TANGAZO

TANGAZO

Jumapili ya tarehe 24 tutakuwa na ibada yetu ya pili. Tunawakaribisha Wakazi wa Daresalaam Na wengineo.

Pamoja na ushirika tutakuwa na muda wa kuuliza maswali ya biblia, Ushauri na maombezi

Hivyo mnakaribishwa wote.

Mahali ni Tegeta Nyuki.

Muda ni saa 3:00 asubuhi mpaka saa 6:30.

Karibuni sana.

Mwl. Denis.
Wingu la Mashahidi.

Kwa mawasiliano: piga +255693036618 au +255789001312

Shalom.

Print this post

About the author

Admin administrator

Subscribe
Notify of
guest
0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments