DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

IJUE NGUVU YA IMANI.

ijue Nguvu ya Imani ipo wapi? Imani ni ufunguo wa mambo yote.. Ukiwa na Imani timilifu Bwana Yesu alisema unaweza ukauambia hata Mlima Kilimanjaro uondoke pale, na ukajitupe Baharini, na…

NGUVU YA SADAKA.

Ijue nguvu ya sadaka. Kuna nguvu ya kipekee  iliyo ndani ya sadaka ambayo watu wengi hawaifahamu. Mungu anaweza kweli akawa ni Rafiki yako mkubwa sana, anaweza kweli akawa anazungumza na…

WHAT WE BELIEVE.

CLOUD OF WITNESSES, (BRETHRENS) We believe that Jesus Christ is the God manifested in human flesh for the purpose of man's redemption, and he is the Alpha and Omega (Rev.22:…

JINSI YA KUSOMA BIBLIA.

Fahamu jinsi ya kusoma biblia. Awali ya yote ninakupongeza kwa nia yako kutamani kujua jinsi ya kusoma biblia. Hapo mwanzoni kabla sijamjua vizuri Mungu, kati ya  vitabu ambavyo nilikuwa ninaona…

UTAFIKA WAKATI WA WEWE KUACHWA NYIKANI.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze biblia leo tena. Vipo vipindi tofauti tofauti ambavyo kila mkristo atavipitia…maana biblia inasema katika.. Mhubiri 3:1 “Kwa kila jambo kuna majira…

MHUBIRI.

Kitabu cha mhubiri kiliandikwa na mfalme Sulemani. Kitabu hichi kinaeleza, jumla ya mambo yote, na mwisho kinatoa ushauri ni nini mwanadamu anapaswa achague. Ikiwa wewe ni mmojawapo wa  wanaojiuliza nini…

Was Jesus White?

Shalom, welcome to bible study… I have met a number of people who, if you try to tell them about the cross or the salvation brought by our Savior Jesus…

MAPEPO NI NINI?

Mapepo ni nini? Mapepo ni Malaika walioasi zamani ambao hawakuilinda enzi yao mbinguni. (Yuda 1:6) Na shetani mwenyewe akiwa kama pepo mkuu. Sasa walipoasi ndipo wakatupwa duniani, na hiyo ilikuwa…

KWA KUPIGWA KWAKE SISI TUMEPONA.

Ndio kwa kupigwa kwake sisi tumepona!! Tunao ujasiri wote wa kusema hivyo, kwasababu kuacha kwake enzi na mamlaka mbinguni, kisha kuja kuishi maisha ya taabu na mateso hapa duniani, kuanzia…

MAJONZI YA MTUME PAULO KWA NDUGU ZAKE.

Ukisoma kitabu cha Warumi sura ya 9, ya 10, na ya 11..utaona mambo mazito sana mtume Paulo aliyokuwa akiyazungumza juu ya ndugu zake wayahudi. Akieleza jinsi neema ya Mungu ilivyoondolewa…