DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

JESUS WILL PASS SOMEDAY AND PEOPLE SHALL NOT KNOW IT.

Blessed be the glorious Name of our Lord Jesus Christ. As it is ,we live in the last days and the world in itself is coming to its end.Therefore, it…

Nzio ni nini?(Yohana 2:6)

Nzio ni kipimo cha ujazo wa kimimika kilichotumiwa zamani na wagiriki,  Nzio moja ina  ujazo wa karibia lita 40, Katika biblia utaona ile habari ya Yesu kualikwa katika arusi kule…

Hozi ni nini? (1Nyakati 4:10, 7:28, 9:2)

Hozi ni nini? Hozi ni neno linalomaanisha himaya, ikijumuisha eneo na vitu mtu anavyomiliki. Kwa mfano unaweza kuona, Yabesi, alimwomba Mungu ambariki na kumzidishia Hozi yake (Himaya yake), Hiyo akiwa…

CHUKI ULIZO NAZO KWA MAADUI ZAKO, SIZO ALIZONAZO MUNGU JUU YAO.

Shalom, Karibu tujifunze biblia, ambayo ni Neno la Mungu. Ni vizuri kumjua Mungu ili tuwe na Amani.. Biblia inasema hivyo katika.. Ayubu 22: 21 “Mjue sana Mungu, ili uwe na…

Kuwatema farasi, maana yake ni nini?

SWALI: Naomba kufahamu kuwatema farasi maana yake ni nini?. Kwanini Mungu aliwaagiza wana wa Israeli wakati mwingine wawateme farasi za maadui wao vitani? Neno hilo tunalisoma katika kifungu hiki; Yoshua…

Sikukuu ya kutabaruku ni ipi?

Jibu: Kuna tofauti ya Neno “kutakabari” na “kutabaruku”. Kutakabari ni “kuwa ni majivuno yanayotokana na kiburi” unaweza kusoma kusoma kwa urefu hapa >> KUTAKABARI Lakini “kutabaruku” ambako ndiko tunakokwenda kukuzungumzia…

Kutakabari ni nini katika biblia?.

Jibu: Kutakabari maana yake ni “kuwa na kiburi”...Na hicho kinaweza kuja kutokana na kujiamini sana, au kuwa na kitu fulani ambacho wengine hawana, na kujiona huhitaji kitu kingine chochote...Kutakabari huko…

JINSI SHETANI ANAVYOZUIA MAJIBU YA MAOMBI YETU.

Utauliza je! Shetani ana uwezo wa kuzuia majibu ya maombi?. Jibu ni ndio!. Kwanza ni muhimu kufahamu kuwa shetani kamwe hana uwezo wa kuzuia maombi kumfikia Mungu..Maombi yeyote yale mtu…

SALA YA UPONYAJI/MAOMBI YA UPONYAJI.

Sala ya Uponyaji/Maombi ya uponyaji Nakusalimu katika jina  la Bwana Yesu Kristo. Kusudi lingine kuu tukiachilia mbali lile la wokovu wa roho zetu ambalo lilimfanya  Bwana Yesu aache enzi na…

Sinagogi la Mahuru ni lipi? na lilimaanisha nini(Matendo 6:9)

Neno hilo italisoma katika ile habari ya Stefano alipokuwa anatumiwa na Mungu kufanya ishara na maajabu yasiyokuwa ya kawaida katika kanisa lake. Lakini baadhi ya wayahudi wa masinagogi mbali mbali…