DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

HUTATAMBUA LOLOTE, SIKU YA UNYAKUO IKIFIKA.

Bwana Yesu alitupa dalili za kurudi kwake, akatuambia mkiona dalili Fulani Fulani kama vile matetemeko, mlipuko wa magonjwa, manabii wa uongo, vita n.k. Basi tujue yupo mlangoni kurudi. Lakini kamwe…

Kama Malkia Esta alijipamba je! Kuna ubaya gani wanawake wa wakikristo wa leo kujipamba?.

 Shalom! Ni vizuri kulisoma Neno la Mungu kwa makini, huku tukimshirikisha Roho Mtakatifu, vinginevyo kwa kupitia biblia hii hii, tunaweza hata kumhalalisha shetani kuwa ni Mungu. Wako watu wanaotumia biblia…

JE UNAYAFANYA MAPENZI YA MUNGU?

Wewe kama mtumishi wa Mungu, je! unayafanya mapenzi ya Bwana Yesu?. Ni muhimu kuyafahamu mapenzi ya Bwana Yesu na kuyatenda hayo ili umpendeze Mungu. Sasa Mapenzi ya Bwana Yesu ni…

KAMA VILE UMEME UTOKAVYO MASHARIKI UKAONEKANA HATA MAGHARIBI.

Ni kipi kinakupa ujasiri wa kuishi ukristo ya juu juu tu ndugu ? Bwana atusaidie tujue majira tunayoishi.. Ulishawahi kutafakari kwa makini kwanini Bwana alifananisha kuja kwake na umeme? Kama…

SI KWA UWEZA WALA KWA NGUVU BALI KWA ROHO YANGU, ASEMA BWANA.

Zekaria 4:6 “Akajibu akaniambia, akisema, Hili ndilo neno la Bwana kwa Zerubabeli, kusema, Si kwa uwezo, wala si kwa nguvu, bali ni kwa roho yangu, asema Bwana wa majeshi”. Shalom.…

KWANINI YESU NI ADAMU WA PILI?

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Umewahi kujiuliza kwanini Yesu anajulikana kama Adamu wa Pili au Adamu wa mwisho? Leo tutajifunza ni kwanini yeye anajulikana hivyo, na kwa kujua…

MAMA, TAZAMA, MWANAO.

Nakusalimu katika jina lipitalo majina yote la Bwana wetu Yesu Kristo, karibu  tuyatafakari maneno ya uzima maadamu bado tupo hai. Maandiko yanatuambia ; Yohana 19:25 “Na penye msalaba wake Yesu…

Nini maana ya kumwabudu Mungu katika Roho na kweli?

JIBU: Kwanza ni muhimu kufahamu nini maana ya neno “kuabudu”. Leo hii ukizungumzia neno kuabudu, haraka haraka katika vichwa vya wengi, italenga katika “kuimba nyimbo za kuabudu”. Lakini kiuhalisia kumuabudu…

Naivera ni nini? Kwanini Daudi aliihitaji alipomtafuta Mungu?

Kibiblia Naivera imemaanisha vitu viwili, cha kwanza, ni aina ya vazi maalumu  lililotengenezwa  kwa mfano wa Aproni(yale mavazi ya wapishi) kwa ajili ya ibada za kikuhani, au kwa ajili ya…

Mego ni nini kama tunavyosoma katika biblia? (Mithali 17:1)

Mithali 17: 1 Afadhali mego kavu pamoja na utulivu, Kuliko nyumba yenye karamu nyingi pamoja na magomvi. JIBU: Mego ni neno linalotokana na  kitenzi “mega”,(kumega) kitu kilichomegwa, ni kama kimenyofolewa…