DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Paulo alikuwa na maana gani aliposema “nimeaminiwa uwakili”

SWALI: Mtume Paulo alikuwa na maana gani aliposema “nimeaminiwa uwakili”? 1Wakorintho 9:16  “Maana, ijapokuwa naihubiri Injili, sina la kujisifia; maana nimewekewa sharti; tena ole wangu nisipoihubiri Injili! 17  Maana nikiitenda…

KAMA MHUBIRI USIWE MFANO WA DIOTREFE.

Je! Unamjua Diotrefe katika biblia? Diotrefe alikuwa ni kiongozi katika kanisa moja ambalo mtu wa Mungu ,Gayo alikuwa akishiriki. Kiongozi huyu alianza vizuri na Bwana lakini mwisho wake ulikuwa mbaya..…

EPUSHA WIVU KATIKA NDOA:

MAFUNDISHO MAALUMU KWA WANANDOA: Epusha Wivu katika ndoa: Sehemu ya kwanza: Upande wa Mwanamke. Huu ni mfululizo wa mafundisho maalumu yawahusuyo wanandoa: Ikiwa hukupata sehemu za nyuma, basi waweza kututumia…

Nchi ya Nodi ambayo Kaini alikimbilia ndio nchi gani kwasasa?(Mwanzo 4:16).

Jibu: Tusome, Mwanzo 4:15 “BWANA akamwambia, Kwa sababu hiyo ye yote atakayemwua Kaini atalipizwa kisasi mara saba. BWANA akamtia Kaini alama, mtu amwonaye asije akampiga.16 Kaini akatoka mbele za uso…

JE UMEZALIWA MARA YA PILI KWA NENO LA MUNGU?

Jina kuu la Bwana na Mwokozi wetu, Yesu Kristo, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana lihimidiwe!. Karibu tujifunze biblia. Je unajua maana ya kuzaliwa mara ya pili kwa Neno?..…

Yerusalemu ni nini?

Yerusalemu, ni Neno la kiyahudi linalomaanisha  “Mji wa amani” au “msingi wa amani” . Kabla ya mji huu kupata sifa tunayoifahamu sasahivi, awali ulikuwa ni mji wa wakaanani, waliojulikana kama…

HAUWEZI KURUKA MADARASA YA MUNGU!

Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujinze biblia, Neno la Mungu wetu. Yapo mambo ambayo watu wa Mungu wanatamani kuyapata au kuyafanya kwa muda waliopanga wao,…

NAFASI YAKO NI IPI KATIKA MWILI WA KRISTO?

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo, lihimidiwe milele. Kwanini leo hii tunaona kama vile utukufu wa Mungu umepungua makanisani?..Tunamwita Yesu aponye lakini haponyi, tunamwita atende miujiza lakini hatendi, tunamwita afungue…

Asiyetawala roho yake Ni mfano wa mji uliobomolewa,

SWALI: Nini maana ya maandiko haya? Mithali 25:28 “Asiyetawala roho yake Ni mfano wa mji uliobomolewa, usio na kuta”. JIBU: Mstari huu unatupa picha jinsi mtu asiyeweza kuitawala roho yake…

Mtu amlindaye Mwanawali wake ndio mtu wa namna gani? (1Wakorintho 7:36).

Swali: Katika 1Wakorintho 7:36 Mtume Paulo anafundisha kuwa Mtu akiona hamtendei vyema mwanamwali wake basi aruhusu waoane”.. Je alikuwa ana maana gani kusema hivyo? (Au kwa ujumla mstari huo unamaanisha…