Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe…Karibu tujifunze Neno la Mungu,. Mojawapo ya jambo linalochanganya watu wengi wa Mungu..Na hata mimi lilikuwa linanichanganya mwanzoni sana wakati nampa Bwana maisha yangu…Ni…
Jina la mwokozi wetu Yesu Kristo, lisifiwe daima. Nakukaribisha tushiriki pamoja Baraka za rohoni. Leo tutaitazama kauli hii moja ambayo Bwana Yesu aliitoa siku ile kwa wanafunzi wake baada ya…
Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze Neno la Mungu. Kama wengi wetu tunavyojua kuwa hakuna wokovu nje ya Yesu Kristo, wala hakuna Maisha nje ya Yesu Kristo. Kama…
Nilipokuwa mdogo, kulikuwa na wakati kaka yetu mara nyingi alikuwa kila akitoka shule ni lazima arudi na zawadi siku nyingine alikuwa anapitia bakery anatuletea sambusa za nyama n.k., sasa alikuwa…
Luka 3:7 ‘’Basi, aliwaambia makutano ya wale waliomwendea ili awabatize, Enyi wazao wa nyoka, ni nani aliyewaonya ninyi kuikimbia hasira itakayokuja? 8 Basi, TOENI MATUNDA YAPATANAYO NA TOBA; wala msianze…
Shalom mpendwa wa Bwana, karibu katika kuyafakari maandiko matakatifu, Na leo tutajifunza somo ambalo tunaweza kuliona nyuma wa wana wa Israeli kukaa Babeli miaka 70, Ni kwanini Mungu aliamua kuweka…
Yohana 2:13 ‘’Na Pasaka ya Wayahudi ilikuwa karibu; naye Yesu akakwea mpaka Yerusalemu. 14 Akaona pale hekaluni watu waliokuwa wakiuza ng'ombe na kondoo na njiwa, na wenye kuvunja fedha wameketi.…
Shalom mwana wa Mungu, ikiwa Mungu amekupa neema ya kuiona siku hii ya leo, basi usipuuze kujifunza ni kitu gani anataka kutoka kwako leo?, Kukutana na ujumbe huu si kwa…
Jina kuu la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. karibu tujifunze Neno la Mungu ambalo ndio taa iongozayo njia zetu. Biblia inasema “Mjue sana Mungu ili uwe na Amani (Ayubu 22:21)”..Siku…