DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

MUNGU WANGU,MBONA UMENIACHA?.

Bwana wetu Yesu Kristo japo alikuwa ni Mungu mwenyewe katika mwili lakini hakuwa mnafiki kutokuonyesha hisia zote wanadamu wanazopitia wakiwa hapa duniani, Kama wengine walivyotazamia kuwa Mungu akiuvaa mwili, basi…

USIWE SABABU YA WATU KUMKUFURU MUNGU.

2 Samweli 12:9 “Kwa nini umelidharau neno la Bwana, na kufanya yaliyo mabaya machoni pake? Umempiga Uria, Mhiti, kwa upanga, nawe umemtwaa mkewe awe mke wako, nawe umemwua huyo kwa upanga…

LAANA YA YERIKO.

Shalom mtu wa Mungu, karibu tujifunze maneno ya uzima. Wana wa Israeli walipokuwa wanavuka Yordani kuingia Kaanani kama tunavyosoma habari walikutana na kizuizi kikubwa sana, nacho si kingine zaidi ya…

VITABU VYA BIBLIA: Sehemu ya 4

Shalom! Karibu tujifunze Biblia, bado tupo katika mwendelezo wa kujifunza vitabu vya Biblia, tukiwa tayari tumeshavitazama vitabu tisa vya kwanza, na leo tutaendelea na kitabu kimoja kinachofuata kijulikanacho kama Samweli…

PEPETO LA MUNGU.

Siku moja nilipokuwa nakula wali na choroko, nilikutana na zile choroko ngumu ambazo tunajua hata ukizipika vipi huwa haziivi, nilishazoea kukutana nazo mara kwa mara, lakini sikuhiyo nilikutana nazo nyingi…

USIPIGE MATEKE MCHOKOO!

Karibu tujifunze Biblia, leo tutajifunza juu ya kukaa katika kusudi la Mungu. Tukizidi kujifunza juu ya wito wa Mtume Paulo, tunaweza kupata mambo mengi sana ambayo yataweza kutusaidia sisi katika…

ROHO YA ELIYA KATIKA AGANO JIPYA INATENDAJE KAZI?.

Jina kuu la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe daima. Leo tutajifunza juu ya utendaji kazi wa roho ya Eliya ulivyokuwa katika agano la kale na jinsi unavyotenda kazi sasa katika…

AGIZO LA UTUME.

Utukufu na heshima una Bwana wetu Yesu Kristo, milele na milele… Karibu tutafakari pamoja Neno la Mungu, naamini kuna kitu cha kipekee Bwana alichotuandalia mezani pake siku ya leo. Kwa…

JE! UKRISTO UNAMPA MTU DHAMANA YA KUWA TAJIRI?

Jina la mwokozi wetu Yesu Kristo litukuzwe daima, Natumaini Mungu amekupa neema ya kuiona siku ya leo, hata mimi pia, hivyo ni vizuri wote tukashiriki neema hizi pia tukamshukuru kwa…

MPENDEZE MUNGU ZAIDI.

Biblia inasema katikaWaefeso 5:9 “kwa kuwa tunda la nuru ni katika wema wote na haki na kweli; 10 MKIHAKIKI NI NINI IMPENDEZAYO BWANA”. Mstari wa 10 unatuambia, mkihakiki ni nini impendezayo…