Jibu: Turejee..
Ayubu 29:10 “Sauti yao masheki ilinyamaa, Na ndimi zao zilishikamana na makaakaa yao”.
Masheki ni jina lingine la “Wana wa wafalme”
Hivyo hapo aliposema.. “Sauti yao masheki ilinyamaa..” ni sawa na kusema “sauti zao wana wa wafalme zilinyamaa”.
Neno hili pia tunalisoma katika..Zaburi 68:31, Zaburi 83:11 na Zaburi 105:22, na zote zina maana ile ile moja (wana wa wafalme ambao ni wakuu wa nchi).
Zaburi 68:31 “]Masheki watakuja kutoka Misri, Kushi itamnyoshea Mungu mikono yake mara”.
Je umempokea YESU Mwokozi?. na kukamilisha haki yote kwa ubatizo sahihi wa maji mengi na kwa jina la Bwana YESU? (sawasawa na Matendo 2:38)?
Kama bado basi tengeneza mambo yako hayo kabla ule mwisho haujafika.
Bwana akubariki.
Ikiwa utapenda kupata msaada wa kumpokea Yesu maishani mwako bure, Basi wasiliana nasi kwa namba uzionazo chini ya makala hii.
Pia kwa kupokea mafundisho ya kila siku kwa njia ya WHATSAPP, jiunge na channel yetu kwa kubofya link hii >> https://whatsapp.com/channel/0029VaBVhuA3WHTbKoz8jx10
Kwa mawasiliano: +255693036618 au +255789001312
Mafundisho mengine:
Rudi Nyumbani
Print this post
Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.
Δ