DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

MAPEPO YANATAFUTA HIFADHI NDANI YAKO KWA BIDII SANA.

Jina la Bwana wetu Yesu libarikiwe, karibu tujifunze biblia. Je umewahi kujiuliza, mapepo yanapomtoka mtu yanakwenda wapi?..Je yanakufa au yanakwenda kuzimu?. Jibu ni kwamba idadi kubwa ya mapepo yanapomtoka mtu…

ILI NIWE KIELELEZO KWA WALE WATAKAOMWAMINI BAADAYE.

Bwana Yesu asifiwe. Karibu tujifunze neno la Mungu. Paulo ni kielelezo kikubwa sana, kwa watu walio katika dhambi leo hii, ukiyatazama maisha Paulo, utajifunza mengi sana, Yeye mwenyewe anasema hapo…

Mharabu ni nani katika biblia?

Kuna tofauti kati ya “Mwarabu” na “Mharabu”. Maneno haya mawili yameonekana sehemu kadhaa katika biblia na yana maana mbili tofauti. Tukianza na “Mwarabu”. Mwarabu au kwa wingi waarabu; ni jamii…

FAHAMU UWIANO MUNGU ANAOHITAJI KUUONA KWETU.

Ipo kanuni moja ya Mungu, ambayo ni vema sisi sote tukaifahamu. Kanuni hiyo ni kuwa Mungu huwa hafanyi mambo yote peke yake, japo anaouwezo wa kutenda mambo yote yeye mwenyewe,…

KIKWAZO CHA EUODIA NA SINTIKE.

Shalom karibu tujifunze Neno la Mungu ambalo ndio taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu.(Zab 119:105) Leo tuwatazame wanawake hawa wawili ambao tunaona Mtume Paulo,akiwataja kipekee zaidi katika…

Maherodi walikuwa ni akina nani, Na kazi yao ilikuwa ni ipi?

Enzi zile za Bwana Yesu kulikuwa na makundi makubwa matatu yaliyokuwa na nguvu sana katika jamii, ambayo  yalikuwa yanampinga  sana vikali Bwana Yesu, tukiachalia mbali Mafarisayo na masadukayo ambao habari…

ENTER THROUGH THE NARROW DOOR.

Shalom. May the name of our Lord Jesus Christ. Welcome, let us contemplate on the Word of God. Luke 13:22-27 " 22 And he went through the cities and villages, teaching,…

Matuoni ni nini katika biblia?

Matuoni limetokana na neno “kituo”. Hivyo popote lilipoonekana katika biblia lilimaanisha kituo, au vituo au kambi. Na matuo hayo au kambi hizo zinaweza kuwa ni kambi za kazi, au za…

ANGALIENI MWITO WENU.

1Wakorintho 1:26 “Maana, ndugu zangu, angalieni mwito wenu, ya kwamba si wengi wenye hekima ya mwilini, si wengi wenye nguvu, si wengi wenye cheo walioitwa;” Kwanini Mtume Paulo, alisisitiza kwamba…

Je ni sahihi kuweka walinzi kulinda mali zetu?

SWALI: Je ni sahihi kwa sisi tuliookoka na tunaomtegemea Mungu kuweka walinzi kulinda mali zetu  au mali za kanisa?. Kwasababu Biblia inasema Bwana asipoulinda mji yeye aulindaye akesha bure (Zab.127:1).…