CHANGIA SASA.

CHANGIA SASA.

Asante kwa kutembelea Tovuti yetu, Maono yetu makuu ni kuisambaza injili ya Bwana wetu Yesu Kristo ili wokovu uwafikie watu wote ulimwenguni kote, sambamba na hilo tumelenga kutoa maarifa ya Neno la Mungu, kufuatana na mada mbalimbali katika  biblia.

Kwa mchango wako, utawezesha kazi hii ya Bwana kuendelea mbele, na tunachoamini ni kuwa mmoja hupanda mwingine hutia maji, lakini mkuzaji ni Mungu. Hivyo kwa matunda yazaliwayo kwa kupitia huduma hii, thawabu yetu ni moja mbinguni.

Waweza changia kupitia namba hizi:

  • AIRTEL-MONEY:  +255 789 001 312 
  • JINA:                    DEVIS MAGEMBE.

Au

  • M-PESA:         +255 767 992 434       
  • JINA:             DENIS MAGEMBE.

Bwana akubariki.

baruapepe(email) >> Info@wingulamashahidi.org

Shalom!

Print this post

About the author

Nuru ya Upendo administrator

31 comments so far

Mtumishi ErickPosted on9:27 pm - Mar 5, 2024

Shalom watumishi wa Mungu, sijajua kama ukurasa hui ni mahali sahihi pa kuuliza swali au la!, Natanguliza samahani kama nta kuwa nime kosea. Swali langu ni je, kuna haja ya Mtu aliye okoka kweli kweli, kufanya maombi ya kujikomboa na laaana na vifungo ( mfano vifungo/laana za ukoo,mizimu ushirikina,maangano, uchawi wa mafundo au laana zozote zile ua ushirikina wowote uliofanyika juu yako kabla ya kuokoka.n.k)?? Maana Nikisoma haya maandiko: (Luka4: 17-19) (Yohana 1:12), ( 2,wakoritho 5:17), 1petro 1: 18- 19), Wakolosai( 2:13-15) ( Yakobo4:7), ( 1Yohane 3: 3-9) napata shida na hizi ibada za maombi ya namna hiyo, ikiwa nguvu ya msalama ime tufanya huru m.hayo maombi yana kazi gani tena..!? Huku ikifahamika wazi dhambi ndo mlago wa shetani kwa mtu..? Naomba mni saidie nikue kiroho..maana kweli napata shida napo ona maombi haya nisije nikawa nakosea..Asante sana Mungu wabariki sana kwa jina la Yesu

GodhelpPosted on11:42 pm - May 10, 2023

Mungu awabariki Kwa huduma hii inayo wafumbua watu macho.Huduma zuri Mungu watumie mzidi kuwafumbua watu

MichaelPosted on3:03 pm - Oct 4, 2022

Mungu awabariki sana

Pasteur benjaminPosted on9:44 pm - Aug 9, 2022

Shalome nina taka nami niji unge kwaku ongeza elimu za maandiko ma takatifu nime patikana huko congo.

Daniel ombuo wa tarimePosted on3:15 pm - Jun 22, 2022

jamani nafurah sana kwa mafunzo yenu je swali ni kwamba mungu ni nani?

Peter vuronya chisutiaPosted on4:11 pm - May 4, 2022

Neno lamungu litawale ulimwengu mwote

Tumaini JamesPosted on9:43 am - May 3, 2022

Mungu awabariki. Kwa mahubiri yenu

Jairus chichete Mombasa Kenya 🇰🇪Posted on11:11 am - Apr 12, 2022

Hello wingu la mashahidi Yesu asifiwe Naamini mnaendelea viema katika Bwana MUNGU awabariki kwa Kazi nzuri ya kujenga mwili wa kristo!

NURU MFAKOPosted on8:11 pm - Apr 2, 2022

AMEN AMEN, TUPO PAMOJA KATIKA KUIFANYA KAZI YA MUNGU

AnonymousPosted on8:44 pm - Feb 14, 2022

Bwana Yesu asifiwe sana wapendwa nabarikiwa kwa mafundisho yenu mazuri na ya kujenga Mungu awape hekima zaidi ya kwedelea na huduma hii

TuzolanaPosted on8:43 pm - Feb 14, 2022

Bwana Yesu asifiwe sana wapendwa nabarikiwa kwa mafundisho yenu mazuri na ya kujenga Mungu awape hekima zaidi ya kwedelea na huduma hii

AnonymousPosted on5:32 pm - Oct 1, 2021

Amen Mungu na akubariki

Dynes DanielPosted on10:48 pm - Aug 16, 2021

Sijaelewa kuhusu SDA kwani imetoka wapi

Arsen kaizaPosted on3:59 pm - Dec 7, 2020

Mbarikiwe Sana nitachangia ili injiri ya BWANA izidi kufika kote duniani na kufanya watu waokoke au wabadilike na kuishi maisha yakumpendeza MUNGU Kama Mimi nilivo badilishwa. Amina

AnonymousPosted on9:24 am - Oct 27, 2020

Barikiweni na bwana

baraka sammo,lindiPosted on10:32 pm - Mar 27, 2020

mbona kumekuwa kimya,masomo mapya hatuyapati?

Leave a Reply