DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

NGUVU ILIYOPO KATIKA MAAMUZI.

Nguvu iliyopo katika maamuzi. Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujikumbushe Biblia… Leo kwa Neema za Bwana tutajikumbusha mambo ambayo tulishawahi kujifunza huko nyuma..Kwasababu biblia inatufundisha hivyo katika…

Roho, Nafsi, na Mwili vina utofauti gani?

Roho, Nafsi, na Mwili, Je! vina tofauti gani? JIBU: Mwanadamu ameumbwa katika pande kuu mbili, Upande wa kwanza unajulikana kama utu wa ndani, na upande wa pili unajulikana kama utu…

Je! Ni sahihi kuoa/kuolewa na mtu uliyemzidi umri?

Je Kwa mwanaume ni sahihi kuoa mtu uliyemzidi umri?..Na kwa upande wa mwanamke ni sahihi kuolewa na mwanaume uliyemzidi umri? (kuolewa na wanaume vijana)..Je ndoa za jinsia moja ni ishara…

KUTOKUIHUBIRI INJILI,KUNA MADHARA GANI?

Kutokuihubiri injili, madhara yake ni yapi? Shalom, Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe..Karibu tujifunze Biblia mtu wa Mungu…Leo tutajifunza mambo machache muhimu yahusuyo majukumu yetu ya kuihubiri Injili. Injili…

KUOTA UNAKULA CHAKULA.

Kuota unakula chakula maana yake ni nini? Ninakusalimu katika jina la YESU KRISTO. Awali ya yote nitoe tahadhari, kuwa kuna wimbi kubwa la mafundisho mengi ya uongo kuhusu ndoto. Hivyo…

NITAFANYA YERUSALEMU KUWA JIWE LA KUWALEMEA .

Nitafanya Yerusalemu kuwa jiwe la kuwalemea watu wa kabila zote; Kitakachochochea vita kuu mbili kuu ambazo tunazitazamia kuja huko mbeleni..ambayo ya kwanza ni ile vita ya Gogu na Magogu inayozungumziwa…

Je kuzalishwa na mkunga wa kiume ni dhambi?

Je kuzalishwa na mkunga wa kiume ni dhambi?..Je Mungu anaweza kutumia chochote kupitisha uponyaji wake?..Je jina la Yesu Kristo lina nguvu ya kuponya kabisa bila kutegemea daktari? Kwanza ni muhimu…

KILEMBA CHA NEEMA, JE! UMEMVIKA MWANAO?

kilemba cha neema, Je! Umemvika mwanao ? Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe..Karibu tujikumbushe mambo muhimu katika maisha yetu..Na hayo si mengine zaidi ya maonyo ya Neno la Mungu...Leo kwa…

Wokovu wa milele/ Ulinzi wa daima (eternal security) Je! ni neno la kimaandiko?

Ulinzi wa daima (eternal security) ni neno la kimaandiko? JIBU: Ulinzi wa daima, kama inavyojulikana kwa lugha ya kiingereza“eternal security”, linamaana kwamba mtu akishamwamini Kristo akaokoka, basi mtu huyo anakuwa…

BIRIKA LA SILOAMU.

BIRIKA LA SILOAMU...Bwana Yesu alisema.."Mtu akiona kiu na aje; na yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure". Shalom, karibu tujifunze Biblia, Neno la Mungu wetu ambalo ni mwanga wa…