Kuadibu ni nini kibiblia? (Zaburi 94:12)

Kuadibu ni nini kibiblia? (Zaburi 94:12)

Kitendo cha kumtia mtu adabu ndio kuadibu. Maana yake kuchukua hatua za makusudi kuadhibu, au kukaripia, au kuonyoosha mwenendo lakini kwa lengo la kujenga sio kulipiza kisasi.

Neno hilo utalipata kwenye vifungu hivi.

Zaburi 94:12

[12]Ee BWANA, heri mtu yule umwadibuye, Na kumfundisha kwa sheria yako; 

Zaburi 94:10

[10]Awaadibuye mataifa asikemee? Amfundishaye mwanadamu asijue? 

Mungu akiitwa Baba, basi tujue kuwa sisi ni watoto wake, na kama ni watoto wake basi atatuadabisha pale tunapokosea..

Kubali kuadibiwa na Bwana…

Shalom.

 

Washirikishe na wengine habari hizi njema kwa kushea

Ikiwa utapenda kupata msaada wa kumpokea Yesu maishani mwako bure, Basi wasiliana nasi kwa namba uzionazo chini ya makala hii.

Pia kwa kupokea mafundisho ya kila siku kwa njia ya WHATSAPP, jiunge na channel yetu kwa kubofya link hii >> https://whatsapp.com/channel/0029VaBVhuA3WHTbKoz8jx10

Kwa mawasiliano: +255693036618 au +255789001312

Bwana akubariki.

Mafundisho mengine:

Beliari ni nini? (2Wakorintho 6:15)

‘laana ya torati’ maana yake ni nini?

Mapokeo ni nini?

Print this post

About the author

Nuru ya Upendo administrator

Leave a Reply