Bushuti ni nini?

Bushuti ni nini?

Neno Bushuti limeonekana mara moja tu katika biblia, na maana ya Neno hilo ni “Blanketi”.

Waamuzi 4:18 “Yaeli akatoka kwenda kumlaki Sisera, akamwambia, Karibu Bwana wangu, karibu kwangu; usiogope. Akakaribia kwake hemani, naye akamfunika kwa bushuti”.

Kipindi Sisera, Adui wa wayahudi anamkimbia Baraka, alifika kwenye nyumba ya mwanamke mmoja aliyeitwa Yaeli, na mwanamke huyu alimlaghai kwa hila na kumwua.

Kabla ya kumwua maandiko yanasema alimlaza na kumfunika kwa hilo Bushuti (yaani blanketi), na alipopata usingizi alimwua.

Habari hiyo kamili inapatikana katika mlango wa 4 wa kitabu hicho cha Waamuzi.

Maran atha!

Tafadhali washirikishe na wengine habari hizi njema,

Kwa maombezi/Ratiba za ibada/ Ushauri/ Maswali.

Piga namba hizi: +255693036618 au +255789001312

pia kama utapenda uyapate mafundisho haya kwa njia ya Whatsapp au email basi tutumie ujumbe kwenye namba hizo hizo.


Mada Nyinginezo:

THAWABU YA UAMINIFU.

IFAHAMU HUZUNI NA FURAHA YA MALAIKA.

LIFAHAMU SANA JAMBO HILI, ILI MUNGU AKUTUMIE.

Jeshi la Mbinguni wana wa Israeli waliloliabudu ni lipi?

HAKUNA MTU ANIONDOLEAYE, BALI MIMI NAUTOA MWENYEWE

Rudi nyumbani

Print this post

About the author

Admin administrator

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Newest
Oldest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Chediel
Chediel
2 years ago

Mwaweza pia kunitumia masomo Hays kwenye email yangu tajwa hapo juu.