Historia inaonesha Nabii Eliya aliishi karne ya 9 kabla ya Kristo, Ni Nabii aliyeshindana sana na Utawala wa kipagani wa Mfalme Ahabu wa Israeli na mkewe Yezebeli.
kadhalika Biblia hairekodi kama alikuwa na mke wala Watoto. Wala haielezi huduma yake aliifanya kwa miaka mingapi.
Miujiza mingi iliambatana na Nabii huyu, Miujiza maarufu iliyoambatana na Nabii huyu ni ule wa KUSHUSHA MOTO na ule wa KUCHUKULIWA JUU NA MAJESHI YA FARASI.
Katika kitabu cha Malaki 4:5, biblia imeahidi kurudi tena kwa Nabii huyu.
1.Je! Ni Eliya mwenyewe atarudi au ni roho yake?
2.Je! Kazi ya Eliya atakaporudi itakuwa ni ipi?
3. Yezebeli ni nani?
jiunge na channel yetu Kwa kubofya hapa >> WHATSAPP
HOME
Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.
Δ
Bwana Yesu akubariki kwa kutembelea tovuti ya Wingu la Mashahidi. Mchango wako utasaidia, kuifanya tovuti hii kuendelea kuwepo, pamoja na kusambaza mafundisho ya Neno la Mungu, umisheni, na injili kwa watu wengi. Kwa zaka yako/sadaka/shukrani utashiriki pamoja nasi kuipeleka injili kwa wengi zaidi.