DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Matoazi na Matari ni nini? (Kutoka 15:20)

SWALI: Shalom, Naomba kuuliza maana ya MATOAZI kama vyombo vya muziki ni chombo gani? Asante sana JIBU: Matoazi, na  Matari ni jamii moja,, Hizi ni za ala za muziki, ambazo…

Bwana Yesu alimaanisha nini kusema “Saa yangu haijawadia?”

SWALI: Bwana Yesu alimaanisha nini kumwambia mama yake, “Saa yangu haijawadia”? Yohana 2:1 “Na siku ya tatu palikuwa na arusi huko Kana, mji wa Galilaya; naye mama yake Yesu alikuwapo.…

KWANINI KRISTO AFE?

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Swali la msingi: Kwanini Kristo afe, si angekuja tu kuhubiri na kufundisha njia ya wokovu na kisha apae zake kurudi juu alipotoka, kulikuwa…

Aina za dhambi

Aina za dhambi ni zipi? Dhambi zimegawanyika katika makundi makuu manne: Dhambi za makusudi, Dhambi zisizo za makusudi Dhambi za kutotimiza wajibu Dhambi za kutokujua. 1) Dhambi za Makusudi: Hizi…

Kitabu kifupi katika biblia ni kipi, na ujumbe wake ni upi?

Kitabu cha waraka wa pili wa Yohana ( 2 Yohana ) ndicho kitabu kifupi kuliko vyote katika biblia nzima, kina sura moja tu na mstari 13, kinapatikana katika agano jipya.…

Kwanini wajane vijana hawakupaswa kuandikwa?

SWALI: Kwanini Mtume Paulo, alimkataza Timotheo asiwaandike wajane vijana? Je wajane vijana hawapaswi kusaidiwa au? Jibu: Kabla ya kwenda kwenye jibu la swali letu, kuna mambo muhimu ya kufahamu kwanza…

Nguo za magunia katika biblia ni zipi?

Nguo za magunia( au mavazi ya magunia) ndiyo mavazi ya namna gani ? Magunia kama biblia inavyotafsiri ni tofauti na inavyotafsiriwa sasa, Leo hii ukizungumzia magunia unamaanisha labda mifuko aina…

TUMEPEWA AMRI YA KUKANYAGA NGE NA NYOKA.

Jina la Bwana wetu Yesu libarikiwe. Unapomkiri Yesu kwa Kinywa, au unapojisalimisha kwa Yesu, kwa kudhamiria kabisa, dakika hiyo hiyo..Shetani anaangushwa juu yako, kama umeme…Na anawekwa chini ya miguu yako…

NA BAADA YA LILE TONGE, SHETANI AKAMWINGIA.

Shalom, leo tutajifunza madhara ambayo tunaweza kuyapata pale tunapoukataa  ule upendo wa mwisho kabisa wa Yesu Kristo. Yuda alikuwa ni mtume wa Yesu, lakini kama tunavyojua habari yake, alikuwa mwizi,…

Pesa za bindoni ni nini?(Marko 6:8)

Bwana Yesu aliposema pesa za bindoni alimaanisha pesa za mfukoni.. mfuko unaozungumziwa ni ule wa kuvaa kiunononi ambayo ndio ilitumika zamani. tazama picha. Marko 6:7 “Akawaita wale Thenashara, akaanza kuwatuma…