DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

KALAMU YENYE UONGO YA WAANDISHI IMEIFANYA KUWA UONGO.

SWALI: Mstari huu una maana gani? Je, ni kweli waandishi waliweza kubadilisha baadhi ya maneno ya torati, Na hivyo inaifanya biblia isiamike hadi sasa? Yeremia 8:8 “Mwasemaje, Sisi tuna akili,…

UNAWAZA NINI SASA, JUU YA UFALME WA MBINGUNI?

Unawaza nini juu ya kuipeleka injili mbele?..Je unafikiri nini juu ya hali ya kiroho ya  wanao miaka kadhaa mbele?, endapo parapanda itakuwa haijalia miaka 20 ijayo, je hali ya kiroho…

Vitabu vya Deuterokanoni ni vya kiMungu?

Swali: Deuterokanoni ni nini?  na je vitabu vya Deutorokanoni ni vitabu vya kiMungu? (ambavyo vimevuviwa na Roho Mtakatifu) na vyenye kufaa kwa mafundisho.? Jibu: Deuterokanoni ni vitabu vingine saba (7)…

ILI TUONEKANE SAFI MBELE ZA MUNGU TUFANYE NINI?

Atukuzwe Yesu Kristo Bwana wetu milele na milele. Sifa na utukufu ni vyake yeye sikuzote.. Biblia inatuambia, mambo yote yaliyoandikwa katika agano la kale, yalikuwa ni kivuli cha agano jipya…

Mti wa Mshita ni mti wa namna gani?

Swali: Mti wa Mshita uliotengenezea sanduku la Agano ndio upi kwasasa?(Kutoka 25:10) Jibu: Tusome Kutoka 25:10 “Nao na wafanye sanduku la MTI WA MSHITA; urefu wake na uwe dhiraa mbili…

Wana wa Manabii walikuwa ni watu gani?

Swali: Katika biblia tunasoma sehemu kadha wa kadha zikiwataja “wana wa manabii”.. Je! Hawa wana wa manabii walikuwa ni watu gani?, na kazi yao ilikuwa ni ipi? Na kwanini waliitwa…

Gengeni ni wapi, wale nguruwe walipoteremkia? (Marko 5:13)

Marko 5:12 “Pepo wote wakamsihi, wakisema, Tupeleke katika nguruwe, tupate kuwaingia wao.13 Akawapa ruhusa. Wale pepo wachafu wakatoka, wakaingia katika wale nguruwe; NALO KUNDI LOTE LIKATELEMKA KWA KASI GENGENI, wakaingia…

Kombeo ni nini? Teo ni nini katika biblia?

Kombeo ndio hiyo hiyo teo,  ni moja ya silaha ya kurusha iliyotumika zamani katika vita. Kombeo/teo ilitengenezwa kwa Ngozi au Kamba, na jiwe lilikuwa likiwekwa katikati yake na kurushwa kumwelekea…

HAKUVAA NGUO SIKU NYINGI.

Luka 8:26 “Wakafika pwani ya nchi ya Wagerasi, inayoelekea Galilaya.27 Naye aliposhuka pwani, alikutana na mtu mmoja wa mji ule, mwenye pepo, HAKUVAA NGUO SIKU NYINGI, wala hakukaa nyumbani, ila…

AKAWAPONYA WALE WENYE HAJA YA KUPONYWA

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia, Neno la Mungu wetu, ambalo ni Mwanga wa njia zetu na taa iongozayo miguu yetu! (Zab 119:105). Si watu wote…