DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Fitina maana yake nini kwenye biblia?

Fitina ni nini? Katika biblia Fitina maana yake ni “kufanya mageuzi au mapinduzi”. Mtu ambaye anataka kufanya mapinduzi labda ya kimamlaka, kutokana na kwamba labda hakubaliani na serikali yake, au…

VITABU VYA BIBLIA: Sehemu ya 9 (Kitabu cha Ayubu).

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu katika uchambuzi wa vitabu vya biblia, tumekwisha jifunza vitabu kadhaa vya mwanzo, kama utakuwa hujavipitia na ungependa kufanya hivyo, basi unaweza kufungua…

JONAH’S VINE.

When God wants to give us a message, he speaks to us through parables or even signs. The parables are meant to help us understand God's feelings about us or…

Kijicho ni nini? (Marko 7:22)

Kijicho ni nini kibiblia? Kijicho ni kitendo kilichoaminika na jamii nyingi za zamani, kwamba mtu anaweza kukusababishia madhara au kukuletea laana, kwa kukutazama tu kwa macho yake, na hiyo inaweza…

MZAZI, JALI MAISHA YA KIROHO YA MTOTO WAKO.

Kuna pepo moja lililowasumbua sana mitume wa Yesu, hilo halikuwa sawa na pepo mengine waliyokutana nayo, walihangaika nalo mchana kutwa lakini hawakufua dafu mpaka alipokuja Bwana Yesu mwenyewe kulikemea na…

JE NI LAZIMA KUBADILISHA JINA BAADA YA KUOKOKA?

Jina la Bwana wetu Yesu, libarikiwe. Karibu tujifunze biblia. Katika biblia Mungu hakuwabadilisha watu majina kutokana na tafsiri za hayo majina. Ni muhimu kufahamu sana hili, vinginevyo shetani anaweza kukutesa…

Kwanini wale dubu waliowauwa vijana wa Elisha walikuwa wa kike?

SWALI: Bwana Yesu apewe sifa Ukisomo kitabu cha 2 WAFALME 2:24 napenda kuelewa mbona pale wanatokea dubu wawili wa kike mwituni na sio wa kiume? 2Wafalme 2:24 “Akatazama nyuma akawaona,…

GOGU NA MAGOGU, Katika biblia ni nani?

Neno Gogu na Magogu limeonekana sehemu mbili katika biblia, Sehemu ya kwanza ni katika kitabu cha Ezekieli 38:2, na katika Ufunuo 20:8. Sasa ni vizuri kujua kwanza Magogu ni nini,…

Wevi na wanyanga’anyi waliomtangulia Yesu walikuwa ni wapi?

SWALI: Bwana Yesu asifiwe mtumishi habari ya uzima, samahani nini swali;  Yohana 10:7-8 inasema; “7 Basi Yesu aliwaambia tena, Amin, amin, nawaambieni, Mimi ndimi mlango wa kondoo. 8 Wote walionitangulia…

Masuke ni nini? (Luka 6:1, Marko 4:28)

Masuke ni nini  katika biblia? Masuke ni ile sehemu ya nafaka inayotoa ua na mbegu ndani yake, Kwamfano Ngano suke lake linachipuka kwa pale juu, tazama picha, na nafaka kama…