DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Nini maana ya ”Mizani ya hadaa ni chukizo kwa Bwana”?

Je! katika biblia mstari huu una maana gani? ''Mizani ya hadaa ni chukizo kwa Bwana Bali vipimo vilivyo sawasawa humpendeza’'? (Mithali 11:1)? ..Hiyo mizani ya hadaa ni ipi? JIBU: Katika…

NITAFUNGUAJE MILANGO ILIYOFUNGWA MBELE YANGU?

Nifanye nini ili niifungue milango iliyofungwa mbele yangu? Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Moja ya mada inayozungumzwa na wakristo wengi hususani wa kanisa hili la Mwisho ni juu ya…

NAMNA YA KUMTAMBUA BIBI ARUSI WA KWELI WA KRISTO.

Nitamtambuaje bibi arusi wa kweli? Shalom. Ni vizuri tukafahamu kuwa katika ukristo yapo makundi matatu ya waaminio. Tukilielewa hilo itatusaidia sisi kujipima tupo katika kundi lipi. Na hatua zipi tuchukue…

INGIENI KWA KUPITIA MLANGO ULIO MWEMBAMBA.

Tuingie kwa kupitia mlango ulio mwembamba. Shalom. Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tuyatafakari pamoja maandiko…Bwana Yesu alisema maneno yafuatayo katika kitabu cha Luka.. Luka 13:22 “Naye alikuwa…

JE NI KWELI MTU ANAWEZA KUTOKA NJE YA MWILI WAKE?.

Inawezekana mtu kutoka nje ya mwili? Ipo Imani ya kwamba mtu anaweza kutoka nje ya mwili wake au kwa lugha nyingine inajulikana kama Astral projection. Ni kwamba mtu kwa mapenzi…

MTUMAINIE YESU ASIYEISHA MATUKIO.

Mtumaini Yesu asiyeisha Matukio. Jina la Bwana Wetu Yesu Kristo libarikiwe. Neno la Mungu linasema katika.. Yohana 21:25 “Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata…

ZIKUMBUKE SIKU ZIJAZO ZA GIZA, KWA MAANA ZITAKUWA NYINGI.

Mhubiri anasema… “Naam, mtu akiishi miaka mingi, na aifurahie yote; lakini na azikumbuke siku zijazo za giza, kwa maana zitakuwa nyingi. Mambo yote yajayo ni ubatili”(Mhubiri 11:8 ). Anaendelea na…

Uzao wa Mwanamke ni upi? Unaozungumziwa katika Mwanzo 3:15?

JIBU: Uzao wa Mwanamke ni Uzao wa Yesu Kristo. Wote waliozaliwa mara ya pili, kwa lugha nyingine ya rohoni wanajulikana kama “uzao wa mwanamke”. Sasa ni kwasababu gani wanaitwa hivyo?.…

WATAMTAZAMA YEYE AMBAYE WALIMCHOMA; NAO WATAMWOMBOLEZEA.

Shalom. Biblia inatuambia kipindi kifupi sana kabla ya kurudi kwa Kristo, na kile kipindi chenyewe cha kurudi kwake, kutakuwa na makundi mawili ya watu ambao watakuwa wakimwombolezea, Kundi la kwanza…

BUSTANI YA NEEMA.

Jina la Bwana Yesu litukuzwe. Karibu tujifunze Biblia tena. Tunasoma katika kitabu cha Mwanzo. Baada ya Adamu na Hawa kula matunda ya mti wa ujuzi wa Mema na Mabaya ambayo…