DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

WENYE KUHADAA ROHO ZISIZO IMARA.

SWALI: Naomba kufahamu biblia inaposema wenye kuhadaa roho zisizo imara ina maana gani? (2Petro 14) JIBU: Tusome; 2Petro 2:14 “wenye macho yajaayo uzinzi, watu wasiokoma kutenda dhambi, WENYE KUHADAA ROHO…

Yeye abomoaye boma, nyoka atamwuma.

SWALI: Nini maana ya huu mstari? Hapo anaposema yeye abomoaye boma, nyoka atamwuma. Mhubiri 10:8 Mwenye kuchimba shimo atatumbukia ndani yake;  Na yeye abomoaye boma, nyoka atamwuma. JIBU: Mistari hiyo inawazumgumzia…

Kuota unasubiriwa mahali fulani uhutubie, halafu unachelewa.

SWALI: Kuota nasubiriwa mahali Fulani, nihutubie halafu mimi nachelewa, au natingwa na mambo mengine ina maana gani? JIBU: Ndoto ya namna hii, mara nyingi huwa inaotwa na makundi ya watu…

TAFUTA KWA BIDII KUWA MTAKATIFU.

Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze biblia, Neno la Mungu wetu. Neno la Mungu linasema… Waebrania 12:14 “Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu…

KUMJUA YESU SI KUPATA UZIMA WA MILELE.

Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana libarikiwe… Karibu tuyatafakari maandiko pamoja. Katika dunia hii ya siku za mwisho, ni watu wengi…

JIPE NAFASI KATI YA TAARIFA UNAYOIPOKEA NA MAAMUZI UNAYOYATOA.

Shalom, jina la Bwana libarikiwe. Ni vema tukajifunza tabia kadha wa kadha za Mungu, ili na sisi tuziige hizo tuwe wakamilifu kama yeye. Leo tutajifunza tabia mojawapo ya Mungu, ambayo…

KUWA MWOMBOLEZAJI.

MAFUNDISHO MAALUMU KWA WANAWAKE. Kuwa mwombolezaji: Yeremia 9:20 “Lakini lisikieni neno la Bwana, enyi wanawake, Na masikio yenu yapokee neno la kinywa chake; Mkawafundishe binti zenu kuomboleza, Na kila mmoja…

BABA UWASAMEHE

Luka 23:34 “Yesu akasema, Baba, uwasamehe, kwa kuwa hawajui watendalo. Wakagawa mavazi yake, wakipiga kura” Je umeshawahi kumwombea msamaha mtu aliyekufanyia ubaya?. Wengi wetu huwa tunaweza kusamehe tu, lakini tukaishia…

NIMEYATUNZA MANENO YA KINYWA CHAKE ZAIDI YA RIZIKI YANGU.

Ayubu 23:12 “ Sikurudi nyuma kuiacha amri ya midomo yake; Nimeyatunza maneno ya kinywa chake zaidi ya riziki yangu”, Huyu ni Ayubu, …si ajabu kwanini Mungu alimwona ni mtu mkamilifu  aliyemcha…

Biblia inapotumia neno “Bila kazi ya mikono”, ina maana gani?

JIBU: ‘Bila kazi ya mikono’ maana yake ni kuwa pasipo kisaidizi chochote cha kibinadamu, kwamfano neno hilo utalisoma katika vifungu hivi; Danieli 2:34 “Nawe ukatazama hata jiwe likachongwa bila kazi…