MANABII WA BIBLIA (Wanaume)

MANABII WA BIBLIA (Wanaume)

Manabii Wanaume katika biblia walikuwa wengi kiidadi kuliko manabii wanawake.


UFUATAO NI UFUPISHO KWA NJIA YA JEDWALI:

Kutazama Jadwali zima, basi Slide kuelekea upande wa kushoto.

N/AJINAWAFALME WALIOTAWALA ENZI ZAKEMIJI/MATAIFA ALIYOYATOLEA UNABIIMAJIRA ALIYOTOA UNABII
1.ELIYAAhabu, Ahazia na YoramuISRAELIKabla Israeli haijapelekwa Ashuru
2.ELISHAYoramu, Yehu na YehoahaziISRAELIKabla Israeli haijapelekwa Ashuru
3.YONAYeroboamu wa PiliNINAWI (Ashuru)Kabla Israeli haijapelekwa Ashuru
4.NAHUMUManase, Amosi na YosiaNINAWI (Ashuru)Kabla YUDA haijapelekwa Babeli
5.OBADIASedekiaEDOMUKabla YUDA haijapelekwa Babeli
6.HOSEAYeroboamu wa Pili, Zekaria, Shalumu, Menahemu, Pekahia,Peka na HosheaISRAELIKabla Israeli haijapelekwa Ashuru
7.AMOSIYeroboamu wa PiliISREALIKabla Israeli haijapelekwa Ashuru
8.ISAYAuzia, Yothamu, Ahazi, Hezekia na ManaseYUDAKabla YUDA haijapelekwa Babeli
9.YEREMIAYosia, Yehoahazi,Yehohakimu, Yekonia na Sedekia. YUDAKabla YUDA haijapelekwa Babeli
10.YOELIYoashiYUDAKabla YUDA haijapelekwa Babeli
11.MIKAYothamu, Ahazi, Hezekia na Manase. YUDAKabla YUDA haijapelekwa Babeli
12.HABAKUKIYehoyakimu na YekoniaYUDAKabla YUDA haijapelekwa Babeli
13.SEFANIAAmoni na YosiaYUDAKabla YUDA haijapelekwa Babeli
14.EZEKIELIYekonia na SedekiaYUDA (Ikiwa utumwani Babeli)Wakati YUDA Ikipelekwa utumwani Babeli
15.DANIELIYehohakimu, Yekonia na Sedekia.YUDA (Ikiwa utumwani Babeli)Wakati YUDA ikiwa utumwani Babeli
16.HAGAILiwali ZERUBABELIYUDA (Masalia waliorudi Yerusalemu kutoka utumwani)Baada ya YUDA kutoka utumwani Babeli
17.ZEKARIALiwali ZERUBABELIYUDA (Masalia waliorudi Yerusalemu kutoka utumwani)Baada ya YUDA kutoka utumwani Babeli
18.MALAKILiwali NEHEMIAYUDA (Masalia waliorudi Yerusalemu kutoka utumwani)Baada ya YUDA kutoka utumwani Babeli

Mbali na hawa walioorodheshwa katika Jedwali hilo hapo juu, walikuwepo pia Manabii wengine ambao hawakuonekana wakitajwa katika kutoa Nabii za Nchi au Taifa.. Mfano wa hao tunawaona katika Jedwali lifuatalo.

N/AJINAMFALME ALIYETAWALA WAKATI WAKEHALI KIROHOMAREJEO
1.MUSAIsreli wakiwa Misri na JangwaniWA KWELI Kutoka, M/Walawi, Kumbukumbu na Hesabu
2.MIKAYAAhabuWA KWELI1Wafalme 22:13
3.AHIYAYeroboamuWA KWELI1Wafalme 1:45
4.NATHANISauliWA KWELI2Samweli 7:2
5.Nabii wa Yuda (Asiyetajwa jina)Yeroboamu wa KwanzaWA KWELI1Wafalme 13:1-9
6.Nabii MZEE (Asiyetajwa jina)Yeroboamu wa kwanzaMCHANGANYIKO1Wafalme 13:11-14
7. HANANIAYekonia na SedekiaWA UONGOYeremia 28:15-17
8.Manabii 400 (wasiotajwa majina)AhabuWA UONGO1Wafalme 22:6
9.BALAAMUIsraeli wakiwa JangwaniWA UONGO (Mchawi)Yoshua 13:22
10.BAR-YESUNyakati za kanisa la KwanzaWA UONGO (Mchawi)Matendo 13:9
11.AGABONyakati za kanisa la KwanzaWA KWELIMatendo 11:28 na Matendo 21:10

Tafadhali shea na wengine ujumbe huu;

Pia Kwa maombezi/ Ushauri/ Maswali/ Whatsapp:
Tuandikie katika BOXI la Maoni hapo chini au
Piga namba hizi: +255789001312 au +255693036618

Mafundisho mengine:

MAJINA YA MANABII WANAWAKE

MAJINA YA MITUME WA BWANA YESU

WAFALME NA MALKIA WALIOTAWALA YUDA

WAFALME WALIOTAWALA ISRAELI.

Rudi nyumbani

Print this post

About the author

Admin administrator

Subscribe
Notify of
guest
0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments