DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Kwanini madhabahu zilitengenezwa kwa mawe yasiyochongwa?

SWALI: Kwanini Musa aliagizwa awaambie wana wa Israeli watengeneze madhabahu kwa mawe yasiyochongwa? Kwanini yawe mawe yasiyochongwa? JIBU: Tusome vifungu vyenyewe; Kutoka 20:24 “….. kila mahali nitakapotia ukumbusho wa jina…

Kuchelea ni nini?(2Wakorintho 11:3)

Nini maana ya neno kuchelea kama tunavyolisoma katika biblia? Kuchelea ni hofu au wasiwasi, husanani ule unaotokana na kuzuka kwa madhara Fulani. Kwa mfano tusome mstari huu; 2Wakorintho 11:2 Maana…

Kutahayari ni nini katika biblia?(2Timotheo 2:15)

Kutahayari maana yake ni kuweka katika aibu, kuaibisha, kuaibishwa, kuaibika. Hivi ni baadhi ya vifungu vinavyolieeleza Neno hilo; 2Timotheo 2:15 “Jitahidi kujionyesha kuwa umekubaliwa na Mungu, mtenda kazi asiye na…

SIFONGO NA SIKI NI NINI?

SWALI: Sifongo na siki ni nini, alizopewa Bwana Yesu pale Msalabani? JIBU: Tusome.. Yohana 19: 28  “Baada ya hayo Yesu, hali akijua ya kuwa yote yamekwisha kumalizika ili andiko litimizwe,…

JACHIN AND BOAZ

JACHIN AND BOAZ. Shalom, may the name of our Lord be blessed forever. The Word of God tells us .. Lamentations 3:22-23 “It is of the Lord's mercies that we…

YESU ANA KIU NA WEWE.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tuyatafakari maandiko pamoja. Kama tunavyojua hakuna wokovu kwa mwingine yoyote, isipokuwa kwa Bwana wetu Yesu, haijalishi dunia itasema nini, haijalishi imani nyingine…

What does it mean “in the abundance of wisdom there is the abundance of sorrows”.

QUESTION: What does the Bible mean when it says "In the abundance of wisdom there is an abundance of sorrows"? Is it not right to seek wisdom? Ecclesiastes 1:17 “ And…

Mlima Gerizimu na Ebali ni ipi, na umuhimu wao rohoni ni upi?

Mlima Gerizimu na Ebali ni ipi? Mlima Gerizimu ni mlima unaopatikana katika mji wa Samaria Israeli, unatazamana uso kwa uso na mlima Ebali, tazama picha juu, milima hii miwili ilikuwa…

“The Heart of a wise, is at his right hand” What does that mean?

QUESTION: What is the meaning of this verse? Ecclesiastes 10: 2 “A wise man's heart is at his right hand; But a fool's heart is at his left”. ANSWER: This…

Nini maana ya “katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni”.

SWALI: Biblia ina maana gani kusema “Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni” Je! si sahihi kutafuta hekima? Mhubiri1:17 “Nikatia moyo wangu ili kuijua hekima, na kujua wazimu na…