Ufidhuli ni nini (2Wakorintho 12:10).

Ufidhuli ni nini (2Wakorintho 12:10).

Swali: Ufidhuli ni nini kama tunavyosoma katika 2Wakorintho 12:10?


Jibu: Turejee..

2 Wakorintho 12:10 “Kwa hiyo napendezwa na udhaifu, na UFIDHULI, na misiba, na adha, na shida, kwa ajili ya Kristo. Maana niwapo dhaifu ndipo nilipo na nguvu”

Maana ya “Ufidhuli” kama ilivyotumika hapo ni “Matukano”

Hivyo Mtume Paulo kwa ujasiri katika Roho Mtakatifu alidiriki kusema kuwa “anapendezwa na madhaifu”  katika Kristo maana yake ni kwamba pale anapojiona kuwa ni mdhaifu basi alijiona mwenye heri.

Lakini pia anapendezwa na UFIDHULI (Matukano). Yaani pale anapotukanwa kwaajili ya Kristo basi jambo hilo kwake alilipenda zaidi.

Sasa kujua kwa marefu kama ni sahihi kwa Mtume Paulo kujisifia udhaifu fungua hapa >>> Je ni sawa kuukubali udhaifu kama mtume Paulo alivyojisifia kwa huo? (2Wakorintho 12:9-10)

Bwana akubariki.

Washirikishe na wengine habari hizi njema kwa kushea

Ikiwa utapenda kupata msaada wa kumpokea Yesu maishani mwako bure, Basi wasiliana nasi kwa namba uzionazo chini ya makala hii.

Pia kwa kupokea mafundisho ya kila siku kwa njia ya WHATSAPP, jiunge na channel yetu kwa kubofya link hii >> https://whatsapp.com/channel/0029VaBVhuA3WHTbKoz8jx10

Kwa mawasiliano: +255693036618 au +255789001312

Bwana akubariki.

Mafundisho mengine:

Rudi Nyumbani

Print this post

About the author

Admin administrator

Subscribe
Notify of
guest

0 Comments
Newest
Oldest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments