Madhali ni nini? (Zab 21:11)

Madhali ni nini? (Zab 21:11)

Swali: Maana ya Madhali ni nini kama ilivyotumika hapo katika Zaburi 21:11

Jibu: Turejee…

Zaburi 21:11 “Madhali walinuia kukutenda mabaya, Waliwaza hila wasipate kuitimiza”.

Neno “Madhali” limeonekana mara moja tu kwenye biblia yote, na maana yake ni “Ingawa” Hivyo Kiswahili kingine cha neno “Ingawa” ni  “Madhali”

Kwahiyo maandiko hayo yanaweza kuweleweka pia hivi…“Ingawa walinuia kukutenda mabaya, Waliwaza hila wasipate kuitimiza”.

Madhara yanayonuiwa na watu wabaya, ikiwa tupo ndani ya Kristo, hayataweza kushinda juu yetu, haijalishi yataonekana yamekomaa kiasi gani.

Je umempokea BWANA YESU?..

Unao wokovu ndani yako?

Waebrania 10:37 “Kwa kuwa bado kitambo kidogo sana, Yeye ajaye atakuja, wala hatakawia”.

Maran atha

Washirikishe na wengine habari hizi njema kwa kushea

Ikiwa utapenda kupata msaada wa kumpokea Yesu maishani mwako bure, Basi wasiliana nasi kwa namba uzionazo chini ya makala hii.

Pia kwa kupokea mafundisho ya kila siku kwa njia ya WHATSAPP, jiunge na channel yetu kwa kubofya link hii >> https://whatsapp.com/channel/0029VaBVhuA3WHTbKoz8jx10

Kwa mawasiliano: +255693036618 au +255789001312

Bwana akubariki.

Mafundisho mengine:

Print this post

About the author

Admin administrator

Subscribe
Notify of
guest

0 Comments
Newest
Oldest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments