MAANA YA MAJINA NA TAFSIRI ZAKE.

MAANA YA MAJINA NA TAFSIRI ZAKE.

Group la whatsapp Kwa mgawanyo bora wa masomo download App hapa>> App wingu la mashahidi

Kuna Roho inayofuatana na Majina, katika Maandiko tunaona watu wengi sana walibadilishwa majina yao, wengine wakati wa kuanza huduma au kabla ya kuanza huduma. Ibrahimu hapo kwanza aliitwa Abramu (Mwanzo 17:5), Sarai jina lake lilibadilishwa na kuitwa Sara, Yakobo jina lake lilibadilishwa na kuitwa ISRAELI. nk Kwahiyo ni Muhimu kujua maana ya majina kabla ya kumpa mtoto jina au kabla hujajipa jina.

Angalizo: Ukimpa Mtoto jina hata kama liwe zuri au lina tafsiri nzuri kiasi gani, kama mtoto huyo hatakuzwa katika malezi ya kumcha Mungu bado atakuwa mbaya tu, na akifa ataenda Jehanamu ya moto..

Kadhalika, mtoto anaweza akawa na jina lenye tafsiri isiyo njema, lakini kama atakuzwa katika Njia sahihi, hiyo haimzuii Mungu kumtumia, na jina lake kuwepo katika kitabu cha Uzima

Kwasababu majina yaliyopo katika kile kitabu cha uzima hayajaandikwa kulingana na tafsiri, bali kulingana na matendo!! Watakuwepo wengi wenye majina mazuri katika ziwa la Moto, na watakuwepo pia wengi wasio na majina mazuri Mbinguni Kwahiyo Jina pekee halimfanyi mtu au mtoto kuwa mzuri bali malezi pia ya kumcha Mungu….Na malezi sio tu kumpeleka kanisani kila jumapili, bali pia na kumfundisha Njia za Bwana kila siku hata akiwa nyumbani! huku mzazi ukionesha kielelezo cha kumcha Mungu.

Lakini yote katika yote ni vizuri kumpatia mtoto jina lililo zuri na lenye tafsiri bora!

  • MAANA YA JINA YESU.

Hili ndio jina lenye “nguvu” kuliko majina yote, hakuna lililo juu ya hili, kwa vizazi vyote mpaka mwisho wa dunia, halitakuwepo lililo kuu zaidi ya hili maana ya jina hilo ni YEHOVA MWOKOZI, Hivyo Yesu ndiye mwokozi wa Ulimwengu. (Tafadhali; Usimpe mwanao, wala usijipe mwenyewe hili jina, kwasababu ni jina tukufu la Mwana wa Mungu)

  • MAANA YA JINA YOHANA au JOHN

Maana yake ni “Yehova ni mwenye Neema”..Asili ya hili jina ni kiyahudi, Yohana Mbatizaji aliitwa hili jina pamoja na Yohana Mwanafunzi wa Yesu, ambaye ni ndugu yake Andrea.

  • MAANA YA JINA LUKA

Maana yake ni “Mlukania” Lukania ni mahali palipokuwa kusini mwa Italy..ambapo tafsiri yake haijajulikana mpaka leo.

  • MAANA YA JINA MATHAYO

Tafsiri yake ni “Zawadi ya YEHOVA” Asili yake ni lugha ya Kiebrania

  • MAANA YA YA JINA PAULO

Maana yake ni “Mnyenyekevu”

  • MAANA YA JINA YEREMIA

Maana yake ni “Yehova atapandisha au atanyanyua”..Asili ya jina hili ni lugha ya kiebrania.

  • MAANA YA JINA AYUBU au JOB

Maana yake. Ni “Anayechukizwa au anayeonewa” asili yake ni lugha ya kiebrania.

  • MAANA YA JINA SAMWELI

Maana yake “Mungu amesikia” asili yake ni lugha ya kiebrania.

  • MAANA YA JINA PETRO

Tafsiri yake ni jiwe dogo, kama la kurusha, asili ya jina hili ni lugha ya kigiriki.

  • MAANA YA JINA NEEMA au GRACE

Maana ya Neema, ni upendeleo wa kipekee ambao mtu au kitu kinaweza kupata, upendeleo huo hauna chanzo/sababu maalumu. Mungu pekee ndiye anayetoa Neema.

  • MAANA YA JINA ETHAN

Tafsiri yake ni “Aliye Imara, Thabiti” Asili ya jina hili ni lugha ya Kiebrania, katika Biblia alionekana Ethan mtu wa hekima katika Zaburi ya 89

  • MAANA YA JINA IVAN

Ivan na Yohana ni jina moja, isipokuwa kwa Ivan limewekwa kwa lugha ya kirusi ya sasa, lakini ni hilo hilo Yohana, ambalo tafsiri yake ni “Yehova ni mwenye Neema”

  • MAANA YA JINA CHARLES

Jina Charles limetokana na neno la kijerumani “karl” lenye tafsiri ya “mwanamume”.

  • MAANA YA IRENE

Jina Irene limetokana na neno la kigiriki “Eirene”…lenye maana ya “AMANI”

  • MAANA YA JINA CAROLINA

Jina Carolina au Caroline tafsiri yake ni “Mwanamke kwa kiingereza woman”. kwa jinsia ya kiume ni Carlos, au Charles

  • MAANA YA JINA CAREEN au CARREEN

Jina Careen ni mchanganyiko wa majina mawili (CAROLINA na IREEN). Maana ya Irene ni “Amani”, na Caroline ni “Mwanamke”. Kwahiyo tafsiri yake ni “Mwanamke wa Amani”

Group la whatsapp  Kwa mgawanyo bora wa masomo download App hapa>> App wingu la mashahidi


Mada Nyinginezo:

JINA LAKO NI LA NANI?

JINA LA MUNGU NI LIPI?

USILITAJE BURE JINA LA BWANA!


[embedyt] https://www.youtube.com/embed?listType=playlist&list=PLIIhnDzXkeEcXSNPlq09Q5yonU3MOLI0h&v=DWFSX1GfuC8&layout=gallery[/embedyt]

Rudi Nyumbani:

Print this post

About the author

Admin administrator

82 comments so far

RonPosted on7:54 am - May 11, 2023

RON nisaidie maana ya jina hiri ron

NicholausPosted on11:56 am - Apr 10, 2023

Maana ya jina Nicholaus na chimbuko lake

RahabuPosted on8:24 pm - Feb 5, 2023

Leave your messag
Maana ya jina dickson,aiden,disheni

GracePosted on8:11 am - Jan 19, 2023

Nin maana ya jina givani

AnonymousPosted on1:12 pm - Dec 29, 2022

Naomba kufahamu maana ya neno EVAS

AnonymousPosted on7:10 pm - Oct 20, 2022

maana ya oliver

EdgarPosted on1:28 am - Oct 4, 2022

Tumsifu yesu kristo pia mungu akubaliki kwa kujitolea m naomba kujua maana ya jina. Edgar. Adalia na glasiano

joelPosted on12:57 pm - Jul 24, 2022

Naitaji kujua tafsiri ya jina joel

Gwisu kuzenza wejaPosted on10:39 pm - Jun 26, 2022

I’w wanna know the meaning of gwisu

IssackPosted on2:25 pm - Mar 4, 2022

Maana ya meshack,shadrack,na Abednego

AnonymousPosted on12:43 am - Dec 23, 2021

Maana ya elis na elivis

a melodyPosted on12:23 am - Jun 2, 2021

naomb nifaham maana ya jina amos

MAURICEPosted on8:54 am - Apr 11, 2021

Maana ya jina MAURICE, MORISHO. Kazi njema kwa utafiti wako

AnonymousPosted on8:37 am - Mar 28, 2021

Hellow naomba kujua maana ya Travis & Privian

AnicethPosted on11:57 am - Feb 15, 2021

Samahan naomba kujua maana ya jina Anicia

ScolaPosted on9:07 am - Jan 29, 2021

Naomba kujua maana na asili ya jina la Scola na Julieth

JeremiaPosted on2:26 pm - Jan 28, 2021

Maana ya dylan,Kayden caiden

Mwaro MangiPosted on5:53 pm - Dec 15, 2020

Asante kwa utafiti naomba kujua maana ya Julius,Enock,Dorcus,Ivy

AnonymousPosted on11:26 am - Nov 21, 2020

habr? naomba kujua maana za majna yafuatayo,elia,briht,denice,nova

Joshua kihongosiPosted on3:48 pm - Nov 16, 2020

Naomba kujua maana ya jina “Mwadina”

lunicePosted on11:31 pm - Nov 5, 2020

Ubarikiwe kwa kujitoa kwako naomba kujua maana y jina lulu

Wagumba Jr.III.Posted on10:01 pm - Oct 29, 2020

please provide me with the meaning of the name
Dianna, Iscka, Javeline, Deborah, Quinter, Yunis

AnonymousPosted on6:24 pm - Oct 26, 2020

Naomba kujua maana ya Jonathan

BabrahPosted on4:03 pm - Oct 18, 2020

Naomba kujua maana ya jina babrah

geraldPosted on5:29 pm - Oct 4, 2020

maana ya jina Gerald ni ipi?

AnonymousPosted on5:28 pm - Oct 4, 2020

maana ya jina Gerald ni ipi?

FestoPosted on10:05 pm - Sep 24, 2020

Naomba kujua maana ya jina grace

RosePosted on2:23 pm - Sep 18, 2020

pia naomba kujua na asili yake

RosePosted on2:22 pm - Sep 18, 2020

Naomba kujua maana ya jina Rose.

AlfredPosted on6:41 am - Sep 14, 2020

naomba maana ya jina la alfred

irene daudiPosted on10:09 am - Aug 24, 2020

tumsifu yesu kristo ni ngependa kujua maan ya majina ya fuatayo etropia, francis, na avelina

    AdminPosted on11:15 pm - Aug 24, 2020

    Amen.

    Francis maana yake ni “Mfaransa” (Mwanaume wa kifaransa) kwa kiingereza “Frenchman”..Francis, Franklin maana zao ni moja, na kifupi cha Francis na Franklin ni Frank.

    Avelina maana yake ni “Nguvu”

    Etropia Sijapata maana yake.

    Stella PatrickPosted on11:46 am - Aug 21, 2020

    Habari za kazi! napenda kujua maana ya jina Leonora na Leonia

      AdminPosted on7:19 pm - Aug 21, 2020

      Nzuri,Sina uhakika sana na tafsiri ya jina hilo “Leonia” sijapata chanzo cha kuaminika sana, lakini kutokana na vyanzo mbali mbali, asili ya jina Leonia ni kutoka katika lugha ya kiitaliano, “Leon” kwa kiingereza “Lion”(yaani Simba).

      “Leonora” asili yake ni kiitaliano hiyo hiyo, na tafsiri yake ni “Light” yaani “Mwanga” Ni lugh

    AnonymousPosted on6:10 pm - Sep 10, 2020

    meaning of evabrayna

Lil preynePosted on12:16 am - Jul 26, 2020

Ninzur ningependa kujuwa maana hilijina

Leave a Reply

UTAPENDA KUCHANGIA HUDUMA HII?

Tutamshukuru Mungu kwa ajili yako, kwa mchango wako, ili kuifanya injili hii isonge mbele Tuma sadaka yako kwa namba hizi:
Airtel:+255789001312 -Devis Magembe
Mpesa: +255767992434-Denis Magembe