Machapisho Mapya

ByNuru ya Upendo Aug 29, 2026

MWANAMKE ALIYEONGOZWA NYIKANI.

Ulishawahi kutafakari kwanini yule mwanamke aliyemzaa yule mtoto wa kiume, kupewa uwezo wa kukimbilia nyikani, kama njia ya kuepushwa na…

ByNuru ya Upendo Aug 28, 2026

KIJAKAZI ALIYEJUA UPONYAJI ULIPO.

Hauhitaji nafasi kubwa kuzijua siri za Mungu. Naamani alikuwa ni mtu mkuu, jemedari wa vita, lakini alikaa na ukoma uliomtesa…

NJAA KUU IKAINGIA KATIKA ILE NCHI.
ByNuru ya Upendo Aug 26, 2026

NJAA KUU IKAINGIA KATIKA ILE NCHI.

Jina la Bwana wetu YESU KRISTO libarikiwe, karibu tujifunze Biblia. Je unaikumbuka ile habari ya mwana mpotevu?.. Luka 15:13 “Hata…

ACHA UASHERATI.
ByNuru ya Upendo Aug 24, 2026

ACHA UASHERATI.

 Dhambi pekee inayotajwa kwenye Biblia yenye laana ya umaskini na  inayofilisi  ni “Uasherati”. Luka 15:13 “Hata baada ya siku si…

Nini maan ya kutokuwa chini ya sheria?
ByNuru ya Upendo Aug 17, 2026

Nini maana ya kutokuwa chini ya sheria?

Swali: Biblia inasema “Tukiongozwa na Roho hatupo chini ya sheria”(Wagalatia 5:18) maana yake nini andiko hili? Jibu: Tuanzie ule mstari…

ByNuru ya Upendo Aug 14, 2026

TUMIA KANUNI HII KUTAFUTA SULUHU.

Shalom, jina la Mwokozi YESU libarikiwe, karibu tujifunze pamoja Biblia, Neno la Mungu wetu. Maandiko yanatabiri kuwa siku za mwisho…

Changia Huduma Hii

Wingu La Mashahidi Wa Kristo

Waebrania 12:1 "Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,"

Mafundisho

Kutana na orodha ya mafundisho,mbalimbali,kulingana na mada kuanzia wokovu, Mungu, Roho Mtakatifu, kanisa, Siku za Mwisho n.k.

je! Una maswali yoyote kuhusu biblia?

Tovuti hii inakupa wigo wa kuuliza maswali, na pia kujifunza kwa kupitia maswali mengi yaliyojibiwa

You-tube

Kutana na mafundisho mbalimbali kwa njia ya video na sauti