KAMA UMEGUSWA KUCHANGIA KAZI HII YA INJILI ILI IZIDI KUWAFIKIA WATU WENGI ZAIDI, BWANA AKUBARIKI SANA KWA MOYO HUO.
HIVYO KAMA UMEGUSWA UNAWEZA UKATUMA MCHANGO WAKO KWA KUPITIA NAMBA ZIFUATAZO.
Kumbuka pia kuandika jina lako na mahali unapotokea, pindi utakapotuma nasi tunakuombea Bwana akubariki kwa baraka zote za rohoni.
NA PIA MAOMBI YAKO NI YA UMUHIMU SANA KWETU, UNAWEZA UKAITAJA KAZI HII MBELE ZA BWANA KILA UOMBAPO KWAMBA BWANA AIONGEZEE NEEMA YAKE IENDELEE KUWEPO.
NA MWISHO KAMA UNA SWALI LOLOTE KUHUSU MAANDIKO, TUNAKUKARIBISHA UTUTUMIE KUPITIA NAMBA HIZO HAPO JUU! AU BARUA PEPE HAPA CHINI, AU KATIKA BOKSI LA MAONI HAPO CHINI, TUTAKUJIBU KWA WAKATI KWA KADIRI BWANA ATAKAVYOTUPA NEEMA,
baruapepe(email) >> Info@wingulamashahidi.org
Shalom!
Print this post
Shalom watumishi wa Mungu, sijajua kama ukurasa hui ni mahali sahihi pa kuuliza swali au la!, Natanguliza samahani kama nta kuwa nime kosea. Swali langu ni je, kuna haja ya Mtu aliye okoka kweli kweli, kufanya maombi ya kujikomboa na laaana na vifungo ( mfano vifungo/laana za ukoo,mizimu ushirikina,maangano, uchawi wa mafundo au laana zozote zile ua ushirikina wowote uliofanyika juu yako kabla ya kuokoka.n.k)?? Maana Nikisoma haya maandiko: (Luka4: 17-19) (Yohana 1:12), ( 2,wakoritho 5:17), 1petro 1: 18- 19), Wakolosai( 2:13-15) ( Yakobo4:7), ( 1Yohane 3: 3-9) napata shida na hizi ibada za maombi ya namna hiyo, ikiwa nguvu ya msalama ime tufanya huru m.hayo maombi yana kazi gani tena..!? Huku ikifahamika wazi dhambi ndo mlago wa shetani kwa mtu..? Naomba mni saidie nikue kiroho..maana kweli napata shida napo ona maombi haya nisije nikawa nakosea..Asante sana Mungu wabariki sana kwa jina la Yesu
waweza kupitia hili somo naamini utapata majibu>> KUVUNJA MAAGANO YA UKOO.
Asante Mtumishi wa Mungu, Nime barikiwa sanaaaa…Mungu wetu akuzidishe sana sana, Kwa jina la Yesu.
Amen akubariki nawe pia ndugu yetu..
Mungu awabariki Kwa huduma hii inayo wafumbua watu macho.Huduma zuri Mungu watumie mzidi kuwafumbua watu
Mungu awabariki sana
2timotheo 3:16
Shalome nina taka nami niji unge kwaku ongeza elimu za maandiko ma takatifu nime patikana huko congo.
jamani nafurah sana kwa mafunzo yenu je swali ni kwamba mungu ni nani?
Neno lamungu litawale ulimwengu mwote
Amen amen..
Mungu awabariki. Kwa mahubiri yenu
Hello wingu la mashahidi Yesu asifiwe Naamini mnaendelea viema katika Bwana MUNGU awabariki kwa Kazi nzuri ya kujenga mwili wa kristo!
Amen, ndugu Jairus.. Uzidi kubarikiwa sana..
AMEN AMEN, TUPO PAMOJA KATIKA KUIFANYA KAZI YA MUNGU
Amen Bwana azidi kukubariki sana
Bwana Yesu asifiwe sana wapendwa nabarikiwa kwa mafundisho yenu mazuri na ya kujenga Mungu awape hekima zaidi ya kwedelea na huduma hii
Amina utukufu apewe Bwana…
MUNGU awabariki Sana
Amen Mungu na akubariki
Sijaelewa kuhusu SDA kwani imetoka wapi
Amina
Mbarikiwe Sana nitachangia ili injiri ya BWANA izidi kufika kote duniani na kufanya watu waokoke au wabadilike na kuishi maisha yakumpendeza MUNGU Kama Mimi nilivo badilishwa. Amina
Amina, Bwana na akubariki, kwa moyo huo wa kuipenda kazi ya Mungu..
Barikiweni na bwana
mbona kumekuwa kimya,masomo mapya hatuyapati?
Tulipata dharura ya kusafiri, maeneo yasiyo na mtandao kwa muda, lakini tumesharejea..hivyo utakuwa unayapata tena
Tunashukuru kwa mafundisho has lakini ningependekeza kwa wakati mwengini kuchangia kwa maelozo mbali mbali.
Ahsanteni Sana watumishi wa MUNGU kwa huu usaidizi wa kiroho wa kujifunza zaidi Neno la MUNGU kiundani. MUNGU wa mbinguni awatende Mema na Baraka.