Kibiblia via ni viungo vya mwili wa mwanadamu au mnyama,, husasani mikono au miguu.
Hivi ni baadhi ya vifungu vinavyolitaja Neno hilo;
Ayubu 17: 7 “Jicho langu nalo limekuwa giza kwa sababu ya majonzi, Na via vyangu vyote vimekuwa kama kivuli”.
Ayubu 18:13 “Utakula via vya mwili wake, Naam, mzaliwa wa kwanza wa mauti atavila via vyake”.
Ayubu 41:12 “Sitanyamaa kusema habari za via vyake, Wala nguvu zake kuu, wala umbo lake zuri”.
Shalom.
Tazama mana ya maneno mengine chini;
Je utapenda tuwe tunakutumia mafundisho ya Neno la Mungu ya mara kwa mara kwa njia ya email yako au Whatsapp? basi kama ni hivyo tutumie ujumbe kwenye namba hii +255 789001312
Mada Nyinginezo:
Nyungu ni nini kibiblia?(Ayubu 41:20,31, Waamuzi 6:19)
Neno Korbani linamaanisha nini? (Marko 7:11)
Jabari ni nini, kama linavyotumika kwenye biblia?
USIPIGE MATEKE MCHOKOO!
UTAJI ULIOKUWA JUU YA USO WA MUSA.
Rudi Nyumbani:
Print this post