VIPIMO MBALIMBALI VYA KIBIBLIA.

VIPIMO MBALIMBALI VYA KIBIBLIA.

Hivi ni baadhi ya vipimo mbalimbali vilivyotumika kupima vitu katika biblia, Vikikaridiwa kwa vipimo vya kisasa.

Vipimo vya Urefu.

  • Mwanzi = 2.7 Mita
  • Pima 1= Mita 1.8 (Futi 6)
  • Shubiri = sm 22.2
  • Dhiraa = 0.5 Mita
  • Mkono 1= SM 44.7

Vipimo vya vitu vikavu.

  • Pishi =Lita 2
  • Efa = Lita 22
  • Kabi = Lita 1

Vipimo vya vimiminika (maji maji)

  • Logi 1= 0.31
  • Hini 1= Lita 3.67
  • Bathi 1= Lita 22
  • Kori 1= Lita 220
  • Homeri 1 = lita 208

Vipimo vya uzito

  • Shekeli [Shekeli 1 = Gramu 11.42]
  • Mina [Mina 1 = Gramu 570]
  • Talanta [Talanta 1= kg 34.2]
  • Dinari [Dinari 1= Gramu 3.85]
  • Beka 71g………………….Kutoka 38:26
  • Gera 57g……………….Kutoka 30:13

Je!  utapenda tuwe tunakutumia mafundisho ya Neno la Mungu ya mara kwa mara kwa njia ya email yako au Whatsapp? Kama jibu ni ndio, basi tutumie ujumbe kwenye namba hii +255 789001312  tukuunge.

Mada Nyinginezo:

Rudi Nyumbani:

Print this post

About the author

Admin administrator

Subscribe
Notify of
guest
0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments