Manyoyota ni neno lingine la “manyunyu”. Manyunyu ya mvua kwa lugha nyingine yanaitwa “manyoyota”
Ayubu 37:6 “Kwani huiambia theluji, Anguka juu ya nchi; Na vivyo manyonyota ya mvua, Na hayo maji ya mvua yake kubwa”.
Baraka za Bwana zinafananishwa na manyunyu ya mvua..
Ezekieli 34:26 “Nami nitawafanya wao, na mahali palipo pande zote za mlima wangu, kuwa baraka, nami nitaleta manyunyu kwa wakati wake; yatakuwako manyunyu ya Baraka”
Tunapoenda katika njia zake Bwana atatunyeshea manyunyu ya Baraka.
Maran atha!
Tafadhali shea na wengine ujumbe huu;
Pia Kwa maombezi/ Ushauri/ Maswali/ Whatsapp: Tuandikie katika BOXI la Maoni hapo chini au Piga namba hizi: +255693036618 au +255789001312
Mada Nyinginezo:
BASI TUENDELEE KUMJUA MUNGU,NAYE ATATUJILIA KAMA MVUA YA VULI.
IJUE HEKIMA YA MUNGU KATIKA KUKUINUA KIMAISHA.
Uishi kwa furaha pamoja na mke umpendaye, siku zote
Wakolosai 3:5 inamaana gani?
Kwanini mtu afanye miujiza na bado asiende mbinguni?
Rudi nyumbani
Print this post
Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.
Δ