Uwanda wa dura ni nini?

Uwanda wa dura ni nini?

Ni vizuri kufahamu kwanza maana ya uwanda, Uwanda ni sehemu iliyowazi iliyonyooka. Hivyo uwanda wa Dura ni sawa na kusema eneo la Dura lililo wazi.

Eneo hilo lilikuwepo Babeli na ndilo Nebukadneza mfalme alilichagua kuwa sehemu ya sanamu yake ya dhahabu aliyoitengeneza kwa ajili ya watu wa ulimwengu mzima kuisujudia. Eneo hilo la uwanda wa dura lilikuwa zuri kwa sanamu kuonekana vizuri na watu wengi kukusanyika.

Danieli 3:1 “Nebukadreza, mfalme, alifanya sanamu ya dhahabu, ambayo urefu wake ulikuwa ni dhiraa sitini, na upana wake dhiraa sita; akaisimamisha katika uwanda wa Dura, katika wilaya ya Babeli.

2 Ndipo Nebukadreza akatuma watu kuwakusanya maamiri, na manaibu, na maliwali, na makadhi, na watunza hazina, na mawaziri, na mawakili, na wakuu wa wilaya zote, ili wahudhurie wakati wa kuizindua ile sanamu, mfalme Nebukadneza aliyoisimamisha”.

Je! unafahamu ile sanamu inafunua nini siku hizi za mwisho?

Je! unajua chapa ya mnyama ndio itakuja kwa namna hiyo? Ili kufahamu hayo kwa upana fungua vichwa vya masomo tulivyoviorodhesha chini.

Mada Nyinginezo:

DANIELI: Mlango wa 3

UFUNUO: Mlango wa 13

CHUKIZO LA UHARIBIFU

WINGU KUBWA LA MASHAHIDI.

JE UDHAIFU WANGU UNAWEZA KUZUIA INJILI?

Rudi Nyumbani:

Print this post

About the author

Admin administrator

Subscribe
Notify of
guest
0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments