Showing all 2 resultsSorted by price: low to high
Hello this is kinda of off tolic but I was wondering if blogs use WYSIWYG editors or if you have to manually code with HTML. I’m starting a blog soon but have no coding skillls so I wanted too get guidance from someone with experience. Any help would be greatly appreciated!
Here is my homepage … HGH satın al
This poost is truly a fastidious one it assists new net people, who are wishing for blogging.
Have a look at my web blog Antalya to Manavgat transfer
Nashukuru kwa kuendelea kunipatia mafundisho mazuri ya Neno la Mungu. Naomba usinipite unapozuru wengine kwa niaba ya Yesu Kristo, Bwana wa Mungu.
References:
Casino Royale Filmlocations casino bonus ohne einzahlung
Bayern Spielautomaten Online https://vulkan-casino-bonus-code.online-spielhallen.de
Right here is the perfect web site for everyone who wishes to find out about this topic. You know so much its almost hard to argue with you (not that I really will need to…HaHa). You definitely put a brand new spin on a topic that has been written about for years. Wonderful stuff, just great!
Mbarikiwe sana!!
Amina tubarikiwe sote ndugu..
Naomba masomo 0780581699
Amina wasiliana nasi kwa namba hizi 0789001312
Am blessed so much
Shalom mtumishi. Nikihitaji huduma ya ubatizo naipataje?
Shalom, naomba uwasiliane nasi kwa namba hizi 0789001312
Nafurahi kuwepo hapa; mahali ambapo ninaukulia wokovu na kujua sana Mwana wa Mungu Efe 4:11-14 SUV [11] Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu; [12] kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe; [13]hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo; [14] ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwa huku na huku, na kuchukuliwa na kila upepo wa elimu, kwa hila ya watu, kwa ujanja, tukizifuata njia za udanganyifu.
https://bible.com/bible/164/eph.4.11-14.SUV
Amen
Amina
[…] katika kudumisha uhusiano mzuri. Kwa maelezo zaidi kuhusu umuhimu wa kuomba msamaha, tembelea Wingu la Mashahidi au Dar24.Kwa ujumbe zaidi wa kuomba msamaha, unaweza […]
nimebarikiwa
Amen uzidi kubarikiwa.
Whatsapp 0687210525
[…] maelezo zaidi kuhusu majina haya, unaweza kutembelea Wingu la Mashahidi au Nathanael Kibasa kwa taarifa zaidi.Katika kumalizia, ni muhimu kukumbuka kwamba majina haya […]
[…] Ni muhimu kwa waumini kuelewa historia hii ili waweze kujenga imani yao kwa msingi thabiti.Kwa maelezo zaidi kuhusu vitabu vya Biblia vilivyopotea, unaweza kutembelea Got Questions, Wikipedia, au Wingu La Mashahidi. […]
[…] maelezo zaidi kuhusu nafasi ya mwanamke katika kanisa, tembelea Nafasi ya Mwanamke Katika Kanisa, Wito na Dhamana ya Wanawake Katika Maisha na Utume wa Kanisa, na Thamani ya Mwanamke Mbele za […]
it is very helpful I’m ready to continue with this class and God bless you. continue to save
Amina Bwana aendelee kukujenga..
Asante sana nabarikiwa na mafundisho
Amina uzidi kubarikiwa..
Amen, nmebarikiwa mno na somo, ila turudi kwa swali kuu linalohusu bustani ya a Edeni ,, kwa utafiti mbali mbali na uchambuzi wa watafiti wakubwa ulimwenguni, hapa nataka kujiaminisha binafsi kuwa Edeni haikuwa hapa duniani, bali ilikuwa ni huko mbinguni kwa BABA, na kama sivyo!??? Basi Edeni imefichwa sana na Mungu mwenyewe, lengo ni kulinda mwanadamu asiyeingia na kuchuma matunda ya mti wa uzima wa milele wakaishia…
Ningependa masomo yaliyopo humu, kwenye page yenu
Amina, Bwana akubariki ndugu..
Hakika BWANA NI MWEMA
Ninaitaji sana maombi
Karibu, unaweza kuwasiliana nasi kwa namba zetu.. 0789001312/0693036618
wasiliana nasi kwa namba zetu..
Nimefurahi kusoma habari kinabii juu ya siku ya mwisho.
Kundi nzuri sana la mafundisho. Mungu Baba awabariki watumishi wake, Neema ya Bwana Yesu kristo iwe juu yenu daima. Najifunza somo mbalimbali kwenye group la WhatsApp Nuru ya Upendo.
Amen.. Ubarikiwe sana ndugu yetu mpendwa..
Nitumie message
Je wachawi wapo kundi lipi kati ya hayo??
Wachawi ni wanadamu wanaotumiwa na mamlaka za giza..
Nitumie ivyo vitabu niwe na soma
Ni kweli mtu anaweza kumlimit Roho Mtakatifu?
Asante sana umenipa majibu nimekuwa nikitafuta….
Atukuzwe Bwana..
Hiyo ufunuo 9 inamaanisha hivyo? Vipi walishika amri wapo wapi… farasi maana yake ni nini,,, mambo mengi unayaeleza kwa bila ufafanuzi wa ndani yaani unitumie biblia kujifasri
Nimebarikiwa Zaid kufahamu Jaana ya ubani na pia Kuja Jina la zazela ni ninani
Amen uzidi kubarikiwa na Bwana..
THE WORD OF GOD HAS OPENED MIND MIND TOWARDS DIVINITY UNDERSTANDING
Ujumbe huu ni mwema ila kwenye issue ya Ubatizo kwa jina la Yesu. sasa je ile Mathayo 28:19 nyie mmeelewa vipi? Walipowaweka katikati wakawauliza, Kwa nguvu gani na kwa jina la nani ninyi mmefanya haya? 8 Ndipo Petro, akijaa Roho Mtakatifu, akawaambia, Enyi wakubwa wa watu na wazee wa Israeli, 9kama tukiulizwa leo habari ya jambo jema alilofanyiwa yule mtu dhaifu, jinsi alivyoponywa, 10 jueni ninyi nyote na watu wote wa Israeli ya kuwa kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye ninyi mlimsulubisha, na Mungu akamfufua katika wafu, kwa jina hilo mtu huyu anasimama akiwa mzima mbele yenu. 11 Yeye ndiye jiwe lile lililodharauliwa na ninyi waashi, nalo limewekwa kuwa jiwe kuu la pembeni. 12 Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo. . 17 Lakini ili neno hili lisije likaenea katika watu, na tuwatishe wasiseme tena na mtu yeyote kwa jina hili. 18Wakawaita, wakawaamuru wasiseme kabisa wala kufundisha kwa jina la Yesu. hapa kwa jina inaleta maana ya kwa mamlaka ya, kwa uwezo gani, kwa amri ya nani? wala haina maana kwamba Mathayo 28 ina makosa
Ubarikiwe.. .lakini Je unaweza kutoa pepo bila kutamka jina la Bwana YESU, na kusimamia kuwa tunaenda kwa mamlaka ya Jina la YESU na si lazima kutaja jina hilo?..
Ni hivo hivyo katika Ubatizo ni lazima jina litajwe, kutia Muhuri tendo lile kuwa limefanyika kwa mamlaka sahihi.
Bwana akubariki
Even when you solely have part-time employees, workers’ compensation is required for businesses in most states.
State Farm is here for you, begin to finish.
Every Thing you have to handle your insurance, all within the palm of your hand.
You can file a declare on-line, by way of the State Farm cellular app, or by calling your native agent.
[…] Utajuaje kama ndoto ni ya Mungu au ya Shetani? […]
Nawapenda
Twashukuru, nasi pia twakupenda na ubarikiwe..
Asante sana ndugu yangu Mungu akubariki sana
Jina la Bwana libarikiwe Naomba ufafanuzi kuhusu UFUNUO 14:19-20
amen amen
Jamani nina changamoto naombeni mnisaidie
unapitia nini ndugu yetu?
Je ni sawa kufuga mbwa
Ndio.. hamna kosa lolote kufuga mbwa..
Thanks very much
karibu sana..
Shalom! Ninashukuru mno kwa mafundisho ya kina ambayo yamo katika makala zenu. Ni mengi nilikuwa siyajui lakini kwa jindi mnavyoidadavua Bibilia hakika nami naelewa mengi mno.
Mbarikiwe sana kwa huduma hii.
Amina Bwana azidi kukubariki pia! na uzidi kukua kimaarifa.. Usisahau kufutatilia channel yetu Whatsapp kwa masomo zaidi..
ukristo ni nini?
Aise Mungu awabarik san kiukwer nimerifrahia sana neno la Mungu naomba nami mnitumie mafundish haya kwa njia ya WhatsApp my contact 0683769818
Tumekuunga kwenye group la Nuru ya Upendo.
Ubarikiwe.
Bwana akubariki.. naomba uwasiliane nasi kwa namba hizi 0789001312/0693036618
ASANTE KWA SOMO ZURI SANA
Shalom watumishi wa Mungu. Naomba kuwasilisha ombi la machapisho ya mafundisho mbalimbali mnayotoa. Mbarikiwe na Bwana
Shalom Tuandikie namba zako, au tutafute kwa namba zetu..
Naomba muwe mnanitumia masomo mbalimbali
Tuandikie namba zako unazotumia whatsapp.. au jiunge kupitia link ya channel yetu ya whatsapp katika mwisho wa kila somo jipya..
Bwana Yesu asifiwe ndugu zangu katika Kristo,Mungu awabariki na kuwalinda daimaa,ameen
Amina akubariki nawe pia..
Asanteni sana na mungu awabariki
Mungu awatunze wapendwa nimebarikiwa na somo.
Amina uzidi kubarikiwa na Bwana ndugu..
Mafundisho mazuri
Amen my GOD blessed
Mafundisho mazuri,yanalenga kuimarisha misuli ya kiroho. Bwana akubariki mtumishi.
Leave your message
MBARIKIWE KWA KUFIKISHA UJUMBE, MTALIPWA NA MUNGU
Leave your message Dunia imefikia mwisho
Namshukuru sana mungu anaendelea kutupgania AMINA
Endeleeni kufanya kazi ya bwana
Itakuaje kama tattoo nilikua nayo kabla sijaokoka sasa sahiz nitafutaje
Ipo namna ya kufuta..unaweza kufuatilia..
Nitafutaje kma nilikua nayo kabla sijaokoka..?
MUNGU AWABARIKI
Amina ndugu nawe pia Bwana akubariki
Napenda yesu awe bwana na mwokozi wangu na nina mwamini
Amina Bwana akubariki. unaweza kuwasiliana nasi kwa namba zetu 0789001312
Wapendwa mbarikiwe sana
Amina ndugu tubarikiwe sote..
Ameeen!
AMEN
Leave your message asante sana kwa neno. Watu wengi watapotea kwasababu yakujifanya hajui na huko wanalijua neno la MUNGU. cyprien emile kutoka drc.
Bwana atusaidie sana..
Mungu awa bariki
nashida ya kuongea na wewe naomba nipigie 0756787818
Ili somo ni kweli,Nakumbuka zamani nilikuwa naliishi hili neno nilikuwa nikiona bwana akinibariki. lakini sijui ni nini ikitokea nikaanza kushindana na kuwatakia uharibifu maadui zangu
Bwana Yesu akurejeshee mwenendo wa kwanza..
Amen somo nzuri sn mungu awabariki kwa kanzi nzuri mnayo fanya god bless you!
GOD bless you!
amina sana bwana akaendini yangu amina
AMINA MUNGU AKUTIE NGUVU NA BIDII YA KUFUNDISHA MUNGU NI MWEMA DAIMA MILELE AMI
Leave your message glory be to GOD
Leave your message SIJAELEWA CHAMA CHASILI NANYIE MUNAENDANA AWU
NAPENDA MAFUNDISHO MBARIKIWE SANA
Leave your message naitwa kwa jina la cyprien emile. Nayapenda sana mafundisho yenu,Mungu awabariki.drc
Nashukur sana na mungu awabarik
Ni dhambi kwa sababu hy sio kaz halal
Na kam hujaelewa bc utanipgia kweny namba 0656552035
mungu alisema usiue kwanini mutu anatoa mwenzake sadaka?
Thanks so much ubarikiwe sasa nimeelewa
Thank u, i understand.
Barkiwa
Barkiwa sana
SHALOM SHALOM NIMEKUA NIKIJI ULIZA KWANINI YESU KATIKA KUZITIMILIZA ZILE AMRI ILE AMRI YA IKUMBUKWE SIKU YA SABATO HAKUITIMILIZA? PIA KWA MADAI YAKE MWENYEWE ANA SEMA HAKUJA KUITANGUA TORATI WALA MANABII MATH 5:17 ILA ALIKUJA KUTIMILIZA SASA KULE KUSEMA TUABUDU SIKU YA KWANZA YAJUMA INA MAA SABATO YA SIKU YA SABA IMETANGULIWA? NAKAMA IMETANGULIWA SIKU YA SABA KUJA JUMA PILI AGIZO LIKO WAPI KATIKA BIBLIA YAKWAMBA TUIKUMBUKE JUMA PILI KWAKUA NDIYO YESU ALI FUFUKA NA NDIYO SKU YAUJIO WA ROHO MTAKATIFU SKU HAMSINI ZA PENTECOST ZILIANGUKIA SIKU HIYO YA JUMA PILI MAANA MUNGU ALIPO MALIZA UUMBAJI ALISTARE JE, KUNA AGIZO LA KUABUDU JUMAPILI?
Amina sana kristo AWABARIKI maana nimetoka viwango kwenda viwango vya kiroho
It’s an remarkable article in favor of all the web users; they will take benefit from it I am sure.
My website: prozoneshop
Fresh adult websites provide cutting-edge content for mature audiences.
Choose secure new hubs for safe viewing.
Feel free to visit my site DOWNLOAD WINDOWS 11 CRACKED
Ni kwamba Nihu alichukua kila viumbe itviwili viwili….sasa kila kiumbe kina mamilion ya mbegu..ndio maana unaweza zaa mweusi..mweupe…mrefu.mfupi…ata kwa wanyama…mamb anaweza zaa kengee…Sas Mbegu zetu ndani yake kuna vizazi unaweza zaa Wanafeli au mzungu
Ni kwamba Nihu alichukua kila viumbe viwili viwili….sasa kila kiumbe kina mamilion ya mbegu..ndio maana unaweza zaa mweusi..mweupe…mrefu.mfupi…ata kwa wanyama…mamb anaweza zaa kengee…Sas Mbegu zetu ndani yake kuna vizazi unaweza zaa Wanafeli au mzungu
ahsateni sana!
Amen tunabarikiwa
AMINA
Siku ya 7 ya week ni jumamosi ukitaka kuwelewa kwauzuri soma mathayo 28:1-2 na marko 16:1-2 Luka 24:1-5 ukisoma vitabu hivi ukaludi ktk hesabu zetu binadamu utagundua kuwa sabato nisiku yasaba yawiki ambayo kwakalenda ya MUNGU ni jumamosi.
Kitabu nimependa
Mungu awabariki sana wapendwa
Leave your message Kwanini wanawake wa miaka hii hupenda sana kufanana na wanaume? kama> kujijenga bila mume, kuvaa suluali kinyume cha mpango wa mungu? kumbukumbu la tolati 22:5 kama hawa alivyodanganywa na nyoka?
God mkubwaa isharah
Asante Sana na ningependa kujua mengi zaidi ya utukufu
Utofauti wa malimbuko na zaka
Mimi nataka kuokoka lakani changamoto nyumbani wazazi wangu ni waganga wakienyeji
Mungu awabariki kwa masomo mazur yananibarik na kunielimisha pakubwa
MUNG AWABALIKI
Amina atukuzwe Bwana
Asante sana kwa mafundisho niungeni kwa Groupe watshap
Atukuzwe Bwana, tutafute kwa namba hizi tukuunge kwenye group la masomo la whatsapp +255789001312
Nmependa sana mafunzo haya
Atukuzwe Bwana, tutafute kwa namba hizi tukuunge kwenye group la masomo la whatsapp kwa masomo zaidi +255789001312
karibu..
UBARIKIW MTUMISH BWANA NIMEBALIKIWA
Asante kwa ujumbe mzuri umenibari. yesu awabariki
Tunapaswa kumwomba Mungu atufunulie Kweli ya Neno lake. Somo ni kama limeanza vizuri, lakini lilivyoendelea limetengeneza uharibifu. Biblia inasema “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu lakini mwisho wake ni njia za mauti” Mithali 14:12
Je,Mkiristo anaruhusiwa kuoa wanawake zaidi ya mmoja
MUNGU wa mbinguni akutie nguvu na bidii kuhubiri injiri ya bwana wetu yesu kristo alie hai hakika sawabu utaipata kwa mungu barikiwa sana kwa kutenga muda wako kutubiria amina sana
Amina sana mtumishi wa mungu ubarikiwe sana amina
Amen sana mtumish wa mungu nimejifunza kitu kweli nilazima nifanye hivyo hata na wengine nilazima tufanye hivyo ilkujua mungu zaidi.
Mimi naitwa yonah Daniel nimeyapenda masomo yenu Mungu awabariki kama Kuna uwezekano wa kunitumi nitashukuru kwa Whatsapp 0762204935 Mungu akubariki sana
Mafundisho masuri yaliyochambuliwa.
Amen atukuzwe Bwana
Thank you for your sharing. I am worried that I lack creative ideas. It is your article that makes me full of hope. Thank you. But, I have a question, can you help me?
karibu
Ubarikiwe sana
Nimebarikiwa sana na kufunguliwa
Jamani kuna watu wamepotoka wanasema hata usipobatizwa ni sawa tu! Halafu wengine ni WAPENTEKOSTE kabisa Kwahiyo tuendelee kuwaombea neema ya Bwana Yesu Kristo iwashukie
Je nikioa mke halafu nikafunga ndoa ya kienyeji tu lakini nikaja kumupokea yesu maishani mwangu nitakuwa sawa
[…] ya Ndoto Kuota Unakula Nyama […]
mungu akubariki sana
Amina atubariki sote.
Jambo mtumishi. Mimi naitwa Rubingu Ruharara Mutaraga, mwananchi wa DRC, jijini Uvira. Kisha kusoma mandishi hapa juu kuhusu maana ya HAWA au EVA, ni mekuta zaidi usaidizi wake unaonekana kuwa si wa kufanya kazi za nguvu. Lakini alipewa hekima ya kutambua kitu gani kisichoendelea vizuri ili akitengeneze. Mfano ulipana, ni kutenganisha wanyama shambani Edeni. Na kanisani, ikiwa atakuwa mwenye kuomba Mungu, kwa sababu ya akiba ya kiMungu ya hekima, atagunduz nini ambacho hakiendi vizuri na ayakitengeneza.
Mengine kuhusu jukumu zake tutayata je? Tungehitaji kujua kwa undani usaidizi HAWA kufikia kujaitwa mama au mke wa Adamu. Jukumu zake haswa ni zipi katika mazingira mbali mbali za maisha yake, hata kama alikuja danganywa na nyoka ataponyoka kutoka mwelekeo wa Mungu.
Ahsante kwa maelezo zaidi kuhusu jukumu za “MSAIDIZI” wa ADAMU.
WHATSAPP : +243992825805
Ndio nimependa somo na niko tayari mnitumie masomo haya kupiti WhatsApp
Amina karibu sana..
Amina unaweza kufuatilia masomo ya kila siku kupitia channel yetu ya whatsapp..bofya link iliyopo mwisho wa kila somo
Amen ujumbe mzuri,mbarikiwe
Amina tubarikiwe sote..
Naomba msaada wa kungwa katika group, 0785757883
Waweza kujiunga moja kwa moja na channel yetu kupitia link iliyopo mwisho wa kila somo..
Mungu awabariki sana
Amina atubariki sote..
Yuda aliendika kitabu cha Yuda alikuwa ana cheo ngani wakati waYesu na yule yuda msaliti kwanini alijinyonga na sio kuomba toba
Aliyeandika kitabu cha Yuda alikuwa ni Ndugu yake Bwana Yesu (mwana wa Yusufu na Mariamu, Marko 6:3)..Na pia sababu ya Yuda kujinyonga ni nguvu ya ibilisi ndio iliyomsukuma kufanya vile, na msukumo wa kutubu haukuwepo ndani yake.
Habari mimi nimeota watu ndo wananiambia Nina mimba lakini nikawa nawakatalia sababu najua sijawah kutana na mtu kimwili lkn wenyewe wakawa wanasema ona kabisa hii ni mimba bhan unatudanganya Sasa sijaelewa hii Ina maana Gani na ndo mara ya kwanza kuota hivi naomba unipe tafsiri yake
Amen kwa neno
Amina tubarikiwe sote
Ahsante sana kwa Mafundisho mazuri
Amina atukuzwe Bwana YESU
Shalom Mtumishi wa Mungu,naomba mkituma masomo pia mtume ktk email yangu, jamestweve44@gmail.com
Amina ndugu..
NIn maana ya majina yang yote matatu
Maana ya jina langu
Samahan nini maana ya CALVIN Nini maana ya BRUNO NIn maana ya NGWADA
Be blessed man of God
Amen nawe ubarikiwe pia.
Kwani mfalme wa ulimwengu ni nani maana kuna wakati huwa mnatuambia SHETANI na wakati mwengine mnatuambia YESU ila MIMI binafsi naamini MUNGU ndio mfalme wa kweli wa ulimwengu. TAFADHALI tufundisheni mambo kwa uhalisia na sio kutubadilishia maelezo kila mnapoamua kufanya hivyo.
Waweza Pitia hili somo utapata majibu >>Ni nani anayetawala dunia kati ya Mungu na shetani?
Nimebarikiwa sana
Amina..
Join
THANKD
Karibu..
Shaloom naombwa kuungwa group la whatsup 0653723331
Tumekutumia ujumbe..
Mungu akubariki saana, kuna kiwango Mungu anatufungua kupitia shule hii ya neno unalotufundisha
Good message to Christian
Mungu akubariki sanaaa..imefika hii
Amen, atubariki sote.
Mafunzo mazurisana
Amina atukuzwe Bwana..
Shalom! Naomba kujua, Mfakme Hezekiah aliugua ugonjwa Gani uliompelekea kuwa katika hatari ya kufa??
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Bwana Yesu asifiwe ndugu,Mungu awabariki na kuwalinda
Amina ndugu, nawe pia ubarikiwe na Bwana.
BARIKIWA Kwa ujumbe mzuri
Neno lako ni nzuri sana MUNGU azidi kukubariki asante sana.🙏
Amina atubariki sote ndugu
Kuna hizi kanisa hutoa sadaka ya kuteketezwa kuvunja madhabahu (burning sacrifice) katika deutornomy je ni sawa
Hapana
Mungu akubariki sana nimefurahi na kupenda hili soma naamini mtakuwa mbali sana
Mungu awabariki kwa Masomo mazuri
Naomba kufungwa kwa Whatsapp 0703468331
tutumie ujumbe kupitia namba zetu..
Nimebalikiwa sana ,.asant
Amen uzidi kubarikiwa..
Amina Nimebarikiwa sana na kuna kitu nimekipata, Mungu awafanyie wepesi pia anipe utii na uvumilivu siku moja tukutane rahani mwake ,amina
Amina Bwana atusaidie sana..
Good job mtumishi wangu
Amina atukuzwe Bwana…
Nawashukuru sna Machapisho yenu nayapenda sana
Amina ndugu atukuzwe BWANA
Kwa papa kua ndo mpinga kristo umechemka umeingia kwenye fundisho la kidhehebu sio ufunuo wa Mungu
Nabarikiwa sana na huduma yenu. Mungu awabariki. Nitumieni masomo na kuniunga kwenye group la whattsap
Amina Bwana akybariki pia…tuandikie namba zako za whatsapp, au jiunge kweye channel yetu moja kwa moja kupitia link iliyopo mwisho wa kila somo jipya.
Mungu awabariki kwa kazi nzuri mnayoifanya. Ninanufaika na mafundisho yenu! amen
Amina mtu wa MUNGU, Bwana akubariki sana…
Mungu awabariki sana na awalinde sana kwa mafundisho yenu
Amina ndugu ubarikiwe nawe pia…
Je, nawezaje kutoka katika majaribu au kuyashinda nahitaji msaada
Naomba ututafute kupitia namba zetu, kwa swali hili..
Mafundisho mazuri ya kuwa kalibu na MUNGU wetu
Mimi nauliza swali hati ya vyeti vya ndoa ni hati iliyo kisheria na hata Kuna pokuwa na mgogoro Mkubwa lazima kanisa litaruhusu Wana ndoa kwenda mahakamani Sasa inakuwaje watu waliofungia ndoa ya setikalini iwe ya wapagani?
Amina Ubarikiwe na Bwana
ndalajoseph518@gmail.com
Unaweza kujiunga na channel yetu kupitia link iliyopo mwisho wa kila somo jipya
Hata mimi ninge toa sadaka
Amen sifa kwa Bwana wetu Yesu Kristo
Somo zuri sana Mungu akubarik sana
Nataman sana niwe napata masomo mazuri kama haya
Amina tuandikie tu namba zako za whatsapp, au wasiliana nasi kwa namba zetu zilizopo chini ya kila somo…
Amina Bwana atubariki sote.
Hongereni sana wapendwa tushikamane katika kumpinga shetani
Naomba masomo ya BIBLIA ya kuomba kupata mtoto. Namba yangu ya simu ni 0674 444 859
Mungu awabariki Kwa mafundisho mazuri
Nashukuru sana kwa ufafanuzi wako maana ilikuwa inanipa tabu sana kuchanganua kuhusu Eden na adeni
thanks GOD for saving me again
Andiko kuhusu Mungu mmoja linaandikwa na mtu anaeamini miungu watatu. 😄
ho88 la mot nen tang ca cuoc truc tuyen uy tin, cung cap da dang cac tro choi casino, the thao, slot game va cac dich vu giai tri khac. Voi giao dien than thien, de su dung tai ho88.city
Maana ya Jina la Carolina na gidion
Ooh mungu akubarki saana 🙏🙌🙌
Shalom
Mimi naomba kuuliza, biblia inazungumziaje piramidi za misri?
Kuna aya yoyote inayo taja walau kujengwa au maana ya hizi piramidi au zilijengwa na watu gani na zama gani🙏🙏
713497776
naomba mniunge tafadhali namba yangu ni 0775661600
shalom, tunaomba uanze namba zako na + ili tujue ni nchi gani, au unaweza kujiunga moja kwa moja na channel yetu kupitia link iliyopo mwisho wa masomo
Mungu awabariki na awazidishiye Kwa mafunzo yenu ya roho
Amen atubariki sote..
Mungu akubariki sana mwalimi
Amina atubariki sote ndugu..
Kwanza kabisa shetani alikuwa malaika Mkuu mbinguni ,alikua ni malaika mwenye kuvutia kuliko malaika wote mbinguni,na alivyo basi Mungu hakumnyang’anya uzuri wake wala chochote alichoumbwa kwako.
Asante kwa ufafanuzi mzuri, tumekua katika mtandio kwa muda juu ya utofauti wa hili jina “Kristo na Kristu” kumbe tofauti ni zile lahaja za lugha,,
Ndio ni lugha tu..
Ninaomba admin uniunge
Tuandikie namba unazotumia whatsapp, au bofya link ya channel yetu ya whatsapp, katika mwisho wa hili somo…
Mikaeli Malaika Mkuu ni Mtakatifu? Kama ndiyo kutokana na sifa zipi?
Hakika nimejifunza jambo barikiwa mtumishi
Tumebarikiwa sana Kwa neno,
Inabidi mtu baada ya kupokea Kristo, atoke msri kimwile na Kiroho pasipo hii Kuna kifo jiani ASANTE
evodia maana ake
Saudi alikuwa anamanisha nini aliposema maana sitautumainia upinde wangu
maana yake hatazitumainia silaha zake katika kumsaidia, Bali tumaini lake ni Bwana Zab.44:6
Naomba nitumie hicho kitabu HE CAME TO SET THE CAPTIVES FREE
Tutatufute kwa njia ya whatsapp
Naomba kuungwa kwenye group. +255655484787
Naomba uniunge kwenye group nimelipenda
Tuandikie namba zako..au waweza kujoin moja kwa moja kupitia link hapo mwisho wa somo .
Naomba namimi uniunge grup la mafunzo namaombi 0762071067
Tumekutumia ujumbe whatsapp
Asanten kwa mafundisho mezur
Amen ubarikiwe.
Nina swali; Je ni kweli waisraeli wote Wana free pass ya kwenda mbingun
Kuna uhusiano gani wa mtu wako wa karibu mfano shangazi kukufunga usizae au kuolewa au kufanikiwa?je kuna kua na uhalali wa yeye kufanya ivyo?na kama haupo kitu gani kinamfanya afanye ivyo??swali la pili ikiwa umefungwa usizae wala kuolewa na njia gani sahihi ya kuondoa hayo maroho?na je kuna uhusiano gani wa kufungwa ivyo na pepo kulipuka kipindi cha maombezi?
Nina swali
akidaisia@gmail.com
Bwana Yesu apewe Sifa, nasema Bwana Yesu awabarki kwa mafundisho haya yamejuza mambo ambayo singeliyajua. Mungu awabariki
Ikiwa ni kuingiliana kwa Wana wa Seth na kaini.. je majitu wanefili walitokea wapi? Kwani binadamu waovu na watakatifu wakiingiliana ndio watoto watakaozaliwa watakuwa ni majitu??! Biblia haisemi kuwa Wana wa sodoma na gomora walitaka kuwaingilia kimwili Wana wa Mungu (malaika)?? Malaika ambao walikula chakula kwa Abramu washindwaje kuwaingilia wanadamu kimwili? Kwani biblia inaposema malaika hawaoi inamaanisha hawana uwezo wa kuoa, mbona imendikwa kuwa iliyezaliwa na Roho hatendi zambi! hii ina maana kuwa ukiokoka huna uwezo wa kutenda dhambi? INATAFAKARISHA MADA YAKO NDUGU MHUBIRI JAPO IMEELEWEKA🙏🙏
Imani Karoly
Kuna Sabato za aina 2 – elekezi, ambazo ndizo umezungumzia hapo ukimnukuu mtume Paul na moja endelevu inayo tukumbusha uumbaji wa dunia yetu hii mnamo siku 6. Zile elekezi takriban zote zilitimia alipo kuja Yesu Kristo na kufanya utumishi wake hapa kabla hajarudi kwao Mbinguni, lakini ile endelevu iko mpaka leo hii kwa vile sehemu ya AMRI 10 za Mungu tulizo ambiwa tuzishike kwa faida yetu milele! Hivyo ni kosa kubwa kumfananisha hiyo Sabato ya mzunguko wa siku 7 za kila wiki na zile zilizo kuwa sabato mpito zilizo tuelekeza kwa matukio yaliyo tegemewa ukiwemo ujio wa masihi. Pili, ni kosa pia kuamini kwamba ni pumziko/sabato tu iliyo barikiwa bila siku yenyewe wakati Maandiko ya nasema dhahiri kwamba Mungu alipo amua kupumzika siku ya 7 baada ya uumbaji, aliibariki na kuitakasa SIKU HIYO☝🏽! Mwisho, yakupasa ujue kwamba Sabato endelevu itakuwepo na kusherehekrwa milele na watakatifu watakao kuwa wamerithishwa ile nchi mpya baada ya likizo yao maalumu ya miaka 1000 Mbinguni pamoja na Mfalme Yesu! Aidha, hiyo dhana ya « unyakuo » haina mashiko kibiblia. Ni dhana potovu. Hakuana andiko lolote linalo ithibitisha popote katika Biblia.
Nice
Mtumishi, maelezo yako kuhusu ukimwi kuwa ni mapepo ni ya kupuuzwa kabisa. Mnafikiri wasomaji wenu hatuna akili? Jaribu kuwa na fikra siku nyingine nimekudharau sana.
e
Amen, Nashukuru
Je Malimbuko yanapaswa kuwa kiasi gani? 100% za kipato cha kwanza au kama ni mwajiri unapaswa kutoa pesa ya nauli kwa mwezi huo ujao ili uweze kufika ofisini kinachobakia chote unakitoa?
😁😁 malimbuko unatoa yote bila kubakisha ata nauli iyo ndio inaitwa malimbuko ukipinguza ata sent iyo inakua sehem ya malimbuko
Blessings
Mit17:3(Neno) Kalibu ni kwa ajili ya fedha na tanuru ni kwa ajili ya dhahabu, bali Bwana huujaribu moyo…
Neno Kalibu pengine Lina maana zaidi ya Tanuru, kama lilivo tumika pale juu
Ubarikiwe na Mungu kwa mafundisho mzuri
Amen thbarikiwe sote…
swali 1. kwanini yohana hakuongozana na Yesu kama mwanafunzi wake ? 2. yohana alikamatwa na kufunga gerezana na herode,na akauwawa baadaye, kwanini yesu hakumsaidia?
Ndugu watu wa Mungu, natoa taarifa kutumia picha yenu ya Yezebel katika ukurasa wangu wa facebook na whatsup status kuhamasisha watu waache KUJIPAMBA kwani ni roho ya YEZEBELI
Amen atubariki sote.
Thanks 🙏🙏🙏
Blessed more. Am much interested with these lesson
JE TNARUHUSIWA KUOA MKE TOKA ROMANI NA KKT?
Kabla ya ndoa hakikisheni mmefanana Imani, Ubatizo na wote mmepokea Roho Mtakatifu (Waefesoo 4:4-5)
Mbarikiwe sana kwa mafundisho mazuri sana yenye kujenga, kuifariji na kutia ❤️
Amina, tubarikiwe wote na Bwana ndugu yetu.
vipi kama ulikua hufahamu juu ya hili neno yani nimelifahamu muda mrefuu baada ya kuwa nimeisha ajiriwa lakini zaka huwa natoa tena kamili, hyo malimbuko ndo naijua leo je nina kosa hapo au natakiwa kufanyaje?
Kama ulikuwa hujui na umejua sasa nakushauri, toa kiasi chochote kidogo kwajili ya kazi yako hiyo unayoifanya, na sadaka hiyo itasimama kwaajili ya kazi yako hiyo..
Maana ya patakatifu pa patakatifu
ni chumba cha ndani kilichokuwa na sanduku la Agano, katika Hema ya Mungu, na Hekalu la MUNGU.
Mtu aliyeamini ni yupi? Je kuolewa na mtu mwenye dhehebu tofauti ni sahihi?
Mtu aliyeamini ni (mtu aliyemwamini YESU na kuokoka)… Na kinachojalisha katika ndoa ni (Imani moja, Bwana mmoja, Roho Mmoja, Ubatizo mmoja,Mwili mmoja, na Roho Moja, Sawasawa na Waefeso 4:4-6).. Mkiweza kupatana katika hayo basi mtu huyo ni sahihi kwako..
Kwani mtu anayeamini ni yule anayeenda kanisani, kama wewe, kubatizwa amebatizwa kama wewe??? Nafikiri (yaani mimi) anayeamini ni yule anayemkubali Kristo na kutenda mapenzi yake(maagizo) yake, anaweza kwenda kanisani, kubatizwa kama wewe lakini kama anakula visivyo vyakula (walawi 11) , anavaa nguo zisizo na mwonekano unaofaa, anasuka, n.k huyo hajaamini bado.
Shalom mtumish
ubarikiwe
Amen tubarikiwe sote…
Maana ya jina gerrica na asili yake
MUNGU azidi kuwabariki kwa mafundisho yenu najifunza zaidi🙏
Amen uzidi kubarikiwa…Jiunge na channel ya whatsapp kwa masomo zaidi
Twaibu, Ahsante sana Mtumishi wa Bwana Yesu kwa ujumbe huu
Amen atukuzwe Bwana YESU…
Atukuzwe Bwana
Naomba na Mimi nitumiwe masomo ko
Jiunge na channel yetu ya whatsapp
Naomba kutumiwa masomo yenu kwa njia ya email
Tuandikie email address yako…
Mungu anasema “na tuumbe mtu kwa mfano wetu” hii inaonyesha ni nafsi zaidi ya Moja zilizokuwa zinaongea. Kwa maana ni Mungu Baba, Mungu Mwana, Mungu Roho. Hizi nafsi zinajitegemea wala si ofisi!
Kwan mda mwanadamu anaumbwa shetani alkua wapi na iweje shetani awe mshitaki wetu kwa Mungu hivyo Mungu kusema tuumbe ndio kwa maana shetani alikuwpo na malaika wengi ila hakuna nafsi tatu
Asante
Karibu
Nimependa hayo mafunzo,, Kwa kweli yanajenga mtu na kumpeleka hatutua nyingine, amen
Amina sana kwa ufafanuzi wa unabii huu Mungu azidi kuwajaza zaidi.
Amina azidi kutubariki sote katika wema wake.
yonamwakyusa954@gmail.com
Nilianza kujisomea mafundisho haya tangu mwezi wa nne mwaka huu,kwa kweli yamenijenga mno, nakiri kumfahamu Mungu zaidi ya nilivyokuwa,Kila mara nifunguapo simu yangu huwa nakimbilia kuangalia Leo Kuna somo gani limetumwa? Nimefurahi sana,uchambuzi ni WA kina na lugha inayotumika ni nyepesi,Bwana Mungu wa Mbinguni Awabariki sana,kwa Baraka za rohoni na mwilini pia,awapiganie na kuwatia nguvu ili huduma hii iwafikie wengine
Amina amina, atukuzwe Bwana, na pia tunashukuru sana, na Bwana YESU azidi kukubariki pia..
Naomba masomo
waweza kujiunga na channel yetu ya whatsapp kupitia link iliyopo mwisho wa masomo mapya..kwa masomo ya kila siku, pamoja na maneno ya siku.
Namna nzuri ya kunyoa ni IPI?
ziwe za usawa zote…
Namna nzuri ya kunyia n ip
zote ziwe na usawa unaofanana…
Ok
Shalom 🙏🙏🙏
Sawa kabisa, nikweli mtupu nimejariwa mengi sana.
Lakini mwalimu WANGU ningeomba kuuliza swali hili, jee kufunga vitabaa kwa wanawake ibadani,ni Sheria ama ni matendo naomba unifafanulie please,kama wasipo funga na kuamini,wataesabiwaje
Ni vizuri kufununika vichwa kwaajili ya malaika…1wakorintho 11:10
Shalom mtumishi wa Mungu. Nimependezwa sana na jinsi ulivyotafsiri ndoto ya mtu kuota akiwa anapaa. Binafsi mara kadhaa nimekua nikiota naogolea kwa umahiri mkubwa wakati mwingine baharini na wakati mwingine kwenye swimming pool. Binafsi sijui kuogelea ila katika ndoto nilikuwa nikiogelea kwa kasi na umbali mrefu sana na nimekuwa nikifurahia hilo. Maana yake ni nini?
Njia Bora ya kuomba
~Hapo Kwa Kweli,nimenguswa tena Sana ~Mimi nimelipitia makala hii yote,na baada ya kulimaliza nikajiona Kweli nimefungua!!! ~sasa Kwa mafungufu yangu ni hatua kubwa Sana ya kuwa nabandiliko,yanamna ya matendo,nakujishungulikisha na hayo nimeyapata Hapo juu haleluya 🙏🏿🙏🏿🙏🏿 ~baraka za dhati EE WATUMISHI WA BWANA WETU YESU KRISTO MKUU WA UZIMA WETU shalom
Amina atukuzwe Bwana YESU lakini pia azidi kukubariki nawe pia…
Amina mtumishi Kweli Sisi kama wakristo hatufai kusubukasubuka na mambo ya kiulimwengu, maana tayari tunao ufalme mambengani mwetu,ni bidii letu kukaza mwendo katika safari yetu,huku tukiwashauri na wengine kuhusu wokovu ulio ndani ya BWANA WETU YESU KRISTO,wapate kuuendea shalom
~Akika Kweli (ufunuo) ni Jambo jema Kwa mwamini haleluya 🙏🏿 ~kiualisia nikweli nilikuwa sijui lolote kuhusu uislam lakini Leo nimepata jibu ambalo nisahii Kwa waamini haleluya 🙏 ~Mungu awabariki Sana nie watumishi WA BWANA WETU YESU KRISTO MKUU WA UZIMA WETU Amina
Amina, endelea kujifunza zaidi ndugu
Thanks 🙏🏿🙏🏿 shalom
Tunabarikiwa sana
Mungu awabariki kwa mafundisho mazuri Amina
Amen, akubariki nawe pia ndugu yetu..
Mungu wangu hawabariki sana kwa kazi izi za upendo kweli watu wengi san wanakosa upendo ule wazati kwa kanisa hata kwa majirani piya.
Am joining
Asante kwa masomo mazuri Mungu awabariki sana
Amen uzidi kubarikiwa na Bwana…
Asante kwa neno zuri ubarikiwe mtumishi
Nimejengwa sana na huu ujumbe. Asante.
Uzidi kubarikiwa..
Ubarikiwe na Mungu Amen kwa ufunuo toka Mungu
Amen tubarikiwe sote
Amen ubarikiwe pia kwa neno la ufunuo huo
Amen tubarikiwe sote na Bwana
Asante kwa ufafanuzi mzuri
Amen uzidi kubarikiwa
Nimependa sana kuendelea kujifunza
Amen uzidi kubarikiwa…
Je kwann vijana hatuaminiki kwenye nyumba za ibada
Kwasababu ya wasifu mbaya wa vijana wengi wa kizazi hiki… fuatilia hapa >>KAMA WEWE NI KIJANA, BASI FAHAMU YAFUATAYO NA UCHUKUE TAHADHARI!
Swali langu je kutumia mafuta na maji ya upako ni sahihi au siyo sahihi Kwa ajili ya miujiza
Waweza pitia somo hili >> Je! Ni sahihi kutumia maji ya upako,katika kufanya maombezi?
amina
Naomba muweke option ya kuprint ili tuweze copy masomo haya kutumia kwenye madarasa ya wanafunzi kanisani
Option ya kuprint ipo katika mwisho wa kila somo…
🙏📚
🙏
Hii ni KAZI njema
Bwana atusaidie..
Atukuzwe Bwana.
Je, tunapaswa kutoa sadaka kanisani? Na je, mtu akitoa sadaka popote penye uhitaji hiyo inahesabika kwa Mungu?
Rejea somo la tofauti kati ya sadaka na matoleo utapata kuelewa ndugu yetu..
Je, wachungaji kupokea sadaka na kutumia vile waumini hawajui ni mpango wa Mungu? Na je, wao wanastahili kula hizo sadaka? Na je, sadaka zinakazi gani kwaajili ya kanisa?
Muktadha mzima wa sadaka ni siri… inapotolewa na mtu yeyote hana uhalali nayo tena, isipokuwa inakuwa chini ya viongozi waliotiwa mafuta na Bwana kuzipangia kazi za kufanya..
Wow! Nimejifunza vitu ambavyo nilikuwa sifahamu hasa hio mimea japo nilikuwa naiona, ubarikiwe kwa ufafanuzi🙏
Amen tubarikiwe sote.. je umeshampokea Bwana YESU?
Namba yangu ya Wasap ni 0658162774 niunganishe jina ni Athanas Mabala
Nashukuru Mungu kujiunga na chaneli pendwa ya kufahamu namna maandiko yatupasayo kupewa wokovu na si kuamini tu.Amina ahsanteni Mungu atubariki.. By Ezekiel sevant of God
Mungu ni mwema KWA elimu nzuri Mubarikiwe wote
Amen atukuzwe Bwana na tubarikiwe sote..
Ni ukweli kabisa pasipo YESU hakuna amani kimpilia kwake YESU Ili upone
Kwanini mpinga kristu atokee kanisa la Rumi? Uko wapi ushahidi wa kimaandiko na andiko gani linazungumzia Hilo? Vilevule kwenye mpango wa Mungu na shetani huwa anatumia fursa ujue hilo
Am blest
Ubarikiwa ndugu n’a Mungu akusaidiye
Amen atusaidie sote.
Umetumia uelewa kuhusu Catholic, na yeyote anaweza kuelewa tofauti na wewe na akaeleza tofauti pia. Mwingine anaweza sema huyo mwanamke ni uchawi, freemason, uzinzi nk. Ninachokielewa kuhusu kanisa katoliki haliabudu sanamu ila nikanisa linalotumia mifano na picha kueleza imani yake. Mf. Sanam la nyerere kwa tz ni ukumbusho tu na sio kuwa linatuongoza. Alafu kuhusu bikra Maria alitumiwa na Mungu kumzaa Yesu kristo, mjumbe malaika Gabriel na pia ufunuo unatuambia ishara kuu imeonekana mbinguni. Vipi awe kahaba?
Rudia kusoma Kuna kitu utaelewa zaidi
Yes
Napenda mafundisho yenu Yananijenga sana.
Amen atukuzwe Bwana na pia uzidi kujengwa
Amen atukuzwe Bwana, karibu jiunge na channel yetu ya whatsapp kwa mafundisho zaidi…
Ahsante sana.
Ufafanuzi mzuri Yesu akubariki sana mwalim, ila nahitaji zaidi hili somo nataman nielewe zaidi na zaidi. Asante
Amen Bwana akubariki…
Mimi ni Mwalimu wa watoto na vijana napenda kupata masomo yanayohusu watoto yakiwemo ya Ulinzi kwa mtoto.Nipate kwa njia ya Email amonmedical@gmail.com
Amen…naomba link,hii inaniambia its invalid. Nimebarikiwa na masomo Nilikuwa natafuta maana Neno HAKI,nikakuta maelezo mazuri yaliyonibariko
https://whatsapp.com/channel/0029VaBVhuA3WHTbKoz8jx10
Waweza tumia link hiyo…ikikusumbua zaidi tuandikie namba zako za whatsapp hapa au kupitia namba zetu hizi 0789001312 tuweze kukuunga kwenye group la masomo…
Michael Kalindaga
Tuandikie namba zako, ikiwa utahitaji masomo zaidi kwa njia ya Whatsapp
0764873308
0757746747 naitaji kwa njia ya whatsap
Jambo watumishi wa Bwana,naitaji ni hungwe kwenye kundi la whatsapp ,Ili niendelee kufuata neno la Mungu, kwa sababu nimefurahishwa sana na mafundisho yenu.
Amina, uzidi kubarikiwa.. Tutumie ujumbe whatsapp kupitia namba zetu hizi +255789001312
Mimi swali langu ni kutoka kitabu hiki Cha mathayo “Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;” — Mathayo 28:19
Naomba kusaidiwa kufahamu jambo Hilo vyema Magizo ya YESU aliwagiza wanafunzi kutumia majina hayo kama nukuu ya andiko lilivyo au alimanisha watumie jina la baba jina la mwana jina la Roho mtakatifu ambalo ni YESU Asante
Bwana awape nguvu ndani ya mifupa yenu mzidi kutulisha chakula Cha kiroho
Limenijibia pia kuhusu kwanini wayahudi walimwua Yesu, limenijibia pia kwanini walikua wakimshutumu mala kadhaa kukaa pamoja na wenye dhambi🤍🙏🏻
Somo pana sana somo zuri sana KUNA SEHEM LIMENIJIBIBIA MASWALI KUHUSU WATU WENGI KUWA WABAGUZI BINADAMU TUNAUBAGUZI MKUBWA SANA NA KUHUKUMIANA PIA 🙏🏻🙏🏻. “usijihesabie haki”🤍📖
David
Amina sana, uchambuzi mzuri
Samahani mtumishi, naomba kufahamu jambo moja tu. Haya masomo ni wewe umetunga au umeyaandika tu ni mtumishi mwingine
Ufunuo wa Neno unatoka kwa Roho Mtakatifu, na si katika tungo.. kwahiyo ni Roho Mtakatifu ndani yetu, na utukufu ni kwa BWANA YESU.
Amen Nafurahi kuhusu mnavyofundisha kweli ya MUNGU,Kwa kweli Mungu awabariki sana
Amen atukuzwe Bwana.
Mine is not a comment but a question,l will ask it in kiswahili and it says ni nani anayeletea mokovu majaribu?
Your question is not understood at ll, correct spelling error
Mafundisho mazuri sana
These teachings are good. Be blessed.
Amen, utukufu kwa Bwana.
Barikiwa thana mtumishi, Ni kweli dhambi ya uzinzi ndio inalitafuna thana kanisa la Mungu na shetani anaeneza injiri potovu eti huwezi hata kumaliza wiki au siku mbili hujafanya tendo la ndo huo ni upumbaaavu uliokithiri kabisa. Vijana hawajaoa lakini wazoefu kama wapo kwenye ndoa kongwe na walio kwwnye ndoa wanachafua ndoa wakisema kuchanganya kadha Mungu awasaidie sana
Ndio Bwana atusaidie sana..
Shalom mtumishi? Hapo nimeweza kujua au kufahamu Jambo kumbwa Sana kuhusu utumiaji mbaya WA NENO la MUNGU,Kwa kuwa mtu atakwambia kuwa maandiko yanasema!! Nawewe pasipo kujua au kufikiri NI Kwa namna GANI mambo yanavyokuwa,unakimbililia KUMBE ndio kuanguka kwakundanganywa, ASANTE SANA MTUMISHI WA MUNGU na MUNGU MWENYENZI AKUMBALIKI Amina.
Amen BWANA YESU azidi kutubariki sote ndugu yetu…
Niunganishe kwenye mafundisho
waweza kutuandikia namba zako unazotumia whatsapp….
Ubarikiwe sana mtumishi swali nikwamba biblia hapo mstari wa saba(7)inasema kuwa heshima ya yuda itakuwa kubwa kuliko ya nyumba ya daudi,na mstari wa nane (8) naona inasema nyumba ya daudi itakuwa kama MUNGU hopo mtumishi naomba ufafanuzi kidongo, Asante
Amen tubarikiwe sote…Naomba uliweke vizuri kidogo swali lako…
halo shalom!
shalom
nahitaji kujifunza zaidi kwa email na whatsapp acreymathias01@gmail.com
0783658080 whatsapp
Tayari tumekuunga ndugu..
Ameen barikiwa sana
Amen, tubarikiwe sote.
[…] KRISIMASI (CHRISTMAS) NI NINI? JE IPO KATIKA BIBLIA? […]
Namie naomba kupata masomo kwa njia ya WhatsApp 0754316856
Maana ya jina eliminata
Maana yake ni “ondoa/futa”
Shalom watumishi wa Mungu, sijajua kama ukurasa hui ni mahali sahihi pa kuuliza swali au la!, Natanguliza samahani kama nta kuwa nime kosea. Swali langu ni je, kuna haja ya Mtu aliye okoka kweli kweli, kufanya maombi ya kujikomboa na laaana na vifungo ( mfano vifungo/laana za ukoo,mizimu ushirikina,maangano, uchawi wa mafundo au laana zozote zile ua ushirikina wowote uliofanyika juu yako kabla ya kuokoka.n.k)?? Maana Nikisoma haya maandiko: (Luka4: 17-19) (Yohana 1:12), ( 2,wakoritho 5:17), 1petro 1: 18- 19), Wakolosai( 2:13-15) ( Yakobo4:7), ( 1Yohane 3: 3-9) napata shida na hizi ibada za maombi ya namna hiyo, ikiwa nguvu ya msalama ime tufanya huru m.hayo maombi yana kazi gani tena..!? Huku ikifahamika wazi dhambi ndo mlago wa shetani kwa mtu..? Naomba mni saidie nikue kiroho..maana kweli napata shida napo ona maombi haya nisije nikawa nakosea..Asante sana Mungu wabariki sana kwa jina la Yesu
waweza kupitia hili somo naamini utapata majibu>> KUVUNJA MAAGANO YA UKOO.
Asante Mtumishi wa Mungu, Nime barikiwa sanaaaa…Mungu wetu akuzidishe sana sana, Kwa jina la Yesu.
Amen akubariki nawe pia ndugu yetu..
Je, kuna siku Yesu au Roho takatifu ilifundisha kuhusu maisha ya mbinguni ? Je, malaika au viumbe walio mbinguni wanakula ?
Kuzimu ni sehemu ambayo wanakaa watu ambao hawakuwa upande wa YESU yaan hawakumpokea kama Bwana na Mwokozi wao, watu hawa ni watu ambao wanasubiri ufufuo pamoja na wale waliolala katika Bwana, ni sehemu inayotisha sana unakutana na mabalaa , matishona mausumbufu mengi sana, sehemu ya muda kabla ya kutupwa katika ziwa la moto yaan Jehanamu ya Milele ambako huko ni Mateso na Majuto ya Milele, Wakati peponi ni sehemu wanayoishi watu waliompokea Bwana Yesu kama Mwokozi wa Maisha yao, ni sehemu yenye amani na utulivu na yenye kufariji huku ukisubiri ufufuo kabla ya kunyakuliwa na Bwana YESU kwenda Mbiguni katika karamu ya miaka 7
Naomba kufahamu kubatizwa Maji Mengi au machache Kuna utofauti gani kibiblia
Maana ya ubatizo ni kuzamishwa.. hivyo mtu anayebatizwa pasipo kuzamishwa anakuwa hajabatizwa kulingana na tafsiri ya neno hilo…
Endelea kutoa maarifa juu ya mungu pia unaweza kuntmia kwnye email
Tuandikie pia namba zako za whatsapp ili tuweze pia kukutumia masomo kwa njia hiyo…
Nimejifunza sn! Hakika shetani ni baba wa uongo. Ntaomba nami unitumie hicho kitabu. asantrowland@gmail.com
amen
Ubarikiwe sana Mtumishi kwa ufafanuzi kweli kabisa watu wameacha kujishughulisha na huduma inawezekana kwa sababu ya watumishi au washilika ila Manisa linakoelekea so lafiki sana
Bwana Yesu atusaidie sana.
Asante sanaaa! Mwl, umenisaidia pakubwa.
Amina tubarikiwe sote na Bwana.
Bwana Yesu asifiwe. Nashukuru kwa mafundisho haya mazuri. Mtumishi naomba kuuliza swali; ni vibaya kutumia chumvi katika agano jipya?
Unaweza kutumia chumvi, maji, mafuta au chochote kwa uongozo maalumu wa Roho Mtakatifu na si kama fomula fulani maalumu ya maombi..
Amen, atukuzwe BWANA WETU YESU.
Nimeewa Naomba kuuliza ukiota unadondika kwenye mti maana yake ninj
Shalom..huenda kuna mtu maalumu kwako utajitenga naye…
Thanks for the words
Amen..
1.@Je mtu anaweza kubatizwa kwa roho mtakatifu Kama hajabatizwa kwa maji mengi (b) Yohana mbatzaji alibatizwa wapi na Nani alimbatza pamoja na mitume wote kwenye biblia ni wapi wamebatizwa (C) yule mnyang’anyi msalaban yesu alimhidi atakuwa paradiso alibatizwa wapi na wakati katka Bible ubatizo ni lazima?
Shalom…naamini nilishakujibu swali lako kwa whtsapp
NAOMBA KUJUA KWA KINA TOFAUTI YA MTU NI KITU GANI NA BINADAMU NI KITU GANI KWA MUJIBU WA ZABURI 8:4
Unaweza kufungua hapa >> Tofauti kati ya mtu na mwanadamu ni ipi?
naomb kuwa sehemu ya familia hii.
Karibu.. Unaweza kujiunga na group letu la whatsapp la masomo ya kila siku.
Nimebarikiwa mbarikiwe saa
Amen tuzidi kubarikiwa wote na Bwana YESU.
Naomba kuungwa kwenye group number hii 0679544639
Tayari tumeshakuunga..ubarikiwe.
Mnafundisha vizuri Sana watumishi wa MUNGU…. MUNGU awabariki mno…..Lakini Kuna swali linanisumbua Sana Mimi…. “”Nini inawakilishwa na chura kila Mara kunitembelea kitandani mwangu mpaka kichwani usiku ??”” Naombeni msaada wapendwa !!!
Amina utukufu kwa Bwana YESU.. Je huyo chura unamwona kwenye ndoto au katika uhalisia kabisa anakutembelea kichwani…
eliaezekiel161@gmail.com
Amen, itakuwa vizuri pia kama utatuandikia na namba zako za whatsapp ili tukuunge kwenye group la masomo ya kila siku.
Barikiwa namba yangu ya whatsapp 0785581040
Mathayo 1;24 Naye Yusufu alipoamka katika usingizi, alifanya kama malaika wa Bwana alivyomwagiza; akamchukua mkewe;25 asimjue kamwe hata alipomzaa mwanawe; akamwita jina lake YESU..ndo maana nilitaka tuelewane hapa neno ha asimjue kamwe afu anasisitiza hata alimpomzaa mwanawe , kwaiyo wale no ndugu ndo maana wajasema watumbo moja
Ngoja tuone maandiko vizur kwasab ata watoto wa mamdogo ni ndugu zangu
Bwana Yesu awabariki sana jamani watumishi
Amen atubariki sote…
Nashukulu kwa mafundisho mazuri ila Naomba kuuliza, kama siku ya kuabudu ni siku yoyote lakini katika amri KUMI ZA MUNGU tumeambiwa tuikumbuke siku ya sabato na tuitakase, je siku ya Sabato au siku ya Saba ni siku ipi? Je ni siku yoyote?, na kwa nini hatusali siku moja ikiwa Mungu ametuagiza kuikumbuka nakuitakasa tena amesema tusifanye kazi yoyote, je kati ya wanaosali Jumapili na Jumamosi ni wapi wanasali siku ya Sabato au zipo siku mbili za sabato?
Barikiwa sana mtumishi wa BWANA Mungu aliye hai, nimeipenda sana nimejifunza kitu kikubwa hapo 🙏🙏🙏
Amen, uzidi kubarikiwa…
Mm siamini hio miungu wala sijikingi na madhara yote kwann nisinyoe?
Wapendwa ahsanteni mnooo mana Mimi nafaidika Sana Kwa mafundisho haya…..
Namshukuru Mungu kwa somo hili nimetiwa nguvu sana na kuamua kuendelea mbele nyuma mwiko.
Amen hongera sana, BWANA YESU akusaidie katika hilo..
panganidickson66@gmail.com
Kama unatumia whatsapp pia tuandikie namba zako ili tuweze kukuunga katika group la masomo ya kila siku..
Napenda sana mafundishi yenu watumishi wa mungu, mbarikiwe sana
Amen tubarikiwe sote na Bwana..
Amen Mungu Ni Mwema wakati wote, Awabariki ninyi wote kwa kueneza mafundisho haya, Hakika nimeongeza elimu kuhusiana na habari hizi , amen 🙏
Asante sana nabarikiwa sana
Amen, uzidi kubarikiwa..
Nimependanzwa na mafudisho yenu mungu wa mbinguni walinde
Amina, utukufu kwa Bwana, na atulinde sote.
Nashukuru sana Ila je Mungu alitolewaka wapi ?
Shalom.je waweza kuliweka swali lao vizuri?
Ubarikiwe
Amen, tubarikiwe sote…
Ujumbe mzuri sana!naomba nipate somo hili zaidi kuhusu malaika na mungu awabariki kwa utendaji kazi wenu
We
Habari,,kwanza niwapongeze kwa kazi nzuri ya kutangaza neno la Mungu. Naombea nguvu zaidi, mwenyezi akawawezeshe na kuwaongezea pale mtakapopungukiwa.
Mimi ni moja ya watu wanaotamani kumjua Mungu na kuenenda kwenye njia zake. Nilitamani kujiunga kwenye group la WhatsApp lakini naona link haifanyi kazi. Kama mnaweza kunisaidia namba yangu ya WhatsApp ni 0684 477 727
Asante, na Mungu awabariki sana. Amen.
Amina tumeshakuunga ndugu. Bwana akubariki sana
Mungu awabariki sana watumishi kwa kazi nzuri ya kufundisha wengine. Hakika mtalipwa na Mungu msipozimia roho. Amen
Amina akubariki nawe pia ndugu…
Shule hii ni njema
Amen utukufu kwa Bwana Yesu
My name is Moses Tom Simiyu being blessed with your lesson. But recently i lost my phone. But i was very much interested with that topic of ALAMA YA YESU. PLEASE can you resent me that topic. Thank you.
Unamaanisha ujumbe wa chapa zake Yesu?
Amina nimebrikiwa
Amen ubarikiwe nawe pia..
Ubarikiwe mtumishi leo nimesoma maana ya ndoto ya kuchelewa nmepata uelewa wa nini kinaendelea kwenye maisha yangu! Ee Mungu nisaidie niweze kuvuka vikwazo vinavyofanya nisifike sehemu unayotaka nifike kwa wakati. Amen!
Amina amina
Mungu na akubariki na mataifa yapate injili ya kweli.
Amina na atubariki sote..
Bwana Yesu awabariki sana
Nimejifunza Kitu
NI KITABU KIPI HICHO KILICHO RUHUSU UONGO NA UCHAWI
Nikitabu kipi kilicho ruusu muongo na uchawi
Kuna watu wanasema kosa kubwa lililo wapeleka Israel misri linatokana na Baba Ibrahim kwakuto kuchunga Sadaka na kunguru wakakula ndipo Mungu akaamuwa kuwaweka utumwani kama adhabu kwa ibrahimu jee ni jweli
Hapana si kweli ndugu…
Naomba kutumiwa masomo ya kila siku.
Tuandikie namba zako za whatsapp ndugu…
big amen for god.
0k
Your teachings have tought me deeply about Our Lord Jesus,Iam blessed and farmore my faith has been abundantly nourished. Through teachings I strongly feel deep in my Soul to extend what i have got from you with my church members through Sundy school,Preaching,Evagelism and my family at large. Much Obliged
Pia,nafurahishwa San na HUDUMA yenu Mungu azidi kuwabark Lakni nahitaji nijue jinsi ya kuyapakua(download).
waweza tumia App yetu, Nenda Play Store au Google Play na ipakue…
Mbarikiwe Sana watumishi wa Mungu, hakika najifunza Mambo mengi Sana kupitia ukurasa huu
Amen, tubarikiwe sote na Bwana.
Amina tubarikiwe sote, na atukuzwe Bwana Yesu..
Amen…🙏🙏🤝
Nimesoma hii mada,napata swali baada ya mwili kufa,roho inaishi wapi?
nini kitatokea baada ya kifo?
Amen. Mungu abariki NENO lake. Nimejifunza na nimeelewa somo zuri .
Amen, alibariki sana.
Might GOD blessed for our message
Amen, atubariki sote…
Bwana Yesu alinena kwa Lugha pale alipokuwa msalabani “Eloi Eloi lama sabakthan” Ukisoma Marko 15:34 na Mathayo 27:46
how are you what is you na me
Amina somo zuri sana utukufu kwa Mungu kwa ufafanuzi mzuri wana wa Mungu.🙏🤝👏👏
Asante kwa maubiri
Amina mwalimu nimepemda sana huu muongoza ila nina swali je.maombi ya toba hapo vipi sijaona ?
Unaweza kupitia hapo KUONGOZWA SALA YA TOBA
Mimi nimeota kuna dada 1 alikuwa rafiki yangu siku za nyuma tulikuwa tunatembea njiani yeye akawa amenitangulia mtoto wake yupo katikati na mimi nikawa nyuma yao tukaenda tukafika mbele tukakutana na mto ulikuwa una maji machafu yule dada alikuwa ametutangulia akavuka ule mto alipofuka wakati anafata mtoto wake avuke nikaliona joka kubwa jeusi lipo kwenye huo mto nilivyoona mimi nikarudi sikutaka kuvuka tena nilivyorudi nyuma nikakutana na watu nikawaelezea nilichokutana nacho ndo wakaniambia mbona tunasikia kelele yule mtoto analia atakuwa anamezwa na yule joka wakachukua mawe silaha wakakimbilia kule mtoni kwenda kumuua yule joka ndo nikashutuka nitatoka usingizini. hiyo ndoto ina maana gani Mtumishi wa Mungu
Tunashukuru kwa ufafanuzi huu, lakini bado kuna hitajika maarifa zaidi katika hili na kuna hitaji mwongozo wa Roho Mtakatifu. Maana kwenye wanyama hapo kuna hitaji maarifa maana bila hivyo waweza kupoteza badala ya kupata. Hili swala lahitaji hekima,maarifa na mwongozo toka kwa Mungu kwamba fanya hivyo. Ni mtazamo wangu tu,maana mfano tunaofuga kuku wa mayai au nyama wanahitaji chakula kila saa sasa kwa siku nzima sijui ni nini kitatokea
nimependa website yenu! Ni ya baraka sana! Mungu awabariki sana!!!!
Amen atubariki sote
Amen azidi kukubariki nawe pia.
Nimesoma Mara ya Kwanza leo na nimepata ufahamu ..nashukuru sana barikiwa
Kujiunga
Shalom… kujiunga na group la whatsapp waweza kutuandikia namba zako hapa, au ukatutumia ujumbe kupita namba zetu tajwa chini.
Nimeelewa sana na nimeongea maarifa Asante wingulamashahidi.org
Amen Bwana azidi kukubariki…
Hakika Neno la Mungu halitapita hata yote yatimie. Ahsante sana kwa ujumbe mzuri. Mungu azidi kukujalia kila kilicho chema kwako. Amen
Amen atujalie sote…
Nashukuru, kwa ujumbe maalum
M
Bwana Yesu asifiwe MTUMISHI wa Mungu nabarikiwa Sana na mafundisho yako Mungu akubariki Sana Mim nimeokoka nampenda Yesu na nimesimima Leo nimeota nipo na wenzangu tunapanda mlima tulipofika juu ya mlima kuna gari lilikuwa mbele yetu likawaka moto tukaanza kushuka ule mlima tukakutana tena na Nagari mengine tukajikuta tuko kwenye maji watu waajabu wakawa wanatokea kwenye maji wanapambana na wenzangu lakini Mim hawakuweza kunigusa nikavuka salama naomba unisaidie tafsiri yako MTUMISHI wa Mungu asante
Amen, naomba ututafute kwa namba zetu, maana kuna maswali ya kukuuliza kufuatia hiyo ndoto… Ubarikiwe na Bwana.
Good
Umehubiri vizuri mwishoni ukavuruga tupo ambao hatujazama tumebatizwa kwa maji machache lakini tunaye Roho mtakatifu
Umefanya vizuri kupokea Roho Mtakatifu, lakini hata kama umeshashampokea ni lazima kubatizwa kwa maji, kama ilivyokuwa kwa Kornelio, alipokea Roho Mtakatifu lakini bado ilimpasa abatizwe kwa Maji.
Matendo 10:47″Ni nani awezaye kuzuia maji, hawa wasibatizwe, watu waliopokea Roho Mtakatifu vile vile kama sisi? 10.48 Akaamuru wabatizwe kwa Jina lake Yesu Kristo. Ndipo wakamsihi azidi kukaa siku kadha wa kadha”.
Tafuta ubatizo mwana wa Mungu!!
Kwa hakika hayo yote ni Amina na KWELI Mwanadamu anaweza kuona amefika mwisho Lakini kwa mungu bado Nilikua naona nimefika mwisho kwa vitisho vya shetani Lakini mungu akaniokoa haleluya
Amen, ubarikiwe sana na Bwana ndugu Ezra..
Sasa kama mazingira ni sababu ya watu kuwa weupe na weusi na aina nyingine je! Mbona ulaya watu weusi wanaendelea kuzaliana?????
Tayari maumbile ya asili yalishabadilishwa na mazingira, hivyo mazingira hayawezi kuturudisha tena kuwa tulivyokuwa mwanzo…
Ameen
Ahsante kwa ufafanuzi, Naomba kuuliza…ina maana Yesu akupelekwa kwenye ule mlima(temptation Mountain)?? Maana pale kwenye mji wa Jerico kuna uo mlima na watu uutembelea.
Lilikuwa ni Ono..
Aridhi inatetemeka kwa kitendo hicho, shetani anakukataa kwa kusema hajakwambia ufanye hivyo ila ufanye uzinzi tu.
Barikiwa mtumishi
Amen tubarikiwe sote..
Amen tuzidi kubarikiwe sote…
Rebecca
Je kutumia majina kama Shedrack, Meshack na Abednego ni sahihi?
Ndio hamna shida…
Nimepata funzo nzuri hilo BWANA awabariki sana
Amina uzidi kubarikiwa sana…
Kijana anaongelewa kama nani kibiblia
shalom.. je unaweza kuliweka swali lako vizuri zaidi?
0768208195 naomba niungwe ktk haya masomo
Amen nimebarikiwa Mungu awabariki
Amen Bwana azidi kukubariki..
ubarikiwe tayari tumeshakuunga..
John ntine
Nimebarikiwa sana na somo
Amen uzidi kubarikiwa na Bwana.
Nahitaji kuwa natumiwa masomo haya kwenye Email yangu yq shotolidanieljacob@gmail.com
Amen, yatakuwa yanakufikia lakini zaidi sana tunalo group la Whatsapp ambalo huwa tunatuma huko masomo kila siku, kama utapenda tukuunge basi waweza kutuandikia namba unazotumia whatsapp au ukatutumia ujumbe kupitia namba zetu zinazoondekana mwazo na kila mwisho wa somo..
Amina yatakuwa yanakufikia lakini pia unaweza kuyapata kwa njia ya whatsapp…tuandikie namba zako
Mbarikiwe sanaa tunawapenda
Amina na asante sana, Bwana azidi kukubariki sana…
Amina tubarikiwe sote, nasi pia tunawapenda sana.
Mtu akiwa hamujui Mungu na amefunga ndoa ya kiserikali akiamua kumpokea Mungu hawezi kukubaliwa na kufungishwa ndoa ya kidini?
Akishaokoka, anapaswa akabariki ndoa yake kanisani..
Akiokoka akiwa tayari yupo kwenye ndoa ya kiserikali,anachopaswa kufanya baada ya kuokoka ni kwenda kuibariki hiyo ndoa yake madhabahubi.
Barikiwa sana mtu wa Mungu…nimejifunza kwa njia rahisi sana asante
Haleluya
Mbarikiwe
napenda kujifunza neno la mungu
mugu akubaliki amen
Nashukuru sana mukuwe nanittumia kila leo number ni 0976304832 . Email ni blaise birindwa@.net .com
asante mtumishi umekuw kiungo muhimi kwangu hata sasa nina mfuaata yesu mungu akubariki
Neno la MUNGU huja kwa wakati kwangu nina ona niwakati wa kuzingatia na kuifuata haki.
Very good message you always bless me
Natamani kubatizwa….namba ya simu 0753610759
Bibi ya Nuhu anaitwa nani?
how to join
amina Mungu aendelee kukupa ufunuo
AMINA.
Amina na jina la Bwana Yesu Kristo litukuzwe….
kiukwel nimekuelewa ninaiman na mwenyez mungu ila naomba kujiunga tafadhari nisaidie
JE kusuka nywele au kujipamba ni dhambi
Asante Sana kwa mafundisho haya, lakini nimejikuta Nina swali hapa. * Sasa kwenu ninyi, ki biblia mungeweza mushauri yeftha jambo gani sahihi lakufanyo kipindi kile!?
Asante kwa jibu, sababu ni fundisho piya n’a kwangu mimi.
Nami salimu sana Nafurai kabisa juu ya mafundisho mina penda nyanze kuyapokeya Aksanti. Mungu amibariki
Amina, akubariki nawe pia ndugu yetu.
mungu wangu
ni kumuomba MUNGU akusaidie tu unajua wanawake weng jehanan inasubiri ,ukiwaambia unaonekana hulijuw NENO
Bwana akubariki.
thanks so mach
Amen, Be blessed
mnaptikana wapi semina hikowapi barikiwasa
Tunapatikana, Arusha, Daresalaam na Geita.. Waweza wasiliana nasi kwa namba zinazoonekana mwisho au mwanzo wa tovuti.
Hello habari
Shalom, karibu sana.
Nawapongeza, kwa mafundisho yenu mbarikiwe na Mungu azidi kuwafunulia zaidi
Amina, Patrick, ubarikiwe nawe pia na Bwana akuongezee Neema yake.
mungu azidi kuwapa uzima na baraka tele nilikuwa kipofu wa neno sasa naanza kuona mwanga mbele yangu mungu awanariki sana nawapenda.
Amina tunashukuru sana, zaidi sana Bwana akubariki nawe pia katika jina lake tukufu.
Ibeliev our God and ilike survive
Ibeliev our God…ilike to survive Because llove God
Amen, Bwana azidi kukubariki.
Be blessed for a wonderful work that you’re doing in building the kingdom of the heavenly father.
Amen, utukufu kwa Bwana Mkuu Yesu.
Napenda maarifa
Karibu sana…
baraka ziandamane nanyi hata mwisho wa ukamilifu
Amen, ziandamane nawe pia ndugu yetu, katika jina la Bwana Yesu.
Bwana awabariki na kuwaongeza.
Amina tunashukuru sana, na iwe kwako pia..
Je ni kweli kwamba Esau aliuza haki yake ya mzaliwa wa Kwanza? “((Aliuza haki yake hiyo kama vile Esau alivyouza haki yake ya mzaliwa wa kwanza kwa Yakobo ndugu yake kwasababu ya chakula kimoja tu)”
ndio
Asante Kwa SoMo zuri sana naomb niwe napata mafundisho hata Kwa njia ya Whatsapp no 0757847984
Tayari nimeshakuunga kwenye group letu linaitwa Nuru ya Upendo…
Ahsantee nimeelewa.
Naomba uni add kwenye magroup ya maneno ya MUNGU niwe napata Kwa njia ya Whatsapp namba ni 0695974124
Amen nimebarikiwa
Nimebarikiwa mno jaman
Mungu aendelee kuwatunza
Amen atutunze sote..
Nimependa ufafanuzi wako wa biblia
Amina ashukuriwe Bwana..
Daah! Hakika mungu yupo.
Ubarikiwe..
Nimependa mafundisho yenu Ningependa kujua zaidi juu ya huduma yenu na mahali mnapatikana
Tunapatikana Daressalaam, Arusha na Geita.. unaweza kuwasiliana nasi kwa namba zetu zilizopo mwisho wa kila somo…
Nimebarikiwa sana masomo mazuri yanayohusu upendo haswa neno linalosema upendo wa Mungu unatubidisha
Amen uzidi kubarikiwa ndugu
Nitumiye Somo mbali mbali za Neno la Mungu.
Kama unatumia whatsapp basi tutumie ujumbe kupitia namba zetu ili tuweze kukuunga kwenye Group la masomo ya kila siku
Kama unatumia Whatsapp tuandikie namba zako…au tutumie ujumbe kupitia namba zetu zilizopo katika mwisho wa kila somo.
Nimependa sana mafundisho haya!!Mungu awabariki sana🙏🏾🙏🏾
Amen, uzidi kubarikiwa na Bwana…
Amen Atubariki sote…
Sifa kwa Bwana Nimefuraia haya mafundisho Mazumuni yangu nikwamba kunitumia, Mimi napenda sana kutumia mda wangu kwa maneno ya Mungu
bwana apewe sifa heri kula tabu kulko matexo .Asante xna muhubiri ubarikiwe sna
Amina, nawe pia ubarikiwe.
sijaelewa kabisa kuhusu ubatizo mahana kuna ubatizo wa aina nyingi sana kuna wa maji mengi na
Ubatizo sahihi ni ule wa maji mengi (Yohana 3:23)..
Mimi napatikana United States of America. Napenda kuuliza swali moja katika,ninyi mnajulikana kama wakina nani , mnapatikana wapi na kukutanaje katika kujifunza Neno la Mungu ao kupana ufunuo wa Neno la Mungu kwa uongozi wa Roho Mtakatifu ?
Tupo Dar es salaam Tanzania, waweza kutupata kwa namba zetu hizi +255789001312/ +255 693036618
Kweli mwalimu humefundisha na ukatufundisha vyema kadhalika mimi nashindwa kweli kuacha Dhabi ya wivu nakunipelekea katika masengenyo,chuki,hasira n.k nisaindie mchungaji
Pitia hili somo >> TOFAUTI KATI YA SHERIA YA ROHO WA UZIMA NA SHERIA YA DHAMBI NA MAUTI!
Kweli kabisa,ili tuepukane na uovu wa kila namna ni kumtegemea Mungu
Kweli tumtegemee Mungu kwa bidii na tusiweke hofu hata tukutanapo na majaribu ya shetani,kwa sababu tukiwa imara katika maombi tukimuomba Yesu Kristo,hakika tutayashinda majaribu
Hakika
Ubarikiwe sana,nimejifunza kitu hapo
Amina uzidi kubarikiwa…
Amina,Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
Amen amen akubariki nawe pia
Hapo nikweli mwalimu nimeona fadhili na njia kweli ya wokovu na uzima…….
Amen Bwana atusaidie..
wanawaMungu niwatakatifu waliopo duniani?
Ndio..
Barikiwa sana mwalimu
Amen tubarikiwe sote na kutusaidia..
Nimejifunza kitu hapo,uliyaongea ni kweli kabisa,utakuta mtu kama ana cheo lazima mwishoni aweke “MKUU” hata kama si kiongozi wa kanisa na wakati wanakosea.Barikiwa sana kwa somo hili zuri.
Amen tubarikiwe sote na kutusaidia
Barikiwa kwa somo zuri.
Amen tubarikiwe sote.
Amina,nimebarikiwa na somo zuri.Tutende matendo mema yatakayotuweka mbali na unajisi(Ugomvi,Uasherati,Ulevi,Matukano,Chuki n.k)
Amen uzidi kubarikiwa ndugu yetu..
Naomb kujua maan ya jina la prisca
MAFUNDISHO YA YESU NI PAMOJA NA MAFANIKIO. BARIKIWA
NAHITAJI SOMA JUU YA ROHO ZILIZO CHINI YA MAZABAHU. AO NAMNA WALIVYOTESWA WAISRAELI
Very powerful msg
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu,yafaa tuabudu Mungu tukiwa na heshima katika mahali pa kuabudia
Amen hiyo ni kweli kabisa..
Amina somo zuri.Barikiwa sana
Tuzidi kuombeana
Tuombeane
nimeota natoroka shule in maana gan?
Hakika NI Amina n kweli
I’m blessed with your story that you olways share with us according to the Bible, but I have a question, madhabau ni mahali pa kuabudia na kunwibia mungu ama ni mahali pa matoleo pekee?
Hapo kweli mwalimu humefundisha, hapo kwakweli YESU akua na upendeleo kama Sisi wanadamu Amina
Hello,
Asante nimebarikiwa sana kwa neno.
naomba mm tumezee kwani bibilia haina maajab yeyote
Barikiweni na Bwana YESU Kwa mafundisho haya mazuri Neema ya MUNGU izidi kuwa pamoja na sote katika kutafakari neno lake Amina.
Amen, asante sana, nawe pia uzidi kubarikiwa sana na Bwana Yesu.
Ahsante ujumbe mzuri
Ameeeen barikiwa
Amen, nawe pia..
Please admin uniunge ndaniya groupe la Whatsapp
Unaweza kutuandikia namba zako unazozitumia whatsapp
Napenda kujifunza neno la Mungu
Amen, karibu sana.
Nabarikiwa sana na mafundisho haya
Leave your message .com je maria bikira aklifariki
Mariamu alifariki..
Nimepend hiy topic
Amen, ubarikiwe.
Hapo nisawa kabisa mwalimu wangu, umenifundisha Jambo jema kabisa Kumbe wokovu sio rahisi vile tunavyodhania? Sasa mtumishi wangu niwangapi basi watakao enda na YESU kwa maana mazingira yetu hasa katika makazi yetu, vishawishi, , matani matusi, mizaa kwawingi zimekita. Naomba usaidizi wa kushinda mambo haya kwakua nimejua ukweli
Roho Mtakatifu akijaa kwa wingi ndani yako, atakupa uwezo wa kushinda vishawishi ambavyo kwa nguvu zako huwezi kushinda…Kwahiyo tafuta kwa bidii kujaa Roho Mtakatifu
Nimebarikiwa nakusogezwa hatua1 mbele kwa habari yakumtumaini Mungu katika ugonjwa wowote mtu anapitia kwa kua tayari tumekwisha kuponywa utukufu ni kwa Mungu.
Niungeni namm kwagroup yamaneno ya MUNGU number yangu ni+254112272849
Tayari tumekutumia link ya kujiunga na group ndugu…
NIUNGE KWENYE WHATSAPP NO. 0756 65 23 65.
Mchungaji mimi nakaa Olmatejoo hapa Arusha.Nilikuwa nauliza huku Arusha mnapatikana kanisa lenu?
Karibu, tupo Njiro-Tanesco, wasiliana nasi kwa namba hizi 0789001312/0693036618
Barikiweni watumishi!Naombeni muwe mnanitumia masomo kama haya kwenye email yangu asant.
MUNGU ni mwema kila mtu amtumainie na amuaminie.m’barikiwe wote.
Amen, tubarikiwe sote..
Natamai niwazima waafya nimeflahi Sana kuwa pamoja nanyi kaitka kujifunza pamoja kitabu hiki.
Amen, Bwana azidi kukubariki
Nazidi kubarikiwa kwa mafundisho yenu
Amina Bwana azidi kukubariki..
Nini maana ya kuota uko kwenye maji au kwenye bwawa
:Maji mengi tafsiri yake ni ulimwengu (Ufunuo 17:15)
Mbarikiwe sana
Mbarikiwe sana kwa mafundisho mazuri
MUNGU ATUPATIYE BARAKA ZAKE, NASEMA ASANTE KWAKUTUJALI MPAKA SASA.
Mungu aendelee kuwainua katika kutuhabarisha Habari za mbingu Hai katika Yesu
Amen, atuinue sote..
Nimelia asubuhi ya Leo .na Mungu anipe kuanza upya😭😭
Amen Bwana akuonekanie..
Shalom naomba kuuliza naweza kupata vitabu
ndio wasiliana nasi kwa namba zetu, zilizopo mwisho wa kila somo.
Amina! Asante Kwa ujumbe mzuri!
Amen ubarikiwe..
Please naomba unisaindie Niko Kenya somo lako limeninguza asa 1&9 nisaindie please
Kama unatumia whatsapp tutafute kwa namba zetu hizi +255789001312 au +255693036618
Nikweli mwalimu wangu umenifundisha kuhusu mambo hayo na Hali sio nzuri kabisa kwa waombezi kwakua wamejichanganya na mambo ya kindunia jee nikwa njia ngani nyengine naweza tumia nikpona roho yangu kama mtumishi wangu mtiwa mafuta na MUNGU Naweza kujiombea au ukaniombea?
Unaweza kumsihi Bwana mwenyewe na akakuponya.. lakini kama una mashaka na imani yako nakushauri uwatafute watumishi wa Mungu wakusaidie katika maombezi…Lakini pia ukitaka msaada kutoka kwetu waweza kututafuta kupita namba zetu zinazoonekana mwanzo na mwisho wa tovuti yetu, au katika mwisho wa kila somo…
Hapo ni kweli wokovu sio rahisi ni Jambo la kuamua MUNGU awatie nguvu zaidi kwa kuenenza injili be yake Amina
Kiukweli mnafundisha vizuri sana
Amen atukuzwe Bwana..
Somo zuri sana
Amen utukufu kwa Bwana..
Mbarikiwe sana kwa somo zuri
Amen barikiwa mtumishi
Naomba Niwe pamoja nanyi Whatsap 0716659569
karibu tuandikie jina lako
Ni mafundisho mazuri sana sijawahi kukutana nayo. Yamenijenga kiimani, nimeyapenda sana niendelee kujifunza katika siku za usoni , Bwana Yesu awabariki kwa kazi hii njema
Amen, utukufu kwa Bwana na Ubarikiwe pia na Bwana..
I have much to say bt no time I didn’t know what to do bt I which we met at WhatsApp we took more 0740862988 WhatsApp number
Naomba nipate kwa njia ya whtsapp 0754941902
NIMEPENDA UFAFANUZI WENU WA KINA JUU KUHUSIANA NA BIBLIA.
Amen ashukukuriwe Bwana..
Amen utukufu kwa Bwana…tendea kazi Neno
Vizuri sana
Kwa kweli uasherati ni mbaya mno na ndio maana katika Efe.5:3 biblia inaonya kuwa “Lakini uasherati usitajwe kwenu KAMWE, wala uchafu wo wote wa kutamani, kama iwastahilivyo watakatifu; wala aibu wala maneno ya upuzi wala ubishi; haya hayapendezi; bali afadhali kushukuru.”
Amen, hiyo ni kweli kabisa…
Wonderful teacherings
Amen Ubarikiwe..
Roho wa Mungu aendelee kututunza katika ufunuo ili tuwe na nuru ya macho ya moyo ili tumjue zaidi Mungu katika upendo wa Yesu Kristo Bwana wetu Amina 🙏
Amen, Bwana akubariki..
Moja ya somo ambalo hua nalipenda mno. Mungu ni mwema 🙏
Asante, nimeelewa. Kuna namna hutamani kuwepo damu changa madarakani Kwa maana ya vijana lakini husahau kuwa hekima ni muhimu sana katika uongozi. Barikiwa sana by SAMWEL MWASI WA KATORO GEITA
Amen Bwana atubariki sote…
Asante Mungu akubariki sana mtu ishi
Amina kwa Wanawake waliokolewa na Yesu. Muishi Maisha kwa kiasi maana wateule wa Mungu wana njia yao ya kupitia ambayo watu wengi wa kidunia wanaipinga na hawaitakii.
Namba 5, 8 na 9 umeiruka Mtumishi wa Mungu.
amina tumelipata somo weka na maana ya rangi kibiblia
Amen barikiwa sana
Tubarikiwe sote..
ninataka kujua kiberiti cha kuwashia moto wa jehanamu kikoje na kinaukubwa gani.?
Unaweza kupitia hili somo litakupa majibu >> Kibiriti ni kitu gani? kama kinavyozungumziwa kwenye maandiko?
Daima twayaweza yote katika MUNGU MWENYEZI mwingi wa rehema aliyeumba vitu vyote duniani na mbinguni
Jina la levokatusi manaake nini
Amen nimeelewa
Bwana akubariki..
Barikiwa sana mtumishi Wa Bwana
Amen Bwana atubariki sote..
Mungu awatunze
Amen, akutunze nawe pia..
NINAOMBA KWAMBA niwe natumiwa MANENO YA MUNGU
Tuandikie namba zako unazotumia whatsapp..au tutumie ujumbe kupitia namba zetu tajwa hapo chini.
Inamaana kweli hizo siku 40 mutu hale chochote? naomba kuelewa zaidi.
Je,Bibilia inaposema na tumfanye mtu kwa mfano wetu inamaanisha nini?
Amen barikiwa
Nini hasa kina mpendeza bwana kutoa kama sadaka katika madhabahu yake pesa ama bidhaa?
Sadaka ni kile Bwana alichokujalia au kukuongoza…lakini sio kilicho Bora zaidi ya kingine…Kila kimoja kinaweza kuwa na na nafasi yake wakati fulani
MUNGU awabariki kwa kutubariki
Nafuatilia masomo yenu kupitia simu yangu ya kawaida kabisa kwenye Google,MBARIKIWE!
Nimebarikiwa sanaa
Nimebarikiwa sanaaa
Kwaiyo makanisa ya leo yanapaswa kufundisha nini hasa
kweli yote ya Mungu.
Nimebarikiwa sana…naomba unitumie masomo mengine zaidi kwenye e-mail yangu
Sifa,Utukufu na HESHIMA zimrudie BWANA
Amen hiyo ni hakika kabisa..
Mungu awabariki kwa kazi nzuli mnaoifanya ya Neno la Mungu
Nkubuli kujiunga
karibu.
Mko vizuri
Naomba niunge katika group hili
Tuandikie namba zako unazotumia whatsapp au tutumie ujumbe kupitia namba zetu zilizopo mwisho wa kila somo.
SHALLOM m yeremia giyamb toka (w) hanang mkoa manyara Nawa shukuru watumish wa mungu kwa kazi yenu njema na nzur kama hiyo mungu awa brikini sanaa nime jifunza mambo mengi sana
Amen uzidi kubarikiwa na Bwana, na pia waashirikishe na wengine maneno ya uzima.
BwanaYesu kirsto atukuzwe naombeni huduma ya maombi katika tovuti yenu nahitaji group
BwanaYesu kirsto atukuzwe naombeni hududuma ya maombi
Tutafute kwa namba zetu zilizopo mwisho wa kila somo…
Mungu wa mbinguni atukuzwe sana napenda kumtukuza muda wote pia azidi watu wote kuwapa neema na shauku ya kumjua na kulijua neno lake na kuliishi
Amen amen
Amen, amen ubarikiwe sana mteule wa Bwana Yesu.
Amen nawe pia..
Nimebarikiwa na neno la Mungu
Je, mchungaji kuwaombea watu wanaobeti ili washinde ni sahihi..?!
Amen.
Amen. Nikejifunza
Mungu Awabariki kwa makala nzuri
Mungu awabariki. Nimejifunza jambo la Muhimu Sana
Bwana Yesu asifiwe, nimebarikiwa sana na mafundisho haya, nilikuwa natafuta kujua nchi ya wagerasi kwa Sasa inaitwaje, nikajikuta nimefika kwenye account hii, nimependa mno ufafanuzi wa bahari na ziwa galilaya, naomba msaada kujua nchi ya wagerasi
Nimejifinza
Amina ubarikiwe mtumishi wa BWANA
Amen, nami ufahamu wangu umepanuka sana baada yakujua hizi rangi. mbarikiwe
Mungu awabariki sana Kwa mafundisho haya ya Neno la Mungu Kwa kweli Kwa upande wangu Mimi mafundisho haya yamefanyika msaada mkubwa Sanaa maana toka nilipoanza kufuatilia masomo yenu kweli Kuna mambo mengi nimejifunza na ninaendelea kujifunza na zaidi ninazidi kumfahamu zaidi Mungu na kuwa karibun nae. Mungu awabariki sana na Mungu azidi kuwapa mafunuo Zaid watumishi wa Mungu 🙏👋
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Mungu awa bariki wapendwa kundi hili limekuwa la baraka kwangu nmejifunza mengi kupitia kundi hili
Wamtumainio bwana nikama mlima sayuni hawatatingishika milele habari hizi zinao uzito mwingi Sana hasa katika hao wachungaji maana kwakweli ukizielewa kwa undani zaidi kundi ulilonalo sio rahisi lipotee Bali kwa kupuuza ni huangamifu
Mungu awabariki kwa mafundisho mazuri ya kutujenga zaidi kiimani# amina
Mungu ni mwema tumtumain yy
Mwenyezi Mungu ni mwenye nguvu hivo tumtumaini yeye make ndo uzima wa milele
Amen🙏🙏🙏 Mungu awabariki sana
Mungu awabariki sana hakika, kazi yenu ni njema, kipekee nimejengeka sana kupitia huduma hii🙏🙏🙏🙏
Mungu awatangulieni ktk Utume wetu, sisi sote tu kondoo chini ya mchungaji mkuu Kristo Yesu.
May God bless the teacher who taught us the secrets of God and may he be blessed with these teaching
Amina kazi yenu Ni njema Mungu awabariki
Mungu amibariki latina jina la bwana wetu yesu kristo
Naam Barikiwa sana! Kweli kila mtu aliyekwisha kumpokea Bwana Yesu kristo anakazi ya kufanya ili kuujenga ufalme wa Mungu. Mfano waimbaji na makundi ya sifa na mahabusu wamtukuze Mungu ktk Roho na kweli maana kuna watu wanainuliwa na kutiwa moyo kuendelea na safari ya wokovu.
Hakika MUNGU atusaidie kwakweli atupe huo ujasiri ya kuwalisha na kuwajenga na wengine
MUNGU aendelee kuwajalia
Shukrani
Mungu awabari kwa kazi nzuri mnaifanya kazi ya Mungu kwa kutii agizo lake la kuwafanya watu wote kuwa wanafunzi wa Yesu. Nabarikiwa sana na masomo yenu yananisaidia kukua kiroho
Tunashukuru
Ubarikiwe 🙏🤝
dungu, vioo havifaikabisa tena kujitizima pindi ukiwa hunanguo pia majini wana wake wapo, majini,waliumbwa kwa moto ,binadamu waliumbwa kwa udongo na malaika waliumbwa kwa nuru,pia ukisema majini ni malaika walio asi hiyo siyo kweli, bali majini ndio walio asi hivyo mwenyezi mungu akatuma kundi la malaika kuangamiza koo zakijini na pindi operation ilipokuwa ikiendelea ndipo kiongozi wa malaika alikikuta kitoto cha kijini kiki sali hivyo akaamua kukichukua hadi kwa mwenyezi mungu, ila mwenyezi mungu hakuwa ladhi naalicho kifanya mkuu wa malaika kwa kumchukua huyo jini, basi mtoto wakijini aliendelea kukuwa akiwa pamoja na kundi la malaika ndipo mwenyezi mungu akawaambia malaika kuwa anataka kuumba binadamu ambae atakuwa kiongozi katika dunia ndipo malaika wakamuuliza mwenyezi mungu je? unataka kuleta atakae kuasi kama walivyo kuasi hao wa kabla? natena sisi niwenye kuku abudu wewe? mwenyezi mungu akawajibu kuwa mimi nayajua nyinyi msio yajua ,hivyo uumbaji wa adam ukaanza pia tukumbuke kuwa adam aliumbwa akiwa mrefu sana naakawekwa kwenye uwazi hivyo yule jini alie kuwa miongoni mwa malaika alikuwa akienda kuangalia na kupita katika mwili wa adam pindi haja pulizwa roho hivyo alifanya atakavyo nakuujua uzaifu wa adam siku zilikwenda ndipo mwenyezi mungu aka upulizia roho mwili wa adam, napia mwenyezi mungu akamfundisha majina yavitu na ya wanyama pia nahata mwenyezi mungu alipo wauliza malaika jina ya wanyama, ndege hawakuwa wenye kuyafahamu ndipo mwenyezi mungu akawaambia malaika msujudieni adam malaika wakatii amli ya mwenyezi mungu ila yujini hakutii amri ya mwenyezi mungu ndipo mwenyezi mungu akamwambia mkuu wa malaika nilikuambie muangamize koozote za kijini ila nyinyi hamkufanya hivyo je? mmeona kibuli cha huyu? ila tukumbuke kuwa ilikwisha andikwa kuwa huo uta kuwa nimtihani kwa wanadamu na ndipo mwenyezi mungu alipo amua kumfukuza huyojini katika pepo nakumwambia adam kuwa hakika huyu niadui kwako hiyo kwa ufupi broo?
Please add me to your group. I want to be blessed with you brother’s and sisters.
Nabarikiwa mno na mafundisho yenu. Mungu azidi kuwabariki ili kazi ya Bwana isonge mbele
Ufafanuzi mzuri sana
ole wetu wafarisayo kwani hukumu kubwa tutaipata
Bwana Yesu apewe sifa!! mimi nina swali. Ikiwa niliokoka nikabatizwa na kunena kwa lugha mbeleni nikaja kuanguka dhambin je ninaweza kulejea wokovuz? na je tobayangu itaitaji ubatizo upya kama mlango bado upo wazi wa wokovu?
Katika daniel amezungumzia majuma 70 ambayo ni sawa na miaka 490 na siyo miaka 70 kama unavosema.lakini pia isome daniel 9 vizuri,anaxema atafanya agano thabiti na watu wengi kwa mda wa juma moja.huo ulikuwa ni utabiri juu ya masihi.ameanza kwa kukwambia masihi atakatiliwa mbali.juma 1 ni sawa na siku 7 ambapo katika unabii siku 1 inasimama kama mwaka 1 (ezekiel 4:6 na hesabu 34:14) hivyo alikuwa anazungumzia miaka 7.anasema katika nusu yake atafanya agano ambayo nusu ya 7 ni 3 na nusu ambayo ndo mda wa kazi ya masihi.KASOME UNABII VIZURI
Like these messages to assist me on my servant ship.
Amen nabarikiwaa🙏🙏
Ubatizo ni ubatizo, haijalishi umebatizwa kwa maji mengi au maji kidogo, mwingi atabatizwa kwenye habari ya Hindi, mwingineziwa Victoria na mwingine mto Mara, wote hawa watakuwa wamebatizwa pasipo kujali wingi wa maji!
Amina, nime barikiwa jamani 🥹🙏
Bwana Asifiwe naomba kutumiwa masomo haya kwa njia ya email pia
Ameen Ameeen! Be blessed 🙌
NIilikuwa kipofu sasa naona amen na immanuel naitwa ibrahimu
Nashukuru sana kwa neno, MUNGU awalinde na kuwabariki mpaka pale atakapo kuja twaa kanisa lake
Mungu akubariki
Ahsante kwa ujumbe mwema.
Nashukuru kwa elimu hii njema.
Alina
KWELI KABISAA
Mungu awabariki,fikilia tena damu ya mfalme kulambwa na imbwa ni ayibu tena gari la mfalme kusukuliwa mahali kahaba wanaogea ni mchafu kama zaidi!
Ni aibu
Amen Amen huduma yenu ni njema sana najifunza mengi mnoo kupitia tovuti yenu pia na WhatsApp group Mungu azidi kuwabariki na kuwatia nguvu WINGU LA MASHAHIDI
Amina sana kwa somo hili zuri ambalo lmenisaidia mimi binafsi kuielewa biblia zaid na kuweza kupambanua mambo mengi ya kibiblia. Mungu akubariki sana mtumishi.
Hakika nimejifunza mengi sana, na ni mambo ambayo ni ya kweli kabisa wala hakuna mahali palipo fundishwa kinyume na misingi sahihi ya biblia. Mungu akubariki sana na aendelee kukuzidisha zaidi na zaidi.
Hello God’s servant, surely speaking I’ve learnt the best things from the post!!! Add more to spread much the Gospel!!!!
Hongera sana mumenieleza vizuri, kuhusu neno Dia na mantiki yake, ahsante sana, kufwata maandishi yenu nimegundua ni faida kwangu
Hakika Bwana amekupaka mafuta ya utumishi
Mbarikiwe sana kwa ujumbe mzuri
Nimeipata tafsiri kama nilivyokua naihitaji,Mungu akubariji sana Mtumishi wa Mungu,maana nlihitaji sana kuyajua haya.
Asante sana watumishi wa Mungu kwa kuhubiri kweli ya Mungu
Nabarikiwa nanyi sana,hakika mnaihubiri Kama neno linavyosema,Mungu azidi kuwatumia
Tafazali naomba na mimi kuungwa kwenye WhatsApp kwamafundisho ya biblia
Mmenitoa kwenye shimo la uharibifu. Mungu na wabariki kwa baraka za umilele…ASANTENI
Natamani zaidi kusoma neno la Mungu na kulielewa na natamani zaidi kumjua Mungu na imani yangu ikue
Mungu awabariki kazi yenu ni njema
Hapa naona wajane walimlilia MUNGU ili thabitha arudi nae Petro akaomba pia je wasingeomba angerudi? Kama he watu wasipokutetea kwamba ulitenda mema kama hao wajane itakuaje
Asanteni
Tunaitwa wana wa Mungu kwa njia ya Imani ya kumwamini Yesu Kristo gal 3:26.
Mwalimu naomba nijue utofauti wa kuitwa mtoto wa Mungu na mwana wa Mungu.
Amen, naomba kuuliza vita vya harmagedoni vitatokea baada ya utawala wa miaka elfu moja wa Yesu Kristo duniani au kabla ya utawala huo?
Wapi katika biblia imenenwa kua sisi waagano jipya , tumeliewa somo lililokua likifundishwa na hao wanyama najisi na waisraeli hawakulielewa somo Hilo, Kisha niwapi tukaruhusiwa kuwala hao najisi mtumishi?
Kwel na mm pia naomba kusaidiwa Ni kitabu gan katika maandiko ya agano jipya kinaeleza Kula vyote vilivyo katazwa na mungu?
Naomba niwe natumiwa mafundisho haya mtumishi!
Ahsante kwa tafsiri nzuri
Naomba niombewe nina allergy inayonisumbua muda mrefu sana sipati hasta Raha nikianza kuwashwa mwili unavimba. Nimeokoka Mungu akubariki Kwa mafundisho
Adamu baada ya kumzaa kain,abeli na sethi baadaye alizaa watoto 65 jumla wote walikuwa 68 salathini na 38 wakike 30 wakiume haya ndio majibu kamili.
Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu aliye hai🙏🙏🙏🙏 Hakika kazi yenu ni njema sana, Binafsi nimejengeka sana kiroho kupitia masomo yanayoandaliwa kwenye hii madhabahu
Amen. Vita vya harmagedoni vitatokea baada ya utawala wa miaka elfu moja wa Yesu Kristo duniani au kabla?
Zabur 68:11 Ni Wana Wa Mungu Au Wanawake Kabsa Yaan Jinsia Ya Kike
Tafadhali na mimi mu add kwenye WhatsApp group number ni +243973566700 nayapenda sana mafundisho yenu, muzidi kubarikiwa na bwana
Namshukuru MUNGU mafundisho yenu yamekuwa yakinijenga kila leo MUNGU WA MBINGUNI AZIDI kuwapa moyo huohuo watumish kwani mwisho wa mboo ndefu ipo thawabu na taji yenu MBINGUNI
Mbarikiwe sana Kwa kuihubir injili ya Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliye hai
Good teachings I like them
Amen, utukufu kwa Bwana mkuu Yesu.
Asante I sana kwa masomo mazuri mno. Mmenisaidia kunijenga kiroho
RON nisaidie maana ya jina hiri ron
Mungu awabariki Kwa huduma hii inayo wafumbua watu macho.Huduma zuri Mungu watumie mzidi kuwafumbua watu
Asante,Damu ya Yesu iwafche daima
Barikiwa mtumishi nimejifunza mengi kuhusu somo hili.
mungu akubariki
Mungu akubariki nimefaidika sana
Asante mtumishi
Mimi in Brian kutoka nchini Kenya na ningependa munisaidie kuwa naota ndoto za ushetani kwaba nimepewa pesa nanika kataa kupokea,hilo linaweza kuwa mini hasa
Nashukuru, kazi njema Mungu azidi kuwa jaliya Neema Na bidii , ,,, ningependa Sana masomo kuhuzu Kita u cha ufunuo nijuwe umuhimu wake siku Ile mwana wa Mungu anakuja , Ufunuo 13: 1 kuhuzu naomba ,666 Ufunuo 18: Kwa jumla ,, Fred lusweti ,,, Nairobi
NDUGU KATIKA KRISTO YESU haki ambayo inatajwa kwenye kitabu cha mathay 3:13 sio haki ambayo mkristo wa sasa anayopaswa kuilipa kwasababu iyo haki imekwisha kulipwa pale msalabani na YESU KRISTO kwakua iyo haki tulinyanganywa na shetani pale edeni soma Warumi 5:12-21 KWANINI TUNABATIZWA (1) kwamaana iyo kama mkristo anabatizwa kwakuwa iloniagizo lililotolewa na kristo kweny waefeso 4:5 (2)yapo mengi yanayo sababisha mkristo abatizwe lakini lengo kubwa ni mkristo kuapokea au kuipata NEEMA naweza nikaonyesha mambo mengi lakin yote nitarudi apo apo kwenye NEEMA (KUFANYIKA MWANA ,KUSAMEHEWA ZAMBI,KUFUFUKA PAMOJA NA KRISTO/KUZALIWA UPYA,KUHESABIWA HAKI .NK) kama utakuwa na swali au maoni 0693475464 barnaba
Jamani mm niko kenya bt mniombee juu nahangaika sana na maisha
Uko Kenya sehemu gani,Mimi Niko Malindi but sai Niko Saudi Arabia nitakusaidia kaa utafuata Sheria zangu
Mi niko saudia naomba usaidizi email yangu skalama57@gmail.com insha Allah utanitafuta
Nimekutumia ujumbe kwenye email…pia waweza wasiliana nasi kwa namba hizi +255789001312
0702809304 Whatsapp
Mungu mkuu was binguni asikie maombi yako na akulinde
It is of benefits to my spirit.
Barikiweni saana enyi Wana wa Mungu, hakika nimeokolewa saana na maandiko yenu haya.. Nimeuelewa kwa kiasi sasa Unabiiii… Mungu awabariki saanaa.. Natamani kuyapata haya maandiko kila iwezekanavyo..
Bwana akubariki sana mtumishi wa Mungu Kwa kutupa neno hili nami nimebarikiwa sana,nitazidi kutafuta ufalme wa Mbinguni na nizidi kuomba nakufunga na niache mambo yote yasiyo mpendeza Mungu 🙏🙏
Maarifa yanayozungumziwa hapa ni kweli si maarifa ya darasani bali ni maarifa ya moja kwa moja yarokayo kwa Mungu kuja kwa kuhani na kuachiliwa kwa watu wa Mungu ili wasiangamie. Makuhani wamekaa nje ya uwepo hivyo kukosa neno la maarifa toka kwa Mungu na kisha kwa wakristo. Nyakati hizi kondoo wanazagaa na kupigwa kikatili. Makuhani wanaeanyoshea vidole na kuwasema walivyokosa maarifa.
Jumapiri.ni.siku.ya.bwana.imeandikwa.wapi?
Leave your message we uko sahihi kufa ni kutomjua Mungu wala imani sahihi ya dini kufufuka ni kumjua Mungu na kuachana na imani potofu ya awali
kila mtume alikuja kuwafufua watu wake na yule aliyekuwa akimwamini huyo mtume akamfata basi hakufa katika imani kamwe(milele) mpaka siku ya mauti yake
nam nam mtumish nashkuru kwa jibu zuri limeniweka ktk kuzd kukua nakulifaham nen0 kiundan zaid nazaid mbarkiw sana huduma ya wingu la mashaidi
Somo zuri sana la kiasi, Asante Kwa ujumbe maridhawa kabis
Amen 🙏 Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu Kwa hili neno nimebarikiwa sana,basi acha nami niishi kuwa manukato Kwa Mungu
BINADAMU WA KWANZA Mwanzo 1:27 mungu akaumba mtu kwa mfano wake (aliwaumba mwanamume na mwanamke) BINADAMU WA PILI? Mwanzo 2:7 mwanaume alifanywa kwa mavumbi ya udongo na mungu akampulizia puani pumzi ya uhai. 2:21-22 ni pale mwanamume anakuwa katika uzingizi na mungu anachukua ubavu wake na kumuumba mwanamke. KUMBUKA BINADAMU WA KWANZA WOTE WALIUMBWA ZIKU MOJA; BINADAMU WA PILI MWANAMUME ANAUMBWA WA KWANZA NA BAADA YA KUWA MPWEKE MUNGU AKAUMBA MWANAMKE…Tafathali naomba maelezo zaidi nipate kuelewa
Shalom nimekamilisha email yangu Ninaomba nipate masomo moja kwa moja Asante mtumishi ubarikiwe.
Amina kama umekamilisha basi yatakuwa yanakufikia moja kwa moja..
Ahsante kwa ufunuo huo… Mwenyezi Mungu akubariki
Uwezo ni nini?
Jibu hapa 0692667266
Unaweza kupitia hapa >> Nini tofauti ya Uwezo na Uweza kibiblia?
Haleluya, Kwa nini wayahudi walipokuwa wanazika walikuwa wanaweka jiwe juu ya kaburi???
Haleluya, Kwa nini wayahudi walipokuwa wanazika walikuwa wanaweka jiwe juu ya kaburi
Lile jiwe lilikuwa kama mlango tu..
Nabarikiwa sana , naomba mmniadd kwenye group yenu wa Whatsapp Kupitia namba 0756046255
Amen.. tayari..
Napenda nijuwe mengi zaidi kuhusu biblia na maneno ya MUNGU na roho mtakatifu wa MUNGU.
Amen karibu sana.. unaweza kutuandikia namba zako za whatspp ili tukuunge kwenye group la masomo ya kila siku
0799586490
Wasiliana nasi kupitia namba hizi za whatsapp 0789001312
Ni vitu gani unapaswa kuvifanya unapokuwa umefunga? Utaratibu wamaombi unafanywa muda gani?
Jiweke katika utakatifu, na katika hali ya kimaombi.
Kweli mungu I nimushinfi
Ubarikiwe sana kwa elimu unayoitoa kuwaelimisha watu.
Nimejifunza mengi
Vipi kuhusu kubatizwa kwa jina la BABA, NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU( mt28:19)? na kwanini mitume walibatiza kwa jina la YESU tu? na je walipokea ufunuo mwingine tofauti na agizo hilo la BWANA YESU katika (mt28:19&mark16:15-16)? mubarikiwe watumishi wa MUNGU. Naomba kufahamu zaidi
Amen nimebarikiwa sana kweli Mungu alinijua kabla hata kuzaliwa na sasa nimfiche nini .. Mungu awabariki nyote Kwa kazi nzuri ya kuhubiri neno la Mungu 🙏🙏🙌
Amen ubarikiwe pia na Bwana
Na ishara hizi zitaongozana nao watanena kwa ruga watatoa pepo watapooza wagonjwa na kufufuawafu hapo kunena kwa ruga ni ishara ya roho mtakatifu
Pamoja sanaa
Nimebarikiwa Sana nahuu ijumbe mm naiitwa pst.Alpha naomba tuwa siliane natamani kujiunga nanyi. Katika hi kazi. Ya bwana .namba yangu.0622458348
Amen Pst Alpha tutawasiliana..
Mungu awatie nguvu katika kazi hii
Nimebarikiwa sana kwa somo hili
Ubarikiwe mtumishi naomba unitumie whatsap 0786239322
Nahitaji kupata masomo haya yote kwa whatsap maana kwa kweli yamenibariki haswa
Asante mtumishi Mungu akubariki na azidi kukutenda mema
Amen ubarikiwe
Unaweza kutupigia simu kupitia namba zetu tajwa hapo chini, ili utueleze vizuri zaidi na pia tuombe…
I am happy to find this page Please ray for each other including me, nimepata BP inanisumbua sana, pia kuna kitu kimauta mguuni sielewi ni nini , napaka dawa hakiishi. Naomba mniombee sana
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu nimeelewa vizuri sana na ni mebarikiwa
Amen Bwana Yesu azidi kukubariki sana..
Napenda sana neno la Mungu
Nahitaji kupata haya masomo
Tutafute whatsapp kwa namba zetu zinazosomeka kila mwisho wa somo…
Nimependa sana Ufafanuzi makini wa SoMo Hilo.Hakika wewe no Mwalimu ubarikiwe sana
Amen utukufu kwa Bwana YESU.. nawe pia uzidi kubarikiwa na Bwana.
Asante Kwa neno zuri , ubarikiwe sana
Amen, nawe pia ubarikiwe.
asante sana mtumishi.
Shalom, mbona siku hizi sioni ule mtiririko wa masomo ili nichague
Unaweza kufungua hapa >> Mafundisho
Mtumishi ubarikiwe sana kwa somo zuri. Tuwaombee kwa Mungu awafungue ufaham hawa wanao abudu huku wakivibusu visanam wakiwa kwenye mimbari (Madhabahu) za makanisa yao.
Amen amen…
Kweli kabisa
Nimebarikiwa sana na neno hili MUNGU awabariki sana Kwa kazi nzuri mnaoifanya ningependa kujua namna ya kuomba pia
Unaweza kupitia hapa >> Fahamu Namna ya Kuomba.
Shalom,nashindwa kudownload app ya wingu napata msg kuwa ni ya old version imetengenezwa kwa ajili ya android,naipataje
Tutaliweka hilo sawa, litakapokuwa tayari tutatoa taarifa..
Asante Sana na mungu akubariki sana
AMINA TENA AMINA
Haya masomo naweza kuyapata kwa njia ya Whatsapp?
Ndio tuandikie namba zako unazotumia whatsapp, au tutumie ujumbe kwa namba zetu zinazosomeka kila mwisho wa somo
Baadaye
Bwana yesu asifiwe!
Tuu pamoja katika Imani Bwana Yesu Akubariki sawa sawa na Zaburi 20:1-9
MUNGU akubariki sana mtumishi wa Mungu Kwa neno hili lakini je Kwa mfano yule anayepokea fedha Kwa mtu anayefanya kazi ya haramu na pengine hajui kazi ya mwenye analeta pesa itakuwa naye amo dhambini? Naomba jibu
Hakika Mungu atabaki kuwa Mungu. Amen
Be Blessed For The Fruitful Lesson
Amen, ubarikiwe
Am too Interested With The Lesson…God Keep you..
Amen..uzidi kubarikiwa na Bwana
Namebarikiwa na mafundisho haya.
Kazi njema Mungu ni Mwema kwa kunipa kuona haya Yana nijenga Ahsante.
ASANTE SANA KWA HUDUMA HII?
Maana ya jina Nicholaus na chimbuko lake
naomba kuunganishwa kwenye group
petersaleheyusuph@gmail.com
Nimebariliwa sana na fundisho Hili. MUNGU azidi kuwafanikisha na kuwatumia kwa utukufu wake
Mungu akubariki ndugu kazi yako ni kubwa
Merci trop. Je comprends
Amina, ubarikiwe sana.
Amen barikiwa sana.
Amen, nimebarikiwa sana na masomo niliyosoma. Nahitaji kujiunga na website hii Ili niwe napata mrejesho Kila mnapo post
Tafadhari naomba uunge number yangu Whatsapp group 0768015375
Vipi sasa kuhusu Ili andiko mimi sijaielewa vizuri ni fafanulia Kumbukumbu la torati 14:8 inasema Na nguruwe,kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui,huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse
Katika agano la kale, Bwana alizuia watu wasile nguruwe na baadhi ya samaki na ndege, kufundisha jambo lingine kiroho, lakini tunapokuja katika Agano jipya, vyote vimetakaswa na hakuna najisi..Matendo 11:5-9
Ningependa kujua ni kwa sababu gani katika agano la kale Mungu kakataza watu Kula nguruwe na baadhi ya wanyama?
mimi naomba kujuwa kwa hivo agano la kale halituongozi . na kama ni sababu viumbe vyote vimetakswa hata sigara inatokana na miti ambayo ni kiumbe iweje . iwe haifai
Furaha
Ninazidi kubarikiwa na kufunguka kwa mafundisho yenu asante sana
Yes send me bible lessons. May Lord bless you.
Be blessed.
HII UFUNUO 12 SIJAKUELEWA HATA KIDOGO MPENDWA MAANA NAVYOJUWA NIKWAMBA 1MWANAMUKE=KANISA. 2JUWA=NEEMA YA YESU KRISTO 3MWEZI=MANABII AO AGANO LA KALE. 4JOKA=SHETANI 5MTOTO MWANAUME=BIBI ARUSI NA UJUWE ALINYAKULIWA MBINGUNI SI KUKIMBILIYA MISRI. 6MWANAMUKE KULISHWA SIKU 1260=BIKIRA MPUMBAFU ANASHULURIKIWA MYAKA 3.5 MASALIYO YA MWANAMUKE WASHIKAO SHERIA YA MUNGU=144000ISRAEL SHETANI KUSHUSHWA AKIJUWA ANAMUDA MUCHACHE=NI ULE MUDA WA MYAKA 7. ASANTE NDUGU
Mwenyezi Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Amina nawe pia rafiki
Dakika 1 kabla sijatumia nguvu kutafuta ujumbe wowote wa kimungu mtandaoni, nilikua na mawazo mabaya sana, ila nikakutana na ujumbe wenye kichwa “UUMBAJI BORA WA MUNGU UPO NDANI YA MWANADAMU” nimeguswa sana na ningependa kujifunza zaidi, barikiwa na BWANA.
Amina ubarikiwe rafiki,
Ahsante sana
Haya maarifa unafunuliwa na Roho Nini? Mungu akutunze mtumishi wa Mungu ..hii source ya maarifa hasa Kwa nyakati hizi za mwisho ni nzuri sanaaaa …
Hata mm nataka kujiunga jamani tena kwa hamu kabsa
Kuna sehemu Bwana yesu alisema kuwa watakuwepo wawili wakisaga mmoja atatwaliwa mmoja ataachwa wengine waliolala mmoja atatwaliwa mwengine ataacha vipi kuhusu hayo?
Mafundisho haya nimazuri Sana kwamaana yanasaidiya watukwa kujitambua,na kujuwakujitayarisha kwamaishayakiroho,nilikuwanahitajikujifunzazaidi.
Namshukuru mungu sana kuangukia iyi ujuwe sababu nilikuwa sijaelewa ili neno vizuru asante sana namungu akubariki sana na akujaze mengi
Shaloom, Mungu awabariki Sana Kwa kazi yake.
Asante mtumishi wa Mungu kwa kutoa mwanga kuhusu sherehe ya easter.
Asante sana kwa mafundisho naweza penda nipate mafundisho kwa njia ya email : http://www.bahatimiremba@gmail.com
Naomba uniunge 0758277600
Naomba niunge watsap 0758277600
Amen ndugu
Napenda kuendelea kupata mafundisho haya
+255766730000
Mpendwa ubarikiwe sana tena sana. Utuelezeye juu ya mapigo saba. Baragumu saba.
ubarikiwe pia ndugu
Brother samahani Ni mwamini wa ujumbe ndg branham?
Kila jambo lawezekana kwa mungu 2
ASANTENI SANA
Nashukuru Sana Kwa mafundisho yenu
Ubarikiwe na Bwana
ahsanten sana nimebarikiwa nimejifunza kitu Mungu awabark
ubarikiwe pia
Habari zenu Mbarikiwe sana na Bwana nimependa na naomba mnitumie historia ya watunzi wa nyimbo zote za Tenzi za Rohoni
Nitafurahi sana mkianza leo
Salamu za Bwana wetu Yesu krsito ziwafikie. Nimeupitia huu ujumbe na nimesaidika pakubwa sana..bila shaka naenda Kuushiriki na wengine. Mbarikiwe sana mnapoaendelea na hii Huduma ya baraka na Nina Nia ya kufahamu na kuelimika zaidi kupitia kwenye jumbe zenu. Bwana wa Amani awazidishie neema.
Bustana ya Eden ipo Tanzania mahali penye wanyama mito maziwa na matunda yote uyajuayo hustawi huko ndio taifa teule lenye aman na utulivu na furaha ndio sababu watu wote duniani huja huko kutembelea hiyo bustani nyongeza ni kwamba ndio eneo pekee lenye vithibitisho kuwa fuvu la binadamu wa kale lilipatikana huko unyayo upo huko na hata michoro ipo huko hivyo haitaji akili kubwa kutafakari bustani ipo kama ni zao alilolima Adam ni ngano ulezi vyote hulimwa huko
Si sawa kwa mujibu wa kimaandiko
Naomba link nijoin Whatsapp Mbarikiwe
https://chat.whatsapp.com/EW9xks3jRwuLxi2OXRgQDY
Ahsante kwa fundisho
Nimebarikiwa na neno, amen.
Amen Bwana azidi kukubariki
Nimejikuta nahitaji sana kusaidka na wewe. Japo ni nje ya Ndoto ila kuhusiana na hilo nimekuelewa sana na kimsingi umeendelea kuimalisha sehemu ya hatua zangu kwa Bwana Yesu…! Je, naweza kuwa na personal communication na wewe ili unisaidie jambo?
Ndio unaweza kupiga namba hizi 0789001312
nimebarikwa
Ningependa kupata mafundisho zaidi kupitia email yangu
Mungu azidi kuwabariki
Am always aprouud with you people…for real nilikuwa nimepotea..
Nimebarikiwa sana na neno la Mungu kutoka kurasa hizi ..ningependa kupata masomo zaidi
Nashum kuru mungu ya maneno mzuri sana katika kanisa na biblia moja dunia leo ni furaha mimi mtoto ya mungu thank you God of time Amen of people
Je vipi kama mtu hukutoa malimbuko mwanzoni je ni sahihi kutoa baada ya kugeuka na kutubu kwa wakati huo
Nimeipenda sana mungu akubariki sana
Maana ya jina prosper
Asante sana mtumishi
Leave your message maobi ni kama bengu hiliepandoa kwa mushanga munono muishoe hushubuka na kumea na kushaa mia kwa mia .naoba bujifushe njia nya kuoba kwa mana maobi hulifua na mungu
Leave your message mrmi ni mutumishi wa mungu na nimepaja kashi miaka mingi nya kuobea dunia na kutoa hu nabii mbarikiweni watoto wa mungu
Naomba kujua namna ya kuomba
Asante tumebarikiwa na kazi hii
UWoni uongo
Mungu akubariki sana ndugu kazi yako ni kubwa unayoifanya masomo ambayo huwa nayasoma kwenye blog hii yamenitoa kiwango kimoja hadi kingine katika imani yangu
Amen ubarikiwe, utukufu kwa Bwana
Ameen ubarikiwe ndugu
Asante sana kwa mungu kwa ku tu funguwa maco ku pitiya wa tumishi wake sasa tuna weza ku chocheya karama zetu.
Rejea hesabu 21:8-9 Hii maan yake waisrael waliabudu sanamu za NDANI Kwa amari ya MUNGU gan maan Maan Musa asi ngeweza kumweka nyoka mtini
Naitwa simon, nimepitia mafundisho yako mengi na kupendezwa nayo. Nina swali moja nahitaji ushauri lakini pia njia sahihi ya kufanya. Ninae mke na mtoto mmoja lakini kwasasa ameondoka kwangu kwa kunitoroka na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine pasipo sababu maalumu zaidi anasema ameamua. Je, ni hatua gani za ki-Mungu naweza kuzifuata? Na je naruhusiwa kuoa mwingine?
Shalom, hapo hupaswi kuwa na maamuzi ya haraka, waweza kumwita, na kutatua tofauti zenu, mbele ya kanisa la Bwana, yamkini atarejea na kuacha ukengeufu wake
Asanteni mbarikiwe nanyi ameen ,tumejifunya mengi mazuri ya MUNGU .
0788993211
Naomba niunge kwenye group la watsup 0755767044
tayari ndugu
Hello
Bwana Yesu asifiwe? samahani hivi wiliam branhan ndo nani
Kama mtu ana Nyumba za kupangisha katika kiwanja kimoja(Apartment zaidi ya mbili).Huyu atatoa vipi Malimbuko?
kile akipatacho, kwa kila appartment atakitoa
Aman.zimebarikiwa ‘na tafsiri hizi
Namshkur Mungu Kwa tafakuri hiii Mungu awabariki na kuwatunza Kwa huduma hii tukufu… naomba mniunge Kwa group la watsap 0684781020
Naomba unitumie mistari ya biblia inayoelezea uzao
Nimeelimishwa zaidi…..barikiwa sana
Mungu awabariki sana, naomba muwe mnanitumia haya masomo
How can i deal with the SPIRIT OF BACKSLIDING?
naomba muwe mnanitumia mahubiri na masomo mbalimbali. Asante
Asanten sana kwamafundisho mazur BWANA MUNGU awabarikie nakuwapa aman
amen, lakini kunajambo nimekuwa nikilifanya kwamuda mrefu nimekuwa niki bet lakini kuna watu kadhaa wamekua wakisema kubet ni dhambi, hivi inawezekana je ikawa dhambi? mbona kuna watu wanafanya biashara inakuwa sio dhambi wengine wanatumia pesa kwa aina nyingi inakuwa sio dhambi, kadhalika mimi ku bet tu kwenye simu ya itel (sio hata android) inaweza je kuwa dhambi, tena ninapo bet nikwenye kandanda na nipesa ndogo kama vile 500 yakikongomani au 1000 yakikongomani?
Maombi ya kuacha tamaa na uoga
mungu awabariki, moja kati ya fundisho lililokuwa limenipa utata nikuhusu kula damu lakini kwasasa nimejua kweli.asante sana
mara nyingi nimekuwa nikijiuliza jambo hili, wakati unapo zozana na ndugu yako na baada ya masaa ma chache kila mtu akayaachilia mambo hayo(kuyasamee, kuto kuyakumbuka tena na amuja ombana msamaa)je kuna umuhimu wa kuomba msamaha tena?
Ningependa uwe nanitumiya haya masomo kwa njia ya gmail.com, anuani yangu hiyi : michaelnzungu2@gmail.com
Nimependa mafundisho yako
Amina ubarikiwe mwalimu kwa mafundisho ya maneno ya mungu yenye uzima
Nimekuwa nikifuatilia makala za neno la MUNGU kutoka kwenu na nimekuwa nikibarikiwa sana lakini hapa katika suala la ubatizo naona tunapishana sana YESU alituagiza kubatiza Kwa JINA LA BABA NA LA MWANA NA ROHO MTAKATIFU
Habari zamda uhu,naomba kuombea kudumu katika yesu
Shalom.
Bado sijaelewa swali lako…
Nzuri. Inaelimisha. Imaeleweka.
Ooooh my LORD JESUS MUNGU aendelee kuwatumia watumishi wa MUNGU NAZIDI KUBARIKIWA MNO kupitia page hii. Ombi langu kwa MUNGU adui asipate nafasi katika kupokea MAFUNUO haya toka kwa MUNGU , Muepushwe na mapando yote ya adui.
Asante Sana nimebarikiwa Kwa kupata ufafanuzi huu mpya kupitia maandiko ya Biblia Sasa inabidi niuache wa kidunia
Asante sana watumishi wa mungu,awajaliye neema mu mu one kwa kujitoleya kuwapa watu wake dawa ya roho na siri zificwazo katika maneno ya mungu. Dungu zangu ninge penda ku jiunga nanyi lakini mimi ni mukongomani{r.d.c} na ishi ndani ya muji ya bukavu namba zangu ni :+243974394928
Bwana Yesu asifiwe, namba yako ndugu siioni whatsapp, naomba unitafute kwa namba hizi +255693036618
Barikiwa mtumishi wa mungu naomba Uniunge kwenye group la whatsup Namba ni 0754269296
All is okay
Amina ubarikiwe mtumish kw mafundisho yako mazur ymenivusha from one stage to another
Shalom isayawashaha2017@gmail.com Au whatsap 0767166171
Asante sana kwa neema ya mungu ambayo bado anawa aciya watu wake ku okoka kila mahali maneno yake ameiweka ili kuwa fikiya wote walio gizani, na mungu awape nyote mlio fanyikisha maneno haya ku eneya pote ku mu ona siku ya mwisho wa mambo yote
Shalom mtumishi wa Mungu. Nilikua najaribu kutafuta ni mistari gani itanisaidia kwenye changamoto yangu niliyonayo. Mimi ni mtumishi wa serikali nafanya kazi kama cashier lakini nimekua na shida ya fedha. Naweza kujikopesha hela kadhaa ya matumizi lakini nikipata nashindwa kurudisha matokeo yake deni linaongezeka kiasi kwamba naogopa!!!!! Nimejaribu kukopa benki na kupunguza deni lakini badala yake ndio linazidi zaidi ya hapo. Mpaka mwaka jana December 2022 deni lilikua ni mil 10 hapo nilitakiwa kwenda likizo ikabidi nitafute mkopo kwenye taasisi binafsi ambapo nilipewa mkopo wa muda mfupi miezi 3 na riba ya 10% kila mwezi kwahiyo natakiwa kurudisha mil 13. Nilivorudi likizo muda wa kurejesha mwezi wa kwanza ukafika nilitakiwa kurudisha mil 5 kwakua sikua na mahali pa kuipata ikabidi nichukue humu humu ndani ofisini nikalipa na hivi ninavyo andika hii ujumbe kesho tarehe 16th Feb 2023 natakiwa kurejesha mil 4 na hapa ofcn haipo sijui pa kuipata. Nimeingia hofu kubwa nakosa amani ya kazi kabisa. Ninaomba kwa hii situation niliyokwambia nisaidie niombe vipi nisimamie vifungu gani ili Mungu aingilie kati!! Ninafanya biashara pia lakini hela ninayoipata haiwezi kulipa hili deni. Natanguliza Shukrani
Bwana Yesu asifiwe,kuna mahari sikuelewa kwenye malaika mkuu umemwita Yesu Kristo na biblia inawatenga kabisa katika 1 wathesalonike 4:16. Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na….na sauti ya malaika mkuu mawaza haimanishe Bwana atashuka na sauti yake mwenyewe. Mnisaidie kuelewa.
Umenitafakarisha vitu vingi sana ubarikiwe
Niunge kwenye group Whatsapp 0745763188
2Timoteo 3:7 huu ujuzi wa kweli niupi unaozungumzuwa hapo
Amina ubarikiwe nimejifunzh kitu
Hello mubarikiwe sana
nasema ubarikiwe sana na mafundisho hii unenisaidia sana nakunijenga mungu akujaze mengi na akupe mwisho muzuri
tukisoma matendo ya mitume, tunaona watu wote waliokuwa wakibatiza walikuwa wakishukiwa naroho tafauti nasasa swali: ule ulikuwa mpango wa mungu katika ule mwanzo wa kanisa? au tufanye je ili nasisi tuwe kama wao? na zaidi tangu niokoke sijawayi hona watu wakijazwa roho pindi wanapobatizwa hata kwa jina la yesu!!!
Usiku wankuamkia leo trh 9/2/23, nimeota Niko nafanya mitihani, na sijasoma wala sijui Cha kujibu! Pia kuna ndoto niliota miaka km miwili imepita kwamba niliingia nyumbani kwa tu nikangatwa Sana ma mbwa mkono wangu wa Julia, niliumia Sana nikatoka nje tena nikangatwa na mbwa!
Nahitaji ujumbe wa neno la Mungu kila siku kwenye email yangu hii
ubarikiwe mtumshi kwa ujumbe mzur hakika nimejifunza jambo kupitia ujumbe wako Mungu awe pamoja nawe
Bwana akubariki rafiki
Mungu akubariki sana Mtumishi, hii ni miongoni mwa Hekima zinazopaswa kufuatwa ili watu wasiendelee kufikiria vibaya juu ya NDOTO na TAFSIRI zake, Ila ni kumfikiria Mungu wa Mbinguni.
Ni sahihi Bwana atusaidie sana
this is beutiful
Bwana Yesu asifiwe mpendwa! Asante kwa mafundisho ya kila wakati mubarikiwe. Nimekuwa na swali ndani ya Kitabu ya mwanzo sura ya 1:26- na kwa sura 2:18 mbona ni habari ambazo zinapingana ukweli ni upi? Mfano: Mtu na minyama kipi kilichotanguliwa kuumbwa? Je nyuma ya siku ya saba ya kupumzika mbona kwa sura 2 tunaona kuumbwa tena kwa Adamu na hawa kutoshwa ubavuni mwake je nyuma ya siku 7 Mungu alifanya kazi tena? Munisaidie kuhusu hii .Nashukuru
Unaweza kufungua hapa >>> MUNGU ALIUMBA WATU WENGINE?
Leave your messag Maana ya jina dickson,aiden,disheni
Maana ya jina jusem
Je, pombe ni dhambi?
Ndio Kunywa pombe Ni dhambi kulingana na Maandiko Waefeso 5:18, 1Wakorintho 6:10
Nayapenda sana mafundisho yako Mungu akubariki sana
Bwana Yesu asifiwe Mtumishi wa Mungu,naomba kuuliza kuhusu Hosea Sura ya 2 yote inamaanisha nini?
Kanisa ya ukweli ni
Nawaza alitupwa chini lakini chini haimanishi duniani,maana dunia bado kuwa shetani katupwa
Leave your messagemy name isack nina taka kujua jinsi ya na kujiunga na nyinyi
Ivi ni kweli kuna vitu vya upako
Nimebarikiwa sana na mafundisho,ila hiyo ndoto ya huyu ndugu yangu ni halisia
Mungu akubariki kwa ufafanuzi wa neno la Mungu. Kazi yako ni njema sana ndugu utalipwa usipozimia roho. Hapo anavyosema kama vile siku za Nuhu au suku za rutu hamaanishi uchache Wa kiasi hicho Bali akimaanisha jinsi ambavyo hiyo siku ya kujakwake haijulikani.
Pia baada tu ya unyakuwo watu watajua kwamba kuna jambo kubwa limetendeka maana ni jambo la kutisha hilo. Maana ili Kazi ya mpinga kristo ifanyike na ionekane kwa wale atakaowatawala atakuwa anajaribu kuituliza dunia kuwapoza baada ya mfadhaiko utakotokea baada ya unyakuwo, ndio maana kwa watakokataa kuipokea chapa ya nembo Yake atawadhuru kwa mateso.
Ubarikiwe na Bwana Yesu endelea na Kazi ya Kristo ndugu.
Naomba mnisaidie kumuombea mama yangu anaumwa kifua naomba Mungu amponye na magonjwa ya kifua kuanzia Sasa🙏🙏
Na iwe hivyo katika jina kuu la Yesu Kristo..akawe mzima na kumtukuza Mungu.
shetani ni roho, lakini maandiko matakatifu yanasema atakuja kufungwa na mnyororo, inawezekana je jambo hilo roho afungwe na mnyororo?
Jaman xi mxubri xku ya mwixho mbna mnazozana kila mtu na imani yake. Kama unauwezo tengeneza kanixa lako na ulifanye kuwa la kwanza na takatifu.
achen ukwel usemwe kanisa katolik ni ((KANISALA SHETAN)) Alama zot za fremas wana onesha amken achen ujinga
Kabisa
Shalom. Kwa nini Raheli aliiba miungu ya baba yake ?
Unaweza kufungua hapa utapata majibu kwa ufasaha >> Tunguja
Dinar ni nin?
Dinari Ni fedha yenye thamani ya mshahara wa mtu wa siku..Mathayo 20:10-13
Utukufu kwa Mungu wetu aliye mbinguni
Well done GOD wanna pay for you
N
Adamu alijikabizi mwenyewe kwa kifo,kwanza kama hangeonja kwa kifo shetani angeonekana kama msema kweli. Lapili composition ya mti waliokatazwa ilikuwa kuyajuwa mema na mabaya baada ya ujuzi huwo kukawa kifo kuvuna ulioyapanda sijaona shida hata kamwe.
Huu Ni ufunuo mkubwa Nimeelewa vizuri sana Asante roho Mtakatifu.
Kwanini leo ndani ya Taifa la Israel lina watu wengi tena wakubwa halafu hao ndiyo mashoga na kwanini Taifa linaunga mkono swala la ushoga kiasi kikubwa vile
Naomba nitumiwe mafundisho mbalimbali ya Bibilia
Nahitaji kujifunza mengi juu ya habari za ufalme wa Mungu na kusudi na mapenzi ya kuumbwa kwetu na kuurithi ufalme wa Mungu
Thanks so much for the gospel, i have learn alot through this scripture
Ni kanisa gani nzuri
Barikiwa Sanaa kwa message hii
Barikiwa sana muandishi
Barikia sana
MUNGU WA MBINGUNI AKUBARIKI
Amen asante kwa mandiko
Ubarikiwe sana mpendwa, naomba uniunge whatsap ili niwe napata masomo zaidi 0747465324
Maana ya jina hadlay , eltoladi , yunisi.
Mathayo9:29na mrko9:23na marko 16:17 anaetakiwa kuamini ninani je ni anaewekewa mkono au aneweka mkono
Mungu akubariki sana mtumishi umenifariji katika uzaifu wangu na nimebarikiwa sana tena sana
Nimebalikiwa sana naningependa kuendelea kusoma
nimetoka kusoma mafundisho ya rejeabiblia.com ,najiuliza nikwanini walijitenga nanyi, munaweza kunipa mwangaza tafazali!!!!
bado nina swali mbona majina mengine alijifunua kwa musa lkn jina la yesu ni wapi ambapo mungu amejifunua??
Yohana 5:42 “Walakini nimewajua ninyi ya kuwa hamna upendo wa Mungu ndani yenu.
43 Mimi nimekuja kwa jina la Baba yangu, wala ninyi hamnipokei; mwingine akija kwa jina lake mwenyewe, mtampokea huyo
Jini alata ni jini la aina ngani
Ujumbe huu umebariki moyo wangu sana na kunipa faraja kuu. Mungu akubariki na akuzidishie neema ya kuihubiri injili hii yake Yesu Kristo.
Whatsup +255763877573
Naomba kutumiwa masomo
Huwa naota nafanya mapenzi na aliyekuwa mume wangu maanake
Amina ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana kwa ujumbe mzuri
Mungu azidi kuwa bariki sana usiku na mchana ,kazi yenu ni njema nami nmebarikiwa mno kwayo, May Almighty God bless you forever and ever for this glorious spiritual service,I have blessed alot through this glorious work🙏🙏🙏🛑🛑
Mathayo9:29na marko16:17na marko9:23 swali je anaetakiwa kuamini ninani? Anaewekewa mkono au anae weka mkono
MUNGU WA MBINGU NA ICHI NA AKUBALIKI
MUNGU YEYE AKUONAE SIRINI NA AKUJAZE
NA AHIMIDIWE BWANA YESU KWA BARAKA ZOTE ZA ROHONI AMINA
AHIMIDIWE MUNGU WA MBINGU NA ICHI MILELE NA MILELE AMINA
Leave your message thenkx umenifungua macho
Am pastor Isack gor from Kenya nimefurahi sana na mafundisho
Amen Mungu ni mwema Sana ,,,na website iyi ninzuri mnoh kwakujifunza Mambo yakiroho ,,,imenisaidiya Sana kukua kiroho ambayo sikujuwa nilifahamu kupitia website yenu Mungu awapendelee sanaaaa.
I’m so blessed with this teaching
Naomba kuungwa kwenye hili group
Nin maana ya jina givani
⁷
Luka alikuwa mwanafunzi wa Yesu na walikuwa pamoja kila wakati. Je, kwa nini aliandika habari za Yesu kwa kubahatisha bahatisha, na anaanza kwa kusema “naandika hadithi” ! Kwa nini aseme hadithi badala ya kusema “naandika uhalisia”? Maana alikuwa pamoja naye!!
Kingine kwa nini hakuandika miaka ya matukio na tarehe zake?? Maana alikuwa msomi yule na alikuwa shahada ya uuguzi!! Alishindwaje kunakili tarehe za matukio????
Sasa mimi nina Hoja tata. Musa tumesoma vitabu vyake vitano vinavyomhusu ingawa inaonekana ALIKUFA ila kaburi lake hakuna anayejua ni Siri yao na Mungu……… Eliiya hakuna asiyefahamu habari zake ameandikwa sana kwenye wafalme…….lkn ajabu ni kwamba wajanja walizuia na kuondoa historia ya Henoko ambapo Kuna kitabu chake kinaitwa ufunuo wa henoko Mwanzo 5:21-24 “Henoko akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela. Henoko akaenda pamoja na Mungu, baada ya kumzaa Methusela miaka mia tatu, akazaa wana waume na wake. Siku zote za Henoko ni miaka mia tatu na sitini na mitano. Henoko akaenda pamoja na Mungu, naye akatoweka, maana Mungu Alimtwaa” Halafu eti mtu aliyetembea na Mungu vizuri na akatwaliwa halafu asiwe na historia namna alivyokwenda na Mungu?
Ukisoma Waraka wa Yuda 1:14-16 Ndio utaona Kulikuwa na kitabu cha henoko na yuda anesoma Sana hiki kitabu anaposema “Na Henoko mtu wa saba baada ya Adamu, aitoa maneno ya Unabii juu ya hao, akisema, angalia Bwana alikuja na watakatifu wake, maelfu, maelfu, ili afanye hukumu juu ya watu wote na kuwaadhibisha wote, wasiomcha Mungu, kwa ajili ya kazi zao zote za upotevu walizozitenda, bila kumcha Mungu, na kwa ajili ya maneno magumu yote, ambayo hao wenye dhambi, wasiomcha Mungu wameyanena juu yake. Watu hawa ni wenye kunung’unika wenye kulalamika, waendao kwa tamaa zao, na vinywa vyao vyanena maneno makuu mno ya kiburi, wakipendelea watu wenye cheo kwa ajili ya faida”.
Hii inaonyesha kabisa mtume yuda amenukuu maneno ya henoko toka kwenye ufunuo wa henoko lkn wajanja wakautoa..
Nahisii kuna vitu vingii sana vya siri vimo kwenye kitabu cha henoko ,,, lakn kwa ajiri ya kujifunza ni vyema tukisome tujifunze
hapan sikweli kitabu cha enoko ni kitabu cha maana sana kina elezea siri za mbinguni na duniani maaeneo mengi yalio taja kwenye kitabu cha enoko yapo africa………kwenye kitabu cha enoko mungu alimzungusha enoko ulimwengu mzima………enoko anasema niliona milima iwakayo moto mchana na usiku hii milima ipo ethiopia ila wazungu walivitoa hivi vitabu ili tusijitambue na wakatudanganya kuwa vitabu vilivyo tolewa havina maana jambo ambalo sio kweli kabisa
AMEN..
Umetisha
Nampenda Yesu kristu katika maisha yangu
SIFA NA UTUKUFU VYOTE NI KWA MUNGU PEKEE. ASANTE SANA
Leave your message Amen
Sisi hatuitwi “wana wa Mungu”, bali tunaitwa Watoto wa Mungu (Yohana 1:12). Neno, Mwana wa Mungu linatumika TU kwa Bwana Wetu Yesu Kristo.
Mwana wa Mungu (hyios) ni Yesu Kristo. Mtoto wa Mungu (tekna) ni yule anayeamini katika Yesu Kristo.
Asante.
Reve.
I was understnd
AMINA MTUMISHI WA MUNGU UBALIKIWE SANA NA MIMI NAPENDA KUCHANGIA KATIKA HILI ,ISAYA;27:6 .WOTE KATIKA KAZI YA BWANA
Amen Mungu AWABARIKI SANA
Ubarikiwe na Bwana, masomo yako ni yananipa mwanga kila kukicha, nazidi kujifunza na kumjua Mungu ipasavyo, Mungu nawe akutunze wewe na nyumba yako pia.
Mungu akubariki sana nimejifunza mengi juu ya chukizo la uhalibifu na kuna vitabu vilikuwa vinanichanganya sasa nime patiwa ufumbuzi
Naitaji kujiunga na ninyi wingu la mashaidi, lakini naishi Uvira DRC
Amen, Mungu wa mbinguni awainue zaidi.
Kama Mungu alikuwa akifanya kazi kwa kuwashilikisha malaika je! Walimwona vp Mungu na wakati hakuna aliye mwona Mungu isipokuwa Mwana?
1) Muombe mungu akusaidie 2) Tenga muda kwa ajili ya Kusoma ili uimarishe uwezo wako wa kufikiri 3) Jifunze lugha lugha ya Kiswahili
Ameen amen
Neno cristo limetumika kama jina sio dini
Ukiristo sio dini
Mtoto wa ibrahimu wakwanza inaitwa ishimaile
Bwana yesu asifiwe
Nashukuru sana mwalimu kwa fundisho zuri Ubarikiwe
Barikiwa san
Bwana apewe sifa hongeren kwa kazi ya bwana natamani kuendelea kujifunza masomo yenu namba yangu ya whatsapp ni 0746870726
Ni watumishi wao wenyewe ndio wanaokosesha watu kutoamini kutia watu confusion yenye haina hata maana mutu anabatizwa kwa jina la yesu na mwengine kwa jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu tofauti iko wapi ? Muache kutuchanganya changanya mutu akibatizwa kwa jina la yesu na kwa utatu utakafu lakini kafanya mapenzi ya baba aliye ju ataenda tu mbinguni . Apana kuchanganyisha watu mutufunze tu mapenzi ya baba
Barikiwa sana mwalimu…fundisho limeeleweka. Maana utatu mtakatifu haupo kwenye Biblia
Haleluya, Mungu awabariki sana, kwa kusambaza Injili hii isio goshiwa, mkate usio chachwa, ninafuraha kwamba Kristo amenitoa Mautini na sasa niko Uzimani, moyo wangu unafurahiya kuja kukuu kwa Bwana wetu Yesu Kristo kumnyakua Bibi arusi wake, Bwana na Aje, karibu Bwana.
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu. Sikujutia kwa kujoin na kundi hili makini, naamini Mungu amewapa neema ya tofauti mno na azidi Kuwapa kibali ili kuufikia ulimwengu….
Mafudisho ya neno lamungu
Amen moyoni najisikia aman
Haleluya Bwana na aibariki hili neno lake
Utukufu kwa Yesu
Wakati Mungu alimlaani nyoka wakati alipodanganya hawa ndani ya shamba la edeni , akasema na kwa tulbo lako utatembeya wakati hule mwengine wote nyoka alikuwa akitembeya na Nini ? (Mwanzo 3 :14) N’a wakati Mungu alimwambiya hawa ya kwamba kwa sababu umekula tunda hakika nitakuzidishiya uchungu wako , na kuzaa kwako ;kwa utungu utazaa mtoto ; na tamaa yako itakuwa juu ya Mme wako naye atakutawala. Ina maana Adamu alikuwa ametawaliwa na Hawa kabla ya kula l’île tunda ?
Asante sana
Leave your message swal lingine je wanyama wote wametakaswa?
Leave your message mbarikiwe nimejifunza makumbwa sana
Amen, atukuzwe Bwana
Amen nashukuru kwa ujumbe huu !Mungu wa !Mbingu na !Nchi !Bwana !Yesu na akubaliki
Mungu akubariki mwalimu kwa ujumbe mzuri unaoongeza maarifa zaidi katika ufahamu Lakini nina swali katika Matayo 27:52 Je,miili ya watakatifu waliolala iliyoinuka ilimtangulia Yesu kutoka kuzimuni au Yesu alipofufuka ndiyo alitoka nayo?
Shalom Kupanga uzazi ni vibaya?
Shalom, hapana si vibaya
Nimebarikiwa sana na Mungu awabariki
Amen nawe pia ubarikiwe
Nimebarikiwa sana na mada zenu. Mungu awabariki sana
Kumradhi naomba mawasiliano Yako Nina shida ya kiroho zaidi ambayo siwezi kuongea public.. ubarikiwe🙏
Namba zetu ni hizi +255693036618
asante sana mwalimu kwa mafundisho. Umeibadilisha akili yangu kwanilivyo anza kuwazia kwaajili ya umasikini,nilianza kutamani nijiunge na freemason kama nitatajiri,pia nilianza ata kuabudu ma babu kwajili ya umasikini,naamba musaada wako wa maombi ili mungu anipokeye tena upya.
tutafute kwa namba zetu hizi +255693036618
je.n kafara za aina gan mtu anatoa jameni?
Ningependa ni jiunge na kundi hili la wingu la mashaidi, lakini nakaa mbali sn, naishi DRC katika jiji la Uvira, namba yangu ya simu hiyi hapa +243970774416
Amen tutakuunga ndugu
asante sana ila sielewi vizuri umesema eti ni watu wa wili tu ndio waliingia kanana ni nani na nani
Na ninani aliye waokowa
Asante sana kwa neno lakini kuna kitu si elewe umesema kama yesu kristo alipanda mbiguni bila kuwaokowa wana wa israeli je tangu leo wangali ndani ya kipindi cha colonia? Na kama hawako tena je waliokolewa muda gani? Naomba unieleweshe mtumishi wa mungu
Sasa mimi ningependa nifanye kitabu ya hii mafundisho yote na maswali na majibu sasa ni vigumu ya andika je inawezekana kupata fichier ambayo inaweza nisaidia kufanya kitabu sababu kuya andika nivigumu
unaitwa nani na unaishi wapi? tutafute kwa namba hii whatsapp +255693036618
Nafaidika sana mungu awabariki
Naomba kufahamu maana ya neno EVAS
Ubarikiwe sana mtumishi kwa kujitoleo kufundisha neno la Mungu nasema tena ubarikiwe sana
Mtumishi umenifungulia pakubwa sana Mungu akubariki
Shalom!..sisikama wakristo tunaruhusiwa kuchezo hizi game? 1.card game 2.chekers na 3ludo?
Soma…Isaya 65:20 Ufunuo 21:4 Mathayo 22:24-28 kipi sahihi kuhusu mbingu mpya na nchi mpya?
Lakini kuhusu kuoa na kuolewa ktk nchi mpya na jibu la yesu katika hiyo mathayo 22:24-28
napenda sana vipaji vyenu
Mungu aendelee kukutumia mtumishi.
Leo tunatafakari neno toka MATHAYO 24:24-27
Jambo WATUMISHI.nimefurahiya haya masomo ya kuhusu maneno ya Mungu.ndio maana penda kama itawezekana tuwe natumiana masomo mengine ya kibinlia. Asante sana naishi Congo DRC
Acheni uongo
Maelezo yako yanatatanisha, kama watu wako paradiso je, atawaleta tena kutoka paradiso ili awafufue?
Naomba kunitumia mafundisho katika email
I great you in the name of Jesus Christ. Baada ya kusoma kwa making some la jujus Kama Maria alizala wengine watt bade ya Yesu. Tunashukuru kwa Kazi ya mhimu ambayo mmefanya kabisa lakini hili swali limebaki likielezwa sana na wataalamu. Kwangu mimi nakubaliana na wale watu ambeo wanasema Kama Maria hakuzaa wengine watoto. Mungu hangelipenda kuchanga uzao wake kupitia Maria na wengine watoto wa kidunia. Haha nimesoma article ya mhimu Mayo inaweza kutuangazia sote, nimeipenda kwa sababu imeeleza vizuri kabisa kimila, kidini yani kiblia na kihistoria: Someni hii link: https://ackyshine.com/katoliki/je-bikira-maria-alizaa-watoto-wengine Asante Mugu awabriki Mimi ni Mchungaji Noé
I great you in the name of Jesus Christ. Baada ya kusoma kwa makini somo la jujua kama Maria alizaa wengine watoto baade ya Yesu. Tunashukuru kwa Kazi ya mhimu ambayo mmefanya kabisa lakini hili swali limebaki likimwanga wino sana na Wataalamu. Kwangu mimi nakubaliana na wale watu ambao wanasema Kama Maria hakuzaa wengine watoto. Mungu hangelipenda kuchanga uzao wake kupitia Maria na wengine watoto wa kidunia. Hapa nimesoma ingine article ya mhimu Nayo inaweza kutuangazia sote, nimeipenda kwa sababu imeeleza vizuri kabisa kimila, kidini yaani kiblia na kihistoria kuhusu hili suali: tazameni hii link: https://ackyshine.com/katoliki/je-bikira-maria-alizaa-watoto-wengine
Asante Mugu awabriki
Mimi ni Mchungaji Noé
je kutoa fungulakumi kwenye bahasha nisawa?
Hii nikweli tupu
Ah hakika ndugu Bwana naatujilie tudumu katika yeye Bwana Yesu akubariki sana?
Ah hakika ndugu Bwana naatujilie tudumu katika yeye Bwana Yesu akubariki sanaa?
Asanten na mungu awabariki
Asanten kwa mafundisho mazur!
Asante sana Kwa mafunzo hayo kwa maana Yana mtia MTU moyo
Amen, je tayari umeshaokoka ndugu?
Mimi ni meshack toka ichi ya congo natamani maombezi yenu kwasababu nime tembeleya zambi nashindwa jiepusha kutenda maovu
wasiliana nasi kupitia namba zetu, ili tuweze kuzungumza na kuomba pamoja…
Namshukuru !Baba wa mbingu na ichi !Bwana !Yesu kwasababu ya uzima huu na kunipa !Neema ya kumaliza mwaka huu. nataka nimjue zaidi hata huu mwaka unaokuja kuanza !Ameen
BARIKIWA SANA MTUMISHI KWA UFUNUO HUU.🙏
Amen, sifa kwa Bwana
Naomba kupata masomo zaidi kujifunza kwa njia zote WhatsApp na email..
Tuandikie namba zako za whatsapp, au tutumie ujumbe kupitia namba zetu chini kwa njia ya whatsapp
0712152099
Waweza fuatilia page yetu ya Whatsapp kupitia link iliyopo mwisho wa somo
Hivi kwamfano mtu alishabatizwa na akaludi nyuma au akafanya dhambi akija kutubu abatizwe tena?
Shalom? Ninajengwa sana na pia nafurahia mafundisho yenu sana. Naomba msaada wa maswali yangu mawili tofauti. (1) JE, NI SAWA KWA MWAMINI KUNYWA POMBE (ALIYEOKOKA AU ASIYEOKOKA, IKIWA TUU ANAMKIRI KRISTO KAMA MWANA WA MUNGU NA MWOKOZI). (2) KUHUSU FUNGU LA KUMI KWA KANISA NI SAWA?
Nini maana ya nyota kutokelezea asubuhi mchana na jioni?
Ubarikiwe sana kwa somo hili kuna maneno maana yake nilikuwa sijajua lakini roho wa bwana kanifunulia kupitia somo lako hili
Habari. Ninafanya utafiti kuhusu nyimbo za kitabu cha “Tenzi za Rohoni.” Kwa hiyo, ninaomba kujua kama nyimbo za kitabu hiki zilianza kutungwa kwa lugha ya Kiingereza kisha zikaja kutafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili? au asili yake ni lugha ya Kiswahili moja kwa moja?
Kila wakat n kuomba kwa iman
Asante kwa mafundisho mazuri
Ameniii
Barikiwa sana mwalimu,Swali langu ni hili;Je,mwanamume na mwanamke waliokutana na kuanza kuishi pamoja na kuzaa watoto mbele za Mungu wanatambulika kama wanandoa?Na ikitokea wakaachana na mmojawao akaolewa au akaoa je atakuwa anaishi katika uzinzi?
Mbarikiwe sana wana wingu.Naomba muni add kwa wasssp namber yangu ni:+254711402470.
Ameen nimebarikiwa
Nimebarikiwa na ujumbe Huu wa lango
Amen, uzidi kubarikiwa na Bwana
Mtumixhi na mi piah muwe mnanitumia mafundisho kwenye email yangu
Nimekutumia email ya kusubscribe katika inbox yako unaweza kuitazama…
Watumishi baraka tele kutoka kwa MUNGU
Amen, Bwana azidi kukubariki sote…
Naupenda sanaa ukurasa huu kuhusu kusoma bibilia
mkasome zaburi 146 :3 muhubil 9 :5 muhubili 12:7 yohana 5:28 -29 watu wote waliokufa wema kwa wabaya wapo kuzimu[ sehemu isiyo na nuru au mwanga) na ufunuo iyo sula ya 6 kwanza uwo ni unabii je m2 anayexali jumapili na unabii wapi na wapi mtaishia kuyabeba mafungu kama yalivyo afu msjue mana ake
nyie wa2 acheni kupotea bila sababu tafteni masomo ya wafu ya wasabato afu linganisheni na yenu au mjue yapi ya kweli
Yesu wang
Hakika nimebarikiwa sana kwa Mafundisho haya!!Wapendwa naomba mnitumie mfululizo wa Masomo yote mhm kama Mtumishi mwenzenu ktk mwili wa Kristo.
Amen, kama unatumia whatsapp basi unaweza kuwasiliana nasi kwa namba zilizopo chini ya kila somo, na tutakuunga katika group la masomo ya biblia ya kila siku
jina labwana litukuzwe
Sukuelewi maelezo ya Kwanza, ajapokufa atakuwa anaishi maanake mtu yeyote afaye katika dhambi huyu sawa na mfu kwa kule kutengana na mungu na mtu afaye katika bwana atakuwa anaishi kwa kuwa amekufa katika bwana na yupo pamoja na mungu mbinguni sio hayo unayoyasema unapotosha angalia usije hukumiwa
You continue blessing me at every day
Aminaa aminaa ah nikweli kabisa ndugu Bwana Yesu akubariki sanaa
Amen ubarikiwe sana mtumishi
Watumishi wa Bwana nabarikiwa sana na mafundisho katika site hii. Lakini pia nina ombi nahitaji vitabu vya rejea katika Lugha ya kiingereza au Kiswahili vyenye mafundisho ya Kiroho
Shalom…tuna kitabu cha Roho Mtakatifu ndugu yetu
Admin niadd na mim 0767799792
Hallelujah hallelujah mubarikiwe sna kwa SoMo zuri Nimejifunza mengi sna
Amen karibu sana ..pia tuna kundi la mafundisho utapenda tukuunge?
BWANA awahifadhi katika pendo lake la ajabu. Hakikaa nmepokea ujumbe mzuri sana naomba leo uwe mwanzo wa kunitumia masomo piaaa. Ahsante
Amen waitwa nani ndugu
Nimejifunza jambo
Hello family! Navutiwa kujifunza zaidi
Amen waweza kutuandikia namba zako tukuunge kwenye kundi la mafundiaho
0762922040
AMEN, Tayari tumeshakuunga
Amina…waweza tutumia ujumbe whataapp kwa namba hizi +255693036618 au tuandikie namba yako tuwe tunakutumia masomo ya kila siku
Kuogea katika ndimi au lunga ya malaika kuna tafauti (by edwin)
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana Kwa masomo mema
Amen nawe pia
Aminaa hii pia ilikua moja Kati ya swali nililo kuwa najiuliza mara Kwa mara sasa nimeelewa jambo hapo
Nimepokea sana barikiwa mtumish wa mungu
Nataka kujoin illuminati tafadhali nisaidie asante
Muongo mkubwa wewe, unaelezea kuzimu huna fungu hata moja
Ndiyo alikuwa mpagani mwanzo na ana wake zaidi ya mmoja na baada ya hapo akaamini.yaani akampokea yesu kristo.itakuwaje kwa mtu huyo
Ah jaman sisi kujikana tu wenyew tuna ona ni mateso je tuta sema nn siku Ile mbele ya hao walio fia Imani
Aminaa ubarikiwe sana mtumishi
Amujambo ndugu zetu
Ase! Nimefalijika kweli kwa somo hili !Mungu wa !Mbingu na nchi na awabaliki
Amen ubarikiwe pia
Amina je kufunga kuto kula ni kuto kula chochote kabisa? hata kama nimefunga Kwa wiki au mwezi au zaid ya hapo
Balikiwa sana ndugu. Ila ninaswali kidogo ,itakuwaje kwa mtu aliyeoa wake wengi pindi hajaanza kusali. Na baada ya hapo akaamini
Je! alikuwa ni mkristo? yaani naaminisha ule wa kidini? au alikuwa ni mpagani kabisa
I real enjoyed the word of God be blessed May have more teaching in my email
Amina ubarikiwe.. kuna ujumbe utaingia kwenye email yako kuthibitisha maombi ya kutumiwa masomo, yakubali.
Je, kutengeneza shanga pia ni kazi kwa mkristo?
Shanga za aina gani na kwaajili ya matumizi gani?.
Shalom ndugu Asante sanaa mpendwa wangu hakika ni maneno ya kufufua uzima ndani yangu aminaaa? Mtumishi Bwana wetu Yesu Kristo akuinue juu?
Amen uzidi kubarikiwa nawe pia..
Amen nimejisikia kutiwa nguvu,Mungu akubariki
wao pia wanatoxhwa ushuru how apana vilembwesawa
Mtumishi nisaidie, kuoa wake zaidi ya mmoja ni dhambi?
ndio sio sahihi kulingana na maandiko pitia hapa >> Ndoa za mitara
Bwana Yesu akubariki mwalimu,na azidi sana kutujalia neema ya kulipenda Neno lake kuliko kitu kingine ili tusijikute tumepoa na kuutamani ulimwengu hatimaye tukawa tumepiga mbio bure.
Ujumbe mzuri Ahsante
Asanteni sanaa kwa kunijuza habari ya kusoma bibilia, Mungu awabariki
napenda sana neno lamungu pia nashukuru sana kwa kazi nzuri watumishi wa mungu
Amin, thanks.
MUNGU AWABALIKI NIMEJIFUNZA KWA KWELI
My fellow brothers and sisters in Christ I greeet you in the name of the Most high God .I hope you are very fine as your spirit nourishes hope your physical is also the same.May God bless you Am actually blessed by the good work you are doing in The Kingdom of God.
MUNGU NI MUNGU TU AKUNA ALLIYE KAMA YEYE
Kazi nzur sana mtumishi was Bwana
Amen Bwana akubariki.
nimebarikiwa sana na somo lako mtumshi na Mungu akubariki sana
Kama BIBLIA imesema hakuna kitu kilicho najisi kiingiacho mdomoni,inamaana nikinywa pombe,bangi,kilevi hapana unajisi na moyo hauhukumiwi,na Kama nikiangalia nyimbo za kibongo,na Kama nikiangalia ngono Mimi Ni mwanandoa bila hukumu si najisi?
Je bangi,pombe ,kilevi,naweza TUMIA Kama sihukumiwi kulingana na ilo somo?
AMINA MBALIKIWE
Asante mtumishi ubarikiwe mno
jambo wa pendwa wa mungu nashukuru sana kwa mafundisho mnayo tufunza mimi ni mkongomani sijakua bado na phone ya watsapp lakini nitajitahidi ni nunue ili mniunge nanipate ku faidika zaidi asante sana
Be blessed
MUNGU AWAZIDISHIE ILI MZIDI KUFUNDISHA ULIMWENGU
Balikiwa sana kwa mafundisho mazuri
Hakika nawe unaye fundisha somo hili ubarikiwe sana sana hakik nimekua napitia magumu sana maishani mwangu ila najua kuna mwisho wake,majaribu kupitia kwa watoto,mke nilie naye,kupitia somo hili nimepata nguvu na kuna ushindi kutoka kwa Bwana Ameni.
Amen, Bwana akutie nguvu
Mtumish Asanter kwa Mafundisho ubarikiwe sana ila APA Nina swali ili Neno Tauni lina maana gan na nilugha yap?
Tauni ni neno la kiswahili, linalomaanisha ugonjwa unaosambaa kwa haraka sana, eneo fulani. mf kwasasa ni hii Corona..ambayo wanasema ni aina ya ugonjwa huo
Amen, may Almighty God bless this spiritual service forever and ever,often this service is valuable to us for our spiritual life,May Almighty God lifts up day to day ,forevery🛐🛐🛐🧎🧎🧎🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Amen twashukuru ubarikiwe..
Kwanini unaipinga ndoa Ya Kiserkali Mwalimu? Nazani Ni Jambo Nzuri kulingana
Na Desturi Ama Katiba Ya inch inapashwa Ndoa yangu ijulikane Kiserkali. Ya Kaisari yaliyo Ya Kaisari na Ya Mungu yaliyo Ya Mungi
Shalom..Nadhani hapo hatuzungumzii ndoa kutambuliwa na serikali..kinachozungumziwa ni ndoa ya kiserikali VS ndoa ya kikristo.. Ikiwa ndoa yako umeifungisha kanisani, ikiwa upo utaratibu wa kutambuliwa na serikali ni vema, lakini ndoa tu inayofungwa serikalini halafu haitambuliwi na Mungu hiyo sio ndoa ya kikristo
Jina la Bwana YESU ASIFIWE? Nimependa sana masomo yenu naomba muwe mnanitumia masomo yenu Asante na mungu awabariki sana
Amen ubarikiwe, basi tutafute kwa namba zetu hizi, kwa whatsapp +255693036618
Amina watu wa mungu
Kama bwana yesu ndiye mungu baba, ule aliyesema katika mathayo 3:17 alikuwa nani?
Alikuwa ni Mungu sababu Mungu amegawanyika katika makundi matatu .Mungu baba,mwana na roho mtakatifu.jalibu kufikiri mfano tuu jinsi wewe ulivo una nafsi ,roho ,na mwili ndio unafanya uitwe zerah labda au John .n.k nmejibu kulingana na jinsi Mungu alivonisaidia kuelewa.ameen barikiwa.
Amina mwalimu.
Asanteni kwa ujumbe huu Mungu awabariki
Asante mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri yakujenga imani ya mkristo nimejifunza neno na nitazidi kufatilia nipone
Amen ubarikiwe zaidi
MUNGU AWABALIKI KWA KWELI SOMO ZURI
Amen 🙏,nimejifunza
MUNGU atusaidie kwa upande wa hasira shetan anaitumia kama fimbo kwa kwa walio okoka
Amina mwalimu,hili somo ni nyeti sana kwangu lakini nahisi sikulielewa kama ipasavyo na kama ninavyotaka.Nitalirudia kulisoma tena tena Mungu anisaidie nilielewe haswa.
Amina mwalimu, ujumbe huu umekuja wakati muafaka naamini tutapata kujifunza mengi.
Naam ndivyo hivyo…
Nashukuru Sana kwa huu ujumbe nakumbuka nimewahi kukutafuta mwalimu , Nilikuwa nimepoteza Imani kabisa na huyu Yesu kwasababu ya vitu nilivyokuwa nikiviona makanisani huku nikilinganisha na hawa waislamu kwakweli nilikua confused Sana kidogo Kumbe tunakkolewa kwa Imani
Naomba unitumie hicho kitabu kweny email yangu
Nashukuru Mungu sana kwa neema haliyo wapa ya kuchambua maandiko kupitia Nguvu za Mungu
Twashukuru kwa neema zake…utukufu na heshima ni kwake yeye mwenyewe
Watu wa mungu wamepotoshwa na mafundisho potovu.,hosea 4:6 na watu wanaojifanya at wanaojifisha mgozi ya kondoo kumbe ni mbwa mwitu.
Sasa unaposema watoto Mungu waliingiliana na wana duniani..,je hao wana wa dunia hawakufa kipindi cha gharika..maana biblia inaonesha hakikubaki kitu chochote kilicho hai juu ya uso wa nchi…ispokuwa nuhu na watoto wake na baadhi ya wanyama na ndege wa angani..je hao wana wa dunia walitokea wapi
Amina Bwana Mungu Awabariki watumishi wake Kwa mafundisho mazuri Mungu awalinde
Amen.. atubariki sote
Amina nimebarikiwa Sana na hii injili🙏🏼
Nimejifunza ubarikiwe sana mtumishi
Somo zuri nimejifunza kitu
Nimefurahia mafundisho yenu yananibadilisha
Nataka kujuga na chama yenu wadugu zangu ila na mie natamani ni we kama yiyi
Michael
Shalom! Mungu ni mwema sana. Asante sana na ubarikiwe kwa somo zuri. Naomba msaada wa kupata somo la UNYAKUO. kama ulivyo elezea kwenye chapisho lako, nimelinukuu hapo chini.
Ndugu hatua za UNYAKUO zimeshaanza kama hulijui hilo, tafuta kulijua hilo au ikiwa utataka kufahamu tutumie ujumbe inbox nikutumie somo linalohusu unyakuo uone ni jinsi gani tunaishi katika nyakati za hatari.
Je, mtu anawezaje kujizuia mawazo mabaya?? B: je mtu anaweza kufunga na huku akiwa kazini?? C:je ikiwa mtu kakosea katika maneno anaongea visivyo kumhusu Mungu yaani akasema Mungu ampendi je mtu kama huyo Mungu anaweza kumsamehe??.
Amina mwalimu,nimepata kitu hapo.
Bwana Yesu apewe sifa? Kwa kweli nimebarikiwa sana na mafundisho yaliyomo katika kundi Hili husasan sikukuu za kiyahudi na fundisho tunalolipata, meza ya Bwana na kaniki ni Nini katika Biblia. Mungu awabariki sana
Je mtu asipobatizwa katika jina la yesu kristo ahiwezipokea roho mtakatifu?
Mtu awe ameshapokea Roho Mtakatifu au bado, ni lazima abatizwe!..
Niunge namim
Tuandikie namba zako, au tutumie ujumbe kupitia namba zetu katika mwisho wa kila somo
Haya ni mafundisho ya kweli kabisa ubarikiwe sana mtumishi
Wapi tuipate busitani ya edeni kwa sasa,
Asante nimebarikiwa na maandiko matakatifu mliyoandika.
Mimi hapo kwa uwelewa wangu sioni kabisa utofauti ambao tunataka uingiza hapo, sababu kama unasema MUNGU Baba, Mwana na Roho Mtakatifu ni vyeo tu ila MUNGU wetu anabaki umoja tu, kosa nini asa akinabizwa mtu kwa jina kwa jina la Baba, la Mwana na la Roho Mtakatifu ndani ya umoja wake!?
Ila hata yeye mbona kama anekisoma kwanza..!
Ndo kwa imani ya maelezo yako unamaanisha bibilia inaruhusu kula kila kiumbe akiwemo nguruwe?
Upo kama mim najua yakwamba agano la kale limekataza baadh ya vitu ila kuusu agano jipya baada ya Yesu Kristo kuja tunaambiwa vmetakaswa hakuna alivo vitakasa Mungu usivinene ni najisi Matendo 11.5-10 Petro aliletewa wanyama na ndege achinje akasema hajawahi kula kilicho kichafu au najis ila roho mtaka tifu alimjibu alivo vtakasa Mungu usiviite najis
Usiitumie nema vibaya
Nimebarikiwa sana na mafundisho yenu . MUNGU azidi kuwatia nguvu , ili tupate mafundisho zaidi
Mstari Huu una maana Gani? 1wakorintho 6:18 naomba kuelimishwa
Asante kwa mafundisho mazuri. Naomba unitumie hicho kitabu kwenye email yangu
Mungu akuhurumie maana unajaribu kufundisha mafundisho yako na sio biblia ila hata km nia yako Ni njema basi jitahidi kumsikiliza Roho wa Mungu maana hadi natetemeka kwa mafundisho yako potofu Mungu akurehem Kwanza unatakiwaujue kuwa biblia haijawahi kukosea ilipo taja uzinzi haikusema ugali,hivyo basi nilazima uelewe kuwa tunda sio uzinzi Kumbuka usiongeze wala kupunguza neno ktk mafundisho yako Ufunuo22:18,19 Lazima ujue hawa alipo danganywa kula tunda hakula pamoja na Nyoka alikula yeye na akampa Adam ale ila Nyoka hakula Soma biblia yako vzr mwanzo3:5,6, Kulingana na uongo wa Nyoka hawa akala kwakutamani kufanana na Mungu Kama alivyo danganywa na shetani kwakujua mema na mabaya sio uzinzi Pili Mungu ali mli wabarikia Adam na hawa akisema zaeni mkaongezeke hata kabla ya kula tunda Soma biblia yako vzr mwanzo1:28. pia ndoa Ni mpango wa Mungu na sio mpango wa shetani hilo utambue Soma mwanzo2:23,24 hivyo basi nikuulize mtu aweza kuzini na mkewe? Mungu akusaidie Sana. Ndugu usipotoshe maandiko kwa hadisi za kizee zisizo kuwa za dini 1timo4:7,2timo2:14-19 Nakukumbusha tu… Dunia imebeba mafundisho mengi kwani hata shuleni tulijifunza kuwa binadamu wa kwanza alikuwa nyani na ikawa ukisema ni Adamu unawekewa kosa ukitazama nikama kweli lkn ni elimu tu za dunia so usiipokee Kila elimu mtumishi utapotea hta paulo anasema aliwauwa walio wa njia hii akizani anamfanyia bwana ibada. Je niwangapi wametoka na mafundisho yako wakiamini kuwa kweli lakini kumbe ni hadithi za kizee Bwana akuhurumie kwakweli.
Mungu akubariki kwa somo zuri mtumishi, naomba niungwe kwenye masomo 0762426319
sawa, ubarikiwe
Je hao ndugu zake ye walizaliwa baada ya yesu kuzaliwa au kabla ya yesu kuliwa?
Walizaliwa baada ya Bwana Yesu kuzaliwa, kwasababu Mariamu alikuwa ni bikira wakati anamzaa Bwana Yesu.
Nini maana ya lile fungu linalosema mwenye nacho ataongezewa na yule asiyenacho ata kile Kodogo alichonacho atanyang’anywa?
Nabarikiwa Sana na masomo mnayotoa
Mungu nitie nguvu za kukutafuta kwa bidii
Hapa umenena mtu wa Mungu.. Mungu wa mbinguni na akubariki sana.
Ninaomba uniunganishe Na what’s app
Tuandikie namba zako, au tutumie ujumbe whatsapp kupitia namba zetu hapo chini..
Ubarikiwe sana kwa masomo mazuri
Amen nawe pia ubarikiwe..
I mungu akubariki
Ubarikiwe mtumishi
Asante tunashukuru
What’s up 0719266865
Tayari..
unaweza kuangalia
Sikupata topiki ya kwanza kukusu toa Tafadhali nitumie +254 724209235
Mungu atusaidie sana
ndio..
Mmh umenigusa moyo mtumishi
Amina barikiwa kwa ujumbe mzuri,ninaswali kwa habari ya ubatizo ukisoma matendo ya mitume 1:5 Yesu aliwaambia wanafunzi wake yohana aliwabatiza kwa maji lakin ninyi sasa mtabatizwa kwa Roho mtakatifu pia Yesu alipokuwa kasurubiwa msalaban alikuwa yupo na waalifu wawili ambapo mmoja alimwamini katika dakika za mwisho na Yesu akamwambia tutakuwa wote peponi japo hakubatizwa ivyo suala la maji mengi na macheche ni mambo ya mwilini yakiashilia kuamini kwa mtu ila ubatizo ni jambo la rohoni kwa sababu kuna watu mazingira yao sio rahic kupata maji mengi, wengine wapo magerezan, wagonjwa nk nao pia wananeema ya wokovu maji sio kifungo cha mtu kumwamini Yesu kama kweli kamaanisha.
Naomba uniunge na group hili Kwa njia ya whatsupp
Katika sehemu ambayo mmefeli ni apa ombeni roho mtakatifu awasaidie kufahamu juu ya andiko hili 1yohane 5
Naitaji mahombi yenu tafahtali mtumishi WA mungu nasumbuliwa na Hali ya ndoa yangu Kwa kukosa mahelewano kujamiana kila mara Mimi mwenyewe nime jiusisha na uraibu WA uvutaji sigara na kujichua Kwa miaka mingi nashindwa sina Amani na ILO tatizo Niko na miaka tatu Kwa ndoa bila mtoto na hakuna anayejua swala ILi kwangu ijapokuwa nime kuwa Niki shiriki kanisani lakini jamani nimeshidwa kabisa
Tupigie simu kwa namba zinazoonekana mwisho wa somo, tuweze kuzungumza ndugu…
Naomba mniunge Kwa group ya WhatsApp 0799493145
+254799493145 Mniunge Kwa group ya WhatsApp
Tutumie ujumbe whatsapp kupitia namba zetu hizo…
God bless you all
Naiombea huduma hii ikue, ipae juu kama tai kuliko jana kwa jina la BWANA YESU!
Naomba niwe kwa group ya what’s up
I am blessed
Amen, Lakini katika kisa hiki cha (usiviite najisi), Tukumbuke Mungu wetu hupenda kunena nasi kwa mifano, kwa huo mfano ni wazi kabisa haukumanisha wanyama halisi bali wayahudi na watu wa mataifa (wasiotahiriwa) Kumbuka pia Yesu alifundisha watu kwa mifano, je huoni kama biblia ipo wazi, Muombe Bwana akusaidie uelewe vema amanishacho kabla ya kufanya maamzi yako binafsi, Amina!
Asante kwa neno Mungu awabariki
maana ya oliver
Bwana Yesu asifiwe sana.
Hii mada ya ndoa za serikalini ina maandiko mengi yanayopingana (a lot of contradicting statements) ambayo yanaleta mkanganyo badala ya kuujenga mwili wa Kristo.
Je, biblia inapinga ndoa ya serikalini kwenye andiko lolote? Kama la, basi kwa nini muiite ni ‘uasherati’?
Imeandikwa Warumi 13:1-2 [1]Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.
Utaratibu wa kiserikali usiovunja moja kwa moja amri za Mungu umewekwa na Mungu mwenyewe. Hebu tafakarini mlichoandika.
Je, Mungu hayupo serikalini hadi mseme hiyo ndoa sio ya Mungu?
Na kama munaita ndoa ya serikalini ‘uasherati’, kwa nini mnasema wasiachane hata kama mmoja wa wanadoa anataka ndoa iendelee? Hamuoni mnachanganya mambo hapo?
Je, kila ndoa ya kanisani ndio ndoa ambayo Mungu yupo? Hamjasoma ya kuwa yapo makanisa ambayo ni ‘kiti cha enzi cha shetani?’. Ni mungu gani anayeshuhudia ndoa zilizofungwa kwenye makanisa hayo? Si shetani mwenyewe???
Je, uwepo wa Mungu kwenye ndoa ni kwa sababu wamefunga ndoa kanisani, kimila au serikalini? (hata makanisa feki yaliyo kibiashara nayo yanajiita ‘kanisa’)… Au uwepo wa Mungu kwenye ndoa ni ‘state of heart’ ya hao wanandoa? Kama wanaye Mungu ndani ya mioyo yao, si huyo Mungu anatembea nao popote pale watakapokuwepo? Kwani Mungu amefungwa kwenye specific location?
Ni maoni yangu hili somo liandikwe upya baada ya tathmini.
Naomba nakala hii ili niweze ku print.
Napenda sana mafundisho yenu , ninawafwadilia kila wakati na nimeparikiwa tena sana. Mungu awe nanyi daimaa.
Mungu awainuwe katika viwango vya juu
Nimebarikiwa na somo. Mungu awatie nguvu watumishi ya kuendelea kufundisha Neno la Mungu.
Jambo
I like it
God bless you
Barikiwa sana mwalimu kwa ujumbe NYETI,kwa kweli MUNGU na atujalie neema kuuelewa hasa na kuufanyia kazi kama alivyokusudia.
Nimebarikiwa hakika
Amina ubarikiwe kwa masomo mazuri
Nawe pia
Mungu awabariki sana kwa mafundisho haya mazuri..kazi yenu ni njema sana
Ubarikiwe pia
AMINA watumishi
Mwenyezi mungu nilinde katika jina lako
Niweke kama muhuri moyon mwako, kama muhuri katika mkono wako; kwa maana upendo ni kama kifo; wivu ni dhulumu kama kaburi; makaa yake ni makaa ya moto ambayo ina moto mwingi wa moto.
Ee mungu wangu na kuomba unibariki katika kazi yangu na maisha yangu katika jina lako
Ningependa kupokea masomo yenu kupitia barua pepe yangu!
Haleluya! Nimebarikiwa na blog yenu, kwa mafundisho mazuri sana! Mungu awabariki.
Nigependa kuokoka na kujifunza bible zaidi
Karibu sana je unaitwa nani na unapatikana wapi?…
Amina.
Ukristo wenyewe tu ni ushirikina tosha ww uliye chapisha andiko hili uko ndani ya shirk rudi kwa allah
Naomba nitumie masomo Kwa njia ya e-mail
Luka 17:20 -26 tasiri
Napenda kupata mafundisho zaidi
Amen ubarikiwe…
Jiunge katika kundi letu la mafundisho kwa link hii
https://chat.whatsapp.com/FBonMa6ocAh32mK6imggHC
Shalom.. Niliota nafanya mtihani ila nikawa wa kwanza kumaliza kabla ya wote na nikatoka nikawaacha wengne ina maana Shalom.. Niliota nafanya mtihani ila nikawa wa kwanza kumaliza kabla ya wote na nikatoka nikawaacha wengne ina maana gani
Tumsifu yesu kristo pia mungu akubaliki kwa kujitolea m naomba kujua maana ya jina. Edgar. Adalia na glasiano
waache ujinga wafanye kazi
Mungu awabariki
Amen, atubariki sote
Matendo ya Mitume 19:18-20 [18]Na wengi wa wale walioamini wakaja wakaungama, wakidhihirisha matendo yao. [19]Na watu wengi katika wale waliotumia mambo ya uganga wakakusanya vitabu vyao, wakavichoma moto mbele ya watu wote; wakafanya hesabu ya thamani yake, wakaona ya kwamba yapata fedha hamsini elfu. [20]Hivyo ndivyo neno la Bwana lilivyozidi na kushinda kwa nguvu.
ubarikiwe mtumishi kwa mtazamo wako, umewasaidia wengi lakini KWA MIMI SITAMWACHA AISHI,nadhani tafsri na muongozo tu wa roho mtakatifu ni bora zaidi,. Kwa wale waliovitani dhini ya wachawi watanielewa. sasa Kwa nini usimwache mchawi aishi? Zipo sababu kadhaa lakini lililo la msingi ni kwamba kila mtu aitwaye mchawi ni wakala wa Shetani asilimia 100. Kwa kuwa hakuna mchawi asiyefanya mapatano ya kima-agano na kuzimu (ufalme wa giza); kwa ridhaa yake mwenyewe. ….,”Tumefanya agano na mauti, tumepatana na kuzimu;”… { ISAYA 28:15 } “Naam, walitoa wana wao na binti zao Kuwa dhabihu kwa mashetani. Wakamwaga damu isiyo na hatia, Damu ya wana wao na binti zao,”….{ ZABURI 106: 37-38a} ”ADUI YANGU KUFA BADALA YANGU”
Nashukuru sana nimefumbuliwa macho ya rohoni maana maombi ya kuwaua wachawi yameshika Kasi katika nyumba za ibada kumbe tunakosea sana
MASOMO YENU MAZURI SANA YESU AWAPE AFYA DAIMA
Amen twashukuru
Niunge kwenye gurop la watsup
Tuandikie namba zako
Ahsante sana kwa kutukumbusha kuyasoma maandiko na kuyatafakari kwa kina; tafakari yenu ni nzuri, nimeipenda, hasa hasa, kwamba mkuu wa giza hakemewi na kurushiwa mishale, bali ni kwa neema ya Mungu kugeuka na kuacha njia mbaya..
2timotheo 3:16
Nyie mnamfahamu William Branham? Au mna uhusiano wowote Naye?
Halleluya mt, barikiwa sana
mungu awbariki sana
AMEN na hitaji NENO kila Waikato +254 0715186510 kenya
Yehova Bwana Wa Mbinguni Awatunze
Naomba kuwa natumiwa masomo kitabu cha unabii ufunuo na Daniel
Je mfalme Suleimani alikua na watoto wangapi?
Sio kweli
Swali langu jingine, wakati ule wa nabii eliya, kwamba aliomba mvua haikunyesha muda wa miaka mitatu na nusu, mbona mimi nimeona tu kwa miaka mitatu tu?
Bwana asifiwe, naomba kuuliza swali, ukisoma kitabu cha 1Wafalme 13:18-20, kuna nabii hapo alijitokeza kwa nabii mwenzie na kumdanganya mwisho akawa amekiuka yale maagizo ya Bwana,halafu ukiendelea kusoma utaona nabii huyo huyo anamuambia tena huyo nabii mwenzie kwamba neno la Bwana limemuijia na kumuambia kuhusu kosa alilofanya huyo nabii mwenzie mpaka na adhabu akaipata ya kuliwa na simba, naomba ufafanuzi hapo imekaaje hiyo huyo nabii kumdanganya mwenzie?
Shalom, Hongereni kwa kazi njema, Mungu awabariki sana, natamani kujifunza zaidi kwa habari ya kuwafundisha watoto habari ya kumjua Mungu
Be blessed with the good explanations
AMINA MTUMISHI WA KRISTO YESU BABA YETU MILELE
Bwana akubariki sana mwalimu kwa ujumbe uletao uzima.
Amina ubarikiwe sana.kuna hatua umenivusha
Bwana Yesu asifiwe nikituma haya masomo kwenda katika e mail yangu kuwa pdf file mbona yana kataa.!?
Asante sana natamani kujifunza zaidi pamoja nanyi please km Kuna group la Whatsapp naomba kuungwa
Amina. Mbarikiwe Sana kwa neno nzuri na lenye kuzaa matunda. Ila mimi nina swali, naomba msaada tafadhali, Je kama Mchungaji matendo yake ni ya uovu yaani anapotosha kweli ya Mungu kabisa na ni mwanaume, alafu katika kanisa kuna mwanamke ambaye kanisa lote kabisa linaona huyu anafaa katika kweli ya Mungu, je kwake yeye ni dhambi kutumika? Pia kama Debora alikuwa nabii lakini umesema kuwa alikuwa chini ya Kuhani na ni Karama. Je, utumie ni nini? Na kwanini mpaka sasa kuna manabii ambao wanasimamia makanisa na ni wa kiume nao tunawaambia au hatuwaamini, Jez wao ni kama akina nani kama nabii ni Karama na sio huduma? Na mtume kwake inakuwaje? Maana naye unakuta ni wa kiume lakini ana kanisa. Pia naomba aidha uniweke vizuri katika ufafanuzi zaidi ili niweze kujifunza zaidi. Kwamba, wanawake kanisani watumike kama akina nani? Kama huduma ni tano tu, ambazo ni Waalimu, Wachungaji, Wainjilsti, Mitume na Manabii Efeso 4:11. Na kama hii nafasi kibiblia kabisa ilikuwa ndivyo, tunaona sasa wanaume ndiyo wingu kubwa na watumishi wa uongo kabisa. Lakini utakuta mwanamke unaona kabisa anavyofanya kazi ya Mungu ndivyo sahihi kabisa na inampendeza Mungu, je, huyu tumhukumu???
Amen somo zuri sana.
Nashukulu mungu kwa kunipitisha kwenye hii page
apo kale inasemekana walikua watu wakubwa kama hawa wana wa Anaki ila lilipo pita ghalika inaaminika apakuachwa kiumbe isipokua tu wale walio ingia kwenye safina je hawa akina majitu walio tokea baada ya ghalika eg: hesabu 13:31 walitokea wapi au chanzo chao nini au kipi
Nawashukuru sana kwa ufafanuzi wenu makini. Somo la Dhambi isiyo na msamaha nimeisoma na imenipa uelewa kwa kiasi kikubwa. Barikiwa na Bwana
Amen ubarikiwe nawe pia mtu wa Mungu
Asante kwa somo zuri. Naomba kuongezea mawili matatu kwenye somo ili. Mara baada ya Mungu kumtokea Musa na kumupa mwito wa kurudi Misri kuenda kumkomboa Israeli. Alimchukua Mke wake Ziporah na wanawe tayari kwenda Misri ila njiani Yehovah alipokutana Naye alitaka Kumua Musa; Kutoka 4:18Basi Musa akaenda na kurejea kwa Yethro mkwewe, na kumwambia, Nipe ruhusa niende, nakusihi, niwarudie hao ndugu zangu walioko Misri, nipate kuwaona kwamba wako hai hata sasa. Yethro akamwambia Musa, Haya, nenda kwa amani. 19BWANA akamwambia Musa huko Midiani, Haya, nenda, karudi Misri; kwa kuwa wale watu wote waliokutaka uhai wako wamekwisha kufa. 20Basi Musa akamchukua mkewe na wanawe, na kuwapandisha juu ya punda, naye akarudi mpaka nchi ya Misri; na Musa akaichukua ile fimbo ya Mungu mkononi mwake. Kutoka 4; 24Ilikuwa walipokuwa njiani mahali pa kulala, BWANA akakutana naye akataka kumwua. 25Ndipo Sipora akashika jiwe gumu na kuikata govi ya zunga la mwanawe, na kuibwaga miguuni pake akasema. Hakika wewe u bwana arusi wa damu kwangu mimi. 26Basi akamwacha. Ndipo huyo mkewe akanena, U bwana arusi wa damu wewe, kwa ajili ya kutahiri. kumbuka Mungu alikuwa amempa Baba yetu Nabii Ibrahimu agizo la Tohara kwa kila mtoto wa Kiume; Mwanzo 17:13. Baada ya tukio ili Musa akamwacha mkewe na wanawe wakarejea kwa baba mkwe Reuli yaani Yethro; mwenyewe akaelekea Misri. Kumbuka kipindi chote cha miaka 40 alikuwa hajawahi rejea misri. Sasa baada ya kulikomboa taifa la israeli, wamefika pale jangwani, ndipo Baba Mke alippopata taarifa; Kutoka 18:1Basi Yethro, kuhani wa Midiani, mkwewe Musa, alisikia habari ya mambo hayo yote Mungu aliyokuwa amemtendea Musa, na Waisraeli watu wake, jinsi BWANA alivyowaleta Israeli watoke Misri. 2Ndipo Yethro mkwewe Musa akamtwaa Sipora, mke wa Musa, baada ya yeye kumrudisha, 3pamoja na wanawe wawili; katika hao, jina la mmoja ni Gershomu, maana alisema, Mimi nimekuwa mgeni katika nchi ya ugenini; 4na jina la wa pili ni Eliezeri, kwa kuwa alisema, Yeye Mungu wa baba yangu alikuwa msaada wangu, akaniokoa na upanga wa Farao. 5Basi Yethro, mkwewe Musa, pamoja na mke wa Musa na wanawe wawili wakamwendea Musa huko nyikani, hapo alipokuwa amepanga, kwenye mlima wa Mungu; 6naye akamwambia Musa, Mimi Yethro mkweo nimekuja kwako, na mkeo, na wanawe wawili pamoja naye. 7Basi Musa akatoka nje ili amlaki mkwewe, akasujudia na kumbusu; nao wakaulizana habari; kisha wakaingia hemani.
ni katika kipindi hiki cha nyikani ndipo kwa mara ya kwanza Miriamu na Haruni wanakutana na Ziporah. Hapa ndipo matukio ya Hesabu 12 yanapotokea sasa. ama Mediani ya kale pia imeitwa kushi. angazia habakuk 3:7
habakauk 3: 3Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake. 4Mwangaza wake ulikuwa kama nuru; Alikuwa na mishale ya nuru ubavuni pake; Ndipo ulipofichwa uweza wake. 5Mbele zake ilikwenda tauni, Na makaa ya moto yakatoka miguuni pake. 6 Akasimama, akaitetemesha dunia; Akatazama, akawasitusha mataifa; Na milima ya zamani ikatawanyika; Vilima vya kale vikainama; Miendo yake ilikuwa kama siku za kale. 7Naliziona hema za Kushani katika taabu; Mapazia ya nchi ya Midiani yakatetemeka.
Bwana akubariki sana mwalimu,kwa kweli kupitia somo nimejiona sina huo upendo wa ki-MUNGU japo natamani kuwa nao.Sasa naanza kufanyia kazi kanuni ulizozisema ili kuujenga huo upendo wa ki-MUNGU ndani yangu Mungu na anisaidie.
Je, ni sahihi mkristo kuvalia shanga mkononi
Nashukuru kwa ujumbe
Thanks for letting me know
Bwana akubariki mwalimu, ujumbe huu ni wa muhimu sana kwetu.
Ashukuriwe Mungu wa mbinguni kutufunulia hili, binafsi naamini ufunuo huu.Bwana akubariki mtumishi.
tumkuelew ila freemasons sio watu wabaya kw kawaida freemasons inategemea na ww unachkitakaa ktoka kwao mfano unatak utajir wa aina gan au untaka kuw nani dunian na wtakusaidia ila mswala ya kutoa kafara uyu amatudangnya kidogo yule asiye toa kafara utajiri wake n mdogo mno ktokan n yey alivyo chguw kuw utkapo takapotak kpta pesa nyngi kutoka kwao au kuw mtu mkubw dunian ndo unewza kutoa kafara ya kiumbe yeyote yule na kiumbe yeyote yule utkaye mtoa kila mmja ana limit yke mfano mzuri ntkupa apa kuku mmoja hana dhamani at nusu ya ng,ombe mmja namaasha thamni ya pesa ngo,mbe mmja ndo mwny dhaman kuliko kuku mmja nd ivyovyo ilivyo kw miung y freemasons mtu anayetoa toa kafara y mbuzi na mt anaye toa kafar ya ngo,mbe ni vitu viwili tafauti kfara ya mbuzi ni ndgo kuliko kafar ya ngo,mbe maan iyo mbzi ni mdogo kuliko ngo,mbe maan iy umeelewa mtu atakay toa kafar ya mbuzi utajiri wke si mkubw kama w uyu mtu anaye toa kafara ya ngo,mbe na kuna viumb weng wa kutoa kafara mfano ngamia, chui, kondoo na ngo,mbe n.k antegmeana na unavyo tak ww kafara gan utapend kutoa kila kitu dunian kun ch kulipi mfn unapoenda kansani lazima utoe fung la kumi na sadak ya kawaida ili MUNGU aksaidie shida zako ivoivo kwa aw freemason ndivyo walivyo kam unatak kuw mtu mkubwa lazim utoe kafar kw miungu iyo ili ikusaidie kw kumlizia kafara ambyo sjaisema ni kafara ya binadam kafar y binadamu nd kubw kuliko zote kw sabab wmanadam ndio kiumbe mwny thaman kuliko wote kw maan iyo huw ni machaguo ya mtu kuamua kutoa kafara y binadamu ivoivo kw viumbe wengine kam nilvy sema apo nyuma kafara y binadam ndio yeny utajiri mkubw kulika kiumbe yeyote dunian kafara ya majini na malaika majini wali malaika hawfai kutoa kafara
NABALIIWA SANA NA PAGE HII YA WINGU LA MASHAHIDI NA NAJIFUNZA MAMBO MENGI MAZURI SANA SANA BY PASTOR JAMES BWATA
Amen ubarikiwe zaidi mtu wa Mungu
Nashukuru kwakunifumbua
Nce teachings
Naomba masomo kwa email na Mungu awabariki sana! mtashasamuel@gmail.com WhatsApp yangu 0762162838
Amen ubarikiwe na Bwana
Naombamafundisho yenu 0759224655
Sawa
Naona namba yako haipo whatsapp
Nimebalikiwa namafundisho yabiblia
Mungu awabariki mnoo
Bwana akubariki sana mwalimu kwa ajili maarifa haya ya uzima.Hili neno ‘arabuni’ sikuwa nalifahamu.
Bwana yesu asifiwe.mimi naitaji kuungwa mugrup yenu ya Whatsapp,maana naitaji kumujuwa yesu mumaisha Yangu My number is+256762279074
Tayari ndugu ubarikiwe
Me nataka kujiunga na nyinyi maaana nataka kujua mengi kuhusu mungu
Jina la Yesu libarikiwe. Nauliza, Je, kunazo nakala za mafundisho yo yote? Nahitaji.
Gideon – Kenya
Amen…ndio zipo…watumia whatsapp nikutumie link
Lakini mbona daudi alikuwa ame lindwa na alikuwa mutu wa mungu?
Bwana akubariki sana mwalimu kwa mafafanuzi mazuri kabisa.
Ujumbe mzuri
Mimi nikushukuru tu, nakuaombea wanawingu ili mungu hazidi kuwafunulia neno lake. Mubarikiwe sana wana…)
Najifunza sana,naomba kuendelea kujifunza
Fanya utafiti wako mzuri hapana ku kurupuka na kupayukapayuka, kama ADAMU Na EVA wangelifanya uzinzi ao EVA Angelizini na nyoka biblia ingeandika wazi, kwaiyo unapotosha ilo andiko mpendwa !
Kweli kwa hiyo baba umetupiga kitu kizito kichwani,Bibliya haina haja ya kusema tunda ikiwa niuzinzi umefanyika,ndugu taka sana kufundishwa na Roho wa Mungu usije ukafiri unawaokowa watu kumbe unawapotosha na kuwa weka mbele za hukumu
Am Peter from Kenya,,, Naomba kujua maana ya kuota nalipwa Deni ,,,na pia kuota ukila mahindi ya kuchemsha ±254725610676
Ujumbe Mzuri Sana, Asante kwa Neno la Uzima.
Nimebarikiwa sana hakika. Nitaendelea kujifunza neno la Mungu
Hallelujah hallelujah watumish
Nimefurahi Sana kuujua ukweli huu maana tumekua tukisikia habari hizi za aliens lakini ukweli wake katika biblia hatuuoni lakini kupitia somo hili binafsi nimebarikiwa sana na MUNGU wa mbinguni awabariki Sana
Napenda niyapate masomo yenu kwanjia ya email
Natak niyapate mafunzo yenu kupitia wattsap
NABARIKIWA SANA NA MASOMO YENU
Kwa hakika hiki ndicho hitaji kuu la kizazi hiki cha siku za mwisho, yaani, Mafundisho ya Neno la Mungu yaliyovuviwa na Roho Mtakatifu.
Na barikiwa Sana na mafundisho ya neno la Mungu
Swali LANGU nihili je kuvaa vilemba kwa wanawake wanapo sali, (1korinto 11:1-12) je wasipo Vaa nidhambi MBELE za Mungu? Au wakisali wakiwa na nywele ndefu zile nywele SI zinakuwa badala yakilemba? Naomba kujua
Pastor una group la mambo ya kiroho uniadd
Mbarikiwe Sana
Shalom, Asante kwa Neno hili hakika tunajifunza mengi juu ya kumjua Mungu na kukua kiroho, binafsi nasubiri kwa hamu sehemu ya pili (inayofuata ya somo hili) Be blessed
Amen asante sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏🤝🙌 barikiwa sana
Yesu Kristi pia alishuka kuzimu. Je yeye pia alikua alikua mdhambi?
Kwa kweli SoMo la kuzimu umechemsha kabisa
😁😁
Amen hakika nimebarikiwa
Thank you MAN of God,, I have gained something here. May God keep blessing You indeed.
Kindly I need class for learning
Mungu akubariki, umenisaidia na kunikumbusha. ujumbe huu ni muhimu kuliko wa POKEAAAAAAAA…. RECEIVEEeeeeeeee
nini maana ya 1 kuposwa 2 dada poa
Tutafute kwa namba zetu…hizi ndugu ili tukupe mwongozo…0693036618
BWANA YESU akubariki Sana mtumishi wa BWANA mafundisho mazuri sanaaaa. MUNGU akuinue zaidi
Asante sana kwa ujumbe wa kukesha umenibariki sana. Mungu awainue kwa kiwango kingine Cha juu zaidi
Bwana YESU Asifiwe mi bado ni kijana wa miaka 18 na uwa nafuatilia sana mafundisho ya uzima mnayofundisha ..nikiwa mdogo nilibatiziwa catholic lakini saa hii nimeama ,hivyo naomba ushauri na mwelekezo wa niwapi naweza pata ubatizo sahihi hili kupokea muhuri wa ROHO MTAKATIFU
Shalom,nini maana ya mstari huu;kutoka 4:22-26
Hallelujah
ASANTE KWA MAELEZO YAKO ILA NAMIM NATAKA KUJIUNGA
Also me l need to join
Napenda kuijua vema BIBLIA, Naomba MUNGU ansaidie. Amen.🙏🙏🙏🙏
Nimependa tafsiri yenu
amina ubarikiwe
Amen, nawe pia.
Shalome nina taka nami niji unge kwaku ongeza elimu za maandiko ma takatifu nime patikana huko congo.
Jambo, Naitaji kupata mafundisho kila mara nama ushuhuda.
Barikiwa sana na BWANA mwalimu,umeniongezea maarifa katika somo hili.
Nimepend masomo
Naomba kujua zaidi juu ya somo la vitasa 7 na vita vya Halmagedoni
Barikiwa sana na BWANA mwalimu,somo nimelielewa vizuri na limenibariki pia.
MUNGU awabariki
MUNGU awabariki kwa fundisho zuri
Hata mimi niko askari drc. Muniombeye nijajwe nguvu katika safari na ndani ya muda mfupi inayo baki. Ni ndugu byiringiro erick
Naomba unisaidie mtumsh
[…] UCHAMBUZI WA KITABU CHA YONA […]
[…] MIHURI SABA […]
Amina mtu Wa mungu
Amina mwalimu,ni watumishi wachache wanaweza wakafundisha kweli kama hii.Barikiwa!
Amen, tuzidi kubarikiwa sote..
Amen MUNGU Atusaidie tuweze kushinda
Amina sana Mtumishi…..
Tunawapenda..
Jambo ndugu zangu,swali langu,ni hili je’MUNGU kwa leo hana turusu tumujengeye hekalu?
Ndio, anaturuhusu na pia ni vema kufanya hivyo..lakini ibada halisi sio hekalu bali ni watu..
.
Asante sana kwa ufafanuzi mzuri. Nimebarikiwa.
Nahitaji mafundisho Zaidi
Vuvu la adam ilipatikana turkana kenya ilipelekwa wapi
Amina! Mtumwa wa KRISTO YESU,BWANA WETU, nami nimepata mwanga wa hili, sio aoe, bali awe mme wa mke1. “GROLY BE 2 GOD FREVER”
Ameeeeen
God bless you for your therapeutic message
Nafarijika sana na mafundisho haya mungu awabariki
Naomba kuungwa 0743066039
Tayari tumekuunga.. group linaitwa Nuru ya Upendo
Wonderful teachings I wished to get more of that
Kindly send us your whatsapp number..so we can share with you more teachings
God is good
Amen! Amen! Amen!. Mungu akubariki sana mwana wingu,mtu wangu wandani ananona kwa sababu anakula chakula chaukweli kutoka kwenu,pia ningependa kujua kama kuna website ninaweza kutumia kudownload mafundisho yenu kwa audio.
Amina ashukuriwe Bwana kwa hilo…
Tuna youtube channel yetu…inaitwa wingu la mashahidi wa Kristo. Kuna baadhi ya masomo kwa njia ya video na audio..
Ubarikiwe sana.
Nimebarikiwa Na mafundisho yenu, hakika Mungu Ni mkuu, ningependa kuwa Na pokea mafundisho haya kupitia WhattSsapp au email. Namba yangu Ni 0746 590 348
Sawa ndugu tayari nimeshakuunga whatsapp
Mungu akubariki Sana
Point taken. God bless you for the spiritual motivation
Naitaji kujua tafsiri ya jina joel
Mpendwa kiongozi unahekima na Mwenyezi kakupa uelewa mkubwa juu ya maandiko mpaka nimefurahi kuona group lenu Ubarikiwe sana
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, bwana akubariki na akutie nguvu uendelee kutoa mafundisho yaliyo mema juu ya ufalme wenye nguvu upitao falme zote.
ahsante ubarikiwe mtumishi
Naomba PDF file za audio za masomo mbalimbali Kama unazo
Mbarikiwe sana watumishi
Amina mungu azidi kuwatia nguvu kwa kazi mnayoifanya
Amen twashukuru ndugu
Kwkweli mungu awabariki watumish maana mimi nimefunguliwa
Asante kwa neno zuri, Mungu atubariki sore…Mungu wa Mbinguni na ijulikane kuwa upo.🙏
Mungu atupe macho, ili tutazame na kuona, pia tusikie na kutambua!. IN THE MIGHTY NAME OF JESUS.
me sjaelewa kwa kwel kuhusu nafsi nahitaji kueleweshwa zaidi
nazidi kujifunza Mungu awakumbuje wote wanaohusika na kazi hii sio kazi rahisi ila Mungu anaiona kazi yenu
Ubarikiwe sana mwalim
God bless you!!
Nimefurahi sana kuifikia kurasa yenu nabarikiwa sana sana
mungu awabariki sana kwa masomo haya
Amen, utukufu apewe Bwana
Bwana akubariki kwa neno nzuri sana linanijenga sana.Ameen
kupigwa kwako Yesu msalabani pako hakika nimepona..kila maradhi umaskini,mimi na wanangu
Hakika kwa kupigwa kwake Mimi nimepona. Amiina
Ubarikiwe sanaa
Neema ya MUNGU MWENYEZI izidi kuwafunika na kuwapa kibali cha kutupa mafundisho mengi zaidi ya Kiroho. Mbarikiwe na BWANA YESU
Amen ubarikiwe nawe pia
Bwana Yesu asifiwe! Je kusuka nywele zangu za asili bila kuongeza na za bandia ni dhambi? Mbona Biblia inasema mwanamke akiwa na nywele ndefu ni utukufu kwa mumewe?
Kusuka nywele ni dhambi kwasababu biblia imesema asijipambe kwa kusuka nywele pale haina Afya nywele gan, ila nywele yyte ya asili had marasta na wigi unaweza kuchana nywele na kuzipunguza kdgo ila sio kipara na nywele ndefu utukufu wa mwanamke huu mstari unaendana na asili ya wanawake kwa waafrika tuna vipilipi ( curl hairs) hivyo turidhike tulivyo kwan haziwez kuwa ndefu kma za wazungu kwasababu wao ni asili yao na kujaribu kuziongezea au kuzisuka ni kutaka kuwa kma wazungu, wanawake waafrika turidhike na mwonekano wetu.
Amen 🙏
Naomba mnitumie Masomo kwa njia ya whattup
Amina…tuandikie namba zako…
Amina mwalimu, nimebarikiwa sana na ujumbe huu.
i’m greatfull for tchngs about frmnsn nlkwa natka kugnga nafrmnsn lkn nme acha i’m 16yrs
I’m very much inspired by the deep revelation of God’s Word, be blessed men of servants of God. Kindly if you still have copies of the book of Revelation. Uchambuzi wa kitabu cha Ufunuo mwanzo hadi mwisho kwa email yangu nitashukuru sana. Nilihifadhi japo ilipotea, naomba huo msaada tafadhali. Nko Dubai kikazi, Shalom
Shalom ndugu…bado hatujaki-compose na kuwa kimoja…vipo katika chapters.
Find me on WhatsApp to teach me more 👉+254791985081
Tayari ndugu
I thank you kwa masomo ambayo sikuwa nayajua nmeyafuatilia na nmejua asante 🙏 Be blessed ✔️
kazi yenu ni njema sana watumishi wa Mungu
Amen…utukufu umridie yeye..
Mungu awabariki sana nimepokea kitu
Shalom man of God. I ask for your spiritual assistance about my dream which is bothering me until now because I don’t know the meaning of this dream. I dreamed that I’m doing an exam of English subject and I did not finish, then I woke up, after waking up then I slept again and I dreamed that I’m doing exam of kiswahili subject and Didi not finish too. What is the massage of to me through this dream? Please help me.
Waitwa nani ndugu…
Hiyo ndoto ni Mungu anakuonyesha rohoni upo nyuma ya wakati…sijui kama umeokoka…au kama utakuwa umeokoka basi ongeza viwango vyako kwa Mungu…kwasababu ukiendelea kwa kasi hiyo ni ngumu kuushinda ulimwengu..
Kweri kabisa
Kwanza kabisa,namshukuru Mungu kwa wema wake na fadhili zake. Jambo la pili,Nawashukuru kwa mafundisho mazuri. Mungu awabarki na awape hekima zaidi,na awatimizie ndoto zenu,maono yenu na malengo yenu, Mwisho,nitaendelea kusoma haya mafundisho,hata ingawa wakati mwingine era za kununua mjazo sinakosekana,lakini kwa imani nitazidi kusoma na ninaomba Mungu na mimi nifundishe wengine kupitia haya mafundisho.God bless you all AMEN.
Amen Bwana akutunze
Amen 🙌🙌🙏🤝
Mungu akubariki mtumishi,nabarikiwa Sana na masomo yako.
Amen ubarikiwe pia mtumwa wa Kristo
Ubarikiwe sana. Naomba kuuliza, je ni halali kuweka picha inayodhaniwa KUWA ni picha ya YESU madhabahuni? Na je ni nani nabii wa kweli?
Ikiwa picha hiyo haihusianishwi na shughuli zozote za kiibada, kama vile, kuabudiwa au kusujudiwa, inaweza isiwe ni kosa..Lakini kama itakuwa ni vinginevyo, hiyo ni ibada ya sanamu, na ni dhambi kufanya hivyo
Halikadhalika nabii wa kweli, ni yule anayetoa ushuhuda wa Kristo, yaana anayemhubiri Kristo,
Ufunuo 19: 10…..Kwa maana ushuhuda wa Yesu ndio roho ya unabii.
Asante ubarikiwe nimeota hivyo hivyo najiandaa kufanya mtihani halafu sijajiandaa kabisa yani kama nilikuwa doja wa shule natokea Shuleni naambiwa kuna Mtihani, asante sana Mungu akubariki
Nimeota nafanya mtihani na mtihani ulikuwa rahis sanaaa je hiyo in maana gani?
Mwalimu kwa kweli nakosa hata la kusema,yani najihisi kukuelewa sana.Mafundisho unapofundisha ni kama vile unaniamsha kutoka kwenye usingizi wa ujinga afu maluweluwe yote yanatoweka kisha nakuwa macho katika KWELI.Barikiwa sana mwalimu.
Mafundisho mazuri,je nifanye nini ili mungu ajibu maombi yangu.
Ubarikiwe pia.. Swali lako ni zuri, kama unatumia Whatsapp, naomba unitafute kwa namba hizi ili nikutumie majibu yake kwa urefu..+255693036618, au endelea kufuatilia machapisho yetu ya hivi karibuni utakutana na jibu la swali lako.. https://wingulamashahidi.org
Naweza fanya nini, ili macho yangu ya kiroho ya fumbuliwe. Ni ndugu MICHAEL NZUNGU pa DRC katika jiji la UVIRA
Swali lako ni zuri, kama unatumia Whatsapp, naomba unitafute kwa namba hizi ili nikutumie majibu yake kwa urefu..+255693036618, au endelea kufuatilia machapisho yetu ya hivi karibuni utakutana na jibu la swali lako.. https://wingulamashahidi.org
Barikiwa kwa somo mtumishi ila soma mafungu haya halafu tafakari kwa Maombi na uruhusu Mungu akuongoze. Mwanzo 2:1-3, Kutoka31:15-17, Kutoka 20:8-11, Mathayo5:17, Luka 4:16, Luka 23:44-56, Matendo 17:2-3, Waebr 4:4-11 Isaya 66:22-23 Hivyo ipo siku ya ibada maalumu kwa Mwenyezi Mungu Mwanzo 2:1-3 inathibutishwa na Luka 23:50-56. Barikiwa sana
Asante sana nimebarikiwa kwa somo hili
nawe pia ndugu
Asante kwa somo zuri
Baraka tele kutoka kwa…MUNGU
Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri sana
Mungu akubariki sn mtumishi
Mtumishi! Nabarikiwa sana na masomo ya tovuti hii(wingu la mashahidi.org), Mungu,Bwana wa mbingu na nchi aendelee kutembea nanyi! Pia ningependa kujua, MKRISTO, Anaruhusiwa kutumia madawa ya kienyeji? Au? Kumwomba MUNGU kwa imani bila kunywa kidonge wala mzizi ni kumjaribu BWANA?
Barikiwa sana
Hakika naukweri
Ubarikiwee Sanaa Mwalimu
MUNGU AKUONGEZEE NEEMA KUKUU YA UCHAMBUZI ZAIDI.BARIKIWA SANA KAKA
Naitwa Laban francis. naomba masomo. 0621697046
Shalom Mtumishi/Watumishi wa Mungu Mkuu, naomba masomo kupitia email yangu
Shalom.. tuandikie email yako..
Naomba masomo kwa whatsapp 0621697046
[…] Je kunena kwa Lugha mpya kukoje?.Na hizi lugha ni zipi, na je! ni lazima kila mkristo aliyepokea Roh… […]
Nimebalikiwa sana watumishi wa mungu namung awazidishie zaidi NURU YA UPENDO
Amen atuzidishie sote..
Nimeota niko na wangu tunasafiri na basi kutoka mkoani kuelekea Dar. Mara dereva akashuka gari likawa linayumba. Kondakta hakuchukua hatua. Nikaamua kuingilia Kati kuliendesha kea nyuma. Nikaliegesha pembeni maana lilikuwa linataka kusababisha ajali. Mara dereva akarudi anaingia kwenye gari mm nikiwa nimetoka kidogo. Kurudi, gari limeondoka na wangu wadogo wawili. Nikabaki nahangaika
Kiufupi mmekuwa mkiokoteza sababu kiasi kwamba mmefikia hatua mpaka mnaonekana kama malimbukeni mnaoutafuta umaarufu kupitia ujuaji na uongo wenu. Hapa ni wenye akili ndogo kama ya kwako ndo wanaweza wakawa wamekuelewa upuuzi uloandika.. Mnatapatapa hamjui mfanye kipi muache kipi.
Utukufu kwa Mungu,kwa kweli nimebarikiwa sana na somo hili hakika haya ndiyo yalikuwa mafundisho ya YESU hasa na mitume.Barikiwa sana mwalimu.
Waoooh mbarikiwe sama. Nimejifunza ,nimetiwa moyo na nimeinuliwa kiimani.
Amina mtumishi asante sana kwa somo zuri
Mungu awabariki Sana katika huduma zaidi Sana imzalie Bwana Yesu kristo matunda
Ni sahihi kumshirikisha kila MTU Jambo lako?
Nini !ubatizo
Naitaji masomo zaidi ya kujifunza natafuta kujua ukweli
Natamani kujiunga kwenye group nipate mafundisho
Tutumie ujumbe whatsapp kupitia namba zetu..zilizopo mwisho wa kila somo..
Mungu atuhurumia nyakati hizi za mwisho manabii wa uongo wamekuwa wengi Sana makanisani na mikutano ya kishetani. 🙏🙏🙏
Amen..Bwana atupe macho…
AMEN mtumishi
Nimeguswa San
Masomo haya ni mazuri uanaendelea kunitengeneza kila iitwapo Leo.Mungu akubariki mtumishi
Amen utukufu kwa Bwana..uzidi kubarikiwa…
Ninafurahi sana na kundi hili la kiroho vitu vingi najifunza. Mungu ambariki sana Admin wa group hili.
Amen utukufu kwa Bwana..uzidi kubarikiwa nawe pia..
heee,nime funguriwa Mimi Katika jina,la YESU
AMEN BWANA akubariki mtumishi nime barikiwa sana.na hisi nime,funguriwa
mbarikiwe sana kwa ujumbe wa kujenga
Amen shukrani kwa Bwana
I’w wanna know the meaning of gwisu
Amina Mungu awabariki
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Amina mtumishi asante kwa ujumbe
Barikiwa sana mwalimu kwa mafundisho mazuri yaletayo UZIMA,hili litaokoa wengi.
Kwanini mathayo anaandika Yesu alikutana na watu wawili alikutana nao makaburini huku marko na Luka wanaandika mtu mmoja
Kwanini mathayo anaandika watu wawili alikutana nao makaburini huku marko na Luka wanaandika mtu mmoja
Amen mwalim
Mwenyezi MUNGU atujalie kutimiza amri Mwenyezi MUNGU atujalie kutimiza amri zake.
Amina mtumishi wa Mungu nimebarikiwa sana na ujumbe
The adventist church has been rejected with many people..but i came to know that it is the only church that leads her people to JESUS CHRIST for preaching the 3 angels massage to all men.
Catholic is the mother of harlots.
UBARIKIWE MTUMISHI WA BWANA KWA KUENDELEA KULIJENGA KANISA LA YESU KRISTO KWA MAFUNDISHO MAZURI
Amen Asante kwa somo zuri
NATAMANI NIKIPATE KITABU CHA HENOKO NIKISOME
Lakini mwalimu hapo juu kasema hakifai
Si ni lazima tukisome ili tufanye maamuzi wenyewe kama kina faa au hakifai
Nina hitaji kitabo cha henoko nikisom
Kisome kitabu cha biblia..
Ikiwezekana ukikipata naomba msaada piaa nikisome
Amina, Barikiwa kwa somo zuri, lakini neno “samaki halina wingi, kwahiyo tunaweza kusema ni samaki mmoja lakin ikawa si hakika sana.. Au inaweza kuwa kweli maan kam walikuwa ni wengi biblia ingesema “na wale samaki
Mungu awabariki sana kwa neno la Mungu.
Amen ashukuriwe Bwana..
jamani nafurah sana kwa mafunzo yenu je swali ni kwamba mungu ni nani?
Barikiwa sana mwalimu, kwa kweli kanisa kama kanisa kwa siku hizi za mwisho tunahitaji maarifa ya KWELI yakayotupa imani thabiti na kusimama badala kujidanganya kwenye ujinga.Kazi unayoifanya ni kubwa sana kwani inaotutoa upofu na matongotongo, Mungu na azidi kukuinua sana kwa kweli.
Amen, utukufu kwa Bwana Yesu
Barikiwa sana mwalimu, naamini huu ni wakati wa kuijua KWELI kisawaswa na kuifuata.Tumekaa kwenye UONGO kwa muda mrefu na kuaminishwa huo lakini Mungu ni mwema anatuletea kweli ili tupone.
Utukufu ni kwa Mungu,nabarikiwa sana mwalimu jinsi unavyotiririka na maarifa haya ya uzima.Mungu na akuinue zaidi.
AMEN utukufu kwa Bwana
Mwalimu umenifungua ufahamu katika hili kwani limeshawahi kunitesa na limekuwa likinitesa kwa upande mwingine Lakini ashukuriwe Mungu kwani litabaki kuwa histora kwangu.Ubarikiwe sana mwalimu.
Barikiwa sana mwalimu,kwa kweli hata kama ni mzito kuelewa ila kwa namna unavyofundisha atakuelewa tu.Binafsi nakuelewa sana hadi nafurahi sijui ni kwanini hali hii huwa inatokea, barikiwa sana mwalimu.
Amen..utukufu kwa Bwana Yesu! nawe pia ubarikiwe.
nataka nipite exam
waweza kueleza zaidi?..
Barikiwa sana mwalimu kwa ufafanuzi mzuri.
Amen..utukufu kwa Bwana nawe pia ubarikiwe.
Mpendwa umedanganya apo kuhubatizo mahana yesu aliesema mkiwabatiza kwa jina la baba na mwana na roho mtakatifu kwaiyo yesu amedanganyika pole sana ukibatiza kwa jina la yesu aujakoseya na kwa utatu utakatifu aujakosya mahana nitafusiri moja yesu ni baba na ni mwana na niroho mtakatifu
Kitabu cha mithali 8:22-30 inaonyesha Yesu alikuwa na BWANA ambaye ni Mungu. Na yeye Yesu ni kama stadi wa kazi ya BWANA Kwa maana Mungu. Hapo inatuonyesha wapo wawili na ni mbinguni hapo. Swali kama Yesu ni Mungu baba, na ndiyo mwana na Roho Mtakatifu, wakat hapo inaonyesha wapo wawili tofauti yaan nafsi mbili tofauti mmoja akiwa mkubwa Kwa mwenzie?. Naomba majibu mtumishi na Mungu akuongoze ktk kuleta majibu.
Umesoma Vyema,Andiko Mpendwa
Soma vizuri with.8:1-12
Amen sana mwalimu
Nina swali hapa, Ikea Hawa kafanya ngono na adamu, na mungu alikuwa kawambia wazaane, wangezaana she pasipo kuingiliana?
Ameni
Amen..nawe pia ubarikiwe..
Ni wakati wa kuijua KWELI badala ya kujifariji katika ujinga.Barikiwa sana mwalimu,hakika unanitoa katika ujinga.Mungu na azidi kukuinua katika maarifa yaletayo uzima.
Asante sana mwalimu kwa mafundisho mazuri na barikiwa sana pia.Binafsi nimekuelewa vizuri.Lakini pia nina swali.Je,vigezo vya kwenda kuwahubiria wengine habari za wokovu ni vipi?Je,aweza mtu kuwahubiria wengine habari za wokovu hali yeye mwenyewe HANAO huo wokovu? Asante!
Naomba maelezo au tafakari ya hosea tokea mwanzo hadi mwisho
Unanifanya kuwiwa kuwa mtumishi was kristo Bwana Yesu, injiri yako ina sisimua na kwa kila anae fatilia page yako hii nakuhakikishi lazima awe na matokeo mazuri Ubalikiwe mtumishi
Barikiwa sana mwalimu kwa kazi kubwa ya kufundisha ile iliyo KWELI.Binafsi kila ninapopitia masomo haya huwa napiga hatua katika maarifa.
Barikiwa sana mwalimu umenifungua ufahamu mpaka nafurahi.Mungu na azidi sana kukuinua katika maarifa yaletayo uzima.
Shalom! Samahani mtumishi mimi nilikua nauliza je ni sahihi kwa mkristo kuvaa mavazi ya kiislamu kam kanzu na kofia? au kilemba?
Barikiwa sana mwalimu kwa mafundisho na MUNGU azidi kukupa mafunuo zaidi.Binafsi nimebarikiwa sana na ujumbe huu na nimeanza kutoka katika ubandia kwa maamuzi magumu.Naomba kuuliza swali,je kunyoa kipara na kunyoa ndevu kabisa je bado ni dhambi?
Kwani bado tupo chini ya zilesheria za waisraeli wakale? Basi tunzingatie kutovaa zangi mbili zanguo pia? What about Sabbath
Mungu akusaidie Sana Mtoto wa Mungu kunavitu ili kumpata Mungu wa kweli ni lazima tuviache
Kazi nzuri Jehova kupitia Roho wake mtakatifu azidikuwafunulia siri zaidi za neno lake amen
Hakika Mungu ana watu wake kajiwekea akiba kama wewe. Wakati dunia imepoteza kabisa kweli ya neno la Mungu kama hii anaibuka mtu kama wewe sasa. Anazifungua akili za watu waelewe kile kitu wanakisikia na hawaelewi. Barikiwa sana .{utukufu ni kwa Bwana}
Amen.. Bwana apewe utukufu..uzidi kubarikiwa nawe pia.
Barikiwa sana mwalimu nimekuelewa.
Asanteni sana kwa somo
Uzidi kubarikiwa mtimishi wa Bwana
Am the one who need more knowledge of Christ nikuwa mlokole
Naomba Mnitumie Mafundisho kwa njia hi na ya WhatsApp 0625669158
Shalom tayari upo ndugu
Barikiwa sana mwalimu kwa mafundisho mazuri ya wokovu.
Asante kwa somo nzuri
Amen 🙏🙌
Amina nimekuelewa mwalimu wangu katika Kristo Yesu ubarikiwe sana 🙏🙏🤝🙌
Nimesha barikiwa na masomo yenu
Amen 🙏🙏🙌
Amina mtumishi wa Mungu 🙏🙏 mbarikiwe sana. 🤝🤝
Amina..ubarikwe
Amen ubarikiwe kwa somo zuri
Shukran ubarikiwe
Amina, Maanake Mungu akinitazama mimi anamwona kristo ikiwa natenda mapenzi yake na kuwa mtakatifu kweli..
Amina, Mungu awabariki kwa mafundisho mazuri, lakini samahani nina swali kwa somo hili umesema kwamba mpinga kristo atatokea katika ofisi ya upapa, na andiko la uthibitisho ni la (ufu17:11) sasa hapo biblia inasema uyo atakaenda kwenye uharibifu ni wa nane, mbona kwa sasa papa aliyeko ni wa 266 ambaye ni Fransisco? maanake uyo wa nane si alishapita zamani sana…?
Amen nawe pia ubarikiwe.
Anapotaja wanane hamaanishi kuwa ni papa wa 8, hapana.. bali ni namba inayofuatia baada ya vile vichwa 7.. Ukisoma kwa makini ufunuo wa vile vichwa saba.. Kuelewa kwa urefu vile vichwa saba ni nini, unaweza kufungua hapa VICHWA SABA
Unaweza kufungua hapa utapata jibu> VICHWA SABA
Nimebarikiwa sana na somo Mungu wa Mbinguni akuinue zaidi Mchungaji kwa somo hili.
Amina mtumishi wa Bwana Yesu..uzidi kubarikiwa sana..
Amen mtumishi wa Bwana uzidi kubarikiwa sana.
Kwa kweli Mungu atusaidie sana,UJINGA unatumaliza sana wakristo wa leo.Umenitoa kwenye kifungo cha UJINGA kwenye hili eneo.BARIKIWA SANA MWALIMU.
Amen..ashukuriwe Bwana..
Amen Bwana atusaidie
Amina mwalimu, nimebarikiwa sana.
Barikiwa sana mwalimu.
Mandrakes
Nakosa hata la kusema kwa jinsi haya mafundisho yanavyofanyika ufunguo wa kiroho kwangu.Kwa kweli Mungu na akuzidishe mwalimu.
Barikiwa sana mwalimu,nimekuelewa vilivyo, Mungu na akuzidishe.
Barikiwa sana, mafundisho ni mazuri sana yaliyojaa KWELI.
Mnitumie mahubiri kwa njia ya barua pepe
Nimebarikiwa sana na somo hili.Mungu na azidi kukuinua katika maarifa ya KWELI.
Kumbe huko kuna mammbo mengi
Ndio.. je tayari umeshampokea Yesu?
Barikiwa sana mwalimu kwa maarifa haya, binafsi nimukuwa mwathirika wa hili kwa muda mrefu na nilijiona nipo sahihi kabisa likini kwa rehema zake taratibu alianza kuniongoza katika mapenzi yake juu ya hili.Shukrani ni kwake Yeye.
Kuwa mlokole huku ukikataa amri za Mungu ni upagani. 1yohana 2:3-4
Fadhili zàke ni za milele!
Am blessed!
Nauliza kwenye Upande wa kukopa kwenye mabenki na kurudisha riba je ni dhambi?
Amina Mpendwa katika Kristo Yesu, umefafanua sana.
Barikiwa sana.
Amen mtu wa Mungu..
Halelujah
Nafurai sana kuwapata kwa kunisaidia mafundisho mazuri
Hakika Mungu ni mwema sana,tumekuwa na injili ya blaa blaa na hata watumishi wenyewe hawana kina cha maarifa ya MUNGU.Kwa mafundisho haya yanatutoa matongotongo ndomana nadiriki kusema Mungu ni mwema kwani hakutaka tuendelee kukaa katika ujinga.Barikiwa sana mwalimu.
Asante sana na barikiwa sana mwalimu.Maarifa haya ni ya viwango.
Amina amina mwalimu.Unaeleweka sana.
Barikiwa sana mwalimu.Ninakuelewa vilivyo.
Amina amina mwalimu, barikiwa sana.
Amina mwalimu wa NENO,naendelea kukata kiu ya kuijua KWELI.Mungu na azidi kukuinua.
Amen sana mteule wa Bwana Yesu.
Amina…asante kwa mafundisho mtumishi wa Mungu..ubarikiwe
Amina..ubarikiwe
Add 0657666152
0718475582
Ufafanuzi zaidi kuhusu mazingaombwe
Be blessed man of the living God, for sure is very tremendous message, I enjoyed it and learn more from it. Thanks.
Shukran kwa ujumbe
Leave your messagenaomba somo la mapenzi ya Mungu
Mungu awabariki kwa kazi hii mnayoitenda
Asante kwa kutuondolea ujinga wa kiroho.
Amina Amina mwalimu,kwa kweli mbali kujifunza kupitia masomo haya pia yananifanya nisikie raha.Mbarikiwe sana.
Asante Kwa masomo Aya nabarikiwa
Naihitaji mafundisho ya Kila siku mbali mbali yakiwemo ya siku za mwisho
Tutatufe kwa njia ya whatsapp ndugu yetu..+255789001312
Shalom mwalimu! mafundisho haya ni adimu sana kuyapata.Barikiwa sana,yatupa maarifa ya hali ya juu.
MUNGU aliye hai aendelee kuitunza huduma hii
Asante sana mwalimu, binafsi kati ya ndoto ambazo zimenisumbua kwa muda mrefu ni hizi.Nimepata maarifa sasa, Asante sana kwa mafafanuzi haya kwani yanakidhi sana shauku yangu ya kujifunza.
Hili somo limeeleweka kweli kweli.Binafsi naamini kuna watu wengi wako huko kwa sababu hawajakutana na KWELI hii ila siku wakikutana nayo watatoka mchana kweupe.Barikiwa mwalimu kwa somo hili zuri, binafsi nimepata maarifa.
Nimeelewa vizuri na nimebarikiwa.
Mungu atusaidie sana kupata ufunuo juu ya jambo hili
Asante sana kwa somo hili limenifungua, katika kanisa nililokuwa naabudu kulikuwa na kuua wachawi katika maombi kwa kutumia hili andiko kumbe sio sahihi.Sasa nimeelewa.
Amina mwalimu,nimebarikiwa sana.
Barikiwa sana mwalimu, binafsi huwa napenda sana kujifunza na kupitia masomo haya napata maarifa ya viwango vya juu sawa sawa na shauku yangu.
Shalom mwalimu!hii ni moja kati ya tabia ambayo nimekuwa nayo kutokana na kujifunza na kufundishwa hivyo.Moja kati ya shauku na maombi yangu ilikuwa ni kuijua KWELI na kwa kadiri siku zinavyozidi kwenda, MUNGU ananijibu pole pole na kugundua kuwa ile ambayo nimekuwa nikidhani ndiyo KWELI na wengi kuamini ndiyo KWELI kumbe sio kabisa.
Shalom watumishi wa Mungu ,samahani nina swali naomba kufundishwa WAEBRANIA 13:12-13 Kwa ajili hii Yesu naye ,ili awatakase watu kwa damu yake mwenyewe,aliteswa nje ya lango.Basi na tutoke tumwendee nje ya kambi,tukichukua shutumu lake.
NAOMBA UFAFANUZI/TAFSIRI YA HILI ANDIKO.
Je,nini maana ya kuota nipo shuleni, wakati mwingine chuoni?
Shalom mwalimu husika! naomba kuuliza swali,mara nyingi katika ndoto huwa najiona nipo au nimeenda eneo ambalo nilizaliwa.Je,hii huwa ina maana gani?
Ubarikiwe..sasa nimeelewa
Amen. God bless you abundantly as you continue to bless us with the teachings
Nitumie maana ya fungu la kumi.
Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU
Nimeota nimebeba mtoto na nipo katikati ya bahari
Shalom watumishi,. Nmependa mafundisho yenu,. Ningependa kupata ujumbe kama uhu kila cku,. Arsante
MUNGU awabariki sana, kazi njema mmnayoifanya. Ninabarikiwa sana na mafundisho yenu yana nisaidia sana kiroho, ninatamani sana kuonana au kuongea nawe mtumishi wa Kristo Yesu. Shalom.
Balikiwa sana kwa mafundisho mazur MUNGU azidi kukufunulia mtu mishi nawe uendelee kunilisha zaidi
Thank for teachings
SOMO zuri, ubarikiwe saaaaana
Amen,SOMO zuri sana, ubarikiwe saana
Amina…ubarikiwe
Vp kuhusu nabii kama Miriam nae unamuweka ktk kundi gani
Dear Admin ninabarikiwa sana na mafundisho yako lakini hili andiko lako linanipa changamoto kidogo. Tunaposoma andiko lolote katika biblia hatua ya KWANZA ni kujiuliza mwandishi alilenga nini Kwa hadhira yake ya wakati huo( EXIGESIS).. tukishaelewa hilo ndipo tunakuja hatua ya PILI ambayo ni Je! Kwetu Leo hadhira ya Sasa, andiko hili tunalitumiaje.. nyaraka nyingi za mtume huyu mwenye neema ya kipekee sana PAULO. Aliandika kulingana na uvuvio wa roho mtakatifu kuendana na mwenendo na tabia ya kanisa husika. Kanisa lililokuwa KORINTHO, THEOLOJIA inaonyesha ni kanisa ambalo neema ya Mungu iliachiliwa kwao Kwa viwango vya juu sana!! KARAMA ZA ROHONI zote(9) na HUDUMA ZA ROHO MTAKATIFU(5) zote zilikuwa zinatenda kazi ndani ya kanisa bila kubagua jinsia!! Sasa ikaibuka watu KUTOKUENENDA KWA UTARATIBU!! wanawake wakawa Sasa ni VURUGU ibadani kila mmoja ANASIMAMA anavyotaka yeye!! Paulo ameeleza yote haya katika nyaraka hizi Kwa KORINTHO..ndipo akachukua hatua ya kuwapiga STOP wanawake anawauliza KWANI KRISTO aliwajia ninyi tu? katika waraka Kwa mwanaye wa kiroho TIMOTHEO, pia aliapply amri hiyo toka katika torati kulingana na HALI NA MWENENDO WA WANAWAKE katika kanisa husika!! ukisema Leo hii TUWAZUIE wanawake ni KUBATILISHA neema ya Mungu.. mbona mtume PAULO huyohuyo katika nyaraka zingine hajazuia na anawaandikia WANAWAKE akina PRISILA ambao ni watumishi!! hebu ni maombi yangu uichunguze hili chapisho vizuri kwamba Je! UJUMBE WA KUDUMU(timeless truth) aliyolenga MTUME PAULO ilikuwa ni kuwazuia wanawake kuwa na HUDUMA?? With humility, I submit
Umenena vyema, i was like kuandika hivi, mtoa maada ametafsiri biblia kimwili sanaaa na hajataka kujua intension ya mtume paulo. Mtume paulo yeye yeyeeee amemtaja prisila for more than 3 times kuwa alitenda kazi pamoja nae and how ikiwa alikuwa anawakataa?? Hapo Utagundua kitu.
Miriamu nabii miniature yupi uyoo akuna nabii mwanamke kwenye biblia kuna walio fanya kazi tu nasio manabii au mask off au wachungaji au chef chochote
Achen kuwapotosha watu soma 1 yohana 5:8 utatu upo
Naelewa Sana! Pepo SI lazima apige kelele. Blessings
Amen Bwana azidi kukubariki mtu wa Mungu..
Nahitaji mafundisho haya kupitia email yangu hii
Karibu sana
Asante Sana neno lako limenibariki,na sasa nimeelewa vizuri..Mungu awabariki muendelee kutoa elimu zaidi.
Amen shukrani kwa Bwana wetu
Bwana yesu asifiwe mchungaji
Amen karibu sana
Nataka kufaham biblia lakin najikuta nasoma tu wakt mwingne kama kitabu kawaida lakin pia uvivu
Ni vizuri ukaweka malengo katika kusoma, na pia ukasoma kitabu kizima na si vipengele vya mistari tu…na kuuliza maswali kwa wengine pale ambapo unakutana na kipengele ambacho hukielewi
Mungu akubariki sana ,nimejifunza kuusu uponyaji umeniongezea kitu kwanye akili yangu
Amen utukufu kwa Bwana Yesu..
Shalom mtumishi,hongereni kwa kazi kubwa ya kufundisha maarifa ya kweli ya Mungu.Lakini nina swali katika baadhi ya mada kama mnaongelea kuhusu Yesu huwa mnaweka na picha ikionesha kama ndo Yesu.Je,kwanini inakuwa hivyo na kuna haja gani ya kufanya hivyo?
Hizo picha sio picha halisi za Bwana Yesu, bali tunaziweka kama lugha za picha, ili ujumbe uzidi kueleweka..
Ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU, Bwana YESU akuzidishe sana kwa ajili ya ufalme wake. Shalom
Amina nimekupa na Nitatendea kaz
Nimebarikiwa sana na naamini ntakua kiroho vizuri nikiendelea kusikiliza mafundisho yenu
Amina..shukran
Ndio katika mazingira kama ya kwako, unapokea mashambulizi ya wazi kutoka kwa adui, na ikiwa umeokoka, basi mamlaka tayari unayo ya kuziamrisha hizo nguvu za adui zikuachie, kwa jina la Yesu. Na hayo mambo hayatakurudia tena.
Mimi natamani sana kuomba ila kila nilitaka kuomba kuna nguvu kubwa inapambana nami maeneo ya kichwani na kifuani kiasi kwamba nalazimika kukemea hiyo hali kwanza ndio sasa niendelee kuomba.Sasa ni jambo linalojirudia mara kwa mara.Naomba msaada wenu kujua hii Nonini na pia msaada wa maombi yenu
Nahitaji kufahamu utofauti wa biblia yenye vitabu 66 na ile yenye vitabu zaidi ya hivyo
JAMAN DAH MUNGU ATUSAIDIE
Atusaidie sana..
Amina, Barikiwa Sana watumishi wa Mungu.
Amen dada Getrude..ubarikiwe nawe pia..
Mimi bado sijaelewa hapo kwenye kuzimu maana kama waovu huenda jehanum na watakatifu huenda peponi huk kuzimu huwepo kitu gani ? Au miili ya wafu wote?
roho za waovu zitaenda kuzimu..
Bwana asifiwe
Amen habari ya uzima mpendwa, karibu sana
Asante na kwako pia
Mungu awatangulie
NAOMBA UNITUMIE
napenda masomo yenu mnitumie,amina
Amina watumishi. Kazi yenu ni njema sana.
Nahitaji kujiung freemason kwa sababu moyo wangu umelizia sijalazimishwa na mtu yeyote
Amina ubarikiwe
Amen.Be blessed.
Kweli halisi! Am blessed
MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI WA MUMGU
Nawapenda San watumishi wa mungu
Asante sana ndugu yetu..Bwana akubariki sana.. nasi tunawapenda sana..
Asante umenifungua macho.
Amen utukufu kwa Bwana.
Hasante sana kwa mafunzo yenu yanazidi kunijenga katika Imani. Barikiwa
Amen. nawe pia uzidi kubarikiwa..
Mungu akufundishe zaidi ili nasisi tuendelee kunifunza
Amina.. Bwana azidi kukubariki sana
Ubarikiwe sana..
Amina barikiwa Sana Mtumishi wa Bwana Wetu Yesu Kristo.
Amina, Getrude.. Ubarikiwe nawe pia na hongera kwa kumpenda Bwana..
AMEN…! ni nani anayepaswa kumsifu BWANA? JE ni wale walio okoka TU au hata wamataifa(wasio mkiri KRISTO)! NA je wamataifa mfano wanaoimba nyimbo za kidunia wakimsifu kwa kutaka jina lake MUNGU anapokea sifa zao???
Amen..nawe pia..
Asante kwakutukumbusha
Pia inaweza kuLIKE page yetu ya facebook, katika mwisho wa kila somo..
Amina nipekupat mtumishi
Utukufu kwa Bwana..
Mwal ninaswali mi huwa naota ndoto za watu waliokufa hii inamaanish nini
Inategemea na mtu unayemwota, amekufa wakati gani? kama amekufa hivi karibu ni kawaida kumwota..lakini kama ni zamani sana na ndoto inakuwa ni ya kujiruda rudia na isiyoeleweka basi kuna jambo lingine la kiroho, ambalo nashauri utumie namba hizo hapo chini ya somo kuwasiliana nasi ili tukushauri ndugu yetu..
Mungu mwema nakusalimu kwa jina la Yesu mwokozi wetu mbarikiwe watumishi wajapo tuzarau watu lakini tunauhakika na tunacho kitenda na ukitaka kuiona njanja ya samaki iweke majini
Amina sana mtumishi Mungu awe pamoja nanyi
Amen.. karibu sana
nimeipendaa hii
Amen..uzidi kubarikiwa
Ubarikiwe mtumishi kwa utumishi huo wa mafundisho mazuri ya neno la Mungu
Mungu awabariki Walimu wote wa Wingu la mashahidi. Nabarikiwa sana nimefaham mambo mengi nisiyoyajua sasa najua.
Amina utukufu kwa Bwana…nawe pia ubarikiwe…
Asate kwa somo hili limenisaidiya Jinsi ya kusoma Bibiliya na kupata Ufunuo Ubarikiwe na Mungu mwalimu
Amen utukufu kwa Bwana Yesu….tafadhali shea na wengine
Bwana azidi kuwa pamoja nanyi na azidi kuwatia nguvu daima siku zote amina
Amina nawe pia ndugu yetu…uzidi kubarikiwa
Mbarikiwe sana watumishi Mungu
Namba yangu 0782275747.maomba kuungwa kwenye group
Mungu awa imalishe katika kazi yake.
ubarikiwe.
Ninazidi kubarikiwa mno
Amen, ndugu yetu.. tunaomba ushee na wengine pia..
Neno lamungu litawale ulimwengu mwote
Amen amen..
Amen nawe pia…
Shalom, mafundisho ni mazuri,Yes,na Shea na Group langu LA pokea Roho mtakatifu LA whatsap. Naomba maombi yenu,nahitaji kuwa na taasisi/shule/chuo kitakacho nikutanisha na makusanyiko kwaajiri ya kufikisha ujumbe wa neno LA Mungu.Niombeeni.
Bwana YESU awabariki, nashukuru nimejifunza tabia hii ya Mungu wetu mkuu Yesu kristo..
Amina sana, utukufu ni kwa Bwana tuzidi kumtafuta yeye..
Asante sana mungu akubariki ndugu
Amina nawe pia…
Amen,SOMO zuri sana, Mungu aendelee kukutia nguvu katika kuifanya kazi yake.
Mungu awabariki. Kwa mahubiri yenu
Mungu, nipr moyo wa Toba.
Amina Mtumishi wa Mungu, zidi kubarikiwa kwa kututia moyo watumishi wa Kristo Yesu.
Amina, Mungu atusaidie sana. Kwa akili zetu hatuwezi.
Ni kweli kabisa Mtu wa Mungu.. Bwana azidi kutusaidia sana..
Ubarikiwe mtumishi kwa somo zuri,Kuna kitu nimejifunza kikubwa Sana.🙏🙏 Masomo adimu Sana na watumishi wengi hushindwa kufubdisha Kwani hawayaelewi vizuri.
Amina sana mtu wa Mungu…Bwana azidi kutubariki sote ..
Amen Bwana azidi kukubariki nawe pia…
Amen, Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu, hakika hili somo linafundisha kitu. Maana Injili ya kuteketeza na kutuma moto kwa maadui ndo ibada ya walokole walio wengi leo. Mungu awabariki sana na azidi kuwatumia kwa viwango vya juu zaidi. Amen
Amen, Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu, hakika hili somo linafundisha kitu. Maana Injili ya kuteketeza na kutuma moto kwa ndo ibada ya walokole walio wengi leo. Mungu awabariki sana na azidi kuwatumia kwa viwango vya juu zaidi. Amen
Amen, dada Getrude, Bwana azidi kutubariki sote…
Barikiwa sana Kwa ujumbe huu.
Amen..uzidi kubarikiwa nawe pia..
Bwana YESU awabariki, nashukuru nimejifunza hakika.
Amen, utukufu kwa Bwana…tafadhali waalike na wengine…
Ubarikiwe mtumishi wa mungu
karibu…
Asante.nimejifunza
Amina.. karibu sana..
Amen mtumish wa Mungu
Bwana YESU awabariki, nimejifunza Neno kuwa ilinifanikiwe kwenye wokovu ni lazima nijikane, nikubali kubeba msalaba wangu na kumfuata Yesu kristo, vinginevyo nitabaki kwenye uvuguvugu, Bwana Yesu anitie nguvu zake!!!
Amen, ni kweli, Bwana atutie nguvu sote..
Amen. Amen
karibu sana…
Amen, kazi yenu ni njema
Amen, utukufu kwa Bwana…
Amen Bwana azidi kutubariki sote…
Habari hizi ni njema sana kwa kweli.. Mungu azidi kuwainua watumishi wa Bwana
Amen Bwana atuinue sote… Ubarikiwe nawe pia ndugi yangu
Ubarikiwe Mtumishi. Mi nilikuwa nafikiri kwa andiko hili tunaruhusiwa kuoa/olewa na mtu ambaye hajaamini. Kumbe sio. Bwana akubariki sana.
Amen..Bwana akubariki nawe pia ndugu yetu….tafadhali usisahau kushea na wengine kwa kobofya icon ya facebook au whatsapp katika kila mwisho wa somo..
Mungu awainue sana watumishi wa Bwana
Amen ubarikiwe na Bwana nawe pia..
Ubalikiwe mtumishi,Mungu azid kukupa nguvu ya kusonga mbele huduma yako iko vizuri yesu kristo wa Nazareth akupe hitaji la moyo wako
Amen Bwana azidi kutubariki sote..
Vile vile usisahau kushare na wengine facebook na whatsapp katika kila mwisho wa somo..
Bwana YESU asifiwe watumishi wa Mungu!! Namshukuru Bwana Yesu ambaye kila siku ananifundisha kweli yake ili niufikie ukamilifu(Mathayo:5:48). Bwana YESU awabariki, karama na huduma alizowapa azidi kuziinua, mumtumikie sawasawa na mapenzi yake.
Bwana YESu asifiwe watumishi wabwana, mubarikiwe Sana kwajinsi munavyotujenga kwamasomo,
Hallelujah hallelujah ubarikiwe saaaaana mteule wa Mungu Kwa SOMO zuri.
Amina mbarikiwa
Shalom mwl aomba kupata mafunfisho Zaid Asante
Amen mtumishi wa Mungu, ubarikiwe
Nimebarikiwa
Ubarikiwe somo zuri
Barikiwa sana nimejifunza kitu
Amen watumishi wa Mungu
Mungu atusaidie
Amen Mchungaji
AMEN…! Tusiache kukusanyika pamoja!
Amina nawe pia ndugu yetu…
Amen ashukuriwe Mungu kwa maarifa haya
Naomba kutumiwa hili somo kwenye WhatsApp yangu🙏🙏
Uzidi kubarikiwa…
Amen🙏🙏
Ubarikiwe shujaa..
Amina mtumishi wa Bwana, ubarikiwe pia
Amen🙏🤝👏👏
Amen…
Nimekuelewa mtumishi wa Mungu, barikiwa sana!
Amen nawe pia uzidi kubarikiwa sana….
Amen nawe pia ubarikiwe..naomba uwaalike na wengine katika page yetu hii/
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Amen, nawe pia ndugu yangu…
Grup kwangu limefutika naomba kunganishwa upya
ni vema ukaandika namba
Tutumie ujumbe whatsapp kupitia namba zetu hapo chini..
Uko sawa mtumishi
Amen.. karibu sana..
Bwana apewe sifa..
Nimeelewa vizuri
hasante somo zuri
Amina, utukufu kwa Bwana…na pia Bwana azidi kukubariki..
Ili ifike miaka 1000 bado miaka mingapi??
Unyakuo ukishapita, na dhiki kuu ndipo utawala wa miaka elfu utakapoaanza..Na siku ya unyakuo hakuna aijuaye..isipokuwa dalili zinaonyesha kuwa utatokea siku yoyote kuanzia sasa.
Nimepata ufunuo mpya sasa mbona wana Israeli kukatazwa Kula wanyama wasiocheua,Amina.
Amen ubarikiwe ndugu, pia shea na wengine ujumbe huu ili nao wabarikiwe.
Amina uzidi kubarikiwa na Bwana…
Amen..be blessed
Naitwa Joseph mbarikiwe watumishi wa MUNGU na kazi yenu isonge mbele, Pia nahitaji kujiunga na group lenu ila kila nikijaribu naambiwa sina Whatsapp..!
nitumie namba zako za whatsapp ndugu
Tuandikie namba zako hapa ndugu Joseph au tutumie ujumbe kupitia namba zetu zinazoonekana katika mwisho wa kila somo
Amina,mtumishi Nuru ya Bwana izidi kukuangazia!
Amen..Tafadhali waalike na wengine humu.
Kazi yenu ni njema, mbarikiwe sana . Ameen ameen 🙏
Mbarikiwe kwa Elimu ya neno la Mungu mnalotupatia kwakweli napata kujifunza vingi. Ile nguvu ya Roho Mtakatifu na iwe kwenu mzidi kutulisha neno la Mungu zaidi na zaidi
Amina sana, Bwana azidi kukubariki..
Mungu awabariki, nimejifunza vingi na mtazamo tofauti kabisa juu ya changamoto ya watoto kwenye ulimwengu wa malezi tulionao. Bwana Yesu azidi kuwaajalia. Ufunuo zaidi
Amen…Mbarikiwe Sana…kwa masomo mazuri
Amen. Ubarikiwe nawe pia…
Amen 🙏MUNGU awabarik sana kwa hayo mafundisho mazuri ya kuujenga mwili wa KRISTO.
Amen, utukufu kwa Mungu mkuu..uzidi kubarikiwa
Amen, Bwana yesu atutie nguvu sana.
Amina ni kweli kabisaa…
Ubarikiwe/
Barikiwa
Amen, nawe pia Bwana akubariki.
Amin Barikiwa
Amen nawe pia ndugu..
Amina mtumishi wa Mungu, kiukweli saivi kuna mafundisho ya kila aina hapa chini ya jua. Lakini kwa neema ya kristo yesu inatupasa tuendelee kuyatafuta mafundisho ya kweli na kutafakari neno kwani ndio njia pekee itakayo tufikisha katika uzima wa milele. Amen
Amen mtumishi 🙏🙏🙏
Amen ni masomo mazuri sana, Mungu awabariki
Watumishi wa Mungu, Mungu azidi kuwatumia ili kanisa la Mungu lipate kutembea katika misingi ya Mungu na badae lifike mbinguni.
Amen, kweli kabisa kanisa la leo tunakusanyika ili kumuudhi Mungu, na si kutafuta uwepo wa Mungu. Maana nywele bandia, vipodozi na vimini vimerudi kanisani. Wakristo tumekuwa watenda mabaya kuliko hata wapagani walio nje na kanisa kabisa. Mungu atusaidie sana.
Ubarikiwe sana mtumish wa Mungu
AMINAA UBARIKIWE SANA MTUMISHI
Bwan Yesu asifiwe Kiukwel nabarikiwa sana kwa haya mafundisho yenye ukweli na Ufunuo mkubwa…God bless you Pastor 🙏🙏🙏
Amen..ubarikiwe pia
Asante kwa mafundisho…
Amina Barikiwa sana Mtumishi
Amen, nawe pia ndugu yetu…
Aminaa
Shukran kwa mafundisho..ubarikiwe
Amen, nawe pia ubarikiwe..
MUNGU
Bwana yesu asifiwe nimebarikiwa sana kunakitu nimekipokea
Amina uzidi kubarikiwa ndugu yangu..
Amen. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu. Mungu azidi kukutumia katika kazi yake naamini kabisa kupitia wewe na wengine tutavuka mtumishi wa Mungu Tuko pamoja sana katika Bwana.
Amina mtu wa Mungu, uzidi kubarikiwa sana.
naomba uniunganishe mtumishi wa mungu
Tuandikie namba zako ndugu yetu..
mm na suscribe kwenye tovuti hii
Amina hongera sana.. unaweza kuwaalika pia marafiki zako, ili nao pia wapate maneno ya Uzima.
Swali je namba 666 bado iko?
Inafanya kazi sasa katika roho, unaweza kupitia hapa>> CHAPA YA MNYAMA
NAOMBA UNIUNGE KWENYE GROUP LA WHATSAPP MAANA NAAMBIWA LIMEJAA 0768471465
Amen tayari nimekutumia link ya group ndugu..
Thanks n be blessed.
Asante ..ubarikiwe
MUNGU AWABARIKO
Shalom,kazi yenu ni njema!
Shalom,kazi yenu njema.
Asante ubalikiwe
Asante sana kabisa kwa manene mazuri kabisa,somo lina sema wazi kabisa.ila Mungu atu saidiye kwe,ina onekana tume kuwa na fujo yingi kwenye ndo.sababu ni kwamba hatueshimu wakwe zetu.Mungu ani saidiye niwe kabisa nikate hatua.niwapende wakwe zangu!
Umeeleza vizuri mtumishi, Bless you!!
Amina, Ubarikiwe Mtumishi
hakuna kunarikiwa hpa waroma mnaipotosha Sasa unafunga huku mnakura ndio mmefunga nn
Nafurahishwa na kubarikiwa na mafundisho yenu .Mungu awabariki
Amina..akubariki nawe pia…
Amen MUNGU awatie nguvu kwa kutufundisha
Amen..waalike na wengine katika page hii kwa kubofya share katika mwisho wa kila somo..
Shalom mpendwa naomba mniunge watsapp
Shalom..tuandikie namba zako za whatsapp au tutumia ujumbe kupitia namba zetu zilizopo mwisho wa kila somo
Shukran mtumishi kwa somo hili nimejifunza..Ubarikiwe
amn
Bwana azidi kukubariki
Mzidi kueneza neno la Mungu dunia kote ili wanadamu wakumbuke Haya tunajisahau sana Amen
Leave a Reply
Mzidi kueneza neno la Mungu dunia kote ili wanadamu wakumbuke Haya unanisahau sana
Shukran mtumishi wa Mungu
Karibu tena…usisahau kushea na wengine..katika mwisho wa kila somo.
Bwana Yesu asifiwe. Naitwa Constance nimebarikiwa sana na mafundisho yenu, Mungu awabariki na kuwatia nguvu zaidi. No yangu ya WhatsApp ni 0728903383 kama mnaweza kuniunganisha kwenye group. Asante.
And me 0713615029nuhhu
Kuna link ya kujiunga na channel yetu katika mwisho wa kila somo jipya…tafadhali naomba ubofye ujiunge
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
Aminaa Mtumishi wa Mungu ubarikiwe kwa kaxi hii njema
Asante Sana kwa mafundisho mazuri
Amen..ubarikiwe..
Amen sana…Mungu awabariki kwa mafundisho haya Yenye nguvu..
Amen.. Bwana azidi kukubariki nawe pia.. tafadhali share na wengine..
Amen sana …Mungu awabariki kwa mafundisho haya yenye Nguvu
Amen akubariki nawe pia…
Amin mbarikiwe
Amen🙏
Amen 🙏🙏🙏
Moja ya mapenzi ya Mungu ni kuishi Kwa kufuata amri zake zote bila ubaguzi
In god we trust
Yesu ndiye Bwana
Amen, asante kwa somo
Amina Mungu awabiriki kwa masomo mazuri 🙏🙏🙏
Amina sana ndugu yetu..uzidi kubarikiwa na Bwana.
Nimebarikiwa sana na ujumbe huu. Nimepata nguvu mpya ya kuzidi kumsogelea Mungu
Amen.. Bwana azidi kukubariki
Hello wingu la mashahidi Yesu asifiwe Naamini mnaendelea viema katika Bwana MUNGU awabariki kwa Kazi nzuri ya kujenga mwili wa kristo!
Amen, ndugu Jairus.. Uzidi kubarikiwa sana..
Amina dada Getrude..uzidi kubarikiwa sana
Amen, Mungu awabariki sana jamani, hakika mnatutoa sehem moja na kutupeleka sehem nyingine kiroho.
Amen, Bwana Yesu azidi kukuinua sana..
Amina Getrude, Bwana azidi kukubariki
Amen mtumishi wa Mungu, Mungu aendelee kukutia nguvu ili kazi ya Bwana yesu izidi kusonga mbele. Nawapenda wote.
Bwana Yesu asifiwe. Naitwa Esther nafarijika Sana na mafundisho Yenu..Mungu azidi kuwabariki tangu ninewagundua Mwaka Jana sijajuta kufatilia masomo haya ya Neno la Mungu.Mungu awatie nguvu kila iitwapo Leo
Mbariwe
Ameen tunafurahia mafundisho Yenu Mungu awabariki Sana
Amina Sana hilo somo zuri mmno naomba Kama kungekuwa Kuna sehemu ya kushare ingekuwa vizuri sana, nitalikuta facebook?
Amen 🙏 🙏
Amina barikiwa sana mtumishi
Amen nawe zaidi
Amen nimepata kitu hapo
Sasa kila nikijaribu kuwa chini ya sheria ya roho mtakatifu nashindwa kipi nifanye
Je umemkiri Yesu kwa kumaanisha kuziacha dhambi zako?
Amen barikiwa kwa kazi njema.tunajifunza mengi sana ktk mwili wa Kristo.
Amina, Bwana azidi kukubariki
NENO la faraja!
Amen, ashukuriwe Bwana
Amina ujume wa baraka sana
Amen utukufu ni kwa Bwana
Amina Bwana akubariki sana.
MUNGU akubariki sana Mtumishi Sasa nimeelewa maana ya naivera
I want to succeed in my education level and become an Engeneer so that I can help my parents in their oldest time please I ask you consider my prayers into yours while praying
Amen Mungu azidi kuwainua watumishi wa Bwana
Amen nawe pia. Tafadhali share na wengine whatsapp/facebook kwa icon iliyopo mwisho wa kila somo..
Napenda sana mafundisho yenu inanibariki sana
Amen azidi kukubariki. Tafadhali share na wengine whatsapp/facebook kwa icon iliyopo mwisho wa kila somo..
Mungu awabariki kwa somo zuri, nakitafuta hicho kitabu cha Ricky nijifunze zaidi
Amen Bwana awe nawe..
Ubarikiwe Mtumishi. Bwana azidi kukupaka mafuta ya Ufunuo wa Neno lake!!
Amen nawe pia Bwana azidi kukubariki. Tafadhali share na wengine whatsapp/facebook kwa icon iliyopo mwisho wa kila somo..
Amin nabarikiwa sana
Hakika Bwana Yesu ni mkuu kutokana na mafundisho haya.Amen
Amen. Bwana ni mwema.. tafadhali waalike na wengine, kwa kubofya alama ya facebook/whatsapp katika mwisho wa somo.
Nimejifunza🙏
Uzidi kubarikiwa sana…
Ubarikiwe mtumishi kwa huduma hii ambayo Mungu amekukirimia.
Amina, nawe pia uzidi kubarikiwa na Bwana Yesu..
Wazuri wapo kweli
Atukuzwe Mungu kwa kaz njema mnayofanya,ninakua,nataman azidi kunikuza zaid,kwa masomo haya mmefanya nitafute kumjua Mungu sana ndyo kiu
Amina uzidi kubarikiwa na Bwana.
Tafadhali share na wengine mafundisho haya whatsapp au facebook, kwa alama iliyopo katika kila mwisho wa somo
Ameni Mungu wetu mwaminifu hajawahi shindwa na lolote.
Amen, hiyo ni hakika
Amen mtumishi ubarikiwe
Amen nawe pia ndugu yetu..
Nimejifunza kitu kikubwa, nyumba juu mwamba ni salama (maisha ndani ya Kristo ni salama) Mungu awabariki sana
Amen, Yesu ndiye Mwamba…
Mtumishi wa Bwana kazi yako ni kubwa sana Mungu wetu wa mbinguni awazidishie neema yake ili mzidi kuhudumia kundi lake
Amina, Bwana azidi kukubariki nawe pia.
Uzidi kubarikiwa ndugu yetu.
MUNGU ANATUPENDA SANA
anatupenda hakika..
Amen asante mtumishi kwa somo zuri sana. Mungu anisaidie nikae katika matendo mimi ndani ya Kristo na Kristo ndani yangu
Amen, na iwe hivyo…
AMEN ….barikiwa sana mtumishi
Nimekosea kidogo nilimaanisha nahisi kutokwa na machozi ni ya furaha ya kuijua kweli ya Mungu.
Moja ya somo ambalo limegusa maisha yangu ni hili jamani sijui nisemeje ila Mungu awainue zaidi, hii ndio injili nilikuwa naitafuta kwa muda mrefu sana, fanyeni hima muwafikie wengi najua sio wote wataipenda au kukubali, lakini Yesu alisema kondoo wake wanajua sauti yake kutokwa machozi, Mungu awabiriki Sana Sana Sana na awainue kazi yenu ni njema Sana.
Amen, ndugu Lucas, Bwana azidi kukubariki nawe pia na kukuongezea neema yake katika kumjua yeye..
Amen🙏🙏🙏
Huduma yenu ni njema sana Mungu awabariki
Amen azidi kukubariki nawe pia..
Amen, ubarikiwe sana mteule wa Mungu Kwa jibu zuri,nami nimeelewa zaidi
Amen uzidi kubarikiwa na Bwana, Zaidi sana, usisahau kushare katika facebook yako au whatsapp, katika kila mwisho wa somo, ili Neno liwafikie wengi zaidi.
Wapendwa tujitahidi Sana kutamtafuta Mungu kwa maana yeye ndiye jibu la Mambo yote katika maisha yetu.
Hakika, Mhubiri 12:1
Amen, Amen,Amen
Amen mungu azidi kuwabariki kwa kazi ya bwana nazidi jengeka kiimani
Hallelujah, jina LA BWANA lihimidiwe. Nafurahia mafundisho haya Mungu awabariki sana. Msichoke katika kufundisha, kutangaza habari njema za injili ya Yesu Kristo kuhusu toba iletayo ondoleo La dhambi na kuurithi ufalme wa Mungu. Amebarikiwa mtu wa kujitoa kwa ajili ya injiri maana aiponya nafsi yake. Ongera sana.
Amen, Bwana azidi kukubariki nawe pia. Zaidi sana, tunaomba ushare masomo haya katika facebook yako au whatsapp, katika kila mwisho wa somo. Na Bwana azidi kukubariki.
Mungu ni mwema kila wakati
hakika ni mwema siku zote.
AMEN Watumishi
Amima mbarikiwe sana watu wa Mungu tunashukuru kwa masomo yenu
Amina utukufu kwa Bwana, na Bwana azidi kukubariki
Amina na asante sana kwa huduma hii ya kutulishana maneno ya Mungu tunaomba Mungu awatie nguvu katika kulisambaza neno lake pande zote za dunia
Amina, Bwana akubariki nawe pia ndugu yetu.. Zaidi sana tunaomba ushare page hii kwa marafiki zako facebook na whatsapp, katika kila mwisho wa somo, ili nao wafikiwe na Neno la Mungu..
Kwa kweli mafundisho haya yana nihimiza Sana katika kumutumikiya mungu. Ninakuwa manger wa kwaya y’a wambilikimo uku mashariki mwa Congo DRC, katika Kisanga Idjwi y’a kusini. Hata hapo niko Goma kutayarisha ujiyo wa wanakwaya hii y’a mbilikimo kuja kuhudumiya kunako mukutano mukuu wa Injili yangu tarehe 12 aprol 2022 mpaka tarehe 17 y’a huu mwezi. Lengo letu niku sappoty kwaya hii y’a watu wangu itangaze Injili popote. Kwaya hii inaitwa Injili kwaya. Piya tuna hamu yakupata watu wa moyo mwema watakao kubali kuleta musaada wao kwa ajili kwaya hiyo ili Injili isonge mbele. Kwamajina mimi ni Hénoc Muhindo MUTHETHE coordonnateur wa shirika la maendeleo PPSDR/ ONGD. Asante, na mungu akubariki.
Jamani mbarikiwe sana kwa mafundisho yenu katika Kristi Yesu.
Amen asanteni kwa somo zuri
Amina nashukuru kwa somo nzuri Mungu awabariki
Mungu awabariki sana kwa masomo mazuri na yenye pumzi ya Mungu. Hakika nabarikiwa sana.
Amen, Bwana azidi kukubariki, naomba uwaalike marafiki zako na ndugu zako katika page hii kwa kubofya share katika mwisho wa kila somo..
God of Israel is powerful
Amen…Mungu na atutie nguvu tuwe miongoni mwa Bibi arusi waliotiwa muhuri na Mungu kwa roho wake.
Amen.. waalike na marafiki zako faceboo, na whatsapp kwa kubofya share katika mwisho wa kila somo..
Yesu asifiwe,Nina swali hili, msingi was imani ya wakristo ni biblia kwa nini kuna dini nyingi za kikristo asante sana mubarikiwe
Kwasababu hizi ni siku za mwisho, biblia imetabiri watatokea makristo na manabii wengi wa uongo, na dini nyingi za uongo..
Tunashukuru sana kwa mafundisho mazuri ya biblia,lakini watu wengi wanatamani kujua ujumbe wandani uliopo ktk vitabo vya unabii, mfano kitabu cha Daniel na ufunuo, tunaomba tafsiri ya pembe ambalo lina mdomo kama mtu na hill hutamka maneno ya Ku mukufuru mwenyezi mungu. Ktiabu cha daniel
Unaweza kusoma hapa>> Vitabu vya biblia
🙏 Amen
Utukufu ni kwa Bwana..
Barikiwa sana kwa ufafanuzi. Nimebarikiwa.
Amen Bwana azidi kukubariki, tafadhali washirikishe na wengine kwa kushare page hii katika mwisho wa somo.
Mungu wetu ni mwema, Mungu pia akubariki Sana mtumishi wa Mungu aliye hai
Amina, Bwana azidi kukubariki.
Uzidi kubarikiwa sana ndugu yetu…
Watumishi mbarikiwe sana naomba kutumiwa link ya somo hili ili niwashirikishe na wengine ili mwili wa Kristo uzidi kujenga na kuufikia utimilifu, jina la somo NITAFAHAMU VIPI KARAMA YA MUNGU?
WhatsApp yangu 0767885988
Mbarikiwe sana nimejifunza kitu leo
amen jin la bwana litukuswe
Amen, litukuzwe daima..
Shaloom shalom nashukuru kwa somo ya leo 🙏. Mungu anipe mwisho mzuri, namimi ni alikwe kwenye hiyo karamu ya mwana kondoo🙏🙏🙏
Amen, Bwana akubariki sana.. pia waalike rafiki zako na ndugu zako kwenye page hii, ili nao pia wapate kujifunza Neno.
Amina mafunzo hayo siyo mchezo yanabariki nakuinua mioyo
Barikiwa mpendwa kwa SoMo hilo
Amen, nawe pia ubarikiwe na Bwana
Ubarikiwe sana mwl
Amen nawe pia Ubarikiwe..
Wakaribishe na wengine, kwa kushare, na utakuwa umeshiriki kuifanya kazi ya Mungu..
Amen nawe pia.. Bwana azidi kukubariki….
Amen.. Ubarikiwe nawe pia..
Malawi
Karibu je tayari umempokea Yesu…
KARIBU..
nataka uchambuzi wa hili fungu mhubiri 3:18-20
Hapo Kuna Jambo sijaelewa mwalimu kwamba Mungu anauwezo wa kuwatumia wachawi kutoa majibu
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu,Mungu akuinue hakika nimekua nakaa uweponi mwa Mungu MDA wotr kupitia mandiko yako,Amen kwa majina naitwa John
Amen..Bwana azidi kukubariki ndugu John
AMEN AMEN, TUPO PAMOJA KATIKA KUIFANYA KAZI YA MUNGU
Amen Bwana azidi kukubariki sana
AMENI,SIFA KWA BWANA KWA KAZI HII NJEMA
MUNGU WA NBIGUNI NA ATUYKUZWE KWA KAZI NJEMA HII
Amen utukufu ni kwake daima..
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu. Niwaombeni muwe mnanitumia mafundisho kwenye e-mail yangu: vonaim131@gmail.com
Amina unarikiwe sana..
Mungu wa mbingu na nchi awabariki sana.
Amen akubariki nawe pia
Asante…
Amen..karibu tena
Leave your message.Mungu awabariki watumishi kwa kuwa Mafundisho haya ya injili yamenijenga kiroho na nimefundisha wengi pia.Barikiweni
Amen akubariki nawe pia ndugu yetu
Mungu awabariki kwa mafundisho mazuri
Amen nawe pia ubarikiwe..tafadhali wakaribishe na wengine..kwa kushare
Amina Mtumishi
Mbarikiwe na BWANA wa mabwana.
Amen nawe pia uzidi kubarikiwa
Mamb
Maran atha
Amen! Masomo ni mazuri sana Hakika tunapata ufahamu wa kimungu wa Kulijua neno la Mungu na Kuliishi.
Napenda mafundisho yenu, nilitamani kama kungekuwa na uwezekano tukafungua tawi LA huduma hiii uku nilipo, napatikana mjini Ushilombo mkoani Geita 0622039677
Amina barikiwa sana Mungu azidi kuwatumia zaidi apendavyo yeye
Amen Bwana azidi kukubariki wewe nawe…
Amina sana Mungu awabarki sana Mwendeleee kutuinjilisha
Amen..nawe ubarikiwe zaidi..
Wakaribishe na rafiki zako..
Nashukuru kwa mafundisho yenu na siku izi za mwisho Mwenyezi Mungu wa Mbinguni azidi kuwabariki. AMEN
Amen utukufu kwa Bwana nawe pia uzidi kubarikiwa
Yaani watumishi katika siku mmejibu maswali yangu yote kuhusu Roho Mtakatifu ni kupitia somo hili, yaani mbarikiwe kwa sana sana sana, hakika nimejifunza kitu leo KIKUBWA SANA.🙏🙏🙏
Amen..uzidi kubarikiwa…
Tunaomba ushare na marafiki zako, facebook na whatsapp
UBARIKIWE
Eimen ubarikiwe sana mtumishi
Amen..nawe pia ubarikiwe na Bwana…tunaomba ushare na marafiki zako facebook na whatsapp
Mbarikiwe sana Watumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri ya kiimani hakika tuko pamoja kulitukuza jina la Kristo
Barikiwa Sana Mtumishi MUNGU akuinue zaidii… Tumebarikiwa Sana kwa ujumbe mzuri
Amen..uzidi kubarikiwa..Tafadhali share na rafiki zako whatsapp na facebook
Barikiwa sana mwalimu kwa masomo mazuri.
AMEN barikiwa sana kaka nimejifunza kitu MUNGU wa mbinguni Akubariki sana🙏
Blessed
God bless you!
Amen mwalimu kwa masomo mazuri zaidi
Tuzidi kumsifu bwana wetu YESU KRISTO
God bless you for the good work!
Jina la bwana wetu YESU KRISTO litukuzwe
mung mwema
Swali: tukisoma Luka 2:36, inasema kulikuwa na nabii mke,aitwae Hana, na vile vile na tukisoma kutoka 15:20 na Nabii mke aitwaye Miriamu,…Sasa swali Je kulingana na Waefeso 4:11, inasema..
Waefeso 4:11 11 Naye alitoa wengine kuwa mitume, na *wengine kuwa manabii;* na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu;
Sasa swali langu, hawa manabii wanawake kazi yao ni mini.? Maana tunaona Yoeli 2:28, inasema wore walimwagiwa vipawa wanaume kwa wanawake.
Amen, ni ujumbe mzuri na wenye ushauri mzuri kweli kweli…Mungu akubariki sana.
Ni kweli kabisa, wakutanapo wawilo au watatu kwa Jina la Bwana basi Mungu anakuwapo hapo pamoja nao. Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Barikiwa mtumishi.
Amen..Bwana akubariki
Ooh Amina, nimejifunza kitu kipya, 🙏
Amen. Naendelea kubarikiwa na masomo haya. Mungu AWABARIKI mno.
Amen…Tuzidi sana kuishi Maisha matakatifu. Habari njema.
kwa masomo yenu
Nabarikiwa sana na masomoa
Asante kwa somo hili.
Amen Amen
Shalom..kama Somo linavyojieleza wanawake wanayo ruhusa ya kufundisha wanawake wenzao na watoto.
Pia mwanamke kama Debora alikuwa ni nabii, lakini hakuwa kuhani katika nyumba ya Mungu..(kazi ya ukuhani ilikuwa ni ya wanaume tu, tena walawi). Hivyo mwanamke anaweza kufunuliwa jambo kinabii na kwa ruhusa maalumu,chink ya uongozi wa wanaume, akapewa nafasi ya kusema ujumbe huo kutoka kwa Bwana..lakini si kufundisha au kuwa mchungaji.
Pia mwanamke akiwa na jambo ambalo ameona sio sawa kimaandiko, anaweza kuwasiliana na mchungaji na kama.atapewa kibali basi anaweza kuzungumza..
Vile vile
Somo zuri sana kutukumbusha nafasi ya mwanamke katika kanisa. Ni kweli, mpango wa Mungu lazima uheshimiwe. Ila nina swali, unamwongeleaje mtu kama Debora? Aliyetumika na Mungu kuleta ukombozi Israeli kwa neno la unabii? Je, kufundisha kote kunakofanywa na wanawake ni makosa? Hata kama wanafundisha watoto wao wa kiume na wa kike au wanawake wenzao? Je, ikiwa huyo mchungaji mwanaume anakosea katika utendaji au ufundishaji au uongozi kulingana na biblia, na yuko mwanamke anayelijua neno sawasawa na anataka kumrekebisha mchungaji (privately), je ni kosa pia? Nasubiri majibu yenu. Asante.
Je ni mwanamke gani alikuwa mitume katika biblia
Hakuna mwanamke yeyote aliyekuwa mtume katika biblia
Amina asante sana. Na Mungu akubariki.
Kwahy mwanamke kuw mwalim ni kosa ?
Amen Amen🙏🙏🙏
Amen nabarikiwa na masomo
Bwana Yesu asifiwe.Mungu awabariki sana watumishi katika kuhakikisha Neno la Mungu lina wafikia watu. Binafsi nimepata kujifunza Mengi katika tovuti hii na mengine yamenisaidia hata katika huduma ambayo naifanya,nimepata ufafanuzi wa mambo mbalimbali hasa maswali tata ya Biblia. Usomae ukurasa huu soma kwa lengo la kujifunza na kukua kiroho. Barikiwa. Pastor Samwel (JRM)
Hakika MUNGU ni mwema sana,kamtoa mwanae kwa ajili yetu
Asante kwa somo hili
Asante tunashukuru kwa somo hili Huwa na barikiwa sana na somo hizi Mungu awabariki Watumushi wa Mungu. Nawaomba kuendelea kututumia mafundisho ,tunufaike kiroho
Amina nawe pia uzidi kubarikiwa na Bwana Yesu
Amen amen amen ,ubarikiwe mtu wa Mungu
Amina nawe pia uzidi kubarikiwa..
shalom. I personally commend you for the good work of spiritual teaching, for which I am greatly in favor of the true teachings of God. This page for me is a complete church, I find worship and to glorify God.May the Lord continue to give you the grace to minister to millions of people you do not see with your eyes but know there are many souls who are healing themselves from eternal fire.bwana aachilie watu wengi wa kusupport kazi hii hasa kwa fedha ili injili iendee kwa nguvu. amen.
Amen Bwana azidi kukubariki..na pia waalike rafiki zako katika page hii
Ubarikiwe sana Kwa ujumbe mzuri
Amen nawe pia ubarikiwe…Zaidi sana naomba uwakaribishe na wengine
I’m on line now
Amen.. 🙌🙏 Somo limenipa ufunuo wa jambo ambalo sikulijua hapo mwazo…
MUNGU azidi kukuinua kwa somo zuri mtumishi
Swali; Yohana alitokaje tokaje katika kisiwa hicho, kwa maana warumi walimtupa Kule na kumtelekeza, ndipo baadae Bwana Yesu anampa ule ujumbe wa Makanisa saba… Je alitokaje Kule patmo.??
UBARIKIWE.
Amina. Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
I’m on line
Asante mwalimu kwa maelezo na ufafanuzi wa Neno la Bwana !
Amen, Mtumishi wa Mungu ubarikiwe
Mungu ni mwema sana
Amen… 🙌🙏 Nimebarikiwa na kulielewa sana somo hili.. Mungu azidi kuwafunulia mafundisho mengine zaidi yenye uzima..
Email yangu: amocemakoba@gmail.com
Swali; Yohana alitokaje tokaje katika kisiwa hicho, kwa maana warumi walimtupa Kule na kumtelekeza, ndipo baadae Bwana Yesu anampa ule ujumbe wa Makanisa saba… Je alitoka Kyle patmo.??
Biblia haijaeleza alitokaje tokaje huko..labda hao hao warumi walikuja kumtoa, au kuna watu walipita na mashua pembezoni mwa kisiwa hicho na kumwona na kumtoa..
Lakini kwa njia yotote ile alitoka kule, na kupeleka hizo jumbe kwenye hayo makanisa…
Amina somo nzuri sana
Amen shea na wengine…
Ahsante kwa maana nzuri ya neno kuchelea
Asante kwa masomo, yananijenga sana.
Ameeeeni
Amina mtumishi
Glory to God
AMEN!!
Aminaa, muzidi kuuinuliwa kwa kwelii, Binafsi kupitia wingu la mashahidi mmenitoa sehemu moja hadi nyingine kiroho, Mubarikiwe Sanaa walimu., 🙏
Amen..shea na wengine tafadhali
Amina. MUNGU akubariki sana kwa ujumbe huu mzuri
Amen..shea na wengine
Naomba niwe natumiwa mafundisho Kama aya mtumishi wa Mungu WhatsApp yangu 0714212416
MUNGU AWABARIKI SANA WATUMISHI KWA HUDUMA NZURI MLIYO NAYO
Amen akubariki nawe pia..tafadhali waalike na marafiki zako
Amen akubariki nawe pia..tafadhali shea na wengine ujumbe huu
Mungu akubariki sana mtumishi
Amen akubariki nawe pia..tafadhali shea na wengine..
Amen nawe pia…tafadhali shea na wengine….
Amen na wewe pia…tafadhali shea na wengine
Amen Amen mbarikiwe sn Mungu azidi kuwatumia
Mbarikiwe sana kwa ujumbe mzuri…Mungu azidi kuwatumia kwa viwango vikubwa
Amen nawe pia uzidikubarikiwa..tafadhali shea na wengine
Amen nawe pia.. shea na wengine
Mbarikiwe sana kwa ajili ya huduma hii
Amina .nawe pia ubarikiwe…vile share ujumbe huu na wengine
amen kubwa
Amen, Ubarikiwe
Amen na ubarikiwe
Amen balikiwa sanaaa
Amen..naomba shea na wengine
Ninachojiuliza mnawezaje kupata kafunuo haya kwa wingi namna hii na kwa jinsi ya ajabu hakika yanagusa sana maisha yangu, HAKIKA Roho Mtakatifu anawaongoza kwa namna isiyo ya kawaida.
Amen amen 🙏🙏
Kiukweli nabarikiwa sana naona nazidi kujenga katika kweli ya Mungu siku hadi siku..🙏🙏🙏🤝
A
Amen uzidi kubarikiwa…wakaribishe na marafiki zako..
UBARIKIWE SANA
Nabarikiwa sana na jumbe na mafundisho yananijenga sana
Ubarikiwe Sana mtumishi kwa SoMo zuri
Amen sana 🙏
JESUS CHRIST is the King. May he bless all of us.
Ameni,,
Na Kama nna mahusiano Ila sifanyi mapenzi lakini mabusu tu unanishaurije Mana mapenzi pasipo hayo Mambo sidhani Kama yanawezekana?
Samahani mtumishi nashukuru kwa kunifumbua lakn kwa mtu ambae sjajitegemea na Nina mahusiano Ila sio ya kufanya uasherati hapo unanishaur nn?
Amen Ubarikiwe sana kwa Ujumbe
Ubarikiwe Mtumshi wa Mungu niko tayari kufanya kazi ya Mungu katika kwel yote Marko 9 38
Hakika Bwana nimukuu anawatumieni kwa wakati ulio faa Tumepokea wito wa jina la Bwana na kubarikiwa pamoja na ndugu na majirani Bwana awape nguvu kazi yenu ikazidi kuwa wokovu kwa w alio gizani bado, Ahsante.
Ee Mungu Baba tunakuomba tuepushe na uhayawani , tukutumikie wewe daima.
Mungu atukuzwe sana kwa kazi nzuri ya Injili mnayoifanya. Jina lake libarikiwe sana na azidi kuwafanya kuwa hodari katika kazi yake.
Amina utukufu kwa Bwana
Mungu azidi kuwabariki sana
Glorry to the lord
Amina. Barikiwa kwa ujumbe wa maandiko unaouhubiri kwa neema ya Mungu. Mungu azidi kuimulika na kuipa kibali zaidi huduma ya Injili katika jina la Yesu. 🙏
AMINA. Mungu akubariki na aibariki huduma ya Injili unayoihubiri kwa njia ya internet, na ikawe sababu ya kufunguliwa vifungo vya walio wengi.
Bwana Yesu asifiwe mwali Denis Nina swali Sasa itakuwaje kwa mtu anayetumia cheo chako kukuhukum maan kunajambo lilitokea unakuta mtu unafanya kitu cha haki lakini unakuta mtu ana kuambia we si kiongoz fulani ?
Amen baba….🙏🙏
Mwenyezi Mungu ni mwema naamini huduma yako itafika mbali ni itasaidia wengi🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Tunabarikiwa Sana na mafundisho mungu awabariki Sana….🙏🙏
Sasa tutafanyaje jaman wengine tutakimbiaje maana na kuzaa tumesha zaa watoto wawili bila ndoa ??😒😕😟 Tutakimbiaje?🙆
Amen Mutumishi
Watumishi Mungu awabariki sana kwa somo zuri nimejifunza kitu hapa ni marufuku kurudi nyuma mbele kwa mbeli hadi kieleweke hata watuseme watutukane watutenge watudharau Yesu ni Bwana na mwakozi wa milele
Ubarikiwe sana mpendwa kwa mafundisho mazuri kila siku yananijenga kwenda hatua ingine ya uelewa
Hongera sana
Nimejifunza ktk somohili kuwa, mbinguni hatuendi kwa uzuri wa sura, umaarufu wala utajiri n.k. bali kwa wema
Nimebarikiwa na mafundisho .ubarikiwe.Naomba uniunge whatsap Yako namba yangu 0625698001
naomba niunge kwenye group la whatssap 0628686997
Tayari nimeshakuunga, ubarikiwe na Bwana.
Asantee sana kwa mafundisho haha mbarikiwe🙏
Ahsante Sana barikiwe🙏🙏
Ameeeen Mtumishi Ubarikiwe kwa masomo mazuri ya kiroho.
Amen utukufu kwa Bwana, nawe pia ubarikiwe…wakaribishe na wengine
Amina,,barikiwa kwa somo zuri
Amina,asante kwa somo zuri barikiwa
Asante kwa somo zuri, nimejifunza na kukumbushiwa
Amina amina amina….. Hili fundisho limenipa nguvu tena
Nashukuru kwa kupata ujumbe muhimu wa uponyaji na kusimulia neno hili hapo juma pili mbarikiwe.
Amen, sifa Kwa Bwana. Nimejifunza mengi kupitia somo hili. BWANA awe nawe
Ndoa hapa?
Karibu tena..
Amina Asante tunabarikiwa sana
Amen utukufu kwa Bwana mkuu…wakaribishe na rafiki zako katika hii page
Amina nawe pia..
Shalom jina langu Naomi niko Canada namshukuru MUNGU kwa mafundisho haya yananisaidia sana MUNGU azidi kuwatia nguvu.
Amina dada Naomi..Bwana azidi kukubariki…je upo whatsapp ili niweze kukuunga kwenye group la masomo?..kama ndio basi tutumie ujumbe kupitia namba zilizopo.juu ya website hii au chini kabisa
Asante kwa fundisho la Neema ya Yesu
Amen..utukufu kwa Bwana Yesu
Amen naomba kutumiwa hiyo video
Amen, naomba kutumiwa hili somo kwenye namba yangu ya WhatsApp kama itawezekana, asante sana na mbarikiwe sana watumishi wa Mungu.
Jamani Mungu wa Mbinguni awabariki kwa sababu mnakuwa baraka kwangu na kwa wengi pia..🙏🙏🙌🤝
Amen uzidi kubarikiwa..tafadhali waalike na rafiki zako katika page hii
🙏🙏 amen somo zuri sana.
Amen utukufu kwa Bwana…
Nimebalikiwa amina
Amen..wakaribishe na wengine
Je kufunga kuto kula ni kuto kula chochote kabisa? Hata kama nimefunga Kwa wiki au mwezi
kufunga kunategemea na aina ya mfungo upo wa kula, na upo wa kutokula kabisa, hutegemea, kama hilo somo lilivyoainisha
Kazi yenu njema
Nina swali jingine mtumishi,Je ni kweli Mfalme Sulemani alizaa na Malkia wa Sheba?
Hapana uthibitisho wowote wa maandiko juu ya hilo…
Asante sana watumishi kwa masomo mazuri
Shalom Mtumishi wa Bwana,samahani naomba kuuliza hivi ni sahihi kwa msanii wa nyimbo za injili kumshirikisha msanii wa nyimbo za kidunia katika nyimbo au kushirikishwa na msanii wa nyimbo za kidunia katika nyimbo
Hapana sio sahihi…maandiko yanasema tusifungwe nira na wasioamini..
Asante mtumishi kwa masomo mazuri ya neno la Mungu aliye hai
Asante sana watumishi wa Mungu aliye hai kwa masomo mazuri ya uzima
Amen utukufu kwa Bwana.. wakaribishe na wengine..Bwana akubariki
Amen.. wakaribishe na rafiki zako kwenye page hii tafadhali…
Barikiwa sana Mtu wa Mungu
Amen karibu sana..
Ameni. hakika nimebalikiwa xana na hili somo. Mungu atusaidie maana hayo ndo yanayo endelea
Ufunuo14:17 Hapa ndipo penye subira ya watakatifu hao wazishikao amri za mungu na kuwa na imani ya yesu yaani iman haibatilishi sheria ila inasibitisha sheria kikamilifu(waebrania 4:_imesaria raha ya sabato kwanini 4hiyo hiyo inasema “kwamana ameinena siku fulani hivi mungu alistasehe siku ya 7 akaacha kufanya kazi.umeona mtumishi nielekeze sasa hiyo sabato ya siku ya7 ni ip?
Upo vizuri mtumishi wa MUNGU je vizuru kukuuliza kuhusu maagizo ya mungu (amri10) maana sifaham sijajifunza vizuri kuhusu amri za mungu na 7to iliyopo katikati ya amri10 kwahiyo ukitoa moja zinabaki 9 je unakua uposahihi au umekosea?
Naona kuuliza juu ya vita vya Ha- magedonia,na juu ya Taifa lililoko mawio ya jua
WAFALME WATOKAO MAWIO YA JUA.
ameen
Asante Sanaa mtumishi wa Mungu,nmebarikiwa Sanaa
AMEN, UBARIKIWE SANA MTUMISHI WA MUNGU KWA MAFUNDISHO MAZURI YA MUNGU
Amen🤝🤝🙏🙌
Hakika Bwana Yesu ni mkuu,kutokana na mafundisho haya naona uponyaji wa roho yangu.Amina
Amen ujumbe umenibariki
Amen utukufu kwa Bwana
Amen nimejifunza 🙏🙏🤝
Amen 🙏🙏
Amen, nawe pia ubarikiwe… Tafadhali waalike na wengine
Nashukuru Mungu kwa watu wake mnao post masomo kwa ajiri yetu, Mungu awabariki
Kazi yenu njema sana kwa hakika
Asante sana ndugu zangu watanzania naomba kujua njia ya kumjua Mungu kama mwokozi wa maisha yangu
Ni kwa kuokoka tu!.. je tayari umeshaokoka?
Mungu awabariki kwa kujitoa kwa moto mmoja kpeleka injiri yake.
Amen akubariki nawe pia.. wakaribishe na marafiki zako, katika page hii
AMEN.! Hakika nimejifunza. Tutaijua Kweli na Neno la Kristo ndio Kweli.
Amen..ubarikiwe
Amen, nawe pia ndugu
Hakika imenibariki
Ninabarikiwa na huduma hii…Mungu awabariki.
Barikiwa sana,masomo yenu kwani yamefungua ufahamu wangu kwa kiasi kikubwa.Naamini mafundisho haya yakiwafikia wengi nao pia yatakuwa msaada kwao.Kwa mfano mpaka sasa nimeelewa kuhusu ubatizo na ninatafuta ni wapi nikabatizwe kwa jina la la Yesu naamini Mungu ataniongoza manake ndio shauku yangu.
Amen, Bwana alifanikishe azimio hilo ambalo ni letu sote
Nabarikiwa sana na masomo . Mungu awabariki sana kwa huduma hii njema
Asante ubarikiwe pia ndugu yetu
Shaloom. Baraka za Kristo Bwana wetu zizidi sana kwenu kwa kadri ya uaminifu na kujitoa kuyahubiri mafundisho na njia ya wokovu.
Asante sana ndugu yetu nawe pia iwe hivyo kwako
Shaloom watumishi. Hamjui ni kwa kiasi gani mnayabadilisha na kuyabariki maisha ya kiroho yakwangu na watu wanaonizunguka. Mnafundisha na kuhubili injili ya Kristo kwa kiwangi cha baraka za juu sana.
Ninaamini Bwana atanipa kibali nitakuja kukusanyika pamoja na ninyi siku moja.
Amen utukufu apewe Bwana
nawe pia mpendwa wa Bwana
asante
Amen, kazi hii ni njema MUNGU awabariki sana,
asante sana ndugu yetu.. Ubarikiwe pia
Maran atha.!
Mbarikiwe kwa kazi nzuri
Amen ndugu. Mungu akubariki
AMEEN
Mmebarikiwe kwa kazi nzuri
Am blessed
Nimeelewa kuhusu kitango.
Ameeeen Mtumishi, Mungu zaidi kuwabariki,najifunza mambo mengi ya kiroho .
Nina swali hapa …linapokuja suala la uaskofu hii imeekaaje maana sasa hivi watu hujiita bila kuteuliwa na watu
Nimejifunza! Nimepata kuelewa vzr kuhusu Suria na bibi arusi wa kweli wa KRISTO! Hakika yatupasa kuendelea kuyafua mavazi yeti kwa damu ya mwanakondoo ili mavazi yetu yazid kuwa safi. Barikiwa
Amen mtumishi nabarikiwa sana na mafundishi haya hakika yananijenga na kunipa ufahamu zaidi kutoka hatua moja kwenda nyingine ya kumjua huyu MUNGU wetu kipitia Mwanae pekee YESU KRISTO
Thanks man of God, through your Inspiration words I learned a lot about how God powerful is. Be blessed 🙏
Amen ,Asante sana kwa mafundisho
Asante kwa jumbe nzuri za kutujenga kiimani. Mbarikiwe sana.
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Amen Mubarikiwe
Amen nimebarikiwa na mafundisho
Amen barikiwe mnoo🙏🙏
YESU atukuzwe, Nimebarikiwa sana
Amina Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana
Group hii imekuwa ya baraka sana kwangu
Ameeeen Mtumishi,Mungu azidi kukubariki.
Amen, nawe pia..tafadhali waalike na wengine katika masomo
Mbarikiwe sana wingu LA mashahidi
Amen nawe pia ubarikiwe..Tafadhali waalike na wengine humu.
Mbarikiw
Ameni..Ubarikiwe sana Mtumishi kwa ufunuo huu wa ajabu wa Neno la Mungu. Mungu azidi kukupaka mafuta kwa ajili ya kulifunua Neno lake, hasa zaidi katika nyakati hizi za mwisho mwisho za kuimalizia safari yetu hii ya imani. Ubarikiwe mno mno mno!!
Amen, ubarikiwe saaaaana.somo zuri
Amina utukufu kwa Bwana..
Aise, nimejifunza mambo makubwa hapa, hili ni jibu la swali ambalo limeleta gumzo kidogo. Atukuzwe BWANA kwa hili na mwalimu amuinue zaidi hakikaA
Amen utukufu ni kwa Bwana.. Tafadhali waalike na wengine.
Asante, nimejifunza!! Ila nilitaka kujiunga na kundi lenu la WhatsApp nikaambiwa limeshajaa.
Sawa lipo lingine, unaweza kutuandikia namba zako.. ili tuweze kukuunga huko.
Amen..azidi kukubariki nawe pia ndugu yetu
somo hili limenijibu swali langu , maana nilikuwa najiuliza inakuwaje mtu awaponye watu kwa jina la KRISTO halafu kumbe si wake. Mungu wa mbinguni awatie nguvu na kuwabariki zaidi
Karibu.
Mungu ni mkuu mno. hakuna kilichosemwa katika biblia kisichodhihirishwa. MUNGU awabariki mno na kuzidi.
Amen mtumishi. Ubarikiwe Sana.
Amen..Bwana akubariki nawe pia..
Thanks I have got the meaning of worship,may the Lord bless you
Wanapaswa waokoke..
Ntaka kua mnjili
Ubarikiwe mno mtumish. Kuna wale waliofanya uasherati na wakapata watoto au mtoto, hapa neno la Mungu au guadhabu ya Mungu itawaepuka vipi!? Au warudi wakawaoe watu hao?
Kama anamtoto lakini hajaoa wala kuolewa warudiane haraka na kupata kibar kwa Mungu ila kama walioa na kuolewa kwingine waendelee hukohuko ila wahalalishe kwa kupata kibali kwa Mungu vinginevyo hao bado wanahesabika wazinzi2
Amen..ni wakati wa kuwa macho sana, Bwana Yesu yu karibu.
Amen ni kweli kabisa
Karibu sana..
Amen sana kwa somo zuri naona kupiga hatua katika kumjua Mungu na njia zake za kusema na mimi hasa kwa Neno lake, lakini kuna watumishi wanasema kuwa kuna sauti ya Mungu kama sauti ndani ya mtu na wengine wanasema ndoto, imekaaje hii hasa ndoto??
Amen Bwana azidi kutubariki sote
Asante sana wana wa Mungu mbarikiwe kwa kutufanya kuijua kweli ya Mungu siku hadi siku mimi mda mwingine naona kukutana nanyi kwenye mitandao hii ni muujiza kuliko muujiza tuliyo izoea, Mungu aendelee kuwapa ufunuo wake siku hadi siku.🙌🙌🤝🙏
Amina Bwana azidi kutubariki sote
Amen utukufu kwa Bwana…je tayari umeshaokoka ndugu yetu?
Hakika mimi nitasimama katika mnara nimsikilize Mungu
Wow! Somo zuri sana. Ama kweli Mungu hufanya vitu tofauti kabisa na akili za ki-binadamu. Mawazo yake ni makuu sana na akili zake hazichunguziki. Nashukuru kujua jinsi gani biblia inatafsiri mtu asiye na akili. Asante sana mwandishi. Mungu awabariki Wingu la Mashahidi. Amen.
Ameen, Utukufu ni Wa MUNGU aliye hai, Kila Neno lenye pumzi lafaa katka mafundisho, Tunabarikiwa kwa ujumbe, na MUNGU awabariki
Amen Bwana akubariki nawe pia
Mungu awa barik🙏
Amen akubariki nawe pia..
Mbarikiwe Watumishi wa Bwana
Nikweli teacher mi kuhusu petrol kujitupa bahalini nilijua ni stor tu nashukulu kwa kunifumbua macho na ufaham
Binafsi kila siku nabarikiwa kwa masomo yenu kwenye group na humu kwenye website yenu, hili andiko la kutoka 23:23 nimeliona leo kwa ufunuo mpya, mbarikiwe sana watumishi wa Mungu.🥰😊😊🙏
Amen asante sana kwa maarifa haya ya Neno la Mungu.
Amina umejibu swar langu kabra sijakuuliza ubalikiwe
Amen, wakaribishe na marafiki zako na ndugu zako..
Bwana Yesu azidi kuinua Huduma hii iwafikie wengi zaidi,
Ubarikiwe mtu wa Mungu
Amen, Mungu akubariki sana
Amen amen mtumishi. Ubarikiwe Sana.
Asante nimependa mafundisho yenu Mungu awa bariki sana
Amen Bwana azidi kukubariki.. Vile vile waalike na ndugu zako/marafiki nao pia wapate kushiriki baraka hizi
Mbarikiwe Sana watumishi wa mungu,mungu kanibariki Sana kupitia masomo ya bible
Amen uzidi kubarikiwa..hali kadhalika wakaribishe na ndugu zako/marafiki washiriki baraka…
Amen, je tayari umempokea Bwana Yesu?
Amen Amen barikiwa mtumishi wa Mungu
Amen nawe pia, ubarikiwe.
Kwakweli mina barikiwa sana, maana nimepata mambo mengine ambayo nilikuwa bado sija yajuwa, MUNGU AKUBARIKI SANA
Atukuzwe Bwana na uzidi kubarikiwa.
Natamani ni ufaham mlango wa ufunuo wa maobi.
Je kwa nini watu wanaozaliwa sehemu za baridi ambao wazazi wao ni waafrica bado wanaendelea kuwa na ngozi nyeusi?
Shalom! Biblia imeandikwa kwa mtiririko katika mwanzo 4 tunaona kuna kaini na habeli sura ya 5 Luna seth na wana wengine, sura ya 4;14 kaini anaogopa kwamba watu wengine wakimuona watamuua ni watu gani hao. Maana sura ya 4 inaelezea matukio yote ya kaini na habeli means duniani baada ya habeli kufa walibaki watatu tu!
Amen mtumishi. Kwahiyo Maisha yetu ya hapa duniani yamejawa na majaribio ili tupimwe.Na tupate kumjua MUNGU kwa undani zaidi. Lakini MUNGU anapotujaribu si anakuwa anajua matokeo ya jaribu hilo kwasababu yeye anajua mwanzo na mwisho? Na ule moto wa mbinguni unaosemekana umechochewa mara 7 je ni kweli?
Amina mtumishi wa MUNGU,,, hakika tunawajibika kutia bidii kutafuta habari za kweli kumuhusu BWANA wetu YESU KRISTO bila kujali kuna wimbi kubwa kiasi gani linalotoa mafundisho hayo… THEOFILO si kwamba hakuwahi kusikia kuhusu YESU na MITUME aliwahi lkini akatafuta mtu mmoja anayejua ukweli ili amuandikie kwa utaratibu mzuri kila alichotaka kujua kuhusu BWANA YESU NA MITUME… Haijarishi ni Mara ngapi umesikia habari kuhusu BWANA YESU KRISTO,, Unchopaswa kufanya ni kazana kumtafuta LUKA wako wa leo ili akuandikie kwa usahihi kile ambacho MUNGU amemfunulia ili kiwafae mamilion ya watu hasa kwa huduma hii ya INJILI MTANDAONI… MUNGU awabariki sana team hii ya Wingu la mashahidi, daima mmekuwa waalimu kwangu Kama LUKA mbele ya THEOFILO MTUKUFU…. barikiwa sana mtumishi wa MUNGU.
Asante kwa ufafanuzi huu, maana wengi hudhani ‘tonge’ ni sehemu ya mkate walioshiriki wote 12.
Bwana awabariki.
Amina nimebarikiwa na ujumbe
Amen utukufu kwa Bwana…wakaribishe na wengine ndugu yetu
Asante kwa ufafanuzi mzuri wa vazi la naivera na matumizi yake kikuhani. Ni kweli, kwa sasa wote tuliookoka ni makuhani mbele za Mungu na vazi letu ni Yesu Kristo mwenyewe. Jina lake na dami yake vyatosha kutusogezesha mbele ya BWANA. Mbarikiwe sana kwa masomo mazuri.
Amina dada Cathy..nawe pia Bwana azidi kukubariki
Ubarikiwe sana, sasa nimeelewa maana ya naivera. Asante sana kwa ufafanuzi mzuri
Amen.Ubarikiwe na Bwana
Abarikiwe Kwa mafundisho
Amina amina mtu wa MUNGU….. Na barikiwa sana na mafundisho yanayopatikana mahar hapa na kila siku nimekuwa napata kumsikia MUNGU akisema na mimi kupitia masomo haya ya mahali hapa,,,, Tangu nilipoanza kufatilia mpaka Leo nimekuwa na hatua nzuri sana kiroho na shauku ya kumtumikia MUNGU kwangu imeongezeka Mara dufu… Ninamshukuru MUNGU kwaajili ya mbeba maono wa page hii maana imekuwa baraka sana kwangu na kwa wale ninaopata neema ya kuwafikia na kuwafundisha kweli ya MUNGU ambayo nimeijua kwa kupata mda wa kusoma mafundisho katika page hii.. MUNGU awabariki sana team nzima ya wingu la mashahidi. Amina
Shalom wapenda bwana wetu YESU KRISTO apewe sifa, somo kuu tunaonyeshwa ni jinsi gani babeli ya kwanza ilivyo leta machukizo Lakini sasa yatupasa kuwa makini kwani babeli imeamia kwenye moyo…
Amen, karibu sana.. unaweza kuwakaribisha na wengine kwa kushare link hii sehemu mbali mbali. >> http://www.wingulamashahidi.org
Napenda Sana kujifunza kumjua Mungu, kupitia ninyi napata mwongozo wa hitaji langu. Barikiweni sanaa. Msichoke, bidii yenu ya kufundisha inafanya kitu mioyoni mwa wasomaji Mimi nikiwa miongoni mwao.
Nimebarikiwa na mafundisho haya
Amen utukufu kwa Bwana, wakaribishe na wengine!, kwa kushare nao link ya masomo.
http://www.wingulamashahidi.org
Mbarikiwe sana, umetukumbusha jambo la msingi sana ya kwamba tusijisahau na tusizingatie mambo ya ulimwengu huu bali tumtazame BWANA siku zote ili sote tukutane Paradiso/Peponi🙏
Amen, hakika!
Ahasante Roho mtakatifu kwa somo hili nimeweza kupata mwanga fulani.. sifa na utukufu wake Mungu wa mbinguni na Kristo YESU mwokozi wangu.
Karibu…
Mungu ni mwema na kazi yake ni njema.
Amen..utukufu kwake Bwana..
Mungu ni mwema.Kazi take ni njema sana
Somo zuri mbalikiw sana
Nashukuru kwa kupewa mwanga wa maandiko ya MUNGU
Amina ubarikiwe mtumishi je unavitabu vya uchambuz wa kitabu cha UFUNUO na DANIEL
Ndio fungua hapa Daniel
Na hapa > Ufunuo
Amen. Hakika saa inakuja.
Amani ya Bwana iwe nanyi
Amen iwe nawe pia…
Ameen…Bwana Yesu ni mwema ni mwema ombi Langu ni kwamba Roho wa Mungu ajifunue kwa viwango vya juu tumfahamu kumjua na kuenenda jinsi Neno La Mungu linavyosema….Barikiweni enyi mnaoandaa masomo haya si bure kitambo kidogo dhawabu i kwa ajili Yenu… shalom
Hakika MUNGU wetu ni mkuu na mwenye haibna fadhili za milele hapa dunia na uko juu mbinguni hakika tukishinkwa kumtumainia yeye tutapata ukombozi daima.. Mbarikiwe sana kanisa zimala umjumla la WINGU LA MASHAHIDI
Amen, barikiwa na Kristo
NEEMA ya MWENYEZIMUNGU awe juu yako tumishi wa mungu Alie fafanua kizazi ya yangu mwaka wa 1948 mpaka Sasa .hapa Sasa nimepata uwelewa saidi kuhusiana na kizazi hiki ,japo kuwa neno hili la kizazi hiki hakitakwiswa kabla bwana haja timiza haya niliisha amini kwa kuwa naami kila kilicho andikwa kwenye bibilia takatifu kitatimia neno nilisoma pia katika kitabu cha mrk13:28 mungu akubariki mtumishi wa mungu na akutumie katika ufafanuzi huu tene zaidi na zaidi DANIEL LOSERIAN LAIZER kutoka TANZANIA Loliondo ngorongoro
Namfulahia Kristo Yesu kwa kuachilia nema hii ya mafundisho kwa kweli najifunza mengi kutoka katika Wingu la Mashahidi.Amen!
ningependa kuwa na miujiza ya kugeuza nina cho taka
Liishi Neno la Mungu, hayo yote utayafikia kwa imani
Asante nimebarikiwa kwa somo zuri, MUNGU Awabariki sana
Ameen, Mungu azidi kukuinua kwa kazi ya Ufalme
Yesu Kristo aliye hai atukuzwe hakika kazi ambayo Mungu ameweka ndani yenu ni njema tunahitaji sanaa maarifa ya Neno la Mungu kupitia mafundisho mbalimbali kupitia masomo mbalimbali kwa lengo la kukua kiroho mbarikiwe sana. Lakin pia tunapata nafasi kumjua Mungu kwa viwanvo vya kuweza kuueleza ukuu na utendaji kazi wa Mungu. Asanthe mbarikiwe sana ,,,,
Amen asante…Na atukuzwe Kristo Yesu Bwana wetu
Mungu akubariki kaka. Kupitia machapisho yako wengi wamepata na moyo na imani ya uponyaji imerudi.
Amen ubarikiwe pia ndugu yangu
Andiko zuri sana ubarikiwe
Lawrence maana yake nini?
Mungu nakuomba hutunusuku, kwa humalaya, kwamagonjwa, kamavile ukimwi .korona .hatamengine,yesu kristo nakuomba mimi kiumbe chako nimepanda viazi huweze kunisaidia niweze kuvunamazao mengi yesu kristo amina
Amen barikiwe sana🙏🙏
Mbarikiwe kwa jumbe nzuri za kuinua IMANI NA UFAHAMU KWA WATU WAKE YESU KRISTO.Binafsi nimependa sana.amen
Amen, utukufu kwa Bwana, ubarikiwe nawe pia
Sasa nimewalewa name nimependa kwa kweli kuna masomo mazuri sana humu ndani watumishi mbalikiwe sana nilikuwa namenogewa hapa na somo La Ubatizo aaaaah ni Sega la asali kabisa
Amen utukufu apewe Bwana ..tuna mafundisho ya kila siku whatsapp kama utapenda yawe yanakufikia basi tutumie ujumbe kwa namba hii
+255789001312
Amina mtumishi naomba kuuliza eti mfungo unaanza saanga mpk mda gani wa kufungua
Alafu kuna mwandelile amanifundisha hisabat alikuwa ana nikong’oa kichwa kama sielewi, ila huyu mtumishi ameeleza, rudia maandishi utaelewa mtumishi, barikiwa amem
Maana ya meshack,shadrack,na Abednego
Naomba mniunge kwenye group la wingu la mashahidi wassap tafadhali
Tuandikie namba zako unazotumia whatsapp
Somo hili ni jema sana umebarikiwa
Naomba kujiunga katika vikundi yenu ya masomo.
Tuandikie namba zako za whatsapp
0764481252
Umenifungua macho yangu asante sana mungu akubaliki
Mungu awabariki na azidi kuwatia nguvu katika kuieneza injili yake
Amen tunashukuru nawe pia ubarikiwe
Nimefurahai sana kwasababu roho yangu imepata chakula cha kweli (mafundisho ya ukweli),nivile sina cha kuwapa watumishi wa mungu lakini nina womba mungu awabariki sana.
Amen asante ndugu yetu..Utukufu umrudie Bwana
[…] Sikukuu hizi zote zilimfunua Kristo Yesu, Tangu siku ile anaumega mkate na divai, kama ishara ya mwili wake na damu yake, na kama pasaka mwenyewe anayekwenda kuchinjwa kwa ajili ya dhambi za ulimwengu wote. Vilevile, siku ya kwanza ya Juma ndiyo aliyofufuka. Kwa maelezo marefu kuhusiana na sikukuu hizi za kiyahudi Fungua hapa>>> https://wingulamashahidi.org/2019/06/30/sikukuu-7-za-kiyahudi-zinafunua-nini-kwetu/ […]
NAOMBA KUJIUNGA NA KIKUNDI HIKI
Karibu unaweza kuwasiliana nasi kwa namba hizo hapo juu
Naomba kujiunga nashilikalenu
Shalom..Hili sio shirika lakini kama ukitaka kupata masomo kwa njia ya whatsapp unaweza kutuandikia namba zako hapa..
0752737336
Tumekuunga tayari kwenye group la whatsapp la masomo ya kila siku..
Naomba mniunge kwenye group la familia ya MUNGU Namba yangu ya WhatsApp ni 0768789941
Barikiwa kwa ujumbe wenye tafsiri inayoeleweka
Am blessed and fill we need Holy Spirit more than ever. We can not do things by our own unless guided by Holy Spirit. God bless all who welcomes him.
Mwanamke amepewa zile nywele ndefu ili ziwe badala ya MAVAZI,iweje tena tuzungumzie vitambaa kama kifuniko?
Huo ulikuwa ni mbadala wa kitambaa,Sasa wanawake wa Africa nywele Walizonazo kama mbadala vni zipi????kama hawataanza kukosoa uumbaji wa Mungu Kwa kuzigeuza ziwe kama za wazungu au mara wazisuke wakati imekatazwa.
Hapana maandiko hayajasema wazifanye ziwe kama za wazungu.. bali waziache ziwe ndefu kwa kiwango cha kutosha…
Kwakwel inabidi wanawake tuishi kama biblia inavyo tutaka tuishi ili hakika tuurithi ufalme wa Mungu
This is really a wonderful message ever. There has been an overwhelming mushrooming of the self-proclaiming prophets and prophetesses who claim to have been shown signs and all about people’s lives. I call them false messengers because their messages contradict the immutable God’s precepts. these are really messengers of devil behind the mask of Christianity. I like the message and I encourage you to keep disseminating to other people to be saved. God bless you
Amen nawe pia ubarikiwe ndugu
Hongereni sana Mungu anawatumia kufungua wengi
Amen utukufu umrudie Bwana
A wonderful preachings
Utukufu umrudie Bwana
nimefurah sana sababu nimepata neno zur laMungu wetu najina lake litukuzweee milele mbarikiwe!! BY H,DUDE S
Amen..utukufu umrudie Bwana
Bwana Yesu asifiwe sana wapendwa nabarikiwa kwa mafundisho yenu mazuri na ya kujenga Mungu awape hekima zaidi ya kwedelea na huduma hii
Amina utukufu apewe Bwana…
MUNGU awabariki Sana
HAKIKA TUPO MWISHONI MWA NYAKATI ZA MWISHO WATUMISHI KAZI HII NI NJEMA, MUNGU AZIDI KUWATUMIA NA KUWATIA NGUVU
NIMEBARIKIWA SANA
NAOMBENI MNITUMIE MASOMO HAYO KWENYE EMAIL ILI NIENDELEE KUPOKEA MAARIFA ZAIDI
Sawa ndugu.,tumeshakutumia email ya kuthibitisha kupokea masomo iangalie kisha ikubali
Yeremia 45 yote, ni maneno ya Faraja kwa Baruku kutoka kwa Bwana..labda tungependa kujua mstari gani, uliokuwa unahitaji ufafanuzi..
Nimebarikiwa Sana nanyi. Mungu azidi kuwafunulia. Kanisa lipo katika vita kuu na shetani. Watumishi wa uongo katika kulipotosha kanisa kwa kuruhusu vitu vidogo vidogo vitendeke wamejaa.
Bwana Yes asifiwe,Asante kwa mafundisho yenu ya biblia kwa kweli ni mazuri na yanatujenga kuijua biblia vizuri. Naomba ufafanuI yeremia sura ya 45 ina maanisha Nini? Asante.
Mbarikiwe Kwa kazi njema ya Injili
Amen na wewe pia
May God bless you
Amen, nawe pia ubarikiwe
Amen jina bwana litukuzwe
Asante sana.
Mkate unapobaki baada ya ibada, unaweza kulika kama chakula cha kawaida tu!.. divai inapobaki inapaswa ihifadhiwe kwaajili ya matumizi ya baadaye tena..
Nimependa sana hiyo moment
Amen je! Tayari umeokoka ndugu yetu?
Nimefrahiya sana kwa haya mafundisho. MUNGU awabariki mwenderee na kazi yake
Hivi mnapokula meza ya Bwana halafu baada ya hapo ile divai na mkate vikabaki, wale wasimamizi wanaruhusiwa kwenda kuvila tena huko pembeni?
Bryson
Naomba uniunge kwenye niwe natumiwa masomo mbalimbali
Tuandikie namba zako za whatsapp ndugu yetu.
0728759874
Tuandikie ujumbe kupita namba hizi +255789001312
Habari zenu
Jamani nimeota nakimbizwa na mtu ninae mfahamu hii imekaaje juu ya huyo
[…] Hivyo kama iliwekezana kwangu itawezekana na kwako pia.. Ikiwa upo tayari kuacha kabisa kabisa dhambi hiyo, basi bofya hapa, upokee mwongozo utakaokusaidia kuacha uzinzi na punyeto moja kwa moja.>>> MOTO HUFA KWA KUKOSA KUNI […]
Je,mimi nilikua mkatholiki lakini vile lianza kujuwa kweli siendangi huko ilihali napambana kujuwa kweli tu kwa kusoma maandiko, Sasa swali langu naezabatizwa mara ya pili?
Ndio huna budi kubatizwa tena katika ubatizo sahihi wa maji mengi na kwa jina la Yesu Kristo (Matendo 2:38), Kwasababu ubatizo wa utotoni uliobatiziwa na wa kunyunyiziwa si wa kimaandiko…kama utataka kubatizwa basi utawasilana na sisi kwa namba zilizopo mwisho wa somo.
Jamani yani nimebarikiwa sana mungu awabariki watumishi wa mungu
Amen utukufu kwa Bwana Yesu.
Niunge
Tuandikie namba zako za whatsapp ndugu.
Sasa mbona kwenye WhatsApp hamruhusu mtu kutuma wala kuchangia mada zaidi yenu maadmini tu? Naomba majibu WhatsApp
Asanteni Sana watumishi wa Mungu mloshirikiana katika kuandaa somo hili zuri la kutuelimisha nami nimeelimika pia juu ya somo hili.
Amen, utukufu kwa Bwana..
Leave your messageNahitaji kujiunga
Tutumie namba zako za whatsapp?
Ninaomba niwe ninatumiwa masomo Kwa barua pepe.
Unaweza kutuandikia namba zako za whatsapp
Asante sana nashukiru Mungu pia kwaajili yako na huduma yako.
Hellow mtumishi ninaomba niwe sehemu yenu 0715331728 WhatsApp naitwa mtumishi lucas
Mini maana ya upon
Naomba hayo masomo yazidikunijenga ktk wokovu, mbarikiwe, namba ya ngu ya whasapu 0710804156
Tayari ndugu.
Naomba mnitumie masomo yenu nimeyapenda sana. Namba yangu ni 0756 696 209
Vwaba Yesu Asufuwe! Naomba masomo zaidi
Kama unayahitaji kwa njia ya whatsapp, tuandikie namba zako za whatsapp, au kama kwa njia ya email basi tuandikie email yako.
Nahitaji
Karibu tuandikie namba yako ya whatsapp ndugu…
0768881694
0787169933 Whatsapp
Naona kama post ipo sensational sana na mengi uliyoandika ni mawazo yako na tafsiri zako mwenyewe badala ya hasa kinachoelezwa na biblia.
unataka kunambia Mwandishi wa Mwanzo alishindwa kusema Mungu alimuweka Shetani Eden na kwamba Adam na hawa wasimsikilize? Kwamba mwandishi alishindwa kusema Mungu aliwakataza Adam na hawa kujuana??
Mwaweza pia kunitumia masomo Hays kwenye email yangu tajwa hapo juu.
Tayari ndugu…unaweza kuingia katika email yako, ili kuthibitisha maombi..ili masomo ya kila siku yaanze kukufikia..
Naomba niungwe kwenye group la wasap 0621752820
Kwakweli MUNGU awabariki Sana mzidi kueneza injili yake BWANA ,, binafsi nafurahia mno!!!!
Amen, utukufu kwa Bwana, je tayari umeokoka ndugu yetu?
Amina,Bwana azidi kuwatumia vilivo
Amen,je umempokea Yesu?
Amen Mtumishi, Mungu awabariki sana kwa mafundisho mazuri na yenye ujazo wa Roho Mtakatifu
Amen utukufu kwa Bwana,je umempokea Yesu?
Amen, ndio mimi nishampokea
Mpendwa mtumishi wa Mungu, somo lako limekaa vizuri sana, ubarikiwe sana kwa kuelimisha wengine, mwenye kufahamu na afahamu, tatizo la watu wengi kutokuelewa ni mapokeo, asante
Ndugu, Habari Huu Ujumbe Wako Hauna Ukweli Wowote Maana Kama Mapepo Yalikuwaga Tangu kitambo mbona???? Hii Ufunuo Tisa inahusisha Kuibuka au Kuzuka kwa Uislam, Kwa Melezo Zaidi nitafute au Soma Kitabu Kiitwacho. Ufunuo wa Mambo Yajayo.
Send also to me this doctrine
Wazi kabiza nilipotea mimi
Bwana akushikilie.
Kama una whatsapp tutumie namba zako tuwasiliane kwa njia hiyo na kukuongoza sala ya toba
Ameen be blessed mtumishi nimejifunza kitu kuhusu kufunga
Amen, je umeokoka?
Jameni naitaji kuokoka sijui nitanzaje na kanisa ya ukweli ntajuaje, mafundisho yenu yamenifungua macho nivile siwesi kuwafikia ju niko apa Uganda mutanisaidiaje?.
Amen nawe pia Bwana azidi kukubariki.
Endeleeni kupotoshwa…tatizo la wengi hawaijui kisawa sawa kanisa katoliki.. (the essence of catholic church ndio maana mnatapa tapa tu…mnalibeza bure kanisa la watu. Kwasababu auna idea nalo na kama unayo basi ni kidogo.
Kuupinga ukweli ni kulipinga neno la mungu alichoeleza mwandishi ni maelezo ya biblia hatuwezi kuyapinga Mimi ni mkatoliki ila ukweli usemwe TU na ipo siku nitaamua kuokoka tu
Amina Ndugu Paul, Bwana akusaidie uokoke na uwe mfano wa Mtume Paulo, nakuombea…
Nimejifunza namshukulu Mungu kwa kunisaidia kuelewa nawaombwea Sana Mungu wa mbinguni akubariki sana akuzidishie marifa zaidi
Maana ya elis na elivis
Ni nani aliyemuza ndugu yake Joseph.
Nn maana ya jina ivan
Vizuri sana mtumishi
Amen utukufu kwa Bwana, je umempokea Yesu?
Awali ya yote Katika biblia hakuna cheo cha upadri. Na ikitokwa kama mtu anataka kuwa Askofu, hakujawekwa sharti kwamba ni lazima asioe, Anaweza kuoa..Na kama ataamua kutooa baada ya kuanza kazi hiyo, basi mambo yake ya nyuma aliyoyafanya ikiwemo uzinzi hayahesabiki kwassababu alishatubu
Shalom..samahani bado sijakuelewa
nimefurahishwa na tovuti yenu sana na Mungu awabariki
Amen utukufu kwa Bwana,je umeokoka ndugu yetu
Habari, je kijana ameamua kuto kuoa kwa ajili ya kristo lakini amesha onja kwa maana amezini , halafu ndio kaamua kuwa padri, je inaruhusiwa?
Nahitaji kujifunza zaidi msaada wako juu ya uwepo wa mungu kwangu na kwako utanisaidio
Nimebarikiwa sana na Mafundisho haya kakika nimepata tumaini jipya ndani ya kristo na kuibua kiu ndani yangu ya kutaka kumtumikia zaidi na zaidi
Napata kujifunza vitu vizuri sana. Mungu akubariki mtumishi wa Bwana.
Ndiyo, tayari nimempokea Yesu
Shalom, fafanuzi nzuri Mbarikiwe waalimu wetu jamani.
Asante kwa ujumbe kwa maafunuo
Amen Bwana azidi kukubariki.
Neno la pepo limitimia kwa kusema mwana wa mungu kamwaga damu!!!. Mshindwi na mlegee mkewake mungu maria wapotovu
Shalom mtumishi nashukuru kufafanua hiyo mithali 14 but reality hiyo sio maana yake , maana ya huo mstari ni kuhusu karama ndani ya kanisa kuwa karama zikiwepo ndani ya kanisa mara nyingi huleta kama mkanyagano fulani hivi like watumishi wengi kuzikataa hizo karama ila je tuziache ? Je hazina faida bali kishindo cha ng’ombe huleta faida kubwa tukaona la hatuwezi zikataa karama bali tuzifundishe na kuelimisha n.k
Agizo la Yesu Kristo kwenye Mathayo 28: 18-20 inasemaje kuhusu kubatiza? “Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani. Basi, nendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari”. kwa ufupi ni kwamba Mungu Baba, Mwana (Yesu Kristo) pamoja na Roho Mtakatifu wote ni wamoja yaani hunia mamoja, hupatana kwa shauri moja. Hivyo Kubatizwa kwa Jina La Yesu Kristo ni sawa na Kubatizwa kwa majina yote matatu. ubarikiwe sana
Amen asante kwa kumsahihisha kidogo
Wapo madhehebu wanaobatizwa kwa maji mengi kwa nilivyoelewa andiko ni kwamba kabla Yesu kuja duniani ,watu walibatizwa kwa maji mengi lakini baada ya Yesu kuja akaagiza watu wabatizwe kwa jina la baba na la mwana na la Roho Mtakatifu kwa sababu Yesu tayari alikua ameshapewa mamlaka yote baada ya kifo na kufufuka kwake
Ubatizo sahihi tangu awali ni ule wa maji mengi (Yohana 3:23)
Naomba kujua kuwa nyoka ni shetani au?
Hapana nyoka ni nyoka na shetani ni shetani….ibilisi aliitwa nyoka kutokana na kuwa nyoka ndiye aliyekuwa chombo cha kwanza kutumiwa na shetani kuleta uharibifu duniani
Je,waisilam wataenda mbinguni kweli kama wanavosema.Na kama hawataenda,kwa nini wanamwabudu MUNGU na kumwamini.
Mtu atafika mbinguni sio kwasababu amezaliwa katika familia ya kikristo hapana…atakwenda mbinguni kwasababu amemkiri na kumwamini Yesu Kristo..
ubarikiwe Doctor.
Usiandike kitu usichokijua. Fanya utafiti na usome Biblia kwa kina ndipo uwe na mashiko katika hoja zako. Ulivyoelezea Kipaimara na Ubatizo wa Watoto inaonesha hujafanya utafiti wala kusoma vya kutosha.
Ninaomba mtazamo wako wewe pia katika ubatizo. Je Ubatizo ni nini? na Ubatizo unamaana gani Kiroho? Ni Umri gani sahihi kupokea ubatizo?.
Unaweza kufungua hapa utapata majibu ubatizo sahihi ni upi?
Ukiingia katika maombi ya kufungu ni vyema kufanya kazi za nyumbani?
Kaka tafadhali nieleze njia zinazotakika kama mkristo kuzifwata, nimejaribu kumujuwa Yesu lakini najikuta tu kwenye makosa
kenya
Mwenyezi Mungu akujazie baraka na maarifa ndungu, asante kwa neno la Mungu,,,, ubarikiwe
Amen..je umempokea Yesu tayari ndugu yangu?
Ningependa unitumie kwa fb
Nimependa haya mafundisho Niliyahitaji pia kutumiwa na mengineyo nami nipate kushare na wenzangu
WhatsApp number 0659-990-833
Nimependa hayo mafundishi , niliyahitaji nitumiwe
Tuandikie namba zako, au tutumie ujumbe kwa njia ya whatsapp kupitia namba zetu tajwa hapo juu
Naomba kupata mafundisho yenu namba ya watsap ni 0755861256
Tayari ndugu. Na karibu sana.
amina mtumishi wa BWANA
Leave your message Amina! Mungu azidi kukupa ufunuo zaidi! Good92&peace and joy.
Amen utukufu kwa Bwana, je tayari umempokea Yesu?
Nabarikiwa na masomo yako
Utukufu kwa Bwana, Je umempokea Yesu tayari?
Asante sana mtumishi.
Asante kwakutu juza haya. Ubarikiwe.
Nimebarikiwa sana na nimeshukuru kwa ujumbe huu. Mola akujalie na akuzidishie neema zake uwe wake na akuongezee imani yako. Mwamini akuongoze. Umekuja kwa mponyaji.{Yesu Kristo}
AHSANTE KWA UJUMBE MZURII NAOMBA KUUNGWA KWENYE GROUP 0753331634
Tayari nimeshakuunga..Bwana akubariki
Naomba kuniunga ktk familia ya mungu
Namba ya WhatsApp ni 0768789941
Naomba zaidi kujuwa kuhusu kitabu cha 1 Wakorintho 15:15 na mambo ya jehanamu na peponi.
Anzia mstari wa 14 utapata majibu..
Mungu wa Israel akuonekanie mwalimu wetu
Amen, utukufu kwa Mwalimu Mkuu Yesu Kristo
Mtumishi bwana Yesu asifiwe , waebrania Kuna andiko lisemalo baada ya kifo ni hukumu, kwa Nini wakristo hua tunafanya Misa ya mazishi ilimradi twajua mtu aliekufa tayari Kesha hukumiwa
Ni kinyume na maandiko kufanya ibada za wafu..
MUNGU WA MBINGUN AWABARIKI
NATAKA KUJIUNGA
Napenda sana mafundisho yako 0763518736 Kamanakilagalila36@gmail.com
Sawa ubarikiwe
God bless you for, i am great to understand the difference between vision and dream.
Mungu ninani?
Bwana Yesu asifiwe watumishi Nashukuru Kwamasomo manzuri Mungu awabariki Naomba Niunganishwe kwenye Mitandao ya kijamii kama Wathsap ili nisher na wengine.
Amen…Tuandikie namba zako za whatsapp
Nimefurahi sana kupata mafundisho haya, nitazidi kujifunza nawe, Mungu ahimidiwe sana
UBARIKIWE SANA, NAMTUKUZA MUNGU NA KUMSHUKURU KWAAJIRI YAKO!!
Very rewarding teachings.
Utukufu kwa Bwana
Amina mtumishi, BWANA azidi kukutumia kama chombo chake!
Amen Bwana akutumie nawe pia
Admin niunge Whatsapp mafundisho nimeyapenda
Namba ni +255784552974
Amen tumeshakuunga tayari..Bwana azidi kukubariki sana..
Amen..Bwana akubariki nawe pia🙏
I really appreciate you in helping these successful questions is such of evengalism you are doing may God bless you alot
SAWA
Ibraim alikuwa na watoto nane
God bless u!
Kwa Kweli mie Nahitaji kujifunza litany hiki Kwa nguvu na kwa moto mpk nikielewe vizuri sana mamba yako plz
Karibu..unaweza kutuandikia namba zako za whatsapp, tuweze kukuunga kwenye group la masomo.
0752919403
God bless you for the message
Amen..akubariki nawe pia..
Nataka kujuwa bibiliya kubatizwa maratatu
Naomba urudie kuandika swali..
Tubaki na imani ya bwana 2napoendelea kijitayarisha kumpoke yesu…jina la bwana libarikiwe!
Ujumbe mzuri sana
Ujumbe ni mzuri, hakika ubarikiwe na BWANA
Amen utukufu kwa Bwana.. nawe pia ubarikiwe!
Nabarikiwa sana na Mafundisho, Mungu AWABARIKI
Amen.utukufu kwa Bwana
Barikiwa sana mtumishi! kumbe miujiza BWANA aliyoifanya kwangu ni kunifanya nitambue kuwa MUNGU NI KWELI?
Ndiyo hiyo ni sahihi kabisa!
Mungu akubariki sana kwa masomo haya
Swali langu ni katika kubatizwa ni lazima mtu abatizwe kwenye maji yanayotembea kama mto.bahari, maziwa au ni eneo la maji mengi??
Ni eneo lolote lenye maji mengi, haijalishi yanatembea au yamesimama…kinachojalisha ni MAJI MENGI!
Ubarikiwe!
Hapa mumetumikisha akili za kibinadamu ila roho mutakatifu ndiye anaye funza ubatizo wa kweli. Na ubatizo wa kweli ni kuamini Yesu kristo na babaye aliye mutuma na ule roho musaidizi.
goodthings about God for his people
ni kweli iyi
Pembe ndogo ina maana gani ktk unabii
pembe ndogo inamwakilisha mpinga kristo
Habari watumishi wa mungu nimebarikiwa na huduma yenu, Nami natamani ,Niwe na pata neno la mungu kwa njia ya email au WhatsApp number +255 748 190 745
Tayari nimekuunga kwenye group la mafundisho, Bwana akubariki.
Mungu atuwezeshe
NIUNGE WHATSAPP 0756838503
tayari ndugu umeshaungwa
Naomba kuhungana Whatsapp
Tupatie namba yako
Nimebarikiwa sana namafundisho mazuri kwakweli yananisaidia kunifungua macho ya rohoni nakuniimarisha katika kumjua Yesu kristo kwa upana zaidi ,Mungu awabariki sana naawazidishie maarifa zaid
Nahomba Msahada, Napendaka Neno La Mungu Lakini Ningaliki Mwenye Dhambi.
Amua leo kumpokea Yesu, fungua hapa kwa mwongozo zaidi >> SALA YA TOBA
yes
Barikiwa mtumishi! Kwa somo zuri BWANA azidi kukupatia ufunuo ili mwili wa KRISTO ujengwe! Maran atha!
Mahubiri mazuri sana
Amen..utukufu kwa Bwana
Hakika Mungu wetu akubariki sana maana ndugu kwa ujumbe wa wakati huu
Amen! Amen
Jamani nimebarkiwa sana na zomo zuri ila kuna kitu kinanichanganya hapa naomba msaada hivi hili andiko (mathayo 24:29-30)linazungumzia wakati wa unyakuo au linazungumzia baada ya siku ya Bwana, sielewi hapo mnisaidie
Tukio hilo litatokea wakati Bwana Yesu anarudi pamoja na wale watakatifu aliowanyakua wakati wa parapanda.
Amina mtumishi!
Naomba mnitumie baadhi ya masomo namba za WhatsApp no 0745197445
Ashukuliwe Mungu kukufahamisha nayo,yamefanyika msaada kwangu.Mungu akutumie zaodi
Amen, utukufu kwa Bwana!..
Uzidi kubarikiwa
ikiwa utapenda kufahamu kuwa urefu juu ya huduma ya Eliya jinsi inavyotenda kazi katika agano jipya, nitumie ujumbe inbox nikutumie somo lake kwa urefu kwasababu hapa hatuwezi kuliandika lote.
NINAOMBA SOMO HILI…
Kwa maelezo marefu juu ya nyakati saba za Kanisa,pia tutumie ujumbe inbox tukutumie somo lake..
Pleasesend.me this…
Fungua hii link ndugu..
https://wingulamashahidi.org/2018/07/19/nyakati-saba-za-kanisa-na-wajumbe-wake/
Amina mtumishi wa BWANA{YESU} Nimejifunza kitu kikubwa hapo, ndio maana wakati mwingine naweza kujipanga wiki hii nifanye hvi na hvyo, lakini inapita bila mafanikio yeyote!
>>> Jina la MUNGU wetu {YESU} lihimidiwe&kusifiwa milele yote, NA UZIDI KUPOKEA UFUNUO WA ROHO MTAKATIFU SIKUZOTE. Maran atha!
Someni bibilia na kufwata sheria zake.
We trust in GOD
Nimependa mafundisho yenu naomba mnilushiage whasap
Nimeya penda mafundisho yenu naomba muwe mnanilushia whasap
Tuandikie namba zako ndugu
Barikiwa sana mtumishi wa BWANA! Nimetambua kumbe unaweza kusema , nimeokoka; kumbe bado hujayapata MAJI YA UZIMA {ROHO}
Ndio ni sahihi kabisa
Ndio
Amen ndugu ubarikiwe kwa kumuishia Yesu.
Pia hatua uliyobakisha kwako ni kubatizwa..
Ubatizo sahihi ni wa muhimu sana kwa kila mkristo.
Kama utapenda kubatizwa ubatizo sahihi unaweza kuwasiliana nasi…tuweze kukisaidia ndugu yetu
Mafundisho mazuri sana.Mwenyezi Mungu awabariki
Amen nawe pia ndugu yetu🙏
Nimependa sana masomo yenu. Nami nimetubu na kuishi maisha ya kumpendeza MUNGU kwa kadri ya baraka zake na uwepo wake katika maisha yangu naiona sana. Jambo ambalo umelieleza la kubatizwa kwa maji mengi sijafanya, nimebatizwa toka utoto na naamini moyoni mwangu kuwa nimebatizwa. Je nikosa?
amen mafundisho aya yamenisaidia
Bwana akuinue zaidi..
Uli ni neno la kweli n’a mina sumbuwa sana kanisa la Mungu Saidi uko kwenu est Africa.ni muinjilisti Paulo kizilapaul@gmail.com Ku toka mashari ya DRcongo.
Amen ubarikiwe ndugu na wote huko DRC
Ameni amen
Barikiwa mtumwa wa kristo!
Amina mtumishi! Nuru ya BWANA na izidi kutumlikia; ili tusiwe vipofu tena!
Je,nini maana ya kufunga? kibiblia
Nini maana ya “kwakuwa ilipo hazina yako na moyo wako ndipo ulipo”? Kama tunavyosoma katika biblia?
Maana yake ni kuwa pale fedha yako ilipo ndipo na moyo wako utakapokuwepo
Naomba nitafsirie ndo hii kuota unakunywa pombe
Amina mtumishi kama 2nafanya uasherati, uongo, masturbation practice, kutaza x(porn graphic photo&video) n.k. Inatupasa tufumbue macho leo na tuachane nayo kabsa! Ubarikiwe sana mtumwa wa BWANA!
Amen je! tayari umeshampokea Yesu ndugu yetu?
Amen Mungu na akubariki
Naomba kufafanuliwa ndoto hii,nilichota maji kwenye basin ya kuoga katika harakati ya kubeba yakawa yananimwagikia,huku watu nyuma wananiita nimeacha maji chafu,na hayo maji Safi niliyobeba sikuyaoga bunde tu nikashtuka usingizini.
AMEN,
Amen ubarikiwe na . God mtumishi ujumbe mzuri sana.
Ahsante ubarikiwe mtumishi wa Mungu nimeziona, nitakupigia. Nabarikiwa sana na Mungu kupitia masomo haya.
Amina Sana, Bwana awabariki mashahidi was Mungu, Kazi yenu njema Sana🙏
Amina mtumishi! Kama tukiwa hatusomi na kulitafakari Neno itakuwa rahisi kupeperushwa na kila upepo wa elimu!
Mungu wetu atuangazie Nuru yake.
Mungu akubariki sana mtumshi. Namb yako?
Amen ubarikiwe sana.
0789001312 / 0693036618
Nimefurahi jamani. Natamani kukufahamu. Nakupenda Sana. Yesu wa Mbinguni akubariki kwa mafundisho mazuri
Amen utukufukwa Bwana..
Nawe pia uzidi kubarikiwa
mtumish mungu azidi kukufunilia ili uendelee kuinua mising ya watu wengi .amna mungu awe pamoja na ww
asante mtumishi kwa neno lako,kwanzia leo na apa kama mungu wangu aishivyo nitaanza kumtaka yeye wala sio baraka zake bali nguvu kwanza rohoni na mengine yatafuata .
Bwana akusaidie
Amina mtumishi! Mungu wetu YESU,KRISTO ndiye anayestahili kuabudiwa yeye pekeake( isaya 9:6)
Ridhiwani
Mungu hapendi kuachana kweli ,sio akili za kikristo ni Mungu
Amina mtume wa KRISTO, mafundisho ya NENO kama haya ndiyo yatazidi kutufanya tuwe na thamani mbele za BWANA YESU.
NURU yake izidi kutuangazia
Mtumwa BWANA; nimeinuka kwelii kwa fundisho hili. Hakika ndio maana paulo akesema hv; kol3:16
BWANA AKUBARIKI&KUITUNZA HUDUMA HII SIKUZOTE!
Mungu awabariki,hakika ni neno la matmaini.
Asante Sana kwamasomo kwakweli yamenifungua nimepata ufahamu wakujua mengi ambayo sikuyajua Mungu awabariki Sana,Niliibiwa simu tangu mwenzi wapili nikawa sio wala kuyapata masomo haya kwakweli nilikuwa nakosa Amani Asante Sana kwamasomo manzuri.
Amen utukufu kwa Bwana, na uzidi kubarikiwa!
Mniombe
Unapitia nini ndugu?
Ahsante mtumishi wa BABA YETU,YESU KRISTO! Mungu azidi kutupa uweza wa kuwa watoto wake kwa kuzidi kumpokea mafundisho yake(NENO LAKE)
Ujumbe mzuri SANA Na mtamu mtu akishindana Na BWANA YESU ATAUMIA .
Mtumishi mm nabarikiwa sana na mafundisho haya; lakini roho yangu inaugua sana kwa maana watu hawataki kusoma biblia hasa WAKRISTO lakn pia hata kwenye magroup kama hili hawaingii,mtumishi.
Ndio tuzidi kuwahubiria tu hivyo hivyo..wakati wao ukifika tunaamini wengi wao watamgeukia Mungu
Hao malaika mnaosema wa kuzimu mimi nimekutananao misikitini na wengine makanisani
Nimekutana na jini anasoma biblia
Mnapatikana wapi watumishi
Dar es salaam, tegeta..karibu sana
Muendelee kuweka masomo mazuri. Mme furahishwa nayo.
BWANA AIKUZE NA KUIINUA HUDUMA HI YA KUIHUBIRI INJILI
Roho wa BWANA na azidi kutufunulia mafumbo kama haya tangu zaman nilikua nataka kujua KIZAZI sasa nimeelewa kwa upana zaidi Jina la BWANA MUNGU litukuzwe AMIN BY NIKODEMO. WA TANZANIA, TABORA, NZEGA, ILOMELO :
Na uzidi kubarikiwa
Napenda mno namna mnavyodhuhirisha masuala enu
Ameen mbarikiwe saana
Amina mtume wa KRISTO.
Pia ningependa kujua kuhusiana na huu mstari 1thimothy 5:23 “usinywe maji tu, bali tumia mvinyo kidogo kwa ajili ya tumbo…………………….”
Asante sana kwa NENO; Bwana akubariki na asikupungukie mpendwa Mtimishi wa Bwana!
Amen ubarikiwe nawe pia ndugu..asante
Kwani, maono hayo yohana aliyaona kipindi gani? Au nyakati zipi?
Akiwa bado duniani..mwishoni kabisa mwa huduma yake
Nimebalikiwa kweli
Naomba niwe napata masomo ya mafundisho yenu
Tuandikie namba yako ya whatsapp hapa
Bwana akubariki kwa NENO,nimejifunza vizuri!
Amen uzidi kubarikiwa nawe pia!
Ahsante MUNGU awabariki kwa kazi njema ya imani
Amos Mumia
Kwanini YESU alijiita mwana wa mungu ilihali ndiye MUNGU?
Kwasababu alikuja kwa lengo la kutuonyesha sisi njia, ni namna gani sisi tunaweza kuwa wana wa Mungu.
Mtumishi vp kuhusiana 1timotheo 5:23 je! Nikilevi kimeruhusiwa hapo?
Hapana unaweza kupitia hapa kwa uelewa zaidi >> https://wingulamashahidi.org/2019/08/31/paulo-alimwambia-timotheo-atumie-mvinyo-kidogo-kwa-ajili-ya-tumbo-lake-je-tunaruhusiwa-na-sisi-pia-kutumia-pombe/
Nimebarikiwa mtakuwa mnanitumia I
Amen unaweza kututumia namba zako za whatsapp
M’barikiwe sana,kazi mnayoifanya nikubwa sana kupita maelezo,kwahakika mbarikiwe sana.
E MUNGU NISAIDIE NIELEWE ZAIDI
Nimelipenda sana hili somo.
Douglas
kanisa katoliki ndilo lilkua la kwanza
Why
PARHAM, CHARLES FOX (1873-1929) Charles Fox Parham, ambaye alizaliwa huko Muscatine, Iowa, mnamo Juni 4, 1873, anachukuliwa kuwa mwanzilishi na baba wa mafundisho ya harakati ya kipentekoste duniani kote. Akiwa kijana mgonjwa, Parham hata hivyo alijiandikisha katika Chuo cha Southwest Kansas katika 1890, ambako alipendezwa na huduma ya Kikristo. Baada ya kupokea mwito wa kuhubiri, aliacha chuo kabla ya kuhitimu, na mwaka wa 1893 alikubali uchungaji wa kanisa la Methodist huko Linwood, Kansas.
Huko Linwood, Parham punde si punde alijihusisha na vuguvugu la utakatifu, ambalo lilikuwa likienea katika duru za Kimethodisti wakati huo. Harakati hii ilisisitiza utakaso wa baraka ya pili ya papo hapo kama ilivyofundishwa na John Wesley. Ilikuwa ni katika Nyanda ambapo vipengele vikali zaidi vya harakati ya utakatifu viliota mizizi. Kufikia 1895, mabishano juu ya baraka ya pili yalipogawanya kanisa, Parham aliingizwa sana katika teolojia ya utakatifu hivi kwamba aliacha Kanisa la Methodisti kufuata kazi kama mwinjilisti na mwalimu wa utakatifu anayejitegemea. Upesi alianza kusisitiza mafundisho mapya zaidi, kama vile uponyaji wa kimungu na ujio wa pili wa Kristo mara moja kabla ya milenia. Kwa maisha yake yote, pia alikataa aina yoyote ya shirika la kanisa.
Mnamo 1898 Parham alifungua “Shule ya Biblia ya Betheli” yake mwenyewe na nyumba ya uponyaji huko Topeka, Kansas, ambapo mnamo 1899 alianza kuchapisha jarida lililoitwa Imani ya Kitume . Ilikuwa katika shule hii ambapo Parham na wanafunzi wake walisoma mafundisho tofauti ya harakati ya utakatifu yanayohusiana na “ubatizo katika Roho Mtakatifu” unaoelezewa katika Matendo 2:4. Kupitia makubaliano ya wanafunzi, kwa msaada fulani kutoka Parham, baraza la wanafunzi lilikata kauli kwamba kunena kwa lugha (glossolalia) kulikuwa “ushahidi wa Biblia” wa tukio kama hilo.
Mnamo Januari 1, 1901, mwanafunzi katika shule hiyo, Agnes Ozman, alizungumza kwa lugha, akiivutia shule na eneo la Topeka kupitia hadithi za kusisimua katika magazeti ya huko. Fundisho la Parham kwamba kunena kwa lugha lilikuwa ni “ushahidi wa Biblia” wa lazima wa ubatizo katika Roho Mtakatifu lilijulikana kama “mguso unaosikika duniani kote” ambao, kulingana na J. Roswell Flower wa Assemblies of God, “ulifanya Pentekoste ya Karne ya Ishirini kuwa ya Kipentekoste. Harakati.” Parham pia alianza kufundisha kwamba glossolalia pia ilijumuisha zenolalia (yaani, “lugha za kimishenari”), ambapo wamisionari wangeweza kwenda kwenye pembe za dunia na kuhubiri kimiujiza katika lugha zinazojulikana za wanadamu ambazo hawakujifunza. Kwa muda mfupi, Wapentekoste wote isipokuwa Parham waliacha imani hii kutokana na jitihada zisizofanikiwa za kuhubiri kwa lugha zisizojulikana nchini India na maeneo mengine.
Kufikia 1906 vuguvugu la kipentekoste lilikuwa limeenea hadi Los Angeles kupitia mhubiri mweusi, William Joseph Seymour, ambaye alijifunza teolojia ya kipentekoste kama mwanafunzi wa Parham katika shule nyingine ya Biblia huko Houston, Texas. Kutoka kwa Misheni ya Mtaa wa Azusa iliyoongozwa na Seymour, harakati ya kipentekoste ilienea kwa kasi duniani kote.
Mnamo Oktoba 1906 Parham alitembelea Mtaa wa Azusa na kushutumu mikutano ya Los Angeles kuwa inatawaliwa na “wapiga roller watakatifu na walala hoi” ambao walikuwa na “vituko vya mikutano ya kambi nyeusi.” Hapo alifukuzwa kutoka Mtaa wa Azusa na Seymour na wazee wake. Kwa maisha yake yote, Parham alimshutumu mwanafunzi wake wa zamani na uamsho wa Mtaa wa Azusa kama “nguvu za kiroho zilizini.” Mnamo 1907 Parham alishtakiwa kwa kulawiti huko San Antonio wakati wa kampeni ya uponyaji ya ndani. Ingawa aliachiliwa kutoka kwa shtaka hilo, ushawishi wake kama kiongozi mkuu katika vuguvugu la kipentekoste ulikwisha. Katika miongo miwili ya mwisho ya maisha yake, Parham alistaafu nyumbani kwake Baxter Springs, Kansas, ambapo maelfu kadhaa ya wafuasi wake walihudhuria mikutano yake ya kila mwaka ya kambi hadi kifo chake Januari 29, 1929. Amezikwa huko Baxter Springs.
Karne moja baada ya vuguvugu la Parham kuanza huko Topeka, Wapentekoste walikuwa wamekua na kuwa familia ya pili kwa ukubwa ya Wakristo, ikiwa na zaidi ya washiriki milioni 500 katika makanisa ya kipentekoste na charismatic na harakati zilizoenea kutoka Topeka hadi karibu kila taifa la ulimwengu. Madhehebu makubwa ya Kiamerika yaliyotolewa na vuguvugu la kipentekoste ni pamoja na Assemblies of God, Church of God in Christ, Pentecostal Holiness Church, Church of God (Cleveland, Tennessee), United Pentecostal Church, na Pentekoste Church of God.
Hadi hapo huwezi SEMA lilikuwa la kwanza
Amen..utukufu kwa Bwana.
Tayari nimeshakuunga!
Asanteni tunanarikiwa kwa masomo yenu Barikiweni
wakristo watakaokufa baada ya kukataa kuipokea chapa ya mnyama katika dhiki kuu watairithi mbingu mpya na nchi mpya yaani kuwa na uzima wa milele
Bwana Yesu asifiwe watumishi wa Bwana, Mungu azidi kuwabariki kwa mafundisho mnayoyatoa kupitia blog hii kwa kiasi kikubwa yananijenga na kuzidi kuniimarisha.Ninaomba mniunge kwenye group la whatsapp ili nijifunze zaidi namba yangu ni 0713 988009
Naomba kutumiwa masomo zaidi…
Tuandikie namba yako ya whatsapp
wakristo watakaopitia dhiki kuu wataurithi ufalme wa milele
Kama watajikana na wasipokee chapa wataenda japo mbinguni hawatakuwa na wasfa wowote
uongo huu sinagogi sio kanisa weka andio liseme kanisa sio wewe
Kweli mtumishi kama huu ni mpango wa shetani basi wanadamu tumeisha,make hadi huwa wanasema BWANA amewaita,watumike.
Mungu aendelee kuwatia nguvu wana wingu la mashahidi,kwa kazi kubwa ya Mungu mnayoifanya.
Amen asante sana ndugu yetu
Mungu azidi kuwabariki Sana kwa kazi nzuri mnayofanya Watumishi wa Mungu hasa hii inayomhusu Mungu na watu wake asanteni sana
Asante sana ndugu yetu, Bwana akubariki pia
Mimi afya yangu unasumbuliwa na magonjwa Mara KWA Mara nahitaji MSAADA wa Mambo.
AISE UJUMBE UMENIINGIA HASWAAA!
Leave your message mrng.mimi silas mamati naomba unisaidie kwa my mamu ako naiyo shida ya majini
Tutafute kwenye namba zetu za simu YESU peke yake ndiye atakayemfungua
+255693036618
Mbona haujasema Hawa majini wametoka wap?
Sijaelewa kuhusu SDA kwani imetoka wapi
Hii nimeipenda. Napenda mafundisho. Kama nitakuwa nayapata, nitaendelea zaidi kukua kiroho
e Mungu wangu, mi napenda kuonea mbwa na paka nimrushe jiwe hata 1 ndo nalzka, ila leo dah nimekoma.
Amina sana,hayo ni machukizo kwa Mungu
Barikiwa sana na Bwana
kwa hakika nimebarikiwa sana kwenye ujumbe huu,na ninatumai pia kuwaunganisha wengine katika mafunzo haya kutoka kwa wingu la mashahidi,mubarikiwe sana.
Amen uzidi kubarikiwa sana na sana…
Nashukuru kwa maelezo nimeelewa kabla ya fafanuzi nilikuwa na hofia kwamba ndo alama/chapa
Amen,uzidi kubarikiwa..
Hellooo
asante mtumish wa Mungu kwa mafunuo aya, Mungu akubariki
amina mtumishi wa Mungu, asante kwa mafunuo haya ya kuhusu kiti cha enzi cha Mungu pamoja na jinsi shetani anavyojitahid kuiga vya Mingu
Amen uzidi kubarikiwa na Bwana
Vyema unaweza kutuandikia namba zako za simu hapa.
unalisema ukweli, yani madhehebu ,mengi siku izi. kipimo cha kuonesha kukubalika na Mungu ni mafanikio yako kidunia, Mungu akubaliki kwa maziwa haya yasiogoshiwa
Amen, utukufu kwa Bwana, uzidi kubarikiwa nawe pia.
amina mtumishi, bado naufungua ufahamu wangu kwa kunywa maziwa yasiogoshiwa
Amen, uzidi kubarikiwa.
Bwana Yesu asifiwe, nimevutiwa n’a mafundisho haya, Mungu awabariki Kwa jiyo nawaombebi ikiwapendeza Lila mnapo kuwa na Romeo nitimieni kwenye box yangu ya mail
Asante xanaaaa ningependa huendeleee kunifundisha
karibu uwe huru kujifunza
Asante xema nilikuwa nauliza jins ya kuwa na kufanya maomb au kuwa na nguvu ya kumuombea mtu
0684603985 join me whsap group
Tayari nimekuunga ndugu yetu..
kwa kweli napokea mabadiliko ya rohoni kila nisomapo haya mafundisho. MUNGU AZIDI KUWATUMIA KTK MEMA YOTE
Nawe pia uzidi kubarikiwa!
Ktk mambo ambayo yule mwanamke yezebeli amekuwa akiwafundisha watu mambo ya machukizo mbele za Mungu ,mfano sala za wafu , kusali rozali , nk nk , sehem ambayo sijaelewa ni IBADA ZA MIUNGU MITATU ……..hiki ni kitu gani ?Je ni Ile YA MUNGU MWANA MUNGU BABA ,NA MUNGU ROHO MTAKATIFU ?kama kuna jingine basi nikijue, na kama ndio hii ?mbona hata biblia tunayosoma imeandikwa haya !?hasa ktk injili ilohubiriwa na Mtume Paulo ?maelezo kidogo jaman hapa
Ili kuelewa vizuri unaweza kusoma hapa>> https://wingulamashahidi.org/2018/07/17/kwanini-yesu-kristo-alikuja-duniani/
Tupo pamoja mtumishi, naelewa sana somo hili Kwa lugha rahis
ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Amen nawe pia!
Mungu akubariki Mtumishi wa mungu…..
Amen nawe uzidi kubarikiwa sana..
barikiwa sana myumishi, lugha rahis na imeeleweka,….
Amen uzidi kubarikiwa nawe pia.
Leave your message Mpendwa biblia inaposema “yohana1.1-2” hapo mwanzo kulikuwako neno naye neno alikuwa mungu,huyo mwanzo aliwako kwa mungu…swali! Kuna uhusiano gani kati ya “neno” “mwanzo” na “mungu”?
Biblia inasema yeye ndio Mwanzo na Mwisho.. Ufunuo 1:8,Ufunuo 21:6 na Ufunuo 22:13
Huduma hii (wingu la mashahidi wa Kristo) Kwangu ni jibu litokalo kwa Mungu, Maana niombi langu kwa muda mlefu Kutaka kumjua Mungu kwa kina. Nafikili kupitia huduma hiyo Mungu atanifikisha kwa kadiri atakavyo wajalia… Namba yangu 0764-20,290/0672-278,690
Nani amekudanganya Mungu hapendi kuachana kwa namna yeyote ile akili za wakristo zinayumba vibaya mno.
Ahsante kwa ujumbe mhimu
Huduma hii inanifanya nimjue mungu naye mtumikia, Nashukuru mbarikiwe nanyi.
Amua tu kubeba msalaba wako na kumfuata Yesu
Naomba kuwa mwanafuzi wakristo
Shalom! Hakika kazi yenu si bure, inainua misingi ya vizazi vingi. Mungu awabariki.
Nabarikiwa sana na masomo mnayopost. Naomba maombi yenu tafadhali kwa jinsi Roho wa Mungu atakavyowaongoza. Ninachangamoto sana kuanzia familia na nyumba yote ya baba yangu.
Mungu awabariki sana.
SWALI maana ya ndoto ya mto unapitisha maji machafu nini
Naomba kutumiwa somo hili la dhiki kuu
0755680520.
Hongereni kwa somo zuri na lenye baraka
Naitwa katekista evance nipo arusha. Barikiwa sana mungu akutie nguvu kwa mafundisho mazuri amina
Katika aya pili kutoka mwisho umeuliza, “bado unaupenda ulimwengu unaokwenda kuisha, unaendelea kuwa mwasherati, mlevi,mwongo,mwizi, una majivuno,mlafi,kusengenya, kuvaa vimini, mawigi na mahereni, na kupaka wanja, lipstick, na fashion?”, je, kuvaa vimini, mawigi na mahereni, na kupaka wanja, lipstick, na fashion ni dhambi? Kivipi?
Ni tools zinazotumiwa na mawakala wa shetani kuwapata watu wawaingize kuzimu
Watumishi wa mungu bwana Yesu hazidi kuwabariki sana, hakika mumenifungua macho ya roho,pia mimi nazidi kuwaombea kutoka apa Uganda.
Amen asante sana..dada yetu mpendwa.
Nawe pia Bwana Yesu, azidi kukubariki sana hapo Uganda
Asante kwa ujumbe mzuri sana, Mungu awabariki
Napenda kujifunza neno la Mungu.
Hiyo ni vizuri sana.
Naomba kuwafuatilia na kujifunza zaidi neno la Mungu kupitia ukurasa wenu. Asante
Karibu sana..uwe huru
Barikiwa Sana mungu azidi kukuongoza
Nawasalimu kwa jina la Yesu,naomba kujua Yesu ni mungu? au ni mwana wa mungu?.
Ni Mungu, na vile vile ni Mwana wa Mungu.
Bwana yesu asifiwe,naomba kujua yesu ni mungu? au mwana wa mungu?
Yeye ni Mungu aliyekuja kutenda kazi katika ofisi ya mwana..kwasababu maalumu ya kutufundisha sisi kuwa wana na kutuonyesha njia.
Kama Yesu ni mungu kwanini aitwe mwana wa mungu?.Naomba kujua.
Asante sana Barikiwa
MUNGU awabariki kwa KAZI njemaaa
Amen nawe pia u abarikiwe
Hamjambo,ninaomba mnipe mandiko yanayozungumzia mada zifuatazo; (1)tutaenda mbinguni (2)tutatawala na mwokozi mbinguni miaka 7 (3)mwokozi atakuja mara ya pili juu mawinguni na kuchukua wateule wake waende mbinguni (4)mwokozi atakuja mara ya tatu kutawala na wateule duniani nitashukuru mtakapokuwa mnashughulikia hizo mada asanteni
Sasa wewe unaomba au unataka uthibisho? Maana Kuna tofauti kati ya anayeomba kitu! Na anayetaka uthibisho wa kitu! Kwa kifupi tunashindwa kuelewa unataka kujifunza au ni vipi
Sukhaira
Mungu wa Mbinguni, Bwana wetu Yesu Kristo akubariki sana mnoooo! Nimejengwa, nimeelimishwa na nimebarikiwa mno na masomo haya! Hakika kazi yako ni njema sana
Amen mtu wa Mungu, uzidi kubarikiwa na Bwana
Asante nimejifunza sana ,mbarikiwe!
ndg jiepushe sana kutoa tafsiri ya neno la Mungu kwa yale usiyofahamu. unapotosha
Kuhusu kutooa kwa Paulo kabla akiitwa sauli tusidanganyane kwamba hakuwahi kuoa hivi kweli kuna maandiko yanayothibitisha madai hayo?
Soma 1Wakorintho 7:32-35
Hii ni baada ya kuokoka,lakini asili ya kazi yake ya kwanza akiwa kama sauli sharti la kwanza lazima awe na mke
Hapana, Sauli/Paulo hakuoa kabisa ndugu kwa wakati wowote ule, kwani aliyajua maandiko kuwa hapaswi kumwacha mke wake hata baada ya kuokoka..Hivyo angekuwa na mke, hata baada ya kuokoka angeendelea kuwa naye, au kama alimwacha basi pia angesema.
Ubarikiwe ndugu .
Naomba mfululizo wa uchambuzi wa vitabu vyote 17 kama ulivyoelezea.Namba yangu ya WhatsApp ni 0759608972
Naomba mwe mnanitumia ujumbe Mara kwa Mara kwa njia ya E mail
Amen nmebarikiwa sana
Hello Mtumishi wa Mungu,natumai hujambo.Asante kwa fundisho zuri hilo,hata hivyo mimi kunazo mara mbili tofauti nimeshawahi kuota ndoto nikiwa niko juu kabisa nikipaa na nikiwa mwenye furaha na huku chini nikiona kundi kubwa la watu likinitazama kwa mshangao halafu narudi taratibu hadi chini.Wanaponiuliza nawezaje kufanya hivyo, huwajibu ni rahisi sana na mara huruka tena kwa kuwaonyesha vile ni jambo tu rahisi.Je hii inamaanisha nini?siku hizi sioti tena hiyo ndoto.
Amen Amen.
Asantee, kiujumla nimebarikiwa sana na blog hii, Mungu awabariki sana kwa mafundisho haya🙏🏻
Yaani Mungu akubariki sana sana kwa maarifa haya ya Neno la Mungu, kwa kufungua mafumbo haya makubwa
Shalomu Kiongozi
Nimependezwa na mafundisho kwa kweli maana najifunza vyema neno la Mungu ili niweze mshinda shetani zaidi kwani hata Yesu alipokuwa akijaribiwa alimshinda shetani kwa maandiko matakatifu naomba kujifunza zaidi
Karibu ndugu..uwe huru kujifunza
Nini maana ya ndoto uliyoota unaokota hela za noti elfu tano tano mbili Mara tatu
Thank you so much MUNGU awabariki
SOMO zuri sana
Shalom shalom! Mungu akubariki kwa masomo mazuri nafarijika pamoja na kuelimika.
Haleluya..
Asant sana kwa kupata tovuti hii itanifundisha kila kitu
Amen..jina la Bwana litukuzwe
Asante kwa maneno mazuri naamini kwamba Mungu aliyetupenda upeo atatusaidia nasi tukiwa tayari amina
Nimebarikiwa na jumpe zako mtumishi, Mungu akubariki sana
Amen ubarikiwe, utukufu kwa Mungu..
Amina mbalikiwe
Ahsante kwa mafundisho mazuri,yananijenga saana.
Utukufu kwa Bwana..ubarikiwe..
God bless you mtu wa Mungu
Amen. Ubarikiwe nawe pia.
Amen nawe pia.
Nimebarikiwa na Neno la Mungu
Tafadhali naomba kufahamu saidi kuhusu, matatizo yanayokumba ndoa na suluhizo
Naomba mniunge kwenye grup la watsapp no 0622659629
Mbarkiwe kwa huduma iliyo njema,please niungen nami
Tuandikie namba zako..
Nashukuru kwa kua nimepata kuongeza maarifa yangu kuhusu NENO LA MUNGU.
Need to be receiving messages
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Asante sana mtumishi, ila kwa zaidI ya mara tatu sasa nikiamka asubuhi nasikia tumbo likinguruma. Kunguruma kwa tumbo hakunisumbui ila sauti inayotoka ndio inanitia wasiwasi, maana ni sauti ya njiwa (in HD form) maana yake ni nini?
Eeee namshukuru Mungu wangu kwa kunifahamisha haya, nataka kusema Mungu akubariki sana mtumishi kwa maneno yako mazuri!
Amen uzidi kubarikiwa na Bwana nawe pia
Leave your message OK nimeelewa
Very nice site. Itanidaidia kuisoma bible…MUNGU ANISAIDIE
Amen nimejifunza sana kuhusu kufunga ubarkiwe mtumish
Nimebarikiwa na mafundisho yenu
Somo zuri sana 👏
Utukufu kwa Bwana!
Je tayari umempokea Yesu ndugu yetu?
Amina nimejifunza sana hapa
naomb nifaham maana ya jina amos
Wakati wa uumbaji malaika hawakuhusika, Baba, mwana na roho
Shida nyingine hii Pia.. Kwa imani yetu ya Kiislamu, Mungu pekee ndie aliekuwepo, aliepo na atakaekuwepo. Na hatuna Mungu aliegawika vipande, ametakasika na Kila Sifa ya Udhaifu, nae ni Mwenye Nguvu na hekima..
Bwana yesu asifiwe mtumishi pale ninapo hitaji kuvipata vitabu ninavipata kwa njia gani?
Amen nawe pia ubarikiwe!
Amen nawe pia, Utukufu kwa Bwana
I want to join freemason plz help me0759893142
Hisia… Feeling ni msukumo unaotoka ndan juu ya jamb Fulani.. waweza kuwa mzur au mbaya….
Nitafurahi kupokea masomo na mafunzo hayo. 0767637346 whatsapp
Sawa tayari tumeshakuunga
thank you
Naomba nitumie mafundisho zaidii kwenye email yangu
be blessed father infinitly
Nimefurahi sana kuupata ukweli huu. Mungu awabariki sana.
Penda sana ufafanuzi wako
Nimefurahi sana kuona mafundisho yenu tafadhali niunge kwenye whatsap group yenu
Unaweza kututumia namba zako za Whatsapp.
Leave your message. Mungu na akubariki sana tena sana kwa maneno haya yenye kujaa upako wa kiroho. Nimefarijika kiroho na kujengeka na ninatamani sana kupokekea mafundisho mengi zaidi kutoka kwenu. Asante.
Amen, tupe namba yako ya whatsapp ndugu
maana zake
Naomba somo la nyakati Saba za kanisa. Na uhusiano wake kwa kanisa la Leo. Ubarikiwe
Fungua hapa > Nyakati saba za kanisaNYAKATI SABA ZA KANISA NA WAJUMBE WAKE.
Mafundisho mazuri sana Nimebarikiwa
Napenda sana mafundisho yenu
❤️❤️ this
Nimebarikiwa mno
Je mathayo12:31 anazungumzia kuhusu kumkufuru roho mtakatifu hautasamehewa ni kivipi roho mtakatifu tunamkufuru?
Unaweza kupitia hili somo utapata majibu >> Kumkufuru Roho
nataka kwingya
Wote wanaomtamani shetani(Na kutamani kujiunga katika vikundi vyake kama freemasons na vinginevyo) kama wakifa bila kutubu watateketezwa katika lile ziwa la moto, siku ile ya mwisho, huko kuna mateso mateso mchana na usiku, na wala moto wa huko hauzimiki na wala hakuna toba!!!
Ni Baraka sana kushirki sala za maandiko matakatifu kuhusu uponyaji. BWANA akubariki
Amina nawe pia!
⁹
Mungu akubariki kwa masomo mazuri
Amnen atubariki sote..
Jini urudisha aje?
Jini ni nini
0672802347 Naombeni mniunge whatap
Mungu akubariki sana mtumishi naomba masomo mengine
Nimebarikiwa sana na somo hili naomba maaomo mengine masawen2015@gmailcom au wasap 0657101150
Mimi najaribu kuweza kufanya lolote q
MAY THE LORD JESUS BLESS YOUR JOB…. ABSOLUTELY IM TOUCHED WITH YOUR KIDLY MSG
Mmmm!! Tafakari vizuri, mtawanyiko wa wayahudi kipindi cha utawala wa Rumi hakuna ahadi ya kurudi tena. Ninachojua Israel ilikuwa kimvuli cha kanisa lilizaliwa baada ya Yesu kufufuka. Baada ya hapo Israeli kama taifa la Mungu hakuna. Badala yake kuna KANISA LA MUNGU Yaani wale wote wanaomwamini kristo, wakiwemo na wayahudi wenyewe.
Naomba nipate mafundisho yenu
Kama unayahitaji kwa njia ya Whatsapp, unaweza kututumia ujumbe kwa namba zetu hapo juu, au ukaziandika namba zako za whatsapp hapa!.
Bwana akubarikki
Thanks
Hakika nabarikiwa kwangu mafundisho haya ni makubwa na makuu sijui ningeyapata wapi bila nyinyi kuwepo Mungu azidi kuwa nanyi siku zote za uhai wenu,Nami ni Ben Japhet wa dar es salaam tabata
Amen Uzidi kubarikiwa
Asante sana ujumbe huu nimeupata kwa muda sahihi kabisa. Mbarikiwa kiwe sana.
Nini maana ya jina amosi
Mafundisho yako ni mazuri mnoo.Barikiwe sana
Naomba kuunganishwa kwenye magroup yenu ya WhatsApp..0763230028
Wingu la mashahidi ni nani???
Wingu la mashahidi wa Kristo ni nani na mnapatikana wapi??
Unaweza kufungua hapa ndugu >> Kuhusu sisi
mbona hujafafanua namba 8
Amina kwa somo tamu.
Kuna swali limekuja, sasa ikiwa Uhai wa Adamu ulianza pale tu Mungu alipompulizia Roho yake ndipo akawa, inamaana nasi pia uhai huo tunao, kwa nini tuahidiwe kupewa Roho tena ?
Mwanzo 2:7 [7]BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
Hapo inasema akampulizia pumzi ya uhai..na si akampulizia Roho yake.
Ahadi ya Roho Mtakatifu ni muhimu kwetu wote. (Mayendo 2:37-38)
Barikiwa sana mtumishi naomba uniunge kwenye WhatsApp
Tuandikie namba zako, au tutumie ujumbe kupitia namba zetu hapo juu..
My WhatsApp does not respond
Mtumishi dhana yako ya jinsi ya kuwasiliana na Mungu ni sahihi ila andiko ulilotumia siyo sahihi. Huo wito wa kupeleka HOJA ZENYE NGUVU HAUKUWA KWA WANADAMU BALI KWA MIUNGU ILIYOKUWA IKIABUDIWA. Ni Mungu anaiambia miungu iliyotengenezwa na wanadamu. Bahati mbaya kiswahili hakikujieleza vizuri kwenye huo mstari ulioutumia lakini ukisoma kushuka chini utakipata hiki ninachokisema. Ila kingereza kimekuwa wazi zaidi Isaiah 41:21 [21][You idols made by men’s hands, prove your divinity!] Produce your cause [set forth your case], says the Lord. Bring forth your strong proofs, says the King of Jacob. Neno limesema, “You idiols”, je sisi ni idols? Hapana. Kwahiyo hili neno haliwahusu watu bali miungu ambayo Mungu wetu aliitaka ijioneshe kama inaweza kushindana naye. Mistari iliyoendelea hata ya biblia ya Kiswahili imezidi kutanabaisha hili. Ni vizuri kulisoma neno la Mungu kwa upana zaidi lakini ukitumia mstari mmoja pekee unaweza ukakupa maana ambayo siyo sahihi.
Shalom…
Sifahamu ni version ipi ya kiingereza umetumia…lakini pia nakushauri usitegemee version moja kuthibitisha Neno lako…ukitumia msingi huo linganisha version zaidi ya 10 kisha angalia majority inatafsiri vipi..ndipo uhitumishe kuwa hii ni sahihi au sio sahihi..nilidhani ulitumia version ya KJV ambayo ndio kidogo ipo widely accepted lakini bado inakubaliana na kiswahili chetu. Na nyingi zao ndio zilivyo
Kwamsaada fungua hii link utazame bible kadhaa za kiingereza then uamue tafsiri ipi inasema ukweli kuhusiana na hilo andiko..
https://biblehub.com/isaiah/41-21.htm
Naamini mwishoni utakubaliana na mimi .Bwana akubariki.
Asanteni kea ujumbe
I won’t twe join because I need money
Leave your message Nawashukuru sana kwa mafundisho mazuri yamenijenga kiroho
Naomba niwe natumiwa mafundisho Kama aya mtumishi wa Mungu WhatsApp yangu 0763201757
tayari tumeshakuunga ubarikiwe
Naomba kuwa natumiwa masomo zaidi kwa njia ya email au hata ikiwezekana kwa njia ya what’s App kwa namba hii +255629836929 naamini ntazidi kujengwa KIROHO
tayari ndugu..ubarikiwe
Pia mm
Napendezwa sana na haya masomo na yananibariki na kunipa ufaham mkubwa zaidi juu ya mambo ya ufalme wa MUNGU
Sakrament kwanin loma zipo saba wakat NEW APOSTOLIC CHARCH ZIPO 3
Nakushauri upitie tena hilo somo vizuri ndugu yetu mpendwa!!
Asante san Kwa ujumb maan naotaga napaa
Ni lazima tu ni join eluminati ju sina pesa ninaona ka sina pesa ni vigumu kuwa duniani oky please i want to join na nitamwabudu lucifa na nitapokea mali yake i need a car aina ya veight by
Naomba mnitumie masomo
Tuandikia namba zako za whatsapp au tutafute kwa namba hizi +255789001312/+255693036618
Hongera Kwa ujumbe mzuri napenda muwe mnanitumia masomo na mafundisho kwenye email yangu ya elishaemtishibi87@gmail.com ahsanteni sana nadhani mtafanya hivyo
Tumekutumia meseji kwenye email yako ya subscription, hivyo ifungue, ukubali ili masomo yaweze kukufikia moja kwa moja kila tunapoyatuma.
Nmefurahia napenda kujifunza maneno ya Mungu kwakupitia website yenu
AMEN Ubarikiwe.. uwe huru kujifunza zaidi Neno la Mungu kupitia blog hii
Ikiwa yeye alituumba ni kwanini tuabudu miungu mingine..Ni wajibu wetu sisi kumwabudu yeye aliyestahili ..Hata wewe pia kwa namna ya kawaida unapaswa uone wivu kwa tendo hilo, la kumpa sifa asi si zaidi muumbaji?
Asante, Bwana akubariki ndugu yetu
Maana ya jina MAURICE, MORISHO. Kazi njema kwa utafiti wako
Maurice ni jina linalomaanisha “ngozi nyeusi”.
ndugu zangu, nabarikiwa sana na huduma yenu. Kazi yenu si bure. Mmeponya wengi kwa kazi hii. Bwana Yesu azidi sana kuwatia nguvu na kujifunua sana kwenu kupitia neno lake ili kuponya mamilioni ya watu. Asanteni sana.
Neno zuri Sana ubarikiwe
HABARI, Kama ametuumba tu kwa ladhi yake au furaha yake na si kumwabudu kwanini anatuambia tusiabudu miungu wengine?
Mungu nimweza
kwanini isaya anaaminiwa sana na watu kuliko yeremia?
Wote wanaaminiwa sijui umesema hivyo katika nyanja gani
NEEMA YA BWANA WETU YESU KRISTO IWE PAMOJA NANYI NYOTE…amina!
Watumishi wa Mungu ninawasalimu katika jina la Yesu Kristo , lakini kitabu cha Matendo kiliandikwa na nani
Amen.. inasadikika kuwa kiliandikwa la Luka
asante umenisaidia sana akili yangu umeifungua kabisa bwana yesu asifiwe mungu akubariki
1 wakorintho 7:14 inamaanisha nini?
bwana YESU asifiwe
Nimebarikiwa sanaa na maelezo na ufafunuzi mzuri snaa kwa habri hii ya sikukuu ya kutabaruku….. MUNGU azidi kuwainua kwa namba ambavyo mnaakikisha neno la MUNGU linafika na kuelewek kwa kondoo wake saw saw na YOH 10 anasem yey ndio lango na kondoo ni wake aijalishi n kondoo wa aina gani wote ni wake AMEEN…
Amen, tunashukuru, Bwana azidi kukubariki nawe pia.
Barikiwa sana mtumishi
Bwana Yesu asifiwe mtumishi,habari za jumapili.Samahani mtumishi kuna maandiko yananitatiza andiko la 2 Samweli 24:1-14 na Waebrania 10:31.Hapo tunaona Daudi anasema ni afadhali kuanguka katika mkono wa BWANA lakini anapingana na Paulo anayesema ni Jambo la kutisha mtu kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hai
Pitia hapa ndugu yangu utapata majibu >> MKONO WA BWANA
Samahani mtumishi naomba nikulize mathayo 18 ; 8 anazungumzia habari za kiungo, chako kikukosesha ukikate au jicho uling,oe nataka nijue anamanisha nini, asante
Pitia hapa >> kiungo chako kimoja kikikukosesha
Hellow naomba kujua maana ya Travis & Privian
plz nataka ku jon
Washirika wote wa Freemason, wataenda motoni, hivyo usitafute kujiunga bali mpokee Yesu, ambaye ndiye Njia, kweli na Uzima. Huyo ndiye chemchemi ya Maji ya Uzima, na hazina zote na utajiri unapatikana kwake.
Maana yake Bwana hafungwi na muda katika kuzitimiza ahadi zake…
I’d wish to learn more about the bible
Nataman sana kumjua Mungu
Hili neno Lina maana gani” Kwa Bwana siku Mona ni Kama miaka elfu na Miaka elfu ni Kama siku moja”
Bwana Yesu asifiwe! Nna abudu kkt lakn naona nna uhaba wa kuckia neno la Mungu,yaana Kuna wakat nataman kusikia nikihubiriwa au nisikie mahubir nijisikie vizuri,yaan ni Kama mtu mwenye kiu,asa najaribu tafta mahali pa kuabudu tatizo nitajuaje Kama ni sahihi na Kristo anaubiriwa kwa usahihi??
Jaribuu kuwatafuta waadventista wasabato popote ulipo watakusaidia
asante kwama fundisho
samweli@88/wwwdtcm
Dua nine no la kiswahili!
Ndio, dua ni neno la katika lugha ya kiswahili.
Mm nawapenda sana pia naomba mniunga ishe kwenye wasap 0672992163pia jinsi ya kudiwnload
tayari ndugu tumeshakuunga
Nami Naomba uniunge WhatsApp number yangu 0763345391
Tayari nimeshakuunga ndugu. Bwana azidi kukubariki.
Niunge na Mimi nijifunze neo la Mungu. 0621310411
Sawa ndugu
Ninaomba kutumiwa masomo ya jinsi hii Mara yatokapo Barikiwen na Kristo
Amen Bwana azidi kukubariki nawe pia.
Thanks for good explanation about the first of everything for our God my self I got something new for my life thanks be blessed you all.
Hapana ndugu unahitaji mafundisho zaidi ili kuujua uwepo halisi wa Mungu na utendaji kazi wake.na yakupasa ufunuliwe pia na roho mtakatifu.
Ni Shida ya Kutokuwa Tayari kuupokea ukweli.. Mimi ni Muislamu, maelezo ya muandishi yamenyooka vizuri .. Kama tumekwenda Shule japo kidogo tutajua kuwa, Mfano katika Lugha ya Kiingereza kuna PLURAL OF NUMBER & PLURAL OF RESPECT.. (Kuna aina 2 za wingi) .. Wingi wa Idadi na Wingi wa Heshima .. Aweza mtu kuzungumza kwa Plural Form na akajikusudia mwenyewe.. .. Na hivi ndivyo Mayahudi, Waarabu pia wanavyozungumza..
Asante kwa neon la uzima. Nimebarikiwa. Neema ya Bwana wetu YESU KRISTO iwe nasi sasa na hata milele zote. atusaidie kuliishi neno lake, ili tuwe nuru iangazayo gizani
naomba niumgwe kwenye masomo
mtumishi wa mungu 06889966620
shalom namba yako ni kama haipo
Ahsante sana nimejifunza mungu awabaliki kwa ujumbe huu mkubwa. Bila matumaini maishani ni sawa na kuwa na giza kubwa.
Kweli kbs
Barikiweni sana watumishi wa mungu na asila neema kutoka kwa mungu alie mbinguni kama vinye aliniasilia mimi
Amen..asante sana…na kwako pia iwe hivyo hivyo
tofauti ya unabii wa Danieli. na ufunuo wa Yohana?
Ni neno lenye kujenga
Nilikuwa nahitaji kitabu Cha mafundisho ya kipa imara
Fungua hapa >> kipaimara ni nini?
Asante Kwa tafsiri yako
Hongera mtumishi wa Bwana. Mungu akubariki, akutie nguvu.
Amina nawe pia ndugu yetu..
Naomba Kujua Wale Mamajusi Walikuwa Ni Kinanani? Na Kaz Yao Ilikuwa Ni Ipi?
Unaweza kupitia hapa ndugu >> https://wingulamashahidi.org/2020/12/28/swali-wale-mamajusi-walikuwa-ni-wakina-nani/
MUNGU akubariki
Naomba somo la nyakati saba
Naomba muwe mnanitumia mafundisho
tutafute kwenye namba hizi ndugu +255693936618
Ukurasa unafundisha vitu vizuri sana Mbarikiwe kwa Huduma hii. Mimi ninaomba kutumiwa mafundisho yanayotoka kwny what’s what’s app namba 0784511966 au kwa email namba Njia ambayo mtaona rahisi kwenu kwa kiswahili. Be blessed
Nimeshakuunga tayari.
Mungu kubariki nimesoma na kukubaliana 200% , suala hili linatumika vibaya ndio maana wengi wanadhani kuwa na Theolojia , Sayansi nk pasipo kulijua Neno kwa kuongozwa na Roho wa Mungu wamefikia KIMO , ukweli hauwezi kupata matunda. Matokeo yaliyopo kwa makanisa mengi ni migogoro mingi kutokana na kuhitimu Elimu ya Dunia hii.Kwa nini walezi wa Bwana Yesu hawakumpeleka shule wala Yeye kutafuta badala yake alidumu kuchambua Torati na Kuuliza maswali ?
Mungu akupe I mean
Nabarikiwa sana na masomo yako, Mungu akuoe hekima zaidi na maarifa km u ngali ktk huduma ya kujemga kanisa
Amen asante sana, nawe pia Mungu azidi kukubariki!
Mungu azidi kukubaliki mtumishi katika mafumdisho yako haya,Mimi ningependa unisaidie ni kwa namna gani naweza kufunga maagano ya laana yaliyopo kwenye maisha yangu na familia yangu
Nawe pia ubarikiwe.. Unaweza kufunga maagano hayo, kwa kuingizwa kwenye agano lingine lili bora zaidi na lenye nguvu zaidi ya hayo, na hiyo ni kwa kumwamini Yesu Kristo na kubatizwa katika jina lake. Ukikamilisha hayo, Mungu atakufungua katika maagano yote ya laana unayoyajua.
Nimebarikiwa sana Na nakala hii Mungu aendelee kukupa karama tujue vingi zaidi
Great God Bless
Nafuatilia mafundisho mengi mnayoyatoa katika blog hii kwa kiasi kikubwa kimebadilisha ufahamu wangu na kuyajua mengi katika Neno la Mungu. Naomba kuunganishwa kwenye group la Whatsapp Namba hii: 0789 877 627
sawa ubarikiwe zaidi
naomba nami mniunge whatsapp namba yangu hii 0784263004 nabarikiwa sana na masomo tafadhali niunge admini nakuomba
Kila mwisho wa somo ipo link ya group, naomba ubofye hiyo na utakuwa umejiunga na group la masomo ya kila siku.
Nawasalimu katika jina la Bwana Yesu Kristo. Na mimi navutiwa sana na mafundisho yenu,naomba muniunge na mimi please.
Kama itawezekana muniunge kwa njiya ya whatsapp +256766017713
Amina karibu sana na atuzkuzwe Bwana, tuandikie namba zako tafadhali, au waweza kujiunga moja kwa moja kwenye channel yetu ya whatsapp kupitia link iliyopo kila mwisho wa somo jipya..
Naomba mniunge kwenye group namba 0614128463
Samahan naomba kujua maana ya jina Anicia
Maana yake “Asiyetekeka”
Naomba kujua maana ya Jina Atnes
mathayo 28.16.20 jibu lako kajifunze biblia
Hae OK
Nimeipenda blog yenu inanipatia taarifa makini
naitaji mafundisho zote
Adimin huna group la whasssp uniunge
tunalo tuandikie namba yako..au tutafute kwa namba hizi +255693036618
E
Asante. Tuendelee kutiana nguvu ili kuifikia toba.pata email yangu,tuendelee mapambano dhidi ya adui shetani
Ibarikiwe mtumishi umenifungua sana Leo kazi yako mi njema
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana ujumbe wako umenibariki na kuzidi kuchochea Imani yangu.
To GOD be the glory Halleluyah……let’s praise the lord for his almighty.
Leave your message nakusalimu bwana asifiwe Niko na upungufu kitogo kufusia Watoto kanisani ukiwesa usumame nami
Mm cjaota , nilikuwa macho ilikuwa n usiku na kwambali nilikuwa nasikia sauti ikiniambia ninanguvu na Nina uwezo mkubwa wakuisaidia familia yangu, gafla kwenye ile sauti ukaje mwanga wa blue na mwoshi mweusi na ule mwanga wa blue ukawaunarudi nyuma na ule mwoshi wa mweusi ukanivaa nikahisi maumivu makali sana ndan ya masikio yangu , msaada plz
Asante Sana kwa hayo mafundisho Mungu akubariki
Nimefurahia somo,ni kweli.Mungu akubariki kwa fundisho hilo.Mungu atuokoe.
Amen,mafundisho yamenisaifia sana
Admin naomba niunge group la WhatsApp kujifunza mambo ya Mungu. Namba ni 0621310411
Naomba uni2mie sehem iliyoelezea rozari takatifu
Naomba kujua maana na asili ya jina la Scola na Julieth
Maana ya dylan,Kayden caiden
ASANTE SANA KWA NENO ZURI’ MAFUNDISHO MAZURI’ YAMENIJENGA KIROHO.
Nimejifunza jambo mtumishi..barikiwaa
Amina mtumishi, ubarikiwe sana
Nimeshukuru sana, nimepata kusoma na kujifunza jinzi ya kuomba, pata email address yangu uendelee kunitia ngufu kiri.Asanteni
sawa
Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa MUNGU. Nimekuwa nikiota ndoto napaa hadi mawinguni kama ndege nikiwa naenda sehemu fulani. Nakuwa nafurahi sana kuangalia chini nikiona mawinguni, mito na misitu mingi ya kupendeza. Wakati mwingine nakua nakimbia mbio ila kwa spidi isiyo ya kawaida. Nini maana yake ?
ili kupata ufahamu wa ndoto za kupaa fungua link hii https://wingulamashahidi.org/2019/10/11/kuota-unapaa/
Kwa mara ya kwanza natoa comment kwa post hizi za Google kiukweli nimejifunza kitu kikubwa sana Mungu akubariki sana. 🙏🙏
Ev.Jackson.T.Temba Nimefurahishwa na kujifunza somo zuri kuhusiana na kuvunja madhabahu bado nintaendelea kufuatilia makala zako kwa faida ya kuujenga Mwili wa Kristo Pokea baraka kwa kuwafundisha watu kweli ya Mungu kwa usahihi
Amen twashukuru kwa baraka zako, Mungu akutunze nawe pia.
Shalom…naomba kuuliza Biblia inaposema kuwa makabuli yatawatoa wafu, vivyo hivyo bahari, je hawa watakao toka/fufuliwa makabulini ni watu gani ikiwa mtu akifa anaenda mbinguni au jehanam?
Ni sahihi ubarikiwe na Bwana.
Bwana Yesu Asifiwe ! Nimebarikiwa sana na maswalli ambayo yamejibiwa kama somo .Ukweli makanisani wakristo wengi hawapewi nafasi ya kuuliza ndio maana ujinga upo kwa kiwango kikubwa sana. Kuhani Mkuu alifundisha au kuhubiri na kuuliza au kuulizwa maswali mengi kuhusu Ufalme wa Mungu na maisha yao wanafunzi.Mitume,Manabii , Pastors , Wainjilisiti na Waalimu hutumia kigezo Roho wa Mungu asema au amefuliwa hivyo. Lakini ikumbukwe kuwa Mkristo anaitwa Mwanafunzi wa Yesu , SASA atafikia kimo cha utimilifu au kushinda majaribu vipi pasipo kulielewa Neno la Kristo ? 0769060708 whatsapp /0715198831
Sijaelewa vizuri rudia tena kuelezea
Ahadi zake ni uzima wa milele mwishoni,
Ahadi za Mungu juu ya maisha ya wamchao ni zipi?
Nimebarikiwa….
Bwana akubariki zaidi
Nashukuru kwa marifa haya, ubarikiwe na BWANA!
Nimefatilia somo hili kwa ukaribu na baadhi ya maswali yakajengeka kichwani Mwangu. 1.kwa maelezo hayo Inaonekana Adamu alikuwa anajua kilicho tokea kabla ya yeye kula tunda; maana kama alikuwa hajui kilicho tokea, yeye kosa lake lilikuwa wapi maana aliye zini ni haw(Eva)a hiyo hatia inakuwaje kwake? Au walitakiwa kuishi kama kaka na dada? Kwamaana nyingine basi hawa(Eva) alitoka nje ya ndoa kwa kushawishiwa na nyoka aliyeingiwa na ibilisi wafanye uzinzi,na kwamaana hiyo adamu, baada ya tendo hilo nyoka na Hawa alitakiwa asikubali kula nae tunda?
2. Nmeona kunakifungu mtumishi umeeleza kuwa kama wangekula matunda ya kawaida wasingekimbilia kuficha sehemu zao za siri, swali langu naomba kujua je hapo awali walikuwa wanavaa nguo?
3. Kwenye Biblia imemtaja vizuri nyoka/Joka(Serpent) hasa ktk ufunuo kama ni ibilisi na shetani Ufunuo wa Yohana 12:9 “[9]Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye.” Na sifa kubwa ktk Biblia ya nyoka huyu alikuwa ni mwerevu. Hizi sifa nyingine mtumishi tunaweza kuzisoma wapi?
Naomba msaada mtumishi nipo kujifunza, nimetatizika kidogo!
Nashukuru kwa somo zuri, kazi yako ni njema utalipwa na BWANA.
Amen. Uzidi kubarikiwa sana nawe pia..
Nimeelewa sana 🙏 nashukuru ubarikiwe sana 👏
TUMEBARIKIWA NA KAZI MNAYOIFANYA WATUMISHI WA MUNGU
Amen uzidi kubarikiwa nawe pia
MUNGU AWABARIKI KWA HUDUMA NZURI MNAYOIFANYA
Amen nawe pia uzidi kubarikiwa na Bwana
Mbarikiwe Sana na Mungu wa Israel aliye hai nimesoma kwa msaada wa Roho Mtakatifu sijatoka kapa
Nini maan ya wisdom
Wisdom ni neno la kiingereza. Tafsiri yake ni “hekima”
Niunge kwenye watsap group if possible ubarikiwe mtumishi
Nimependa ufafanuzi huu wa Neno la Mungu. Naomba niwe napata mafundisho haya kwenye e-mail address yangu ambayo ni bettykanza@yahoo.com
Shalom, tayari nimekutumia email ya kukamilisha maombi kwenye inbox yako, unaweza kutazama na kukamilisha subscription ili masomo yawe yanakufikia moja kwa moja kwenye email yako, kila tunapoyatuma.
Amen ubarikiwe sana na Bwana Yesu.
Kama ungependa kuyapata kwa njia ya whatsapp unaweza kututumia ujumbe kwa namba hizi +255 789001312.
Bwana yesu kristo asifiwe asante Sana kwa mafunzo yenu katika hii page, nimebarikiwa Sana. Ningeomba mzidi kunitumia mafunzo haya, yanaweza Kusaidia kanisa ambalo ninahudumia hapa inchini Kenya.
Nimebarikiwa sana na mafundisho haya na ninatamani kuendelea kuyapata kwa email hata watsap
Ubarikiwe…Tumekutumia email ya kuthibitisha maombi, hivyo unaweza kuingia kwenye email yako, kuthibitisha.. Pia ikiwa utayahitaji kwa whatsapp, tutumie ujumbe kwenye namba hii tukuunganishe. +255693036618
Bwana Yesu asifiwe,Yesu alivyochomwa mkuki ubavuni damu na maji vilitoka,hiii inamanisha nini?
fungua hii link >> https://wingulamashahidi.org/2018/07/19/nyakati-saba-za-kanisa-na-wajumbe-wake/
Good message
Shalom,Nitumie hilo somo la Nyakati Saba za kanisa
fungua hii link ndugu https://wingulamashahidi.org/2018/07/19/nyakati-saba-za-kanisa-na-wajumbe-wake/
Amen,asante sana Mungu awabariki
Letcia Kuabudu mahali sahihi zaidi panategemeana na hali ya mtu rohoni ilivyo kwa wakati huo, hiyo ndiyo itakayoeleza mahali sahihi kwake pa kuabudia ni wapi.. Hivyo ikiwa huwezi kuongozwa tena na litrujia na badala yake unataka kuongozwa kwa Neno la Mungu., basi nakushauri tafuta makanisa ya kiroho yatatimiza haja ya roho yako, kwa wakati huu. Nami pia napendekeza iwe hivyo kwako, Bwana akuabriki.
mungu akushushie neema uzidi kutufunua
Safi sana mtumishi nimebarikiwa pia nakubaliana na mtazamo na msimamo wangu tusichanganya utekelezaji kwa kuchukua sehemu ya ule wa Sheria ya Torati ya Musa , tutashindwa kwa kutokuzingatia maelekezo ya Bwana Yesu.
Nguruwe ni harali kuliwa
Kuptia masomo haya nlijifunza kuhusu ubatizo,nkafanya maamuz ya kubatizwa kwa maji mengi,nlibatizwa kwa maji ya kunyunyiziwa awali ingali mchanga,sasa nimejua kweli je ni sahihi kutafta dhehebu lingne maana Mimi naabudu k.k.t,natamani kumjua Mungu zaid na kuongozwa na Roho Mtakatifu,n si vtabu au litrugia km ilivyo ktk ibada ktk dhehebu hil
0756678553 naomba kuungwa kwenye kundi la whatsapp
tayari ndugu ubarikiwe
Kutairiwa kwa kukatwa magovi ni halali ?
Amen Unaweza kufungua hapa >> https://wingulamashahidi.org/masomo-mapya/
Utayapata kwa wingi.
Mungu akubariki sana
Bwana Yesu asifiwe mtumishi waBwana, natamani sana kuendelea kuyapata mafundisho ya neno la Mungu toka kwako kama itawezekana naomba uendelee kunitumia masomo mengine.
May god bless you Mr. Nam nakuomba muongo said,,
Karibu unaweza kuyapata masomo zaidi kwa njia ya whatsapp, kupitia namba hizo hapo juu.
Admin Niunge kwenye group namba 0752360805
Tayari tumeshakuunga ndugu yetu.
Nakushauri kama hujui ndoto usiandike makala kwani unakera sana kwa tafsiri zako mbovu.
Be blessed!
“God bless you servant of God”
Asante sana tumsifu yesu kristo amen
Please add me on WhatsApp number 0627180347
Tayari ndugu..
X-MASS POA BRO
Amen!
Lipo group whatsapp, tutafute kwa namba zilizopo kwenye tovuti hapo juu.
tutafute whasapp kwa namba hii ndugu +255693036618
Mtumishi wa Bwana napenda sana kujifunza neno la Mungu nitafurahi sana nikiwa nayapata mafundisho haya ya neno la Mungu
Mtumishi wa Bwana hongera kwa huduma ya Mungu aliyoiweka ndani yako ubarikiwe sana. Umeainisha vichwa vya masomo mazuri sana hapo juu sasa, nitayapataje masomo hayo?
Asante Sana Pia Ndugu, Uzidishiwe!
Amen, Asante
Asanteni sana na Mungu awabatiki
Mungu akubariki. Naomba kuuliza, “umesema utawala wa kipapa wa kidini umeanza karne4 na kutiwa jeraha la mauti kipindi cha wanamatengenezo, ukatawala wake ukawa haupo, Sasa kwa muda mtawala ni yupi? Maana bado hajaja bado.
Nan alianzisha krismas au krismas alianzisha na ilianzishwa mwaka gani?
Fungua hii link ndugu
https://wingulamashahidi.org/2019/12/03/krisimasi-christmas-ni-nini-je-ipo-katika-biblia/
Maana ya Ivan
Mimi ni kijana wa miaka17 djana usiku nililota ng,ombe ikinifata tena ng,ombe dume naomba unitafsiye ndoto hii asante.
Kanisa katoliki lilikuwa hata kabla ya yesu kukuja duniani, ndilo lililomsulubisha yesu. Na baada ya yesu. Likaendelea kupinga injili likidhani litaizimisha, na baada ya kushindwa, likajiunga na kanisa la kweli, ili liweze kupinga injili kisiri. Na likaweka makao makuu kule roma. Kuanzia hapo roho mtakatifu akaondoka hapo.likabaki kanisa la kimwili. Na ndio mwanzo wa makanisa mengi hapa duniani.
Asante kwa utafiti naomba kujua maana ya Julius,Enock,Dorcus,Ivy
Ubarikiwe na bwana.Nawezaje kupata mafundisho haya a kila siku
Tayari nimeshakuunga ndugu kwenye kundi la whatsapp.
Bwana akubariki sana.
Samahani mtumishi, Kwani MUNGU alivo mwambia Musa ajichongee sanamu ya nyoka wa shaba alafu wamisiri wakiangalia waishi je unaweza kunifafanulia hapo? Maana ndo MUNGU huyo huyo aliye kuwa amekataza kuchonga sanamu yoyote si mfano mbinguni au duniani
Nafikiri utakuwa unamaanisha wana wa Israeli wakiitazama wapone na si wa Misri..
Kujua ni kwanini Mungu alitoa maagizo hayo unaweza kusoma kwa kufungua hapa >>> https://wingulamashahidi.org/2020/10/07/jihadhari-na-uongo-wa-shetani-unaokaribiana-na-ukweli/
Mungu awabariki kwa kazi nzuri
Bwana akubariki mpendwa mtumishi wa Bwana,nimefarijika na NENO hill”kuyatafuta yasiyoonekana”
NAPENDA SANA KAZI YENU KWA KWELI MUNGU AWABARIKI SAAANA MMENIFUNGUA KWEL!
Amen, namba yetu ni hii +255693036618 au +255789001312 .. Na Mungu akubariki kwa moyo huo.
Nazidi kubarikiwa sanasana na masomo yenu.Nimeanza kusoma saa 10 usiku..sasa ndio naona niishie hapa kwa Leo.Masomo yote yamenigusa,yamenionya,yamenijenga..natamani kwenda mbinguni kwa Mungu…lkn kuna kazi ya kudanya hapa duniani kwanza!!May God bless you richly!! Je, kuna no yenu ya simu kila mwezi niwatumie 5000(elfu tano?)Nitumieni no hiyo!
Mbarikiwe Sana nitachangia ili injiri ya BWANA izidi kufika kote duniani na kufanya watu waokoke au wabadilike na kuishi maisha yakumpendeza MUNGU Kama Mimi nilivo badilishwa. Amina
Amina, Bwana na akubariki, kwa moyo huo wa kuipenda kazi ya Mungu..
Umenfungua pakubwaaa mungu awabarki abariki kazi ya mikono yenu
WhatsApp number 0715677686 Naomba mnitumie ujumbe wa habari njema mtumishi
sawa ndugu.
Ubarikiwe mtumishi kupitia ujumbe wako nimekuwa Mwanafunzi wa YESU, ubarikiwe Sana mwisho wa dahari tukutane Paradiso
n kweli fafanua
YANI sijutii kufatilia blog hii kwakweli MUNGU awe nanyi,
Mungu awabariki sana kwa somo hili zuri la kujenga
Thank you
Allah atuepushe na upotofu wa shetani Amina
Kwa kweli nimefurahi saana kwa kufuatilia hii! Naomba tuwasiliane kama hutojali +255747660013
Acheni uongo kanisa katoliki lilianza tu baada ya Kristo kufufuka. Mitume walianza kusali wakiumega mkate. Hujui kabisa historia ya kanisa katoliki
Tupe ushahid wa kihistoria kuhusu kanisa katoliki kama wenzio,maana unabisha lakin hautoi fact,sisi tunataka kujifunza hapa
Sijabatizwa,nahtaji kubatizwa ubatizo wa maji meng
tutafute kwenye namba hizi 0693036618 au 0789001312
Je hivyo vitasa7 ni nini? Naomba nitumie domo hilo
Je hivyo vitasa7 ni mini? Naomba nitumie somo hilo
Fungua hapa ndugu 👉 Vitasa saba
Hi admin,I’m so blessed by your messages.can I get some. More through my mail?
Shalom. Nimekutumia email ya subscription, hivyo ifungue kisha fuata maelekezo na masomo yatakuwa yanakufikia moja kwa moja kila tunapoyatuma.
Mungu akubariki.
namwamin mungu ndyo mweza ktk maisha yangu yote
Ningependa kupata watsap mafundisho haya namba ni 0622491873
Nitmie ich kitabu
Mafundisho aya yamenisaidia sana Mungu awabariki watumishi wake nakuwatia mafuta mapya.
Amin mungu juu
atukuzwe mungu wa mbinguni
GRATION
habr? naomba kujua maana za majna yafuatayo,elia,briht,denice,nova
Habari, naomba kujua maana ya marina Larson na Lewis.
Asante kwa kaz nzur, Mungu awabariki, naomba niunge ktk group namba yngu 0712224315
Leave your message Napenda neno la mungu sana
Amen, ubarikiwe, usiache kulipenda
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu.hapo umepiga kwa dhambi hiyo wengi wamejisahau wameona kutenda dhambi hiyo ni kawaida.hawamwogopi mungu.
Mafundisho ni mazuri sana Mungu awabariki kwa kazi njema mnayoifanya.
Amen ubarikiwe pia.
Bwana yesu asifiwe sana. Mimi nimeokoka yesu ni bwana, ningetaka pia mimi nijumuishwe kwenye kikundi hiki kwasababu mafundisho haya yananijenga sana kiimani
Amen. Unataka uunganishwe kwa njia ipi?
Kwa njia ya WhatsApp nisikose neno au mafundisho.
tutafute kwenye namba hii +255789001312, whatsapp tukuunge.
Ndugu Shalom, Mungu akubariki sana kwa huduma nzuri ya Neno la Mungu. Nimepitia sehemu ya masomo yako kidogo na nimependa sana tena ubarikiwe. Naomba kwa kadri ya upatapo nafasi unitumie masomo yanayo husu madhehebu namna Shetani anavyo yadanganya na kuyatumia katika kipindi hiki cha mwisho. Lakini pia nakusihi katika Bwana unitumie pia masomo mbalimbali ili niendelee kujifunza kupitia kusoma kumbe hizi zenye Ufunuo wa Mungu sahihi. Ameni. Simu yangu ni 0626619369, au kwaziada 0621036527 hii zaidi sana ni WhatsApp.
Mbarikiwe sana na Bwana wetu YESU KRISTO
Naomba kujua maana ya jina “Mwadina”
Naomba kujua maana ya Jina AGNESS
Uko Vizuri
shukran
Nabarikiwa na haya masomo mnayofundisha ombi langu naombeni mnitumie somo kuhusu mapenzi ya mungu na jinsi ya kuomba maana mimi huwa sijui nianzie wap wakat wa kuomba hivyo nakuwa kwenye wakat mgumu NAOMBA MNITUMIE KWENYE EMAIL YANGU majaliwacharles57@gmail.com
kufahamu namna ya kuomba fungua link hii ndugu yetu >> https://wingulamashahidi.org/2019/10/06/zifahamu-hoja-saba-zenye-nguvu-mbele-za-mungu/
Maomb mniadd 0752945620
Tayari ndugu..Ubarikiwe
Ahsante mkuu ubarikiwe
Mkuu wa uzima, Yesu Kristo akubariki.
Amen, asante na wewe pia, Akubariki
Barikiwa sana kwa somo hili Mtumishi wa Mungu! Nimejifunza kwa Utukufu wa Mungu.
Is this going to happen next year
Vp mm nataka kujiug filimason
Tunaomba usome tena hilo somo taratibu, ndugu yetu.
hii ndio kweli halisi isiyo ghoshiwa
Mwenyezi Mungu ndiye kimbilio langu kamwe sitamwacha aende zake bali nitamngangania mpaka siku yanyu yakihama ,jina la Bwana lihimidiwe amen.
Kwa nini pilato na herode awakupana?
Walipatana.. fungua hapa >> HERODE NA PILATO, MAADUI WAWILI WAPATANA.
Kama tatizo ni kupoteza muda je kushinda kwenye face book penyewe sio tatizo?
Inshu sio kushinda facebook, inshu unashinda unaangalia nini?
By the way social media zote ni mitego ili watu wawe wazembe wasifanye kazi yenye Baraka kwa Mungu.
Kuna watu wanajipatia kipato kwenye social media, lakini wanatawaliwa na dunia, na wengine hawajikabidhi hata kwa Mungu
Mungu akubariki Sana mtumishi, nashukuru nimepata kitu Cha kujifunza. Mungu atukumbuke na kutuokoa na chukizo la Uharibifu… Amina
Leave your message/naomba mnisaidie maombi yangu mazito
kwa namna gani ndugu yetu?..Je umeamua kumpokea Kristo leo kwa kufuatisha sala hiyo hapo juu?
Hakika ukiijua kweli ya Neno LA Mungu utakua huru kwelikweli Bwana atusaidie tuzidi kuwekwa huru kweli Kwa Neno lake LA uzima
Amen nimefurah Sana kuujua ukweli kuhusu ili somo LA hawa ma aliens mana nlshaskia watu wakisema dalili za kuja Kwa Yesu kna ishara za viumbe hawa znaonekana huko ulaya kumbe ni ujanja wa shetani kuendelea kuudanganya ulimwengu nyakati hizi za mwisho.Mungu azidi kuwabariki Sana mashujaa .Tukiwa ndani ya Kristo tutaifahamu kweli na kweli itatuweka huru
Kuna udanganyifu mwingi upo duniani kwasasa, hivyo ni kuwa macho tu, katika utulivu wa Roho huku tukifunza Neno la Mungu kwa bidii.
Asante kwa tafsuri yako, ukweli unaweza
Ubarikiwe kwa kujitoa kwako naomba kujua maana y jina lulu
Lulu ni Madini..Fungua hapa utapata kuelewa kwa urefu >> LULU
Leave your message nimebarikiwa sana Mungu akubariki
Maana ya jina Lazaro
Lazaro maana yake “Mungu amesaidia”
Samahani naweza kupata historia za hawa wajumbe wa kanisa kuanzia clenius mpaka Martin Luther nataka tu kushibisha ufahamu ,
Awezaye kumlinda mtu kutokamana ni kila aina ya shari ni mungu tu ambaye hana mwana wala hana ndugu yeyote katika ulimwengu huu
Asante Kwa Somo
please provide me with the meaning of the name Dianna, Iscka, Javeline, Deborah, Quinter, Yunis
Debora ni jina la kiyahudi lenye maana ya “Nyuki” Hayo mengine sijapata maana zake.
Niliota et mpnzi wangu amenunua gari zuri jeus lakin hilo gar hakuliendrsha mimi nilipanda hilo gar badae nikajiona npo na mwanaume mwngne kne hilo gar lakon kiti cha dreva hakikua na mtu tukajiona tumefika sehem alikuwepo huyo mpnz wngu tukawa tunamsubir apande ili atuendeshe akawa anaosha samak lakin hakupanda. Ina mana gani??
Mungu ni mwema ,.kustahimili isia zako ni jambo la maana sana na kutumia akili na sala
Amen twashukuru kwa baraka hizo.
NAHUKURU SANA KWA MAFUNDISHO MEMA MUNGU ALIYOTUPATIA KUPITIA MTUMISHI WKE WEWE NINA IMANI NI MSAADA KWANGU NA VIZAZI VYETU VYOTE KWANI YATAVIONGOZA KATIKA NJIA IMPENDEZAYO YEYE NAAM NAOMBA MUNGU AZIDI KUKUBARIKI
Ukitia Nia ya kujifunza, ni uhakika Bwana hatakuacha, atakufundisha na kukufunulia mengi usiyoyajua..Unaweza kufungua link hii, kujifunza zaidi>> https://wingulamashahidi.org/2020/01/20/jinsi-roho-mtakatifu-anavyowafunulia-watu-maandiko/
Lakini Pia kama utapenda tuwe tunakutumia mafundisho ya Neno la Mungu ya mara kwa mara whatsapp, basi tutafute kwenye namba hii : +255789001312
Thank you for the teaching am glad to know more about the word of God my question is how will I able to understand the bible coz am interested to know the word coz the word is our light
Please add me on WhatsApp 0768357644
Barikiweni na bwana
Ubalikiwe kiongozi kwa elimu ulionayo unaeza ntumia hyo kitabu na mimi nipate kukuza maalifa. abdullauf90@gmail.com
Naomba kujua maana ya Jonathan
Jonathan au Yonathan, ni Jina la Kiyahudi lenye maana ya “Yehova ametoa”
Nafatilia mafundisho yenu kwa karibu sana. Yamenijenga kwa sehemu kubwa sana. naomba mniunganishe kwenye grup lenu. 0755 682 410
Tayari ndugu, ubarikiwe..
Nimebarikiwa na maandiko haya
Amen ,,,neno zuri sana,,,,nisaidie namba yako mtumishi
namba yetu ni hii +255789001312
Amina sana!
Amen! nawe pia.
Apo nimekwelewa haswa
Mimi nataka kujiunga
Je umelisoma hilo somo mpaka mwisho?
Nimeota ndoto ya mafuriko kwa kiasi kikubwa,pia nahitaji maombi mwili wangu dhaifu
Zidi kuingia kwenye maombi, Bwana akuepushe dhidi ya mafuriko yote ya adui yaliyopangwa kinyume chako..Pia nakuombea kwa Jina la Yesu Bwana akupe kuwa mzima katika mwili wako.
Nimependa naomba kuungwa kwa group 0744777111
Tayari ndugu..Ubarikiwe.
Naomba uni add kwa group mpendwa 0682342682
Sawa tayari…Bwana akubariki
Naomb na mim uniunge 0747790771
Tayari ndugu..Bwana akubariki
Nimebarikiwa?
Asante sana msikate tamaa lakini hata hivo siku hizi kuna mavazi siyo ya kiume wala sio ya kike yapo tu kwa hajili ya kuwaharibu walimwengu .kuna suluali za kiume zinazo bana saaana na vijana wa sijuhizi wanazikimbilia sana .mungu atusamehe vijana naomba mbadilike ufalme.wa MUNGU unatekwa na wenye nguvu
Naomba kujua maana ya jina babrah
NIMEBARIKIWA!!
Asante saana.. ubarikiwe
Mm nipo tofauti nikiota sinful wameongozana ni msiba na pia nikiota siafu wamenipandia pia ni msiba unaonihusu 😭😭😭😭😭 nmeota siafu wengi wamenipandia na ndio napoteza tumaini na njia yangu ya pekee
Wasiliana nasi kwa namba hizi 0789001312
Barikiwa sana Mimi nmejitenga na dini na madhehebu yote kwa sababu hiyo mafundisho mengi yanamuakisi shetani Nasonga mbele kwani Mungu ni roho na yuko ndani yangu
Mwenyezi Mungu azidi kuwapa Neema
ningependa kupata masomo mengine zaid
Kwa njia ipi ndugu, kama ni kwa email tuandikie email yako, na kama ni kwa whatsapp tutumie namba zako au tutafute kwa namba hizi +255789001312
0678 455 206 Napenda kufaham Yesu Kristo Zaid Na Asili ya Sabato
Nimependa haya masomo, Napenda kujifunza zaidi. 0628464800 Whatsapp.
Naomba kutumiwa kwa email mboziwoca@gmail.com
Amen yatakuwa yanakufikia…pia unaweza kuyapata kwa whatsapp
Add me on whatsapp
weka namba zako ndugu
0713329796 WhatsApp number
sawa ndugu
Krimas je.
Amina. Bwana azidi kukubariki.
Hv krimas na pasaka ni shelehe
Pasaka Ni Siku iliyo kuu ya wayahudi (Sikukuu)
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu
Asante kwa funzo nzuri
Tupe ishara/ vitu vinavyoonyesha kuwa kanisa katoliki wanakosea
Mambo yanayofanyika hayaendani na Neno la Mungu.
MTUMISHI MIMI NAITWA ANISETH NINA MIAKA 29 NIPO MWANZA NAPENDA KUULIZA SWALI MIMI NILIFANYA KOSA KAZINI LA WIZ MARA YA KWANZA NKAKIMBIA KABISA KAMA MIEZ MITATU NIKARUDI KAZIN WAKANIIITA TENA BADO SIKUBADILIKA NIKARUDIA TENA WAKANIFUKUZA ILA NATAMAN NIOMBE MSAMAHA LAKIN NAONA AIBU ATA KUMSOGELEA BOSS WANGU ATA NISIPO RUDI KAZN ILA ANISAMEE TU MAANA KILA NIKIKAA NAONA KAMA NAMAKOSA SANA NINA TUBU ZAMBI ILA BADO NAKUWA CJIAMN KAMA YULE MTU ATAKUWA KANISAMEE MAANA BIBLIA INASEMA UNAPO KOSA MFATE ULIE MKOSEA UMUOMBE LADHI UTAKUWA UMESAMEEWA DUNIAN MPKA MBINGUN EBU NISHAURI MAANA NIMEANZA KUSALI LAKN NAITAJ USHAUR KWA HILI
Shalom. Umefikiri vyema kutafuta njia ya kurudi kuomba msamaha, hatua uliyopo sasa ni kutubu mbele za Mungu wako kwa kumaanisha kuacha dhambi zote, sio tu wizi bali na nyingine zote, na kuyakabidhi maisha yako kwa Kristo, na kuwa mkristo.
Na baada ya hapo ili kukamilisha toba yako, rudi kwa boss wako kamwombe msamaha, kiri kwamba uliiba mara ya kwanza na mara ya pili, Na kama unataka kurudi hapo mwombe akuweke nafasi ya chini, sio tena ile uliyokuwepo..kwa kufanya hivyo atajua umetubu kweli, na kuna uwezekano akakurudisha katika ile nafasi uliyokuwepo, mfano wa Mwana mpotevu katika Luka 15:11-24 (Kaisome hiyo habari kwa muda wako). Lakini utubu kwa kudhamiria na sio kwasababu unataka tu urudi kazini.
Fanya hivyo usiogope kwenda kuomba msamaha, hakuna mtu anayemchukia mtu mnyenyekevu na anayejishusha.
Nimebarikiwa sana na haya Mafundisho
NAMSHUKURU SANA MUNGU,KWAKUA AMEWEKA MAARIFA MAKUBWA NDANI YENU,HAKIKA YEFANYIKA BARAKA SANA KWANGU,YESU AWAKUMBUKE KATIKA UFALME WAKE!! KAZI YENU NI NJEMA “NENO LISILO GOSHIWA”
Amen nimebarikiwa pia kwa somo Mungu wa mbinguni akubariki…zidi kutuelimisha
kwakweli naunga mkonoooo
Amen!, je umempokea Yesu ndugu yetu?
Amen amen ubarikiwe sana mteule wa BWANA YESU 🤝
🙌🙌🙌 Amin Ongeza sauti mtu wa MUNGU Ubarikiwe sana
Napendelea kufuatilia mafundisho haya.
maana ya jina Gerald ni ipi?
Maana yake ni “utawala wa mkuki”….kwa kiingereza “Rule of the spear”
Mungu akubariki sana mtumishi, umelifafanua neno vyema sana kwa maandiko ya ki Biblia. Ubarikiwe
Amen nawe pia ubarikiwe na Bwana ndugu yetu
Je nini maana kuota unachimba viazi vitamu kwa shamba yako?
Inategemea na maisha unayopitia, ikiwa shughuli zao za mara kwa mara ni za shambani hususani katika kazi hizo ni rahisi ndoto kama hizo kujirudia ulalapo Mhubiri 5:3, hivyo kama ni hivyo kwako basi ujue ndoto hiyo haina maana yoyote rohoni, lakini ikiwa sivyo na imekujia kwa uzito fulani, inaweza ikawa ishara ya Mungu kukufungulia milango ya riziki huko mbeleni.
Biblia inasema. Ayubu 28:5 “Katika ardhi ndimo kitokeamo chakula; …”. Unaona, hivyo ikiwa utakaa katika hali ya kuyatenda mapenzi ya Mungu, basi ipo milango mingi sana, Mungu kakuwekea mbele yako, kwa hicho unachokifanya, na hata zaidi ya hapo. Ni wewe tu kuishi maisha yampendezayo Mungu wako. Kwa muda wako soma, Kumbukumbuku la Torati sura ya 28 yote uone Baraka Mungu alizowawekea wale wote watakaoyashika maagizo yake kwa bidii.
Hivyo ili na wewe ndoto hizo ziwe kweli, hakikisha kwanza Kristo yupo ndani yako, kama hujaokoka hakikisha una mkabidhi Kristo maisha yako leo, na pia kuanzia huu wakati unaishi maisha kulingana na yeye anachotaka kulingana na Neno lake, baada ya hapo kuwa tayari kwa wema wake kujidhihirisha maishani mwako, lakini nje ya hapo, hilo linaweza lisikufikie kabisa.
MUNGU awabariki sana kwa kazi njema.Naomba muwe mnanitumia masomo yenu ktk email yangu ili niendelee kujifunza kweli ya YESU KRISTO.
Amen, tuandikie email yako ndugu yetu..
Nimekutumia email ya subscripition, unaweza kulogin, na masomo yatakuwa yanakufikia moja kwa moja kwenye email yako, pindi tunapoyatuma.
Thanx kwa mafunuo
Uhimidiwe MUNGU wetu!
Amin amin. Be blessed bro Lakini ninaswali linanitatiza. Ni kwamba umepataje kujua kuhusu Hawa malaika saba??? Yaani nyakati zao na majina yao??? Ubarikiwe sana ndugu
Bwana alimtuma mjumbe wake, ambaye alimpa ujumbe kwa kizazi hiki, anaitwa Ndg. William Branham, ni nabii wa mungu aliyezaliwa huko Kentucky Marekani mwaka 1909 na akafariki 1965. Kupitia ufunuo Bwana aliompa kuhusu Nyakati 7 za kanisa, ndipo tulipojua hao Wajumbe, majina yao na Nyakati zao.
Kwa maelezo marefu zaidi unaweza kuyasoma hapa >>HISTORIA YA WILLIAM BRANHAM
Shujaa naomb unitumie haya masomo kwa njia ya email yng yananibariki sana
Tayari nimekutumia email ya subscription, tazama inbox yako..
Amin amin mtumishi wa MUNGU ubarikiwe sana ndugu. Umenifunza jambo jipya tena jema. Ubarikiwe sanaa
Naomba kujua maana ya jina grace
Maana ya Grace ni “Neema” Tazama hizo tafsiri hapo juu utaona maana yake.
Nini maana ya jina la zamda
Leave your message0703262003
Samahani hii namba ni ya nchi gani?
Bwana Yesu apewe sifa mtumishi wa MUNGU ubarikiwe Sana kwa SoMo zuri nimengi nimejifunza kiasi kwamba sitabaki Kama nilivyokuwa naweza hata kuwaelekeza wengine napenda, niendelee kujifunza kwakunitumia mafundishisho yako Namna ya WhatsApp 0744004103 Imail sadicksteven59@mail.com
Shalom, Bwana azidi kukubariki sana..Tayari nimeshakuunga kwenye group letu la Whatsapp.
nimelipenda sana hili somo
Ahsante Sana kwa mafundisho mema je Kama mtu umeota unazini na mtu unapaswa kufanya Nini ili kuepuka hilo tatizo
Unaweza kufungua hapa utapata maelezo kwa urefu ndugu yetu >>> KUOTA UNAFANYA TENDO LA NDOA.
Naomba kuuliza ina maana gani hii, nmeota nyoka mara 3 ..mara ya Kwanza kaning’ata kisigino, mara ya pili nmeota nmemkuta nje ya Choo na mara ya tatu nmeota tulikua na wenzangu tulivyomuona tu uyo nyoka tukaanza kukimbia..
Esther ongeza maombi…Kwa maelezo marefu namna ya kuomba soma hapa >> FAIDA ZA MAOMBI.
Jaman Mungu akubariki sana mtumishi wake, mm nimeokoka lakin siku za ivi karubun nimekuwa nikandamwa sana na majanga yaan nikanza kuomba au kufanya ibada za asubuhi na jion najikuta nimesahau na kuacha kuendelea alafu baadae nakumbuka tena naanza jipya sasa nikaamua kufunga ili nimuombe Mungu anishindie ktk hili pia nimekuwa nikiomba kazi sehemu nyingi sana lakin sifanikiwi hivyo niliunganisha maombi moja ikiwa ni Mungu aniimarishe katka maombi na pili kupata kazi maana kuna mbali nimeomba sasa jana nilifanya na nilshinda nikiomba usiku nilipolala nikaota kuna joka kubwa linapigana na mm lakin cha kushangaza nilikuwa nikiomba na likawa linaogopa sana lakin alikufa ni kama nilionyeshwa lipo uvunguni kwangu ndoto yangu ikaishia hapo
Allah anaouwezo wa kutenda yote hayo infact same God haina haja ya kubadili Imani ni kumuomba tu
Yesu ni Njia ya kufika Mbinguni, mpokee leo atakupa uzima.
Mtumishi wa mungu niombeee mwaka huu niweze kujiliwa na serikali Kwa hizi ajira za afya zilizotoka mwezi huu. Bwana yesu asifiwe
pia naomba kujua na asili yake
Rose maana yake ni “Maarufu”.. mahali pengine jina hilo limepewa aina fulani maarufu ya maua yajulikanayo kama “maua rose”
Naomba kujua maana ya jina Rose.
Naomba uwe unatitumia na mm haya masomo kwa njia ya email michaelbabayo61@gmail.com Na MUNGU akubariki
Tayari nimekutumia email ya ku-subscribe unaweza kuiangalia inbox na kuikubali…masomo yatakuwa yanakufikia moja kwa moja kwenye email yako pindi tunapoyarusha.
Mungu akubariki!
Ningependa kujua maana ya neno hisia kwa undani zaidi
Naomba uniadd kwenye group lenu 0718825522 idanbless
tayari unaweza ukaangalia ndugu
Mungu akubariki kwa kutufungulia, Mafundisho yako yamenipa ufahamu, utambuzi na uelewa, kweli hivi Sasa najivunia kuelewa na kujua vitu vingi vya kiroho kupitia wewe, Mungu azidi kukupa nguvu utupe alichokujali 🙏🏿
Amen ndugu yetu, Bwana azidi kukubariki sana.
Mutu akijichora mwili muzima akibatizwa kanisa itamukubali na machanjo?
Ndugu Samsoni Chanjo zinazozungumziwa hapo sio “chanjo za kienyeji” ambazo zinahusiana na ushirikina na kuchanjwa chanjwa mwili (chale). Bali ni chanjo zinazotolewa katika mahospitali.
Biblia imekataza kuchanja chale kwasababu zinahusiana na ushirikina ambao ni machukizo mbele za Mungu. Kasome Walawi 19:28.
Na kama imetokea mtu alishachanjwa chale kabla hajaokoka, na sasa ameokoka na zile alama za chale bado zipo mwilini mwake, hiyo haimfanyi yeye asikubalike kwa Mungu, na alama zake hizo mwilini anaweza kubatizwa na kuendelea na wokovu kama mkristo mwingine yoyote yule..Alama hizo zitabaki tu kama makovu.
Bwana Yesu asifiwe wapendwa katika Kristo.jaman ndugu hapo naomba mnisaidie kidogo sijaelewa kulingangana na jinsi Bwana wetu Yesu Kristo alivyoagiza katk Math 5:32 na 19:9,huyo mwenzi ni sheria aachwe endapo akajihusisha na uasherati au mimi naweza mstahi,mimi hapo nazungumzia either huyo mtu ni kam tabia zake lakini mimi nampenda.
Baraka..
Mungu hapendi kuachana kwa namna yoyote ile..
Hivyo ni heri ukamstahi, na ni vizuri zaidi kwasababu biblia inasema..Achilieni nanyi mtaachiliwa..Ikiwa utamsamehe huyo mwenza wako, ni kwamba na wewe pia unajifungulia milango mingi ya neema ya Mungu kukusamehe mambo ambayo umekuwa ukimkosea.. Isipokuwa imetoa ruhusu hiyo, ili ndoa isidhaniwe kuwa ni kitu cha kujiamulia tu kufanya unalotaka kujisikia, kisa tu umeshaoa/kuolewa.. Hapo mtu anaweza kuachwa na kusiwe na kosa lolote mbinguni.
Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi.
Mara yakwanza Nikiwa ki dato cha 4 mwaka Jana niliota nakumbizwa n nyoka Ila nilikimbia San nilipofika mbele Kuna mty alinivuta nikashutuka Mara ya pili juz niliota nmelala nyoka yupo ju ya mbao kila akitaka kunigonga namkwepa nikashutuka
Grace ongeza maombi…Kwa maelezo marefu namna ya kuomba soma hapa >> FAIDA ZA MAOMBI.
Jambo katika jina la yesu kristo. Mimi ni mtumishi, nataka kujiunga na kundi ili.
naomba maana ya jina la alfred
Maana ya jina Alfred ni “mshauri wa kimiuliza”.. jina hilo ni muunganiko wa majina mawili “elf” na “raed”…Neno “elf” maana yake ni kiumbe cha kimiujiza chenye umbile kama la mtu.. raed ni “mshauri”.
Albert maana yake nini?
Habari yako nahitaji kujiunga katika group zenu za WhatsApp au telegram
tunaomba utuandikie namba zako ndugu
Jiunge na kundi letu la mafundisho kwa namba hii
Leave your message arifu mfalme yesu kristo
Ubarikiwe Mtumishi admin. Ujunbe maridhawa na nimebarikiwa. Mini in Mchungaji Frank Wa Mwanza.
Amina ubarikiwe Mtu wa Mungu.
Mamangu ni mgonjwa Sanaa nahitaji maombi yeni
Bwana ampe afya na kumsimamisha katika Jina la Yesu Kristo!..
May Hosana be with you nimechanganya english na swahili but CREATOR bless you more
Amen nawe pia uzidi kubarikiwa..
Me naomba kufahamu njinsi ya kufunga yaan wakati gan kuanza kufunga na wakati gani kufungua
Fungua hapa utapata maelezo kwa urefu ndugu yetu >> FAIDA ZA KUFUNGA
hakuna yeyote kama mungu
Mimi nataka kujiunga chama Freemason
🙌🙌🙌🙌 aseee thanks alot
Amen, god bless you
Amen, brother ,.nimebarikiwa, tena nimeelewa kabisa . Thanks.
Amen, ubarikiwe pia
Naijulikane kwamba karata na beting x nzur kw mkristo
Naomba mniadd.napenda kujifunza kwa KUSOMA Mambo mbalimbali yanayohusu Mungu
Tutumie ujumbe kwa whatsapp, kwa namba zetu hizi ili tukuadd..+255693036618
natamani kuwa natumiwa mafunzo kama haya kwenye WhatsApp yang MUNGU awabariki sana (0678100220)
tayari tumeshakuweka ndugu yetu
Mimi hayo yote nimeshafanya, nimekuwa mzinzi, muasherati ninajuta sana kupitia hayo.. sijakuwa mtiifu wa Amri za Mungu …. Mtumishi niombee nami niwe katika sehemu ya watakatifu
JE MIAKA ELFU MOJA IKIFIKA UTAKUA WAPI
Numebarikiwa Sana na nimeelewa sana .Mungu akubariki By HOSEA mtumish wa Mungu
Amen nawe pia azidi kukubariki..
My phone number is +15152055754
Bwana Yesu asifiwe sana! Mimi Nina Swali! Swali langu limetokana na tafsiri uliyoitiwa kwenye somo mojawapo kutoka kwneye Kitabu cha Mwanzo 1:26. Kwamba hapa Mungu alikuwa anaongea na Malaika na sio na nafsi zake tatu kwa maana ya Bab, Mwana, na Roho Mtakatifu. Karibu kila mtu anajua kuwa tumeumbwa kwa mfano wa Mungu na kwa sura yake! Sasa Mungu anaposema kwa mfano wetu, huu mfono ni upi? Na anaposema kwa sura yetu, hili neno sura yetu, lina maana gani? Hii sura ni ya namna gani?
Amin you bless me and may LORD GOD bless you
Amin you bless me
MOHAMED UNALETA SHAURI KWA SAMSON AU LA! NI SWALI KAMA SWALI ZINGINE?
Ujumbe Mzuri sana!
Amina! Niunganishe kwenye Group lako
Tuandikie namba zako za Whatsapp
Na mm naomba kuungwa jaman kwa group japo nimechelewa 06577631
Unaweza kurudia kuandika namba yako vizuri..
Shalom me ninavyojua hakukuwa na uzao wa Adam peke yake. Ule ulikuwa uzao wa MUNGU alafu kuna uzao mwingine ulikuwepo. Ndio maana BWANA MUNGU hakumwambia Adam akazae ili aongezeke. Ila yupo mwingine Aliyemuumba Akamwambia akazae aongezeke Mwanzo 1:26.
Sasa Kama ni hivyo kwa nini MUNGU Awalaani kwa kula tunda??? Na ukweli wa hilo tunda lilikuwa ni uzinzi ingawa imefichwa. Ila huo ndio ukweli ukitaka kuelewa kwanza angalia hoja zangu:
01: MUNGU alilaani Kati ya uzao wa Hawa na nyoka akaweka uadui Kati ya mizao yao. Mwanzo 3:15.
02: MUNGU Alimwadhibu mwanamke katika uzazi wake kwa nini owe hapo tu na sio kwa namna nyingine???? Pia me sijaona sehemu ambayo MUNGU alimwambia Adam akazae na kuongezeka sijaona.
03: Jambo lingine ni kujigundua kuwa wapo uchi. Hili limenifanya nifikirie Sana kitu gani kilichopelekea kujua kuwa wapo uchi???
barikiwa sn
Je! Ilikuwa ilitoka kwa mungu kuwa kaini ajitwalie binti kati ya babaye na azaye naye na ule binti akubali tumbo yake izae laana Kupitia kaini?
Maana ya jina Huzaydu
Barikiwa mtumishi!!
Naweza kuyapata masomo haya kwa kupitia email yangu
Nimevutika sana na mafundisho yako mimi ukweli napenda sana kusali lakini nina tatizo linalonitesa nalo ni kujichua na kuangalia picha za uchi nimejaribu sana kuacha lakini nashindwa kwa sababu hata kuomba sijui naomba msaada wa muongozo wako nifanikiwe
Ili tuweze kuwa matajiri ina hitaji kuutafutia ufalme wa mbinguni na ayo yote tutazidishiwa ko inamaana kuna njia za kuutafuta uo ufalme na tukishautafuta na tukijua ivo basi utajiri huu juu yetu
No I don’t agree with you
Be blessed bro. Samahani unakijua kile kitabu kinachohusu namna au historia kuhusu mateso waliyopata kanisa la mwanzo????
fungua link hii uki download/kusoma ndugu..
https://wingulamashahidi.org/wp-content/uploads/2018/09/foxes_book_of_martyrs.pdf
Nimeyapenda masomo yenu, naomba mnionganishe.
Kama ni kwa whatsapp, tuweke namba zako.
Amin stay blessed in grace
tumsifu yesu kristo ni ngependa kujua maan ya majina ya fuatayo etropia, francis, na avelina
Francis maana yake ni “Mfaransa” (Mwanaume wa kifaransa) kwa kiingereza “Frenchman”..Francis, Franklin maana zao ni moja, na kifupi cha Francis na Franklin ni Frank.
Avelina maana yake ni “Nguvu”
Etropia Sijapata maana yake.
Maran atha amin
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU mwenye nguvu
Amin
Naomba unitumie hicho kitabu mtumishi… pagodabenard@gmail.com
Tayari fungua email yako utakiona kinaitwa >> He came to set the captive free
Admini naomba nitumie kitabu tafadhali,na Mungu akubariki
Tayari ndugu, unaweza kukiangalia kwenye email yako.
Mungu akubariki nawe pia.
Tayari Ndugu, unaweza kukiangalia kwenye email yako.
Nitumie kitabu Cha he came to set captive
Nimependa sana mafundisho haya na nimeokoka nina mtumikia mungu naomba pia kuwannatumiwa jumbe za mafundisho WHATSAPP natumia namba hii 0716806911 naitwa laurent john niko tanga
Amen mtu wa Mungu uzidi kubarikiwa…
Mungu akubariki zaidi
Matayo 5:17-19
Natamani kuwa nanyi
Karibu sana…waweza tutafuta kwa namba hizi +255693036618
Ubarikiwe mtumishi kwa neno
Naomba unitumie masomo
unaweza kuyapata kwenye mgawanyiko wa mafundisho juu kabisa mwa tovuti hii..
Watumishi naisoma sana hii page yan nakesha nayo mnanijenga kweli Mungu awabariki sana
Ni jinsi GANI yaan njia nzuri ya KUsoma bible na KUIeLEWA ili nianze kupata hizo nguvu za rohoni
Kwanza Mkaribishe Roho Mtakatifu kwa maombi kisha Soma kwa malengo bila kuruka ruka vipengele
andika ANDIKA NJIA SAHIHI ZAKUSOMA BIBLIA AU TARATIBU ZAKUFAATA KABLA HUJAANZA KUSOMA BIBLIA
Evabrayna
Habari za kazi! napenda kujua maana ya jina Leonora na Leonia
Nzuri,Sina uhakika sana na tafsiri ya jina hilo “Leonia” sijapata chanzo cha kuaminika sana, lakini kutokana na vyanzo mbali mbali, asili ya jina Leonia ni kutoka katika lugha ya kiitaliano, “Leon” kwa kiingereza “Lion”(yaani Simba).
“Leonora” asili yake ni kiitaliano hiyo hiyo, na tafsiri yake ni “Light” yaani “Mwanga” Ni lugh
meaning of evabrayna
Leave your message naomba kujua maana ya majina Vestina,Dinnah,Paskazia
Amen be blessed man of GOD
Amen be blessed
Nimebarikiwa sana na Mafundisho yako, Mungu azidi kukutumia katika kiwango kisichokuwa cha kawaida, maana kupitia mafundisho haya watatoka Wachungaji, maaskofu, waanjilisti n.k. Kupitia mafundisho yako 1.umenitoa katika kifungo fulani. 2.Umeongeza ujuzi wangu juu ya maswala ya Kimungu. 3.Nimepata njia rahisi ya kushinda majaribu. 4.Nimetiwa Moyo sana juu ya kazi ya Mungu. BE BLESSED.
Amen uzidi kubarikiwa na Bwana ndugu yetu.
BWANA YESU akubariki sana. Ubarikiwe zaidi
Amen uzidi kubarikiwa nawe pia…
niunganishe mtumishi wa BWANA
Weka namba zako..
Nimebarikiwa sana mkuu
Amen, Utukufu ni kwa MKUU WETU >> “YESU”
Mimi nabarikiwa sana na masomo yako Mungu akupe mafunuo zaidi
Asante Sana Kwa ujumbe huu. Nimepata kitu kikubwa Sana. Barikiwa.
Amina kwa ujumbe mzuri
Shalom Mtumishi nimeota ndoto mfululizo mara4 na huwa imetokea usiku na asubuhi ndio nalala mara nyingi na ninaota naenda shule mara ya kwanza niliota natakiwa kufanya mtihani ila ilikuwa Kama asubuhi saa 12 kasoro asubuhi au saa moja jioni namaanisha ilikuwa ni Giza La mida kama hyo nliotaja ikawa kabla ya kufanya mtihani tukaenda uwani lakini wakati tunajisaidia (haja ndogo) tuliona wanaume tukawa tunawapisha kumbe wenzangu wakajificha kabisa alafu Mimi nikasema acha tu niende mwenyewe japo naogopa nikarudi shuleni ile naingia tu ndani ya geti nikatekwa na mtu wa kike nikapambana Sana nikaita walimu baadae akaniachia ikawa ndoto illishia hapo. Mara ya pili nikaota nimevaa mavazi ya shule naenda shule akatokea mwanaume akawa ananifuatilia kwa nyuma nikimchenga ananipata sasa ikafika mahali alinikimbiza Sana akanikamata alivokuwa ananikokota nimfuate tukafika kwenye daraja lina maji tukagombana nikampush akadondoka me nikakimbilia shuleni ghafla nikamuona amefika nikawaambia walimu mwal mkuu wa shule ya secondary niliomaliza ndio nilimfahamu nisaidieni huyu mtu ananikimbiza naona ana hila na me lakini walimu wakawa wanajitahidi kunizinga ili nisipatikane lakini alinipata nikakimbia tena nikimchenga njia nikaingia kwa nyumba ya mtu simfahamu lakini alinifuata mpaka kwenye hyo nyumba wakati hajanishika ni Kama ameongea umefika wapi pale nikashtuka usingizini. Mara ya tatu ni Leo asubuhi nikaota nimeenda shule nikakutana na marafiki zangu tuliosoma sec lakini shule hyo ni Kama sec Pia kwamaana nyingine tuliachanaga na hao marafiki zangu tulikuwa wote dini moja ni viongozi wa dini sasa ikawa sisi wote ni wageni hapo shuleni kwahyo kengele ilipogongwa hatukujua ni ya nini tukachelewa kuingia ndani ya shule tukamuomba mlinzi akatukatalia katu kwanza ikawa anatupiga piga ila akazidi kunionea Mimi,ndoto ikawa Kama imeisha nilivoendelea kulala nikajikuta tulikuwa darasani ila sijawaona tena wale marafiki zangu tukiwa darasani tunatakiwa kuanza kipindi wanafunzi wakawa wanaenda kujisaidia Mwl Akasema mbona wanachelewa hivi waliporudi me nikatoka wa mwisho ili nikifika uwani nisikute folen lakini nilipofika nilikuta vyoo vimefungwa hakuna kuingia nikaomba kuingia cha walimu nikaambiwa mfuate mlinzi kwasababu alieingia amefokewa Sana sasa nikamfuata Mwl Wangu wa sec alikuwa secretary alikuwa ananipenda Sana nitamwambia naomba ruhusa kuingia uwani akanifanya kunigusa na mwamvuli nikamwambia madam mbona unanitoboa akaniambia ndio kwani hujui me ni muuaji? Nikamuacha nikamfuata mlinzi akaniambia muda wa kuingia uwani imeisha tukavutanaa nikashtuka usingizini NB katika shule hizo sijaweza kutambua kuwa ni shule nilioisoma secondary na Pia kwa kila ndoto mazingira ya shule yamekuja tofauti tofauti naomba unisaidie kunipa maelekezo.asante
Nimeyapenda sana MASOMO yenu Watumishi Wa MUNGU.
Naomba mniunge kwenye group la WHATSAPP Namba: 0622472207
Tayari mpendwa
Kila siku nazidi kubarikiwa na kujengeka kwa masomo ya wingu la mashahidi
Amen Bwana akubariki
Naomba pia niwekwe kwenye Whatsap group 0769507963
Tayari ndugu yetu.
Niweke kwenye group la WhatsApp 0672876244
Wild, tukisema ofisi, hatumaanishi ofisi yenye kiti, na mezi, na stuli, hapana,tunamaanisha cheo, au uthihirisho wake kwa wakati fulani, ni sawa na mtu mmoja anayeitwa John, akiwa na mke wake, yule mke atamwita mume, watoto wake wakimwona watamwita baba, baba yake akimwona atamwita mtoto, wajukuu zake wakimwona watamwita babu, wafanyakazi wake wakimwona watamwita boss n.k.
Lakini yeye sio mume, au mtoto, au mjukuu, au baba, au boss, au chochote kile..bali yeye ni JOHN, mmoja. Isipokuwa alitambulika kwa vyeo vile kutokana na ofisi alizozipitia.
Na ndivyo ilivyo kwa Mungu. Mungu hana Roho saba, wala nafsi 3 au 9..Ana Roho Moja na Nafsi moja, isipokuwa ofisi nyingi. Ubarikiwe.
Naombeni mniadd kwenye group la WhatsApp Namba yangu ni: 0747520134
Tayari ndugu…ubarikiwe.
MUNGU akubariki sana. Amen.
Ni add kwenye group tafadhali. 0755214533
Tayari ndugu yetu
Nimependezwa na mafundisho ,naomba nijiunge na whatsapp 0753366758
tayari ndugu yetu..Ubarikiwe
Tafadhali ni jumuushe katika kundi la Whatsap nipate kifunza zaidi 0714493798
Amen twashukuru ndugu, nawe pia ubarikiwe
Tafadhali naomba kuungwa kwenye group la Whatsapp 0714818659
Amen..utukufu kwa Bwana nawe pia uzidi kubarikiwa
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kea mafundisho haya anauo tujenga kiroho pia kimwili! Nimejaribu kupeana number yangu lakini hamunijibu! my email address is: jhatuna3@gmail.com
Tutafute tena kwa namba hizi : +255693036618
Naomba uniadd pia group la whatsap 0763075118
Mungu awabariki sana kwa mafundisho haya Ya Uzima wa Yesu
Na akubariki nawe pia.
Odasi
Ninabalikiwasana na mafundishoyako naomba niunge namimi niwenapata masomo kengine nambayangu ya wat sap ni 0789580348
Amen atukuzwe Bwana YESU.. pia ipo link ya channel yetu ya Whatsapp katika mwisho wa somo, unaweza kufollow kwaajili ya masomo ya kila siku.
hii kit imenisaidia sanaa na inafundisha vizuri sana
Mimi hayo yote nimeshafanya, nimekuwa mzinzi, muasherati ninajuta sana kupitia hayo.. zinakuwa mtiifu wa Amri za Mungu …. Mtumishi niombee nami niwe katika sehemu ya watakatifu
Jonas pamoja na kuombewa unapaswa wewe mwenyewe ufanye maamuzi kwenye maisha yako.
Asante nimekuelewa Sana ndugu yangu mungu akubariki
Nimetoa Niko kama napita kwenye kibaraza za nyumba na ndani kama kuna watu na hapo ninayopika tuko wengi tunapishana ila mimi na mtu mwingine simjui tukaona nyoka kwa chini ya kibaraza wengi aina mbalimbali akanirushia panga tukarukia kwa chini na kuwaangamiza kwa kuwekata vichwa mara yule mwingine simuoni nimebaki peke yangu nikaendelea kupambana ili wasijeenda kwenye kibaraza na kudhuru watu nyoka mmoja mweusi nikamkata shingo na panga ilikatika nusu na panga likabaki hapo akawa anajikokota nilimtafuta nimalizie nikamkata anamezwa na nyoka wa kijani mrefu kiwiliwili kimeangalia juu mkia wakati nashangaa nikashtuka usingizini.Maana yake nini?
Ninzur ningependa kujuwa maana hilijina
Ni jina gani unalohitaji kujua maana yake?
Dostea,Nathan,Erick,nathanael
Maana ya jina Erick ni “mtawala wa daima” Maana ya jina Nathan ni “Ametoa” kwa lugha ya kiingereza “he gave”.
JIna Nathanaeli ni muunganiko wa Nathan na El.. El maana yake ni Mungu*(Yehova) hivyo maana ya Nahanael ni Mungu ametoa
Jina Dostea sijapata maana yake…
Naomba kujua maana ya jina Adriel
Ian
Gabriel
Jina Gabrieli maana yake “Mungu ni Shujaa wangu”
Maana ya jina dolina
Maana ya jina zainabu,majidi
Joshua
Maana ya jina Yoshua ni “Yehova ni mwokozi”..maana yake inakaribia kufanana na ya jina Yesu.
Vivian
Vivian maana yake ni “iliyo hai” kwa kiingereza “alive”
Naomba kujua maana ya jina abineri
Evarest
Neithan
Napenda kujua maana ya jina Neithan na Nelson
Maana ya jina elikana
Vivani
Fainensi
Kalebu ivan
Nataka kujua maana ya jina munaalfa
Naomba kujua maana ya jina Agnes, na chimbuko lake.
hujambo natarajia uko xalama,pia mimi nimekuwa nikiota nikipaa juu angani kwa muda xaxa
Ni tumie somo la kunifundisha utatu mtakatifu,na dalili za kuonesha kuwa mtu huyu kaisha mkufuru roho mtakatifu
Fungua hapa utapata majibu >> DHAMBI YA MAUTI
Kwanini unasema Roho mtakatifu sio nafsi ya tatu ya Mungu bali ni ofisi? Je unamaanisha kuwa ofisi ya Mungu nayo ni Mungu au pia kiti cha enzi cha Mungu nacho ni Mungu n.k
Napenda mafundisho nitumie kila mnavyoweza
Kama upo whatsapp unaweza kujiunga kupitia link hii
tayari, Bwana akubariki.
Jamani mbarikiwe sana kwa huduma nzuri, naomba mnikumbuke kuni add kwenye group la WhatsApp kwa namba 0768071130
tayari ndugu. ubarikiwe
Masomo mazuri sana nami nahitaji kujifunza zaidi, namba ya wasap 0785467472
Nitumie abari ya daudi kwenye email yangu
Nitumie tafadhazali abari za daudi kwa email yangu
Naomba msaada kuna sehemu nilisoma kwenye Biblia ikionyesha mtiririko wa vitu vya kupenda kwanza Mungu pili wazazi tatu mke/mme nne watoto n.k.
Mathayo 10:37
Ujumbe mzuri nimeupenda,naomba uniunge kwenye group lako namba yangu ni 0768303021.
UBARIKIWE MTUMISHI
NAOMBA NIUNGE WHATSAPP 0756838503
Niunge whatsap 0618198821
karibu unaweza kujiunga na channel yetu moja kwa moja, kupitia link iliyopo mwisho wa kila somo…
Inbox
Ahsante kwa tafsiri hugo nzuri. Umejitahidi kuelezea vizuri rafiki. Mungu wa mbinguni akuimarishe katika utendaji wako huu.
Amen uzidi kubarikiwa na Bwana Yesu nawe pia…
nashukuru kwa masomo yako Mungu akubariki
Ubarikiwe pastr, nashukuru kwa mafafanuz sahihi ya NENO la MUNGU nazd kuelewa na kuwa huru. Kazi yako si bure, utalipwa!!
Mh! Hili swala ni swala mtambuka, Mbona ni walimu, na ni Mashemasi. Na zaidi sana wanapangwa katika kutoa hubiri katika Ibada
Masomo mazuri sana!
jj0344916@gmail.com
Shalom pastr, naomba kutumiwa masomo kwa njia ya whatsap, +255 768 165 739
Ubarikiwe ndugu
Amen..nawe pia
Amina sana.
Amina. Ubarikiwe ndugu
Naomba kutumiwa masomo yenu kupitia email yangu . Nimepokea mengi mema kupitia kurasa hizi. Bwana awabariki sana kwa kazi hii.
Amen uzidi kubarikiwa..tumekutumia email ya kusubscribe..
Ubarikiwe mtumishi, je unaweza nitumia somo la nyakati 7 za kanisa?
Fungua link hiyo ndugu yangu..
nataka
Naomba kupata hizi falme na miaka walio tawala. Lkn pia Mtumishi wa BABA ubarikiee sana
Asante, na Ubarikiwe nawe
Nabarikiwa sana na mafundisho haya pia yananikuza kiroho na kumjua Mungu. Ubarikiwe sana na Mungu wa Mbinguni azidi kukutumia! Amen
Amen ubarikiwe sana ,Mungu akutendee sawasawa na unachostaili
Amen nawe pia uzidi kubarikiwa.
Amen ubarikiwe nawe pia mpendwa..Mungu azidi kukupigania
Andiko hilo linazungumzia UTAKATIFU, kama lilivyoanishwa pale ….
Nimesoma humu Habari ya waliopo paradise yaani peponi Lkn andiko lilioainishwa la waebrania 12:14 halisemi hivyo ,Vp andiko gani linathibitisha ,?
Kwaimani yangu Mungu hakika nawabariki azidi kuwafunulia zaidi kwa maana nimejifuza masomo yenu tungu mwaka jana sasa wakati huu.
Mtu ambae ameokoka karibuni tu na hajawahi kubatizwa,Lkn alitubu na kuacha dhambi zote ,NA akafa je nafasi yake ktk unyakuo na mbinguni ikoje?
Samahani ndugu. Ikiwa mimi nina kasoro za kusikia je naweza kuhubiri injili kwa njia ya simu?
Ndio unaweza kuhubiri kwa njia yoyote ile ndugu yetu…Na Bwana akupe uzima katika Jina la Yesu.
What makes all these things in the world today? What makes these ladies wear little shorts? What makes them wear those blouses that you can see their clothes through? What is it? It’s hungry children. That’s right. Thirsty!
“Blessed are ye when you hunger and thirst after righteousness.” 56-0715 – The Mark Of The Beast Rev. William Marrion Branham
I’ll say hallelujah to the lamb of god
Samahani sana mtumishi, naomba nitumie hicho kitabu kama hutojali
Tayari nimeshakutumia kwenye email yako ndugu yangu..unaweza kukiangalia.
Kiongozi naomba msaaada Wa hicho kitabu kupitia wasap 0685471865 au email issakayogoma18@gmail.com
Kuhusu Papa, biblia inatupa tafsiri kuwa atatokea katika ule ufalme wa mwisho wa nne ambao ni Rumi..Na wakati wa mwisho atahamishia makao yake Israeli, na kutaka kuabudiwa pale kama Mungu..
Vita ya Magogu (Ezekieli 38&39) Ni tofauti na vita ya gogu na magogu (Ufunuo 20:8) ..japo unaweza kuona kama majina yanafanana lakini ni vita mbili tofauti.. Hiyo ya kwanza ndio itakayopiganwa kabla ya dhiki kuanza, na hiyo nyingine itakuwa baaada ya ibilisi kufunguliwa kwa kitambo kama maandiko yanavyotuambia..
Shalom, tayari nimeshakutumia invitation link..unaweza ukaangalia.
Bwana Yesu asifiwe. Mungu awabariki sana kwa kazi yake na utumishi wake kwenu. Tafadhali naomba muwe mkinitumia masomo haya kwenye WhatsApp 255784670943.
Pia naomba uangalie vizur vita ya Gogu na magogu,wewe umeitafsiri kwamba vita hii itafanyika mwishoni mwa kipindi cha millennium,nijuavyo mimi vita hii itafanyika muda mfupi kabla ya dhiki kuu kwasababu wakati huu ndio kuna mataifa yanayotaka kuiangamiza Israel,lakini katika utawala wa milenium hakutakuwa na nchi zitakazodhamiria kuipiga israel isipokuwa ni shetani atakapoachiliwa kidogo ili awadanganye binadamu wa kipindi hicho
Umechambua vema na Mungu akubariki lakini kwanini mnasema mpinga kkristo ni papa? Kwanini unasema makao yake ni Vatican badala ya Israel ambapo chukizo la uharibifu ndio litakapofanyika?
SIJAKUELEWA NA WALA SINTAKUELEWA
Shalom ningependa kuuliza je ukiota unaona nyota zipokimakundii nyingi halafu unaona kama unyayo wamguu ukiwa kama umezikanyaga…halafu tena baada yahapo unaota zipo zenyewe tuu ….nikaota tena Siku nyingine hizohizo nyota ninaziona angani tena mbili zikiwa zinakimbia kwaspeedi kubwa zikiwa na uwino sawia
Mtumishi wa Mungu, Salamu katika Jina la Yesu Kristo
Nimesoma ujumbe huu, kwa kweli umenifundisha kitu cha thamani sana katika maisha yangu na utumishi Mungu alioweka ndani yangu. Ninakuombea neema ya Mungu izidi kukufunika na kukuongoza, zaidi sana aendelee kuachilia mafunuo ya Neno lake kupitia kwako ili kuzidi kuujenga mwili wa Kristo.
Barikiwa!
Amen uzidi kubarikiwa ndugu yangu..
Shalom, vitabu hivyo vipo, vinatumiwa na dini ya ki Katoliki, Ni vitabu visivyo na kiini cha Ukristo ndani yake, Na si kweli kwamba vinakufanya umwite malaika uzunguze naye, huo ni uongo wa wazi, vitabu hivyo havina lolote la ziada, zaidi ya maneno mengi kupinzana tu na msingi kamili wa maandiko..
Hivyo achana navyo usivisome, baki na vitabu vile 66 vya biblia.. Vingine vyote si Neno la Mungu, bali maneno ya wanadamu.
Siku moja Kabla ya kinauma kuokoka nilikuwa katika moja ya makanisa,nikamsikia anaeitwa PROPHET. () akisema nyingi yaani waumini.Bado wachanga,kiroho Ile ukomae unapaswa upate vitabu vitano vilivyoondolewa ktk biblia hapo unaweza hata kuwaita malaika ukaongea nao .akataja moja ya kitabu Hicho ni cha TOBITI.me kweli? NA hivyo vitabu vipo watu wanavyo?
Samahani huyo ndugu mwenye hizo namba mbona hapatikani?
Samahani nina swali: je kufanya mazoezi ya viungo napaswa kujiepusha nayo?
Shalom..Mazoezi yoyote yasiyohusisha mifumo ya kiduni ambayo ni machukizo kwa Mungu si dhambi ndugu yetu…kwamfano kufanya mazoezi kama ya kuruka kamba, kukimbia kwa kuzunguka uwanja, kutembea n.k si dhambi…ila hayapaswi tu kufanyika kidunia kwamfano mwanamke/mwanamume kukimbia huku kavaa nguo zinazochora maumbile ni machukizo..mazoezi yanapaswa yafanyike kwa nguo ambazo hazibani mwili kabisa.
Haya bhana soma biblia vizuri
Kiukweli nimeelewa sana ,Mungu wa mbinguni akubariki sana na Neema ya Bwana wetu Yesu kristo iendelee kutufunika siku zote za maisha yetu.
Mungu akubariki sanaa
Amen nawe pia….
Pole sana kwa wale walio jiunga na Freemasons bila kujua yesu awaangazie nuru yake watoke huko jehenama
Nimebarikiwa na somo la kujua hits za shetani
Salamu
Bwana yesu asifiwe. Nimependa mafundisho yenu na ningependelea munitumie mengine kwenye email yangu. Nimebarikiwa sana na nimeona ni vizuri na mimi kufundisha haya mafunzo yenu. Yamenijenga sana kabisa.
Amen..uzidi kubarikiwa na Bwana..tumekutumia email ya kusubscribe ambapo itakusaidia kuyafikisha masomo yako moja kwa moja kwenye email yako pindi tunapoyaweka humu.
Asante kwa ujumbe mzuri
Amina nawe pia ubarikiwe
Nimependa sana masomo na ntapenda zaid kama ntatumiwa WhatsApp -0683845180 au email- chrisbrain051@gmail.com
Amen ubarikiwe..tutakuwa tunakutumia ndugu
nimejifunza kitu kikubwa Mungu akubariki sana mtumishi kwa ujumbe huu mzuri.
Amen ubarikiwe na Bwana…
Mungu awabaraki kwa mafundisho mema.nazidi kubarikiwa
Amen Amen nimefunguka macho na kuelewa Mungu awabariki sana kwa Mafundisho haya
Naomba muwe mnanitumia hayo mafundisho alfu ntakuwa nawauliza maswali
Tutumie email yako/namba zako za whatsapp
Naomba pia nipate masomo hayo. 0769417265
Tayari ndugu..karibu sana
Nimebarikiwa Na huu ujumbe.Mungu akubariki kwa kazi njema unayoifanya
Amen..Uzidi kubarikiwa na Bwana Yesu.
God bless you ninetafuta maana kwa muda mrefu leo nimefunguka pakubwa
Amen uzidi kubarikiwa ndugu yetu.
Naomba kuuliza mm nimeota babu yangu aliefariki muda mrefu sana toka 2007 yeye na marafiki zake wawili na wote wameshafariki, Na katika iyo ndoto hao marafiki zake wawili walikuwa wameganda barabarani nikawa na mwambia babu mbona hawa hawaganduki nakazana kuwagandua hawatoki ila mwisho wa siku nikawa narudi nyumbani nikamwacha babu anawagandua kwenye kurudi nyumbani nikampitia mtu mahali tukawa tunakimbia kwa hofu kubwa sana wasije wakaganduka akatufwata ila niliekuwa nakimbia nae sikumwona sura yake. Lakini kwenye ndoto tulikuwa watano watu walio hai ila ninae mjua ni mmoja tu sijawahi mwona wala yeye kuniona labda kwenye picha tu na hatuna mahusiano mazuri (ni mwanamke) Nashidwa elewa hii ndoto.
Shalom!…Ndugu yangu ndoto yako naamini ni moja ya ndoto wanazoota watu wengi ambao wameondokewa na wapendwa wao…mara nyingi ndoto hizo zinakuja zenyewe kutokana kwamba kuna kipindi katika maisha uliwahi kuishi au kuwa na mtu fulani na sasa hayupo…hivyo ni kawaida kuziota, na zinaweza kujirudia rudia…nyingi hazina maana sana ni za kuzipuuzia tu…Na hiyo ya kwako naamini ni hivyo hivyo…
Kwa uelewa zaidi fungua link hii >> https://wingulamashahidi.org/2019/10/09/kuota-mtu-aliyekufa/
Niunganishe tujifunze pamoja
Niunganishe kwenye WhatsApp tujifunze kupitia Namba 0784684119
Tayari ndugu yetu ubarikiwe
Ninalo swali kama mwanamke kusuka nywele kutamzuia kuiingia mbinguni.ningependa kujua mafunzo mengi kuhusu jinsi Roho mtakatifu huiingia Kwa mtu.je urembo humzuiia roho kufanya kazi ndani ya mwanamke
Hujambo ndugu. nimependa mafundisho haya. Tafadhali uwe unani rushia mafundisho haya kwenye email adress yangu. Mungu akubariki na kazi njema.
Tayari nimekutumia email ya kusubscribe ndugu..hivyo yatakuwa yanakufikia kwenye email yako..Ubarikiwe sana.
Ubarikiwe. Wanadamu watakaopona kujaribiwa na shetani baada ya miaka 1000 wataishije milele bila kuvikwa miili mipya?
Shalom.Mimi bado sijaelewa inamana mwanamke akiachwa kwa kosa hilo anaweza olewa Tena ndoa halali?
Shalom…kama mwanamume anaweza kumuacha mwanamke aliyeshikwa katika uasherati endapo tu na yeye tangu afunge hiyo ndoa hajawahi kufanya uashetari na mwanamke mwingine yoyote…lakini kama na yeye alishawahi kufanya aidha kwa siri au kwa wazi na akamkuta mkewe katika uasherati hapo anapaswa amsamehe na hapaswi kumwacha kwa vyovyote vile akimuacha na kwenda kuoa mwingine anazini…
Na ikitokea mwanamume hajawahi kuisaliti ndoa yake na akamkuta mkewe katika uasherati hapo yupo huru kumuacha na kwenda kuoa mwingine kulinga na maandiko..ingawa kitendo hicho sio cha heshima kwa huyo mwanamume kama tulivyojifunza hapo juu. Na mwanamke huyo aliyeachwa hapaswi kuolewa tena mpaka mwanamume huyo afe atabaki hivyo hivyo bila kuolewa..akienda kuolewa anazini…atabaki kuwa mfano wa wale wake wa mfalme Daudi ambao waliolala na mtoto wa Mfalme Daudi aliyeitwa Absalomu.
Asante kwa mafundisho haya mungu akubariki
Amen uzidi kubarikiwa sana na Bwana..
Napenda mafunzo yako. Ubarikiwe sana naeza pata aje no yako
Amen, nawe pia ubarikiwe..namba yatu ni hii +255654555788 au +255789001312
Bwana Yesu asifiwe. Mungu awabariki Kwa KAZI nzuri ya uinjilisti. Mzidi kutupa elimu hii na Mungu awabariki
Amen utukufu kwa Bwana wetu..Ubarikiwe sana
Very much Happy and interested
Amen, be blessed
Shalom!Mungu awabariki sana kwa kazi hii nzuri ya uinjilishaji.Naomba kutumiwa masomo haya
Amen..uzidi kubarikiwa na Bwana.
Mungu awabariki kwa kazi yenu nzuri
Amen..ubarikiwe.
ahsante mtumishi was Mungu nimenufaika na mafundisho yako
Bwana Yesu asifiwe sana! Kwanini Yesu alimpanda mwanapunda na si mama yake?
Amen. Fungua hapa utapata majibu kwa urefu ndugu yetu Mpendwa >>https://wingulamashahidi.org/2019/04/18/kwanini-awe-ni-punda-na-mwana-punda/
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa mungu Ninaona ingekuwa bora zaidi uniunganishe whatsap 0621752820
Amen. Tayari tumeshakuunga ndugu yetu mpendwa, Ubarikiwe sana
Mungu awabariki xana kazi yenu ni njema kwani nimejifunza Mambo mengi ya rohoni kwa muda mfupi na pia ninaomba mnitumie mahubiri zaidi kwenye email yangu
Amen uzidi kubarikiwa na Bwana ndugu yetu…unaweza kutuandikia email yako hapa..
Umenifundisha pakubwa sana Mungu wa mbinguni akubariki.
Barikiwa sana.. Asante kwa somo
Amen..nawe pia uzidi kubarikiwa.
For its a holic group
I would like to join you
Welcome.
Naomba namba yenu ya WhatsApp. Please!
Shalom..Whatsapp No.+255 654555788
Mungu akubariki kwa jumbe nzuri za kujenga hasa kwa waaminio.
Amen nawe pia uzidi kubarikiwa na Bwana wa Majeshi.
Ahsante kwa ujumbe mzuri., naomba mafundisho kutoka kwenu. Through whatsApp +254 712726420
Nimeshakuadd tayari kwenye group..Ubarikiwe na Bwana.
Me nimeota nimebeba mtito Mnene no mzito Sana’a kiasi kwamba nashindwa kutembea hii INA maana gan???
Amen Nimebarikiwa na maelezo kuhusu ndoto ya kupaa angani. Hata usiku wa kuamkia siku ya leo nimeota nkipaa. Ninahii ndoto kwa mda mrefu sasa
mungu asifiwa watu wa mungu,kwa kuwa ili neno liko tofauti na la dini yingi hapa nchini mwetu alafu namber yenu ya simu +255 kwetu ni +254 kama yangu +254712143154 au +254715473500
Amen ubarikiwe nawe pia na Bwa Yesu…Na ni kweli namba zinatofautiana kulingana na nchi na nchi.
Nimebarikiwa na mafundisho kumtumikia Mungu kunahitaji kujikana na ya ulimwengu huu Bali kubaki kumtumikia Mungu daima.
Amen ubarikiwe sana nawe pia mtu wa Mungu..masomo haya kirahisi zaidi unaweza kuapata hapa hapa kwenye tovuti yetu hii kwenye orodha ya masomo yetu au fungua link hii kukupeleka moja kwa moja kwenye orodha hiyo…>>https://wingulamashahidi.org/category/mafundisho/
shalom mtumishi wamungu; nafurahia sana masomo haya , na pia nasoma kwa hali ya juu zaidi kujua na kupata ufahamu vizuri zaidi. ningeomba kupata mfululizo wake, yaani mfululizo wa masomo haya ikiwezekana; ahsante sana nipo dar es salaam hapa; eneo ni kinyerezi tabata; nina huduma yangu hapa ya maombi na maombezi;- mbarikiwe sana sana:-
Amen ubarikiwe sana nawe pia mtu wa Mungu..masomo haya kirahisi zaidi unaweza kuapata hapa hapa kwenye tovuti yetu hii kwenye orodha ya masomo yetu au fungua link hii kukupeleka moja kwa moja kwenye orodha hiyo>>> https://wingulamashahidi.org/category/mafundisho/
Nimependa sana mfululizo wa masomo haya ningependa muendelee kunitumia tenanatena. Mungu awabariki.
Amen ubarikiwe na Bwana nawe pia ndugu yetu..
Masomo haya yananibariki sana,yameandikwa kwa nafunuo ya ndani sanaaa.Ninatiwa moyo niyasomapo,ninafarijiwa,kuonywa,kukumbushwa na kukemewa pia.Mara nyingi huyasoma usiku 9-11.Mungu awabariki sana.
It has help me so much since I started reading this points,, May God bless you all who cooperate in this section.
Mafundisho yenu yanani bariki sana. Asante kwa ufunuo mlio nao na Mungu azidi kuwafunulia yaliyo fichika
Naomba somo la Huduma ya Eliya hapa dunia
Fungua link hii ndugu yetu mpendwa >>> https://wingulamashahidi.org/2019/07/10/roho-ya-eliya-katika-agano-jipya-inatendaje-kazi/
tayari tumesha kuadd whatsapp ndugu yetu ubarikiwe
WhatsApp 0768071130
whatsapp ;+255687388777
Naomba kujua taratibu za kupata masomo,kwa kifupi ninataka nipate masomo
Unaweza kuyapata kupitia tovuti hii hapo juu kabisa kuna mahali pameandikwa mafundisho..kadhalika pia unaweza pia kuyapata kwa njia ya email au whatsapp..tutumie namba/email yako kupitia namba hizi tutakuadd kwenye group letu la Whatsapp..+255654555788
Add me on Whatsapp 👉 0788605917 please 🙏🙏
Kwakuchukia maendeleo ya watu wengine
Naomba mnisaidie namba mnayo tumia whtssap
+255654555788
God bless you nimelia San kuyaon maandik hay inatakiw ifike wakat tuon mamb ya dunia hii ni ubatili mtupu.
Amen Bwana akubariki zaidi ndugu yetu.
mbona kumekuwa kimya,masomo mapya hatuyapati?
Tulipata dharura ya kusafiri, maeneo yasiyo na mtandao kwa muda, lakini tumesharejea..hivyo utakuwa unayapata tena
Tunashukuru kwa mafundisho has lakini ningependekeza kwa wakati mwengini kuchangia kwa maelozo mbali mbali.
Ahsanteni Sana watumishi wa MUNGU kwa huu usaidizi wa kiroho wa kujifunza zaidi Neno la MUNGU kiundani. MUNGU wa mbinguni awatende Mema na Baraka.
Thanks for everything,for the word of God, you truly enlightened me!!!God bless you.
Amen God bless you
Amen..God bless you too.
BWANA YESU ASIFIWE SANA MTUMISHI. KWAKWELI NISEME NINI SIJUI ILANIMEKUWA ZAIDI KUTOKANA NA MAFUNDISHO YAKO,NIMEELEWA MAMBO MENGI NAKUPATA NURU KUBWA ZAIDI NA ZAIDI
Shalom katika matayo12:31kila dhambi watasamehewa wanadamu ila kwa kumkufuru Roho hawatasamehewa.Ina maanisha nini ukilinganisha na Isaya1:18-19 .Fafanua hili andiko kwa tata kwa kuzingatia vigezo vya kutafsiri maandiko
Amina. Mungu akubarikini sana kwa mafundisho.
Naomba kujua mtumishi mara nyingi naota nipo darasani na kipindi cha nyuma nilikuwa naota nachunga kundi la wanyama na kunasiku nikaona kuna fisi wanakuja kutaka kung’ata nikawanapambana wasing’ate mifugo na mara nyingine nawapeleka mtoni kuwaonyesha maji hao mifugo
Fungua link hii utapata majibu ndugu yangu >> https://wingulamashahidi.org/2019/10/05/kuota-unafanya-mtihani/
Naomba kujua mtumishi mara nyingi naota nipo darasani na kipindi cha nyuma nilikuwa naota machinga kundi la wanyama na kunasiku nikaona kuna fisi wanakuja kutaka kung’ata nikawanapambana wasing’ate mifugo na mara nyingine nawapeleka mtoni kuwaonyesha maji
Nakusalimia katika jina la Yesu kristo nataka kuuliza habari ya kuhusu Pasaka je Pasaka ndio Easter? Na Pasaka inafaa tuisherehekee kiaje na tarehe zipi na mwezi? Ahsante.
Amen. Pasaka maana yake ni “PITA JUU” imetokana na neno la kigiriki pascha…kuhusu kusheherekea kibiblia naomba ufungue link hii utapata maelezo kwa urefu zaidi ndugu yetu >>>
https://wingulamashahidi.org/2020/03/31/pasaka-ni-nini-na-je-tunaruhusiwa-kusheherekea-pasaka/
Ubarikiwe sana!
Namshukuru Mungu kwa ajili ya mafundisho haya hakika napata vitu vya kushibisha Nafsi.
Amen ubarikiwe nawe pia ndugu yetu..
Mungu hawabariki Sana watu mungu
Amen pia na wewe
Napenda Sana mafundisho yenu, Mungu awazidishie
Amen, nawe pia Bwana azidi kukubariki.
Leave your messag
ndugu, tafsili yako juu ya 2 Petro 3:5-6 sio ya kweli kabisa, Petro hakuzungumza habari ya Ghalika ya Nuhu hapo, umechanganya mafaili.
Ndugu Julius Michael , sidhani kama ni sahihiis sana ku tumia lugha hiyo , kuna namna tu ya kuongea kwa lugha ya hekima . barikiwa
Ni gharika ya namna gani sasa.?
Julias Unaweza kutwambia kama sio ghalika ya Nuhu je ni IPI sasa.??
Juu ya PEMBE NDOGO na juu ya KUANGUSHWA KWA YERUSALEM PAMOJA NA HEKALU NA UKUTA NA UWEKAJI UPYA WA HEKALU hapakosahihi mpendwa!!!
N ujumbe nzuri sana unaofanya asubuh yangu kuwa njema kupata maarifa haya Ubarikiwe
Amen..nawe pia uzidi kubarikiwa
Ubarikiwe sana Mtumishi. Umechambua vema sana
Mada iko vizuri namshukuru Bwana kwa kukutumia vizuri kutupatia mafunuo haya ubarikiwe mtumishi
Nahitaji Kujua kama Mungu aliumba Adam wawili Mwanzo1:27 Vs Mwanzo 2:7
Shalom..Mungu alimwumba Adamu mmoja tu hakukuwa na mwingine…Kumbuka biblia sehemu nyingi haijaandikwa katika mtiririko wa matukio yanayofuatana kwamba likitoka hili linafuata lingine..hapana bali sehemu nyingine ina tabia ya kwenda mbele na kurudi nyuma..
Kwamfano Kitabu cha Mwanzo sura ya Pili kinaelezea kwa undani jambo lililotokea Mwanza sura ya kwanza…ukisoma mwanzo sura ya kwanza utaona vitu vimeandikwa kwa ufupi tu, kwa mfano ukisoma mwanzo 1:11-12, utaona biblia inasema “11 Mungu akasema, Nchi na itoe majani, mche utoao mbegu, na mti wa matunda uzaao matunda kwa jinsi yake, ambao mbegu zake zimo ndani yake, juu ya nchi; ikawa hivyo. 12 Nchi ikatoa majani, mche utoao mbegu kwa jinsi yake, na mti uzaao matunda, ambao mbegu zake zimo ndani yake, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema. 13 Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tatu”
Sasa ukienda mbele mlango wa pili ndio inaelezea kwa kina jinsi ni gani miche ilitokea…Mwanzo 2:4 “….Siku ile Bwana Mungu alipoziumba mbingu na nchi 5 hapakuwa na mche wa kondeni bado, wala mboga ya kondeni haijachipuka bado, kwa maana Bwana Mungu hajainyeshea nchi mvua, wala hapana mtu wa kuilima ardhi; 6 ukungu ukapanda katika nchi, ukatia maji juu ya uso wote wa ardhi”.
Kwahiyo unaweza kuona hapo..Sura ya pili inaelezea kwa undani mambo yaliyokuwa yanaendelea katika sura ya kwanza ambayo katika sura ya kwanza yameelezewa kwa ufupi tu…Na hata Hata Adamu na Hawa katika sura ya kwanza wameelezewa tu wameumbwa lakini haijaelezwa wameumbwaje umbwaje,..ambapo ukienda katika sura ya Pili ndio inaelezea kwa urefu zaidi kwamba waliumbwa kutoka katika mavumbi ya nchi…
Vivyo hivyo sura ya 4 inaelezea kwa undani sura ya 3.
Je,mzazi wa kanisa la kipentekoste Ni Nani? Mungu wa kweli Ana nafsi ngapi?je Ni vibaya mtu kuwa mshirika wa madhehebu au siyo vibaya?Je,Malaki 4:5-6 imeshatimia au bado?
Napenda kuuliza swali ambalo limetokana na SOMO Moja wapo ya yaliyotumwa kwenye hii website ya mshahidi Je, hivi kile kitendo Cha nyoka kumdanganya Hawa kula tunda la katikati ya bustani, ina maana ya tunda la kimwili kabisa au ni upande wa pili kwa maana ya kwamba walishiriki tendo la ndoa???? Naomba jamani mtufundishe hili SOMO zaidi na kwa undani ili nipate kuelewa, Asanteni🙏🙏
Mafundisho yatujenga kweli kwel. Inaweza kupatikana kwa inbox hii mafunzo?
Unamaanisha kwa whatsapp?.. Kama ndio basi unaweza kujoin kwa kutumia invite link hii
Au tutumie namba zako kwa nama hizi tutakuadd 0654555788/789001312
ASANTE SANA MTUMSHI NIMEBARIKIWA NA UFUNUO HUO. NA NIMEONA KUNA SHAUKU NDANI YANGU YA KUWA NA NGUVU HII YA KIUNGU NDANI YANGU. BARIKIWA SANA
Amen uzidi kubarikiwa ndugu katika Kristo.
Amen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa ujumbe wako mzuri Hakika ujumbe huu umekuwa baraka sana kwangu na ninaiona nguvu ya Mungu ikinipandisha viwango vya juu kabisa
Amen Bwana azidi kutubariki mno
Nimekuelewa sana mkuu ktk hii mada yako sasa naomba kuuliza kitu kwamba kwnn sasa Mungu nae haangaiki kutafuta watu kama anavyoangaika shetani ikiwa yeye ndie ametuumba na kutuficha maarifa mengine ambayo sisi tulikuwa hatuyajui na shetani ndie anakuja kuyavumbua kuwa kumbe kuna uwezekano wa kufanya ili au lile alafu wakat huohuo ndio anakuteka sasa hebu naomba majibu mkuu Japo hii topic ni ya muda mm ndio leo nimeipitia tafadhal ushirikiano
Mungu wetu yupo karibu sana na sisi, kuliko shetani..Na tunayo nafasi ya kumkaribia Mungu zaidi kuliko shetani..Kinachowafanya watu waonekane wengi wapo upande wa shetani ni kwasababu “wao wenyewe wamechagua giza badala ya Nuru”. Yohana 3:19 “Na hii ndiyo hukumu; ya kuwa nuru imekuja ulimwenguni, na watu wakapenda giza kuliko nuru; kwa maana matendo yao yalikuwa maovu”.
Na kumbuka uamuzi wa mtu kufanya mema au mabaya ni mtu mwenyewe anaufanya na si shetani anamfanyia mtu wala Mungu anamfanyia mtu. Sauti ya Mungu inayomshawishi mtu asiibe, au asiue, au asizini ipo kila mahali hata katika sheria za nchi, lakini sauti ya shetani inayomshiwishi mtu aibe, au aue, au azini huwa inakuja kimaficho…Sasa katika hali kama hiyo mtu akiamua kuitii ile sauti ndani yake ya kimaficho inayomwambia akaibe, au aue..hapo anakuwa mwenyewe kwa hiari yake amelipenda giza zaidi ya Nuru. Lakini kinyume chake kama akiikataa anakuwa kaipenda Nuru zaidi ya giza. Na katika siku hizi za mwisho, biblia imetabiri kuwa watu wengi watalipenda giza zaidi ya Nuru.
Nimewahi kukutana na mtu ambaye alikuwa anatafuta kujiunga freemasons..nikamweleza kuwa wote watakaojiunga humo watakwenda jehanamu ya moto, akajibu analijua hilo, nikamwuliza je upo tayari kwenda Jehanamu ya moto ya milele? Akajibu ndio yupo tayari..mtu huyu alikuwa anamaanisha kabisa!..Pamoja na kumwambia madhara yote na uongo wote wa kikundi hicho lakini msimamo wake ulikuwa ni ule ule..alipoona nazidi kumweleza habari za Yesu Kristo, Mkuu wa Uzima..alinikimbia..
Sasa watu walio mfano wa hawa wapo wengi..kwa idhini yao wenyewe wameamua kumtumikia shetani, na huku wanajua madhara yote ya kufanya hivyo…hawa wamependa Nuru zaidi ya giza, Na wanatabiriwa kuwa wengi katika hizi siku za Mwisho..Bwana atusaidie.
Mkuu wetu Yesu Kristo akubariki.
Nimebarikiwa kwa midomo haya
Nimebarikiwa sana na mafundisho yenu. Mungu azidi kuwatumia kwa vwango vingine. Hakika Mungu ni mwema
Amina nawe pia uzidi kubarikiwa
Mbona hizo roho saba hazijaelezwa km kichwa cha habari kilivyoandikw
Nilikuwa naomba kujua hizo hesabu za majuma 70. Yaani kutoka 455 B.C hadi pale 33.A.D. tafadhali.
Hajui unabii huyu kaka Namba yangu hii hapa mkuu nicheck nkusaidie
0623234188
Ahsante kwa ujumbe mzuri sana.
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.
Amen nawe pia ubarikiwe ndugu yetu.
MUNGU AKUBARIKI,KWA UJUMBE HUU ….
Mungu awabariki namshukulu sana BWana Yesu kupitia hii web amenirudisha nilipo kuwa hakika nimefunguliwa
MUNGU AWABARIKI SANA
Amen nawe pia ndugu