DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

FAIDA ZA MAOMBI YA USIKU

Kwanini maombi ya Usiku yana nguvu kuliko ya mchana? Usiku watu wakiwa wamelala ndio muda ambao mawakala wa shetani (wachawi)  wanafanya kazi, kwahiyo kuna uhusiano mkubwa wa mtu akiwa amelala…

MBINGUNI NI WAPI?

Mbinguni ni mahali mbali sana na upeo wetu wa kufikiri, na umbali huo haupo katika mfumo wa kilometa, au maili hapana! bali kiufahamu...Katika miili hii ya damu na Nyama hatuwezi…

Dini ya kweli ni ipi?

Mpaka umefikia kuuliza hili swali, naimani ni mtu unayependa kuabudu kitu unachokifahamu..Na pia naamini unapouliza dini ya kweli ni ipi unamaanisha kuwa ni Imani ipi ya kweli..Leo duniani zipo dini…

Dini ni nini, na Imani ya kweli ni ipi?

Dini ni nini? Dini ya kweli ni ipi? na Imani ya kweli ni ipi? Dini ni tendo linalotokana na Imani fulani (mambo ya rohoni), pale tu mtu anapoamini uwepo wa…

YESU KWETU NI RAFIKI

Yesu kwetu ni rafiki, hwambiwa haja pia;tukiomba kwa Babaye, maombi asikiyaLakini twajikosesha, twajitweka vibaya; kwamba tulimwomba Mungu, dua angesikia. Una dhiki na maonjo? Una mashaka pia.Haifai kufa moyo, dua atasikia.Hakuna…

Ni udhaifu gani ulikuwa katika macho ya Lea mke wa Yakobo?

SWALI: Mwanzo 29:16 "Labani alikuwa na binti wawili, jina la mkubwa ni Lea, na jina la mdogo ni Raheli. 17 Naye Lea macho yake yalikuwa DHAIFU, lakini Raheli alikuwa mzuri…

Je ni dhambi kuangalia movie?

Kama mkristo ili uweze kuenenda  kikamilifu katika safari yako ya wokovu hapa duniani bila dosari zozote zisizokuwa na sababu, ipo mistari miwili ya kuzingatia.. Wa kwanza ni huu: Wakolosai 3:17…

Roho za Wanyama zinakwenda wapi baada ya kifo? Je! Watafufuliwa?

JIBU: Uumbaji wa Mungu umegawanyika katika sehemu kuu mbili…   Sehemu ya kwanza: Ni Viumbe vya kimbinguni …Viumbe hawa wa kimbinguni nao wamegawanyika katika sehemu kuu mbili, nao ni malaika…

Je! ni kweli Bwana alimaanisha hatutaonja mauti kabisa tukimwamini?(Yohana 11:25)

Naomba ufafanuzi wa huu mstari Yohana 11:25-26"  Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi;naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je!…

KUONGEZEKA KWA MAARIFA.

Habari ya uzima wako mtu wa Mungu, katika hizi siku za mwisho na za hatari kama bado upo nje ya wokovu jiulize sana, Na kama bado unaishi kwa kushikilia mapokeo…