DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

MUNGU HANA MBARAKA MMOJA TU!..MWAMINI.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe daima, karibu tujifunze biblia. Imani ni kuwa na uhakika wa mambo yatarajiwayo.. Je! Una uhakika wa mambo yatakayokuja ambayo bado hujayaona wala kuyafikia?..Na…

LAKINI USIKU WA MANANE, PAKAWA NA KELELE.

Shalom, kila mahali biblia inatuasa juu ya kujiweka tayari, wakristo wengi tunadhani wokovu ni suala la kuotea tu kwamba nitaokoka au tutaokoka siku yoyote, au baada ya kuokoka leo basi…

NJIA MOJAWAPO YA KUPATA MSAADA KUTOKA KWA MUNGU.

Jina la Bwana wetu Yesu libarikiwe. Ni neema za Mungu tumeiona siku nyingine, hivyo nakukaribisha katika kuyatafakari maandiko, ambayo ndio chakula cha roho zetu. Watu wengi tumekuwa tukitafuta msaada kutoka…

NAYE HERI AWAYE YOTE ASIYECHUKIZWA NAMI.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe daima. Karibu tujifunze Maneno ya uzima. Siku zote tunavyolijua Neno la Mungu ndivyo tunavyozidi kuwa na amani na ujasiri zaidi wa kusonga mbele…

Nyamafu ni nini?

JIBU: Nyamafu ni nyama ya mnyama aliyekufa (kibudu) bila kuuliwa kwa asili (yaani kuchinjwa). Mungu aliwakataza wana wa Israeli katika agano la kale wasile nyama ya mnyama yoyote aliyekufa bila…

ORODHA YA WAFALME WA ISRAELI.

Orodha ya wafalme wa Israeli. Kabla ya Israeli kugawanyika sehemu mbili kulikuwa na wafalme wakuu watatu waliotawala Israeli Mfalme Sauli Mfalme Daudi Mfalme Sulemani Baada ya kugawanyika. Na kuwa mataifa…

Mafuta yanayozungumziwa kwenye Yakobo 5:14, ni mafuta gani?

SWALI: Yakobo 5:14 inasema, wazee wa kanisa wakitaka kumwombea mgonjwa wampake mafuta, je! yale ni mafuta ya upako au?. Na kama sio, ni mafuta gani yanayozungumziwa pale?. Yakobo 5:14 “Mtu…

MISTARI YA BIBLIA KUHUSU KIFO.

Mistari ya biblia kuhusu kifo. Kifo ni jambo lisilozoeleka kwa mtu yeyote, Lakini pamoja na hayo lipo tumaini la uzima tena, kwa wale waliomwamini Bwana Yesu Kristo. Na ndio maana…

Nyama zilizosongolewa ni zipi?Je kunywa damu ni dhambi?

 Naomba kufahamu Nyama zilizosongolewa ni zipi?Je kunywa damu ni dhambi kwa Mkristo? Nyama zilizosongolewa ni nyama za wanyama ambao hawajachinjwa, na damu yao kumwagika chini. Kipindi kabla hata ya agano…

Je tunaruhusiwa kujipaka mafuta au kujipulizia marashi?

SWALI: Je tunaruhusiwa kujipaka mafuta au kujipulizia marashi/manukato (perfumes)? JIBU: Sio vibaya kujipaka mafuta usoni au mwilini, ili kuondoa ule mpauko wa asili, mafuta hususani yale ya asili ni mazuri…