DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

SIKU ZA WATUMISHI WA MUNGU.

Luka 17:26  “Na kama ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo itakavyokuwa katika siku zake Mwana wa Adamu.  27  Walikuwa wakila na kunywa, walikuwa wakioa na kuolewa, hata siku ile Nuhu aliyoingia…

Daawa ni nini kama tunavyosoma katika biblia?

Daawa ni madai, au mashitaka, malalamiko, au hukumu. Kwamfano pale mwenzako anapokukosea, au amekudhulumu, au amekutukana au amekufanyia jambo baya, na unataka kwenda kumshitaki , sasa hilo shitaka au madai…

Neno beramu lina maana gani katika biblia?

Beramu ni nini? Beramu ni jina lingine la neno BENDERA. Hivyo mahali popote kwenye biblia unapolisoma neno hili basi fahamu kuwa linamaanisha bendera. Hesabu 1:52 “Na wana wa Israeli watazipanga…

Naomba kujua nini maana ya kuteguka uvungu wa paja?

SWALI: Yakobo aliposhindana na Malaika alishikwa uvungu wa paja akateguka…Naomba kujua nini maana ya kuteguka uvungu wa paja? Mwanzo 32:24 “Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka…

Jabari ni nini, kama linavyotumika kwenye biblia?

Jabari maana yake ni mtu hodari, asiyeogopa, shujaa. Isaya 49:24 “Je! Aliye hodari aweza kunyang'anywa mateka yake, au jeshi lao waliofungwa halali wataokoka? 25 Naam, Bwana asema hivi, Hata jeshi…

Baradhuli/Mabaradhuli ni nini au ni nani kwenye biblia?

Baradhuli ni nani/ ni nini kama lilivyotumika kwenye biblia? Kibiblia Baradhuli ni mtu asiyefaa, mpumbavu sana, aliyevuka mipaka Ipo mistari kadha wa kadha inayoeleza tabia za watu wabaradhuli. Kwa mfano:…

Areopago ni nini? Kwanini mtume Paulo walimpeleka huko?

Areopago ni nini? Areopago ni baraza kuu la Waathene au mahali walipokutanika wakuu wa Athene. Kwa ajili ya kuzungumza mambo mbalimbali ya muhimu,kama vile kusikiliza   kesi zinazohusiana na mauaji au…

MAASI KUONGEZEKA NI ISHARA YA NINI?.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe..Ni neema Bwana katujalia kuliona jua tena siku ya leo, karibu tuyatafakari maandiko Pamoja.. Kama tunavyojua tunaishi katika siku za mwisho, na kila dakika…

Ibada ni nini,Na je ili ikamilike inapaswa iwe na nini na nini?

SWALI: Ibada ni nini, Na je ili ibada ikamilike inapaswa iwe na nini na nini? Na je ni siku gani maalumu ya kufanya ibada? Ibada ni kitendo chochote kifanywacho kuonyesha…

Nini maana ya huu mstari..”Usiseme, Kwani siku za kale kupita siku hizi”

SWALI: Nini maana ya huu mstari.. Mhubiri 7:10 “Usiseme, Kwani siku za kale kupita siku hizi? Maana si kwa hekima uulizavyo neno hilo? " JIBU: Mstari huo kwa lugha ya…