Manyoyota ni nini (Ayubu 37:6)

Manyoyota ni nini (Ayubu 37:6)

Manyoyota ni neno lingine la “manyunyu”. Manyunyu ya mvua kwa lugha nyingine yanaitwa “manyoyota”

Ayubu 37:6 “Kwani huiambia theluji, Anguka juu ya nchi; Na vivyo manyonyota ya mvua, Na hayo maji ya mvua yake kubwa”.

Baraka za Bwana zinafananishwa na manyunyu ya mvua..

Ezekieli 34:26 “Nami nitawafanya wao, na mahali palipo pande zote za mlima wangu, kuwa baraka, nami nitaleta manyunyu kwa wakati wake; yatakuwako manyunyu ya Baraka”

Tunapoenda katika njia zake Bwana atatunyeshea manyunyu ya Baraka.

Maran atha!

Tafadhali shea na wengine ujumbe huu;

Pia Kwa maombezi/ Ushauri/ Maswali/ Whatsapp:
Tuandikie katika BOXI la Maoni hapo chini au
Piga namba hizi: +255693036618 au +255789001312

Mada Nyinginezo:

BASI TUENDELEE KUMJUA MUNGU,NAYE ATATUJILIA KAMA MVUA YA VULI.

IJUE HEKIMA YA MUNGU KATIKA KUKUINUA KIMAISHA.

Uishi kwa furaha pamoja na mke umpendaye, siku zote

Wakolosai 3:5 inamaana gani?

Kwanini mtu afanye miujiza na bado asiende mbinguni?

Rudi nyumbani

Print this post

About the author

Admin administrator

Subscribe
Notify of
guest
0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments