Ulishawahi kutafakari kwanini yule mwanamke aliyemzaa yule mtoto wa kiume, kupewa uwezo wa kukimbilia nyikani, kama njia ya kuepushwa na…
Hauhitaji nafasi kubwa kuzijua siri za Mungu. Naamani alikuwa ni mtu mkuu, jemedari wa vita, lakini alikaa na ukoma uliomtesa…
Jina la Bwana wetu YESU KRISTO libarikiwe, karibu tujifunze Biblia. Je unaikumbuka ile habari ya mwana mpotevu?.. Luka 15:13 “Hata…
Dhambi pekee inayotajwa kwenye Biblia yenye laana ya umaskini na inayofilisi ni “Uasherati”. Luka 15:13 “Hata baada ya siku si…
Swali: Biblia inasema “Tukiongozwa na Roho hatupo chini ya sheria”(Wagalatia 5:18) maana yake nini andiko hili? Jibu: Tuanzie ule mstari…
Shalom, jina la Mwokozi YESU libarikiwe, karibu tujifunze pamoja Biblia, Neno la Mungu wetu. Maandiko yanatabiri kuwa siku za mwisho…
Waebrania 12:1 "Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,"
Kutana na orodha ya mafundisho,mbalimbali,kulingana na mada kuanzia wokovu, Mungu, Roho Mtakatifu, kanisa, Siku za Mwisho n.k.
Tovuti hii inakupa wigo wa kuuliza maswali, na pia kujifunza kwa kupitia maswali mengi yaliyojibiwa
Kutana na mafundisho mbalimbali kwa njia ya video na sauti