye Mitandao ya kijamii kama Wathsap ili nisher na wengine.

Heriamani NorbertPosted on1:21 am - Nov 16, 2021

Nimefurahi sana kupata mafundisho haya, nitazidi kujifunza nawe, Mungu ahimidiwe sana

OBEIDPosted on5:49 pm - Nov 14, 2021

UBARIKIWE SANA, NAMTUKUZA MUNGU NA KUMSHUKURU KWAAJIRI YAKO!!

Silla William LivifilePosted on5:56 pm - Nov 13, 2021

Very rewarding teachings.

Friedrich the son of JESUS%Posted on2:05 pm - Nov 13, 2021

Amina mtumishi, BWANA azidi kukutumia kama chombo chake!

Nuru ya UpendoPosted on5:22 pm - Nov 12, 2021

Amen..Bwana akubariki nawe pia🙏

Ellen KagosiPosted on5:03 pm - Nov 12, 2021

I really appreciate you in helping these successful questions is such of evengalism you are doing may God bless you alot

Modester stanslausPosted on7:15 pm - Nov 8, 2021

Ibraim alikuwa na watoto nane

Friedrich a son of JESUS%Posted on5:56 pm - Nov 8, 2021

God bless u!

Fausta ClemencePosted on8:14 pm - Nov 7, 2021

Kwa Kweli mie Nahitaji kujifunza litany hiki Kwa nguvu na kwa moto mpk nikielewe vizuri sana mamba yako plz

Elisha MkumbwaPosted on12:40 pm - Nov 5, 2021

God bless you for the message

#Sammy roy mkambaPosted on3:23 pm - Oct 31, 2021

Tubaki na imani ya bwana 2napoendelea kijitayarisha kumpoke yesu…jina la bwana libarikiwe!

Gaspal M mwakikatuPosted on1:08 pm - Oct 30, 2021

Ujumbe mzuri sana

Enock James MshelelaPosted on12:18 pm - Oct 30, 2021

Ujumbe ni mzuri, hakika ubarikiwe na BWANA

SAMWEL FRANK MWASIPosted on10:25 am - Oct 29, 2021

Nabarikiwa sana na Mafundisho, Mungu AWABARIKI

Friedrich a son of JESUS%Posted on5:09 pm - Oct 28, 2021

Barikiwa sana mtumishi!
kumbe miujiza BWANA aliyoifanya kwangu ni kunifanya nitambue kuwa MUNGU NI KWELI?

Robert Erasto TanzaniaPosted on4:53 pm - Oct 27, 2021

Mungu akubariki sana kwa masomo haya

AnonymousPosted on3:34 pm - Oct 27, 2021

Swali langu ni katika kubatizwa ni lazima mtu abatizwe kwenye maji yanayotembea kama mto.bahari, maziwa au ni eneo la maji mengi??

Marc SALAMA MWANZIPosted on11:56 am - Oct 27, 2021

Hapa mumetumikisha akili za kibinadamu ila roho mutakatifu ndiye anaye funza ubatizo wa kweli. Na ubatizo wa kweli ni kuamini Yesu kristo na babaye aliye mutuma na ule roho musaidizi.

Sir.richardPosted on6:51 pm - Oct 26, 2021

goodthings about God for his people

0991835854Posted on9:13 pm - Oct 25, 2021

ni kweli iyi

Frank IsmailPosted on4:59 pm - Oct 25, 2021

Habari watumishi wa mungu nimebarikiwa na huduma yenu, Nami natamani ,Niwe na pata neno la mungu kwa njia ya email au WhatsApp number +255 748 190 745

Matana levyPosted on4:05 pm - Oct 25, 2021

Ahsante sana

AnonymousPosted on10:47 am - Oct 23, 2021

Mungu atuwezeshe

Nuru ya UpendoPosted on12:20 am - Oct 22, 2021

Amen utukufu kwa Bwana

FREDY SANGANAPosted on4:14 pm - Oct 21, 2021

Nimebarikiwa sana namafundisho mazuri kwakweli yananisaidia kunifungua macho ya rohoni nakuniimarisha katika kumjua Yesu kristo kwa upana zaidi ,Mungu awabariki sana naawazidishie maarifa zaid

DanielPosted on2:05 pm - Oct 21, 2021

Nahomba Msahada, Napendaka Neno La Mungu Lakini Ningaliki Mwenye Dhambi.

Friedrich the son of JESUS%Posted on10:50 pm - Oct 17, 2021

Barikiwa mtumishi!
Kwa somo zuri BWANA azidi kukupatia ufunuo ili mwili wa KRISTO ujengwe! Maran atha!

Mario DonBosco MoshiPosted on10:32 am - Oct 17, 2021

Mahubiri mazuri sana

Andrew MbuahPosted on12:15 am - Oct 17, 2021

Hakika Mungu wetu akubariki sana maana ndugu kwa ujumbe wa wakati huu

Friedrich the son of JESUS%Posted on10:31 pm - Oct 16, 2021

Amina mtumishi!

MagnusPosted on10:37 am - Oct 16, 2021

Naomba mnitumie baadhi ya masomo namba za WhatsApp no 0745197445

UrsulaPosted on6:36 am - Oct 16, 2021

Ashukuliwe Mungu kukufahamisha nayo,yamefanyika msaada kwangu.Mungu akutumie zaodi

Prophet: FP. MisigaloPosted on8:27 am - Oct 15, 2021

ikiwa utapenda kufahamu kuwa urefu juu ya huduma ya Eliya jinsi inavyotenda kazi katika agano jipya, nitumie ujumbe inbox nikutumie somo lake kwa urefu kwasababu hapa hatuwezi kuliandika lote.

NINAOMBA SOMO HILI…

Prophet: FP. MisigaloPosted on8:17 am - Oct 15, 2021

Kwa maelezo marefu juu ya nyakati saba za Kanisa,pia tutumie ujumbe inbox tukutumie somo lake..

Pleasesend.me this…

Friedrich@son of JESUS%Posted on1:04 am - Oct 15, 2021

Amina mtumishi wa BWANA{YESU}
Nimejifunza kitu kikubwa hapo, ndio maana wakati mwingine naweza kujipanga wiki hii nifanye hvi na hvyo, lakini inapita bila mafanikio yeyote!

>>> Jina la MUNGU wetu {YESU} lihimidiwe&kusifiwa milele yote, NA UZIDI KUPOKEA UFUNUO WA ROHO MTAKATIFU SIKUZOTE.
Maran atha!

Baya kahindiPosted on12:18 pm - Oct 14, 2021

Someni bibilia na kufwata sheria zake.

Baya kahindiPosted on11:10 am - Oct 14, 2021

We trust in GOD

ELIYA MBALWAPosted on10:19 am - Oct 13, 2021

Nimependa mafundisho yenu naomba mnilushiage whasap

Eliya mbalwaPosted on10:17 am - Oct 13, 2021

Nimeya penda mafundisho yenu naomba muwe mnanilushia whasap

Friedrich@son ofJESUS%Posted on8:40 am - Oct 12, 2021

Barikiwa sana mtumishi wa BWANA!
Nimetambua kumbe unaweza kusema , nimeokoka; kumbe bado hujayapata MAJI YA UZIMA {ROHO}

Nuru ya UpendoPosted on7:23 pm - Oct 9, 2021

Amen ndugu ubarikiwe kwa kumuishia Yesu.

Pia hatua uliyobakisha kwako ni kubatizwa..

Ubatizo sahihi ni wa muhimu sana kwa kila mkristo.

Kama utapenda kubatizwa ubatizo sahihi unaweza kuwasiliana nasi…tuweze kukisaidia ndugu yetu

AnonymousPosted on3:51 pm - Oct 8, 2021

Mafundisho mazuri sana.Mwenyezi Mungu awabariki

Kaungwa JohnsonPosted on4:35 am - Oct 7, 2021

Nimependa sana masomo yenu. Nami nimetubu na kuishi maisha ya kumpendeza MUNGU kwa kadri ya baraka zake na uwepo wake katika maisha yangu naiona sana. Jambo ambalo umelieleza la kubatizwa kwa maji mengi sijafanya, nimebatizwa toka utoto na naamini moyoni mwangu kuwa nimebatizwa. Je nikosa?

AnonymousPosted on4:54 pm - Oct 6, 2021

amen mafundisho aya yamenisaidia

kizilapaul@gmail.comPosted on4:54 am - Oct 6, 2021

Uli ni neno la kweli n’a mina sumbuwa sana kanisa la Mungu Saidi uko kwenu est Africa.ni muinjilisti Paulo kizilapaul@gmail.com Ku toka mashari ya DRcongo.

AnonymousPosted on11:31 pm - Oct 4, 2021

Barikiwa mtumwa wa kristo!

Friedrich@son of JESUS%Posted on11:29 pm - Oct 4, 2021

Amina mtumishi!
Nuru ya BWANA na izidi kutumlikia; ili tusiwe vipofu tena!

FedrickPosted on4:31 pm - Oct 4, 2021

Je,nini maana ya kufunga? kibiblia

FedrickPosted on4:25 pm - Oct 4, 2021

Nini maana ya “kwakuwa ilipo hazina yako na moyo wako ndipo ulipo”? Kama tunavyosoma katika biblia?

AnonymousPosted on11:10 pm - Oct 3, 2021

Naomba nitafsirie ndo hii kuota unakunywa pombe

Fried-rich@son ofJESUS%Posted on10:46 pm - Oct 3, 2021

Amina mtumishi kama 2nafanya uasherati, uongo, masturbation practice, kutaza x(porn graphic photo&video) n.k. Inatupasa tufumbue macho leo na tuachane nayo kabsa!
Ubarikiwe sana mtumwa wa BWANA!

AnonymousPosted on5:32 pm - Oct 1, 2021

Amen Mungu na akubariki

JOSEPH NYARUSIPosted on9:37 am - Sep 29, 2021

Leave your message

Philis SimiyuPosted on9:38 pm - Sep 28, 2021

Naomba kufafanuliwa ndoto hii,nilichota maji kwenye basin ya kuoga katika harakati ya kubeba yakawa yananimwagikia,huku watu nyuma wananiita nimeacha maji chafu,na hayo maji Safi niliyobeba sikuyaoga bunde tu nikashtuka usingizini.

Yohana sai~ simiyuPosted on7:01 am - Sep 28, 2021

Amen ubarikiwe na . God mtumishi ujumbe mzuri sana.

Yohana saiPosted on6:51 am - Sep 28, 2021

Ahsante ubarikiwe mtumishi wa Mungu nimeziona, nitakupigia. Nabarikiwa sana na Mungu kupitia masomo haya.

Magdalena Binti shahidi🙏Posted on8:28 pm - Sep 27, 2021

Amina Sana, Bwana awabariki mashahidi was Mungu, Kazi yenu njema Sana🙏

Fried-rich@son ofJESUS%Posted on7:58 am - Sep 27, 2021

Amina mtumishi!
Kama tukiwa hatusomi na kulitafakari Neno itakuwa rahisi kupeperushwa na kila upepo wa elimu!

Mungu wetu atuangazie Nuru yake.

Yohana saiPosted on12:14 am - Sep 26, 2021

Mungu akubariki sana mtumshi. Namb yako?

Emmy ShantiwaPosted on8:46 pm - Sep 25, 2021

Nimefurahi jamani. Natamani kukufahamu. Nakupenda Sana. Yesu wa Mbinguni akubariki kwa mafundisho mazuri

EMANUEL DAUDIPosted on7:17 pm - Sep 25, 2021

mtumish mungu azidi kukufunilia ili uendelee kuinua mising ya watu wengi .amna mungu awe pamoja na ww

EMANUEL DAUDPosted on6:25 pm - Sep 25, 2021

asante mtumishi kwa neno lako,kwanzia leo na apa kama mungu wangu aishivyo nitaanza kumtaka yeye wala sio baraka zake bali nguvu kwanza rohoni na mengine yatafuata .

Fried-rich@son ofJESUS%Posted on5:03 pm - Sep 25, 2021

Amina mtumishi! Mungu wetu YESU,KRISTO ndiye anayestahili kuabudiwa yeye pekeake( isaya 9:6)

AnonymousPosted on8:15 am - Sep 25, 2021

Ridhiwani

Mungu hapendi kuachana kweli ,sio akili za kikristo ni Mungu

Fried-rich@son ofJESUS%Posted on8:57 pm - Sep 24, 2021

Amina mtume wa KRISTO, mafundisho ya NENO kama haya ndiyo yatazidi kutufanya tuwe na thamani mbele za BWANA YESU.

NURU yake izidi kutuangazia

Fried-rich@son ofJESUS%Posted on8:38 pm - Sep 24, 2021

Amina

Mtumwa BWANA; nimeinuka kwelii kwa fundisho hili. Hakika ndio maana paulo akesema hv; kol3:16

BWANA AKUBARIKI&KUITUNZA HUDUMA HII SIKUZOTE!

Maiko beddaPosted on3:16 pm - Sep 23, 2021

Mungu awabariki,hakika ni neno la matmaini.

Baraka RichardPosted on4:39 am - Sep 23, 2021

Asante Sana kwamasomo kwakweli yamenifungua nimepata ufahamu wakujua mengi ambayo sikuyajua Mungu awabariki Sana,Niliibiwa simu tangu mwenzi wapili nikawa sio wala kuyapata masomo haya kwakweli nilikuwa nakosa Amani Asante Sana kwamasomo manzuri.

Fried-rich@son ofJESUS%Posted on2:32 pm - Sep 22, 2021

Ahsante mtumishi wa BABA YETU,YESU KRISTO! Mungu azidi kutupa uweza wa kuwa watoto wake kwa kuzidi kumpokea mafundisho yake(NENO LAKE)

YOSHUAPosted on3:04 pm - Sep 21, 2021

Ujumbe mzuri SANA Na mtamu mtu akishindana Na BWANA YESU ATAUMIA .

Fried-rich@son ofJESUS%Posted on10:24 am - Sep 21, 2021

Mtumishi mm nabarikiwa sana na mafundisho haya; lakini roho yangu inaugua sana kwa maana watu hawataki kusoma biblia hasa WAKRISTO lakn pia hata kwenye magroup kama hili hawaingii,mtumishi.

AnonymousPosted on12:59 am - Sep 20, 2021

Hao malaika mnaosema wa kuzimu mimi nimekutananao misikitini na wengine makanisani

AnonymousPosted on12:31 am - Sep 20, 2021

Nimekutana na jini anasoma biblia

Madgalena…Posted on3:56 pm - Sep 19, 2021

Mnapatikana wapi watumishi

Lawi GideonPosted on10:03 pm - Sep 17, 2021

Muendelee kuweka masomo mazuri. Mme furahishwa nayo.

MagdalenaPosted on5:17 pm - Sep 17, 2021

BWANA AIKUZE NA KUIINUA HUDUMA HI YA KUIHUBIRI INJILI

NIKODEMOPosted on3:23 am - Sep 17, 2021

Roho wa BWANA na azidi kutufunulia mafumbo kama haya tangu zaman nilikua nataka kujua KIZAZI sasa nimeelewa kwa upana zaidi Jina la BWANA MUNGU litukuzwe AMIN
BY NIKODEMO. WA TANZANIA, TABORA, NZEGA, ILOMELO :

Ninsiima AlfredPosted on8:07 am - Sep 15, 2021

Napenda mno namna mnavyodhuhirisha masuala enu

RehemaPosted on8:33 am - Sep 13, 2021

Ameen mbarikiwe saana

Friedrich@son ofJESUS%Posted on9:36 am - Sep 12, 2021

Amina mtume wa KRISTO.

Pia ningependa kujua kuhusiana na huu mstari 1thimothy 5:23 “usinywe maji tu, bali tumia mvinyo kidogo kwa ajili ya tumbo…………………….”

Goodluck Beniel MinjaPosted on11:34 pm - Sep 10, 2021

Asante sana kwa NENO; Bwana akubariki na asikupungukie mpendwa Mtimishi wa Bwana!

Jacobo peterPosted on2:53 pm - Sep 10, 2021

Kwani, maono hayo yohana aliyaona kipindi gani? Au nyakati zipi?

AnonymousPosted on12:31 pm - Sep 7, 2021

Nimebalikiwa kweli

Jane IlimoPosted on11:33 am - Sep 7, 2021

Naomba niwe napata masomo ya mafundisho yenu

Goodluck Beniel MinjaPosted on10:42 pm - Sep 6, 2021

Bwana akubariki kwa NENO,nimejifunza vizuri!

Fried-richPosted on7:49 am - Sep 5, 2021

Kwanini YESU alijiita mwana wa mungu ilihali ndiye MUNGU?

Ibrahim gurthPosted on9:24 am - Sep 4, 2021

Nimebarikiwa mtakuwa mnanitumia I

DuncanPosted on4:41 pm - Sep 3, 2021

M’barikiwe sana,kazi mnayoifanya nikubwa sana kupita maelezo,kwahakika mbarikiwe sana.

YUSUPH VENANCEPosted on5:37 am - Sep 3, 2021

E MUNGU NISAIDIE NIELEWE ZAIDI

Idi Myombwe mambaPosted on2:32 pm - Sep 2, 2021

Nimelipenda sana hili somo.

AnonymousPosted on12:08 pm - Sep 2, 2021

kanisa katoliki ndilo lilkua la kwanza

      LuchoPosted on3:07 pm - Jul 23, 2024

      PARHAM, CHARLES FOX (1873-1929)
      Charles Fox Parham, ambaye alizaliwa huko Muscatine, Iowa, mnamo Juni 4, 1873, anachukuliwa kuwa mwanzilishi na baba wa mafundisho ya harakati ya kipentekoste duniani kote. Akiwa kijana mgonjwa, Parham hata hivyo alijiandikisha katika Chuo cha Southwest Kansas katika 1890, ambako alipendezwa na huduma ya Kikristo. Baada ya kupokea mwito wa kuhubiri, aliacha chuo kabla ya kuhitimu, na mwaka wa 1893 alikubali uchungaji wa kanisa la Methodist huko Linwood, Kansas.

      Huko Linwood, Parham punde si punde alijihusisha na vuguvugu la utakatifu, ambalo lilikuwa likienea katika duru za Kimethodisti wakati huo. Harakati hii ilisisitiza utakaso wa baraka ya pili ya papo hapo kama ilivyofundishwa na John Wesley. Ilikuwa ni katika Nyanda ambapo vipengele vikali zaidi vya harakati ya utakatifu viliota mizizi. Kufikia 1895, mabishano juu ya baraka ya pili yalipogawanya kanisa, Parham aliingizwa sana katika teolojia ya utakatifu hivi kwamba aliacha Kanisa la Methodisti kufuata kazi kama mwinjilisti na mwalimu wa utakatifu anayejitegemea. Upesi alianza kusisitiza mafundisho mapya zaidi, kama vile uponyaji wa kimungu na ujio wa pili wa Kristo mara moja kabla ya milenia. Kwa maisha yake yote, pia alikataa aina yoyote ya shirika la kanisa.

      Mnamo 1898 Parham alifungua “Shule ya Biblia ya Betheli” yake mwenyewe na nyumba ya uponyaji huko Topeka, Kansas, ambapo mnamo 1899 alianza kuchapisha jarida lililoitwa Imani ya Kitume . Ilikuwa katika shule hii ambapo Parham na wanafunzi wake walisoma mafundisho tofauti ya harakati ya utakatifu yanayohusiana na “ubatizo katika Roho Mtakatifu” unaoelezewa katika Matendo 2:4. Kupitia makubaliano ya wanafunzi, kwa msaada fulani kutoka Parham, baraza la wanafunzi lilikata kauli kwamba kunena kwa lugha (glossolalia) kulikuwa “ushahidi wa Biblia” wa tukio kama hilo.

      Mnamo Januari 1, 1901, mwanafunzi katika shule hiyo, Agnes Ozman, alizungumza kwa lugha, akiivutia shule na eneo la Topeka kupitia hadithi za kusisimua katika magazeti ya huko. Fundisho la Parham kwamba kunena kwa lugha lilikuwa ni “ushahidi wa Biblia” wa lazima wa ubatizo katika Roho Mtakatifu lilijulikana kama “mguso unaosikika duniani kote” ambao, kulingana na J. Roswell Flower wa Assemblies of God, “ulifanya Pentekoste ya Karne ya Ishirini kuwa ya Kipentekoste. Harakati.” Parham pia alianza kufundisha kwamba glossolalia pia ilijumuisha zenolalia (yaani, “lugha za kimishenari”), ambapo wamisionari wangeweza kwenda kwenye pembe za dunia na kuhubiri kimiujiza katika lugha zinazojulikana za wanadamu ambazo hawakujifunza. Kwa muda mfupi, Wapentekoste wote isipokuwa Parham waliacha imani hii kutokana na jitihada zisizofanikiwa za kuhubiri kwa lugha zisizojulikana nchini India na maeneo mengine.

      Kufikia 1906 vuguvugu la kipentekoste lilikuwa limeenea hadi Los Angeles kupitia mhubiri mweusi, William Joseph Seymour, ambaye alijifunza teolojia ya kipentekoste kama mwanafunzi wa Parham katika shule nyingine ya Biblia huko Houston, Texas. Kutoka kwa Misheni ya Mtaa wa Azusa iliyoongozwa na Seymour, harakati ya kipentekoste ilienea kwa kasi duniani kote.

      Mnamo Oktoba 1906 Parham alitembelea Mtaa wa Azusa na kushutumu mikutano ya Los Angeles kuwa inatawaliwa na “wapiga roller watakatifu na walala hoi” ambao walikuwa na “vituko vya mikutano ya kambi nyeusi.” Hapo alifukuzwa kutoka Mtaa wa Azusa na Seymour na wazee wake. Kwa maisha yake yote, Parham alimshutumu mwanafunzi wake wa zamani na uamsho wa Mtaa wa Azusa kama “nguvu za kiroho zilizini.” Mnamo 1907 Parham alishtakiwa kwa kulawiti huko San Antonio wakati wa kampeni ya uponyaji ya ndani. Ingawa aliachiliwa kutoka kwa shtaka hilo, ushawishi wake kama kiongozi mkuu katika vuguvugu la kipentekoste ulikwisha. Katika miongo miwili ya mwisho ya maisha yake, Parham alistaafu nyumbani kwake Baxter Springs, Kansas, ambapo maelfu kadhaa ya wafuasi wake walihudhuria mikutano yake ya kila mwaka ya kambi hadi kifo chake Januari 29, 1929. Amezikwa huko Baxter Springs.

      Karne moja baada ya vuguvugu la Parham kuanza huko Topeka, Wapentekoste walikuwa wamekua na kuwa familia ya pili kwa ukubwa ya Wakristo, ikiwa na zaidi ya washiriki milioni 500 katika makanisa ya kipentekoste na charismatic na harakati zilizoenea kutoka Topeka hadi karibu kila taifa la ulimwengu. Madhehebu makubwa ya Kiamerika yaliyotolewa na vuguvugu la kipentekoste ni pamoja na Assemblies of God, Church of God in Christ, Pentecostal Holiness Church, Church of God (Cleveland, Tennessee), United Pentecostal Church, na Pentekoste Church of God.

Nuru ya UpendoPosted on2:09 pm - Aug 30, 2021

Amen..utukufu kwa Bwana.

Tayari nimeshakuunga!

ChedielPosted on1:50 pm - Aug 30, 2021

Asanteni tunanarikiwa kwa masomo yenu
Barikiweni

PaulPosted on11:18 pm - Aug 29, 2021

wakristo watakaokufa baada ya kukataa kuipokea chapa ya mnyama katika dhiki kuu watairithi mbingu mpya na nchi mpya yaani kuwa na uzima wa milele

Cleven NassaryPosted on7:09 pm - Aug 29, 2021

Bwana Yesu asifiwe watumishi wa Bwana, Mungu azidi kuwabariki kwa mafundisho mnayoyatoa kupitia blog hii kwa kiasi kikubwa yananijenga na kuzidi kuniimarisha.Ninaomba mniunge kwenye group la whatsapp ili nijifunze zaidi namba yangu ni 0713 988009

grasiano mlelwaPosted on7:21 pm - Aug 28, 2021

Naomba kutumiwa masomo zaidi…

JAFARIPosted on10:29 am - Aug 28, 2021

wakristo watakaopitia dhiki kuu wataurithi ufalme wa milele

AnonymousPosted on11:04 pm - Aug 27, 2021

uongo huu sinagogi sio kanisa weka andio liseme kanisa sio wewe

Jacqueline MnangoPosted on9:34 pm - Aug 27, 2021

Nimebarikiwa

Friedrich son of JESUS%Posted on1:42 pm - Aug 25, 2021

Kweli mtumishi kama huu ni mpango wa shetani basi wanadamu tumeisha,make hadi huwa wanasema BWANA amewaita,watumike.

Nuru mfakoPosted on10:22 am - Aug 22, 2021

Mungu aendelee kuwatia nguvu wana wingu la mashahidi,kwa kazi kubwa ya Mungu mnayoifanya.

Linus NyangiPosted on10:04 pm - Aug 20, 2021

Mungu azidi kuwabariki Sana kwa kazi nzuri mnayofanya Watumishi wa Mungu hasa hii inayomhusu Mungu na watu wake asanteni sana

Jerico mwanisawaPosted on4:13 pm - Aug 20, 2021

Mimi afya yangu unasumbuliwa na magonjwa Mara KWA Mara nahitaji MSAADA wa Mambo.

YusuphPosted on6:40 pm - Aug 19, 2021

AISE UJUMBE UMENIINGIA HASWAAA!

Silas mamatiPosted on11:03 am - Aug 17, 2021

Leave your message mrng.mimi silas mamati naomba unisaidie kwa my mamu ako naiyo shida ya majini

Dynes DanielPosted on10:48 pm - Aug 16, 2021

Sijaelewa kuhusu SDA kwani imetoka wapi

Nestory J. KimilaPosted on10:43 am - Aug 14, 2021

Hii nimeipenda. Napenda mafundisho.
Kama nitakuwa nayapata, nitaendelea zaidi kukua kiroho

YusuphPosted on9:12 pm - Aug 13, 2021

e Mungu wangu, mi napenda kuonea mbwa na paka nimrushe jiwe hata 1 ndo nalzka, ila leo dah nimekoma.

FrancisPosted on7:12 am - Aug 13, 2021

Barikiwa sana na Bwana

JOSEPH CHAROPosted on2:53 pm - Aug 12, 2021

kwa hakika nimebarikiwa sana kwenye ujumbe huu,na ninatumai pia kuwaunganisha wengine katika mafunzo haya kutoka kwa wingu la mashahidi,mubarikiwe sana.

Zieons bankurunazePosted on1:35 pm - Aug 12, 2021

Nashukuru kwa maelezo nimeelewa kabla ya fafanuzi nilikuwa na hofia kwamba ndo alama/chapa

Gody magembe samwelPosted on10:06 pm - Aug 11, 2021

Hellooo

Kifaru MalalePosted on10:30 pm - Aug 9, 2021

asante mtumish wa Mungu kwa mafunuo aya, Mungu akubariki

Kifaru MalalePosted on7:24 am - Aug 9, 2021

amina mtumishi wa Mungu, asante kwa mafunuo haya ya kuhusu kiti cha enzi cha Mungu pamoja na jinsi shetani anavyojitahid kuiga vya Mingu

Nuru ya UpendoPosted on9:05 pm - Aug 8, 2021

Vyema unaweza kutuandikia namba zako za simu hapa.

Kifaru MalalePosted on11:25 pm - Aug 7, 2021

unalisema ukweli, yani madhehebu ,mengi siku izi. kipimo cha kuonesha kukubalika na Mungu ni mafanikio yako kidunia, Mungu akubaliki kwa maziwa haya yasiogoshiwa

Kifaru MalalePosted on8:52 pm - Aug 7, 2021

amina mtumishi, bado naufungua ufahamu wangu kwa kunywa maziwa yasiogoshiwa

YempaPosted on5:43 pm - Aug 7, 2021

Bwana Yesu asifiwe, nimevutiwa n’a mafundisho haya, Mungu awabariki
Kwa jiyo nawaombebi ikiwapendeza Lila mnapo kuwa na Romeo nitimieni kwenye box yangu ya mail

Anod msalegePosted on8:18 pm - Aug 6, 2021

Asante xanaaaa ningependa huendeleee kunifundisha

Yusuph VenancePosted on3:14 pm - Aug 6, 2021

kwa kweli napokea mabadiliko ya rohoni kila nisomapo haya mafundisho. MUNGU AZIDI KUWATUMIA KTK MEMA YOTE

Kifaru MalalePosted on11:00 am - Aug 6, 2021

Ktk mambo ambayo yule mwanamke yezebeli amekuwa akiwafundisha watu mambo ya machukizo mbele za Mungu ,mfano sala za wafu , kusali rozali , nk nk , sehem ambayo sijaelewa ni IBADA ZA MIUNGU MITATU ……..hiki ni kitu gani ?Je ni Ile YA MUNGU MWANA MUNGU BABA ,NA MUNGU ROHO MTAKATIFU ?kama kuna jingine basi nikijue, na kama ndio hii ?mbona hata biblia tunayosoma imeandikwa haya !?hasa ktk injili ilohubiriwa na Mtume Paulo ?maelezo kidogo jaman hapa

Kifaru MalalePosted on10:17 am - Aug 6, 2021

Tupo pamoja mtumishi, naelewa sana somo hili Kwa lugha rahis

Kifaru MalalePosted on11:58 pm - Aug 5, 2021

ubarikiwe mtumishi wa Mungu

Kifaru MalalePosted on11:47 pm - Aug 5, 2021

Mungu akubariki Mtumishi wa mungu…..

Kifaru MalalePosted on11:34 pm - Aug 5, 2021

barikiwa sana myumishi, lugha rahis na imeeleweka,….

Friedrich son of JESUSPosted on4:29 pm - Aug 5, 2021

Leave your message Mpendwa biblia inaposema “yohana1.1-2”
hapo mwanzo kulikuwako neno naye neno alikuwa mungu,huyo mwanzo aliwako kwa mungu…swali! Kuna uhusiano gani kati ya “neno” “mwanzo” na “mungu”?

Zieon BankurunazePosted on2:24 pm - Aug 2, 2021

Huduma hii (wingu la mashahidi wa Kristo)
Kwangu ni jibu litokalo kwa Mungu,
Maana niombi langu kwa muda mlefu
Kutaka kumjua Mungu kwa kina.
Nafikili kupitia huduma hiyo
Mungu atanifikisha kwa kadiri atakavyo wajalia…
Namba yangu
0764-20,290/0672-278,690

RidhiwaniPosted on12:44 pm - Aug 2, 2021

Nani amekudanganya Mungu hapendi kuachana kwa namna yeyote ile akili za wakristo zinayumba vibaya mno.

Mangu kija ndumilaPosted on9:11 am - Aug 2, 2021

Ahsante kwa ujumbe mhimu

Zioens bankurunazePosted on3:05 pm - Jul 31, 2021

Huduma hii inanifanya nimjue mungu naye mtumikia,
Nashukuru mbarikiwe nanyi.

Zieons bankurunazePosted on1:22 pm - Jul 31, 2021

Naomba kuwa mwanafuzi wakristo

Nuru ya UpendoPosted on10:36 am - Jul 31, 2021

Tayari ndugu ubarikiwe

Kissa Adam MwailupePosted on4:09 pm - Jul 30, 2021

Shalom!
Hakika kazi yenu si bure, inainua misingi ya vizazi vingi. Mungu awabariki.

Nabarikiwa sana na masomo mnayopost. Naomba maombi yenu tafadhali kwa jinsi Roho wa Mungu atakavyowaongoza. Ninachangamoto sana kuanzia familia na nyumba yote ya baba yangu.

Mungu awabariki sana.

PRAY DAVIDPosted on12:04 pm - Jul 30, 2021

SWALI maana ya ndoto ya mto unapitisha maji machafu nini

ELIBARIKI NELSON SHUKIAPosted on9:57 am - Jul 30, 2021

Naomba kutumiwa somo hili la dhiki kuu

0755680520.

Hongereni kwa somo zuri na lenye baraka

Evance peterPosted on7:23 pm - Jul 29, 2021

Naitwa katekista evance nipo arusha. Barikiwa sana mungu akutie nguvu kwa mafundisho mazuri amina

David A KilusuPosted on3:21 pm - Jul 29, 2021

Katika aya pili kutoka mwisho umeuliza, “bado unaupenda ulimwengu unaokwenda kuisha, unaendelea kuwa mwasherati, mlevi,mwongo,mwizi, una majivuno,mlafi,kusengenya, kuvaa vimini, mawigi na mahereni, na kupaka wanja, lipstick, na fashion?”, je, kuvaa vimini, mawigi na mahereni, na kupaka wanja, lipstick, na fashion ni dhambi? Kivipi?

RehemaPosted on9:41 pm - Jul 24, 2021

Watumishi wa mungu bwana Yesu hazidi kuwabariki sana, hakika mumenifungua macho ya roho,pia mimi nazidi kuwaombea kutoka apa Uganda.

Noel MatonyaPosted on6:51 pm - Jul 21, 2021

Asante kwa ujumbe mzuri sana, Mungu awabariki

Cecil MapundaPosted on5:58 pm - Jul 20, 2021

Napenda kujifunza neno la Mungu.

StellaPosted on3:22 pm - Jul 20, 2021

Naomba kuwafuatilia na kujifunza zaidi neno la Mungu kupitia ukurasa wenu.
Asante

Tito mollaPosted on10:51 pm - Jul 18, 2021

Barikiwa Sana mungu azidi kukuongoza

Tito mollaPosted on10:50 pm - Jul 18, 2021

Barikiwa Sana mungu azidi kukuongoza

RehemaPosted on4:31 pm - Jul 18, 2021

Nawasalimu kwa jina la Yesu,naomba kujua Yesu ni mungu? au ni mwana wa mungu?.

JosephPosted on6:16 pm - Jul 17, 2021

Bwana yesu asifiwe,naomba kujua yesu ni mungu? au mwana wa mungu?

JosephPosted on3:28 pm - Jul 17, 2021

Kama Yesu ni mungu kwanini aitwe mwana wa mungu?.Naomba kujua.

AnnaPosted on3:26 pm - Jul 15, 2021

Asante sana
Barikiwa

Theodora BingaPosted on7:52 pm - Jul 14, 2021

MUNGU awabariki kwa KAZI njemaaa

Boniphace OremaPosted on5:24 pm - Jul 13, 2021

Hamjambo,ninaomba mnipe mandiko yanayozungumzia mada zifuatazo;
(1)tutaenda mbinguni
(2)tutatawala na mwokozi mbinguni miaka 7
(3)mwokozi atakuja mara ya pili juu mawinguni na kuchukua wateule wake waende mbinguni
(4)mwokozi atakuja mara ya tatu kutawala na wateule duniani
nitashukuru mtakapokuwa mnashughulikia hizo mada asanteni

    Josephat Elias MarwaPosted on3:22 pm - Aug 2, 2022

    Sasa wewe unaomba au unataka uthibisho? Maana Kuna tofauti kati ya anayeomba kitu! Na anayetaka uthibisho wa kitu! Kwa kifupi tunashindwa kuelewa unataka kujifunza au ni vipi

AnnaPosted on12:25 pm - Jul 13, 2021

Mungu wa Mbinguni, Bwana wetu Yesu Kristo akubariki sana mnoooo!
Nimejengwa, nimeelimishwa na nimebarikiwa mno na masomo haya!
Hakika kazi yako ni njema sana

Christina NgwadaPosted on1:23 am - Jul 13, 2021

Asante nimejifunza sana ,mbarikiwe!

BonifacePosted on9:16 pm - Jul 12, 2021

ndg jiepushe sana kutoa tafsiri ya neno la Mungu kwa yale usiyofahamu. unapotosha

ALOYCE SILWELAPosted on11:18 pm - Jul 11, 2021

Kuhusu kutooa kwa Paulo kabla akiitwa sauli tusidanganyane kwamba hakuwahi kuoa hivi kweli kuna maandiko yanayothibitisha madai hayo?

AnonymousPosted on2:20 pm - Jul 10, 2021

Ubarikiwe ndugu .

Martin Rudovick GahuliPosted on11:25 am - Jul 10, 2021

Naomba mfululizo wa uchambuzi wa vitabu vyote 17 kama ulivyoelezea.Namba yangu ya WhatsApp ni 0759608972

Kelvin NgunguluPosted on7:18 am - Jul 10, 2021

Naomba mwe mnanitumia ujumbe Mara kwa Mara kwa njia ya E mail

Nelson bujenjaPosted on1:56 pm - Jul 8, 2021

Amen nmebarikiwa sana

Alex Angore MuranjaPosted on1:56 am - Jul 7, 2021

Hello Mtumishi wa Mungu,natumai hujambo.Asante kwa fundisho zuri hilo,hata hivyo mimi kunazo mara mbili tofauti nimeshawahi kuota ndoto nikiwa niko juu kabisa nikipaa na nikiwa mwenye furaha na huku chini nikiona kundi kubwa la watu likinitazama kwa mshangao halafu narudi taratibu hadi chini.Wanaponiuliza nawezaje kufanya hivyo, huwajibu ni rahisi sana na mara huruka tena kwa kuwaonyesha vile ni jambo tu rahisi.Je hii inamaanisha nini?siku hizi sioti tena hiyo ndoto.

Javan ChihimbaPosted on8:19 pm - Jul 6, 2021

Amen Amen.

AnonymousPosted on1:31 pm - Jul 1, 2021

Asantee, kiujumla nimebarikiwa sana na blog hii, Mungu awabariki sana kwa mafundisho haya🙏🏻

AnonymousPosted on8:29 pm - Jun 30, 2021

Yaani Mungu akubariki sana sana kwa maarifa haya ya Neno la Mungu, kwa kufungua mafumbo haya makubwa

Jackson ChikaoPosted on8:41 pm - Jun 28, 2021

Shalomu Kiongozi

Nimependezwa na mafundisho kwa kweli maana najifunza vyema neno la Mungu ili niweze mshinda shetani zaidi kwani hata Yesu alipokuwa akijaribiwa alimshinda shetani kwa maandiko matakatifu naomba kujifunza zaidi

Christian MgombeziPosted on6:17 pm - Jun 28, 2021

Nini maana ya ndoto uliyoota unaokota hela za noti elfu tano tano mbili Mara tatu

MGOWOLE, SimonPosted on7:44 pm - Jun 27, 2021

Thank you so much MUNGU awabariki

Deograsius Fungama, 0765181084Posted on6:59 pm - Jun 26, 2021

SOMO zuri sana

JANKEN mwansasu MJWANGAPosted on2:01 pm - Jun 25, 2021

Shalom shalom! Mungu akubariki kwa masomo mazuri nafarijika pamoja na kuelimika.

Ezra TossiPosted on7:08 am - Jun 25, 2021

Asant sana kwa kupata tovuti hii itanifundisha kila kitu

Christina MartniPosted on8:46 am - Jun 24, 2021

Asante kwa maneno mazuri naamini kwamba Mungu aliyetupenda upeo atatusaidia nasi tukiwa tayari amina

McDaniel SaruniPosted on9:47 pm - Jun 22, 2021

Nimebarikiwa na jumpe zako mtumishi, Mungu akubariki sana

Peter njeluPosted on5:24 pm - Jun 22, 2021

Amina mbalikiwe

Nuru mfakoPosted on7:07 pm - Jun 20, 2021

Ahsante kwa mafundisho mazuri,yananijenga saana.

AnonymousPosted on9:47 pm - Jun 18, 2021

God bless you mtu wa Mungu

Godlisten Lucas JohanesPosted on3:44 pm - Jun 15, 2021

Nimebarikiwa na Neno la Mungu

Reuben Onchonga NdemoPosted on10:49 pm - Jun 14, 2021

Tafadhali naomba kufahamu saidi kuhusu, matatizo yanayokumba ndoa na suluhizo

Joseph NyangiraPosted on6:05 pm - Jun 12, 2021

Naomba mniunge kwenye grup la watsapp no 0622659629

Joseph NyangiraPosted on5:57 pm - Jun 12, 2021

Nashukuru kwa kua nimepata kuongeza maarifa yangu kuhusu NENO LA MUNGU.

JOSHUA MUINDI JUMAPosted on9:50 pm - Jun 11, 2021

Need to be receiving messages

Paul Adam’sPosted on11:17 am - Jun 10, 2021

Mungu akubariki mtumishi wa Mungu

FindaPosted on10:47 pm - Jun 9, 2021

Asante sana mtumishi, ila kwa zaidI ya mara tatu sasa nikiamka asubuhi nasikia tumbo likinguruma. Kunguruma kwa tumbo hakunisumbui ila sauti inayotoka ndio inanitia wasiwasi, maana ni sauti ya njiwa (in HD form) maana yake ni nini?

Gershom L. NicodemPosted on10:47 am - Jun 8, 2021

Eeee namshukuru Mungu wangu kwa kunifahamisha haya, nataka kusema Mungu akubariki sana mtumishi kwa maneno yako mazuri!

AnonymousPosted on2:52 am - Jun 7, 2021

Leave your message OK nimeelewa

AnonymousPosted on9:11 am - Jun 6, 2021

Very nice site. Itanidaidia kuisoma bible…MUNGU ANISAIDIE

Glorry JosephPosted on5:59 am - Jun 5, 2021

Amen nimejifunza sana kuhusu kufunga ubarkiwe mtumish

Albert kizaPosted on2:21 am - Jun 4, 2021

Nimebarikiwa na mafundisho yenu

a melodyPosted on12:23 am - Jun 2, 2021

naomb nifaham maana ya jina amos

AnonymousPosted on7:31 am - Jun 1, 2021

Wakati wa uumbaji malaika hawakuhusika, Baba, mwana na roho

    AbdallahPosted on2:53 pm - May 8, 2024

    Shida nyingine hii Pia..
    Kwa imani yetu ya Kiislamu, Mungu pekee ndie aliekuwepo, aliepo na atakaekuwepo. Na hatuna Mungu aliegawika vipande, ametakasika na Kila Sifa ya Udhaifu, nae ni Mwenye Nguvu na hekima..

Linus MartinePosted on7:01 am - Jun 1, 2021

Bwana yesu asifiwe mtumishi pale ninapo hitaji kuvipata vitabu ninavipata kwa njia gani?

NicholausPosted on11:16 am - May 30, 2021

Ubarikiwe somo zuri

Elvis onchokePosted on8:57 am - May 30, 2021

I want to join freemason plz help me0759893142

Gibson msuvaPosted on3:06 pm - May 29, 2021

Hisia… Feeling ni msukumo unaotoka ndan juu ya jamb Fulani.. waweza kuwa mzur au mbaya….

Erick Nyanda LugayilaPosted on10:05 am - May 29, 2021

Nitafurahi kupokea masomo na mafunzo hayo.
0767637346 whatsapp

Jasmini ChisinjilaPosted on8:33 am - May 29, 2021

thank you

AnonymousPosted on11:03 am - May 28, 2021

Naomba nitumie mafundisho zaidii kwenye email yangu

AnonymousPosted on6:52 am - May 25, 2021

be blessed father infinitly

ElikanaPosted on9:50 am - May 24, 2021

Nimefurahi sana kuupata ukweli huu.
Mungu awabariki sana.

AnonymousPosted on8:50 pm - May 23, 2021

Penda sana ufafanuzi wako

Joes mikePosted on10:21 am - May 23, 2021

Nimefurahi sana kuona mafundisho yenu tafadhali niunge kwenye whatsap group yenu

Bigstone ilungaPosted on8:55 am - May 22, 2021

Leave your message. Mungu na akubariki sana tena sana kwa maneno haya yenye kujaa upako wa kiroho. Nimefarijika kiroho na kujengeka na ninatamani sana kupokekea mafundisho mengi zaidi kutoka kwenu. Asante.

zedius siamePosted on5:51 pm - May 21, 2021

maana zake

Rafael MnozyaPosted on2:07 pm - May 20, 2021

Naomba somo la nyakati Saba za kanisa. Na uhusiano wake kwa kanisa la Leo. Ubarikiwe

EstherPosted on4:24 am - May 20, 2021

Mafundisho mazuri sana
Nimebarikiwa

Charles Tiko MchaloPosted on9:34 pm - May 19, 2021

Napenda sana mafundisho yenu

AnonymousPosted on7:26 pm - May 19, 2021

❤️❤️ this

Cate NaamanPosted on8:22 am - May 19, 2021

Nimebarikiwa mno

TitoPosted on8:02 am - May 18, 2021

Je mathayo12:31 anazungumzia kuhusu kumkufuru roho mtakatifu hautasamehewa ni kivipi roho mtakatifu tunamkufuru?

marcos benjamim joãoPosted on4:12 pm - May 14, 2021

nataka kwingya

    Nuru ya UpendoPosted on12:19 pm - May 18, 2021

    Wote wanaomtamani shetani(Na kutamani kujiunga katika vikundi vyake kama freemasons na vinginevyo) kama wakifa bila kutubu watateketezwa katika lile ziwa la moto, siku ile ya mwisho, huko kuna mateso mateso mchana na usiku, na wala moto wa huko hauzimiki na wala hakuna toba!!!

Dominic SumaryPosted on3:32 pm - May 10, 2021

Ni Baraka sana kushirki sala za maandiko matakatifu kuhusu uponyaji. BWANA akubariki

AnonymousPosted on11:36 am - May 10, 2021

Jini urudisha aje?

Benson mlayPosted on12:29 am - May 9, 2021

0672802347
Naombeni mniunge whatap

Nesphory massawePosted on7:03 pm - May 8, 2021

Mungu akubariki sana mtumishi naomba masomo mengine

Neaphory masawePosted on7:01 pm - May 8, 2021

Nimebarikiwa sana na somo hili naomba maaomo mengine masawen2015@gmailcom au wasap 0657101150

George kalamaPosted on4:00 pm - May 7, 2021

Mimi najaribu kuweza kufanya lolote q

alex chalesPosted on9:30 pm - May 6, 2021

MAY THE LORD JESUS BLESS YOUR JOB…. ABSOLUTELY IM TOUCHED WITH YOUR KIDLY MSG

    Nuru ya UpendoPosted on10:02 pm - May 6, 2021

    Amen nawe pia ubarikiwe!

    JaphetPosted on10:16 pm - Mar 20, 2024

    Mmmm!! Tafakari vizuri, mtawanyiko wa wayahudi kipindi cha utawala wa Rumi hakuna ahadi ya kurudi tena. Ninachojua Israel ilikuwa kimvuli cha kanisa lilizaliwa baada ya Yesu kufufuka. Baada ya hapo Israeli kama taifa la Mungu hakuna. Badala yake kuna KANISA LA MUNGU Yaani wale wote wanaomwamini kristo, wakiwemo na wayahudi wenyewe.

Watson MwakalilaPosted on1:33 am - May 6, 2021

Naomba nipate mafundisho yenu

    Nuru ya UpendoPosted on10:56 am - May 6, 2021

    Kama unayahitaji kwa njia ya Whatsapp, unaweza kututumia ujumbe kwa namba zetu hapo juu, au ukaziandika namba zako za whatsapp hapa!.

    Bwana akubarikki

Ben JaphetPosted on12:06 am - May 4, 2021

Hakika nabarikiwa kwangu mafundisho haya ni makubwa na makuu sijui ningeyapata wapi bila nyinyi kuwepo Mungu azidi kuwa nanyi siku zote za uhai wenu,Nami ni Ben Japhet wa dar es salaam tabata

Yustina J. KagitoPosted on12:38 pm - May 3, 2021

Asante sana ujumbe huu nimeupata kwa muda sahihi kabisa.
Mbarikiwa kiwe sana.

Amosi DaudiPosted on7:49 am - May 2, 2021

Nini maana ya jina amosi

Andrew edwinPosted on11:29 pm - May 1, 2021

Mafundisho yako ni mazuri mnoo.Barikiwe sana

Ayubu yohanaPosted on12:33 am - Apr 30, 2021

Naomba kuunganishwa kwenye magroup yenu ya WhatsApp..0763230028

AnonymousPosted on5:16 pm - Apr 28, 2021

Wingu la mashahidi ni nani???

AnonymousPosted on12:56 pm - Apr 27, 2021

mbona hujafafanua namba 8

AnonymousPosted on10:20 am - Apr 27, 2021

Amina kwa somo tamu.

Kuna swali limekuja, sasa ikiwa Uhai wa Adamu ulianza pale tu Mungu alipompulizia Roho yake ndipo akawa, inamaana nasi pia uhai huo tunao, kwa nini tuahidiwe kupewa Roho tena ?

    Nuru ya UpendoPosted on4:54 pm - Apr 27, 2021

    Shalom.

    Mwanzo 2:7
    [7]BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.

    Hapo inasema akampulizia pumzi ya uhai..na si akampulizia Roho yake.

    Ahadi ya Roho Mtakatifu ni muhimu kwetu wote. (Mayendo 2:37-38)

    Bwana akubariki

JosephPosted on8:58 pm - Apr 26, 2021

Barikiwa sana mtumishi naomba uniunge kwenye WhatsApp

Peter chalawePosted on10:21 am - Apr 26, 2021

My WhatsApp does not respond

Kasuka NdugulilePosted on1:37 pm - Apr 25, 2021

Mtumishi dhana yako ya jinsi ya kuwasiliana na Mungu ni sahihi ila andiko ulilotumia siyo sahihi. Huo wito wa kupeleka HOJA ZENYE NGUVU HAUKUWA KWA WANADAMU BALI KWA MIUNGU ILIYOKUWA IKIABUDIWA. Ni Mungu anaiambia miungu iliyotengenezwa na wanadamu. Bahati mbaya kiswahili hakikujieleza vizuri kwenye huo mstari ulioutumia lakini ukisoma kushuka chini utakipata hiki ninachokisema.
Ila kingereza kimekuwa wazi zaidi
Isaiah 41:21
[21][You idols made by men’s hands, prove your divinity!] Produce your cause [set forth your case], says the Lord. Bring forth your strong proofs, says the King of Jacob.
Neno limesema, “You idiols”, je sisi ni idols? Hapana. Kwahiyo hili neno haliwahusu watu bali miungu ambayo Mungu wetu aliitaka ijioneshe kama inaweza kushindana naye. Mistari iliyoendelea hata ya biblia ya Kiswahili imezidi kutanabaisha hili. Ni vizuri kulisoma neno la Mungu kwa upana zaidi lakini ukitumia mstari mmoja pekee unaweza ukakupa maana ambayo siyo sahihi.

    Nuru ya UpendoPosted on6:06 pm - Apr 26, 2021

    Shalom…

    Sifahamu ni version ipi ya kiingereza umetumia…lakini pia nakushauri usitegemee version moja kuthibitisha Neno lako…ukitumia msingi huo linganisha version zaidi ya 10 kisha angalia majority inatafsiri vipi..ndipo uhitumishe kuwa hii ni sahihi au sio sahihi..nilidhani ulitumia version ya KJV ambayo ndio kidogo ipo widely accepted lakini bado inakubaliana na kiswahili chetu. Na nyingi zao ndio zilivyo

    Kwamsaada fungua hii link utazame bible kadhaa za kiingereza then uamue tafsiri ipi inasema ukweli kuhusiana na hilo andiko..

    https://biblehub.com/isaiah/41-21.htm

    Naamini mwishoni utakubaliana na mimi .Bwana akubariki.

Suzy ephurahim kihumbuPosted on3:23 pm - Apr 24, 2021

Asanteni kea ujumbe

Samuel ndegwaPosted on11:36 am - Apr 24, 2021

I won’t twe join because I need money

Eliphaz w wafulaPosted on4:19 pm - Apr 22, 2021

Leave your message Nawashukuru sana kwa mafundisho mazuri yamenijenga kiroho

Jackson samkaPosted on11:59 am - Apr 21, 2021

Naomba niwe natumiwa mafundisho Kama aya mtumishi wa Mungu WhatsApp yangu 0763201757

AnonymousPosted on11:58 am - Apr 21, 2021

Naomba niwe natumiwa mafundisho Kama aya mtumishi wa Mungu WhatsApp yangu 0763201757

Peter BennyPosted on8:40 am - Apr 21, 2021

Naomba kuwa natumiwa masomo zaidi kwa njia ya email au hata ikiwezekana kwa njia ya what’s App kwa namba hii +255629836929 naamini ntazidi kujengwa KIROHO

Peter BennyPosted on8:37 am - Apr 21, 2021

Napendezwa sana na haya masomo na yananibariki na kunipa ufaham mkubwa zaidi juu ya mambo ya ufalme wa MUNGU

MussaPosted on9:28 pm - Apr 19, 2021

Sakrament kwanin loma zipo saba wakat NEW APOSTOLIC CHARCH ZIPO 3

SelinaPosted on10:37 am - Apr 19, 2021

Asante san Kwa ujumb maan naotaga napaa

OSCAR MAINA SIFUNAPosted on11:32 pm - Apr 17, 2021

Ni lazima tu ni join eluminati ju sina pesa ninaona ka sina pesa ni vigumu kuwa duniani oky please i want to join na nitamwabudu lucifa na nitapokea mali yake i need a car aina ya veight by

Dismas kiprotich limoPosted on8:19 pm - Apr 13, 2021

Hello

Yohana martinPosted on7:39 pm - Apr 13, 2021

Naomba mnitumie masomo

ElishaPosted on12:17 pm - Apr 13, 2021

Hongera Kwa ujumbe mzuri napenda muwe mnanitumia masomo na mafundisho kwenye email yangu ya elishaemtishibi87@gmail.com ahsanteni sana nadhani mtafanya hivyo

    Nuru ya UpendoPosted on7:45 pm - Apr 14, 2021

    Shalom.

    Tumekutumia meseji kwenye email yako ya subscription, hivyo ifungue, ukubali ili masomo yaweze kukufikia moja kwa moja kila tunapoyatuma.

AGRIPINA LILIPosted on10:21 am - Apr 13, 2021

Nmefurahia napenda kujifunza maneno ya Mungu kwakupitia website yenu

Nuru ya UpendoPosted on9:56 pm - Apr 11, 2021

Ikiwa yeye alituumba ni kwanini tuabudu miungu mingine..Ni wajibu wetu sisi kumwabudu yeye aliyestahili ..Hata wewe pia kwa namna ya kawaida unapaswa uone wivu kwa tendo hilo, la kumpa sifa asi si zaidi muumbaji?

Nuru ya UpendoPosted on8:56 pm - Apr 11, 2021

Asante, Bwana akubariki ndugu yetu

MAURICEPosted on8:54 am - Apr 11, 2021

Maana ya jina MAURICE, MORISHO. Kazi njema kwa utafiti wako

Javan ChihimbaPosted on7:03 am - Apr 11, 2021

ndugu zangu, nabarikiwa sana na huduma yenu. Kazi yenu si bure. Mmeponya wengi kwa kazi hii. Bwana Yesu azidi sana kuwatia nguvu na kujifunua sana kwenu kupitia neno lake ili kuponya mamilioni ya watu. Asanteni sana.

ElizabethPosted on1:06 pm - Apr 10, 2021

Neno zuri Sana ubarikiwe

mabelPosted on6:38 pm - Apr 9, 2021

HABARI, Kama ametuumba tu kwa ladhi yake au furaha yake na si kumwabudu kwanini anatuambia tusiabudu miungu wengine?

AnonymousPosted on9:52 pm - Apr 6, 2021

kwanini isaya anaaminiwa sana na watu kuliko yeremia?

Friedrich nsamePosted on10:03 pm - Apr 4, 2021

NEEMA YA BWANA WETU YESU KRISTO IWE PAMOJA NANYI NYOTE…amina!

Joseph LikarePosted on7:13 pm - Apr 4, 2021

Watumishi wa Mungu ninawasalimu katika jina la Yesu Kristo , lakini kitabu cha Matendo kiliandikwa na nani

AnonymousPosted on11:28 am - Apr 4, 2021

asante umenisaidia sana akili yangu umeifungua kabisa bwana yesu asifiwe mungu akubariki

peter wanyoikePosted on12:08 pm - Apr 3, 2021

1 wakorintho 7:14 inamaanisha nini?

yohanaPosted on3:24 pm - Apr 2, 2021

bwana YESU asifiwe

Samson CharlesPosted on10:31 pm - Mar 30, 2021

Nimebarikiwa sanaa na maelezo na ufafunuzi mzuri snaa kwa habri hii ya sikukuu ya kutabaruku…..
MUNGU azidi kuwainua kwa namba ambavyo mnaakikisha neno la MUNGU linafika na kuelewek kwa kondoo wake saw saw na YOH 10 anasem yey ndio lango na kondoo ni wake aijalishi n kondoo wa aina gani wote ni wake
AMEEN…

SilaPosted on8:48 am - Mar 29, 2021

Barikiwa sana mtumishi

Cleven NassaryPosted on4:37 pm - Mar 28, 2021

Bwana Yesu asifiwe mtumishi,habari za jumapili.Samahani mtumishi kuna maandiko yananitatiza andiko la 2 Samweli 24:1-14 na Waebrania 10:31.Hapo tunaona Daudi anasema ni afadhali kuanguka katika mkono wa BWANA lakini anapingana na Paulo anayesema ni Jambo la kutisha mtu kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hai

AnonymousPosted on4:36 pm - Mar 28, 2021

Bwana Yesu asifiwe mtumishi,habari za jumapili.Samahani mtumishi kuna maandiko yananitatiza andiko la 2 Samweli 24:1-14 na Waebrania 10:31.Hapo tunaona Daudi anasema ni afadhali kuanguka katika mkono wa BWANA lakini anapingana na Paulo anayesema ni Jambo la kutisha mtu kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hai

AnonymousPosted on8:37 am - Mar 28, 2021

Hellow naomba kujua maana ya Travis & Privian

Max viketiPosted on6:37 am - Mar 28, 2021

plz nataka ku jon

    Nuru ya UpendoPosted on9:33 pm - Mar 28, 2021

    Washirika wote wa Freemason, wataenda motoni, hivyo usitafute kujiunga bali mpokee Yesu, ambaye ndiye Njia, kweli na Uzima. Huyo ndiye chemchemi ya Maji ya Uzima, na hazina zote na utajiri unapatikana kwake.

Nuru ya UpendoPosted on4:49 pm - Mar 26, 2021

Maana yake Bwana hafungwi na muda katika kuzitimiza ahadi zake…

Peter watuthuPosted on6:52 pm - Mar 25, 2021

I’d wish to learn more about the bible

LodrickPosted on2:30 am - Mar 25, 2021

Nataman sana kumjua Mungu

LodrickPosted on1:28 am - Mar 25, 2021

Hili neno Lina maana gani” Kwa Bwana siku Mona ni Kama miaka elfu na Miaka elfu ni Kama siku moja”

Lodrick masawePosted on1:26 am - Mar 25, 2021

Bwana Yesu asifiwe! Nna abudu kkt lakn naona nna uhaba wa kuckia neno la Mungu,yaana Kuna wakat nataman kusikia nikihubiriwa au nisikie mahubir nijisikie vizuri,yaan ni Kama mtu mwenye kiu,asa najaribu tafta mahali pa kuabudu tatizo nitajuaje Kama ni sahihi na Kristo anaubiriwa kwa usahihi??

eliyaPosted on8:09 am - Mar 23, 2021

asante kwama fundisho

samweli simbilaPosted on2:53 pm - Mar 19, 2021

samweli@88/wwwdtcm

StewardPosted on11:28 pm - Mar 17, 2021

Dua nine no la kiswahili!

RichardPosted on9:07 am - Mar 17, 2021

Mm nawapenda sana pia naomba mniunga ishe kwenye wasap 0672992163pia jinsi ya kudiwnload

JerryPosted on11:57 pm - Mar 16, 2021

Ninaomba kutumiwa masomo ya jinsi hii Mara yatokapo
Barikiwen na Kristo

Nuru ya UpendoPosted on2:47 pm - Mar 16, 2021

Amen Bwana azidi kukubariki nawe pia.

Edward N JonasPosted on4:54 pm - Mar 15, 2021

Thanks for good explanation about the first of everything for our God my self I got something new for my life thanks be blessed you all.

John johnsonPosted on11:10 pm - Mar 13, 2021

Hapana ndugu unahitaji mafundisho zaidi ili kuujua uwepo halisi wa Mungu na utendaji kazi wake.na yakupasa ufunuliwe pia na roho mtakatifu.

    AbdallahPosted on2:50 pm - May 8, 2024

    Ni Shida ya Kutokuwa Tayari kuupokea ukweli.. Mimi ni Muislamu, maelezo ya muandishi yamenyooka vizuri ..
    Kama tumekwenda Shule japo kidogo tutajua kuwa, Mfano katika Lugha ya Kiingereza kuna PLURAL OF NUMBER & PLURAL OF RESPECT.. (Kuna aina 2 za wingi) .. Wingi wa Idadi na Wingi wa Heshima .. Aweza mtu kuzungumza kwa Plural Form na akajikusudia mwenyewe.. .. Na hivi ndivyo Mayahudi, Waarabu pia wanavyozungumza..

AnonymousPosted on6:19 pm - Mar 12, 2021

Leave your message

FlorencePosted on2:20 am - Mar 12, 2021

Asante kwa neon la uzima. Nimebarikiwa. Neema ya Bwana wetu YESU KRISTO iwe nasi sasa na hata milele zote. atusaidie kuliishi neno lake, ili tuwe nuru iangazayo gizani

projestus kabanzaPosted on8:01 am - Mar 11, 2021

naomba niumgwe kwenye masomo

mtumishi wa mungu
06889966620

mawazo stanleyPosted on12:33 am - Mar 9, 2021

Ahsante sana nimejifunza mungu awabaliki kwa ujumbe huu mkubwa. Bila matumaini maishani ni sawa na kuwa na giza kubwa.

Nigundwe nilyPosted on1:59 pm - Mar 8, 2021

Kweli kbs

Simon mwiti mutiePosted on11:54 pm - Mar 7, 2021

Barikiweni sana watumishi wa mungu na asila neema kutoka kwa mungu alie mbinguni kama vinye aliniasilia mimi

WilsonPosted on12:06 am - Mar 7, 2021

tofauti ya unabii wa Danieli. na ufunuo wa Yohana?

Joseph MbwamboPosted on1:59 am - Mar 6, 2021

Ni neno lenye kujenga

Fortunatus MkuchuPosted on9:49 pm - Mar 4, 2021

Nilikuwa nahitaji kitabu Cha mafundisho ya kipa imara

BENEDICT MNYASUMBAPosted on5:27 pm - Mar 4, 2021

Asante Kwa tafsiri yako

NicolasPosted on8:05 am - Mar 3, 2021

Hongera mtumishi wa Bwana. Mungu akubariki, akutie nguvu.

GabrielPosted on5:14 pm - Mar 2, 2021

Naomba Kujua Wale Mamajusi Walikuwa Ni Kinanani? Na Kaz Yao Ilikuwa Ni Ipi?

Even georgePosted on4:53 am - Feb 28, 2021

MUNGU akubariki

Sadick SangaPosted on9:52 pm - Feb 27, 2021

Naomba somo la nyakati saba

Godliver MbisePosted on1:00 pm - Feb 27, 2021

Naomba muwe mnanitumia mafundisho

Flora Emmanuel JengoPosted on12:34 pm - Feb 25, 2021

Ukurasa unafundisha vitu vizuri sana
Mbarikiwe kwa Huduma hii.
Mimi ninaomba kutumiwa mafundisho yanayotoka kwny what’s what’s app namba 0784511966 au kwa email namba
Njia ambayo mtaona rahisi kwenu kwa kiswahili.
Be blessed

Hamisi NkuluziPosted on3:33 pm - Feb 23, 2021

Mungu kubariki nimesoma na kukubaliana 200% , suala hili linatumika vibaya ndio maana wengi wanadhani kuwa na Theolojia , Sayansi nk pasipo kulijua Neno kwa kuongozwa na Roho wa Mungu wamefikia KIMO , ukweli hauwezi kupata matunda. Matokeo yaliyopo kwa makanisa mengi ni migogoro mingi kutokana na kuhitimu Elimu ya Dunia hii.Kwa nini walezi wa Bwana Yesu hawakumpeleka shule wala Yeye kutafuta badala yake alidumu kuchambua Torati na Kuuliza maswali ?

AnnaPosted on12:17 pm - Feb 20, 2021

Nabarikiwa sana na masomo yako, Mungu akuoe hekima zaidi na maarifa km u ngali ktk huduma ya kujemga kanisa

Cleven NassaryPosted on8:30 pm - Feb 18, 2021

Mungu azidi kukubaliki mtumishi katika mafumdisho yako haya,Mimi ningependa unisaidie ni kwa namna gani naweza kufunga maagano ya laana yaliyopo kwenye maisha yangu na familia yangu

    Nuru ya UpendoPosted on8:53 pm - Feb 18, 2021

    Nawe pia ubarikiwe..
    Unaweza kufunga maagano hayo, kwa kuingizwa kwenye agano lingine lili bora zaidi na lenye nguvu zaidi ya hayo, na hiyo ni kwa kumwamini Yesu Kristo na kubatizwa katika jina lake. Ukikamilisha hayo, Mungu atakufungua katika maagano yote ya laana unayoyajua.

Loveness mtendaPosted on4:54 pm - Feb 18, 2021

Nimebarikiwa sana Na nakala hii Mungu aendelee kukupa karama tujue vingi zaidi

Gideon MumoPosted on2:20 pm - Feb 18, 2021

Great God Bless

Baraka SammoPosted on1:04 pm - Feb 17, 2021

Nafuatilia mafundisho mengi mnayoyatoa katika blog hii kwa kiasi kikubwa kimebadilisha ufahamu wangu na kuyajua mengi katika Neno la Mungu.
Naomba kuunganishwa kwenye group la Whatsapp
Namba hii: 0789 877 627

AnicethPosted on11:57 am - Feb 15, 2021

Samahan naomba kujua maana ya jina Anicia

oscar stephenPosted on9:41 am - Feb 15, 2021

mathayo 28.16.20 jibu lako kajifunze biblia

HeryPosted on6:10 pm - Feb 13, 2021

Nimeipenda blog yenu inanipatia taarifa makini

Kapeseke AndréPosted on11:41 am - Feb 13, 2021

naitaji mafundisho zote

Ok I’mPosted on10:12 pm - Feb 11, 2021

Adimin huna group la whasssp uniunge

KunzePosted on8:16 am - Feb 11, 2021

Asante. Tuendelee kutiana nguvu ili kuifikia toba.pata email yangu,tuendelee mapambano dhidi ya adui shetani

AnonymousPosted on5:51 pm - Feb 10, 2021

Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana ujumbe wako umenibariki na kuzidi kuchochea Imani yangu.

Senior OCsPosted on11:58 am - Feb 8, 2021

To GOD be the glory Halleluyah……let’s praise the lord for his almighty.

pastor mika omwambaPosted on8:58 pm - Feb 7, 2021

Leave your message nakusalimu bwana asifiwe Niko na upungufu kitogo kufusia Watoto kanisani ukiwesa usumame nami

AnonymousPosted on1:28 pm - Feb 7, 2021

Mm cjaota , nilikuwa macho ilikuwa n usiku na kwambali nilikuwa nasikia sauti ikiniambia ninanguvu na Nina uwezo mkubwa wakuisaidia familia yangu, gafla kwenye ile sauti ukaje mwanga wa blue na mwoshi mweusi na ule mwanga wa blue ukawaunarudi nyuma na ule mwoshi wa mweusi ukanivaa nikahisi maumivu makali sana ndan ya masikio yangu , msaada plz

Amos mbariaPosted on12:14 am - Feb 7, 2021

Asante Sana kwa hayo mafundisho Mungu akubariki

John Mathias MturoPosted on6:11 pm - Feb 6, 2021

Nimefurahia somo,ni kweli.Mungu akubariki kwa fundisho hilo.Mungu atuokoe.

UrsulaPosted on5:35 pm - Feb 1, 2021

Amen,mafundisho yamenisaifia sana

TimotheoPosted on3:59 pm - Feb 1, 2021

Mungu awabariki sana.

Jackson m semePosted on6:29 pm - Jan 30, 2021

Naomba uni2mie sehem iliyoelezea rozari takatifu

ScolaPosted on9:07 am - Jan 29, 2021

Naomba kujua maana na asili ya jina la Scola na Julieth

JeremiaPosted on2:26 pm - Jan 28, 2021

Maana ya dylan,Kayden caiden

HOSIANAPosted on9:16 am - Jan 28, 2021

ASANTE SANA KWA NENO ZURI’ MAFUNDISHO MAZURI’ YAMENIJENGA KIROHO.

Boniphace MmassyPosted on2:42 am - Jan 27, 2021

Nimejifunza jambo mtumishi..barikiwaa

FindaPosted on2:56 am - Jan 26, 2021

Amina mtumishi, ubarikiwe sana

Henry Nyakundi MwambaPosted on9:04 pm - Jan 25, 2021

Nimeshukuru sana, nimepata kusoma na kujifunza jinzi ya kuomba, pata email address yangu uendelee kunitia ngufu kiri.Asanteni

FindaPosted on1:38 pm - Jan 25, 2021

Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa MUNGU. Nimekuwa nikiota ndoto napaa hadi mawinguni kama ndege nikiwa naenda sehemu fulani. Nakuwa nafurahi sana kuangalia chini nikiona mawinguni, mito na misitu mingi ya kupendeza. Wakati mwingine nakua nakimbia mbio ila kwa spidi isiyo ya kawaida. Nini maana yake ?

AnonymousPosted on10:21 am - Jan 25, 2021

Kwa mara ya kwanza natoa comment kwa post hizi za Google kiukweli nimejifunza kitu kikubwa sana Mungu akubariki sana. 🙏🙏

Jackson.TembaPosted on8:57 am - Jan 23, 2021

Ev.Jackson.T.Temba
Nimefurahishwa na kujifunza somo zuri kuhusiana na kuvunja madhabahu bado nintaendelea kufuatilia makala zako kwa faida ya kuujenga Mwili wa Kristo
Pokea baraka kwa kuwafundisha watu kweli ya Mungu kwa usahihi

Rowland asante RobertPosted on12:06 am - Jan 23, 2021

Shalom…naomba kuuliza Biblia inaposema kuwa makabuli yatawatoa wafu, vivyo hivyo bahari, je hawa watakao toka/fufuliwa makabulini ni watu gani ikiwa mtu akifa anaenda mbinguni au jehanam?

Nuru ya UpendoPosted on9:37 pm - Jan 20, 2021

Ni sahihi ubarikiwe na Bwana.

Hamisi NkuluziPosted on12:16 pm - Jan 20, 2021

Bwana Yesu Asifiwe ! Nimebarikiwa sana na maswalli ambayo yamejibiwa kama somo .Ukweli makanisani wakristo wengi hawapewi nafasi ya kuuliza ndio maana ujinga upo kwa kiwango kikubwa sana. Kuhani Mkuu alifundisha au kuhubiri na kuuliza au kuulizwa maswali mengi kuhusu Ufalme wa Mungu na maisha yao wanafunzi.Mitume,Manabii , Pastors , Wainjilisiti na Waalimu hutumia kigezo Roho wa Mungu asema au amefuliwa hivyo. Lakini ikumbukwe kuwa Mkristo anaitwa Mwanafunzi wa Yesu , SASA atafikia kimo cha utimilifu au kushinda majaribu vipi pasipo kulielewa Neno la Kristo ? 0769060708 whatsapp /0715198831

Nuru ya UpendoPosted on9:53 pm - Jan 19, 2021

Ahadi zake ni uzima wa milele mwishoni,

KellynPosted on9:42 pm - Jan 18, 2021

Ahadi za Mungu juu ya maisha ya wamchao ni zipi?

Stella Skalion RwechungulaPosted on7:43 am - Jan 18, 2021

Nimebarikiwa….

Rowland asante RobertPosted on11:41 pm - Jan 17, 2021

Nashukuru kwa marifa haya, ubarikiwe na BWANA!

Nimefatilia somo hili kwa ukaribu na baadhi ya maswali yakajengeka kichwani Mwangu.
1.kwa maelezo hayo Inaonekana Adamu alikuwa anajua kilicho tokea kabla ya yeye kula tunda; maana kama alikuwa hajui kilicho tokea, yeye kosa lake lilikuwa wapi maana aliye zini ni haw(Eva)a hiyo hatia inakuwaje kwake? Au walitakiwa kuishi kama kaka na dada? Kwamaana nyingine basi hawa(Eva) alitoka nje ya ndoa kwa kushawishiwa na nyoka aliyeingiwa na ibilisi wafanye uzinzi,na kwamaana hiyo adamu, baada ya tendo hilo nyoka na Hawa alitakiwa asikubali kula nae tunda?

2. Nmeona kunakifungu mtumishi umeeleza kuwa kama wangekula matunda ya kawaida wasingekimbilia kuficha sehemu zao za siri, swali langu naomba kujua je hapo awali walikuwa wanavaa nguo?

3. Kwenye Biblia imemtaja vizuri nyoka/Joka(Serpent) hasa ktk ufunuo kama ni ibilisi na shetani
Ufunuo wa Yohana 12:9
“[9]Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye.” Na sifa kubwa ktk Biblia ya nyoka huyu alikuwa ni mwerevu. Hizi sifa nyingine mtumishi tunaweza kuzisoma wapi?

Naomba msaada mtumishi nipo kujifunza, nimetatizika kidogo!

Nashukuru kwa somo zuri, kazi yako ni njema utalipwa na BWANA.

Nuru ya UpendoPosted on8:25 pm - Jan 15, 2021

Amen. Uzidi kubarikiwa sana nawe pia..

EZEKIELY MARKOPosted on3:22 pm - Jan 15, 2021

TUMEBARIKIWA NA KAZI MNAYOIFANYA WATUMISHI WA MUNGU

EZEKIELY MARKOPosted on3:13 pm - Jan 15, 2021

MUNGU AWABARIKI KWA HUDUMA NZURI MNAYOIFANYA

Hellen MissoPosted on8:24 am - Jan 15, 2021

Mbarikiwe Sana na Mungu wa Israel aliye hai nimesoma kwa msaada wa Roho Mtakatifu sijatoka kapa

Nalee GalPosted on6:29 am - Jan 15, 2021

Nini maan ya wisdom

AnonymousPosted on6:26 pm - Jan 14, 2021

Niunge kwenye watsap group if possible ubarikiwe mtumishi

Nuru ya UpendoPosted on11:36 am - Jan 13, 2021

Amen ubarikiwe sana na Bwana Yesu.

Kama ungependa kuyapata kwa njia ya whatsapp unaweza kututumia ujumbe kwa namba hizi +255 789001312.

Pastor Jackson kihingiPosted on6:44 pm - Jan 12, 2021

Bwana yesu kristo asifiwe asante Sana kwa mafunzo yenu katika hii page, nimebarikiwa Sana.
Ningeomba mzidi kunitumia mafunzo haya, yanaweza Kusaidia kanisa ambalo ninahudumia hapa inchini Kenya.

Emmanuel KifumuPosted on8:39 am - Jan 11, 2021

Nimebarikiwa sana na mafundisho haya na ninatamani kuendelea kuyapata kwa email hata watsap

    Nuru ya UpendoPosted on10:46 am - Jan 11, 2021

    Ubarikiwe…Tumekutumia email ya kuthibitisha maombi, hivyo unaweza kuingia kwenye email yako, kuthibitisha.. Pia ikiwa utayahitaji kwa whatsapp, tutumie ujumbe kwenye namba hii tukuunganishe. +255693036618

Letcia AlphoncePosted on9:39 pm - Jan 10, 2021

Bwana Yesu asifiwe,Yesu alivyochomwa mkuki ubavuni damu na maji vilitoka,hiii inamanisha nini?

ShukraniPosted on4:32 pm - Jan 9, 2021

Shalom,Nitumie hilo somo la Nyakati Saba za kanisa

Letcia AlphoncePosted on11:54 pm - Jan 7, 2021

Amen,asante sana Mungu awabariki

Nuru ya UpendoPosted on9:21 pm - Jan 7, 2021

Letcia Kuabudu mahali sahihi zaidi panategemeana na hali ya mtu rohoni ilivyo kwa wakati huo, hiyo ndiyo itakayoeleza mahali sahihi kwake pa kuabudia ni wapi.. Hivyo ikiwa huwezi kuongozwa tena na litrujia na badala yake unataka kuongozwa kwa Neno la Mungu., basi nakushauri tafuta makanisa ya kiroho yatatimiza haja ya roho yako, kwa wakati huu. Nami pia napendekeza iwe hivyo kwako, Bwana akuabriki.

AnonymousPosted on5:35 pm - Jan 7, 2021

mungu akushushie neema uzidi kutufunua

Hamisi NkuluziPosted on5:34 pm - Jan 7, 2021

Safi sana mtumishi nimebarikiwa pia nakubaliana na mtazamo na msimamo wangu tusichanganya utekelezaji kwa kuchukua sehemu ya ule wa Sheria ya Torati ya Musa , tutashindwa kwa kutokuzingatia maelekezo ya Bwana Yesu.

LenardPosted on3:29 pm - Jan 7, 2021

Nguruwe ni harali kuliwa

Letcia AlphoncePosted on12:57 pm - Jan 7, 2021

Kuptia masomo haya nlijifunza kuhusu ubatizo,nkafanya maamuz ya kubatizwa kwa maji mengi,nlibatizwa kwa maji ya kunyunyiziwa awali ingali mchanga,sasa nimejua kweli je ni sahihi kutafta dhehebu lingne maana Mimi naabudu k.k.t,natamani kumjua Mungu zaid na kuongozwa na Roho Mtakatifu,n si vtabu au litrugia km ilivyo ktk ibada ktk dhehebu hil

ALLY NASHONPosted on11:46 am - Jan 7, 2021

0756678553 naomba kuungwa kwenye kundi la whatsapp

AnonymousPosted on9:26 pm - Jan 6, 2021

Kutairiwa kwa kukatwa magovi ni halali ?

Nuru ya UpendoPosted on11:58 am - Jan 6, 2021

Amen Unaweza kufungua hapa >> https://wingulamashahidi.org/masomo-mapya/

Utayapata kwa wingi.

Mungu akubariki sana

Hezron mwalongoPosted on5:52 am - Jan 6, 2021

Bwana Yesu asifiwe mtumishi waBwana, natamani sana kuendelea kuyapata mafundisho ya neno la Mungu toka kwako kama itawezekana naomba uendelee kunitumia masomo mengine.

PeterPosted on1:34 pm - Jan 5, 2021

May god bless you Mr.
Nam nakuomba muongo said,,

William NoelPosted on4:15 pm - Jan 2, 2021

Ubarikiwe

AnonymousPosted on1:08 pm - Jan 2, 2021

Admin
Niunge kwenye group namba 0752360805

AnonymousPosted on12:40 pm - Jan 2, 2021

Nakushauri kama hujui ndoto usiandike makala kwani unakera sana kwa tafsiri zako mbovu.

JosephPosted on7:21 pm - Dec 29, 2020

Asante sana mtumishi

Saimon Raphael MwansilePosted on7:06 am - Dec 29, 2020

Be blessed!

Saimon Raphael MwansilePosted on7:05 am - Dec 29, 2020

“God bless you servant of God”

AnonymousPosted on6:06 pm - Dec 28, 2020

Asante sana tumsifu yesu kristo amen

Gidion PaulPosted on2:52 pm - Dec 26, 2020

Please add me on WhatsApp number 0627180347

AnonymousPosted on9:44 pm - Dec 25, 2020

X-MASS POA BRO

Nuru ya UpendoPosted on10:15 am - Dec 25, 2020

Amen!

Lipo group whatsapp, tutafute kwa namba zilizopo kwenye tovuti hapo juu.

Nuru ya UpendoPosted on9:39 am - Dec 24, 2020

tutafute whasapp kwa namba hii ndugu +255693036618

HezronPosted on3:46 am - Dec 24, 2020

Mtumishi wa Bwana napenda sana kujifunza neno la Mungu nitafurahi sana nikiwa nayapata mafundisho haya ya neno la Mungu

Hezron mwalongoPosted on3:33 am - Dec 24, 2020

Mtumishi wa Bwana hongera kwa huduma ya Mungu aliyoiweka ndani yako ubarikiwe sana.
Umeainisha vichwa vya masomo mazuri sana hapo juu sasa, nitayapataje masomo hayo?

IsackyPosted on10:43 pm - Dec 22, 2020

Asante Sana Pia Ndugu, Uzidishiwe!

Pascal paul arestarickPosted on9:57 pm - Dec 22, 2020

Asanteni sana na Mungu awabatiki

Ntahondi SalvatoryPosted on11:26 am - Dec 21, 2020

Mungu akubariki. Naomba kuuliza, “umesema utawala wa kipapa wa kidini umeanza karne4 na kutiwa jeraha la mauti kipindi cha wanamatengenezo, ukatawala wake ukawa haupo, Sasa kwa muda mtawala ni yupi? Maana bado hajaja bado.

Berius kamina masumbukoPosted on10:02 pm - Dec 18, 2020

Nan alianzisha krismas au krismas alianzisha na ilianzishwa mwaka gani?

AnonymousPosted on1:27 pm - Dec 18, 2020

Mimi ni kijana wa miaka17 djana usiku nililota ng,ombe ikinifata tena ng,ombe dume naomba unitafsiye ndoto hii asante.

Patrick barasa onyangoPosted on11:59 am - Dec 17, 2020

Kanisa katoliki lilikuwa hata kabla ya yesu kukuja duniani, ndilo lililomsulubisha yesu. Na baada ya yesu. Likaendelea kupinga injili likidhani litaizimisha, na baada ya kushindwa, likajiunga na kanisa la kweli, ili liweze kupinga injili kisiri. Na likaweka makao makuu kule roma. Kuanzia hapo roho mtakatifu akaondoka hapo.likabaki kanisa la kimwili. Na ndio mwanzo wa makanisa mengi hapa duniani.

Mwaro MangiPosted on5:53 pm - Dec 15, 2020

Asante kwa utafiti naomba kujua maana ya Julius,Enock,Dorcus,Ivy

jofrey joelPosted on6:29 pm - Dec 14, 2020

Ubarikiwe na bwana.Nawezaje kupata mafundisho haya a kila siku

AnonymousPosted on1:58 am - Dec 13, 2020

Samahani mtumishi,
Kwani MUNGU alivo mwambia Musa ajichongee sanamu ya nyoka wa shaba alafu wamisiri wakiangalia waishi je unaweza kunifafanulia hapo? Maana ndo MUNGU huyo huyo aliye kuwa amekataza kuchonga sanamu yoyote si mfano mbinguni au duniani

AnonymousPosted on8:12 pm - Dec 12, 2020

Mungu awabariki kwa kazi nzuri

Goodluck Beniel MinjaPosted on3:43 am - Dec 12, 2020

Bwana akubariki mpendwa mtumishi wa Bwana,nimefarijika na NENO hill”kuyatafuta yasiyoonekana”

pasto samwel mwakamisaPosted on10:09 pm - Dec 11, 2020

NAPENDA SANA KAZI YENU KWA KWELI MUNGU AWABARIKI SAAANA MMENIFUNGUA KWEL!

Nuru ya UpendoPosted on11:43 am - Dec 9, 2020

Amen, namba yetu ni hii +255693036618 au +255789001312 .. Na Mungu akubariki kwa moyo huo.

Jacob MakonoPosted on6:11 am - Dec 9, 2020

Nazidi kubarikiwa sanasana na masomo yenu.Nimeanza kusoma saa 10 usiku..sasa ndio naona niishie hapa kwa Leo.Masomo yote yamenigusa,yamenionya,yamenijenga..natamani kwenda mbinguni kwa Mungu…lkn kuna kazi ya kudanya hapa duniani kwanza!!May God bless you richly!! Je, kuna no yenu ya simu kila mwezi niwatumie 5000(elfu tano?)Nitumieni no hiyo!

Arsen kaizaPosted on3:59 pm - Dec 7, 2020

Mbarikiwe Sana nitachangia ili injiri ya BWANA izidi kufika kote duniani na kufanya watu waokoke au wabadilike na kuishi maisha yakumpendeza MUNGU Kama Mimi nilivo badilishwa. Amina

Jackline jonasPosted on11:45 pm - Dec 6, 2020

Umenfungua pakubwaaa mungu awabarki abariki kazi ya mikono yenu

AnonymousPosted on5:20 pm - Dec 6, 2020

WhatsApp number
0715677686
Naomba mnitumie ujumbe wa habari njema mtumishi

AnonymousPosted on4:24 pm - Dec 6, 2020

Ubarikiwe mtumishi kupitia ujumbe wako nimekuwa Mwanafunzi wa YESU, ubarikiwe Sana mwisho wa dahari tukutane Paradiso

AnonymousPosted on12:44 pm - Dec 5, 2020

n kweli fafanua

YUSUPH VENANCEPosted on9:31 am - Dec 4, 2020

YANI sijutii kufatilia blog hii kwakweli MUNGU awe nanyi,

Daudi SagaraPosted on8:52 am - Dec 4, 2020

Mungu awabariki sana kwa somo hili zuri la kujenga

Luther m majengo.Posted on11:19 am - Dec 3, 2020

Thank you

Othuman MoPosted on10:14 pm - Dec 1, 2020

Allah atuepushe na upotofu wa shetani Amina

AnonymousPosted on4:28 pm - Dec 1, 2020

Acheni uongo kanisa katoliki lilianza tu baada ya Kristo kufufuka. Mitume walianza kusali wakiumega mkate. Hujui kabisa historia ya kanisa katoliki

Lodrick James massawePosted on6:30 am - Dec 1, 2020

Sijabatizwa,nahtaji kubatizwa ubatizo wa maji meng

Siprian EmasonPosted on10:52 pm - Nov 28, 2020

Je hivyo vitasa7 ni nini?
Naomba nitumie domo hilo

Daniel mwakeraPosted on9:20 am - Nov 28, 2020

Hi admin,I’m so blessed by your messages.can I get some. More through my mail?

    Nuru ya UpendoPosted on11:10 pm - Nov 29, 2020

    Shalom. Nimekutumia email ya subscription, hivyo ifungue kisha fuata maelekezo na masomo yatakuwa yanakufikia moja kwa moja kila tunapoyatuma.

    Mungu akubariki.

silvestaPosted on4:36 pm - Nov 26, 2020

namwamin mungu ndyo mweza ktk maisha yangu yote

Yohana BahamePosted on9:59 am - Nov 26, 2020

May God bless you

luzaliaPosted on7:09 am - Nov 26, 2020

Ningependa kupata watsap mafundisho haya namba ni 0622491873

LuhwagoPosted on9:42 pm - Nov 25, 2020

Nitmie ich kitabu

NaomiPosted on6:52 pm - Nov 23, 2020

Mafundisho aya yamenisaidia sana Mungu awabariki watumishi wake nakuwatia mafuta mapya.

AnonymousPosted on11:13 am - Nov 22, 2020

atukuzwe mungu wa mbinguni

AnonymousPosted on11:26 am - Nov 21, 2020

habr? naomba kujua maana za majna yafuatayo,elia,briht,denice,nova

Lodrick James massawePosted on6:18 am - Nov 21, 2020

Asante kwa kaz nzur, Mungu awabariki, naomba niunge ktk group namba yngu 0712224315

David yoram maguhePosted on5:11 am - Nov 21, 2020

Leave your message Napenda neno la mungu sana

Emmanuel emilyPosted on10:15 pm - Nov 20, 2020

Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu.hapo umepiga kwa dhambi hiyo wengi wamejisahau wameona kutenda dhambi hiyo ni kawaida.hawamwogopi mungu.

GloriaPosted on9:10 pm - Nov 20, 2020

Mafundisho ni mazuri sana Mungu awabariki kwa kazi njema mnayoifanya.

Julius Yeri RanduPosted on3:46 pm - Nov 20, 2020

Bwana yesu asifiwe sana. Mimi nimeokoka yesu ni bwana, ningetaka pia mimi nijumuishwe kwenye kikundi hiki kwasababu mafundisho haya yananijenga sana kiimani

Asheri StephenPosted on3:02 pm - Nov 18, 2020

Ndugu Shalom,
Mungu akubariki sana kwa huduma nzuri ya Neno la Mungu. Nimepitia sehemu ya masomo yako kidogo na nimependa sana tena ubarikiwe. Naomba kwa kadri ya upatapo nafasi unitumie masomo yanayo husu madhehebu namna Shetani anavyo yadanganya na kuyatumia katika kipindi hiki cha mwisho. Lakini pia nakusihi katika Bwana unitumie pia masomo mbalimbali ili niendelee kujifunza kupitia kusoma kumbe hizi zenye Ufunuo wa Mungu sahihi. Ameni. Simu yangu ni 0626619369, au kwaziada 0621036527 hii zaidi sana ni WhatsApp.

HaroldnPosted on5:49 pm - Nov 17, 2020

Mbarikiwe sana na Bwana wetu YESU KRISTO

Joshua kihongosiPosted on3:48 pm - Nov 16, 2020

Naomba kujua maana ya jina “Mwadina”

Charles majaliwaPosted on2:12 pm - Nov 15, 2020

Nabarikiwa na haya masomo mnayofundisha ombi langu naombeni mnitumie somo kuhusu mapenzi ya mungu na jinsi ya kuomba maana mimi huwa sijui nianzie wap wakat wa kuomba hivyo nakuwa kwenye wakat mgumu NAOMBA MNITUMIE KWENYE EMAIL YANGU majaliwacharles57@gmail.com

Charles majaliwaPosted on8:26 pm - Nov 14, 2020

Maomb mniadd 0752945620

CEOPosted on10:25 am - Nov 14, 2020

Ahsante mkuu ubarikiwe

AnonymousPosted on6:05 am - Nov 14, 2020

Barikiwa sana kwa somo hili Mtumishi wa Mungu! Nimejifunza kwa Utukufu wa Mungu.

EmiratesPosted on8:15 pm - Nov 13, 2020

Is this going to happen next year

Prospa kavanoPosted on8:53 am - Nov 12, 2020

Vp mm nataka kujiug filimason

amani otienoPosted on7:41 pm - Nov 11, 2020

hii ndio kweli halisi isiyo ghoshiwa

Filbert ladislausPosted on4:55 pm - Nov 10, 2020

Mwenyezi Mungu ndiye kimbilio langu kamwe sitamwacha aende zake bali nitamngangania mpaka siku yanyu yakihama ,jina la Bwana lihimidiwe amen.

AnonymousPosted on11:40 am - Nov 10, 2020

Kwa nini pilato na herode awakupana?

AnonymousPosted on6:56 pm - Nov 8, 2020

Kama tatizo ni kupoteza muda je kushinda kwenye face book penyewe sio tatizo?

    CharlesPosted on8:53 pm - Sep 19, 2024

    Inshu sio kushinda facebook, inshu unashinda unaangalia nini?

    By the way social media zote ni mitego ili watu wawe wazembe wasifanye kazi yenye Baraka kwa Mungu.

    Kuna watu wanajipatia kipato kwenye social media, lakini wanatawaliwa na dunia, na wengine hawajikabidhi hata kwa Mungu

Geofrey TarimoPosted on3:21 pm - Nov 8, 2020

Mungu akubariki Sana mtumishi, nashukuru nimepata kitu Cha kujifunza. Mungu atukumbuke na kutuokoa na chukizo la Uharibifu… Amina

alifa mhamediPosted on11:42 pm - Nov 7, 2020

Leave your message/naomba mnisaidie maombi yangu mazito

Caroline athamasPosted on10:23 pm - Nov 7, 2020

Hakika ukiijua kweli ya Neno LA Mungu utakua huru kwelikweli Bwana atusaidie tuzidi kuwekwa huru kweli Kwa Neno lake LA uzima

Caroline athanasPosted on2:46 pm - Nov 7, 2020

Amen nimefurah Sana kuujua ukweli kuhusu ili somo LA hawa ma aliens mana nlshaskia watu wakisema dalili za kuja Kwa Yesu kna ishara za viumbe hawa znaonekana huko ulaya kumbe ni ujanja wa shetani kuendelea kuudanganya ulimwengu nyakati hizi za mwisho.Mungu azidi kuwabariki Sana mashujaa .Tukiwa ndani ya Kristo tutaifahamu kweli na kweli itatuweka huru

    Nuru ya UpendoPosted on9:40 pm - Nov 7, 2020

    Kuna udanganyifu mwingi upo duniani kwasasa, hivyo ni kuwa macho tu, katika utulivu wa Roho huku tukifunza Neno la Mungu kwa bidii.

Denis DiDasPosted on2:49 pm - Nov 6, 2020

Asante kwa tafsuri yako, ukweli unaweza

lunicePosted on11:31 pm - Nov 5, 2020

Ubarikiwe kwa kujitoa kwako naomba kujua maana y jina lulu

Yolanda NnkoPosted on3:09 pm - Nov 4, 2020

Leave your message nimebarikiwa sana Mungu akubariki

PaulPosted on8:48 am - Nov 3, 2020

Maana ya jina Lazaro

AllPosted on7:57 pm - Nov 2, 2020

Samahani naweza kupata historia za hawa wajumbe wa kanisa kuanzia clenius mpaka Martin Luther nataka tu kushibisha ufahamu ,

StrangerPosted on10:48 am - Nov 2, 2020

Awezaye kumlinda mtu kutokamana ni kila aina ya shari ni mungu tu ambaye hana mwana wala hana ndugu yeyote katika ulimwengu huu

Gwamaka MbwagaPosted on3:44 pm - Oct 31, 2020

Asante Kwa Somo

Wagumba Jr.III.Posted on10:01 pm - Oct 29, 2020

please provide me with the meaning of the name
Dianna, Iscka, Javeline, Deborah, Quinter, Yunis

GloriaPosted on10:55 am - Oct 29, 2020

Niliota et mpnzi wangu amenunua gari zuri jeus lakin hilo gar hakuliendrsha mimi nilipanda hilo gar badae nikajiona npo na mwanaume mwngne kne hilo gar lakon kiti cha dreva hakikua na mtu tukajiona tumefika sehem alikuwepo huyo mpnz wngu tukawa tunamsubir apande ili atuendeshe akawa anaosha samak lakin hakupanda. Ina mana gani??

AnonymousPosted on11:39 pm - Oct 28, 2020

Mungu ni mwema ,.kustahimili isia zako ni jambo la maana sana na kutumia akili na sala

Nuru ya UpendoPosted on7:11 pm - Oct 28, 2020

Amen twashukuru kwa baraka hizo.

manfred mbutaPosted on5:16 pm - Oct 28, 2020

NAHUKURU SANA KWA MAFUNDISHO MEMA MUNGU ALIYOTUPATIA KUPITIA MTUMISHI WKE WEWE NINA IMANI NI MSAADA KWANGU NA VIZAZI VYETU VYOTE KWANI YATAVIONGOZA KATIKA NJIA IMPENDEZAYO YEYE NAAM NAOMBA MUNGU AZIDI KUKUBARIKI

Nuru ya UpendoPosted on1:23 pm - Oct 28, 2020

Ukitia Nia ya kujifunza, ni uhakika Bwana hatakuacha, atakufundisha na kukufunulia mengi usiyoyajua..Unaweza kufungua link hii, kujifunza zaidi>> https://wingulamashahidi.org/2020/01/20/jinsi-roho-mtakatifu-anavyowafunulia-watu-maandiko/

Lakini Pia kama utapenda tuwe tunakutumia mafundisho ya Neno la Mungu ya mara kwa mara whatsapp, basi tutafute kwenye namba hii : +255789001312

Ubarikiwe sana.

Agnes magangaPosted on11:28 pm - Oct 27, 2020

Thank you for the teaching am glad to know more about the word of God my question is how will I able to understand the bible coz am interested to know the word coz the word is our light

AnonymousPosted on3:55 pm - Oct 27, 2020

Please add me on WhatsApp 0768357644

AnonymousPosted on9:24 am - Oct 27, 2020

Barikiweni na bwana

AnonymousPosted on7:57 am - Oct 27, 2020

Ubalikiwe kiongozi kwa elimu ulionayo unaeza ntumia hyo kitabu na mimi nipate kukuza maalifa. abdullauf90@gmail.com

AnonymousPosted on6:24 pm - Oct 26, 2020

Naomba kujua maana ya Jonathan

Daudi SagaraPosted on8:54 am - Oct 26, 2020

Nafatilia mafundisho yenu kwa karibu sana. Yamenijenga kwa sehemu kubwa sana.
naomba mniunganishe kwenye grup lenu. 0755 682 410

Agnes RichardPosted on12:36 am - Oct 26, 2020

Nimebarikiwa na maandiko haya

Hosea markoPosted on9:30 am - Oct 25, 2020

Amen ,,,neno zuri sana,,,,nisaidie namba yako mtumishi

AnonymousPosted on9:18 pm - Oct 22, 2020

Apo nimekwelewa haswa

KudraPosted on6:32 am - Oct 21, 2020

Nimeota ndoto ya mafuriko kwa kiasi kikubwa,pia nahitaji maombi mwili wangu dhaifu

    Nuru ya UpendoPosted on12:15 pm - Oct 24, 2020

    Zidi kuingia kwenye maombi, Bwana akuepushe dhidi ya mafuriko yote ya adui yaliyopangwa kinyume chako..Pia nakuombea kwa Jina la Yesu Bwana akupe kuwa mzima katika mwili wako.

AnonymousPosted on8:44 pm - Oct 19, 2020

Nimependa naomba kuungwa kwa group 0744777111

evasongPosted on5:02 pm - Oct 18, 2020

Asante sana msikate tamaa lakini hata hivo siku hizi kuna mavazi siyo ya kiume wala sio ya kike yapo tu kwa hajili ya kuwaharibu walimwengu .kuna suluali za kiume zinazo bana saaana na vijana wa sijuhizi wanazikimbilia sana .mungu atusamehe vijana naomba mbadilike ufalme.wa MUNGU unatekwa na wenye nguvu

BabrahPosted on4:03 pm - Oct 18, 2020

Naomba kujua maana ya jina babrah

Gideon KwalaziPosted on7:36 am - Oct 18, 2020

NIMEBARIKIWA!!

BeatricePosted on11:59 am - Oct 17, 2020

Asante saana.. ubarikiwe

Daudi manyikaPosted on6:24 am - Oct 16, 2020

Barikiwa sana
Mimi nmejitenga na dini na madhehebu yote kwa sababu hiyo mafundisho mengi yanamuakisi shetani
Nasonga mbele kwani
Mungu ni roho na yuko ndani yangu

JoshuaPosted on11:24 am - Oct 15, 2020

Mwenyezi Mungu azidi kuwapa Neema

DanielPosted on12:28 am - Oct 14, 2020

ningependa kupata masomo mengine zaid

Mbuvi mutiaPosted on8:33 pm - Oct 13, 2020

Add me on whatsapp

RogathPosted on10:28 pm - Oct 11, 2020

Amina. Bwana azidi kukubariki.

DaudPosted on7:50 pm - Oct 10, 2020

Hv krimas na pasaka ni shelehe

AnonymousPosted on10:56 pm - Oct 8, 2020

Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu

Pierre MugishaPosted on2:59 pm - Oct 8, 2020

Asante kwa funzo nzuri

Pierre MugishaPosted on2:59 pm - Oct 8, 2020

Asante kwa somo nzuri

long’ida mollelPosted on6:59 pm - Oct 7, 2020

Tupe ishara/ vitu vinavyoonyesha kuwa kanisa katoliki wanakosea

ANICETH DAVIDPosted on3:33 pm - Oct 7, 2020

MTUMISHI MIMI NAITWA ANISETH NINA MIAKA 29 NIPO MWANZA NAPENDA KUULIZA SWALI MIMI NILIFANYA KOSA KAZINI LA WIZ MARA YA KWANZA NKAKIMBIA KABISA KAMA MIEZ MITATU NIKARUDI KAZIN WAKANIIITA TENA BADO SIKUBADILIKA NIKARUDIA TENA WAKANIFUKUZA ILA NATAMAN NIOMBE MSAMAHA LAKIN NAONA AIBU ATA KUMSOGELEA BOSS WANGU ATA NISIPO RUDI KAZN ILA ANISAMEE TU MAANA KILA NIKIKAA NAONA KAMA NAMAKOSA SANA NINA TUBU ZAMBI ILA BADO NAKUWA CJIAMN KAMA YULE MTU ATAKUWA KANISAMEE MAANA BIBLIA INASEMA UNAPO KOSA MFATE ULIE MKOSEA UMUOMBE LADHI UTAKUWA UMESAMEEWA DUNIAN MPKA MBINGUN EBU NISHAURI MAANA NIMEANZA KUSALI LAKN NAITAJ USHAUR KWA HILI

    Nuru ya UpendoPosted on8:41 pm - Oct 7, 2020

    Shalom. Umefikiri vyema kutafuta njia ya kurudi kuomba msamaha, hatua uliyopo sasa ni kutubu mbele za Mungu wako kwa kumaanisha kuacha dhambi zote, sio tu wizi bali na nyingine zote, na kuyakabidhi maisha yako kwa Kristo, na kuwa mkristo.

    Na baada ya hapo ili kukamilisha toba yako, rudi kwa boss wako kamwombe msamaha, kiri kwamba uliiba mara ya kwanza na mara ya pili, Na kama unataka kurudi hapo mwombe akuweke nafasi ya chini, sio tena ile uliyokuwepo..kwa kufanya hivyo atajua umetubu kweli, na kuna uwezekano akakurudisha katika ile nafasi uliyokuwepo, mfano wa Mwana mpotevu katika Luka 15:11-24 (Kaisome hiyo habari kwa muda wako). Lakini utubu kwa kudhamiria na sio kwasababu unataka tu urudi kazini.

    Fanya hivyo usiogope kwenda kuomba msamaha, hakuna mtu anayemchukia mtu mnyenyekevu na anayejishusha.

    Bwana akubariki.

AnonymousPosted on10:21 am - Oct 7, 2020

Nimebarikiwa sana na haya Mafundisho

Mohamed kassimPosted on8:20 pm - Oct 6, 2020

🙌🙌🙌 Amin
Ongeza sauti mtu wa MUNGU
Ubarikiwe sana

SauliPosted on9:09 am - Oct 5, 2020

Napendelea kufuatilia mafundisho haya.

geraldPosted on5:29 pm - Oct 4, 2020

maana ya jina Gerald ni ipi?

AnonymousPosted on5:28 pm - Oct 4, 2020

maana ya jina Gerald ni ipi?

BenjaminPosted on2:04 pm - Oct 4, 2020

Mungu akubariki sana mtumishi, umelifafanua neno vyema sana kwa maandiko ya ki Biblia. Ubarikiwe

Virginia Nicholas.Posted on4:05 pm - Oct 3, 2020

Je nini maana kuota unachimba viazi vitamu kwa shamba yako?

    Nuru ya UpendoPosted on4:08 pm - Oct 4, 2020

    Inategemea na maisha unayopitia, ikiwa shughuli zao za mara kwa mara ni za shambani hususani katika kazi hizo ni rahisi ndoto kama hizo kujirudia ulalapo Mhubiri 5:3, hivyo kama ni hivyo kwako basi ujue ndoto hiyo haina maana yoyote rohoni, lakini ikiwa sivyo na imekujia kwa uzito fulani, inaweza ikawa ishara ya Mungu kukufungulia milango ya riziki huko mbeleni.

    Biblia inasema.
    Ayubu 28:5 “Katika ardhi ndimo kitokeamo chakula; …”.
    Unaona, hivyo ikiwa utakaa katika hali ya kuyatenda mapenzi ya Mungu, basi ipo milango mingi sana, Mungu kakuwekea mbele yako, kwa hicho unachokifanya, na hata zaidi ya hapo. Ni wewe tu kuishi maisha yampendezayo Mungu wako.
    Kwa muda wako soma, Kumbukumbuku la Torati sura ya 28 yote uone Baraka Mungu alizowawekea wale wote watakaoyashika maagizo yake kwa bidii.

    Hivyo ili na wewe ndoto hizo ziwe kweli, hakikisha kwanza Kristo yupo ndani yako, kama hujaokoka hakikisha una mkabidhi Kristo maisha yako leo, na pia kuanzia huu wakati unaishi maisha kulingana na yeye anachotaka kulingana na Neno lake, baada ya hapo kuwa tayari kwa wema wake kujidhihirisha maishani mwako, lakini nje ya hapo, hilo linaweza lisikufikie kabisa.

    Bwana akubariki.

Michael OthinielPosted on11:36 am - Oct 3, 2020

MUNGU awabariki sana kwa kazi njema.Naomba muwe mnanitumia masomo yenu ktk email yangu ili niendelee kujifunza kweli ya YESU KRISTO.

KELVIN BURITIPosted on11:10 am - Sep 27, 2020

Thanx kwa mafunuo

Mohamed kassimPosted on11:30 pm - Sep 26, 2020

Amin amin.
Be blessed bro
Lakini ninaswali linanitatiza.
Ni kwamba umepataje kujua kuhusu Hawa malaika saba??? Yaani nyakati zao na majina yao???
Ubarikiwe sana ndugu

    Nuru ya UpendoPosted on8:17 pm - Sep 27, 2020

    Bwana alimtuma mjumbe wake, ambaye alimpa ujumbe kwa kizazi hiki, anaitwa Ndg. William Branham, ni nabii wa mungu aliyezaliwa huko Kentucky Marekani mwaka 1909 na akafariki 1965. Kupitia ufunuo Bwana aliompa kuhusu Nyakati 7 za kanisa, ndipo tulipojua hao Wajumbe, majina yao na Nyakati zao.

    Kwa maelezo marefu zaidi unaweza kuyasoma hapa >>HISTORIA YA WILLIAM BRANHAM

Mary Athanas NjawalaPosted on6:46 pm - Sep 26, 2020

Shujaa naomb unitumie haya masomo kwa njia ya email yng yananibariki sana

Mohamed kassimPosted on8:53 am - Sep 25, 2020

Amin amin mtumishi wa MUNGU ubarikiwe sana ndugu.
Umenifunza jambo jipya tena jema.
Ubarikiwe sanaa

FestoPosted on10:05 pm - Sep 24, 2020

Naomba kujua maana ya jina grace

AnonymousPosted on9:43 pm - Sep 24, 2020

Leave your message0703262003

AnonymousPosted on3:14 pm - Sep 22, 2020

Bwana Yesu apewe sifa mtumishi wa MUNGU ubarikiwe Sana kwa SoMo zuri nimengi nimejifunza kiasi kwamba sitabaki Kama nilivyokuwa naweza hata kuwaelekeza wengine napenda, niendelee kujifunza kwakunitumia mafundishisho yako
Namna ya WhatsApp 0744004103
Imail sadicksteven59@mail.com

Joshua NgogoPosted on1:25 pm - Sep 22, 2020

nimelipenda sana hili somo

Dauson MishakoPosted on9:46 am - Sep 21, 2020

Ahsante Sana kwa mafundisho mema je Kama mtu umeota unazini na mtu unapaswa kufanya Nini ili kuepuka hilo tatizo

EstherPosted on7:58 am - Sep 21, 2020

Naomba kuuliza ina maana gani hii, nmeota nyoka mara 3 ..mara ya Kwanza kaning’ata kisigino, mara ya pili nmeota nmemkuta nje ya Choo na mara ya tatu nmeota tulikua na wenzangu tulivyomuona
tu uyo nyoka tukaanza kukimbia..

    Nuru ya UpendoPosted on10:49 pm - Sep 28, 2020

    Esther ongeza maombi…Kwa maelezo marefu namna ya kuomba soma hapa >> FAIDA ZA MAOMBI.

    Rachel UrioPosted on9:09 am - Feb 4, 2021

    Jaman Mungu akubariki sana mtumishi wake, mm nimeokoka lakin siku za ivi karubun nimekuwa nikandamwa sana na majanga yaan nikanza kuomba au kufanya ibada za asubuhi na jion najikuta nimesahau na kuacha kuendelea alafu baadae nakumbuka tena naanza jipya sasa nikaamua kufunga ili nimuombe Mungu anishindie ktk hili pia nimekuwa nikiomba kazi sehemu nyingi sana lakin sifanikiwi hivyo niliunganisha maombi moja ikiwa ni Mungu aniimarishe katka maombi na pili kupata kazi maana kuna mbali nimeomba sasa jana nilifanya na nilshinda nikiomba usiku nilipolala nikaota kuna joka kubwa linapigana na mm lakin cha kushangaza nilikuwa nikiomba na likawa linaogopa sana lakin alikufa ni kama nilionyeshwa lipo uvunguni kwangu ndoto yangu ikaishia hapo

AxePosted on6:09 am - Sep 21, 2020

Allah anaouwezo wa kutenda yote hayo infact same God haina haja ya kubadili Imani ni kumuomba tu

RosePosted on2:23 pm - Sep 18, 2020

pia naomba kujua na asili yake

RosePosted on2:22 pm - Sep 18, 2020

Naomba kujua maana ya jina Rose.

AnonymousPosted on9:52 pm - Sep 17, 2020

Naomba uwe unatitumia na mm haya masomo kwa njia ya email
michaelbabayo61@gmail.com
Na MUNGU akubariki

    Nuru ya UpendoPosted on10:40 pm - Sep 17, 2020

    Tayari nimekutumia email ya ku-subscribe unaweza kuiangalia inbox na kuikubali…masomo yatakuwa yanakufikia moja kwa moja kwenye email yako pindi tunapoyarusha.

    Mungu akubariki!

Christian jakorachaPosted on3:03 pm - Sep 17, 2020

Ningependa kujua maana ya neno hisia kwa undani zaidi

AnonymousPosted on2:53 pm - Sep 17, 2020

Naomba uniadd kwenye group lenu 0718825522 idanbless

Leonard BugombaPosted on9:02 am - Sep 17, 2020

Mungu akubariki kwa kutufungulia,
Mafundisho yako yamenipa ufahamu, utambuzi na uelewa, kweli hivi Sasa najivunia kuelewa na kujua vitu vingi vya kiroho kupitia wewe, Mungu azidi kukupa nguvu utupe alichokujali 🙏🏿

SamsonPosted on11:54 pm - Sep 16, 2020

Mutu akijichora mwili muzima akibatizwa kanisa itamukubali na machanjo?

    Nuru ya UpendoPosted on12:11 am - Sep 17, 2020

    Ndugu Samsoni Chanjo zinazozungumziwa hapo sio “chanjo za kienyeji” ambazo zinahusiana na ushirikina na kuchanjwa chanjwa mwili (chale). Bali ni chanjo zinazotolewa katika mahospitali.

    Biblia imekataza kuchanja chale kwasababu zinahusiana na ushirikina ambao ni machukizo mbele za Mungu. Kasome Walawi 19:28.

    Na kama imetokea mtu alishachanjwa chale kabla hajaokoka, na sasa ameokoka na zile alama za chale bado zipo mwilini mwake, hiyo haimfanyi yeye asikubalike kwa Mungu, na alama zake hizo mwilini anaweza kubatizwa na kuendelea na wokovu kama mkristo mwingine yoyote yule..Alama hizo zitabaki tu kama makovu.

    Mungu akubariki.

BarakaPosted on11:32 am - Sep 16, 2020

Bwana Yesu asifiwe wapendwa katika Kristo.jaman ndugu hapo naomba mnisaidie kidogo sijaelewa kulingangana na jinsi Bwana wetu Yesu Kristo alivyoagiza katk Math 5:32 na 19:9,huyo mwenzi ni sheria aachwe endapo akajihusisha na uasherati au mimi naweza mstahi,mimi hapo nazungumzia either huyo mtu ni kam tabia zake lakini mimi nampenda.

    Nuru ya UpendoPosted on3:44 pm - Sep 16, 2020

    Baraka..

    Mungu hapendi kuachana kwa namna yoyote ile..

    Hivyo ni heri ukamstahi, na ni vizuri zaidi kwasababu biblia inasema..Achilieni nanyi mtaachiliwa..Ikiwa utamsamehe huyo mwenza wako, ni kwamba na wewe pia unajifungulia milango mingi ya neema ya Mungu kukusamehe mambo ambayo umekuwa ukimkosea..
    Isipokuwa imetoa ruhusu hiyo, ili ndoa isidhaniwe kuwa ni kitu cha kujiamulia tu kufanya unalotaka kujisikia, kisa tu umeshaoa/kuolewa.. Hapo mtu anaweza kuachwa na kusiwe na kosa lolote mbinguni.

    Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi.

GracePosted on12:51 am - Sep 15, 2020

Mara yakwanza Nikiwa ki dato cha 4 mwaka Jana niliota nakumbizwa n nyoka Ila nilikimbia San nilipofika mbele Kuna mty alinivuta nikashutuka Mara ya pili juz niliota nmelala nyoka yupo ju ya mbao kila akitaka kunigonga namkwepa nikashutuka

Mlondani mtéé adolphePosted on8:44 am - Sep 14, 2020

Jambo katika jina la yesu kristo. Mimi ni mtumishi, nataka kujiunga na kundi ili.

AlfredPosted on6:41 am - Sep 14, 2020

naomba maana ya jina la alfred

BARAKA MBUNGAPosted on11:26 pm - Sep 13, 2020

Leave your message arifu mfalme yesu kristo

Frank NzegenukaPosted on6:18 pm - Sep 12, 2020

Ubarikiwe Mtumishi admin. Ujunbe maridhawa na nimebarikiwa. Mini in Mchungaji Frank Wa Mwanza.

Florence Murugi kamauPosted on11:17 pm - Sep 11, 2020

Mamangu ni mgonjwa Sanaa nahitaji maombi yeni

Mohamed kassimPosted on11:08 pm - Sep 11, 2020

May Hosana be with you nimechanganya english na swahili but CREATOR bless you more

InusPosted on9:48 pm - Sep 11, 2020

Me naomba kufahamu njinsi ya kufunga yaan wakati gan kuanza kufunga na wakati gani kufungua

HarrisonPosted on2:06 am - Sep 11, 2020

hakuna yeyote kama mungu

Mohamed kassimPosted on11:22 pm - Sep 10, 2020

🙌🙌🙌🙌 aseee thanks alot

AnonymousPosted on9:10 pm - Sep 9, 2020

Amen, god bless you

Virginia Nicholas.Posted on9:53 pm - Sep 8, 2020

Amen, brother ,.nimebarikiwa, tena nimeelewa kabisa . Thanks.

John kombePosted on7:56 pm - Sep 7, 2020

Naijulikane kwamba karata na beting x nzur kw mkristo

Praygod amonPosted on5:01 am - Sep 7, 2020

natamani kuwa natumiwa mafunzo kama haya kwenye WhatsApp yang MUNGU awabariki sana (0678100220)

JonasPosted on3:11 pm - Sep 5, 2020

Mimi hayo yote nimeshafanya, nimekuwa mzinzi, muasherati ninajuta sana kupitia hayo.. sijakuwa mtiifu wa Amri za Mungu …. Mtumishi niombee nami niwe katika sehemu ya watakatifu

BECKAPosted on3:05 pm - Sep 5, 2020

JE MIAKA ELFU MOJA IKIFIKA UTAKUA WAPI

HOSEAPosted on11:46 am - Sep 5, 2020

Numebarikiwa Sana na nimeelewa sana .Mungu akubariki
By HOSEA mtumish wa Mungu

Barnaba ZawadiPosted on7:40 am - Sep 5, 2020

My phone number is +15152055754

AnonymousPosted on7:39 am - Sep 5, 2020

Bwana Yesu asifiwe sana! Mimi Nina Swali!
Swali langu limetokana na tafsiri uliyoitiwa kwenye somo mojawapo kutoka kwneye Kitabu cha Mwanzo 1:26. Kwamba hapa Mungu alikuwa anaongea na Malaika na sio na nafsi zake tatu kwa maana ya Bab, Mwana, na Roho Mtakatifu. Karibu kila mtu anajua kuwa tumeumbwa kwa mfano wa Mungu na kwa sura yake! Sasa Mungu anaposema kwa mfano wetu, huu mfono ni upi? Na anaposema kwa sura yetu, hili neno sura yetu, lina maana gani? Hii sura ni ya namna gani?

Mohamed kassimPosted on10:26 pm - Sep 4, 2020

Amin you bless me and may LORD GOD bless you

Mohamed kassimPosted on10:25 pm - Sep 4, 2020

Amin you bless me

SamuelPosted on10:32 pm - Sep 3, 2020

MOHAMED UNALETA SHAURI KWA SAMSON AU LA! NI SWALI KAMA SWALI ZINGINE?

John kitwanaPosted on7:31 pm - Sep 3, 2020

Ujumbe Mzuri sana!

Barikiwa sana

Mohamed kassimPosted on5:17 pm - Sep 3, 2020

Shalom me ninavyojua hakukuwa na uzao wa Adam peke yake.
Ule ulikuwa uzao wa MUNGU alafu kuna uzao mwingine ulikuwepo.
Ndio maana BWANA MUNGU hakumwambia Adam akazae ili aongezeke. Ila yupo mwingine Aliyemuumba Akamwambia akazae aongezeke Mwanzo 1:26.

Sasa Kama ni hivyo kwa nini MUNGU Awalaani kwa kula tunda???
Na ukweli wa hilo tunda lilikuwa ni uzinzi ingawa imefichwa. Ila huo ndio ukweli ukitaka kuelewa kwanza angalia hoja zangu:

01: MUNGU alilaani Kati ya uzao wa Hawa na nyoka akaweka uadui Kati ya mizao yao. Mwanzo 3:15.

02: MUNGU Alimwadhibu mwanamke katika uzazi wake kwa nini owe hapo tu na sio kwa namna nyingine????
Pia me sijaona sehemu ambayo MUNGU alimwambia Adam akazae na kuongezeka sijaona.

03: Jambo lingine ni kujigundua kuwa wapo uchi. Hili limenifanya nifikirie Sana kitu gani kilichopelekea kujua kuwa wapo uchi???

SAMWEL NGABUJIPosted on2:23 am - Sep 3, 2020

barikiwa sn

Samson makungisaPosted on6:01 pm - Sep 2, 2020

Je! Ilikuwa ilitoka kwa mungu kuwa kaini ajitwalie binti kati ya babaye na azaye naye na ule binti akubali tumbo yake izae laana Kupitia kaini?

HuzayduPosted on4:57 pm - Sep 2, 2020

Maana ya jina Huzaydu

JosephatPosted on9:10 am - Sep 2, 2020

Barikiwa mtumishi!!

Naweza kuyapata masomo haya kwa kupitia email yangu

CPosted on8:45 pm - Sep 1, 2020

Nimevutika sana na mafundisho yako mimi ukweli napenda sana kusali lakini nina tatizo linalonitesa nalo ni kujichua na kuangalia picha za uchi nimejaribu sana kuacha lakini nashindwa kwa sababu hata kuomba sijui naomba msaada wa muongozo wako nifanikiwe

AmaniPosted on4:17 pm - Sep 1, 2020

Ili tuweze kuwa matajiri ina hitaji kuutafutia ufalme wa mbinguni na ayo yote tutazidishiwa ko inamaana kuna njia za kuutafuta uo ufalme na tukishautafuta na tukijua ivo basi utajiri huu juu yetu

AmaniPosted on4:13 pm - Sep 1, 2020

No I don’t agree with you

Mohamed kassimPosted on9:30 am - Aug 28, 2020

Be blessed bro.
Samahani unakijua kile kitabu kinachohusu namna au historia kuhusu mateso waliyopata kanisa la mwanzo????

Moses MohamedPosted on12:43 am - Aug 26, 2020

Nimeyapenda masomo yenu, naomba mnionganishe.

Mohamed kassimPosted on9:03 am - Aug 25, 2020

Amin stay blessed in grace

irene daudiPosted on10:09 am - Aug 24, 2020

tumsifu yesu kristo ni ngependa kujua maan ya majina ya fuatayo etropia, francis, na avelina

    Nuru ya UpendoPosted on11:15 pm - Aug 24, 2020

    Amen.

    Francis maana yake ni “Mfaransa” (Mwanaume wa kifaransa) kwa kiingereza “Frenchman”..Francis, Franklin maana zao ni moja, na kifupi cha Francis na Franklin ni Frank.

    Avelina maana yake ni “Nguvu”

    Etropia Sijapata maana yake.

Mohamed kassimPosted on10:19 pm - Aug 23, 2020

Maran atha amin

Mohamed kassimPosted on2:26 am - Aug 22, 2020

Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU mwenye nguvu

Mohamed kassimPosted on2:25 am - Aug 22, 2020

Ubarikiwe mtumishi

Pagoda benardPosted on1:32 am - Aug 22, 2020

Naomba unitumie hicho kitabu mtumishi…
pagodabenard@gmail.com

laurent johnPosted on5:15 am - Aug 21, 2020

Nimependa sana mafundisho haya na nimeokoka nina mtumikia mungu naomba pia kuwannatumiwa jumbe za mafundisho WHATSAPP natumia namba hii 0716806911 naitwa laurent john niko tanga

Buziku Ndolile MsangaPosted on10:54 am - Aug 18, 2020

Mungu akubariki zaidi

Bruno MwanawalayaPosted on8:27 am - Aug 16, 2020

Ubarikiwe mtumishi kwa neno

fred edsonPosted on12:24 am - Aug 16, 2020

Naomba unitumie masomo

Amedeus kessyPosted on2:09 am - Aug 13, 2020

Watumishi naisoma sana hii page yan nakesha nayo mnanijenga kweli Mungu awabariki sana

    Stella PatrickPosted on11:46 am - Aug 21, 2020

    Habari za kazi! napenda kujua maana ya jina Leonora na Leonia

      Nuru ya UpendoPosted on7:19 pm - Aug 21, 2020

      Nzuri,Sina uhakika sana na tafsiri ya jina hilo “Leonia” sijapata chanzo cha kuaminika sana, lakini kutokana na vyanzo mbali mbali, asili ya jina Leonia ni kutoka katika lugha ya kiitaliano, “Leon” kwa kiingereza “Lion”(yaani Simba).

      “Leonora” asili yake ni kiitaliano hiyo hiyo, na tafsiri yake ni “Light” yaani “Mwanga” Ni lugh

    AnonymousPosted on6:10 pm - Sep 10, 2020

    meaning of evabrayna

Vestina NghabiPosted on3:43 pm - Aug 11, 2020

Leave your message naomba kujua maana ya majina Vestina,Dinnah,Paskazia

Mohamed kassimPosted on10:29 am - Aug 11, 2020

Amen be blessed man of GOD

Mohamed kassimPosted on10:28 am - Aug 11, 2020

Amen be blessed

GEORGE ANDREW JEREMIAPosted on5:23 pm - Aug 10, 2020

Nimebarikiwa sana na Mafundisho yako, Mungu azidi kukutumia katika kiwango kisichokuwa cha kawaida, maana kupitia mafundisho haya watatoka Wachungaji, maaskofu, waanjilisti n.k.
Kupitia mafundisho yako
1.umenitoa katika kifungo fulani.
2.Umeongeza ujuzi wangu juu ya maswala ya Kimungu.
3.Nimepata njia rahisi ya kushinda majaribu.
4.Nimetiwa Moyo sana juu ya kazi ya Mungu.
BE BLESSED.

Mohamed kassimPosted on10:24 am - Aug 10, 2020

BWANA YESU akubariki sana. Ubarikiwe zaidi

OSCAR MWAKIBINGAPosted on8:41 pm - Aug 9, 2020

niunganishe mtumishi wa BWANA

Anania PaulPosted on10:23 am - Aug 9, 2020

Nimebarikiwa sana mkuu

FridaPosted on11:12 pm - Aug 7, 2020

Asante Sana Kwa ujumbe huu. Nimepata kitu kikubwa Sana. Barikiwa.

IbrahhPosted on10:34 pm - Aug 5, 2020

Amina kwa ujumbe mzuri

Elifaraja mollelPosted on11:34 am - Aug 5, 2020

Shalom Mtumishi nimeota ndoto mfululizo mara4 na huwa imetokea usiku na asubuhi ndio nalala mara nyingi na ninaota naenda shule mara ya kwanza niliota natakiwa kufanya mtihani ila ilikuwa Kama asubuhi saa 12 kasoro asubuhi au saa moja jioni namaanisha ilikuwa ni Giza La mida kama hyo nliotaja ikawa kabla ya kufanya mtihani tukaenda uwani lakini wakati tunajisaidia (haja ndogo) tuliona wanaume tukawa tunawapisha kumbe wenzangu wakajificha kabisa alafu Mimi nikasema acha tu niende mwenyewe japo naogopa nikarudi shuleni ile naingia tu ndani ya geti nikatekwa na mtu wa kike nikapambana Sana nikaita walimu baadae akaniachia ikawa ndoto illishia hapo.
Mara ya pili nikaota nimevaa mavazi ya shule naenda shule akatokea mwanaume akawa ananifuatilia kwa nyuma nikimchenga ananipata sasa ikafika mahali alinikimbiza Sana akanikamata alivokuwa ananikokota nimfuate tukafika kwenye daraja lina maji tukagombana nikampush akadondoka me nikakimbilia shuleni ghafla nikamuona amefika nikawaambia walimu mwal mkuu wa shule ya secondary niliomaliza ndio nilimfahamu nisaidieni huyu mtu ananikimbiza naona ana hila na me lakini walimu wakawa wanajitahidi kunizinga ili nisipatikane lakini alinipata nikakimbia tena nikimchenga njia nikaingia kwa nyumba ya mtu simfahamu lakini alinifuata mpaka kwenye hyo nyumba wakati hajanishika ni Kama ameongea umefika wapi pale nikashtuka usingizini.
Mara ya tatu ni Leo asubuhi nikaota nimeenda shule nikakutana na marafiki zangu tuliosoma sec lakini shule hyo ni Kama sec Pia kwamaana nyingine tuliachanaga na hao marafiki zangu tulikuwa wote dini moja ni viongozi wa dini sasa ikawa sisi wote ni wageni hapo shuleni kwahyo kengele ilipogongwa hatukujua ni ya nini tukachelewa kuingia ndani ya shule tukamuomba mlinzi akatukatalia katu kwanza ikawa anatupiga piga ila akazidi kunionea Mimi,ndoto ikawa Kama imeisha nilivoendelea kulala nikajikuta tulikuwa darasani ila sijawaona tena wale marafiki zangu tukiwa darasani tunatakiwa kuanza kipindi wanafunzi wakawa wanaenda kujisaidia Mwl Akasema mbona wanachelewa hivi waliporudi me nikatoka wa mwisho ili nikifika uwani nisikute folen lakini nilipofika nilikuta vyoo vimefungwa hakuna kuingia nikaomba kuingia cha walimu nikaambiwa mfuate mlinzi kwasababu alieingia amefokewa Sana sasa nikamfuata Mwl Wangu wa sec alikuwa secretary alikuwa ananipenda Sana nitamwambia naomba ruhusa kuingia uwani akanifanya kunigusa na mwamvuli nikamwambia madam mbona unanitoboa akaniambia ndio kwani hujui me ni muuaji? Nikamuacha nikamfuata mlinzi akaniambia muda wa kuingia uwani imeisha tukavutanaa nikashtuka usingizini
NB katika shule hizo sijaweza kutambua kuwa ni shule nilioisoma secondary na Pia kwa kila ndoto mazingira ya shule yamekuja tofauti tofauti naomba unisaidie kunipa maelekezo.asante

Peter MadejePosted on9:55 pm - Aug 4, 2020

Nimeyapenda sana MASOMO yenu Watumishi Wa MUNGU.

Naomba mniunge kwenye group la WHATSAPP
Namba: 0622472207

Nuru ya UpendoPosted on1:49 pm - Aug 2, 2020

Wild, tukisema ofisi, hatumaanishi ofisi yenye kiti, na mezi, na stuli, hapana,tunamaanisha cheo, au uthihirisho wake kwa wakati fulani, ni sawa na mtu mmoja anayeitwa John, akiwa na mke wake, yule mke atamwita mume, watoto wake wakimwona watamwita baba, baba yake akimwona atamwita mtoto, wajukuu zake wakimwona watamwita babu, wafanyakazi wake wakimwona watamwita boss n.k.

Lakini yeye sio mume, au mtoto, au mjukuu, au baba, au boss, au chochote kile..bali yeye ni JOHN, mmoja. Isipokuwa alitambulika kwa vyeo vile kutokana na ofisi alizozipitia.

Na ndivyo ilivyo kwa Mungu. Mungu hana Roho saba, wala nafsi 3 au 9..Ana Roho Moja na Nafsi moja, isipokuwa ofisi nyingi. Ubarikiwe.

Amos MakobaPosted on12:59 pm - Jul 30, 2020

Naombeni mniadd kwenye group la WhatsApp
Namba yangu ni: 0747520134

mringo je2Posted on11:27 pm - Jul 29, 2020

hii kit imenisaidia sanaa na inafundisha vizuri sana

John SangaPosted on11:29 am - Jul 27, 2020

Asante nimekuelewa Sana ndugu yangu mungu akubariki

VaiPosted on9:21 am - Jul 26, 2020

Nimetoa Niko kama napita kwenye kibaraza za nyumba na ndani kama kuna watu na hapo ninayopika tuko wengi tunapishana ila mimi na mtu mwingine simjui tukaona nyoka kwa chini ya kibaraza wengi aina mbalimbali akanirushia panga tukarukia kwa chini na kuwaangamiza kwa kuwekata vichwa mara yule mwingine simuoni nimebaki peke yangu nikaendelea kupambana ili wasijeenda kwenye kibaraza na kudhuru watu nyoka mmoja mweusi nikamkata shingo na panga ilikatika nusu na panga likabaki hapo akawa anajikokota nilimtafuta nimalizie nikamkata anamezwa na nyoka wa kijani mrefu kiwiliwili kimeangalia juu mkia wakati nashangaa nikashtuka usingizini.Maana yake nini?

Lil preynePosted on12:16 am - Jul 26, 2020

Ninzur ningependa kujuwa maana hilijina

robert mwangiPosted on5:40 am - Jul 22, 2020

hujambo natarajia uko xalama,pia mimi nimekuwa nikiota nikipaa juu angani kwa muda xaxa

NkiliyemeshakPosted on7:46 pm - Jul 19, 2020

Ni tumie somo la kunifundisha utatu mtakatifu,na dalili za kuonesha kuwa mtu huyu kaisha mkufuru roho mtakatifu

Rehema MwasampetaPosted on8:22 am - Jul 19, 2020

Napenda mafundisho nitumie kila mnavyoweza

Nuru ya UpendoPosted on11:21 am - Jul 17, 2020

tayari, Bwana akubariki.

Grace MaroPosted on5:36 am - Jul 17, 2020

Masomo mazuri sana nami nahitaji kujifunza zaidi, namba ya wasap 0785467472

MakungisaPosted on11:17 pm - Jul 13, 2020

Nitumie abari ya daudi kwenye email yangu

RafaelPosted on1:33 pm - Jul 13, 2020

Nitumie tafadhazali abari za daudi kwa email yangu

Mongera MosesPosted on8:44 pm - Jul 6, 2020

Naomba msaada kuna sehemu nilisoma kwenye Biblia ikionyesha mtiririko wa vitu vya kupenda kwanza Mungu pili wazazi tatu mke/mme nne watoto n.k.

MAJALIWAPosted on9:58 am - Jul 6, 2020

UBARIKIWE MTUMISHI

Jerome PeterPosted on12:29 pm - Jul 4, 2020

Ahsante kwa tafsiri hugo nzuri.
Umejitahidi kuelezea vizuri rafiki.
Mungu wa mbinguni akuimarishe katika utendaji wako huu.

Julius R.Posted on5:29 pm - Jul 2, 2020

nashukuru kwa masomo yako Mungu akubariki

Rowland, A.RPosted on8:09 am - Jul 2, 2020

Ubarikiwe pastr, nashukuru kwa mafafanuz sahihi ya NENO la MUNGU nazd kuelewa na kuwa huru. Kazi yako si bure, utalipwa!!

Joseph SalvatoryPosted on2:07 am - Jul 2, 2020

Mh! Hili swala ni swala mtambuka, Mbona ni walimu, na ni Mashemasi. Na zaidi sana wanapangwa katika kutoa hubiri katika Ibada

Joseph SalvatoryPosted on1:42 am - Jul 2, 2020

Masomo mazuri sana!

jj0344916@gmail.com

Rowland,asante RobertPosted on7:58 pm - Jul 1, 2020

Shalom pastr, naomba kutumiwa masomo kwa njia ya whatsap, +255 768 165 739

RogathPosted on9:10 pm - Jun 26, 2020

Amina. Ubarikiwe ndugu

Shaphat Samuel KaponelaPosted on3:24 pm - Jun 26, 2020

Naomba kutumiwa masomo yenu kupitia email yangu . Nimepokea mengi mema kupitia kurasa hizi. Bwana awabariki sana kwa kazi hii.

Bakari ByaombePosted on12:47 am - Jun 26, 2020

Ubarikiwe mtumishi, je unaweza nitumia somo la nyakati 7 za kanisa?

Saimon maina karumbePosted on12:04 pm - Jun 25, 2020

nataka

Paul ArokaPosted on11:06 pm - Jun 19, 2020

Naomba kupata hizi falme na miaka walio tawala. Lkn pia Mtumishi wa BABA ubarikiee sana

Nuru ya UpendoPosted on9:49 pm - Jun 19, 2020

Asante, na Ubarikiwe nawe

Manase SilumbwePosted on7:51 pm - Jun 19, 2020

Nabarikiwa sana na mafundisho haya pia yananikuza kiroho na kumjua Mungu.
Ubarikiwe sana na Mungu wa Mbinguni azidi kukutumia! Amen

Noel Sylvester ruhigwaPosted on6:52 pm - Jun 19, 2020

Nimebarikiwa

Japhet ladislaus mkaiPosted on6:38 am - Jun 19, 2020

Amen ubarikiwe sana ,Mungu akutendee sawasawa na unachostaili

Nuru ya UpendoPosted on10:31 pm - Jun 17, 2020

Amen ubarikiwe nawe pia mpendwa..Mungu azidi kukupigania

Nuru ya UpendoPosted on10:25 pm - Jun 17, 2020

Andiko hilo linazungumzia UTAKATIFU, kama lilivyoanishwa pale ….

JULIUS MAZIKUPosted on5:29 pm - Jun 17, 2020

Nimesoma humu Habari ya waliopo paradise yaani peponi Lkn andiko lilioainishwa la waebrania 12:14 halisemi hivyo ,Vp andiko gani linathibitisha ,?

REUBEN PINDO SAGUDAPosted on5:19 pm - Jun 17, 2020

Kwaimani yangu Mungu hakika nawabariki azidi kuwafunulia zaidi kwa maana nimejifuza masomo yenu tungu mwaka jana sasa wakati huu.

JULIUS MAZIKUPosted on4:16 pm - Jun 17, 2020

Mtu ambae ameokoka karibuni tu na hajawahi kubatizwa,Lkn alitubu na kuacha dhambi zote ,NA akafa je nafasi yake ktk unyakuo na mbinguni ikoje?

RogahtPosted on7:14 am - Jun 13, 2020

Samahani ndugu. Ikiwa mimi nina kasoro za kusikia je naweza kuhubiri injili kwa njia ya simu?

Isack Sengati EmmanuelPosted on12:33 am - Jun 12, 2020

What makes all these things in the world today? What makes these ladies wear little shorts? What makes them wear those blouses that you can see their clothes through? What is it? It’s hungry children. That’s right. Thirsty!

“Blessed are ye when you hunger and thirst after righteousness.”
56-0715 – The Mark Of The Beast
Rev. William Marrion Branham

Fanuel makungisaPosted on1:54 pm - Jun 10, 2020

I’ll say hallelujah to the lamb of god

Wilbert LucasPosted on12:31 am - Jun 7, 2020

Samahani sana mtumishi, naomba nitumie hicho kitabu kama hutojali

Nuru ya UpendoPosted on11:50 pm - Jun 6, 2020

Kuhusu Papa, biblia inatupa tafsiri kuwa atatokea katika ule ufalme wa mwisho wa nne ambao ni Rumi..Na wakati wa mwisho atahamishia makao yake Israeli, na kutaka kuabudiwa pale kama Mungu..

Nuru ya UpendoPosted on11:45 pm - Jun 6, 2020

Vita ya Magogu (Ezekieli 38&39) Ni tofauti na vita ya gogu na magogu (Ufunuo 20:8) ..japo unaweza kuona kama majina yanafanana lakini ni vita mbili tofauti.. Hiyo ya kwanza ndio itakayopiganwa kabla ya dhiki kuanza, na hiyo nyingine itakuwa baaada ya ibilisi kufunguliwa kwa kitambo kama maandiko yanavyotuambia..

Nuru ya UpendoPosted on11:37 pm - Jun 6, 2020

Shalom, tayari nimeshakutumia invitation link..unaweza ukaangalia.

Emmanuel MarikiPosted on6:17 pm - Jun 6, 2020

Bwana Yesu asifiwe. Mungu awabariki sana kwa kazi yake na utumishi wake kwenu. Tafadhali naomba muwe mkinitumia masomo haya kwenye WhatsApp 255784670943.

GodfreyPosted on4:19 pm - Jun 6, 2020

Pia naomba uangalie vizur vita ya Gogu na magogu,wewe umeitafsiri kwamba vita hii itafanyika mwishoni mwa kipindi cha millennium,nijuavyo mimi vita hii itafanyika muda mfupi kabla ya dhiki kuu kwasababu wakati huu ndio kuna mataifa yanayotaka kuiangamiza Israel,lakini katika utawala wa milenium hakutakuwa na nchi zitakazodhamiria kuipiga israel isipokuwa ni shetani atakapoachiliwa kidogo ili awadanganye binadamu wa kipindi hicho

GodfreyPosted on4:11 pm - Jun 6, 2020

Umechambua vema na Mungu akubariki lakini kwanini mnasema mpinga kkristo ni papa? Kwanini unasema makao yake ni Vatican badala ya Israel ambapo chukizo la uharibifu ndio litakapofanyika?

MILDRED CUSIELPosted on6:14 am - Jun 6, 2020

SIJAKUELEWA NA WALA SINTAKUELEWA

ZephaniaPosted on9:22 am - Jun 5, 2020

Shalom ningependa kuuliza je ukiota unaona nyota zipokimakundii nyingi halafu unaona kama unyayo wamguu ukiwa kama umezikanyaga…halafu tena baada yahapo unaota zipo zenyewe tuu ….nikaota tena Siku nyingine hizohizo nyota ninaziona angani tena mbili zikiwa zinakimbia kwaspeedi kubwa zikiwa na uwino sawia

Emmanuel KifaroPosted on4:03 pm - Jun 4, 2020

Mtumishi wa Mungu, Salamu katika Jina la Yesu Kristo

Nimesoma ujumbe huu, kwa kweli umenifundisha kitu cha thamani sana katika maisha yangu na utumishi Mungu alioweka ndani yangu. Ninakuombea neema ya Mungu izidi kukufunika na kukuongoza, zaidi sana aendelee kuachilia mafunuo ya Neno lake kupitia kwako ili kuzidi kuujenga mwili wa Kristo.

Barikiwa!

Nuru ya UpendoPosted on1:38 pm - Jun 4, 2020

Shalom, vitabu hivyo vipo, vinatumiwa na dini ya ki Katoliki, Ni vitabu visivyo na kiini cha Ukristo ndani yake, Na si kweli kwamba vinakufanya umwite malaika uzunguze naye, huo ni uongo wa wazi, vitabu hivyo havina lolote la ziada, zaidi ya maneno mengi kupinzana tu na msingi kamili wa maandiko..

Hivyo achana navyo usivisome, baki na vitabu vile 66 vya biblia.. Vingine vyote si Neno la Mungu, bali maneno ya wanadamu.

Ubarikiwe.

JULIUS MAZIKUPosted on5:06 pm - Jun 3, 2020

Siku moja Kabla ya kinauma kuokoka nilikuwa katika moja ya makanisa,nikamsikia anaeitwa PROPHET. () akisema nyingi yaani waumini.Bado wachanga,kiroho Ile ukomae unapaswa upate vitabu vitano vilivyoondolewa ktk biblia hapo unaweza hata kuwaita malaika ukaongea nao .akataja moja ya kitabu Hicho ni cha TOBITI.me kweli? NA hivyo vitabu vipo watu wanavyo?

Rogath HenryPosted on7:50 am - Jun 3, 2020

Samahani huyo ndugu mwenye hizo namba mbona hapatikani?

Rogath HenryPosted on2:13 pm - Jun 2, 2020

Samahani nina swali: je kufanya mazoezi ya viungo napaswa kujiepusha nayo?

    Nuru ya UpendoPosted on11:10 pm - Jun 2, 2020

    Shalom..Mazoezi yoyote yasiyohusisha mifumo ya kiduni ambayo ni machukizo kwa Mungu si dhambi ndugu yetu…kwamfano kufanya mazoezi kama ya kuruka kamba, kukimbia kwa kuzunguka uwanja, kutembea n.k si dhambi…ila hayapaswi tu kufanyika kidunia kwamfano mwanamke/mwanamume kukimbia huku kavaa nguo zinazochora maumbile ni machukizo..mazoezi yanapaswa yafanyike kwa nguo ambazo hazibani mwili kabisa.

    Ubarikiwe sana.

Daudi reubenPosted on8:44 pm - May 30, 2020

Haya bhana soma biblia vizuri

Max FaidaPosted on11:15 pm - May 29, 2020

Kiukweli nimeelewa sana ,Mungu wa mbinguni akubariki sana na Neema ya Bwana wetu Yesu kristo iendelee kutufunika siku zote za maisha yetu.

Baton MgonijendaPosted on2:55 pm - May 29, 2020

Nimebarikiwa na somo la kujua hits za shetani

John MessaPosted on4:45 am - May 29, 2020

Bwana yesu asifiwe. Nimependa mafundisho yenu na ningependelea munitumie mengine kwenye email yangu. Nimebarikiwa sana na nimeona ni vizuri na mimi kufundisha haya mafunzo yenu. Yamenijenga sana kabisa.

    Nuru ya UpendoPosted on11:04 pm - May 29, 2020

    Amen..uzidi kubarikiwa na Bwana..tumekutumia email ya kusubscribe ambapo itakusaidia kuyafikisha masomo yako moja kwa moja kwenye email yako pindi tunapoyaweka humu.

BeatusPosted on3:09 am - May 29, 2020

Asante kwa ujumbe mzuri

Annastazia A KajangePosted on1:44 pm - May 28, 2020

Amina nawe pia ubarikiwe

Christian josephPosted on8:08 pm - May 26, 2020

Nimependa sana masomo na ntapenda zaid kama ntatumiwa WhatsApp -0683845180 au email- chrisbrain051@gmail.com

daudiPosted on12:12 pm - May 26, 2020

nimejifunza kitu kikubwa Mungu akubariki sana mtumishi kwa ujumbe huu mzuri.

PhanicePosted on4:15 pm - May 24, 2020

Mungu awabaraki kwa mafundisho mema.nazidi kubarikiwa

Samwel JosephPosted on12:48 pm - May 24, 2020

Amen Amen
nimefunguka macho na kuelewa
Mungu awabariki sana kwa Mafundisho haya

RespiciusPosted on10:19 am - May 22, 2020

Naomba muwe mnanitumia hayo mafundisho alfu ntakuwa nawauliza maswali

PhanicePosted on12:21 pm - May 19, 2020

Nimebarikiwa Na huu ujumbe.Mungu akubariki kwa kazi njema unayoifanya

Eveline williamPosted on11:05 am - May 18, 2020

God bless you ninetafuta maana kwa muda mrefu leo nimefunguka pakubwa

GloryPosted on3:02 am - May 18, 2020

Naomba kuuliza mm nimeota babu yangu aliefariki muda mrefu sana toka 2007 yeye na marafiki zake wawili na wote wameshafariki, Na katika iyo ndoto hao marafiki zake wawili walikuwa wameganda barabarani nikawa na mwambia babu mbona hawa hawaganduki nakazana kuwagandua hawatoki ila mwisho wa siku nikawa narudi nyumbani nikamwacha babu anawagandua kwenye kurudi nyumbani nikampitia mtu mahali tukawa tunakimbia kwa hofu kubwa sana wasije wakaganduka akatufwata ila niliekuwa nakimbia nae sikumwona sura yake. Lakini kwenye ndoto tulikuwa watano watu walio hai ila ninae mjua ni mmoja tu sijawahi mwona wala yeye kuniona labda kwenye picha tu na hatuna mahusiano mazuri (ni mwanamke) Nashidwa elewa hii ndoto.

    Nuru ya UpendoPosted on1:47 pm - May 19, 2020

    Shalom!…Ndugu yangu ndoto yako naamini ni moja ya ndoto wanazoota watu wengi ambao wameondokewa na wapendwa wao…mara nyingi ndoto hizo zinakuja zenyewe kutokana kwamba kuna kipindi katika maisha uliwahi kuishi au kuwa na mtu fulani na sasa hayupo…hivyo ni kawaida kuziota, na zinaweza kujirudia rudia…nyingi hazina maana sana ni za kuzipuuzia tu…Na hiyo ya kwako naamini ni hivyo hivyo…

    Kwa uelewa zaidi fungua link hii >> https://wingulamashahidi.org/2019/10/09/kuota-mtu-aliyekufa/

Mussa MasungaPosted on2:44 pm - May 16, 2020

Niunganishe tujifunze pamoja

PhanicePosted on12:25 pm - May 16, 2020

Ninalo swali kama mwanamke kusuka nywele kutamzuia kuiingia mbinguni.ningependa kujua mafunzo mengi kuhusu jinsi Roho mtakatifu huiingia Kwa mtu.je urembo humzuiia roho kufanya kazi ndani ya mwanamke

Tenda wemaPosted on9:46 pm - May 14, 2020

Hujambo ndugu.
nimependa mafundisho haya. Tafadhali uwe unani rushia mafundisho haya kwenye email adress yangu. Mungu akubariki na kazi njema.

Bahati MwandembaPosted on12:29 pm - May 14, 2020

Ubarikiwe. Wanadamu watakaopona kujaribiwa na shetani baada ya miaka 1000 wataishije milele bila kuvikwa miili mipya?

Sara UisoPosted on11:08 am - May 13, 2020

Shalom.Mimi bado sijaelewa inamana mwanamke akiachwa kwa kosa hilo anaweza olewa Tena ndoa halali?

    Nuru ya UpendoPosted on7:57 pm - May 13, 2020

    Shalom…kama mwanamume anaweza kumuacha mwanamke aliyeshikwa katika uasherati endapo tu na yeye tangu afunge hiyo ndoa hajawahi kufanya uashetari na mwanamke mwingine yoyote…lakini kama na yeye alishawahi kufanya aidha kwa siri au kwa wazi na akamkuta mkewe katika uasherati hapo anapaswa amsamehe na hapaswi kumwacha kwa vyovyote vile akimuacha na kwenda kuoa mwingine anazini…

    Na ikitokea mwanamume hajawahi kuisaliti ndoa yake na akamkuta mkewe katika uasherati hapo yupo huru kumuacha na kwenda kuoa mwingine kulinga na maandiko..ingawa kitendo hicho sio cha heshima kwa huyo mwanamume kama tulivyojifunza hapo juu. Na mwanamke huyo aliyeachwa hapaswi kuolewa tena mpaka mwanamume huyo afe atabaki hivyo hivyo bila kuolewa..akienda kuolewa anazini…atabaki kuwa mfano wa wale wake wa mfalme Daudi ambao waliolala na mtoto wa Mfalme Daudi aliyeitwa Absalomu.

    Ubarikiwe.

RogathPosted on9:55 am - May 11, 2020

Asante kwa mafundisho haya mungu akubariki

PhanicePosted on10:32 pm - May 10, 2020

Napenda mafunzo yako. Ubarikiwe sana naeza pata aje no yako

NestoryPosted on10:50 pm - May 6, 2020

Bwana Yesu asifiwe. Mungu awabariki Kwa KAZI nzuri ya uinjilisti. Mzidi kutupa elimu hii na Mungu awabariki

Pastor Samson Shinywa NgairaPosted on11:56 pm - May 4, 2020

Very much Happy and interested

Joseph Stephen MwinukaPosted on2:03 pm - May 4, 2020

Shalom!Mungu awabariki sana kwa kazi hii nzuri ya uinjilishaji.Naomba kutumiwa masomo haya

daudi j rogathePosted on7:52 pm - May 3, 2020

Mungu awabariki kwa kazi yenu nzuri

MichaelPosted on11:40 am - May 3, 2020

ahsante mtumishi was Mungu nimenufaika na mafundisho yako

Grace MananguPosted on12:38 pm - Apr 29, 2020

Bwana Yesu asifiwe sana! Kwanini Yesu alimpanda mwanapunda na si mama yake?

    Nuru ya UpendoPosted on9:01 pm - Apr 29, 2020

    Amen. Fungua hapa utapata majibu kwa urefu ndugu yetu Mpendwa >>https://wingulamashahidi.org/2019/04/18/kwanini-awe-ni-punda-na-mwana-punda/

Aminiel RensonPosted on1:58 pm - Apr 28, 2020

Bwana yesu asifiwe mtumishi wa mungu Ninaona ingekuwa bora zaidi uniunganishe whatsap 0621752820

Aminiel RensonPosted on7:52 pm - Apr 27, 2020

Mungu awabariki xana kazi yenu ni njema kwani nimejifunza Mambo mengi ya rohoni kwa muda mfupi na pia ninaomba mnitumie mahubiri zaidi kwenye email yangu

ZEBEDAYO KULWAPosted on1:22 pm - Apr 24, 2020

Umenifundisha pakubwa sana Mungu wa mbinguni akubariki.

EvaPosted on6:09 pm - Apr 23, 2020

Barikiwa sana.. Asante kwa somo

AnthonyPosted on11:16 pm - Apr 22, 2020

For its a holic group

AnthonyPosted on11:15 pm - Apr 22, 2020

I would like to join you

Tosha Joseph Msovela 0753083933Posted on6:27 am - Apr 22, 2020

Naomba namba yenu ya WhatsApp. Please!

Elizabeth E. MassawePosted on2:50 pm - Apr 21, 2020

Mungu akubariki kwa jumbe nzuri za kujenga hasa kwa waaminio.

Shaban WerePosted on9:09 am - Apr 21, 2020

Ahsante kwa ujumbe mzuri., naomba mafundisho kutoka kwenu.
Through whatsApp +254 712726420

Catherine WilliamPosted on10:41 pm - Apr 20, 2020

Me nimeota nimebeba mtito Mnene no mzito Sana’a kiasi kwamba nashindwa kutembea hii INA maana gan???

JamesPosted on10:55 pm - Apr 15, 2020

Amen
Nimebarikiwa na maelezo kuhusu ndoto ya kupaa angani.
Hata usiku wa kuamkia siku ya leo nimeota nkipaa.
Ninahii ndoto kwa mda mrefu sasa

josphat muthuriPosted on4:11 am - Apr 13, 2020

mungu asifiwa watu wa mungu,kwa kuwa ili neno liko tofauti na la dini yingi hapa nchini mwetu alafu namber yenu ya simu +255 kwetu ni +254 kama yangu +254712143154 au +254715473500

Nabii wa MunguPosted on11:01 pm - Apr 11, 2020

Nimebarikiwa na mafundisho kumtumikia Mungu kunahitaji kujikana na ya ulimwengu huu Bali kubaki kumtumikia Mungu daima.

Nuru ya UpendoPosted on9:42 pm - Apr 11, 2020

Amen ubarikiwe sana nawe pia mtu wa Mungu..masomo haya kirahisi zaidi unaweza kuapata hapa hapa kwenye tovuti yetu hii kwenye orodha ya masomo yetu au fungua link hii kukupeleka moja kwa moja kwenye orodha hiyo…>>https://wingulamashahidi.org/category/mafundisho/

sir benjamin assaph kingPosted on8:41 pm - Apr 11, 2020

shalom mtumishi wamungu; nafurahia sana masomo haya , na pia nasoma kwa hali ya juu zaidi kujua na kupata ufahamu vizuri zaidi. ningeomba kupata mfululizo wake, yaani mfululizo wa masomo haya ikiwezekana; ahsante sana nipo dar es salaam hapa; eneo ni kinyerezi tabata; nina huduma yangu hapa ya maombi na maombezi;- mbarikiwe sana sana:-

JOSEPH W.TYAZOPosted on10:47 am - Apr 11, 2020

Nimependa sana mfululizo wa masomo haya ningependa muendelee kunitumia tenanatena. Mungu awabariki.

Jacob MakonoPosted on5:57 am - Apr 11, 2020

Masomo haya yananibariki sana,yameandikwa kwa nafunuo ya ndani sanaaa.Ninatiwa moyo niyasomapo,ninafarijiwa,kuonywa,kukumbushwa na kukemewa pia.Mara nyingi huyasoma usiku 9-11.Mungu awabariki sana.

Emmanuel Mlewa KatanaPosted on5:10 pm - Apr 10, 2020

It has help me so much since I started reading this points,, May God bless you all who cooperate in this section.

Alex AngorePosted on2:01 pm - Apr 10, 2020

Mafundisho yenu yanani bariki sana. Asante kwa ufunuo mlio nao na Mungu azidi kuwafunulia yaliyo fichika

Anthony JumaPosted on2:35 pm - Apr 7, 2020

Naomba somo la Huduma ya Eliya hapa dunia

Nuru ya UpendoPosted on8:54 pm - Apr 4, 2020

tayari tumesha kuadd whatsapp ndugu yetu ubarikiwe

J.ntemiPosted on5:06 pm - Apr 4, 2020

whatsapp ;+255687388777

J.ntemiPosted on11:02 am - Apr 4, 2020

Naomba kujua taratibu za kupata masomo,kwa kifupi ninataka nipate masomo

    Nuru ya UpendoPosted on3:31 pm - Apr 4, 2020

    Unaweza kuyapata kupitia tovuti hii hapo juu kabisa kuna mahali pameandikwa mafundisho..kadhalika pia unaweza pia kuyapata kwa njia ya email au whatsapp..tutumie namba/email yako kupitia namba hizi tutakuadd kwenye group letu la Whatsapp..+255654555788

    Bwana akubariki.

MACKA MSHANIPosted on10:30 pm - Apr 3, 2020

Add me on Whatsapp 👉 0788605917 please 🙏🙏

MartinPosted on4:03 pm - Apr 3, 2020

Kwakuchukia maendeleo ya watu wengine

MartinPosted on3:47 pm - Apr 3, 2020

Naomba mnisaidie namba mnayo tumia whtssap

anna peterPosted on12:09 am - Mar 31, 2020

God bless you nimelia San kuyaon maandik hay inatakiw ifike wakat tuon mamb ya dunia hii ni ubatili mtupu.

Nuru ya UpendoPosted on11:19 am - Mar 28, 2020

Amen Bwana akubariki zaidi ndugu yetu.

baraka sammo,lindiPosted on10:32 pm - Mar 27, 2020

mbona kumekuwa kimya,masomo mapya hatuyapati?

Goodluck MinjaPosted on9:12 pm - Mar 27, 2020

Thanks for everything,for the word of God, you truly enlightened me!!!God bless you.

paul salim ramadhanjPosted on6:39 am - Mar 27, 2020

BWANA YESU ASIFIWE SANA MTUMISHI.
KWAKWELI NISEME NINI SIJUI ILANIMEKUWA ZAIDI KUTOKANA NA MAFUNDISHO YAKO,NIMEELEWA MAMBO MENGI NAKUPATA NURU KUBWA ZAIDI NA ZAIDI

PETERPosted on1:43 pm - Mar 25, 2020

Shalom katika matayo12:31kila dhambi watasamehewa wanadamu ila kwa kumkufuru Roho hawatasamehewa.Ina maanisha nini ukilinganisha na Isaya1:18-19 .Fafanua hili andiko kwa tata kwa kuzingatia vigezo vya kutafsiri maandiko

Irene MathiasPosted on3:05 am - Mar 25, 2020

Amina. Mungu akubarikini sana kwa mafundisho.

ProsperPosted on10:21 am - Mar 23, 2020

Naomba kujua mtumishi mara nyingi naota nipo darasani na kipindi cha nyuma nilikuwa naota nachunga kundi la wanyama na kunasiku nikaona kuna fisi wanakuja kutaka kung’ata nikawanapambana wasing’ate mifugo na mara nyingine nawapeleka mtoni kuwaonyesha maji hao mifugo

ProsperPosted on10:14 am - Mar 23, 2020

Naomba kujua mtumishi mara nyingi naota nipo darasani na kipindi cha nyuma nilikuwa naota machinga kundi la wanyama na kunasiku nikaona kuna fisi wanakuja kutaka kung’ata nikawanapambana wasing’ate mifugo na mara nyingine nawapeleka mtoni kuwaonyesha maji

Jack shalohaPosted on10:19 pm - Mar 21, 2020

Nakusalimia katika jina la Yesu kristo nataka kuuliza habari ya kuhusu Pasaka je Pasaka ndio Easter?
Na Pasaka inafaa tuisherehekee kiaje na tarehe zipi na mwezi?
Ahsante.

LandriiPosted on4:16 am - Mar 17, 2020

Namshukuru Mungu kwa ajili ya mafundisho haya hakika napata vitu vya kushibisha Nafsi.

AroniPosted on4:23 pm - Mar 9, 2020

Mungu hawabariki Sana watu mungu

Julias MichaelPosted on10:57 am - Mar 7, 2020

Leave your messag

ndugu, tafsili yako juu ya 2 Petro 3:5-6 sio ya kweli kabisa, Petro hakuzungumza habari ya Ghalika ya Nuhu hapo, umechanganya mafaili.

Chrisant SagaraPosted on6:11 pm - Mar 6, 2020

Asante

WilliamPosted on6:11 am - Feb 29, 2020

Juu ya PEMBE NDOGO na juu ya KUANGUSHWA KWA YERUSALEM PAMOJA NA HEKALU NA UKUTA NA UWEKAJI UPYA WA HEKALU hapakosahihi mpendwa!!!

JacksonPosted on7:48 am - Feb 26, 2020

N ujumbe nzuri sana unaofanya asubuh yangu kuwa njema kupata maarifa haya
Ubarikiwe

Imani RuzamukaPosted on2:58 pm - Feb 25, 2020

Asante sana

God FreelancersPosted on1:08 pm - Feb 25, 2020

Ubarikiwe sana Mtumishi. Umechambua vema sana

William MsanyaPosted on8:41 pm - Feb 24, 2020

Mada iko vizuri namshukuru Bwana kwa kukutumia vizuri kutupatia mafunuo haya ubarikiwe mtumishi

EdnaPosted on12:03 pm - Feb 24, 2020

Nahitaji Kujua kama Mungu aliumba Adam wawili Mwanzo1:27 Vs Mwanzo 2:7

    Nuru ya UpendoPosted on11:54 pm - Feb 24, 2020

    Shalom..Mungu alimwumba Adamu mmoja tu hakukuwa na mwingine…Kumbuka biblia sehemu nyingi haijaandikwa katika mtiririko wa matukio yanayofuatana kwamba likitoka hili linafuata lingine..hapana bali sehemu nyingine ina tabia ya kwenda mbele na kurudi nyuma..

    Kwamfano Kitabu cha Mwanzo sura ya Pili kinaelezea kwa undani jambo lililotokea Mwanza sura ya kwanza…ukisoma mwanzo sura ya kwanza utaona vitu vimeandikwa kwa ufupi tu, kwa mfano ukisoma mwanzo 1:11-12, utaona biblia inasema “11 Mungu akasema, Nchi na itoe majani, mche utoao mbegu, na mti wa matunda uzaao matunda kwa jinsi yake, ambao mbegu zake zimo ndani yake, juu ya nchi; ikawa hivyo. 12 Nchi ikatoa majani, mche utoao mbegu kwa jinsi yake, na mti uzaao matunda, ambao mbegu zake zimo ndani yake, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema. 13 Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tatu”

    Sasa ukienda mbele mlango wa pili ndio inaelezea kwa kina jinsi ni gani miche ilitokea…Mwanzo 2:4 “….Siku ile Bwana Mungu alipoziumba mbingu na nchi 5 hapakuwa na mche wa kondeni bado, wala mboga ya kondeni haijachipuka bado, kwa maana Bwana Mungu hajainyeshea nchi mvua, wala hapana mtu wa kuilima ardhi; 6 ukungu ukapanda katika nchi, ukatia maji juu ya uso wote wa ardhi”.

    Kwahiyo unaweza kuona hapo..Sura ya pili inaelezea kwa undani mambo yaliyokuwa yanaendelea katika sura ya kwanza ambayo katika sura ya kwanza yameelezewa kwa ufupi tu…Na hata Hata Adamu na Hawa katika sura ya kwanza wameelezewa tu wameumbwa lakini haijaelezwa wameumbwaje umbwaje,..ambapo ukienda katika sura ya Pili ndio inaelezea kwa urefu zaidi kwamba waliumbwa kutoka katika mavumbi ya nchi…

    Vivyo hivyo sura ya 4 inaelezea kwa undani sura ya 3.

    Ubarikiwe.

    AnonymousPosted on11:02 pm - Feb 8, 2021

    Je,mzazi wa kanisa la kipentekoste Ni Nani?
    Mungu wa kweli Ana nafsi ngapi?je Ni vibaya mtu kuwa mshirika wa madhehebu au siyo vibaya?Je,Malaki 4:5-6 imeshatimia au bado?

Imani RuzamukaPosted on3:12 pm - Feb 22, 2020

Asante sana

AmosPosted on11:57 pm - Feb 21, 2020

Mafundisho yatujenga kweli kwel.
Inaweza kupatikana kwa inbox hii mafunzo?

GLORIAPosted on4:35 pm - Feb 21, 2020

ASANTE SANA MTUMSHI NIMEBARIKIWA NA UFUNUO HUO. NA NIMEONA KUNA SHAUKU NDANI YANGU YA KUWA NA NGUVU HII YA KIUNGU NDANI YANGU. BARIKIWA SANA

SagumoPosted on10:40 am - Feb 20, 2020

Nimekuelewa sana mkuu ktk hii mada yako sasa naomba kuuliza kitu kwamba kwnn sasa Mungu nae haangaiki kutafuta watu kama anavyoangaika shetani ikiwa yeye ndie ametuumba na kutuficha maarifa mengine ambayo sisi tulikuwa hatuyajui na shetani ndie anakuja kuyavumbua kuwa kumbe kuna uwezekano wa kufanya ili au lile alafu wakat huohuo ndio anakuteka sasa hebu naomba majibu mkuu
Japo hii topic ni ya muda mm ndio leo nimeipitia tafadhal ushirikiano

    Nuru ya UpendoPosted on11:04 pm - Feb 21, 2020

    Mungu wetu yupo karibu sana na sisi, kuliko shetani..Na tunayo nafasi ya kumkaribia Mungu zaidi kuliko shetani..Kinachowafanya watu waonekane wengi wapo upande wa shetani ni kwasababu “wao wenyewe wamechagua giza badala ya Nuru”. Yohana 3:19 “Na hii ndiyo hukumu; ya kuwa nuru imekuja ulimwenguni, na watu wakapenda giza kuliko nuru; kwa maana matendo yao yalikuwa maovu”.

    Na kumbuka uamuzi wa mtu kufanya mema au mabaya ni mtu mwenyewe anaufanya na si shetani anamfanyia mtu wala Mungu anamfanyia mtu. Sauti ya Mungu inayomshawishi mtu asiibe, au asiue, au asizini ipo kila mahali hata katika sheria za nchi, lakini sauti ya shetani inayomshiwishi mtu aibe, au aue, au azini huwa inakuja kimaficho…Sasa katika hali kama hiyo mtu akiamua kuitii ile sauti ndani yake ya kimaficho inayomwambia akaibe, au aue..hapo anakuwa mwenyewe kwa hiari yake amelipenda giza zaidi ya Nuru. Lakini kinyume chake kama akiikataa anakuwa kaipenda Nuru zaidi ya giza. Na katika siku hizi za mwisho, biblia imetabiri kuwa watu wengi watalipenda giza zaidi ya Nuru.

    Nimewahi kukutana na mtu ambaye alikuwa anatafuta kujiunga freemasons..nikamweleza kuwa wote watakaojiunga humo watakwenda jehanamu ya moto, akajibu analijua hilo, nikamwuliza je upo tayari kwenda Jehanamu ya moto ya milele? Akajibu ndio yupo tayari..mtu huyu alikuwa anamaanisha kabisa!..Pamoja na kumwambia madhara yote na uongo wote wa kikundi hicho lakini msimamo wake ulikuwa ni ule ule..alipoona nazidi kumweleza habari za Yesu Kristo, Mkuu wa Uzima..alinikimbia..

    Sasa watu walio mfano wa hawa wapo wengi..kwa idhini yao wenyewe wameamua kumtumikia shetani, na huku wanajua madhara yote ya kufanya hivyo…hawa wamependa Nuru zaidi ya giza, Na wanatabiriwa kuwa wengi katika hizi siku za Mwisho..Bwana atusaidie.

    Mkuu wetu Yesu Kristo akubariki.

SuitbertPosted on12:20 pm - Feb 19, 2020

Nimebarikiwa kwa midomo haya

Janeth HumphreyPosted on6:44 pm - Sep 3, 2019

Nimebarikiwa sana na mafundisho yenu. Mungu azidi kuwatumia kwa vwango vingine. Hakika Mungu ni mwema

MsubaPosted on4:21 pm - Sep 3, 2019

Mbona hizo roho saba hazijaelezwa km kichwa cha habari kilivyoandikw

Mashibe EliasPosted on12:51 pm - Aug 26, 2019

Nilikuwa naomba kujua hizo hesabu za majuma 70. Yaani kutoka 455 B.C hadi pale 33.A.D. tafadhali.

Marco J.Massawe.Posted on6:29 pm - Mar 7, 2019

Ahsante kwa ujumbe mzuri sana.

Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.

JastinlawikimangaPosted on2:00 pm - Jan 1, 2019

MUNGU AKUBARIKI,KWA UJUMBE HUU ….

sara juliusPosted on5:40 am - Dec 22, 2018

Mungu awabariki namshukulu sana BWana Yesu kupitia hii web amenirudisha nilipo kuwa hakika nimefunguliwa

Jastin KimangaPosted on7:50 am - Aug 28, 2018

MUNGU AWABARIKI SANA