> Kuna vitabu vingapi katika Agano Jipya na Agano la Kale?,
> Kuna sura/milango mingapi katika kila mgawanyo?
> Na watu gani waliotajwa sana katika biblia zaidi ya wengine wote?
KUJUA HAYO YOTE, TAZAMA MAJEDWALI YAFUATAYO
(Slide kushoto kusoma zaidi taarifa katika jedwali).
Kwanini YESU KRISTO ndiye anayeonekana kutajwa sana katika Biblia??.. Ni kwasababu yeye ndiye kitovu cha UZIMA, na Biblia yote inamhusu yeye, na kutuelekeza kwake.
YESU KRISTO, ndiye Njia, KWELI na UZIMA.. Mtu hawezi kumwona MUNGU nje ya YESU KRISTO (Yohana 1:18 na 14:6)
Tafadhali shea na wengine;
Pia Kwa maombezi/ Ushauri/ Maswali/ Whatsapp: Tuandikie katika BOXI la Maoni hapo chini au Piga namba hizi: +255789001312 au +255693036618
Mafundisho mengine:
MAJINA YA MITUME WA BWANA YESU
Mgawanyo wa Vitabu vya Biblia
TAKWIMU ZA KIBIBLIA
VITABU VYA BIBLIA: Sehemu ya 2
VITABU VYA BIBLIA: Sehemu ya 1
Rudi nyumbani
Print this post