MAJINA YA MANABII WANAWAKE

MAJINA YA MANABII WANAWAKE

Orodha ya Manabii wa kike katika biblia.


Jumla ya Manabii wa kike (wanawake) waliotajwa katika biblia ni 11, Kati ya hao manabii Tisa (9) walikuwa wa KWELI na Wawili (2) walikuwa wa UONGO.

LIFUATALO NI JEDWALI LA UFUPISHO..

Kulitazama jedwali zima, basi ‘SLIDE’ kuelekea kushoto.

N/AJINAURAIAHALI ZA KIMWILIHALI YA KIROHOMAREJEO
1.MIRIAMUISRAELIDada wa Musa na HaruniWA KWELIKutoka 15:20
2.DEBORAISRAELIHaijatajwa katika BibliaWA KWELIWaamuzi 4:4
3.HULDAISRAELIMke wa ShalumuWA KWELI2Wafalme 22:14,
2Nyakati 34:22
4.MKE WA ISAYAISRAELIMke wa IsayaWA KWELIIsaya 8:3
5.ANAISRAELIMjaneWA KWELILuka 2:36
6.BINTI WA FILIPOISRAELIBinti wa FilipoWA KWELIMatendo 21:8-9
7.BINTI WA FILIPOISRAELIBinti wa FilipoWA KWELIMatendo 21:8-9
8.BINTI WA FILIPOISRAELIBinti wa FilipoWA KWELIMatendo 21:8-9
9.BINTI WA FILIPOISRAELIBinti wa FilipoWA KWELIMatendo 21:8-9
10.NOADIAISRAELI (Mlawi)HaijatajwaWA UONGONehemia 6:14, Ezra 8:33
11.YEZEBELITIRO (LEBANONI)Mke wa Mfalme AhabuWA UONGO (Mchawi)Ufunuo 2:20

Tafadhali shea na wengine ujumbe huu;

Pia Kwa maombezi/ Ushauri/ Maswali/ Whatsapp:
Tuandikie katika BOXI la Maoni hapo chini au
Piga namba hizi: +255789001312 au +255693036618

Mafundisho mengine:

UJUE UCHAWI WA MANABII WA UONGO?.

Wana wa Manabii walikuwa ni watu gani?

JIEPUSHE NA MANENO YA MANABII WA UONGO.

Manabii walisema “Neno la Mungu likanijia” ..Maana ya hili neno ni nini?.

Nini maana ya “Torati na manabii”?

Rudi nyumbani

Print this post

About the author

Admin administrator

Subscribe
Notify of
guest
0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments