Neno “Via” linamaanisha nini katika biblia?

Neno “Via” linamaanisha nini katika biblia?

Kibiblia via ni viungo vya mwili wa mwanadamu au mnyama,, husasani  mikono au miguu.

Hivi ni baadhi ya vifungu vinavyolitaja Neno hilo;

Ayubu 17: 7 “Jicho langu nalo limekuwa giza kwa sababu ya majonzi, Na via vyangu vyote vimekuwa kama kivuli”.

Ayubu 18:13 “Utakula via vya mwili wake, Naam, mzaliwa wa kwanza wa mauti atavila via vyake”.

Ayubu 41:12 “Sitanyamaa kusema habari za via vyake, Wala nguvu zake kuu, wala umbo lake zuri”.

Shalom.

Tazama mana ya maneno mengine chini;

Je utapenda tuwe tunakutumia mafundisho ya Neno la Mungu ya mara kwa mara kwa njia ya email yako au Whatsapp?  basi kama ni hivyo tutumie ujumbe kwenye namba hii +255 789001312

Mada Nyinginezo:

Nyungu ni nini kibiblia?(Ayubu 41:20,31, Waamuzi 6:19)

Neno Korbani linamaanisha nini? (Marko 7:11)

Jabari ni nini, kama linavyotumika kwenye biblia?

USIPIGE MATEKE MCHOKOO!

UTAJI ULIOKUWA JUU YA USO WA MUSA.

Rudi Nyumbani:

Print this post

About the author

Admin administrator

Subscribe
Notify of
guest
0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments