DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

INJILI YA KRISTO HAITANGAZWI KWA HATI MILIKI.

Ni kitu cha kushangaza jinsi injili ya Kristo, Bwana wetu  inavyogeuzwa leo hii kutoka katika kitu cha kutolewa bure hadi kuwa kitu cha kutolewa kwa masharti,.Tunaweza tukadhania ni ustaarabu mzuri…

NINI MAANA YA KUSAGA MENO?

NINI MAANA YA KUSAGA MENO? Kusaga meno ni kitendo cha kung'ata meno kwa nguvu kutokana na maumivu fulani au uchungu fulani. Kwamfano mtu aliyejikata na kisu au kujikwaa kwenye kidole…

USIZITEGEMEE NGUVU ZAKO KUKUSAIDIA!

usizitegemee nguvu zako kukusaidia katika jambo lolote! Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze Biblia, Neno la Mungu ambalo ni Taa iongozayo miguu yetu na mwanga wa njia zetu…

HATUTAACHA KUJIFUNZA NENO KILA INAPOITWA LEO.

Je! Kuna umuhimu wowote wa kujifunza Neno kila siku? Unajua ni kwasababu gani leo hii tunaomwona Mtume Paulo ni mtu aliyekuwa amejaa mafunuo ya ndani kabisa yamuhusuyo Mungu na YESU…

Roho Mtakatifu ni nani?.

Watu wengi wanajiuliza Roho Mtakatifu ni nani? Jibu  rahisi ni kuwa Roho Mtakatifu ni Roho ya Mungu, Mungu anayo Roho kama vile mwanadamu alivyo na roho, hakuna mwanadamu yeyote asiye…

KWA KUWA NGUVU ZA MBINGUNI ZITATIKISIKA.

Kwanini nguvu za mbinguni zitikisike?. Bwana Yesu alitabiri na kusema kipindi kifupi karibu na mwisho wa dunia kutaanza kuonekana baadhi ya ishara za kutisha kutoka mbinguni, na mambo ya ajabu…

Uasherati wa Kiroho maana yake nini?

Uasherati wa Kiroho maana yake nini? JIBU: Mtu yeyote aliyejiingiza katika mahusiano na Yesu Kristo, mtu huyo katika roho anajulikana kama ni Mpenzi wa Yesu Kristo, Na mtu anajiingiza katika…

Biblia inamaana gani kusema;aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi?

SWALI: Kwanini biblia sehemu moja inasema mtu aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi, na sehemu nyingine inasema tukisema hatuna dhambi tunajidanganya wenyewe?. Je! Ni lipi hapo lipo sahihi kati ya hayo…

TUMAINI NI NINI?

Tumaini ni moja ya nguzo tatu kuu katika Ukristo, Ya kwanza ikiwa ni UPENDO, Ya pili ni IMANI na ya tatu ni Tumaini. (1Wakorintho 13:13). Sasa hivi viwili vya mwisho…

KUTAHIRIWA KIBIBLIA

Kutahiriwa Ni nini? Kutahiriwa kibiblia ni kitendo cha Sehemu ya nyama ya mbele ya uume wa mwanamume kukatwa. Mtoto yeyote wa kiume anapozaliwa anakuwa na sehemu ya nyama iliyozidi katika…