DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

KILA MMOJA WENU AJUE KUUWEZA MWILI WAKE.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze maandiko…Si vibaya tukajikumbusha yale ambayo tumeshawahi kujifunza mahali tofauti tofauti… biblia inasema katika.. 1Wathesalonke 4:4 “kila mmoja wenu ajue kuuweza mwili…

FANYIKA SIPORA WA KRISTO, UNYAKUO UPO KARIBU.

Zipo siri nyingi za ufalme wa mbinguni ambazo Mungu amezificha katika agano la kale, na ndio maana biblia inatuambia torati ni kivuli cha mambo yanayoendelea katika agano jipya (Waebrania 10:1)..…

TUPO KATIKA ZAMU YA NNE YA MWISHO.

Umewahi kujiuliza Zamu ya nne ni nini? Kama tunavyoisoma katika Mathayo 14:25? Tusome, Mathayo 14:25 “Hata wakati wa ZAMU YA NNE ya usiku Yesu akawaendea, akienda kwa miguu juu ya…

STRIVE TO BE AT PEACE WITH ALL MEN.

Hebrews 12:14 "Follow peace with all men, and holiness, without which no man shall see the Lord." We are commanded by God to live peaceably with everyone. We therefore as…

Katika biblia Neno “Mshenzi” linatajwa.Kwanini liwekwe?

SWALI: Katika Wakolosai 3:11 tunaona neno “Mshenzi” likitajwa.Kwanini Neno hili liwekwe pale? JIBU: Tusome.. Wakolosai 3:11 “Hapo hapana Myunani wala Myahudi, kutahiriwa wala kutokutahiriwa, mgeni wala MSHENZI, mtumwa wala mwungwana,…

Nini maana ya ‘Usimwekee mtu mikono kwa haraka’?

SWALI: Andiko hili lina maana gani?..1Timotheo 5: 22 “Usimwekee mtu mikono kwa haraka, wala usizishiriki dhambi za watu wengine. Ujilinde nafsi yako uwe safi” JIBU: Maana ya awali ya mstari…

PALE UNAPOKUWA NA SABABU ZA KUMLAUMU MTU, UFANYE NINI?

Ni mara chache sana inatokea mtu anakosana na mwingine bila sababu yoyote, (Hiyo mara nyingi huwa inatokea kutokana na wivu), Lakini kutokuelewana kwingi au kuchukiana na watu, au kutokusameheana, au…

USIPUNGUZE MAOMBI.

Katika Maisha usijaribu kufanya kosa la kupunguza maombi…Ni heri ukapunguza muda wa kufanya mambo mengine ambayo unaona ni ya muhimu lakini usipunguze kuomba hata kidogo!..Kama tayari ulishaanza kuwa muombaji, halafu…

UHARIBIFU HAUNA KIFUNIKO.

Ayubu 26:6 “Kaburi li wazi mbele yake, Uharibifu nao hauna kifuniko”. Kama tunavyojua mashimo mengi yanayochimbwa huwa yanawekwa mifuniko juu, ili kusudi kwamba ikitokea mtu mgeni akapita kwa njia ile…

MEANING OF NAMES

There is a Spirit accompanying Names, in Scripture we find many people were who changed their names, some at the beginning of the ministry or before the ministry began. Abraham…