DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

JINSI SODOMA NA GOMORA ILIVYOKUWA INAVUTIA SANA..

Jinsi sodoma na gomora ilivyokuwa inavutia sana. Mwanzo 13:10 “Lutu akainua macho yake, akaliona Bonde lote la Yordani, ya kwamba lote pia lina maji, kabla Bwana hajaharibu Sodoma na Gomora,…

Ufisadi una maanisha nini katika biblia?

Ufisadi una maanisha nini katika biblia? (Ufisadi ni nini? Ni uwizi wa fedha nyingi au?) JIBU: Neno ufisadi tofauti na linavyotafsiriwa siku hizi kwamba ni mtu anahujumu uchumi wa Taifa…

KIFO NI NINI?

Kifo ni nini?, Je ni kweli kila nafsi itaonja mauti?. Kifo sio mtu, wala si kitu bali ni "hali"...Kitu kinapopitia hali ya kukosa "UHAI". Tayari kitu hicho kinakuwa kimekufa. Kwamfano…

KUOTA UMETUMBUKIA SHIMONI.

Ogopa wadanganyifu, ambao wanakuambia suluhisho la ndoto Fulani uliyoota labda tuseme kuota umetumbukia shimoni, au umekimbizwa na nyoka,au umezama kwenye maji au unafanya uasherati na mtu usiyemjua kwamba ukanunue dawa…

JILINDE NA UNAJISI, UNA MADHARA MAKUBWA.

Najisi ni kitu gani? “Najisi” ni kitu chochote kinachokwamisha na kuundoa usafi wako wote, heshima yako yote au hadhi yako yote uliyokuwa nayo ..Kwamfano unaweza ukawa na nguo yako nyeupe,…

JE WAKRISTO TUNARUHUSIWA KUSHEHEREKEA VALENTINE’S DAY?

Je wakristo tunaruhusiwa kusheherekea valentine’s day(siku ya valentine)? siku ya wapendanao? Valentine kulingana na Historia alikuwa ni kuhani wa kikatoliki aliyekuwa anaishi Rumi katika karne ya 3..Aliishi Wakati wa Utawala…

Kwanini Mungu aliikubali sadaka ya Yeftha ya kumtoa binti yake kafara?

SWALI: Kwanini Mungu aliikubali sadaka ya Yefhta, ya kumtoa binti yake kafara? Je Mungu anakubali sadaka za kuteketeza watu? JIBU: Kabla ya kwenda kwa Yeftha turudi kwanza kwa Ibrahimu…swali ni…

KUSUDI LA MIMI KUWEPO DUNIANI NI LIPI?

Hili ni swali ambalo lilikuwa sana katika kichwa changu kabla sijamfahamu Yesu Kristo, vilevile lipo katika vichwa vya watu wengi leo hii duniani, na nimeshaulizwa pia mara nyingi na baadhi…

NIFANYE NINI ILI NILITIMIZE KUSUDI LA MUNGU.

Kusudi la Mungu ni lipi? Jina kuu la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze maneno ya uzima, Baadhi yetu tunadhani mpaka Mungu atakapotuambia tufanye hivi au tufanye vile ndipo…

MAMBO YA KWANZA YAMEKWISHA KUPITA!

Karibu tujifunze Biblia. Hizi tabu tunazoziona na kuzipitia sasa upo wakati umewekwa zitakwisha… Ufunuo 21:3 “Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu ni…