NABII ELIYA

NABII ELIYA

Historia inaonesha Nabii Eliya aliishi karne ya 9 kabla ya Kristo,  Ni Nabii aliyeshindana sana na Utawala wa kipagani wa Mfalme Ahabu wa Israeli na mkewe Yezebeli.

kadhalika Biblia hairekodi kama alikuwa na mke wala Watoto. Wala haielezi huduma yake aliifanya kwa miaka mingapi.

Miujiza mingi iliambatana na Nabii huyu, Miujiza maarufu iliyoambatana na Nabii huyu ni ule wa  KUSHUSHA MOTO na ule wa KUCHUKULIWA JUU NA MAJESHI YA FARASI.

Katika kitabu cha Malaki 4:5, biblia imeahidi kurudi tena kwa Nabii huyu.

1.Je! Ni Eliya mwenyewe atarudi au ni roho yake?

2.Je! Kazi ya Eliya atakaporudi itakuwa ni ipi?

3. Yezebeli ni nani?

jiunge na channel yetu Kwa kubofya hapa >> WHATSAPP

HOME

Print this post

About the author

Admin administrator

Subscribe
Notify of
guest
0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments