DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

MAMBO YA KUJIFUNZA KATIKA KITABU CHA MATHAYO.

(Hotuba za Yesu) Kitabu cha Mathayo ni moja ya vitabu vinne (4), vya injili. Yapo mambo mengi ya kujifunza ndani yake, lakini katika makala hii, tutaona mambo muhimu ya kufahamu…

Kwa namna gani mauti ya wacha Mungu ina thamani machoni pake? (Zaburi 116:15).

Swali: Je ni kwamba Mungu anafurahia Mauti ya watu wake mpaka aseme hivyo? Jibu: Turejee mstari huo… Zaburi 116:15 “Ina thamani machoni pa Bwana Mauti ya wacha Mungu wake” Sasa…

Ni kelele gani zinazozungumziwa hapo katika Waefeso 4:31.

Waefeso 4:31 “Uchungu wote na ghadhabu na hasira NA KELELE na matukano yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya”. Kelele zinazozungumziwa hapo ni kelele za  “Maneno” , kelele za…

NIONDOLEENI KELELE ZA NYIMBO ZENU (Amosi 5:23)

Amosi 5:23 “Niondoleeni KELELE ZA NYIMBO ZENU; kwa maana sitaki kuzisikia sauti za vinanda vyenu”. Je ni kwamba Mungu wetu hapendezwi na nyimbo tunazomwimbia?? Jibu ni la! Yeye anapendezwa na…

NI MAJIRA YAPI YA NEEMA WEWE UPO?

Kuna wakati wa kukokotwa-kokotwa, lakini kuna majira ya  kuachwa ufanye maamuzi mwenyewe, na usipofanya unakufa. Mtu aliye mchanga kiroho, ni rahisi Mungu kuchukuliana naye katika mambo yasiyofaa kutokana na uchanga…

Ni uchafu gani unaozungumziwa katika Wagalatia 5:19?

Jibu: Turejee, Wagalatia 5:19  “Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, UCHAFU, ufisadi, 20  ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, 21  husuda, ulevi,…

Tirano alikuwa nani na darasa lake lilikuwaje? (Matendo 19:9)

Swali: Huyu Tirano tunayemsoma katika Matendo 19:9 alikuwa ni nani, na darasa lake lilikuwaje? Jibu: Tuanzie kusoma mstari ule wa 8 hadi ule wa 11 ili  tuweze kuelewe vizuri.. Matendo…

UTAJUAJE UFAHAMU WAKO UMECHUKULIWA?

Swali: Utajuaje ufahamu wako umetekwa au ni viashiria gani vitakavyotambulisha kuwa ufahamu umetekwa na adui? Jina la Bwana YESU libarikiwe. Kabla ya kujipima kama ufahamu umechukuliwa au la!..Ni vizuri kwanza…

JE! UNATAKA UITWE MSOMI NA MUNGU?

Nakusalimu katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo, Karibu katika kuyatafakari maneno ya uzima. Sulemani, mtoto wa Daudi, katika kitabu chake cha mhubiri, kilichojawa na utafiti wa hali ya juu…

Je ile habari ya mtini kunyauka inajichanganya?

Swali: Mathayo 21:19 inasema “mtini ulinyauka mara (maana yake muda ule ule uliolaaniwa)”.. lakini katika Marko 11:20 biblia inasema “mtini ulinyauka kesho yake, na sio siku ile ile ulipolaaniwa”.. Je…