DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Maherodi walikuwa ni akina nani, Na kazi yao ilikuwa ni ipi?

Enzi zile za Bwana Yesu kulikuwa na makundi makubwa matatu yaliyokuwa na nguvu sana katika jamii, ambayo  yalikuwa yanampinga  sana vikali Bwana Yesu, tukiachalia mbali Mafarisayo na masadukayo ambao habari…

ENTER THROUGH THE NARROW DOOR.

Shalom. May the name of our Lord Jesus Christ. Welcome, let us contemplate on the Word of God. Luke 13:22-27 " 22 And he went through the cities and villages, teaching,…

Matuoni ni nini katika biblia?

Matuoni limetokana na neno “kituo”. Hivyo popote lilipoonekana katika biblia lilimaanisha kituo, au vituo au kambi. Na matuo hayo au kambi hizo zinaweza kuwa ni kambi za kazi, au za…

ANGALIENI MWITO WENU.

1Wakorintho 1:26 “Maana, ndugu zangu, angalieni mwito wenu, ya kwamba si wengi wenye hekima ya mwilini, si wengi wenye nguvu, si wengi wenye cheo walioitwa;” Kwanini Mtume Paulo, alisisitiza kwamba…

Je ni sahihi kuweka walinzi kulinda mali zetu?

SWALI: Je ni sahihi kwa sisi tuliookoka na tunaomtegemea Mungu kuweka walinzi kulinda mali zetu  au mali za kanisa?. Kwasababu Biblia inasema Bwana asipoulinda mji yeye aulindaye akesha bure (Zab.127:1).…

IMESALIA RAHA YA SABATO KWA WATU WA MUNGU.

Bwana YESU asifiwe sana, karibu tujifunze Neno la Mungu. Awali ya yote ni vizuri tukaweka msingi kwanza wa kufahamu nini maana ya Sabato. Sabato maana yake ni pumziko/kuacha kufanya kazi/…

TAFAKARI SANA KABLA YA KUAMUA HATIMA YAKO.

Tafakari sana kabla hujafikia hitimisho Fulani ambalo ndio litakuwa la kudumu katika maisha yako. Kuna watu wengi sana ambao shetani kawafumba macho, na kuwafanya wasifikiri vyema kabla ya kufikia hitimisho…

UTAKASO NI SEHEMU YA MAISHA YA MKRISTO YA KILA SIKU.

Jina kuu la Bwana wetu Yesu libarikiwe. Ni siku nyingine tena Bwana ametupa pumzi yake kuiona, leo tutajifunza somo linalohusiana na utakaso kwa mtakatifu. Lakini kabla hatujafika kwenye utakaso, ni…

Nini maana ya ‘Maandalio ya moyo ni ya mwanadamu’ ?

SWALI: Naomba kufahamu maana ya mstari huu ; Mithali 16:1 “Maandalio ya moyo ni ya mwanadamu; Bali jawabu la ulimi hutoka kwa Bwana”. JIBU: Mstari huu unatukumbusha kuwa si kila…

Nini maana ya “yasiyokuwapo hayahesabiki”(Mh 1:15)

JIBU: Tusome mstari wenyewe. Mhubiri 1:15 “Yaliyopotoka hayawezi kunyoshwa, Wala yasiyokuwapo hayahesabiki”. Hapo utaona vipengele viwili, cha kwanza ni: Yaliyopotoka hayawzi kunyoshwa. Na cha pili ni yasiyokuwapo hayahesabiki. Tukianzana na…