Jina la BWANA YESU libarikiwe, karibu tujifunze Biblia, Neno la MUNGU wetu, lililo taa na mwanga wa njia yetu (Zab.119:105).…
Nuru ya UpendobibliayetuEdit Profile Wana wa Israeli walitoka kweli Misri, na Mungu akawaahidia kuwa mbele yao wamewekewa nchi njema ibubujikayo…
Kitu pekee ambacho tumepewa na MUNGU kinachofanana kwa viumbe vyote ni “muda”.. Tunaweza tofautiana rangi, kimo, ukubwa, umri, utajiri, heshima,…
Mungu anapotaka kumwinua mtu, si kila wakati atampa machaguzi fulani, au atamwagiza kiupendo, bali wakati mwingine atamshurutisha katika jambo ambalo…
Luka 12:47 “Na mtumwa yule aliyejua mapenzi ya bwana wake, ASIJIWEKE TAYARI, wala kuyatenda mapenzi yake, atapigwa sana. 48 Na…
Eliya alipoagizwa na Mungu kuzifunga mbingu kwa miaka mitatu na miezi sita, aliagizwa aelekee, karibu na kijito cha kedroni, na…
Waebrania 12:1 "Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,"
Kutana na orodha ya mafundisho,mbalimbali,kulingana na mada kuanzia wokovu, Mungu, Roho Mtakatifu, kanisa, Siku za Mwisho n.k.
Tovuti hii inakupa wigo wa kuuliza maswali, na pia kujifunza kwa kupitia maswali mengi yaliyojibiwa
Kutana na mafundisho mbalimbali kwa njia ya video na sauti