DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Wote wanaokumbwa na mauti sasa ni kutokana na dhambi zao?

SWALI: Biblia inasema mshahara wa dhambi ni Mauti, (Warumi 6:23) je wote wanaokumbwa na mauti sasa ni kutokana na dhambi zao? Jibu: Ni vizuri kufahamu kuwa katika maandiko kuna Mauti…

Kwanini Bwana Yesu alitokea katika ukoo wa Yuda?

SWALI: Kwanini Bwana Yesu alitokea katika ukoo wa Yuda na sio kwenye koo nyingine kama vile  Yusufu? JIBU: Hatma ya yale makabila 12, na tabia zao tunaona kwa mara ya…

MIMI SIOMBI KWAMBA UWATOE KATIKA ULIMWENGU.

Shalom, ulishawahi kuutafakari vizuri huu mstari? Yohana 17:14 “Mimi nimewapa neno lako; na ulimwengu umewachukia; kwa kuwa wao si wa ulimwengu, kama mimi nisivyo wa ulimwengu. 15 MIMI SIOMBI KWAMBA…

Nini maana ya “wazimu” katika biblia?

Wazimu ni “ugonjwa wa akili”.. Mtu mwenye wazimu ni mtu mwenye matatizo ya akili. Kwahiyo katika maandiko popote palipoandikwa neno wazimu, pamemaanisha mtu mwenye shida ya akili. Na wazimu huu…

KWA MIOYO YAO WAKAREJEA MISRI.

Jina la Mwokozi Yesu, libarikiwe. Karibu tujifunze maandiko, Neno la Mungu wetu ambalo ndio taa iongozayo miguu yetu, na Mwanga wa njia yetu (Zab.119:105). Safari ya wana wa Israeli ni…

NI NANI ATAKAYEUCHUKUA MSALABA WA YESU?

Nakusalimu katika jina kuu sana la Bwana wetu Yesu Kristo, Ni siku nyingine tena tumepewa neema ya kuiona, hivyo nasi hatuna budi kutumia nafasi hiyo kujifunza maneno yake maadamu tumepewa…

TEGEMEA MUNGU KUZUNGUMZA NAWE KATIKA MAMBO MADOGO

Shalom, karibu tujifunze maandiko. Kama kuna njia tunaiendea ambayo itakuja kuleta majuto mbele yetu, basi Mungu wetu huwa anatangulia kututahadharisha kabla ya hatari yenyewe kutufikia!..Lengo ni tuiache hiyo njia ili…

TABIA ZITAKAZOMTAMBULISHA MPINGA-KRISTO AJAYE.

Nakusalimu katika jina la Mkuu ya uzima, Mfalme wa wafalme, Bwana wetu Yesu Kristo. Sifa heshima na utukufu vina yeye milele na milele Amina. Karibu tujifunze biblia. Leo tutatazama viashiria…

TUSIRUHUSU MAMBO YA KUSUBIRISHA, YAVURUGE MUDA WETU NA MUNGU.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tuyatafakari pamoja maneno ya uzima ya Mungu wetu. Kuna wakati mtume Petro alialikwa kama mgeni, nyumbani kwa mtu mmoja aliyeitwa Simoni, Lakini…

TULITAFUTE KWA BIDII TUNDA LA ROHO.

Wagalatia 5:22 “Lakini TUNDA LA ROHO ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, 23 upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria”. Hapo biblia inasema inasema  “Tunda…