DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Nyamafu ni nini?

JIBU: Nyamafu ni nyama ya mnyama aliyekufa (kibudu) bila kuuliwa kwa asili (yaani kuchinjwa). Mungu aliwakataza wana wa Israeli katika agano la kale wasile nyama ya mnyama yoyote aliyekufa bila…

ORODHA YA WAFALME WA ISRAELI.

Orodha ya wafalme wa Israeli. Kabla ya Israeli kugawanyika sehemu mbili kulikuwa na wafalme wakuu watatu waliotawala Israeli Mfalme Sauli Mfalme Daudi Mfalme Sulemani Baada ya kugawanyika. Na kuwa mataifa…

Mafuta yanayozungumziwa kwenye Yakobo 5:14, ni mafuta gani?

SWALI: Yakobo 5:14 inasema, wazee wa kanisa wakitaka kumwombea mgonjwa wampake mafuta, je! yale ni mafuta ya upako au?. Na kama sio, ni mafuta gani yanayozungumziwa pale?. Yakobo 5:14 “Mtu…

MISTARI YA BIBLIA KUHUSU KIFO.

Mistari ya biblia kuhusu kifo. Kifo ni jambo lisilozoeleka kwa mtu yeyote, Lakini pamoja na hayo lipo tumaini la uzima tena, kwa wale waliomwamini Bwana Yesu Kristo. Na ndio maana…

Nyama zilizosongolewa ni zipi?Je kunywa damu ni dhambi?

 Naomba kufahamu Nyama zilizosongolewa ni zipi?Je kunywa damu ni dhambi kwa Mkristo? Nyama zilizosongolewa ni nyama za wanyama ambao hawajachinjwa, na damu yao kumwagika chini. Kipindi kabla hata ya agano…

Je tunaruhusiwa kujipaka mafuta au kujipulizia marashi?

SWALI: Je tunaruhusiwa kujipaka mafuta au kujipulizia marashi/manukato (perfumes)? JIBU: Sio vibaya kujipaka mafuta usoni au mwilini, ili kuondoa ule mpauko wa asili, mafuta hususani yale ya asili ni mazuri…

Jeshi la Mbinguni wana wa Israeli waliloliabudu ni lipi?

SWALI: Ni jeshi gani la Mbinguni ambalo Mungu aliwaacha wana wa Israeli waliabudu katika Matendo 7:42? Je ni Malaika au? JIBU: Matendo 7: 41  “Wakafanya ndama siku zile, wakaleta dhabihu…

Neema ya Bwana Yesu Kristo

 2Wakorintho 13:14 “Neema ya Bwana Yesu Kristo, na pendo la Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu ukae nanyi nyote”. Hii ni salamu ya kumalizia ambayo mtume Paulo aliwaandikia wakorintho, na…

Kibanzi na Boriti ni nini kama tunavyosoma kwenye biblia?

Kibanzi Na Boriti, kwenye biblia vinamaanisha nini? Boriti ni kipande kikubwa sana cha mbao, kinaweza kikawa ni ki-gogo, au nguzo, au mbao yoyote pana.. Lakini kibanzi, ni kichembe kidogo sana…

MISTARI YA BIBLIA YA FARAJA.

Jiunge na channel yetu ya Whatsapp, ujifunze biblia na upate Neno la siku kila asubuhi. kwa link hii >>> https://chat.whatsapp.com/GWxBOH2GXncIc0pwVIhnch Mistari ya biblia ya faraja. Unaweza ukawa unapitia katika wakati…