(Masomo maalumu yahusuyo Sadaka na Matoleo) Angalizo: Masomo haya hayana lengo ya kuhimiza matoleo, (Au kuwaweka watu katika mitego ya kutoa) bali yana lengo la kutoa elimu sahihi ya kiMungu…
Wakorintho 2:10 Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho. Maana Roho huchunguza yote, hata mafumbo ya Mungu. 11 Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu…
Karibu tujifunze Biblia, Neno la Mungu wetu lililo Mwanga wa Njia zetu, na Taa iongozayo miguu yetu (Zaburi 119:105). Neno hili lililo Taa linasema.. Yuda 1:5 “Tena napenda kuwakumbusha, ijapokuwa…
Swali: Neno “Kututa” lina maana gani kama tusomavyo katika Mhubiri 2:26? Jibu: Turejee.. Mhubiri 2:26 “Kwa sababu Mungu humpa yeye aliyemridhia hekima na maarifa na furaha; bali mkosaji humpa taabu,…
Swali: Katika Kutoka 3:2 tunasoma kuwa Mungu alisema na Nabii Musa kupitia kile kijiti ambacho kilikuwa kinawaka moto lakini hakikuteketea, je kulikuwa kuna sababu gani au ufunuo gani katika ishara…
Mwandishi wa kitabu cha Waebrania ni nani? Kitabu cha Waebrania ni moja ya nyaraka ambazo waandishi wake hawajajitambulisha aidha ndani au mwanzoni au mwishoni mwa nyaraka hizo. Lakini kwa kutathimini…
Mafundisho maalumu kwa wanandoa - Wanawake. Ikiwa utapenda kupata mafundisho mengine ya namna hii, basi fungua link hii uweze kuyasoma. >>. https://wingulamashahidi.org/category/mafundisho-ya-wanandoa/ Habari ya Samsoni na Delila inafundisho kubwa nyuma…
Je hayo mavazi uvaayo ni kwa lengo gani?.. ili uonekane na nani?.. 1 Petro 3:3 “Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi”.…
SWALI: Huyu “Yeye ashindaye” anayezungumziwa katika kila mwisho wa jumbe za makanisa saba. Ni mtu mmoja maalumu au wengi? JIBU: Tunasoma Bwana Yesu alipotoa agizo au onyo kwa yale kanisa …
Jina la Mkuu wa Uzima (YESU KRISTO, Mwamba wa Milele), libarikiwe. Lipo jiwe Yakobo aliloliweka chini ya kichwa chake kabla ya kulala na baada ya kuamka alilisimamisha likanyanyuka. Jiwe hili…