Nyungu ni nini kibiblia?(Ayubu 41:20,31, Waamuzi 6:19)

Nyungu ni nini kibiblia?(Ayubu 41:20,31, Waamuzi 6:19)

Nyungu ni nini?


Nyungu ni nini kibiblia?(Ayubu 41:20,31, Waamuzi 6:19)

Nyungu ndio  Chungu kwa jina lingine, kibiblia kilitumika kuchemshia maji, nyama, nafaka, mboga mboga n..k Unaweza kulisoma Neno hili katika vifungu vifuatavyo;

Hesabu 11:7 “Na hiyo mana ilikuwa mfano wa chembe za mtama na kuonekana kwake kulikuwa kama kuonekana kwake bedola.

8 Watu wakazunguka-zunguka na kuikusanya, kisha wakaisaga kwa mawe ya kusagia, au kuitwanga katika vinu, kisha wakaitokosa NYUNGUNI, na kuandaa mikate; na tamu yake ilikuwa kama tamu ya mafuta mapya”.

Waamuzi 6:19 “Basi Gideoni akaingia ndani, akaandaa mwana-mbuzi, na mikate isiyotiwa chachu, ya efa ya unga; akaitia ile nyama katika kikapu, AKAUTIA MCHUZI KATIKA NYUNGU, akamletea hapo nje chini ya mwaloni, akampa”.

Ayubu 41:20 “Moshi hutoka katika mianzi ya pua yake, Kama NYUNGU ikitokota, na manyasi yawakayo”.

Ayubu 41:31 “Yeye huchemsha kilindi MFANO WA NYUNGU; Hufanya bahari kuwa kama mafuta”.

Shalom.

Tazama tafsiri ya maneno mengine ya kibiblia chini.

Tafadhali washirikishe na wengine habari hizi njema, na pia kama utapenda tuwe tunakutumia mafundisho ya Neno la Mungu ya mara kwa mara kwa njia ya email yako au Whatsapp basi tutumie ujumbe kwenye namba hii +255 789001312

Mada Nyinginezo:

Kulabu ni nini katika biblia?(2Wafalme 19:27)

Yeshuruni ni nani katika biblia?

Je! Lewiathani ni nani?

EPUKA MUHURI WA SHETANI

KUSAMBAA KWA ROHO YA MPINGA-KRISTO.

Rudi Nyumbani:

Print this post

About the author

Admin administrator

Subscribe
Notify of
guest
0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments