Title 2020

USIUZE URITHI WAKO.

Urithi tulioahidiwa sisi wanadamu ni UZIMA WA MILELE. Na tumeahidiwa huo na Mungu wetu pale tu tunapomwamini Yesu Kristo. Mtu aliyemwamini YESU KRISTO, anakuwa ni mrithi wa Ahadi za Mungu zote pamoja na Maisha ya daima.…lakini wakati wa kupokea urithi bado unakuwa haujafika, ila katika roho ameshachaguliwa kuwa mrithi..kama tu vile mtoto anapoweza kuchaguliwa kuwa mrithi kabla hata ya wakati wa kurithishwa kufika..Ndivyo mtu aliyezaliwa mara ya pili anavyokuwa…Wakati utakapofika baada ya maisha haya kupita ndipo tutakapokabidhiwa  vyote mikononi mwetu kama vile Bwana Yesu baada ya kumaliza kazi alivyokabidhiwa vyote na Baba…Mamlaka yote ya mbinguni na duniani alikabidhiwa.

Lakini habari ni kwamba urithi huu mtu anaweza kununua na kadhalika unaweza kuuuza..

Biblia inasema..

Marko 10:17 “Hata alipokuwa akitoka kwenda njiani, mtu mmoja akaja mbio, akampigia magoti, akamwuliza, Mwalimu mwema, nifanye nini nipate kuurithi uzima wa milele?

18 Yesu akamwambia, Kwa nini kuniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, ndiye Mungu.

19 Wazijua amri, Usiue, Usizini, Usiibe, Usishuhudie uongo, Usidanganye, Waheshimu baba yako na mama yako.

20 Akamwambia, Mwalimu, haya yote nimeyashika tangu utoto wangu.

21 Yesu akamkazia macho, akampenda, akamwambia, Umepungukiwa na neno moja. Enenda, ukauze ulivyo navyo vyote, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha njoo unifuate”.

Unaona hapo, ili uupate uzima wa milele hauna budi uuze baadhi ya mambo/vitu ulivyonavyo, na maana ya kuuza ni KUUTOA MOYO WAKO katika vitu ambavyo ulikuwa unaona vina maana katika maisha yako..Unatoa moyo wako kwenye fedha, unatoa moyo wako kwenye umaarufu, kwa kumaanisha kabisa sio kwa unafki, unatoa matumaini yako na moyo wako kwenye elimu yako, unatoa moyo wako kwenye anasa unazozifanya na dhambi na mambo yote ya kidunia, unakuwa kama ndio leo umeanza kuishi. Kiasi kwamba hakuna chochote cha nje tena kinachoweza kukusisimua au kilicho na nafasi kubwa katika moyo wako zaidi ya Yesu.

Kama Mtume Paulo alivyofanya…

Wafilipi 3:7 “Lakini mambo yale yaliyokuwa faida kwangu, naliyahesabu kuwa hasara kwa ajili ya Kristo.

8 Naam, zaidi ya hayo, nayahesabu mambo yote kuwa hasara kwa ajili ya uzuri usio na kiasi wa kumjua Kristo Yesu, Bwana wangu; ambaye kwa ajili yake nimepata hasara ya mambo yote nikiyahesabu kuwa kama mavi ili nipate Kristo”

Ukiingia gharama za namna hiyo za kuacha kila kitu kwaajili ya Kristo, hapo ni sawa umeuza kila kitu na kwenda kununua kitu cha thamani..Hivyo ufalme wa mbinguni una gharama, tena sio ndogo..kubwa sana..

Vivyo hivyo ufalme wa mbinguni UNAWEZA KUUZWA…Pamoja na kuwa unanunulika kwa gharama kubwa lakini pia unaweza kuuzwa..na unaweza kuuzwa hata kwa gharama ndogo sana….Hapa ni pale mtu aliyekuwa amepewa neema ya kumjua Kristo anapogeuka na kuidharau Neema ile na kuamua kuiacha na kurudia ulimwengu. Huyo nafasi yake inachukuliwa na mwingine, kama Yuda alivyouza nafasi yake kwa tabia yake ya WIZI, na kusababisha nafasi yake kupewa mwingine alyeitwa Mathiya.

Kadhalika Esau naye alivyouza nafasi yake ya urithi  kwa chakula cha siku moja na kupewa Yakobo ndugu yake.

Waebrania 12:16 “Asiwepo mwasherati wala asiyemcha Mungu, kama Esau, aliyeuuza urithi wake wa mzaliwa wa kwanza kwa ajili ya chakula kimoja.

17 Maana mwajua ya kuwa hata alipotaka baadaye kuirithi baraka, alikataliwa (maana hakuona nafasi ya kutubu), IJAPOKUWA ALIITAFUTA SANA KWA MACHOZI”

Kama tunavyosoma hapo juu..Kuna wakati utafika kwa wale walioidharau Neema waliyopewa , wakati huo utakuwa ni wa majuto, na kilio na uchungu mwingi, watu watatamani kwa machozi warudishwe angalau dakika tano nyuma warekebishe makosa yao, lakini watakosa hiyo nafasi…watakapoona uasherati waliokuwa wanaufanya umewaponza wameikosa mbingu, ulevi waliokuwa wanajifurahisha nao kwa kitambo umewaponza, rushwa walizokuwa  wanakula ziliwapofusha macho n.k..Wakati huo utakuwa ni wakati wa majonzi makubwa na majuto kama ya Yuda na Esau….Yuda baadaye alipokuja kujua makosa yake alilia mpaka kufikia  kujinyonga kuona Maisha hayana maana tena…na Esau naye aliitafuta ile nafasi yake kwa machozi lakini hakuipata tena.

Bwana atusaidie tusiuze urithi wetu kwa vitu vichache vya dunia vinavyopita…badala yake tuutafute na kuununua kwa gharama zote. Ili siku ile tutakapoyaona yale ambayo jicho halijawahi kuona wala sikio kusikia furaha yetu iwe timilifu.

Bwana akubariki.

Tafadhali washirikishe na wengine habari hizi njema, na pia kama utapenda tuwe tunakutumia masomo haya kwa njia ya email yako au Whatsapp tutumie ujumbe kwenye box la maoni chini au piga namba hii +255 789001312


Mada Nyinginezo:

Je! kuchora tattoo ni dhambi?

HERI NINYI MLIAO SASA, KWA SABABU MTACHEKA.

LIVUNJENI HEKALU HILI, NAMI KATIKA SIKU TATU NITALISIMAMISHA.

Sabato halisi ni lini, Je! ni Jumapili au Jumamosi?, Ni siku gani itupasayo kuabudu?

MZEITUNI HALISI UTAKAPOPACHIKWA.

KUOTA UMETUMBUKIA SHIMONI.

Rudi Nyumbani:

Print this post

KWANINI UNAPASWA UJIWEKE TAYARI SASA, KABLA YA ULE WAKATI KUFIKA?.

Unajua ni kitu gani kilikuwa kinaendelea siku chache kabla ya Nuhu kuingia Safinani?…Mungu alimwambia Nuhu ingia wewe na mke wako na watoto wako na wanyama wote ndani ya safina..

Sasa kitendo tu cha Nuhu kuingia mule , muda huo huo Mungu aliufunga mlango. Lakini cha kushangaza zaidi ni kuwa tendo la kufunga mlango halikumaanisha kuwa mvua itaanza kunyesha siku hiyo hiyo, hapana tunasoma mvua haikunyesha siku ile ile, bali ilisubiri muda wa siku saba, ndipo baadaye gharika ikashuka.. Mwanzo 7:13-17

Jambo tunaweza kuona hapo ni kuwa mlango wa wokovu ulikuwa umeshafungwa siku kadhaa nyuma kabla ya siku yenyewe ya maangamizi kufika..Pengine baadhi ya watu kuona jinsi mlango ule ulivyofungwa kwa namna isiyokuwa ya kawaida, walighahiri mawazo yao, wakamfuata Nuhu, wakamgongea mlango, wakimwambia Nuhu tufungulie tumegundua ni kweli hii dunia inakwenda kuangamizwa yote hivi karibuni hivyo na sisi tunataka kuzisalimisha roho zetu, tunakusihi utufungulie na sisi tuingie ndani…

Jibu la Nuhu, lilikuwa ni nini?, Mimi sikuufunga mlango, ni Mungu ndiye aliyeufunga na sijui katumia njia gani kuufunga kwasababu sioni hata komeo, wala kufuli pembeni, ni kama vile tumesakafiwa humu ndani, nitawasalidieje ndugu zangu..Ombeni, kwa Mungu labda atawasikia na kuwafungulia huu mlango kwasababu siku yenyewe ya maangamizi naona bado haijafika..

Pengine wale watu wachache waliokuwa pale nje, wakaanza kumlilia Mungu kwa machozi sana ili wafunguliwe mlango lakini hakukuwa na aliyejibu.. wengine walidhihaki na kuona Nuhu ndo kaamua kabisa kujisakafia ndani afie kule,..lakini wale wachache pengine wakaendelea kumsihi Nuhu kutafuta njia ya kuingia safinani.. Siku tano kabla ya gharika, wakaongezeka na wengine tena, nao pia wakawa wanamwambia Nuhu tufungulie ndugu zako, kwa maana kutokana na hali hii tunaoiona inavyoendelea sasa hivi, hii dunia siku chache sana inakwendwa kuangamizwa tufungulie Nuhu, tumetubu na ndio maana tumekuja kabla ya maangamizi yenyewe kufika tunakuomba utufungulie….Lakini Nuhu jibu lake lilikuwa ni lile lile sikuufunga mlango mimi..

Siku tatu kabla gharika, watu bado wanabisha hodi tu, wanatafuta upenyo mdogo lakini hawaoni, siku mbili kabla ya gharika, wanazidi kumsumbua Nuhu labda atafute kiupenyo cha mlango kwa huko ndani uvunje tuingie, lakini biblia inatuambia safina ile ilipigwa lami nje na ndani, hivyo hakukuwa na uwezekano wa kuivunja kiurahisi…

Mpaka ilipotimia siku ile ya gharika yenyewe kushuka,walikuwepo wengi sana pale nje ya safina wakimlilia Mungu, na kubisha hodi kwa bidii sana..lakini walikuwa tayari wameshachelewa..

Ndugu Biblia inatuambia wazi kama ilivyokuwa wote wakaangamia…hakuna aliyesalimika….Sasa biblia inatuambia kama ilivyokuwa katika siku za Nuhu ndivyo itakavyokuja kuwa katika siku za kuja kwake mwana wa Adamu..Bwana Yesu alisema wazi kabisa..

Luka 13:24 “Jitahidini kuingia katika mlango ulio mwembamba, kwa maana nawaambia ya kwamba wengi watataka kuingia, wasiweze.

25 Wakati mwenye nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkisema, Ee Bwana, tufungulie; yeye atajibu na kuwaambia, Siwajui mtokako;

26 ndipo mtakapoanza kusema, Tulikula na kunywa mbele yako, nawe ulifundisha katika njia zetu.

27 Naye atasema, Nawaambia, Siwajui mtokako; ondokeni kwangu ninyi nyote mlio wafanyaji wa udhalimu.

28 Ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno, mtakapomwona Ibrahimu na Isaka na Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, nanyi wenyewe mmetupwa nje”.

Wengi tunadhani mambo hayo yatayokea baada ya kufa, jibu la ni La!, Hayo mambo yatakuwa ni hapa hapa duniani kipindi kifupi kabla ya unyakuo kupita…kuna watu watatamani sana waingizwe katika orodha ya watakaonyakuliwa lakini itakuwa ni ngumu tena..

Fahamu kuwa kitendo cha unyakuo sio kitendo cha kuotea tu, kwamba tunaishi ilimradi tu,halafu siku ile ikifika tutatoweka tu kwa bahati, hapana, Unyakuo unao HATUA zake..Na wale watakaonyakuliwa watajijua kabisa…jambo ambalo hawatajua ni siku yenyewe ya kuondoka, lakini watapewa uhakika huo wa kuondoka wakiwa bado wapo hapa hapa duniani kama vile ilivyokuwa kwa Eliya..

Sasa uhakika huo watautolea wapi?

Ukisoma kitabu cha ufunuo sura ya 10 yote utaona yapo mambo ambayo Yohana alionyeshwa akiwa katika kile kisiwa cha Patmo yahusuyo sauti za zile ngurumo saba, ambapo alipotaka kuziandika aliambiwa asubiri kwanza asiandike….Sasa hizo ni siri ambazo Mungu amezitunza kwa ajili ya bibi-arusi wake anayejiwekwa tayari leo hii kwa unyakuo.. Siri hizo hazijaandikwa mahali popote kwenye biblia..Lakini wakati huo utakapofika, Mungu atazihubiri duniani…Na hizo ndizo zitakazomvuta bibi-arusi ndani ya safina tayari kwa unyakuo siku yoyote..

Sasa wale ambao sio bibi-arusi wa Kristo,watakaposikia hizo jumbe zinahubiriwa, ndipo na wao watakaposhtuka ahaa!! Kwa mambo haya, ndio tunajua sasa unyakuo kweli ni siku yoyote..Hapo ndipo na wao watakapoanza shamra shamra za kumtafuta Mungu kwa kumaanisha, ndipo watakapoanza kubisha na kugonga kwa nguvu, wakitamani nao wahesabiwe..Siku hizo wataitafuta hiyo neema kwa bidii zote lakini hawataipata…

kwasababu mwana wa Adamu ameshasimama na kuufunga mlango…

Hao ndio wale wanawali wapumbavu, waliokwenda kutafuta mafuta na waliporudi wakakuta mlango umeshafunga..Ndivyo itavyokuja kuwa siku za hivi karibuni..(Soma Mathayo 25:1-12)

Nataka nikuambie ukishasikia tu ujumbe mwingine wa tofauti unapita duniani kote kwa nguvu nyingi za Mungu na udhihirisho mwingi, na kusikia mambo mageni masikioni mwako, yahusuyo safari ya kwenda nyumbani kwa Baba, kama bado wewe ni mkristo vuguvugu, basi ujue habari yako imeshakwisha mlango wa neema umekwisha fungwa..Ni heri kama utakuwa umesimama katika utakatifu na imani kwasababu hapo ndipo utakapopata uhakika wa kuondoka kwako hivi karibuni..Lakini kama wewe ni vuguvugu kwasababu hapa hatuzungumzii wale ambao ni baridi kwasababu wao hawataelewa chochote kitakachokuwa kinaendelea, tunamzungumzia wewe ambaye ni vuguvugu, habari yako siku hiyo itakuwa imekwisha..

Wewe ndio itakaoshuhudia wenzako wakienda mbinguni,..Utakuwa umelala na mume wako ambaye kila siku unamwona anajibidiisha kumtafuta Mungu na wewe utajikuta umeachwa, utakuwa unazungumza na mke wako na ghafla ataondoka, mwanao atakuwa amekwenda shule siku hiyo utashangaa harudi…Na ndio maana biblia inatuasa, TUJIWEKE TAYARI, kwa maana hatujui ni siku gani ajapo Bwana ..Hii dunia haina muda mrefu, Unyakuo si jambo la kulichukulia juu juu tu, ukiukosa ule, hali itakayokuwa inaendelea hapa duniani haielezeki, Bwana Yesu anavyosema utalia na kusaga meno alimaanisha kweli hivyo kwamba kusema hivyo kuwa kutakuwa na maombolezo ya ajabu kwa wale ambao watakuokosa unyakuo.

Bwana atutie nguvu katika safari yetu.

Maran Atha.

Tafadhali washirikishe na wengine habari hizi njema, na pia kama utapenda tuwe tunakutumia masomo haya kwa njia ya email yako au Whatsapp tutumie ujumbe kwenye box la maoni chini au piga namba hii +255 789001312


Mada Nyinginezo:

MWAKA WA BWANA ULIOKUBALIWA.

USIPOWATAMBUA YANE NA YAMBRE, KATIKA KANISA LA KRISTO, UJUE UMEPOTEA.

MKUMBUKE MKE WA LUTU.

MKUMBUKE MKE WA LUTU.

JINSI NEEMA YA MUNGU ILIVYOKUWA KUBWA KWA MKE WA LUTU.

Rudi Nyumbani:

Print this post

KUOTA UNAANGUKA .

Kuota unaanguka chini maana yake ni nini?


Ndoto hii huwa inachukua maumbile tofautitofauti, wengine wanaota wanaanguka kutoka kwenye ghorofa refu sana, wengine kutoka kwenye mti mrefu, wengine kwenye shimo lisilokuwa na mwisho, wengine wanaota wanaanguka kutoka angani. Wengine wanaangukia kwenye maji n.k.

Maadamu kiini cha ndoto ni Kuanguka kutoka sehemu fulani, basi ujue ndoto hiyo ni tahadhari kubwa  kwako kutoka kwa Mungu, kwani Biblia inasema..

Ayubu 33:14 “Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali. 

15 Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani; 

16 Ndipo huyafunua masikio ya watu, Na kuyatia muhuri mafundisho yao, 

17 Ili amwondoe mtu katika makusudio yake, Na kumfichia mtu kiburi; 

18 YEYE HUIZUIA NAFSI YAKE ISIENDE SHIMONI, Na uhai wake usiangamie kwa upanga. 

19 Yeye hutiwa adabu kwa maumivu kitandani mwake, Na kwa mashindano yaendeleayo daima mifupani mwake”;

Unaona huo mstari wa 15 unasema  Mungu kumbe anaweza kuzungumza na mtu mara moja, katika ndoto na asipojali atazungumza naye hata mara mbili..ili tu amzuie nafsi yake isiende shimoni. Hivyo fahamu kuwa ndoto hiyo ni Mungu anazungumza na wewe kukuonya.

Ni vizuri kujua katika biblia inapozungumza kuanguka inamlenga  ibilisi mwenyewe kwasababu yeye peke yake ndio anayetajwa akianguka kutoka mbinguni..Bwana Yesu alisema..

 “…Nilimwona Shetani, akianguka kutoka mbinguni kama umeme(Luka 10:18)..

Sasa inaposema alimwona shetani akianguka inamaanisha kuwa hapo mwanzo alikuwa sehemu sahihi lakini kuna wakati ulifika alifanya mambo fulani yasiyofaa ndio yakamfanya atoke katika ile sehemu yake na aanguke chini kwa kasi sana kama umeme.. na hicho si kingine Zaidi ya dhambi ya uasi..

Hivyo tendo la kuanguka ni tendo linalofunua uasi.. Shetani alipoasi ndipo alipoanguka chini, Vivyo hivyo na mtu yeyote leo hii anapomuasi Mungu, ni ishara kuwa anaanguka kutoka katika uwepo wa Mungu na mwisho wake unaenda kuwa mbaya  kama ulivyokuwa kwa shetani.

Kwahiyo ikiwa unaota unaanguka chini, tena mahali ambapo hufiki, basi ujue hiyo ni tahadhari kwako, kuwa unaanguka kutoka katika neema ya Mungu, mrudie Mungu wako kabla mlango wa neema haujafungwa.. Yaangalie Maisha yako, na matendo yako, unaona kabisa hayaendani na njia ya wokovu..unaona kabisa hata Kristo akirudi leo hii utaachwa kutokana na njia zako na mienendo yako.

Kwa kuwa Mungu anakupenda na anaona mwisho wako utakavyokuwa kama wa shetani, ndio maana anakuonyesha ndoto kama hiyo, anachotaka kwako ni  utubu dhambi zako, umgeukie yeye. Ukitubu leo kwa kumaanisha atakuokoa, na kukusafisha kabisa..Anachohitaji kwako ni moyo wa kumaanisha, kabisa, Hivyo kama kweli umemaanisha kufanya hivyo leo basi ujue uamuzi unaoufanya ni mzuri..Usijiangalie wewe ni muislamu, au mkristo ikiwa Kristo hajaumbika ndani ya Maisha yako, haijalishi wewe ni nani, umepotea tu na hata ukifa leo huwezi kwenda mbinguni..

Hivyo kama unapenda Yesu leo awe mwokozi wako, na kiongozi wa Maisha yako basi

Basi uamuzi unaoufanya ni wa busara sana ambao hautakaa uujutie maisha yako yote kama ilivyokuwa hata kwetu sisi. Unachopaswa kufanya, hapo ulipo, chukua muda mchache ujitenge peke yako. Biblia inasema saa ya wokovu ni sasa, hivyo usingojee Kesho, haitakuwa yako..

Sasa ukishajitenga sehemu yako mwenye, piga magoti, kisha fuatisha sala hii kwa Imani, ukijua kuwa Mungu yupo hapo karibu na wewe pembeni yako kukusikia..Kisha ukiwa sasa katika utulivu Sema sala hii kwa sauti.

EE MUNGU BABA, NAJA MBELE ZAKO, NIKIWA NINAJITAMBUA KUWA MIMI NI MKOSAJI NA NIMEKUTENDA DHAMBI NYINGI, NA KWAMBA NIMESTAHILI HUKUMU. LAKINI WEWE MUNGU WANGU ULISEMA KATIKA NENO LAKO KUWA WEWE NI MUNGU WA REHEMA UNAYEWAREHEMU  MAELFU ELFU YA WATU WANAOKUPENDA WEWE. NA LEO HII NINAKUJA MBELE ZAKO NAHITAJI MSAMAHA WAKO NA MSAADA WAKO MUNGU WANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE KWA KUMAANISHA NA KWA MOYO WANGU WOTE, NINAKIRI KUWA YESU KRISTO NI BWANA, NA YEYE NDIYE MWOKOZI WA HUU ULIMWENGUNI. HIVYO NAOMBA DAMU YA MWANAO TAKATIFU INISAFISHE UOVU WANGU WOTE SASA NIFANYIKE KUWA KIUMBE KIPYA KUANZIA LEO NA HATA MILELE.

ASANTE BWANA YESU KWA KUNIPOKEA NA KUNISAMEHE.

AMEN.

Sasa ikiwa umefuatisha sala hiyo kwa Imani ..Hatua iliyobakia kwako ni kuithitisha toba yako kwa Vitendo ikiwa ulikuwa unafanya mambo yote ambayo hayampendezi Mungu unayaacha na kujitenga nayo,

Sasa Mungu akishaona umegeuka kabisa kwa vitendo basi toba yako anaipokea na atakuja ndani yako wakati huo huo na kufanya makao ya milele kwako. Vile vile unahitaji, kutafuta kanisa la kiroho ambalo utajumuika na wakristo wengine katika kumwambudu Mungu, na kujifunza biblia ili uukulie wokovu. Na vilevile ili upate ubatizo sahihi wa kuzamishwa katika maji mengi na kwa jina la YESU KRISTO kwa ajili ya ondoleo la dhambi zako.

Ubarikiwe sana

Unaweza pia kujiunga na kundi letu la mafundisho Whatsapp, au kuwasiliana nasi kwa link hii

Group la whatsapp Kwa mgawanyo bora wa masomo download App hapa>> App wingu la mashahidi

Mada Nyinginezo:

NIFANYE NINI ILI NILITIMIZE KUSUDI LA MUNGU.

NINI TUNAJIFUNZA KWA MWANA MPOTEVU NA NDUGUYE?

CHAGUA NI JIWE LIPI LITAKALO KUFAA KWA UJENZI.

DHIKI KUU INAKUJA NA UNYAKUO UPO KARIBU.

MAPIGO YA VITASA SABA, NA SIKU YA BWANA.

Rudi Nyumbani:

Print this post

NI NANI ALIYEWAONYA KUIKIMBIA HASIRA ITAKAYOKUJA?

Shalom. Jina kuu la Mwokozi wetu Yesu Kristo, libarikiwe.

Karibu tujifunze biblia.

Mathayo 3:5 “Ndipo walipomwendea Yerusalemu, na Uyahudi wote, na nchi zote za kandokando ya Yordani;

6 naye akawabatiza katika mto wa Yordani, huku wakiziungama dhambi zao.

7 Hata alipoona wengi miongoni mwa Mafarisayo na Masadukayo wakiujia ubatizo wake, aliwaambia, Enyi wazao wa nyoka, ni nani aliyewaonya ninyi kuikimbia hasira itakayokuja?

8 Basi zaeni matunda yapasayo toba;

9 wala msiwaze mioyoni mwenu kwamba, Tunaye baba, ndiye Ibrahimu; kwa maana nawaambia ya kwamba Mungu aweza katika mawe haya kumwinulia Ibrahimu watoto.

10 Na shoka limekwisha kuwekwa penye mashina ya miti; basi kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa motoni”

Soma tena mstari wa 7 “Hata alipoona wengi miongoni mwa Mafarisayo na Masadukayo wakiujia ubatizo wake, aliwaambia, Enyi wazao wa nyoka, ni nani aliyewaonya ninyi kuikimbia hasira itakayokuja? ”

Tunaweza kuiweka vizuri hiyo sentensi kwa namna hii “Enyi wazao wa nyoka ni nani aliyewadanganya(maana yake ni nani aliyewaonya) kwamba mtaiepuka hukumu inayokuja kwa njia hiyo mnayoitaka nyie?”..Njia gani?…Njia hiyo ya kuja kutaka kubatizwa na huku bado hamtaki kuacha dhambi zenu…Ni nani aliyewahubiria kuwa mtaikwepa hukumu kwa namna hiyo?…Maana yake mnafikiri kuwa kwa kuja kubatizwa tu hiyo inatosha kuikwepa hukumu itakayokuja….Mnajidanganya!…ZAENI MATUNDA YAPATANAYO NA TOBA!…Maana yake ni kwamba baada ya kutubu ishini kulingana na kutubu kwenu..Kama ulikuwa ni mwasherati, tubu na UACHE UASHERATI! Usiufanye tena, kama ulikuwa na kiburi tu na uache kuwa mwenye kiburi tena, kama ulikuwa mlevi unatubu na kuachana na ulevi wako, n.k..Huu ubatizo hautakuwa na msaada wowote kwenu kama mtakuja tu kubatizwa na huku bado hamjaacha matendo yenu mabaya. Huo ndio ujumbe Yohana Mbatizaji alikuwa anataka kuwapa wale Mafarisayo na Masadukayo.

Mafarisayo walisikia injili ya Yohana, wakaogopa, lakini wakasema aah ngoja tukabatizwe na sisi ili pengine tutaokoka huko mbeleni, lakini mioyoni mwao walikuwa hawana mpango wa kubadilika haka kidogo,..Walitaka kuugeuza ubatizo wa Yohana kama dini tu!..kama ni Liturujia mpya tu ya kufuata, kama katekisimo tu!..lakini walikuwa hawajui lengo kuu la ule ubatizo ni nini.. Lengo lake kuu lilikuwa ni kutubu na KUACHA DHAMBI!..sio kwenda kulowekwa kwenye maji na kurudi kuendelea na Maisha yako ya dhambi kama kawaida, na jina lako liwe limeshaandikwa mbinguni. Sio hivyo kabisa.

Vivyo hivyo na leo, ubatizo sio dini, na wala sio lebo ya kwamba Mungu anataka watu waliobatizwa ndio wawe wamepata tiketi ya kuingia mbinguni haijalishi wanaishije, yeye anataka tu watu wabatizwe.. hapana! Mungu anataka watu waliotubu na KUACHA DHAMBI. Hao ndio mbele za Mungu ubatizo wao una maana lakini kama mtu hujatubu kwa KUACHA DHAMBI, mtu huyo anamdhihaki Mungu.

Ukimuuliza mtu je umeokoka anakujibu, mimi nimebatizwa!..ukimuuliza tena je una uhakika wa kwenda mbinguni anakujibu ndio nilishabatizwa. Ubatizo hauna uhusiano wowote na kwenda mbinguni kama hujatubu kwa kuacha dhambi..Ndicho mafarisayo walichokuwa wanaenda kufanya kwa Yohana.

Umesema tu umetubu lakini bado unaendelea kuvuta sigara, bado unaendelea na uasherati, unaendelea na ulevi na ulawiti na usagaji, na pornography, halafu unasema umebatizwa au unakwenda KUTAFUTA UBATIZO, Ukidhani ndio unampendeza Mungu, na kwamba ndio utakwenda mbinguni..nataka nikuambie hapo unakwenda kujitafutia tu Laana badala ya Baraka.

Kutubu maana yake ni kugeuka na kuacha kile ulichokuwa unakifanya, na sio kusema tu mdomoni nimeacha na ilihali Maisha yako bado yapo vile vile. Ikiwa haupo tayari kuokoka, basi ni heri usiugize wokovu, wala usijiite hivyo, kwasababu ndivyo unavyomtia Mungu wivu kwa mienendo yako.

Watu wa Ninawi Mungu aliwasamehe kwasababu Aliona matendo yao kwamba wamegueka, wameacha mambo maovu waliyokuwa wanayafanya, hiyo ndiyo ikawafanya Waepukane na hukumu ile ambayo ilikuwa inawajia, na Mungu hakuona midomo yao kwamba wametubu kwa midomo ndipo awasamehe, hapana! bali matendo yao ndiyo yaliyosababisha wao kusamehewa.

Yona 3:10 “Mungu akaona MATENDO YAO, ya kuwa wameiacha njia yao mbaya. Basi Mungu akalighairi neno lile baya, ambalo alisema atawatenda; asilitende”

Hali kadhalika, usifanyike kuwa mzao wa nyoka, kwa kutafuta kutimiza maagizo ya Mungu na huku moyoni huna mpango wa kutenda mapenzi yake. Hizo ni tabia za Nyoka kibiblia. Mafarisayo wanamwendea Yohana kubatizwa na huku mioyoni mwao ni wale wale watu wenye viburi, wanaopenda utukufu, wenye wivu, wenye chuki, …maana japokuwa walikuwa wanamwendea Yohana kubatizwa lakini mioyoni mwao walikuwa wanamchukia n.k

Kama umeamua kumfuata Yesu leo, basi kubali pia kubeba na msalaba wako, kabla ya kwenda kubatizwa piga gharama kabisa kwamba unakwenda kuacha dhambi moja kwa moja, kwamba dunia ndio umeipa mgongo hivyo, msalaba mbele, ulimwengu umeuacha nyuma..Na kwa kufanya hivyo ndipo utaona nguvu za Mungu katika Maisha yako zikikusaidia na kukuongoza na ndivyo Mungu atakavyokukaribia Zaidi na kukupenda. Na kukubariki.

Bwana akubariki.

Tafadhali washirikishe na wengine habari hizi njema, na pia kama utapenda tuwe tunakutumia masomo haya kwa njia ya email yako au Whatsapp tutumie ujumbe kwenye box la maoni chini au piga namba hii +255 789001312


Mada Nyinginezo:

MATUNDA YAPATANAYO NA TOBA!

JE! UMEFANYIKA KUWA MWANAFUNZI WA BWANA?

HISTORIA YA ISRAELI.

INJILI YA KRISTO HAITANGAZWI KWA HATI MILIKI.

KWANINI NAYAWEZA MAMBO YOTE KATIKA YEYE ANITIAYE NGUVU?

AINA YA MAADUI UTAKAOKUTANA NAO KATIKA SAFARI YAKO YA WOKOVU.

Rudi Nyumbani:

Print this post

WHO IS THIS MELCHIZEDEK (Melchisedec)?

Who is Melchizedek?


God’s Word tells us in 1 Timothy 3:16 that ”  Without controversy great is the mystery of godliness.” which means that to know the mystery of divinity of God, one must seriously seek a help from God to understand it, otherwise you will know nothing about his divine agenda .  It encourages us to ask God to reveal us so that we can get to know Him day by day.

Remember here in this  great mystery, is where the great division and confusion between Christianity and other faiths such as Islam rises, and here is where the other great divisions even among the Christians themselves rise.

But we will not enter there today, but we will briefly look at who Melchizedek is, by referring to some passages of Scripture. Now remember the Bible makes it very clear, that Christ existed before there was anything in the world.

John 8:57-58  (KJV)

57 Then said the Jews unto him, Thou art not yet fifty years old, and hast thou seen Abraham?

58 Jesus said unto them, Verily, verily, I say unto you, Before Abraham was, I am.

You see But the question is how did we come to be? This is a question that even many Christians today fail to answer correctly. We will say John 1: 1. It proves that in the beginning there was a Word and the Word was with God and the Word was God, who is JESUS. Thus Jesus was in heaven from the beginning with His Father until the time He came down to save us.

But we do not know that this JESUS ​​who appears in nature, did not exist from the beginning. His journey began in AD 1, we will see that as we move forward.

As the Bible says at the beginning there was a “Word”, so by its very nature NOT a person, This is the Greek word Logos, meaning the ‘thought of God’

Now what was this great Word?

While reading:

1 John 1:1-3  (KJV)

That which was from the beginning, which we have heard, which we have seen with our eyes, which we have looked upon, and our hands have handled, of the Word of life;

(For the life was manifested, and we have seen it, and bear witness, and shew unto you that eternal life, which was with the Father, and was manifested unto us;)

That which we have seen and heard declare we unto you, that ye also may have fellowship with us: and truly our fellowship is with the Father, and with his Son Jesus Christ.

You see here the Word had LIFE in it (John 1: 4), the life God wanted to reveal to us from the beginning . Here the apostles say they have heard it from time immemorial, so it was not a new thing in their ears but later, when the time came they came to receive the grace to see it with their own eyes and to witness  it on the day when the body was made into JESUS ​​CHRIST.

Now that we have seen any life is the Word of God (God’s Thought) to man, his main task is to restore what is lost and to redeem it. So in the scriptures this Word of life did not originate with the body of JESUS ​​CHRIST alone, it did not originate from a great distance, except it was hidden from the eyes of the people because the secret of godliness had not yet been revealed. So this WORD took many different forms for the sole purpose of bringing life into the people.

“We see it existed from Eden, at the very beginning of man’s journey as the Tree of Life in the Garden, that was the WORD OF GOD.

➜ Later It came to take yet another form of an ‘Ark’ It stood there to redeem humankind and their descendants from extinction on the face of the earth, and saved Noah and 7 others.

➜ Then came to take another form of the Lamb at the day when Abraham went to offer up his only son Isaac as a burnt in the mountain, all of which took place in great mysteries, revealing the LIFE in the future. .

“Then later we come to see it re-take on human nature and appear on earth for a little while to fulfill a purpose. As a priest to reconcile Abraham to God for a time. But the true priesthood had not yet been revealed.

Hebrews 7:1-17  (KJV)

For this Melchisedec, king of Salem, priest of the most high God, who met Abraham returning from the slaughter of the kings, and blessed him;

To whom also Abraham gave a tenth part of all; first being by interpretation King of righteousness, and after that also King of Salem, which is, King of peace;

Without father, without mother, without descent, having neither beginning of days, nor end of life; but made like unto the Son of God; abideth a priest continually.

……………….

15 And it is yet far more evident: for that after the similitude of Melchisedec there ariseth another priest,

16 Who is made, not after the law of a carnal commandment, but after the power of an endless life.

17 For he testifieth, Thou art a priest for ever after the order of Melchisedec.

Elsewhere when the Word took human form, it was when Shadrach, Meshach, and Abednego were thrown into the fiery furnace and appeared in the likeness of the Son of God. But you will see its purpose is the same to bring life and save.

The other part it appeared as Rock. In the wilderness when the children of Israel were about to die by  the thirsty, it stood before them to save them, and Moses did not realize it until he did the double negligence of striking the rock twice when he knew that he was standing before himself, before the deliverer himself.

1 Corinthians 10:4  (KJV)

And did all drink the same spiritual drink: for they drank of that spiritual Rock that followed them: and that Rock was Christ.

➜ Later it came to manifest itself in many different forms such as the Temple, some parts like angels, some parts like a pillar of fire. Another place like the brazen Serpent.

(John 3:14-15 kjv

14 And as Moses lifted up the serpent in the wilderness, even so must the Son of man be lifted up:

15 That whosoever believeth in him should not perish, but have eternal life.

Another part revealed itself as the ‘Wisdom’ which he put on the judges and kings of Israel in the presence of Solomon and others who followed him, only to fulfill the purpose of saving and keeping his people above the kings whom God had chosen to dwell in.

If you read Proverbs chapters 8 and 9 you will see how Solomon describes wisdom as a living and communicative thing. Also, read (1 Corinthians 1:24) you will find that it mentions Christ as the Wisdom of God itself.

We do not have time to explain them one by one, but I want you to see some pictures there, the WORD of God, and how it was from the beginning. So later when the time came, God to reveal all the fullness, God to reveal all His fullness to man, God to reveal all life and all redemption, he saw it was a time now to form a special body, to be born of a virgin, to be called the name of JESUS ​​which means So that it can now live with people forever, talk to them, answer their questions, teach them, pass them on, rely on it, and guide them to the way of truth and righteousness and life forever. That’s when we see that Word in a body called Jesus … who we generally call the LORD JESUS ​​CHRIST HALLED! Hallelujah!

John 1:14

14 And the Word was made flesh, and dwelt among us, (and we beheld his glory, the glory as of the only begotten of the Father,) full of grace and truth.

That is why the apostle John was very bolded in saying these words.

1 John 1:1-2  (KJV)

That which was from the beginning, which we have heard, which we have seen with our eyes, which we have looked upon, and our hands have handled, of the Word of life;

(For the life was manifested, and we have seen it, and bear witness, and shew unto you that eternal life, which was with the Father, and was manifested unto us;)

Now back to the words of Jesus when he said before Abraham was, I am, he was speaking, not of a virgin-born body, but of the Word of God.

So brethren when we get back to the core of the subject,Who is this Melchisedec? The answer is that this Melchisedec is the Word of God manifested in the flesh to fulfill a specific purpose before its perfect time. But later it came to be officially called JESUS ​​CHRIST. Even now when we say to welcome Jesus Christ into your life, we mean to welcome the Living Word of God into your life, Because that Word has now been revealed in Christ Jesus the Lord in all its fullness. So as you hear this Word receive it, you have received Jesus Christ Himself into your life…

Are still living in Sin ? The people of the Old Testament, though, only partially understood this Word of God but obeyed with all perfection and attained salvation. How can we be saved without appreciation of such great salvation? (Hebrews 2: 3). JESUS ​​CHRIST is the thought of ​​God,He is the WORD of God, the very GOD itself in the Body. Follow Him to be safe, in this short journey here on earth.

Godbless.

Print this post

رُوحُكُمْ تَسعَى إلَى ذَلِكَ، أمّا جَسَدُكُمْ فَضَعِيفٌ

ﻣﺘﻰ 26:39-41

39 وَابتَعَدَ يَسُوعُ عَنْهُمْ قَلِيلاً، وَسَجَدَ وَوَجهُهُ إلَى الأرْضِ وَبَدَأ يُصَلِّي: «يا أبِي، إنْ كانَ مُمكِناً، فَلتَتَجاوَزْنِي هَذِهِ الكَأسُ [a]. لَكِنْ لَيسَ كَماَ أُريدُ أنا، بَلْ كَما تُرِيدُ أنتَ.» 40 وَجاءَ إلَى تَلامِيذِهِ، فَوَجَدَهُمْ نائِمِينَ، فَقالَ لِبُطرُسَ: «أهَكَذا لَمْ تَقدِرُوا أنْ تَسْهَروا مَعِي ساعَةً واحِدَةً؟ 41 اسْهَرُوا وَصَلُّوا لِكَي لا تُجَرَّبُوا. رُوحُكُمْ تَسعَى إلَى ذَلِكَ، أمّا جَسَدُكُمْ فَضَعِيفٌ.»

هذه الجملة “الروح راغبة بالفعل ، لكن الجسد ضعيف” تعني ، عندما نريد أن نفعل أي شيء إلهي … أرواحنا مستعدة للقيام بذلك ، لكن أجسادنا ليست جاهزة …

نقرأ في الحساب أعلاه ، بعد أن كان الرب يسوع في فترة ما بعد الظهر مع تلاميذه للعمل ، عندما جاء المساء لم يكن لديهم وقت للراحة ولكنهم ذهبوا مباشرة إلى المنزل حيث كانوا مستعدين للبقاء. هناك استمر الرب في التكلم مع تلاميذه بأشياء كثيرة ، وداعًا لهم ، فقد كانت الليلة الأخيرة معهم.

لذلك أمضوا ساعات طويلة في ذلك المنزل ، يغنون ، ويحذرون في رحلتهم ويشجعهم الرب .. علاوة على ذلك ، في نفس الليلة ، غسل الرب أقدام تلاميذه ليعطيهم مثالاً ، وكذلك للمشاركة مائدة الرب

لذا فقد تأخروا كثيرًا عن وقت النوم إذا تابعت عن كثب ستلاحظ أن الساعة توقفت عن التحدث في الساعة الثانية ليلاً … لذا كان من الواضح أنهم كانوا متعبين جدًا.

فقط تخيل طوال اليوم أنك تتجول ، ولا تزال حتى في منتصف الليل ، بدلاً من الراحة ، أول شيء يُقال لك هو أن تصلي ، عادةً ، قد يكون هذا صعبًا قليلاً لكن الرب كان يعلم أن ذلك ممكن.

ولهذا قال لهم إن الروح راغبة حقًا ، لكن الجسد ضعيف. … هذه معركة ضد الجسد .. وهذا يعني أنه إذا استطعنا التغلب على أجسادنا فسوف نستفيد بشكل كبير روحياً.

الآن كيف يمكننا التغلب على لحمنا؟
بادئ ذي بدء ، من المهم أن ندرك أن وجود جسد ليس خطيئة! قصد الله أن يخلقنا بالجسد ورغباتهم لم تكن سيئة من البداية ، ولم تكن فخًا! صمم الرب لنا هذه الأجسام ، مع رغباتهم حتى نتمكن من العيش في هذا العالم بكل الملذات والسعادة دون ملل ، وهذا هو الغرض الأساسي للجسم ، حتى لا نشعر بخيبة أمل.

للوقوف عندما يريد الجسم الاسترخاء ، فقد خلق شيئًا يسمى النوم ، لذلك عندما يريد الجسم الاسترخاء ، ينغمس في نوم عميق ، مما يمنح الشخص نوعًا من المتعة فيه

وفي الوقت نفسه ، حتى لا يشعر الشخص بالملل من الأكل ، فقد جعل الله شهية في الطعام ، لذلك قد ينوي المرء تناول الطعام دائمًا ، حتى لو لم يكن جائعًا دائمًا … ولكن الغرض الرئيسي من الأكل ليس منحنا المتعة ، ولكن لإعطاء أجسامنا القوة … فقط تخيل لو لم يكن هناك متعة في الأكل ، فكيف تكون الملل في أجسادنا؟

بنفس الطريقة التي نتمتع بها بهذا العالم ، فقد خلقنا الله بأنواع مختلفة من الرغبات ، وذلك لإضافة طعم العيش في هذا العالم ، والرغبة في الالتقاء ، واللعب معًا ، والاستمتاع معًا ، وغير ذلك الكثير.

كان قصد الله أن يعيش في هذا العالم دون ملل أو رؤيته كمكان سيء.

ولكن بعد أن أخطأ آدم وحواء ، كان العالم كله منغمسًا في الشر ، لذلك لم يكن كل شيء يستحق الرغبة في العالم مرة أخرى. لقد منح آدم الشيطان حيازة هذا العالم ، واخترع الشيطان واستثمر أشياء كثيرة ، لذا فإن أي شخص سيقع في نفس شهوة اختراعاته ، سيضيع. لهذا يخبرنا الكتاب المقدس أن نغادر العالم ، وليس الرغبة في العالم ، لأن العالم ضائع بالفعل.

الآن ونحن نفكر في كيفية التغلب على هذا الجسد ..

لن نتغلب على الجثث بتوبيخهم ، لأن هذه الرغبات خلقها الله نفسه ، وليس الشيطان. لا يمكنك توبيخ الجوع ، أو النوم ، أو أنفك لتشم رائحة الطعام الجيد ، ولا يمكنك توبيخ جسدك من الإثارة عندما تمر بنوع من التحفيز. لا لا يمكنك.

الطريقة الوحيدة للتغلب على الجسم ، هي الابتعاد عن الإغراءات التي تؤدي إلى الشهوة ، لذلك إذا كنت تريد أن يتوقف اللعاب عن السقوط ، فهناك علاج واحد فقط! ابتعد عن الأماكن التي يصنعون فيها أطعمتك المفضلة ، ولا يمكنك منع نفسك من الرغبة في تناول الطعام أمام وجبة ، إنها معركة صعبة لا يمكنك تحملها ،

لذلك عندما تريد أن تمنع نفسك من أن تصبح شهوانيًا ، فالعلاج هو الابتعاد عن جميع المنشطات مثل المواد الإباحية والشركات العلمانية ، التي ينصب تركيزها الرئيسي على الحديث عن تلك الأشياء الشهوانية ، والابتعاد عن الموسيقى الدنيوية ، وأيضًا من أي علاقة مع مختلف الجنس قبل الزواج ، هذا كل ما في الأمر

تتسائل من يتوسل إليك للصلاة من أجل التغلب على رغبات الجسد !!! لا توجد صلوات لكسب تلك الرغبات يا أخي! لا تنخدع !! العلاج هو الابتعاد عنهم.

في هذه الأثناء ، إذا كنت ترغب في قهر النوم ، فالعلاج هو الابتعاد عن السرير والانشغال! .. أنت تتخلى عن عقلك للنوم وإرساله إلى شيء أمامك. لا … أخبرهم أن يصلوا!

لا توجد صلاة تمنع النوم … لم يخبر الرب يسوع بطرس أن يستيقظ ويوبخ شيطان النوم !! لا … قال لهم أن يصلوا!

هل قابلت شخصًا يخبرني أنه في كل مرة أرادت الصلاة ، أو لقراءة الكتاب المقدس على الفور تغفو؟ ولكن عندما شاهدت فيلمًا تلاشى كل النوم ، ظننت أنه شيطان يمنعها من قراءة الكلمة! … لا لم تكن أخت شيطانية ، لقد كنت تتسامح مع جسمك ،

فكر في هذا ، عندما تشاهد برنامجًا تلفزيونيًا مملًا لك ، فجأة ستجد نفسك تغفو .. هل تعتقد أن الشيطان فعل ذلك؟ لا كان رد جسمك بعد أن وجد أن البرنامج غير سار له. وينطبق الشيء نفسه عندما تريد الصلاة أو قراءة الكتاب المقدس.

لذا فإن العلاج من التغلب على النوم هو الدخول في دراسة عميقة لأهمية الصلاة ، بمجرد أن تعرف أهمية الصلاة ،

لم أنم أبداً في العبادة ، ولا يوجد شيء خاص يحدث في داخلي ، ولا يوجد أي شيطان أتعامل معه ، ولا رؤية رأيتها لمنع نفسي من القيام بذلك. لقد فهمت للتو أهمية الصلاة في حياتي وهذا ما دفعني إلى عدم السماح للنوم بالتغلب علي بأي وسيلة في كل مرة أردت فيها الصلاة أو العبادة. لأنني أعلم أنه إذا لم أصلي بما يكفي فلن أفعل شيئًا مثاليًا ، ولن أرى الله يتحرك في حياتي.

يقول الكتاب المقدس أن الروح راغبة فعلاً ، لكن الجسد ضعيف. … عقولنا على استعداد للقيام بإرادة الله ، والمعركة العظيمة فينا عندما فشلنا في فهم الوحي بأهمية الصلاة.

في الختام تذكر ذلك! هذا العالم ، ليس ما قصده الرب لنا أن نحيا بشهوات جسدنا ، هذا العالم يُعطى للشيطان ، كل أعمال الجسد وكل عواطفه تنتهي في نهاية المطاف في بحيرة النار. يقول الكتاب المقدس …

ﻏﻼﻃﻲ5:16-21

الرُّوحُ وَالطَّبِيعَةُ البَشَرِيَّة

16 وَلَكِنِّي أقُولُ اسلُكُوا تَحْتَ قِيادَةِ الرُّوحِ، وَهَكَذا لَنْ تُشبِعُوا شَهَواتِ الطَّبِيعَةِ الجَسَديَّةِ. 17 فَالطَّبِيعَةُ الجَسَدِيَّةُ تَشْتَهي ضِدَّ رَغَباتِ الرُّوحِ، وَالرُّوحُ تَشْتَهي ضِدَّ رَغَباتِ الطَّبِيعَةِ الجَسَدِيِّةِ. فَكُلٌّ مِنْها يَشْتَهي بِعَكْسِ الآخَرِ. وَهَكَذا لا تَستَطِيعُونَ أنْ تَفعَلُوا ما تُرِيدُونَ. 18 وَلَكِنْ، إنْ كُنْتُمْ تَنقادُونَ بِالرُّوحِ، فَلَسْتُمْ تَحتَ الشَّرِيعَةِ.

19 إنَّ أعمالَ الطَّبِيعَةِ البَشَرِيَّةِ وَاضِحَةٌ: وَهِيَ الزِّنَى، النَّجاسَةُ، الدَّعارَةُ، 20 عِبادَةُ الأصنامِ، السِّحْرُ، مَشاعِرُ العَداءِ، المُنازَعاتُ، الغَيرَةُ، الغَضَبُ، التَّحَزُّبُ، الِانقِسامُ، 21 الحَسَدُ، السُّكْرُ، اللَّهوُ المُنحَرِفُ، وَكُلُّ الأُمُورِ الَّتِي تُشبِهُ هَذِهِ. هَذِهِ هِيَ الأُمُورُ الَّتِي حَذَّرْتُكُمْ مِنْها، وَكُنْتُ قَدْ حَذَّرْتُكُمْ سابِقاً مِنْ أنَّ الَّذِينَ يُمارِسُونَها لَنْ يَرِثُوا مَلَكُوتَ اللهِ.

ربنا يحميك.

Print this post

THE SPIRIT INDEED IS WILLING,BUT THE FLESH IS WEAK

Matthew 26:39-41  (KJV)

39 And he went a little farther, and fell on his face, and prayed, saying, O my Father, if it be possible, let this cup pass from me: nevertheless not as I will, but as thou wilt.

40 And he cometh unto the disciples, and findeth them asleep, and saith unto Peter, What, could ye not watch with me one hour?

41 Watch and pray, that ye enter not into temptation: the spirit indeed is willing, but the flesh is weak.

That statement ‘the spirit indeed is willing, but the flesh is weak’ means, When we want to do anything divine… our spirits are ready to do it, but our bodies are not ready…

In the above account we read, After the Lord Jesus was around in the afternoon with his disciples for work, when evening came they did not have time to rest but went straight to the  house where they were prepared to stay. There the Lord continued to speak to His disciples many things, as well as to say goodbye to them, for it was the last night with them.

So they spent many hours in that house, singing, and being warned in their journey and being encouraged by the Lord.. Furthermore, on the same night, the Lord washed his disciples’ feet to give them an example, as well as to share the Lord’s table

So they were too late for bedtime If you follow closely you will noticed it was not less than two o’clock at night that they stopped talking … So it was clear that they were too tired.

Just imagine all day long you have been wandering around, and still even at the midnight, instead of resting, the first thing you are told is to pray, usually this could be little difficult but the Lord knew it was possible.

And that is why he told them that the spirit indeed is willing, but the flesh is weak.… This a battle against the body..that means If we can overcome our bodies then we will benefit greatly spiritually.

Now how can we overcome our flesh?

First of all, it is important to realize that having a body is not a sin! God’s purpose to create us with flesh and their desires was not bad from the beginning, nor was it a trap! The Lord designed these bodies for us, with their desires so that we could live in this world with all pleasures and happiness without boredom, that is the primary purpose of the body, that we might not be disappointed.

For stance When the body wants to relax, he created something called sleep, so when the body wants to relax, it sinks into a deep sleep, which gives the person some kind of pleasure in it.

Meanwhile in order for a person not get bored by eating, God has put an appetite in food, so that one may intend to eat always, even if he is not always hungry… but the main purpose of eating is not to give us pleasure, but to give our bodies strength…. Just imagine if there were no pleasure in eating, how boredom our bodies would be?

In the same way that we enjoy this world, God had created us with varieties of desires, so as to add the taste for living in this world, a desire to get together, play together, have fun together, and many more.

It was God’s purpose to live in this world without getting bored or seeing it as a bad place.

But after Adam and Eve sinned, the whole world was engrossed with evil, so not everything was worth the desire in the world again. Adam gave Satan possession of this world, Satan invented and invested many things, so for anyone who will fall into the same lust of his inventions, he will be lost. so that’s why the Bible tells us to leave the world, not to desire the world, because the world is already lost.

Now as we are pondering on how to overcome this flesh..

We will not overcome the bodies by rebuking them, because these desires were created by God himself, and not by the devil. you can’t rebuke hunger, sleep, or your nose to smell good food, and you can’t rebuke your body from getting excited when you go through some kind of stimulation. No you cant.

The only way to overcome the body, is to keep yourself away from the temptations that lead to lust, so if you want saliva to stop falling, there is only one cure! Stay away from the places they make your favorite foods, you can’t stop yourself from craving food in front of a meal, it’s a tough battle that you can’t afford,

So when you want to keep yourself from becoming lustful, the cure is to stay away from all the stimulants like pornography and secular companies, whose main focus is talking about those lustful things, stay away from worldly music, and also from any relationship with different sex before marriage, That’s just it

You may wonder someone begging you to pray for them to overcome the desires of the flesh!!! There is no prayers to win those desires my brother! Don’t be fooled !! The remedy is to stay away from them.

Meanwhile if you want to conquer sleep the remedy is to stay away from the bed and be busy! .. You give up your mind to sleep and send it to something in front of you. No… told them to pray!

There is no prayer to prevent sleep … The Lord Jesus did not tell Peter to wake up and rebuke the demon of sleep !! No… He told them to pray!

Have I met someone telling me that each time she wanted to pray , or to read the bible immediately she falls asleep? But when she watched a movie all sleep fade away.She thought it was a demon that kept her from reading the Word! … No it wasn’t a demon sister, it was you tolerating your body,

Think about this, when you are watching  a television program that is boring to you, suddenly you will find yourself  falling asleep..do you think that was Satan  did it? No it was your body responded after it has find that program is unpleasant to it. Same applies when you want to pray or read the bible.

So the remedy for overcoming sleep is to go into deep study of the importance of prayer, once you know the importance of prayer,

I have never slept in worship, and nothing special is going on inside of me, nor is there any demon to contend with, and no vision I saw to stop myself from doing it. I just understood the importance of prayers in my life and that is what motivated me not to allow the sleep to overcome me by any means each time i wanted to pray or worship. Because I know If I wouldn’t pray hard enough I wouldn’t do anything perfectly , nor would I see God moving in my life.

The Bible says the spirit indeed is willing, but the flesh is weak.… Our minds are ready to do the will of God, the great battle is in us when we failed to understand the revelation of importance of prayers.

In conclusion Remember that! This world, not what the Lord intended for us to live by the lusts of our flesh, this world is given to Satan, all the works of the flesh and all his passions are ultimately ending up in the lake of fire. The Bible says …

Galatians 5:16-21  (KJV)

16 This I say then, Walk in the Spirit, and ye shall not fulfil the lust of the flesh.

17 For the flesh lusteth against the Spirit, and the Spirit against the flesh: and these are contrary the one to the other: so that ye cannot do the things that ye would.

18 But if ye be led of the Spirit, ye are not under the law.

19 Now the works of the flesh are manifest, which are these; Adultery, fornication, uncleanness, lasciviousness,

20 Idolatry, witchcraft, hatred, variance, emulations, wrath, strife, seditions, heresies,

21 Envyings, murders, drunkenness, revellings, and such like: of the which I tell you before, as I have also told you in time past, that they which do such things shall not inherit the kingdom of God.

God bless you.

Other articles:

THE ANCIENT DRAGON/SERPENT

DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

HE IS BEING MADE SO MUCH BETTER THAN THE ANGELS

Home:

Print this post

التنين القديم

التنين القديم

لماذا الشيطان هو التنين القديم / التنين القديم؟

شالوم ، بنعمة إلهنا رأينا الشمس مرة أخرى اليوم. مرحبا بكم في دراسة كلمة الله التي هي غذاء لأرواحنا.

يقول الكتاب المقدس في ..

    رؤيا يوحنا 20: 1 “ورأيت ملاكا ينزل من السماء ، وله مفتاح الحفرة القاع وسلسلة كبيرة في يده.

    2 وأمسك التنين ، الذي عانى الشيطان والشيطان ، وقيده بألف سنة ، ”

يُعرف الشيطان باسم الثعبان القديم أو التنين القديم … وهذا يعني أنه عاش منذ فترة طويلة ، وقد عاش مثل التنين / الثعبان القديم منذ ذلك الحين … وإذا كنت تعرف أي شيء موجود منذ فترة طويلة ، فيجب أن يكون تجارب كافية عن الحياة ، على سبيل المثال ، يجب أن يعرف الرجل العجوز الكثير من الشباب. كبار السن هم أكثر دراية من المراهقين.

نظرًا لأنهم مروا بأشياء كثيرة في حياتهم وتعلموا الكثير ، فقد تعلموا من أخطائهم ومن أخطاء الآخرين … لذلك لا يمكن مقارنتهم مطلقًا بالأطفال حديثي الولادة أو المراهقين.

وبالمثل ، يُعرف الشيطان أيضًا باسم التنين القديم / التنين القديم …

هذا يعني أنه يعرف الكثير عن الإنسان … إنه موجود منذ عدن ، ويعرف آدم في وجهه وشكله وشخصيته التي لم ينسها ، ويعرف حواء أيضًا … إنه يعرف نوح ، وكان يشهد كيف دمر العالم عند الطوفان … كان ينظر … وما زال يتذكر صورة إبراهيم وسارة … يتذكر المكان الذي أزعجوه فيه في حياتهم. إنه يتذكر موسى … وما زال يعرف كل شخصيته ويعرف نقاط ضعفه. لديه وجه دانيال ونبوخذ نصر ، وإيليا ويتذكر سلوكهما … كما يعرف رئيس الحياة ، يسوع المسيح ، يتذكر جميع الأحداث من ولادته حتى أنه كان هناك في البرية لإغراءه ، وعندما توفي وقام ، يعرف قوته والقوة التي لديه الآن … إلخ

لذلك فإن الشيطان يعرف الناس جيدًا ، ويعرف الناس وسلوكهم ، ويعرف ما يحبه ، وما لا يعجبهم … لقد رأى كل الأجيال من آدم حتى الآن …

ما عليك سوى أن تسأل نفسك حتى الآن عن عمر 70 عامًا على الأرجح ، ومع ذلك يمكنك تصنيف سلوك بعض الأشخاص وبعض القبائل لدرجة أنك ربما تعرف سلوك شخص ما حتى لو لم يكن يتكلم كلمة واحدة .. يمكنك تجميعه / لها حتى قبل أن تذهب بعيدًا … الآن إذا كنت ممن تقل أعمارهم عن 60 عامًا تعرف بالفعل المجتمعات وعاداتها … إلى أي مدى تعتقد أن الشيطان سيعرف الناس؟ لأنه من عدن إلى هذا اليوم.

أريد أن أخبرك أنه يعرف البشر جيدًا … إنه يعرف مكان احتجاز الأطفال الأسرى ، كبارًا وصغارًا على حد سواء … لأن الرجل هو نفسه … لعدة أشخاص في الأجيال الماضية ونجح … إنه يعرف كيفية إسقاط الأطفال. عبيد الله … لأنه جرب في الماضي ونجح للآخرين بحيث يطبق نفس التجربة على الناس من جميع الأعمار. إنه (التنين القديم) يعرف كيفية إبعاد الناس عن الصلاة ، ويعرف كيف يؤثر عليهم ليس للبحث عن الله ، لأنه حاول بهذه الطريقة في الماضي ونجح. لديه خبرة كافية.

ما لم تحصل على حق في يسوع ، فلن تهزم الشيطان بأي شكل من الأشكال ، لديه معرفة أكثر منك وأنت ،

إذا كنت لا تريد الرب يسوع وأنك تستطيع أن تمنع نفسك من ارتكاب الزنا دون أن تكون في المسيح ، فأنا أريد أن أخبرك بالحقيقة أنك تضيع وقتك! في يوم من الأيام سوف ترتكبها … أشخاص مثلك حاولوا ذلك في الماضي وكان (الشيطان) قد قبض عليهم ، لذا فأنت لست أول من يفكر في ذلك أو يجربه.

مرة أخرى ، إذا قلت إن بإمكانك فعل أشياء جيدة أو بدون أن تكون في يسوع … أخت! لقد سعى الشيطان بالفعل إلى حل لأشخاص مثلك على الأرجح منذ أكثر من 2000 عام … قد تعتقد أنك أول من جرب ذلك ، لكن ربما يكون لدى الشيطان 10 ملايين قائمة من الأشخاص في الأجيال الماضية حاولوا أن يتصرفوا مثلك من السيد المسيح وقد تغلب عليهم جميعا.

لذلك أنت الذي ولدت هذه الأيام لا يمكنك أن تتفوق على حكمة الشخص الذي كان موجودا قبل سنوات عديدة … (ألا تعرف لماذا يسمى الشيطان إله هذا العالم؟ لأنه يعرف الشؤون الإنسانية أكثر من أي إنسان آخر).

لهذا أخبره الرب يسوع أنه يفكر دائمًا في ما يخص البشر وليس لله. لأنه لا يدرس الله بل يدرس الرجال وكيف يحكمه. اذهب واقرأ (متى 16:23).

لذلك سوف تسأل إذا كان الشيطان يعرف الكثير عن الشؤون الإنسانية ، فمن ذا الذي يستطيع الهروب؟ وتغلب عليه؟

الجواب هو هذا ؛ بالإضافة إلى كل عظمة الوعي الإنساني الذي لديه في حكمته ، هناك شخص أكبر منه سناً. هذا هو المعروف باسم قديم من الأيام.

دانيال 7:13 -14 “رأيت في رؤى ليلية ، واذا جاء واحد مثل ابن الإنسان مع غيوم السماء ، وجاء إلى قديم الأيام ، واقتادوه بالقرب منه.

    ١٤ وكان قد أُعطي له سلطانًا ومجدًا ومملكةً لكي تخدمه جميع الشعوب والأمم واللغات: سلطانه هو سلطان أبدي لا يموت ، ومملكته التي لا يجوز تدميرها ”

أبانا يعرفنا أكثر مما يعرفنا الشيطان. يتمتع الشيطان بالتجربة لإسقاطنا ، لكن الحكمة التي لدى الله لديها القدرة على معرفة أفكاره ونواياه وخططه ، وإسقاط أفكاره … كل ما يريد أن يفكر فيه ، نحن في المسيح بالفعل. لدينا القدرة على معرفة كل الفخاخ له. تخترقنا الحكمة الإلهية التي تعطينا القدرة على إدراك كل الأفكار الشيطانية والتغلب عليها.

 لكن هذه الحكمة تُمنح فقط لأولئك الذين يؤمنون بابنه الحبيب ، يسوع المسيح.

لن يتمكن الآخرون خارج المسيح من هزيمة التنين القديم الذي هو الشيطان. سيتم توجيههم إلى الشيطان حيث يريدهم أن يذهبوا ، وهذا هو السبب في أن الشخص الذي لم ينقذ لن يكون له سلام ولن يتغلب أبدًا على الخطيئة أو إرادة العالم. هذا هو ما يفعله … في بعض الأحيان يخطط للقيام بهذا أو ذاك ، ولكن في النهاية ينتهي الأمر إلى أن يكون شيئًا آخر … لماذا؟ ذلك لأنه يريد أن يوجه نفسه ويعتقد أنه قادر على النجاح بقوته وعقله.

لذلك إذا لم يتم خلاصك ، ومع ذلك فإن الأمل في التغلب على التنين القديم لا يزال متاحًا حتى اليوم ، فإن حكمة الله الإلهية تريد أن تدخل فيك اليوم … لا تستمع إلى الشيطان الذي يخبرك في ذهنك الآن أنه لا يمكن إنقاذك أن لديك الكثير من الخطايا وأن الله لن يغفر لك … إنه يستخدم تكتيكاته القديمة فقط ، لذلك لا تستمع إليه … لكنك تنكره اليوم وتأكد من حرمانك من العمل … قرر اليوم أن تتوقف عن الخطيئة والتوبة والتوقف عن الذهاب إلى النوادي الليلية وتقرر إيقاف ثرثرة وتقرر إيقاف السكر. والزنا والرب أحبك … والحكمة الرائعة من قديم الأيام. (الرب) إلهنا ، سوف يأتي إليك ، قد يعرف ماكره وحيله ..

     الأمثال 2: 6 “لأن الرب يعطي الحكمة: من فمه يأتي المعرفة والفهم.

    7 وضع حكمة سليمة للأبرار: هو دجل لهؤلاء الذين يمشون منتصبين.

    8 يحفظ طرق الدين ويحفظ طريق قديسيه.

    9 حينئذ تفهم البر والحكم والعدالة. نعم ، كل طريق جيد.

    10 عندما تدخل الحكمة الى قلبك وتكون المعرفة ممتعة لنفسك.

الرب يباركك.

يرجى مشاركتها مع الآخرين.

Print this post